Hosptali ya KCMC kuanzisha huduma ya kupandikiza mimba
Hosptali ya Rufaa ya KCMC mkoani Kilimanjaro iko mbioni kuanzisha huduma ya kurutubisha mbegu za kiume na kupandikiza mimba kwa wanawake wenye changamoto ya ‘kushika’ ujauzito.
#MaxAmepatikana #AzamTVUpdates #AzamTVApp #AzamTV #AzamTWO
Пікірлер: 21
Tunaomba mawasiliano jamani
Mawasiliano plz
Naitaj je ntapataje huduma hiyo
Ok
Sasa kama huna mume
Gharama yake ikoje?
Jamni mtuwekee na gharama zake
He kama MTU amesimama kuingia siku zake inakuwaje ?
Garama yake je
Mnapatikana wap
Gharama yake ni.kiasi gani kwa kupandikiza
Ingekuwa rahisi mngeweka mawasiliano
@stevenselehaj1840
Жыл бұрын
Hapo ni hospital kcmc moshi
Shilling ngapi
Na bei yake shingap
Garama shingap
gharama yake ngap
@annadohho4225
4 жыл бұрын
Gharama sh ngap
Ni mkoa gan pia garama ni shingapi
@stevenselehaj1840
Жыл бұрын
Hapo ni moshi
@onesmojohnmasawe289
Жыл бұрын
kama mtu alifungwa jee inafaa kufungua na kubeba mimba