UJUMBE MZITO ULIO ACHWA NA MAREHEMU MAGRETH KWA MUME WAKE

Ujumbe mzito ulio achwa na Marehemu kwa Mume wake Mch.Yonah Suleiman

Пікірлер: 39

  • @lightnessgamasa6039
    @lightnessgamasa60392 ай бұрын

    Mungu nimwema awatie nguvu familia yote Aminaaa 🙏🏻

  • @ikupangalla7716
    @ikupangalla77162 жыл бұрын

    Pole sana Askofu,Bwana wetu Yesu Kristo akufariji

  • @lumuliasibwene886
    @lumuliasibwene8868 ай бұрын

    Pole baba Askofu , 33:28 Bwana Yesu awe faraja

  • @mwanyongamama4407
    @mwanyongamama44072 жыл бұрын

    Mungu yupo Atawawezesha kupona mioyo Mtashangaa poleni sana Mtumishi wa Mungu Aliyehai.

  • @user-pc7ld6ml9d
    @user-pc7ld6ml9d5 ай бұрын

    Pole sana baba mungu aku fariji

  • @annaboniface7082
    @annaboniface70822 жыл бұрын

    Pole Sana baba Mungu mwema akupe nguvu ya kusimama imara ktk kipindi hiki kigumu.

  • @hermenegildarwechungura707
    @hermenegildarwechungura7072 жыл бұрын

    Mungu awape faraja yake.,Apumzike kwa amani.

  • @adriannebatakanwa6904
    @adriannebatakanwa69042 жыл бұрын

    Pole sana Bishop Yona. Jicho lako limeondoka. Mungu Akutie nguvu. Mungu Aitie nguvu familia nzima, kanisa, Kanisa la Mungu kote ulikotembea ukitumika.

  • @victoriamaige2862
    @victoriamaige2862 Жыл бұрын

    Ubarikiwe mch kwa kujali ni wachungaji wachache sn wenye upendo wa kweli kwa wake zao

  • @andulilembwile6271
    @andulilembwile62712 жыл бұрын

    Poleni saaaaana kwa Msiba mkubwa wa Mke wa mtumishi wa Mungu Mzee wetu mwana Injili Askofu Yona Suleiman Mungu awatienguvu awafariji saaaaana saaaaana 2 thesalonike 3 : 3, Lakini Bwana ni Mwaminifu, atakayewafanya Imara na kuwalinda na yule Mwovu.

  • @mamashanitimetv5378
    @mamashanitimetv53782 жыл бұрын

    Bwana akutie nguvu Kaka yangu Bishop Yona pamoja na watoto na familia kwa ujumla.

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe457811 ай бұрын

    Pole sana baba na watoto Mungu wa mbinguni awafariji.

  • @ndavadumayai4250
    @ndavadumayai42502 жыл бұрын

    Pole sana Bishop Mungu akutie nguvu

  • @ahadimwakaniemba8401
    @ahadimwakaniemba84012 жыл бұрын

    Pole baba yetu, Mungu akutie nguvu tu.

  • @anamsangi2666
    @anamsangi26662 жыл бұрын

    Pole bishop Tina,MUNGU AZIDI KUWAFARIJI na familia yako na kuwatia nguvu ameen

  • @chestinakidenya8880
    @chestinakidenya88802 жыл бұрын

    Pole sana Mungu awatie nguvu sana

  • @sophiamakani6133
    @sophiamakani61332 жыл бұрын

    Pole sana Bishop Mwenyezi Mungu akutie nguvu

  • @fausitinanyamtegera203
    @fausitinanyamtegera2032 жыл бұрын

    Mungu awape faraja kwa msiba huu mzito.

  • @franaelisumari5108
    @franaelisumari5108 Жыл бұрын

    Mungu azidi kuwafariji wapendwa.

  • @kimarioedifesta4161
    @kimarioedifesta41612 жыл бұрын

    Pole sana mtumishi

  • @jimmundakega9480
    @jimmundakega94802 жыл бұрын

    Pole Sana mchungaji!

  • @marykiwoi7821
    @marykiwoi7821 Жыл бұрын

    Mungu akutie nguvu sana na upate faraja za kutosha

  • @angelinamayombo5511
    @angelinamayombo5511 Жыл бұрын

    Nigonge nisigonge,gongaaaa,niseme nisiseme semaaaaaa,pole Sana mtumishi

  • @kimarioedifesta4161
    @kimarioedifesta41612 жыл бұрын

    Mungu akupe nguvu

  • @agnesnangela2689
    @agnesnangela26892 жыл бұрын

    Pole sna mtumishi wa Mungu

  • @steramdolo1216
    @steramdolo12162 жыл бұрын

    pole sana

  • @cydrahope5251
    @cydrahope52512 жыл бұрын

    Pole sana mtu wa Mungu

  • @dativadaud4300
    @dativadaud43002 жыл бұрын

    Pole sana

  • @maswamills3161
    @maswamills31612 жыл бұрын

    Poleni sana.

  • @jasirimjasirimedia7940
    @jasirimjasirimedia79402 жыл бұрын

    Yesu ifariji familia hii

  • @nellymsigwa6997
    @nellymsigwa69972 жыл бұрын

    MUNGU akutie nguvu mtumishi

  • @trophywilson7211
    @trophywilson72112 жыл бұрын

    Jamani Kisukari kwa Watumishi ni kingi

  • @pericykiko6198

    @pericykiko6198

    2 жыл бұрын

    Kisukari inasababishwa na nn

  • @marymremi1051
    @marymremi10512 жыл бұрын

    Pole sana mchungaji wangu wewe ndiyo ulipanda wokovu ndani yangu na mpaka Leo Mungu amenisimamisha ktk Imani Mungu wa mbinguni akupe matumaini mapya na neema yake ikuwezeshe kusonga mbele tukijua mama yetu. Yuko mbinguni na sisi tunatarajia kufika huko .Mungu akutunze amen

  • @zachariajuma6634

    @zachariajuma6634

    2 жыл бұрын

    Pole sana Bishop Bwana Yesu akutie nguvu na farxja

  • @trophywilson7211

    @trophywilson7211

    2 жыл бұрын

    Pole na Wewe pia

  • @dorkasjohn688
    @dorkasjohn6882 жыл бұрын

    Nilichojifunza kutoka kwako mchungaji ni UPENDO wa hali ya juu sana.. yote hayo chanzo ni upendo 💕🤝

  • @dorkasjohn688

    @dorkasjohn688

    2 жыл бұрын

    Ombi langu Kwa Mungu akukumbuke akumbuke moyo wako wa upendo,pia akutie nguvu ushuhuda wako umenifundisha kitu

  • @maryjohn5134
    @maryjohn51342 жыл бұрын

    Mwendo ameumaliza,.imani ameilinda. ,ipo cku tutaonana tena tukifika mbinguni. ,.,

Келесі