Mganga wa Kienyeji Aua Mtoto wa Miaka Mitano Kisa Wivu wa Wapenzi

Sophia Peter Thadei 27 mzaliwa wa mwitikira kingongoji cha Mgumwa wilaya ya Bahi mkoani Dodoma amempoteza mtoto wake Gooluck Mathias wa umri wa miaka mitano kwa kunyongwa na mume wake ambaye ni baba wa kambo wa mtoto huyo.
Baba huyo ambaye ni mganga wa kienyeji na mwenye umri wa miaka 44 anayefahamika kwa jina la Stephano Mabula maarufu kama Mungo alitekeleza mauaji hayo yaliyotokana na wivu wa mapenzi kwa kumtuhumu kuwa anatembea na baba mwenye nyumba.
Fuatilia mkasa mzima kufahamu undani wa taarifa hii.
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.

Пікірлер: 1

  • @rausathsued8852
    @rausathsued885215 күн бұрын

    Kosa la mtoto ni lipi sasa jamani😞😞😞😞, Yaa Allah tunusuru

Келесі