SABABU ZA WANAWAKE KUWA KANISANI WENGI/ SHEPU NI SIKU 90 TU/ NGUVU ZA KIUME KWENYE NDOA
--
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24news@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24Tz
⚫️ Facebook: @dar24news
⚫️ Twitter: @Dar24News
#mchungaji #kanisa #taarifabilamipaka
Пікірлер: 65
Hiki kichwa cha uyu mzee ni noma
Mch.wetu huyu mzuri sana namkumbuka alivyokua msasani Lutheran kama mwinjilisit alivyohama nilimiss sana mafundisho yake...asante kwa social media imesaidia sana tunamsikia tena kwa uzur...Mungu akutunze mchj.
Sichoki kukusikiliza mchungaji your talented
Hakika mchungaji unanibariki saaana, Mungu akubariki.
Namkubari sana huyu mchungaji🔥🙏🏿🙏🏿
Daaaaaah! Huwa sichoki kumskiliza hananja aisee😂😂
Huyu mchungaji poa sana
Yaani huyu ndio mtumishi namkubali sana
Ahsante sana Pastor Mungu akubariki sanaaa
Thanks pasta
Hongera sana mchungaji elmu yako MWENYEWE madini tanzanite ya ukweli.umenena baba. Barikiwa uzeeni pia.
mchungaji mungu akupe maisha marefu ili tuendelee kujifuza mungu akubariki sana. asante
Mchungj yuko pw..may GOD 🙏 bless him..
Mpk mandazi road ya msasani anaijua😊 kiboko. Ila nashukuru anafundisha vizuri sana
Huo ndio utumishi wa ukweli mchungaji
Duuu mchungaji upo sawa Mimi nimuislamu lakini unanivutia sana ktk maubili y'ako mungu akubaliki sana
Mungu akubariki zaidi mtumishi akupe umri mrefu zaidi ili uokoe baadhi ya watu
Mchungaji yuko vinzur
Axante mtumixhi nimeondoka na point kadhaa
Isaya 22:22 Na ufunguo wa nyumba ya Daudi nitauweka begani mwake; yeye atafungua wala hapana atakayefunga; naye atafunga wala hapana atakayefungua.
Wonderful one frm God's general
Kazi nzuri muongozaji wa kipindi
Nakukubali sana mchungaji
Yuko vizurii sana
Wanawake kweli kabisa
Mchungaji Hananja ubarikiwe sana
Dah! Mchungaji anatema madini #tuachemigogorobinafsi
Kumbe wanawake wanapenda faraja
Mchungaj yuko vzur
Great pastor😍
Hakika Hananja lazima umsikilize kwa umakini maana Kichwa Hii sio ya ulimwengu hii
Hananja jmn, maneno unayatoaga wapi?
Genius
Daaah
Hubalikiwe mtumishi
Mch.kafanana king majuto
Good mtumishi
@francisrobert9652
2 жыл бұрын
big up mtumishi wa mungu.
Madini Sana hayo
Saafiiiiiiiii
🙏🙏🙏
Mtumishi unatema KITO kuliko Tanzanite safi.
.
🤣😅
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hala 10:21
Huyu Mchungaji ana maneno magumu sana
Nampenda sana mchungaj
Mtumishi nisaidie mimi, kunywa bia moja mbili ni dhambi?
@lamlameck9720
2 жыл бұрын
kwani ukinywa moja au mbili unahisi inakuwa juice?
@lindajohansen9220
2 жыл бұрын
@@lamlameck9720 nijibu tu vizuri mpendwa Ili nisimuudhi muumba! Na kama hujui na wewe kama mimi! Basi!
@sarahgaula2220
Жыл бұрын
Mimi sina hakika Sana mana biblia kuna maandiko hayaruhusu pombe na kuna maandiko yanaruhisu kama vile mpe pombe masikini asahau shida zake, na.mvinyo kuwa kama sehemu ya dawa . Ila kila mahala ambapo Mungu alitaka kupitisha kitu kitakatifu hakuruhusu pombe. Mfano mke WA Manoah alipopata mimba , etc na ujumbe wa kukatazwa ulitolewa na malaika.
@eliasadrian5026
Жыл бұрын
Pombe uzinzi uongo uasherati nidhambi sna mno my dear
@lindajohansen9220
Жыл бұрын
@@eliasadrian5026 sulenan aliyekuwa na wake na masuria kibao, ilikuwaje Mungu akambariki? Hakuwa mzinzi? Pls!
Mchungaji mgogo mpumbavu namba moja, uwezi kumwambia mwanamke mlikuwa amuachiki sababu mlikuwa akuna pa kwenda sasa mchungaji kweli yule
@machoguhameri7757
2 жыл бұрын
Simba mbona unatukana? Kanusha hoja kwa hoja siyo kwa tusi.Kutukana watu kunaonyesha ulivyopoteza maadili walivyokufunza wazazi wako.
@frankjohn8706
Жыл бұрын
@@machoguhameri7757 Hatahivyo yapasa kujulikana Hawa wachungaji maana biblia haijaacha neno.wapo wa mshahara.pia wapo wema ambao wana Mzigo na kondoo wa Bwana .pia wapo manabii na wakristo wa uongo nao wote huongea kwa utamu na utaalam wa maneno ktk kupangilia kama vile walio ktk kweli lkn YESU kasema kwa matendo yao mtawatambua sasa usifikiri matendo ni uzinzi au ulevi tu wapo wanga ambao pia sio walevi lkn yule anaelishika Neno la Bwana huyo ndie mwanafunzi wake.kuna watu wengi Leo wanajiita wakristo lakini ubatizo wa Yesu wanaukataa wanashikilia mabatizo ya dini za wazee wao.Roho wa kristo kwao ni upuuzi Wala kumpokea hawawezi
@lindajohansen9220
Жыл бұрын
Halafu mtofautishe Mgogo na Hananja! Nadhani hata elimu ya duniani wana tofautiana! Angalia Mtoto aliyesoma Sunday school na yule ambae hajasoma Sunday school, wanatofauti kubwa sana! Vile vile hata hawa watumishi. Wapo walianza utumishi kwenye misingi mizuri, na wengine waliingia kwenye utumishi bila wito, walikuja kutafuta pesa! Nao usiwatukane ila waombee tu mpendwa.
Saaf mchungaji wa kufurahisha
🙏🙏🙏
@emmanuelmasele8734
2 жыл бұрын
Hongera Mchungaji kwa somo zuri ,hakika nimevuna kitu.
@kalamesikalamesi5292
2 жыл бұрын
Ana kipaji na akili nyingi na uwezo mkubwa wa kuunda sentensi fupi lakini zenye hoja na maana mpana na ni mchochezi wa kuibua hoja nzito za kujenga majadiliano na anajua maisha na vitu vingi na hoja nzito na za haraka ambazo huwezi zielewa haraka sana muda ule ule anaongea