ANAKUJA UPESI | NI KITAMBO (Medley) - KAC, A Live Performance at Kirumba Hymns Festival Season II.

Музыка

Unataka Kukata Tamaa? Inuka Tena maana Yu Hai na Anakuja Tena Kitambo Kidogo Twende Naye Nyumbani. Shikilia Imani hadi wakati Huo. Bwana Akubariki Sana.
#INUKATENA2023

Пікірлер: 126

  • @namsifumaduhumwita2495
    @namsifumaduhumwita2495Ай бұрын

    Mungu awakumbuke atakapokuja kutuchukua kwenda nyumbani

  • @kirumbaadventistchoirkac6823

    @kirumbaadventistchoirkac6823

    Ай бұрын

    Amen, Tamanio letu tukutane pamoja nawe pia.

  • @Ransmedia254
    @Ransmedia25419 күн бұрын

    Amina! Amina...hakika kuja kwake Yesu imekaribia

  • @nyakwesimagoma7121
    @nyakwesimagoma712111 күн бұрын

    Mtunzi wa hii nyimbo kwa kweli alitunga yaan sichoki kusikia,Mungu akubariki sana

  • @hezbonmichael3619
    @hezbonmichael36198 ай бұрын

    Asante sana kwa kunibariki , Mungu aendelee kuwatumia na awashikilie katika uimbaji wenu. Praise God.

  • @christineachieng6211
    @christineachieng62115 ай бұрын

    Tunapovuka mwaka bila shaka tutiwe moyo kuwa yu hai

  • @quintamia3954
    @quintamia39542 ай бұрын

    Amen amen amen!!!!!!😊

  • @singoeiyego565
    @singoeiyego5659 ай бұрын

    Wapendwa katika Yesu WA Kirumba nabarikiwa Sana na nyimbo za kumsifu Mungu mnazoimba. Mungu aibariki KAZI yenu. From Kitale, Kenya.

  • @mongetantale7145

    @mongetantale7145

    6 ай бұрын

    Ubarikiwe zaidi ndugu.. karibu tarehe 30 kwa ajili ya season 3

  • @LenaAst-lj8dg
    @LenaAst-lj8dg2 ай бұрын

    Дорогие братья братья и сестри Благословений вам с Украини Благодарни за молитви Просим вас молитесь за Украину

  • @jessebiseko330
    @jessebiseko3309 ай бұрын

    Amina na amina, ni kitambo tu tunakaribia kwenda nyumbani. Japo dhoruba kali zinavuma, hiyo ni ishara tunakaribia nyumbani. Bwana awabariki Kirumba ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @slyvestermayala7045

    @slyvestermayala7045

    9 ай бұрын

    Amen.

  • @kirumbaadventistchoirkac6823

    @kirumbaadventistchoirkac6823

    9 ай бұрын

    Amen

  • @mcharomtungulu3459

    @mcharomtungulu3459

    7 ай бұрын

    Ni kitambo kuivika bahari!

  • @lydiachemutai110

    @lydiachemutai110

    6 ай бұрын

    A

  • @DavidChaula
    @DavidChaula4 ай бұрын

    Amen nimebarikiwa saaana🙏🙏🙏

  • @jameschambua9725
    @jameschambua972519 күн бұрын

    The meaning of music. Aisee mnanibariki sana ❤❤❤

  • @PeterMasala-gh5np
    @PeterMasala-gh5np9 ай бұрын

    Asanteni kwa wimbo mzuri.. Tunaomba Muuimbe wimbo wa piga panda na ya Makelele pia wimbo wa ""Na tumwabudu huyo mfalme. ""

