MCHUNGAJI AFICHUA SIRI ZA KITCHEN PARTY / ''AKIFARIKI TUNAOA"/ WANAFUNDWA HIVI
--
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24news@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24Tz
⚫️ Facebook: @dar24news
⚫️ Twitter: @Dar24News
#mchungaji #kitchenpart #taarifabilamipaka
Пікірлер: 87
Huyu baba ana LIFE EXPERIENCE kubwa sana na ana HEKIMA KUBWA NA PIA NI JASIRI NA MWENYE IMANI NA MKWELI. MUNGU MLINDE MABAYA YAMUEPUKE
@vickydan2869
2 жыл бұрын
Amén
Namshukuru Sana Sana mchungaji Kwa mafundisho mazuri Mungu ambariki. Pia nawashukuru Dar media Kwa kuandaa kipindi hiki Mungu awabariki Sana
Pastor hayo maarifa MUNGU aendelee kukuongezea umefanyika baraka sana
Mungu akupe miaka mingi pastor
Mtangazaji utacheka mpaka basi huyu mchungaji anaongea ukweli alafu achoshi Wala Hana makasiriko
Mchungaji upo vizuli sanaa mimi nina yakubali sana maubili yako 🙏🙏🙏
Mtangazaji unauliza vizuri ila unakosea jambo moja - unamkatisha mchungaji kujieleza. Sad 😔
Mungu amupe maisha marefu azidi kuhudumia watu maana ushauri alio nao unasaidia sana katika maisha ya binadamu yeyote awaye mkristo na hata asiye kua mkristo pia
Soo much wisdom 😘 woow
Kipind kizuri sana big up sana
Nimeipenda iyo usimwambie mwanaume wako acha hasira kwann wewe usiache kinachomfanya akasilike?
Naomba nimwite Dr Hananja
Mwanzo sikukuelewa, ila kwa Sasa, sipndi siku iish bila kuceki video Yako mchungaji . .ubarikiw San. Mungu akup mwisho mwema
Nampenda huyo mtumish balaa🥰🥰
Fahari ya vijana ni nguvu zao, Uzuri wa WAZEE ni kichwa chenye MVI. Nimezipenda MVI za huyu mchungaji
Nakubali sana Dar 24 media
Asante sana mtumishi wa Mungu, ubarikiwe sana
Asante sana mtumishi wa Mungu
Namkubari sana mtumishi wangu...asante mwenyezi akujalie
Zaburi 69: 6 Wanaokungoja Wewe wasiaibishwe, Kwa ajili yangu, Bwana, MUNGU wa majeshi. Wanaokutafuta Wewe wasifedheheshwe, Kwa ajili yangu, Ee Mungu wa Israeli. *TUKAE KATIKA HALI YA KUMNGOJA BWANA!! AIBU, FEDHEHA NA UOVU WOTE UONDOKANE NASI SASA!! TUMWONE MUNGU KWA USHINDI WA KISHINDO!! KWAKE YEYE NI HESHIMA, UTUKUFU, ENZI, NGUVU, UWEZA NA MAMLAKA, HALELUYA!!!*
Ana akili nyingi sana ndugu yangu uyu
Barikiwa pastor.
Huyu mchungaji ana madini🤣😂😂
Huyu baba anafundisha na kufurahisha
Mtangazaji uko sawa
Hananja hongera na Mungu akubariki
Kweli kwa asilimia 100!
Hahahahahahah nakukubari sana hanannja
His a amazing
Mtangazaji unamkatisha sn Mchungaji jmnii
Mchungaji...uliupiga mwingi sana
Asante mchungaji
Ubarikiwe Baba
Mchungaji anahudumu kiroho maisha. Hawastaafu, ilie wana nguvu bado wakiitwa kuhudumu wanaitkia with. Hata hapo ndicho anafanya mtandaoni.
Dah Leo nimepata SoMo na pia nimefurahishwa na mchungaji hapo studio..
Thank you so much 💓 I live you your right in everything your saying ❤
@johnzabron6953
2 жыл бұрын
llllllllllllllllllllllllllllll
@emmykisigelile4412
Жыл бұрын
)UCB iy&&&&&&&
@emmykisigelile4412
Жыл бұрын
:ÿ
UCHUMBA mtamu kuliko ndoa🤣🤣🤣mguu mwembamba 😂😂😂😂😂bonge la guu
@janechaula2870
6 ай бұрын
😁
Unamnenepesha ng'ombe siku ya mnada..... unasoma siku ya mtihani
Mwenzangu unaimba naye kwaya
@avithtumainiisdorymaro9168
2 жыл бұрын
Naomba hicho kitabu nakipata wp?
🤣🤣🤣viungo vingine haviokoki Tumia akili
Amen
,Natafuta number ya mchungaji huyu ni baraka sanaaaa kwetu
asante
Yes
...... tusijuane.......!!
Da huyu kaupiga mwingi sana
Swala ni sanaa
♥️🙏
Hahahaha mchungaji huyu bwana
Nilikuwepo wakati unaoa??? 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
@kweka14l35
2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂🏃🏃🏃🏃
Atakuuwa mbavu uyo mzee 🤣🤣🤣🤣🤣
Love past
@godfreymalema6434
2 жыл бұрын
Mchungaji Hananja ndy mchungajiii wng Bora kabisa kwangu
Nimebarikiwa
Mchungaji wangu, KKKT
baba unasema kwer
Fateni watu kamahawa mpate busara mcungaji ahsante kwa macace yako lakini yabusara
Sasa Huyu Ndio mchungaji
Kila la heri mchungaji
😂😂😂
Kitabu icho tunakipataje
Hicho kitabu nakipataje ndgu
na mwanaume akifa je ?
Huyu mzee pastor ni nowmer sn
Vunja bado mtangazaji
Mchungaji Kila la kher
Kiukweli nampenda san mtumish wa Mungu
lllll
Nimecheka mpaka nalia
@tingbatuuka7278
2 жыл бұрын
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
@westmanmoses541
2 жыл бұрын
Et e
Hakuna kitu hapo, comedian tupu
@elisantenyange2715
2 жыл бұрын
Watu wagumu kama nyie hawataisha mmewekewa moto kuwa akiba yenu
@eyabdimaha3698
2 жыл бұрын
Itakua maneno yake yamekugusa sana mpaka umekasirika
@omarymhina6268
2 жыл бұрын
Chizi wew
@alexmlelwa249
2 жыл бұрын
🙄🙄
@gastongowi672
2 жыл бұрын
Inabidi achunguzwe hajaelewa kaona ni comedy
Jaman nimecheka sana, hekima kubwa sana
😂😂