MCH DANIEL MGOGO - ACHA KUDHARAU WATU || KIBURI CHA MAENEO (OFFICIAL VIDEO)
Ойын-сауық
Mahubiri, Preaching, Eliona Kimaro, KKKT, KKKT Kariokoo, KKKT Kijitonyama, Messages, kkkt, eliona kimaro, daniel mgogo, mch eliona kimaro, rev eliona kimaro, mch daniel mgogo, sermons, teaching, preaching, kkkt kariokoo, kkkt kijitonyama, tanzania, bongo, ujumbe, neno, personal growth, lutheran church
Пікірлер: 34
Mchungaji nabarikiwa Sana na mafundisho yako,juu kuna watu wengine kiburi kimewajaa mpaka kooni, Mungu tuzaidie tujue kunyenyekea
Hallelujah barikiwa mtumishi 🙏🏽
Hakuna watu wenye shida duniani kama watu wa Dar ndo maana na wenyewe wanaanza kuikimbimbia. Tunaomba mnsituletee mashoga😁😁
Kweli, baba.
Kutoka sehemu fulani co tija,nawaambiaga kila cku maisha na jinsi umejijenga ndo issue,mtu yuko Dar lakini choo cha ajabu,ukija home kwe2 kijijini Marangu utafikiri ni ikulu.
Ni kweli mtumishi,,dharau ni mbaya sana aisèe
Amina kubwa👏👏🤝
❤❤❤❤ ni kweli kbs wanajifanya kama hawaendi choòni
Pastor napenda mafudishow Yako sana
Well, don't judge a book with its cover
Kweli kapisa ..Mungu atuondolee kiburi 😢😢
Mazingira mtu hukaa pia hutia kiburi bure,walakini watu ni wale wale
Ni kweli kabisa mtumishi wa Mungu Baba.
🙏🙏🙏🙏Nikweli mjiwakutumianguvu nachukiaDr
Kabisa!!! Kuna watu wanajisifu kwa maeneo wanayotoka, na kujiona eti ni bora zaidi ya wengine🤣🤣🤣kwa sababu tu yuko sehemu fulani anayoona ni maarufu!
Lkn mchungaji c hata hawa waliotuletea Mungu walikuwa na maeneo wa watu wenye hadhi ya juu
Unasema Ukweli kabisa
@AminaHaule-qj9ot
Жыл бұрын
Ni ukweli mtupu
Sisi wamikoani wana2ona kama siyo binandam
Sweat after a minute !
Asante kwa neno
AMEEN ! 😂
Sasa na wewe Mgogo utajifNanisha na wa Kyela?
Mafundisho ya masimango
@anodearsulusi7536
Жыл бұрын
Huo ndo ukweli sio masimango hago
@anodearsulusi7536
Жыл бұрын
Na yapo kabisa
@ericaron5566
Жыл бұрын
Pole mtu wa Dar
KKKT imekosa mwelekeo
@ellymzalendo4517
Жыл бұрын
Mwelekeo upi
@merekwangujati158
Жыл бұрын
Labda mwelekeo wako ndio imepotea , ila kkkt sahau
@simongwandu7392
Жыл бұрын
@@merekwangujati158 kama bado uko huko itakula kwako Msikilize Hanajana Kimaro Kkkt ni ya Maaskofu wanajitukuza wenyewe Roho za waumini hawajali
@hajiameir8688
Жыл бұрын
Makanisa yote hayana muelekeo na kwa taarifa yenu kwanza bwana yesu hakuwahi kuingia kanisani achilia kufanya ibada kama unabisha lete andiko wapi bwana yesu alienda mji gani na wapi kuhubiri injili
@zawadiibrahimuseme1482
Жыл бұрын
@@hajiameir8688shee baki kwenye swala huku unakanyaga moto