Maduka yafungwa Kariakoo , mgomo watajwa

Amos Makala changamoto haikimbiwi hivi kwa mfano mkisema mfunge maduka hafi Ijumaa halafu suluhisho haijapatikana mtaendelea kufunga maduka
Ndiyo maana nataka tupate suluhisho kwa sababu najua watu wamechoka kuvamiwa

Пікірлер: 19

  • @bongo39
    @bongo39 Жыл бұрын

    Hawa tra ni wezi no 1 duniani dhulma waonevu maisha wanayoishi wao ni ya hali ya juu sana magari,majumba,mavazi,mashule wanayosoma watoto wao ,matumizi yao, kuongea kwao wanajinata fulani hivi kejeli hata majibu yao kwa kweli yote ni ya hali ya juu sana na hawa watu wanatubana wananchi ili tulipie maovu yao ya pesa walizochukua wao na huduma yoyote utakayo itaka kwao basi wao wanahitaji cha juu mama hawa watu wanataka kukuharibia cv yako na hili jambo kama hamjakaa mezani mkalimaliza basi ni tanzania nzima mgono utaendelea tra wacheni mabavu yenu ns kiburi chenu kwa pesa za walipa kodi fanyeni vyombo vya usalama watembeleeni kwa kushtukiza wafanyakazi wa tra muone maisha yao ndio mtajua kweli hawa na wa liwango cha juu unaweza jiuliza hawa ni wafanyabiashara au ni matajiri wa mererani mama fungua macho hawa sio

  • @pendolinapendo5729
    @pendolinapendo5729 Жыл бұрын

    Kodi zinapangwa na waooo unafika kukadiliwa wanasema maelekezo haya hapaa,inaumiza sana na Biashara zinafungwaa sanaa tuu

  • @felixmkagila6048
    @felixmkagila6048 Жыл бұрын

    Dah! Aisee viongoz wa hii nchi kwel hawapo siriaz wao wanajua tu kutumia pesa lakn sio kutafuta pesa lango kuu la uchumi limefungwa viongoz hawana wasi wasi wanasema mtusubir tutoke kwenye msiba wakat kariakoo ikifungwa siku mbil au tatu mfumko wa bei utakao tokea nchi nzma hawataamin mikoa yote inategemea bidhaa kutoka kariakoo

  • @hamidudigogo5863
    @hamidudigogo5863 Жыл бұрын

    TANZANIA nchi yangu lakini ina mambo ya ajabu sana jinsi tunavyo ongozwa na viongozi wetu

  • @fahminasser3855
    @fahminasser3855 Жыл бұрын

    TRA ni tatizo kubwa sana la kupoteza mapato ya serekali sbb watumishi wa TRA ndio wanaopata pesa nyingi kuliko hata serekali ni wezi wezi wezi hatariiiiii

  • @gh7naa
    @gh7naa Жыл бұрын

    Yani hawa tra jamaa hawa ni hatarii mana wamechukulia mtoto wa sister wangu mvulana mdogo ananza maisha. Dukani vijora vyake sio barabarani tena usiku aliweka kwa ndani walivibeba vyote mali ya milioni 3 anambiwa fain milioni tatu bila kosa mmungu atawaonyesha dhuluma mbayaa watu wengine wanacha biashara tz kwa ajili ya manyayaso yao watakavyo wanafanya bora mtu asafiri kwingine

  • @dicksonmagesa7602
    @dicksonmagesa7602 Жыл бұрын

    Msifungue kabisa ache kutukamata

  • @pendolinapendo5729
    @pendolinapendo5729 Жыл бұрын

    Sioo Dar tu hata mwanzaa

  • @fahadfaraj6474

    @fahadfaraj6474

    Жыл бұрын

    Congo drc, commoro , zambia na Malawi pia

  • @lailalaila8206
    @lailalaila8206 Жыл бұрын

    nch ya hovyo hii hatuna serekari hapo hapo wachumia matumbo yao hasiojar maumivu ya wananch

  • @wilfredmmbando689
    @wilfredmmbando689 Жыл бұрын

    😊

  • @kefamwakipesile275
    @kefamwakipesile275 Жыл бұрын

    Hapa tatizo sio TRA tatizo ni mwigulu na rais anayedanganyika kirahis

  • @bongo39
    @bongo39 Жыл бұрын

    Kama hili swala kulipia kodi ya majengo kuwa litaingia moja kwa moja kwenye luku ni vizuri sana lakini nimekwenda tra kuta fremu ya duka moja ndio kodi iingie hapo wakanipa vikwazo kibao mpaka nkaona kichwa kitapasuka sasa wasitafute njia sahihi ili tuweke sawa kodi ilipwe nikaondoka eti juzi wamefunga luku 2 na kil luku inadaiwa 1,80,000 nyumba 1 ila kodi unalipia mara 2 nkajiuliza inakuaje hati 1 unalipia kodi mara 2 wakati sina deni la nyuma na mpaka sasa umekuwa ngumu kuweka katika fremu 1

  • @ShaaCollection-pv5sn
    @ShaaCollection-pv5sn Жыл бұрын

    Tra wezi tu hao

  • @komumbughuni8301
    @komumbughuni8301 Жыл бұрын

    Nadhani ni nchi nzima, hivi kodi ya turnover ya vishilingi 100m inaweza kuwa ml 30? Ina maana hiyo hakukuwa na manunuzi wala kazi, alafu inapigwa tena hesabu unaambiwa 1m, wakati umeshapata presha hamu ya Biashara huna , chuki imekujaa, hofu, haya mambo yataisha lini, wanaoganya hivyo hawachukuliwi hatua yoyote, mh rais anasema vingine na huku vingine, tunajuta kujiingiza ktk biashara😮

  • @odennkulikwa
    @odennkulikwa Жыл бұрын

    🥺🥺🥺

  • @saluten5926
    @saluten5926 Жыл бұрын

    Kwisha

  • @mungunimwemakilawakati1299
    @mungunimwemakilawakati1299 Жыл бұрын

    SHIDA NI VIONGOZI! TOZO ZIMEZIDI SANA! TRA NI TAASISI YA SERIKALI, INAPEWA MAELEKEZO NA SERIKALI!

  • @JeremiahMushi-ik3vk
    @JeremiahMushi-ik3vk Жыл бұрын

    Kumbe ni kama mkuu wa mkoa?

Келесі