MCHUNGAJI AFICHUA SIRI ZA KITCHEN PARTY / ''AKIFARIKI TUNAOA"/ WANAFUNDWA HIVI

--
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24news@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24Tz
⚫️ Facebook: @dar24news
⚫️ Twitter: @Dar24News
#mchungaji #kitchenpart #taarifabilamipaka

Пікірлер: 87

  • @tingbatuuka7278
    @tingbatuuka72782 жыл бұрын

    Huyu baba ana LIFE EXPERIENCE kubwa sana na ana HEKIMA KUBWA NA PIA NI JASIRI NA MWENYE IMANI NA MKWELI. MUNGU MLINDE MABAYA YAMUEPUKE

  • @vickydan2869

    @vickydan2869

    2 жыл бұрын

    Amén

  • @sr.jovithavincent4119
    @sr.jovithavincent41192 жыл бұрын

    Namshukuru Sana Sana mchungaji Kwa mafundisho mazuri Mungu ambariki. Pia nawashukuru Dar media Kwa kuandaa kipindi hiki Mungu awabariki Sana

  • @blandinasilas
    @blandinasilas2 жыл бұрын

    Pastor hayo maarifa MUNGU aendelee kukuongezea umefanyika baraka sana

  • @barikibayyo9311
    @barikibayyo93112 жыл бұрын

    Mungu akupe miaka mingi pastor

  • @julihanjosephyjs6361
    @julihanjosephyjs63612 жыл бұрын

    Mtangazaji utacheka mpaka basi huyu mchungaji anaongea ukweli alafu achoshi Wala Hana makasiriko

  • @raujohn8238
    @raujohn82382 жыл бұрын

    Mchungaji upo vizuli sanaa mimi nina yakubali sana maubili yako 🙏🙏🙏

  • @isikesamike
    @isikesamike2 жыл бұрын

    Mtangazaji unauliza vizuri ila unakosea jambo moja - unamkatisha mchungaji kujieleza. Sad 😔

  • @AnthonyKenga-wv4pn
    @AnthonyKenga-wv4pn9 ай бұрын

    Mungu amupe maisha marefu azidi kuhudumia watu maana ushauri alio nao unasaidia sana katika maisha ya binadamu yeyote awaye mkristo na hata asiye kua mkristo pia

  • @superdosantoswanjoda6867
    @superdosantoswanjoda68672 жыл бұрын

    Soo much wisdom 😘 woow

  • @kapiskymorrice1
    @kapiskymorrice12 жыл бұрын

    Kipind kizuri sana big up sana

  • @kennyrogers4734
    @kennyrogers47342 жыл бұрын

    Nimeipenda iyo usimwambie mwanaume wako acha hasira kwann wewe usiache kinachomfanya akasilike?

  • @geraldbenjamin9302
    @geraldbenjamin93022 жыл бұрын

    Naomba nimwite Dr Hananja

  • @user-fb5pz7ix8g
    @user-fb5pz7ix8g Жыл бұрын

    Mwanzo sikukuelewa, ila kwa Sasa, sipndi siku iish bila kuceki video Yako mchungaji . .ubarikiw San. Mungu akup mwisho mwema

  • @shamssaid2892
    @shamssaid28922 жыл бұрын

    Nampenda huyo mtumish balaa🥰🥰

  • @augustinokomba4363
    @augustinokomba43632 жыл бұрын

    Fahari ya vijana ni nguvu zao, Uzuri wa WAZEE ni kichwa chenye MVI. Nimezipenda MVI za huyu mchungaji

  • @ooafrica3626
    @ooafrica36262 жыл бұрын

    Nakubali sana Dar 24 media

  • @jimmyjohn8184
    @jimmyjohn81842 жыл бұрын

    Asante sana mtumishi wa Mungu, ubarikiwe sana

  • @hellenmcharo6495
    @hellenmcharo64952 жыл бұрын

    Asante sana mtumishi wa Mungu

  • @ramadhaniluoga5491
    @ramadhaniluoga5491 Жыл бұрын

    Namkubari sana mtumishi wangu...asante mwenyezi akujalie

  • @soberkaleya5148
    @soberkaleya51482 жыл бұрын

    Zaburi 69: 6 Wanaokungoja Wewe wasiaibishwe, Kwa ajili yangu, Bwana, MUNGU wa majeshi. Wanaokutafuta Wewe wasifedheheshwe, Kwa ajili yangu, Ee Mungu wa Israeli. *TUKAE KATIKA HALI YA KUMNGOJA BWANA!! AIBU, FEDHEHA NA UOVU WOTE UONDOKANE NASI SASA!! TUMWONE MUNGU KWA USHINDI WA KISHINDO!! KWAKE YEYE NI HESHIMA, UTUKUFU, ENZI, NGUVU, UWEZA NA MAMLAKA, HALELUYA!!!*