  • @kirumbaadventistchoirkac6823

    @kirumbaadventistchoirkac6823

    9 ай бұрын

    Barikiwa sana. Piga Panda tafadhali tazama Nyimbo za Season One umeimbwa. Asante

  • @dorothymuganda1300
    @dorothymuganda13009 ай бұрын

    Amen Amen and Ameeeen..Mbarikiwe kwa uimbaji mzuri sana🙏🏼🙏🏼

  • @kirumbaadventistchoirkac6823

    @kirumbaadventistchoirkac6823

    9 ай бұрын

    Amen

  • @jairfernandes5815
    @jairfernandes58155 ай бұрын

    Aaaaaamem!!! Deus ouve tais louvores. Muito bom. De Brasil

  • @emmanuelmaduhu7780
    @emmanuelmaduhu77809 ай бұрын

    Ameeeeeen, Uimbaji mzuri sana

  • @kirumbaadventistchoirkac6823

    @kirumbaadventistchoirkac6823

    9 ай бұрын

    Amen

  • @ellensagwa1724
    @ellensagwa17248 ай бұрын

    Amina

  • @beavonmogire573
    @beavonmogire5739 ай бұрын

    Amina ni kweli hakuna machozi kwenye nchi tamu.Mbarikiwe sana

  • @kirumbaadventistchoirkac6823

    @kirumbaadventistchoirkac6823

    9 ай бұрын

    Amen

  • @robinsononyango6762
    @robinsononyango67627 ай бұрын

    Majina yangu ni Robinson obwoge kutoka Kenya nabarikiwa zaidi kwa nyimbo zenu naamini siku Moja tutaonana uso kwa uso

  • @mongetantale7145

    @mongetantale7145

    6 ай бұрын

    Karibu sana Mr. Robinson. Tarehe 30 tuna season 3

  • @erickwanjira142
    @erickwanjira1426 ай бұрын

    Ni kitambo tu twakaribia.,..,.,.ni kitambo twende nyumbani na ahadi hii ya milele ni hakika. Halelujah..Amina.

  • @victormilanowino8069
    @victormilanowino80693 ай бұрын

    Amen and Amen, someone get me contacts of the choir director.

  • @cleo_kibet
    @cleo_kibet9 ай бұрын

    Amina! Sabato njema wanaKirumba! Be patient, Christian soldier. Yet a little while, and he that shall come, will come. The night of weary waiting, and watching, and mourning is nearly over. The reward will soon be given; the eternal day will dawn. There is no time to sleep now,-no time to indulge in useless regrets. He who ventures to slumber now will miss precious opportunities of doing good. We are granted the blessed privilege of gathering sheaves in the great harvest; and every soul saved will be an additional star in the crown of Jesus, our adorable Redeemer. Who is eager to lay off the armor, when by pushing the battle a little longer he will achieve new victories and gather new trophies for eternity? {RH October 25, 1881, par. 11}

  • @kirumbaadventistchoirkac6823

    @kirumbaadventistchoirkac6823

    9 ай бұрын

    Amen

  • @vedastusmarubi7346

    @vedastusmarubi7346

    7 ай бұрын

    amen

  • @godsfinalwarninggfw6492

    @godsfinalwarninggfw6492

    6 ай бұрын

    Ooh Hallelujah, come Lord Jesus!

  • @maigamajogoro5694
    @maigamajogoro56949 ай бұрын

    Among very few Africans ...... wengi tunaharibu aina hii ya uimbaji lakini nyie nawasikiliza nikijihisi kama niko ulaya ..... only you keep it up ... mnajua hakika Mungu azidi kuwatumia

  • @kirumbaadventistchoirkac6823

    @kirumbaadventistchoirkac6823

    9 ай бұрын

    Barikiwa na Karibu sana

  • @joshuakikoti9354
    @joshuakikoti93549 ай бұрын

    AMINA AMINA na AMINA ni kitambo twende nyumbani. Namwomba Sana Mungu niwe mmoja wao hao watakaopata Neema ya kuingia

  • @kirumbaadventistchoirkac6823

    @kirumbaadventistchoirkac6823

    9 ай бұрын

    Amen, barikiwa Joshua

  • @rademaadema7595
    @rademaadema75958 ай бұрын

    Asante kwa kutubariki kwa nyimbo zenu tamu I am so uplifted and encouraged by your beautiful songs following from Vancouver canada

  • @kirumbaadventistchoirkac6823

    @kirumbaadventistchoirkac6823

    8 ай бұрын

    Amen, Be blessed

  • @joshuambwambo4656
    @joshuambwambo46569 ай бұрын

    Ukweli natamani Sana Yesu Aje Dunia Inachosha Sana Na Aje Bwana Wetu.

