MGOMO: WAFANYABIASHARA WAFUNGA MADUKA MWANZA

Wafanyabiashara Jijini Mwanza wameyafunga maduka yao kwa kile wanachoilalamikia masuala mbalimbali yakiwemo ya kikodi.
#ITVDigital #ITVUpdates #ITVTanzania.
#Follow @radioonetanzania

Пікірлер: 8

  • @vanessastafford6426
    @vanessastafford642617 күн бұрын

    Mifumo ya Kodi ya Tanzania inamgandamiza Sana mfanya biashara. Gharama na Kodi ni nyingi sana

  • @ushindiushindi5749
    @ushindiushindi574916 күн бұрын

    Mwanza hiyo

  • @lugelosanga5798
    @lugelosanga579816 күн бұрын

    Mama kazi iendeleeeee

  • @yusuphaman3449
    @yusuphaman344917 күн бұрын

    Mwanza Jiji

  • @Madeson10
    @Madeson1017 күн бұрын

    Gege

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw16 күн бұрын

    TRA iondolewe serikali iweke mfumo ambao walipa kodi tutalipa na pesa itaingia moja kwa moja hazina sio kupitia kwenye mikono ya vishoka WaTRA

  • @user-wl8fg8ne1f
    @user-wl8fg8ne1f17 күн бұрын

    Hapo ni mwanza au kariakoo 😁😁😁🫡

  • @JumaaHussein-ut6fc

    @JumaaHussein-ut6fc

    17 күн бұрын

    Mwanza hiyo nyerere road

Келесі