  • @inocentlema5574
    @inocentlema55742 жыл бұрын

    Ana akili nyingi sana ndugu yangu uyu

  • @lucystanley5254
    @lucystanley52542 жыл бұрын

    Barikiwa pastor.

  • @kpetres2872
    @kpetres28722 жыл бұрын

    Huyu mchungaji ana madini🤣😂😂

  • @vickydan2869
    @vickydan28692 жыл бұрын

    Huyu baba anafundisha na kufurahisha

  • @emmanuelbenson6149
    @emmanuelbenson61492 жыл бұрын

    Mtangazaji uko sawa

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Жыл бұрын

    Hananja hongera na Mungu akubariki

  • @raphaelmwamakimbula9642
    @raphaelmwamakimbula96422 жыл бұрын

    Kweli kwa asilimia 100!

  • @adamumuki1242
    @adamumuki12422 жыл бұрын

    Hahahahahahah nakukubari sana hanannja

  • @maryschroeder521
    @maryschroeder5212 жыл бұрын

    His a amazing

  • @sarahjoshua7559
    @sarahjoshua7559 Жыл бұрын

    Mtangazaji unamkatisha sn Mchungaji jmnii

  • @geraldfelician8435
    @geraldfelician84352 жыл бұрын

    Mchungaji...uliupiga mwingi sana

  • @PatsonIkula
    @PatsonIkula Жыл бұрын

    Asante mchungaji

  • @eliyasumatek4574
    @eliyasumatek4574 Жыл бұрын

    Ubarikiwe Baba

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya82762 жыл бұрын

    Mchungaji anahudumu kiroho maisha. Hawastaafu, ilie wana nguvu bado wakiitwa kuhudumu wanaitkia with. Hata hapo ndicho anafanya mtandaoni.

  • @kavoomshana7289
    @kavoomshana72892 жыл бұрын

    Dah Leo nimepata SoMo na pia nimefurahishwa na mchungaji hapo studio..

  • @elizabethmwanje9684
    @elizabethmwanje96842 жыл бұрын

    Thank you so much 💓 I live you your right in everything your saying ❤

  • @johnzabron6953

    @johnzabron6953

    2 жыл бұрын

    llllllllllllllllllllllllllllll

  • @emmykisigelile4412

    @emmykisigelile4412

    Жыл бұрын

    )UCB iy&&&&&&&

  • @emmykisigelile4412

    @emmykisigelile4412

    Жыл бұрын

    :ÿ

  • @tingbatuuka7278
    @tingbatuuka72782 жыл бұрын

    UCHUMBA mtamu kuliko ndoa🤣🤣🤣mguu mwembamba 😂😂😂😂😂bonge la guu

  • @janechaula2870

    @janechaula2870

    6 ай бұрын

    😁

  • @bonygadiye1075
    @bonygadiye10752 жыл бұрын

    Unamnenepesha ng'ombe siku ya mnada..... unasoma siku ya mtihani

  • @kuchimillionaire6683
    @kuchimillionaire66832 жыл бұрын

    Mwenzangu unaimba naye kwaya

  • @avithtumainiisdorymaro9168

    @avithtumainiisdorymaro9168

    2 жыл бұрын

    Naomba hicho kitabu nakipata wp?

  • @ashachitemo7816
    @ashachitemo78162 жыл бұрын

    🤣🤣🤣viungo vingine haviokoki Tumia akili

  • @melvinnakhungu2504
    @melvinnakhungu25042 жыл бұрын

    Amen

  • @gospelministries-gm6915
    @gospelministries-gm6915 Жыл бұрын

    ,Natafuta number ya mchungaji huyu ni baraka sanaaaa kwetu

  • @fredrikndinda7553
    @fredrikndinda75532 жыл бұрын

    asante

  • @upendokilasi5110
    @upendokilasi51102 жыл бұрын

    Yes

  • @flavian-augustino.pangah
    @flavian-augustino.pangah2 жыл бұрын

    ...... tusijuane.......!!