  • @kirumbaadventistchoirkac6823

    @kirumbaadventistchoirkac6823

    9 ай бұрын

    Amen Amen

  • @user-st5dh6xx6h
    @user-st5dh6xx6h9 ай бұрын

    Hakika Yesu anakuja

  • @kirumbaadventistchoirkac6823

    @kirumbaadventistchoirkac6823

    9 ай бұрын

    Amen

  • @missoyusto2772
    @missoyusto27729 ай бұрын

    Inuka tenaaaaa... Maana anakuja

  • @kirumbaadventistchoirkac6823

    @kirumbaadventistchoirkac6823

    9 ай бұрын

    Amen

  • @michirapaul9758
    @michirapaul97589 ай бұрын

    The experience is totally on a different level. The transpose is amazing. Praise God

  • @jrkaluli5638
    @jrkaluli56389 ай бұрын

    Napataje cd za nyimbo hizi. Nipo ulanga Morogoro

  • @eunicenyandiko1389
    @eunicenyandiko1389Ай бұрын

    Hallelujah Amen ❤❤❤🎉🎉🎉

  • @gracedaniel7236
    @gracedaniel72369 ай бұрын

    Hakika nafarijika na nafurahi Sana kuskiliza nyimbo zenu🙏🙏🙏🙏🙏🙏be blessed

  • @kirumbaadventistchoirkac6823

    @kirumbaadventistchoirkac6823

    9 ай бұрын

    Amen

  • @gracedaniel7236

    @gracedaniel7236

    9 ай бұрын

    🙏

  • @Bkinyuah
    @Bkinyuah7 ай бұрын

    Ni kitambo ni namba ngapi kwa NZK?

  • @HellenMolongwe-dn2gq
    @HellenMolongwe-dn2gq6 ай бұрын

    Oohh Mungu wetu twangojea marejeo yako muda wa kuish dunian umeish dalil zatokea tunazozisoma katika maandiko matakatifu ya biblia , kitambo twaenda nyumban 🙏🙏🙏

  • @channelkomunitasGMTS
    @channelkomunitasGMTS3 ай бұрын

    Amen, Haleluyah..Puji Tuhan, Tuhan Yesus baik, Ia tetap sama baik kemarin hari ini dan sampai selama-lamanya. Ibarni 13 : 8. Saya dari Pulau Papua (Papua Barat), Kita kulit Hitam sangat berharga d mata Tuhan.

  • @mbuchedinah._ke_Tv.
    @mbuchedinah._ke_Tv.3 ай бұрын

    Amina...mbarikiwe sana kwa uimbaji mzuri🙏

  • @ruthwamalika9790
    @ruthwamalika97909 ай бұрын

    Imina🙏🏼ni kitambo twende nyumbani

  • @irinairina2273
    @irinairina227315 күн бұрын

    ❤❤❤🤗🤗🤗🙏🙏🙏🙏🤝🤝🤝🤝

  • @vedastusmarubi7346
    @vedastusmarubi73467 ай бұрын

    sure Jesus is coming. and where I shall be, you shall be there also.

  • @kerrymartin2528
    @kerrymartin25289 ай бұрын

    Such a blessing,let’s get involved,He’s coming soon

  • @kirumbaadventistchoirkac6823

    @kirumbaadventistchoirkac6823

    9 ай бұрын

    Amen

  • @mkwasageorge-io3kb
    @mkwasageorge-io3kb9 ай бұрын

    M-barikiwe sana Mungu awasaidie tukakutane mbinguni waungwana.

  • @godsfinalwarninggfw6492
    @godsfinalwarninggfw64926 ай бұрын

    Hallelujah, glory to God, can we all meet in heaven to sing the song of Moses and the Lamb!

