SABABU ZA WANAWAKE KUWA KANISANI WENGI/ SHEPU NI SIKU 90 TU/ NGUVU ZA KIUME KWENYE NDOA

--
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24news@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24Tz
⚫️ Facebook: @dar24news
⚫️ Twitter: @Dar24News
#mchungaji #kanisa #taarifabilamipaka

Пікірлер: 65

  • @hamisisaid7606
    @hamisisaid76062 жыл бұрын

    Hiki kichwa cha uyu mzee ni noma

  • @dorissaivoiye687
    @dorissaivoiye6872 жыл бұрын

    Mch.wetu huyu mzuri sana namkumbuka alivyokua msasani Lutheran kama mwinjilisit alivyohama nilimiss sana mafundisho yake...asante kwa social media imesaidia sana tunamsikia tena kwa uzur...Mungu akutunze mchj.

  • @aminarajabu3954
    @aminarajabu39542 жыл бұрын

    Sichoki kukusikiliza mchungaji your talented

  • @christopherkivuyo8590
    @christopherkivuyo85902 жыл бұрын

    Hakika mchungaji unanibariki saaana, Mungu akubariki.

  • @-KINKAU
    @-KINKAU2 жыл бұрын

    Namkubari sana huyu mchungaji🔥🙏🏿🙏🏿

  • @jackobgalish5742
    @jackobgalish57422 жыл бұрын

    Daaaaaah! Huwa sichoki kumskiliza hananja aisee😂😂

  • @pilimusa3217
    @pilimusa32172 жыл бұрын

    Huyu mchungaji poa sana

  • @oscarlemamaringo8081
    @oscarlemamaringo80812 жыл бұрын

    Yaani huyu ndio mtumishi namkubali sana

  • @apostlejoachimeliya6089
    @apostlejoachimeliya60892 жыл бұрын

    Ahsante sana Pastor Mungu akubariki sanaaa

  • @mshigilakarume4425
    @mshigilakarume44252 жыл бұрын

    Thanks pasta

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya82762 жыл бұрын

    Hongera sana mchungaji elmu yako MWENYEWE madini tanzanite ya ukweli.umenena baba. Barikiwa uzeeni pia.

  • @Bwenge-minecraft
    @Bwenge-minecraft2 жыл бұрын

    mchungaji mungu akupe maisha marefu ili tuendelee kujifuza mungu akubariki sana. asante

  • @jamesngowifamilytvcomprehe2249
    @jamesngowifamilytvcomprehe22492 жыл бұрын

    Mchungj yuko pw..may GOD 🙏 bless him..

  • @jacobnduya798
    @jacobnduya798 Жыл бұрын

    Mpk mandazi road ya msasani anaijua😊 kiboko. Ila nashukuru anafundisha vizuri sana

  • @martinkipenya4592
    @martinkipenya4592 Жыл бұрын

    Huo ndio utumishi wa ukweli mchungaji

  • @mkijilukali2010
    @mkijilukali2010 Жыл бұрын

    Duuu mchungaji upo sawa Mimi nimuislamu lakini unanivutia sana ktk maubili y'ako mungu akubaliki sana

  • @vickydan2869
    @vickydan28692 жыл бұрын

    Mungu akubariki zaidi mtumishi akupe umri mrefu zaidi ili uokoe baadhi ya watu

  • @fredrickmichael2317
    @fredrickmichael23172 жыл бұрын

    Mchungaji yuko vinzur

  • @kapelotz9967
    @kapelotz9967 Жыл бұрын

    Axante mtumixhi nimeondoka na point kadhaa

  • @michaelramadhan9466
    @michaelramadhan94662 жыл бұрын

    Isaya 22:22 Na ufunguo wa nyumba ya Daudi nitauweka begani mwake; yeye atafungua wala hapana atakayefunga; naye atafunga wala hapana atakayefungua.