  • @rubensamson8681
    @rubensamson86812 жыл бұрын

    Da huyu kaupiga mwingi sana

  • @pallumapesa3784
    @pallumapesa3784 Жыл бұрын

    Swala ni sanaa

  • @raphaelmwamakimbula9642
    @raphaelmwamakimbula96422 жыл бұрын

    ♥️🙏

  • @stephanmartine4470
    @stephanmartine44702 жыл бұрын

    Hahahaha mchungaji huyu bwana

  • @tingbatuuka7278
    @tingbatuuka72782 жыл бұрын

    Nilikuwepo wakati unaoa??? 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣

  • @kweka14l35

    @kweka14l35

    2 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂🏃🏃🏃🏃

  • @agripinamgema3656
    @agripinamgema36562 жыл бұрын

    Atakuuwa mbavu uyo mzee 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @jboytz2384
    @jboytz23842 жыл бұрын

    Love past

  • @godfreymalema6434

    @godfreymalema6434

    2 жыл бұрын

    Mchungaji Hananja ndy mchungajiii wng Bora kabisa kwangu

  • @Patrick.W.Pallangyo
    @Patrick.W.Pallangyo2 жыл бұрын

    Nimebarikiwa

  • @jamesjoseph6825
    @jamesjoseph68252 жыл бұрын

    Mchungaji wangu, KKKT

  • @jamesmailo1595
    @jamesmailo15952 жыл бұрын

    baba unasema kwer

  • @safiam5338
    @safiam53382 жыл бұрын

    Fateni watu kamahawa mpate busara mcungaji ahsante kwa macace yako lakini yabusara

  • @vanessastafford5120
    @vanessastafford5120 Жыл бұрын

    Sasa Huyu Ndio mchungaji

  • @monicamwazyunga4977
    @monicamwazyunga49772 жыл бұрын

    Kila la heri mchungaji

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith54792 жыл бұрын

    😂😂😂

  • @huseinbakari194
    @huseinbakari1942 жыл бұрын

    Kitabu icho tunakipataje

  • @Johnny-b4i
    @Johnny-b4i Жыл бұрын

    Hicho kitabu nakipataje ndgu

  • @nightlaurent5086
    @nightlaurent5086 Жыл бұрын

    na mwanaume akifa je ?

  • @japhetowoya9505
    @japhetowoya95052 жыл бұрын

    Huyu mzee pastor ni nowmer sn

  • @alfredmapile4341
    @alfredmapile43412 жыл бұрын

    Vunja bado mtangazaji

  • @allyally3054
    @allyally30542 жыл бұрын

    Mchungaji Kila la kher

  • @samsonmahelo3336
    @samsonmahelo33362 жыл бұрын

    Kiukweli nampenda san mtumish wa Mungu

  • @johnzabron6953
    @johnzabron69532 жыл бұрын

    lllll

  • @emilianasanga122
    @emilianasanga1222 жыл бұрын

    Nimecheka mpaka nalia

  • @tingbatuuka7278

    @tingbatuuka7278

    2 жыл бұрын

    🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣

  • @westmanmoses541

    @westmanmoses541

    2 жыл бұрын

    Et e

  • @brianshomi722
    @brianshomi7222 жыл бұрын

    Hakuna kitu hapo, comedian tupu

  • @elisantenyange2715

    @elisantenyange2715

    2 жыл бұрын

    Watu wagumu kama nyie hawataisha mmewekewa moto kuwa akiba yenu

  • @eyabdimaha3698

    @eyabdimaha3698

    2 жыл бұрын

    Itakua maneno yake yamekugusa sana mpaka umekasirika

  • @omarymhina6268

    @omarymhina6268

    2 жыл бұрын

    Chizi wew

  • @alexmlelwa249

    @alexmlelwa249

    2 жыл бұрын

    🙄🙄

  • @gastongowi672

    @gastongowi672

    2 жыл бұрын

    Inabidi achunguzwe hajaelewa kaona ni comedy

  • @ShawnBeatz
    @ShawnBeatz2 жыл бұрын

    Jaman nimecheka sana, hekima kubwa sana

  • @martinmahu68
    @martinmahu682 жыл бұрын

    😂😂

Келесі