  • @violetmulongo1636
    @violetmulongo16366 ай бұрын

    Every time i listen to this song i feel like its my first time. Am blessed thank you

  • @lilianouma
    @lilianouma9 ай бұрын

    Wonderful song soloists nailed

  • @kirumbaadventistchoirkac6823

    @kirumbaadventistchoirkac6823

    9 ай бұрын

    Amen

  • @user-uw8du8kw7p
    @user-uw8du8kw7p9 ай бұрын

    ❤nami nazipenda sana tena sana MUNGU awabariki

  • @isaacbirir2220
    @isaacbirir22209 ай бұрын

    Nimebarikiwa sana kwa huduma wenu kupitia huu wimbo❤❤❤

  • @dainessmnenwaa4758
    @dainessmnenwaa47587 ай бұрын

    Kirumba amena kwenu Tanzania tuna Ambasada

  • @rebeccafredy2896
    @rebeccafredy28969 ай бұрын

    Haleluya

  • @enoshmisanajocktan8503
    @enoshmisanajocktan85039 ай бұрын

    Mbarikiwe sana KAC. Hakika ni kitambo tu twende nyumbani. Furaha gani iliyoje kwenda nyumbani. Nyumbani kwetu ni pazuri mno, natamani sana kuwepo nyumbani kwetu baada ya kuivuka bahari iliyojaa upepo mkali, mawimbi na fujo nyingi za baharini. Mungu atusaidie sote, tukutane nyumbani maana ni kitambo tu.💕💞💞💕

  • @kirumbaadventistchoirkac6823

    @kirumbaadventistchoirkac6823

    9 ай бұрын

    Amen

  • @Ashusheme
    @Ashusheme8 ай бұрын

    AMEN..this is so nice..❤🙏

  • @monicamose1710
    @monicamose17103 ай бұрын

    🙏🙏🙏

  • @magorimagori9264
    @magorimagori92649 ай бұрын

    Amen..Maisha yetu yamejaa huzuni sana kwani ni Kitambo twende nyumbani..

  • @kirumbaadventistchoirkac6823

    @kirumbaadventistchoirkac6823

    9 ай бұрын

    Amen

  • @stevenkibochannel5513
    @stevenkibochannel55135 ай бұрын

    Nzuri sana

  • @user-me7et9fp6m
    @user-me7et9fp6m7 ай бұрын

    Nimewapenda bure

  • @samwelmtaka2986
    @samwelmtaka29866 ай бұрын

    Mungu awabark san

  • @peninasnyamhanga4860
    @peninasnyamhanga48609 ай бұрын

    Mnanibariki sana Mbarikiwe nanyi pia

  • @joelnealsamwel4502
    @joelnealsamwel45029 ай бұрын

    Yuaja yuaja # in a little while. 🙏😊

  • @kirumbaadventistchoirkac6823

    @kirumbaadventistchoirkac6823

    9 ай бұрын

    Amen

  • @atutifm
    @atutifm9 ай бұрын

    Anakuja upesi! Good song

  • @kirumbaadventistchoirkac6823

    @kirumbaadventistchoirkac6823

    9 ай бұрын

    Amen

  • @berybenya5610
    @berybenya56109 ай бұрын

    Yuaja Yesu atarudi tena❤

  • @kirumbaadventistchoirkac6823

    @kirumbaadventistchoirkac6823

    9 ай бұрын

    Amen

  • @kiyenzensomi904
    @kiyenzensomi9049 ай бұрын

    Amen

  • @kirumbaadventistchoirkac6823

    @kirumbaadventistchoirkac6823

    9 ай бұрын

    Amen

  • @Leo200981
    @Leo2009819 ай бұрын

    Ameen… MBARIKIWE sana

  • @kirumbaadventistchoirkac6823

    @kirumbaadventistchoirkac6823

    9 ай бұрын

    Amen

  • @danielkiprotich3603
    @danielkiprotich36039 ай бұрын

    Amina. Great song this is.

