TZA MEDIA HUB

TZA MEDIA HUB

Kwa Habari za Siasa ,Uchumi, Uhifadhi ,Mazingira, Maji, Miundombinu,Utalii, Uvuvi,Kilimo,Viwanda, Burudani Michezo na kadhalika , TZA MEDIA HUB ndilo jukumu tulilo nalo kwako kuhakikisha unapata Habari na Makala mbalimbali zikiwa ziemfanyiwa kazi kwa umakini mkubwa na uhakika kutoka kwa Wanahabari Waliobobea katika tasnia ya Habari hapa nchini na nje ya nchi..

Пікірлер

  • @sirialemmy37
    @sirialemmy374 күн бұрын

    Kama anaongea ukweli aonyeshe alipokua akiongea na wananchi

  • @sirialemmy37
    @sirialemmy374 күн бұрын

    Alikuja kwa sherehe hana lolote

  • @LeodegardRutakyamirwa-hg9hu
    @LeodegardRutakyamirwa-hg9hu6 күн бұрын

    Malikia wa ???!;;;::meno

  • @massagamrao4729
    @massagamrao47299 күн бұрын

    😭😭

  • @SirongasirongasirongaSirongasi
    @SirongasirongasirongaSirongasi15 күн бұрын

    😢😢😮

  • @user-nb6yh2bn9y
    @user-nb6yh2bn9y15 күн бұрын

    Siwezi ona laha Hata niwe nashida sababu umeita vyombo vya habali kila ajue kama umenisaidia 😡

  • @BraysonNkya
    @BraysonNkya18 күн бұрын

    Mbele yako nyuma yetu pumzika kwaaman

  • @PiliMakulo
    @PiliMakulo20 күн бұрын

    pumzika kwa amani

  • @PiliMakulo
    @PiliMakulo20 күн бұрын

    pumzika kwa amani

  • @fortunatahulilo8411
    @fortunatahulilo841120 күн бұрын

    Poleni saana familia

  • @gladnesswazir-zz9lk
    @gladnesswazir-zz9lk23 күн бұрын

    R.i.p

  • @AmiriAsifu-dc5ds
    @AmiriAsifu-dc5ds26 күн бұрын

    Arikamatwa na unga

  • @sharifasharif3978
    @sharifasharif397826 күн бұрын

    Hapo anakula dona kama lote na maharage mabichi yasio iva😂😂jmn maisha Alhamdulillah

  • @NeemaMbise-ex1tx
    @NeemaMbise-ex1tx26 күн бұрын

    Pumzika salama Shemeji yangu Alphonce 😭😭

  • @johnsonmwakonya9989
    @johnsonmwakonya998927 күн бұрын

    😂😂pumzika salaama kaka yangu alphonce

  • @RestMkinga-wg1wr
    @RestMkinga-wg1wr27 күн бұрын

    Pumzika kwa Aman kaka yangu

  • @MandoliiMoshi
    @MandoliiMoshi28 күн бұрын

    Hao ndo wachaga

  • @asteriashios1852
    @asteriashios185228 күн бұрын

    Pole sana

  • @edsonnelson4464
    @edsonnelson446428 күн бұрын

    Kumbuka mwendo kasi unaua, madereva tafadhali jalini maisha yenu na yamnaowaendesha kumbuka kuna familia mnaiacha pamoja na wazazi kwa sababu tu ya haraka ambayo haikufikishi mahali unakoelekea Inabidi watu tukubali ukweli

  • @prospermlangi8100
    @prospermlangi810028 күн бұрын

    Tanesco Iringa 💪💪⚽️

  • @BeatriceMkunde
    @BeatriceMkunde28 күн бұрын

    Apumzike kwa amani

  • @mariam-pu4kg
    @mariam-pu4kg28 күн бұрын

    Yake mbele yantu nyuma Allah akuondolee Adhabu ya kabur

  • @johnsonmwakonya9989
    @johnsonmwakonya998927 күн бұрын

    Inauma sana alazwe pema

  • @roseshagasha5559
    @roseshagasha555928 күн бұрын

    Apumzike kwa amani

  • @edsonnelson4464
    @edsonnelson446429 күн бұрын

    Mwendo kasi! Mwendo kasi madereva mnamaliza watu mambo ya kuwa na haraka halafu usifike pale unapopawahi, si bora uchelewe kuliko kuishia njiani

