Maduka yafungwa Kariakoo , mgomo watajwa
Amos Makala changamoto haikimbiwi hivi kwa mfano mkisema mfunge maduka hafi Ijumaa halafu suluhisho haijapatikana mtaendelea kufunga maduka
Ndiyo maana nataka tupate suluhisho kwa sababu najua watu wamechoka kuvamiwa
Пікірлер: 19
Hawa tra ni wezi no 1 duniani dhulma waonevu maisha wanayoishi wao ni ya hali ya juu sana magari,majumba,mavazi,mashule wanayosoma watoto wao ,matumizi yao, kuongea kwao wanajinata fulani hivi kejeli hata majibu yao kwa kweli yote ni ya hali ya juu sana na hawa watu wanatubana wananchi ili tulipie maovu yao ya pesa walizochukua wao na huduma yoyote utakayo itaka kwao basi wao wanahitaji cha juu mama hawa watu wanataka kukuharibia cv yako na hili jambo kama hamjakaa mezani mkalimaliza basi ni tanzania nzima mgono utaendelea tra wacheni mabavu yenu ns kiburi chenu kwa pesa za walipa kodi fanyeni vyombo vya usalama watembeleeni kwa kushtukiza wafanyakazi wa tra muone maisha yao ndio mtajua kweli hawa na wa liwango cha juu unaweza jiuliza hawa ni wafanyabiashara au ni matajiri wa mererani mama fungua macho hawa sio
Kodi zinapangwa na waooo unafika kukadiliwa wanasema maelekezo haya hapaa,inaumiza sana na Biashara zinafungwaa sanaa tuu
Dah! Aisee viongoz wa hii nchi kwel hawapo siriaz wao wanajua tu kutumia pesa lakn sio kutafuta pesa lango kuu la uchumi limefungwa viongoz hawana wasi wasi wanasema mtusubir tutoke kwenye msiba wakat kariakoo ikifungwa siku mbil au tatu mfumko wa bei utakao tokea nchi nzma hawataamin mikoa yote inategemea bidhaa kutoka kariakoo
TANZANIA nchi yangu lakini ina mambo ya ajabu sana jinsi tunavyo ongozwa na viongozi wetu
TRA ni tatizo kubwa sana la kupoteza mapato ya serekali sbb watumishi wa TRA ndio wanaopata pesa nyingi kuliko hata serekali ni wezi wezi wezi hatariiiiii
Yani hawa tra jamaa hawa ni hatarii mana wamechukulia mtoto wa sister wangu mvulana mdogo ananza maisha. Dukani vijora vyake sio barabarani tena usiku aliweka kwa ndani walivibeba vyote mali ya milioni 3 anambiwa fain milioni tatu bila kosa mmungu atawaonyesha dhuluma mbayaa watu wengine wanacha biashara tz kwa ajili ya manyayaso yao watakavyo wanafanya bora mtu asafiri kwingine
Msifungue kabisa ache kutukamata
Sioo Dar tu hata mwanzaa
@fahadfaraj6474
Жыл бұрын
Congo drc, commoro , zambia na Malawi pia
nch ya hovyo hii hatuna serekari hapo hapo wachumia matumbo yao hasiojar maumivu ya wananch
😊
Hapa tatizo sio TRA tatizo ni mwigulu na rais anayedanganyika kirahis
Kama hili swala kulipia kodi ya majengo kuwa litaingia moja kwa moja kwenye luku ni vizuri sana lakini nimekwenda tra kuta fremu ya duka moja ndio kodi iingie hapo wakanipa vikwazo kibao mpaka nkaona kichwa kitapasuka sasa wasitafute njia sahihi ili tuweke sawa kodi ilipwe nikaondoka eti juzi wamefunga luku 2 na kil luku inadaiwa 1,80,000 nyumba 1 ila kodi unalipia mara 2 nkajiuliza inakuaje hati 1 unalipia kodi mara 2 wakati sina deni la nyuma na mpaka sasa umekuwa ngumu kuweka katika fremu 1
Tra wezi tu hao
Nadhani ni nchi nzima, hivi kodi ya turnover ya vishilingi 100m inaweza kuwa ml 30? Ina maana hiyo hakukuwa na manunuzi wala kazi, alafu inapigwa tena hesabu unaambiwa 1m, wakati umeshapata presha hamu ya Biashara huna , chuki imekujaa, hofu, haya mambo yataisha lini, wanaoganya hivyo hawachukuliwi hatua yoyote, mh rais anasema vingine na huku vingine, tunajuta kujiingiza ktk biashara😮
🥺🥺🥺
Kwisha
SHIDA NI VIONGOZI! TOZO ZIMEZIDI SANA! TRA NI TAASISI YA SERIKALI, INAPEWA MAELEKEZO NA SERIKALI!
Kumbe ni kama mkuu wa mkoa?