Kwa Habari za Siasa ,Uchumi, Uhifadhi ,Mazingira, Maji, Miundombinu,Utalii, Uvuvi,Kilimo,Viwanda, Burudani Michezo na kadhalika , TZA MEDIA HUB ndilo jukumu tulilo nalo kwako kuhakikisha unapata Habari na Makala mbalimbali zikiwa ziemfanyiwa kazi kwa umakini mkubwa na uhakika kutoka kwa Wanahabari Waliobobea katika tasnia ya Habari hapa nchini na nje ya nchi..
Пікірлер
Kama anaongea ukweli aonyeshe alipokua akiongea na wananchi
Alikuja kwa sherehe hana lolote
Malikia wa ???!;;;::meno
😭😭
😢😢😮
Siwezi ona laha Hata niwe nashida sababu umeita vyombo vya habali kila ajue kama umenisaidia 😡
Mbele yako nyuma yetu pumzika kwaaman
pumzika kwa amani
pumzika kwa amani
Poleni saana familia
R.i.p
Arikamatwa na unga
Hapo anakula dona kama lote na maharage mabichi yasio iva😂😂jmn maisha Alhamdulillah
Pumzika salama Shemeji yangu Alphonce 😭😭
😂😂pumzika salaama kaka yangu alphonce
Pumzika kwa Aman kaka yangu
Hao ndo wachaga
Pole sana
Kumbuka mwendo kasi unaua, madereva tafadhali jalini maisha yenu na yamnaowaendesha kumbuka kuna familia mnaiacha pamoja na wazazi kwa sababu tu ya haraka ambayo haikufikishi mahali unakoelekea Inabidi watu tukubali ukweli
Tanesco Iringa 💪💪⚽️
Apumzike kwa amani
Yake mbele yantu nyuma Allah akuondolee Adhabu ya kabur
Inauma sana alazwe pema
Apumzike kwa amani
Mwendo kasi! Mwendo kasi madereva mnamaliza watu mambo ya kuwa na haraka halafu usifike pale unapopawahi, si bora uchelewe kuliko kuishia njiani
Pumzika kwa amani baba yetu kpenzi 😭😭😭😭😭
Pumzika kwa amani baba yetu kpenzi 😭😭😭😭😭
Ntakukumbuka
Rip RAS wangu
Poleni Mbozi
Duuuuuuuu😢😢😢😢
Jamani waziri umiii Mungu akubariki mamaa
Buriani tumepoteza mtu ase
Anahutbu asubh anakufa badae shida sana dunia
Huyu jamaa ni usalama, au kigogo? Mtu mkubwa sana huyu
Poleni sn ndg zng , Mungu azidi kuwafariji, ni ngumu kuamini lkn ndio hivo
Poleni Sana wanafamilia
Poleniii mbeya yetu 😭😭😭😭
Safi
Kazi nzuri RC
Nyinyi enteni Acha mambo mengi m naitaji pesa acheni kuhusa hichi zio yenu ya mungu hata wambyo wanakuja kusema ety Kwa yari hamuna kitu kama hiyo 😮😮😮😮😮😮😮
Ujenzi ulivyo mgumu jamani
Some clips are 2016
ni mwendo wa jet baba mpaka kielewekeee
Umakini katika kila kazi unatakiwa haswaa usalama wako kwanza maana uhai hauuzwi ,pia tuangalie unarisk uhai wako kwa sh ngapi
Mama mwenyewe Yuko wapi
Pole San, ndg zetu wa moxh
Inna Lilah wainna ilayhi rajiun
Ya Allah 😢😢
Jamani mnaokoa nini si mngesubiri mvua ziishe hivyo vikuta vimebaki nusu nusu vingeweza kuwadondokea mnahatarisha maisha mmeshasalimika mngesubiri tu
Kweli voo
Dunia imechafuka jamani sio kwa balaa hili la mafuriko mungu tusimamie jamani