Wafanyabiashara Jijini Mwanza wameyafunga maduka yao kwa kile wanachoilalamikia masuala mbalimbali yakiwemo ya kikodi. #ITVDigital #ITVUpdates #ITVTanzania. #Follow @radioonetanzania
Жүктеу.....
Пікірлер: 8
@vanessastafford642617 күн бұрын
Mifumo ya Kodi ya Tanzania inamgandamiza Sana mfanya biashara. Gharama na Kodi ni nyingi sana
@ushindiushindi574916 күн бұрын
Mwanza hiyo
@lugelosanga579816 күн бұрын
Mama kazi iendeleeeee
@yusuphaman344917 күн бұрын
Mwanza Jiji
@Madeson1017 күн бұрын
Gege
@MasterOil-qm6vw16 күн бұрын
TRA iondolewe serikali iweke mfumo ambao walipa kodi tutalipa na pesa itaingia moja kwa moja hazina sio kupitia kwenye mikono ya vishoka WaTRA
Пікірлер: 8
Mifumo ya Kodi ya Tanzania inamgandamiza Sana mfanya biashara. Gharama na Kodi ni nyingi sana
Mwanza hiyo
Mama kazi iendeleeeee
Mwanza Jiji
Gege
TRA iondolewe serikali iweke mfumo ambao walipa kodi tutalipa na pesa itaingia moja kwa moja hazina sio kupitia kwenye mikono ya vishoka WaTRA
Hapo ni mwanza au kariakoo 😁😁😁🫡
@JumaaHussein-ut6fc
17 күн бұрын
Mwanza hiyo nyerere road