  • @GraceKuziganika
    @GraceKuziganika29 күн бұрын

    Pumzika kwa amani baba yetu kpenzi 😭😭😭😭😭

  • @GraceKuziganika
    @GraceKuziganika29 күн бұрын

    Pumzika kwa amani baba yetu kpenzi 😭😭😭😭😭

  • @user-ne1ni8cp4b
    @user-ne1ni8cp4bАй бұрын

    Ntakukumbuka

  • @machiyakalemela135
    @machiyakalemela135Ай бұрын

    Rip RAS wangu

  • @Shalom803
    @Shalom803Ай бұрын

    Poleni Mbozi

  • @adammbuba7230
    @adammbuba7230Ай бұрын

    Duuuuuuuu😢😢😢😢

  • @PrinceHendry-hp8vv
    @PrinceHendry-hp8vvАй бұрын

    Jamani waziri umiii Mungu akubariki mamaa

  • @israeltemu356
    @israeltemu356Ай бұрын

    Buriani tumepoteza mtu ase

  • @nikundiweamosi5087
    @nikundiweamosi5087Ай бұрын

    Anahutbu asubh anakufa badae shida sana dunia

  • @admirabisikiduduye1516
    @admirabisikiduduye1516Ай бұрын

    Huyu jamaa ni usalama, au kigogo? Mtu mkubwa sana huyu

  • @lucykiwelu4451
    @lucykiwelu4451Ай бұрын

    Poleni sn ndg zng , Mungu azidi kuwafariji, ni ngumu kuamini lkn ndio hivo

  • @HeriMagwaza-cd4wg
    @HeriMagwaza-cd4wgАй бұрын

    Poleni Sana wanafamilia

  • @AtuganileAsubisye
    @AtuganileAsubisyeАй бұрын

    Poleniii mbeya yetu 😭😭😭😭

  • @HusnaSimbila-ig7ks
    @HusnaSimbila-ig7ksАй бұрын

    Safi

  • @manumbubujiba8610
    @manumbubujiba8610Ай бұрын

    Kazi nzuri RC

  • @maurineNgeso
    @maurineNgesoАй бұрын

    Nyinyi enteni Acha mambo mengi m naitaji pesa acheni kuhusa hichi zio yenu ya mungu hata wambyo wanakuja kusema ety Kwa yari hamuna kitu kama hiyo 😮😮😮😮😮😮😮

  • @didamanyanya595
    @didamanyanya595Ай бұрын

    Ujenzi ulivyo mgumu jamani

  • @tanzaniaone746
    @tanzaniaone7462 ай бұрын

    Some clips are 2016

  • @julianmsele3880
    @julianmsele38802 ай бұрын

    ni mwendo wa jet baba mpaka kielewekeee

  • @mosesmbeke6137
    @mosesmbeke61372 ай бұрын

    Umakini katika kila kazi unatakiwa haswaa usalama wako kwanza maana uhai hauuzwi ,pia tuangalie unarisk uhai wako kwa sh ngapi

  • @emanuelpelomollel8161
    @emanuelpelomollel81612 ай бұрын

    Mama mwenyewe Yuko wapi

  • @user-uf6pf1ho2s
    @user-uf6pf1ho2s2 ай бұрын

    Pole San, ndg zetu wa moxh

  • @fatmafatu1128
    @fatmafatu11282 ай бұрын

    Inna Lilah wainna ilayhi rajiun

  • @fatmafatu1128
    @fatmafatu11282 ай бұрын

    Ya Allah 😢😢

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah77092 ай бұрын

    Jamani mnaokoa nini si mngesubiri mvua ziishe hivyo vikuta vimebaki nusu nusu vingeweza kuwadondokea mnahatarisha maisha mmeshasalimika mngesubiri tu

  • @user-zk5tq2ni6b
    @user-zk5tq2ni6b2 ай бұрын

    Kweli voo

  • @SalumMkumba-wj2wl
    @SalumMkumba-wj2wl2 ай бұрын

    Dunia imechafuka jamani sio kwa balaa hili la mafuriko mungu tusimamie jamani