No video

#live

#live VURUGU ZA CHADEMA MUDA HUU WAMEFUNGA BARABARA KAMA KENYA

Пікірлер: 31

  • @JamesMatondo-fk4bh
    @JamesMatondo-fk4bh22 күн бұрын

    Chadema itashinda kwa kishindo

  • @JamesMatondo-fk4bh
    @JamesMatondo-fk4bh22 күн бұрын

    Ww mabadiliko ni lazima kwan we we ufunga mkataba na ccm acha kufeli maisha ni siasa et majukum

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu22 күн бұрын

    Sisi ambao hatutegemei siasa ,tunapenda amani ili tupate muda wa kwenda kubangaiza ili watoto wetu wale ,na hawa Wakipewa ubunge wananyamaza kimya na gari watatumia kama viongozi wengine ,mbona hatujaona wabunge wa chadema au cuf wakigoma KUCHUKUA mishahara mikubwa au posho za bungeni ???

  • @JamesMatondo-fk4bh
    @JamesMatondo-fk4bh22 күн бұрын

    Watu ni WWE unayeweka bando na kusikiliza syo mpakauendeko

  • @shabanabdalatupa
    @shabanabdalatupa21 күн бұрын

    Tanguliza ndugu na wanao mbele kwenye vurugu

  • @user-bz5ti6op6z
    @user-bz5ti6op6z22 күн бұрын

    Sera zingine sizielewagi vizuri

  • @IdrisaTuppa
    @IdrisaTuppa20 күн бұрын

    Viti Vya Chadema Vinarudi Tena. Bungeni.😱

  • @mussakilo4916
    @mussakilo491622 күн бұрын

    Dah jombaa amani kwanza we lete sera tupime habari ya mspanga tena?hapo ndipo mnapo feli mmmmm chadema yangu

  • @user-zm7kk1tr5l
    @user-zm7kk1tr5l22 күн бұрын

    Kushinda lazima tushende tunaima na chadema 😂

  • @JamesMatondo-fk4bh
    @JamesMatondo-fk4bh22 күн бұрын

    Mpunbaf ni ww ambaye hujui maana ya siasa

  • @sospeterodhiambo6869
    @sospeterodhiambo686921 күн бұрын

    Hakika tuna wapi ambao hata ukiwapeleka chekechea bado watatoka kapa CCM imechokwa bado wanawategemea watu ambao hawajielewi na elimu kwao ni sifuri lkn itafika muda watajielewa tu Akija lala njaa cku mbili mwenye atafuata chadema wako wapi

  • @theophilyedward2448
    @theophilyedward244821 күн бұрын

    Haki anzeni ndani ya chadema kwanza mwekeni mwenyekiti mpya wa chama aachie mboweee kwanza

  • @linetnekesa
    @linetnekesa22 күн бұрын

    😂😂😂Kenya waliasa ivyo tia biti

  • @AlphaxardMRusweka-jr1wi

    @AlphaxardMRusweka-jr1wi

    22 күн бұрын

    Kwani wewe unachoogopa nini ?

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku22 күн бұрын

    Ushindi wa haki si vinginevyo

  • @dizzosukariyaoSukariyao
    @dizzosukariyaoSukariyao22 күн бұрын

    Chadema inaongea ukweli

  • @nyanjachannel5517
    @nyanjachannel551722 күн бұрын

    Mbona unaongea mwenyewe watu hamna au unahutubia wapita Njia

  • @mbwanahasan2971

    @mbwanahasan2971

    22 күн бұрын

    Tayari hata wewe ushasikiliza unatisha chawa mkubwa wewe

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya856122 күн бұрын

    Pikipiki zinawauma na wewe towa pikipiki .Fedha zako ulichangia wapi . kusema nirahisi sana .CCM hamtaiweza hata mngepayuka kama vichaa

  • @raymondnlelwa427

    @raymondnlelwa427

    22 күн бұрын

    Hawataiweza kwenye nini? Mbona hauko wazi… kwani ccm si watu? Acha atoe hoj zake atamaliza tu na ujumbe unawafikia aliowalenga. Hongera rafiki.

  • @BIGCHENDREADLOCKS

    @BIGCHENDREADLOCKS

    22 күн бұрын

    Subili uone kweny uchaguz utakubali

  • @JosephMagige-lf9ns

    @JosephMagige-lf9ns

    22 күн бұрын

    @@clemencemkondya8561 hakika nimiongoni mwawalio laaniwa na wew ni mmoja wao.Ama kweli Africa is a black continent

  • @dizzosukariyaoSukariyao

    @dizzosukariyaoSukariyao

    22 күн бұрын

    ​@@BIGCHENDREADLOCKS CCM imefka mwisho mwanza nzima hatuitaki

  • @binsherbal6089

    @binsherbal6089

    22 күн бұрын

    Clement Mkondya unalipwa kiasi gani kua Chawa?

  • @cosmaskulwa3297
    @cosmaskulwa329722 күн бұрын

    WW MPUMBAFU HAYO MANENO PELEKA KWA FAMILIA YAKO

  • @JosephMagige-lf9ns

    @JosephMagige-lf9ns

    22 күн бұрын

    Wew usiye mpumbavu mbona kama unadaliliza uk

  • @ezekielkiduge8730

    @ezekielkiduge8730

    22 күн бұрын

    Uchawa na uoga ndio umaskini wako

  • @evelynmwaimu-vd9jo

    @evelynmwaimu-vd9jo

    22 күн бұрын

    Chawa

  • @AlphaxardMRusweka-jr1wi

    @AlphaxardMRusweka-jr1wi

    22 күн бұрын

    ​@@JosephMagige-lf9nshuyu jamaa ni wa UK,,namshangaa sana,badala ya kuunga na watu wakwao,,yeye sijui anaungana na watu wapi hao,mtu kwao acha ushamba

Келесі