MBINGU KASHUKA - Kirumba Adventist Choir | A Live Performance from Kirumba Hymns Festival Season II.
Музыка
Tukio hili Mubashara lilifanyika 31.12.2022 Katika Viwanja vya Kanisa la Waadventista Wa Sabato Kirumba.
"Sasa ninalo Tumaini lililo na Subira"
Ungana na Wanakwaya wa KAC katika tarajio pekee la Kimbingu.
Bwana Akubariki.
Пікірлер: 116
Huu wimbo unanibariki sana Mungu awatie nguvu katika kazi hii iliyo njema🙏🙏
Amen and Amen, mmeleta mabadiliko makubwa kwenye sekta ya uimbaji. Mungu azidi kuwabariki mkiendelea kumtumikia. This is lovely❤️🔥❤️🔥❤️🔥❤️🔥❤️🔥
Amen. Bwana hatamuacha mdhambi apotee, mbingu hushuka kumtafuta anayetanga mbali.
Mbarikiwe sana
Sifa na utukufu kwa Mungu na mwanao Yesu kristo kwa mpango wa wokovu kwetu sisi binadamu. Nabarikiwa sana, nanyi mbarikiwe❤
Ameen navutiwa nawalimu kwa ubishaji wao mahili barikiweni
Nawapenda jamaani mnaimba kwa unyenyekevu Mungu awabariki natamani kuwa mwanafamilia wa kwaya hii.
@mongetantale7145
6 ай бұрын
Karibu sanaaaaa
Nabarikiwa sana
Wimbo huu unanibariki sana mynhu ambariki aliye utunga
Mungu awabaliki sana KAC nawapenda sana natani siku moja niimbe nanyi
bwana asifiwe sana tutaimba juu mbinguni ALELUYA
@slyvestermayala7045
11 ай бұрын
Amen
Nahisi Yesu anarudi wimbo unanivuta karibu naye, mbarikiwe sana.
Mungu azidi kuwabariki mtumikapo shambani mwake.🙏🙏
Joy's has filled my heart am glad to be an Adventist. Father pls save your children into your kingdom of glory. Thanks a million
Aminaaaaa kubwaaa sanaaaa.... Mbingu kashuka na Utukufu,.. Haleluyaaaaaaa, Sasa ninalo tumaini....
Yaani wimbo huu Kila siku ni mpya kwangu na unanibariki Sana. Barikiweni.
Mko vizuri sana Mungu awabariki sana
The best song
Amina!
Amen
Nawapenda sana jamani Mungu awabariki sana kwa kazi yenu njema ❤❤❤❤❤
Bwana awabariki kwa wimbo mzuri
Baraka kubwa sana
A blessing to praise the Lord everyday in our own unique ways. Oh What a wonderful day. Heavens will surely come down.
Aseeee naupenda sana wimbo huu Mungu wabariki kirumba Adventist Choir
@kirumbaadventistchoirkac6823
10 ай бұрын
Amen, be blessed
Mbingu kashuka na Utukufu harmonica 🔥🔥
@sulephiliptanzania9466
11 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
Sifa na utukufu Kwa Mungu
Barikiweni sana KAC
Bwana awabariki kirumba muimbe hadi mbinguni👏
Waoooh I like it
Mbingu kashuka na utukufu...Tumewekwa huru kwa msalaba wake.
@user-kl4dy8wj8w
11 ай бұрын
Hakika kaka tuwekwa huru
@guitaristm9398
9 ай бұрын
Amen
Nimesikia hiyo melody mara kwanza 2003 Pasiansi SDA...nimefurahi kuisikia tena
Bwana azidi kuwabariki sana mnanibariki mno.
My favourite song...God bless you
Mubarikiwe watu wa Mungu
Indeed Heaven came down ,amen
Amen! Heaven came down!
Jaman na Barikiwa Sana zaidi ya Sana
Nawapenda mnooo jmn
Amina, tunabarikiwa sana
@kirumbaadventistchoirkac6823
10 ай бұрын
Amina watumishi.