  • @peehmuki7271
    @peehmuki72712 жыл бұрын

    Wonderful one frm God's general

  • @juliusharweri6787
    @juliusharweri6787 Жыл бұрын

    Kazi nzuri muongozaji wa kipindi

  • @tunsumemwajumba7149
    @tunsumemwajumba7149 Жыл бұрын

    Nakukubali sana mchungaji

  • @godfreyomollo9844
    @godfreyomollo9844 Жыл бұрын

    Yuko vizurii sana

  • @otavinamsigala1794
    @otavinamsigala17942 жыл бұрын

    Wanawake kweli kabisa

  • @mkudembeteni7667
    @mkudembeteni76672 жыл бұрын

    Mchungaji Hananja ubarikiwe sana

  • @wilbard
    @wilbard2 жыл бұрын

    Dah! Mchungaji anatema madini #tuachemigogorobinafsi

  • @jacobnduya798
    @jacobnduya798 Жыл бұрын

    Kumbe wanawake wanapenda faraja

  • @biggieelias4960
    @biggieelias49602 жыл бұрын

    Mchungaj yuko vzur

  • @k.kswitzerland4168
    @k.kswitzerland41682 жыл бұрын

    Great pastor😍

  • @mkaapwekekariakoo6417
    @mkaapwekekariakoo64172 жыл бұрын

    Hakika Hananja lazima umsikilize kwa umakini maana Kichwa Hii sio ya ulimwengu hii

  • @aludomakori4230
    @aludomakori42302 жыл бұрын

    Hananja jmn, maneno unayatoaga wapi?

  • @sadickd_knuckle5456
    @sadickd_knuckle5456 Жыл бұрын

    Genius

  • @robartifabiani
    @robartifabiani2 жыл бұрын

    Daaah

  • @hassanmbonde4391
    @hassanmbonde4391 Жыл бұрын

    Hubalikiwe mtumishi

  • @benedictarweyemamu9531
    @benedictarweyemamu95312 жыл бұрын

    Mch.kafanana king majuto

  • @josejoseph464
    @josejoseph4642 жыл бұрын

    Good mtumishi

  • @francisrobert9652

    @francisrobert9652

    2 жыл бұрын

    big up mtumishi wa mungu.

  • @erastomwakalukwa3946
    @erastomwakalukwa39462 жыл бұрын

    Madini Sana hayo

  • @masterke536
    @masterke5362 жыл бұрын

    Saafiiiiiiiii

  • @rasheedkhalifa8482
    @rasheedkhalifa84822 жыл бұрын

    🙏🙏🙏

  • @lwicheworkshoplimited305
    @lwicheworkshoplimited3052 жыл бұрын

    Mtumishi unatema KITO kuliko Tanzanite safi.

  • @kipigapasilisungu2581
    @kipigapasilisungu25812 жыл бұрын

    .

  • @gabrielbahat9107
    @gabrielbahat91072 жыл бұрын

    🤣😅

  • @patrickmunishi2277
    @patrickmunishi22772 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @paskalimallya5294
    @paskalimallya5294 Жыл бұрын

    Hala 10:21

  • @geraldfelician8435
    @geraldfelician84352 жыл бұрын

    Huyu Mchungaji ana maneno magumu sana

  • @samsonmahelo3336
    @samsonmahelo3336 Жыл бұрын

    Nampenda sana mchungaj

  • @lindajohansen9220
    @lindajohansen92202 жыл бұрын

    Mtumishi nisaidie mimi, kunywa bia moja mbili ni dhambi?

  • @lamlameck9720

    @lamlameck9720

    2 жыл бұрын

    kwani ukinywa moja au mbili unahisi inakuwa juice?

  • @lindajohansen9220

    @lindajohansen9220

    2 жыл бұрын

    @@lamlameck9720 nijibu tu vizuri mpendwa Ili nisimuudhi muumba! Na kama hujui na wewe kama mimi! Basi!