  • @machagejr
    @machagejr9 ай бұрын

    Amen.

  • @Christiansongs254
    @Christiansongs2549 ай бұрын

    woow

  • @josephsebastian-km5mg
    @josephsebastian-km5mg4 ай бұрын

    Nabariwa sana

  • @gracejepkemboijepkemboi2702
    @gracejepkemboijepkemboi27029 ай бұрын

    Aleluiyah aleluiyah Amina tutamsifu aliyetukomboa

  • @kirumbaadventistchoirkac6823

    @kirumbaadventistchoirkac6823

    9 ай бұрын

    Amen

  • @ogwenowere3812
    @ogwenowere38129 ай бұрын

    Good singing!

  • @kirumbaadventistchoirkac6823

    @kirumbaadventistchoirkac6823

    9 ай бұрын

    Amen

  • @yusuphmukama9958
    @yusuphmukama99589 ай бұрын

    Nikitambo twende nyumban

  • @kirumbaadventistchoirkac6823

    @kirumbaadventistchoirkac6823

    9 ай бұрын

    Amen

  • @mongetantale7145
    @mongetantale71459 ай бұрын

    Indeed he cometh🎉🎉

  • @kirumbaadventistchoirkac6823

    @kirumbaadventistchoirkac6823

    9 ай бұрын

    Amen

  • @user-ue6ee3mp2l
    @user-ue6ee3mp2l9 ай бұрын

    Aminaa

  • @kirumbaadventistchoirkac6823

    @kirumbaadventistchoirkac6823

    9 ай бұрын

    Amen

  • @sharonowino2529
    @sharonowino25299 ай бұрын

    Amen amen watching from Kenya

  • @kirumbaadventistchoirkac6823

    @kirumbaadventistchoirkac6823

    9 ай бұрын

    Be blessed and keep following

  • @josephkabuche1390
    @josephkabuche13909 ай бұрын

    Mungu atukuzwe sana in

  • @kirumbaadventistchoirkac6823

    @kirumbaadventistchoirkac6823

    9 ай бұрын

    Amen

  • @furahababy6453
    @furahababy64539 ай бұрын

    Wow!what a wonderful song is this

  • @kirumbaadventistchoirkac6823

    @kirumbaadventistchoirkac6823

    9 ай бұрын

    Amen

  • @Nundu2000
    @Nundu20009 ай бұрын

    Wondering ❤❤

  • @kirumbaadventistchoirkac6823

    @kirumbaadventistchoirkac6823

    9 ай бұрын

    Amen

  • @yusuphmukama9958
    @yusuphmukama99589 ай бұрын

    Hii trial pale mwisho nilitaman waendelee

  • @kirumbaadventistchoirkac6823

    @kirumbaadventistchoirkac6823

    9 ай бұрын

    Amen

  • @lornahonwonga8614
    @lornahonwonga86149 ай бұрын

    Amen❤🙏

  • @kirumbaadventistchoirkac6823

    @kirumbaadventistchoirkac6823

    9 ай бұрын

    Amen

  • @TichPish
    @TichPish12 күн бұрын

    Amina

  • @daviddeus7053
    @daviddeus70539 ай бұрын

    Amen

  • @kirumbaadventistchoirkac6823

    @kirumbaadventistchoirkac6823

    9 ай бұрын

    Amen

  • @josephsebastian-km5mg
    @josephsebastian-km5mg9 ай бұрын

    Bwana atukuzwe

  • @kirumbaadventistchoirkac6823

    @kirumbaadventistchoirkac6823

    9 ай бұрын

    Amen

  • @GeorgeBenny-tj7si
    @GeorgeBenny-tj7si8 ай бұрын

    Amen

  • @erickorangi3804
    @erickorangi38049 ай бұрын

    Amen

  • @piuswillson2853
    @piuswillson28539 ай бұрын

    Amen

  • @kirumbaadventistchoirkac6823

    @kirumbaadventistchoirkac6823

    9 ай бұрын

    Amen

Келесі