Amina amina aminaaa jaman huu wimbo mpaka machozi imagine uusikilize vizuri sauti ya tatu chukueni maua yenuuuuuu
Nimebarikiwa Saan Na Wimbo Huu kwa kweli
@slyvestermayala7045
11 ай бұрын
Amen
Amina,barakiweni.
Amen,Amen hakika msalabani kaniweka huru.
❤
Nice 👍 song Amen God bless you all
Amen. Lovely Lovely 😍
Amen mungu wa mbinguni awasidishie neema
Kweli nyimbo Kama hizi zinaketa utukufu kwaya zingine wafuate mfumo huu
Mungu awabariki sana
Tunabarikiwa sana na uimbaji huu
@kirumbaadventistchoirkac6823
10 ай бұрын
Amina, endelea kutuombea
Amen Amen mbarikiwe sana
@kirumbaadventistchoirkac6823
10 ай бұрын
Amina, endelea kuombea ministry hii.
Amina
Mnatubariki Sana... You have my Prayers 🙏
@kirumbaadventistchoirkac6823
10 ай бұрын
Amen, endelea kutuombea.
Haleluya 🤗 on
Haleluyaaaah
💯
@kirumbaadventistchoirkac6823
10 ай бұрын
Amen
Amina hakika nimebarikiwa sana na wimbo huu
@kirumbaadventistchoirkac6823
10 ай бұрын
Amina, Karibu sana
Ameen MUNGU azidikuwa bariki
@mamavivian9266
11 ай бұрын
Ameen
I think is good for me and you When you listen this song
@user-mz9ly7ee8m
4 ай бұрын
,,y🌟🌟🌟🌟🌟🌟🌟🌟
Mungu awabariki WanaKirumba. Naomba tupatane sote kwenye hile Kwaya ya Mbingu tuimbe pamoja.
So ñice song
Now this is heavenly
Bwana azidi kutukuzwa na kuwa mbaraka kwa wimbo huu.
@dsk1tv749
11 ай бұрын
Amen amen
A very nice song
@kirumbaadventistchoirkac6823
10 ай бұрын
Be blessed
Amen Amen
Amen 🙏
Ameen Mungu azidi kuwatunza nabarkiwa sana na nyimbo zenu
Lovely Lovely music ❤
Nice work and God bless y’all 🙏. Heaven came down .
Halelujah
Mbarikiwe mno watumishi
Mungu ni mkuuu kwa ajili yenu
Asante
Hallelujahhhh!🙌🙌#TRM
@kirumbaadventistchoirkac6823
10 ай бұрын
Amen
God bless you KAC
@kirumbaadventistchoirkac6823
10 ай бұрын
Amen
Nina Barikiwa mnooo na kwaya hii,uuimbaji wenye kuleta Utukufu…
Yes
Amen nimebarikiwa huduma njema❤🔥nimeipenda mnoo choir wote mbarikiwe jmn#Trm
@kirumbaadventistchoirkac6823
10 ай бұрын
Amen, Endelea kutuombea.
Good songs mbarikiwe.
@kirumbaadventistchoirkac6823
10 ай бұрын
Amen
Mbarikiwe sana, kwa uimbaji huo hakika wengi watavutwa kwake ili waokolewe. Tunazipataje hizo nyimbo ukiachilia mbali ytube? Especially nyanda za juu kusini.
Amém!🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾
@kirumbaadventistchoirkac6823
10 ай бұрын
Amen
@sharonachiengomindi9296
10 ай бұрын
Heaven came down and made me whole
Amen Amen, taste of Heaven on Earth, Mungu awabariki Sana.
@kirumbaadventistchoirkac6823
10 ай бұрын
Ooh Amen, endelea kutuombea.
Amen...send me clip please 🥺
Lyrics in Swahili please 🙏🏾
@Amonmagoti
Sifa na utukufu kwa Mungu na mwanao Yesu kristo kwa mpango wa wokovu kwetu sisi binadamu. Nabarikiwa sana, nanyi mbarikiwe❤
Mbarikiwe sana
Amen
Nabarikiwa sana
❤
Amen