  • @sarahgaula2220

    @sarahgaula2220

    Жыл бұрын

    Mimi sina hakika Sana mana biblia kuna maandiko hayaruhusu pombe na kuna maandiko yanaruhisu kama vile mpe pombe masikini asahau shida zake, na.mvinyo kuwa kama sehemu ya dawa . Ila kila mahala ambapo Mungu alitaka kupitisha kitu kitakatifu hakuruhusu pombe. Mfano mke WA Manoah alipopata mimba , etc na ujumbe wa kukatazwa ulitolewa na malaika.

  • @eliasadrian5026

    @eliasadrian5026

    Жыл бұрын

    Pombe uzinzi uongo uasherati nidhambi sna mno my dear

  • @lindajohansen9220

    @lindajohansen9220

    Жыл бұрын

    @@eliasadrian5026 sulenan aliyekuwa na wake na masuria kibao, ilikuwaje Mungu akambariki? Hakuwa mzinzi? Pls!

  • @simbarajabu4157
    @simbarajabu41572 жыл бұрын

    Mchungaji mgogo mpumbavu namba moja, uwezi kumwambia mwanamke mlikuwa amuachiki sababu mlikuwa akuna pa kwenda sasa mchungaji kweli yule

  • @machoguhameri7757

    @machoguhameri7757

    2 жыл бұрын

    Simba mbona unatukana? Kanusha hoja kwa hoja siyo kwa tusi.Kutukana watu kunaonyesha ulivyopoteza maadili walivyokufunza wazazi wako.

  • @frankjohn8706

    @frankjohn8706

    Жыл бұрын

    @@machoguhameri7757 Hatahivyo yapasa kujulikana Hawa wachungaji maana biblia haijaacha neno.wapo wa mshahara.pia wapo wema ambao wana Mzigo na kondoo wa Bwana .pia wapo manabii na wakristo wa uongo nao wote huongea kwa utamu na utaalam wa maneno ktk kupangilia kama vile walio ktk kweli lkn YESU kasema kwa matendo yao mtawatambua sasa usifikiri matendo ni uzinzi au ulevi tu wapo wanga ambao pia sio walevi lkn yule anaelishika Neno la Bwana huyo ndie mwanafunzi wake.kuna watu wengi Leo wanajiita wakristo lakini ubatizo wa Yesu wanaukataa wanashikilia mabatizo ya dini za wazee wao.Roho wa kristo kwao ni upuuzi Wala kumpokea hawawezi

  • @lindajohansen9220

    @lindajohansen9220

    Жыл бұрын

    Halafu mtofautishe Mgogo na Hananja! Nadhani hata elimu ya duniani wana tofautiana! Angalia Mtoto aliyesoma Sunday school na yule ambae hajasoma Sunday school, wanatofauti kubwa sana! Vile vile hata hawa watumishi. Wapo walianza utumishi kwenye misingi mizuri, na wengine waliingia kwenye utumishi bila wito, walikuja kutafuta pesa! Nao usiwatukane ila waombee tu mpendwa.

  • @goodluckjoely1979
    @goodluckjoely19792 жыл бұрын

    Saaf mchungaji wa kufurahisha

  • @rubensamson8681
    @rubensamson86812 жыл бұрын

    🙏🙏🙏

  • @emmanuelmasele8734

    @emmanuelmasele8734

    2 жыл бұрын

    Hongera Mchungaji kwa somo zuri ,hakika nimevuna kitu.

  • @kalamesikalamesi5292

    @kalamesikalamesi5292

    2 жыл бұрын

    Ana kipaji na akili nyingi na uwezo mkubwa wa kuunda sentensi fupi lakini zenye hoja na maana mpana na ni mchochezi wa kuibua hoja nzito za kujenga majadiliano na anajua maisha na vitu vingi na hoja nzito na za haraka ambazo huwezi zielewa haraka sana muda ule ule anaongea

Келесі