MFANYABIASHARA MOSHI AGAWA MITAJI YA MIL 10 KWA MARAFIKI ZAKE
Фильм және анимация
MFANYABIASHARA Izack Ngowi kupitia kampuni yake ya ZAC Enterprises ametoa msaada wa bidhaa mbalimbali kwa lengo la kuwaongezea mitaji wafanyabiashara wadogo maarufu kama Wamachinga 50 wa mjini Moshi aliokuwa nao wakati wakianza biashara pamoja.
Izack ametoa msaada huo mbele ya Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro ikiwa ni sehemu ya kampuni yake kurejesha sehemu ya faida kwa jamii hususani wafanyabiashara hao ambao wamepatiwa vifaa vya rthamani ya sh Mil 10.
Пікірлер: 1
Siwezi ona laha Hata niwe nashida sababu umeita vyombo vya habali kila ajue kama umenisaidia 😡