ANAKUJA UPESI | NI KITAMBO (Medley) - KAC, A Live Performance at Kirumba Hymns Festival Season II.
Музыка
Unataka Kukata Tamaa? Inuka Tena maana Yu Hai na Anakuja Tena Kitambo Kidogo Twende Naye Nyumbani. Shikilia Imani hadi wakati Huo. Bwana Akubariki Sana.
#INUKATENA2023
Пікірлер: 126
Mungu awakumbuke atakapokuja kutuchukua kwenda nyumbani
@kirumbaadventistchoirkac6823
Ай бұрын
Amen, Tamanio letu tukutane pamoja nawe pia.
Amina! Amina...hakika kuja kwake Yesu imekaribia
Mtunzi wa hii nyimbo kwa kweli alitunga yaan sichoki kusikia,Mungu akubariki sana
Asante sana kwa kunibariki , Mungu aendelee kuwatumia na awashikilie katika uimbaji wenu. Praise God.
Tunapovuka mwaka bila shaka tutiwe moyo kuwa yu hai
Amen amen amen!!!!!!😊
Wapendwa katika Yesu WA Kirumba nabarikiwa Sana na nyimbo za kumsifu Mungu mnazoimba. Mungu aibariki KAZI yenu. From Kitale, Kenya.
@mongetantale7145
6 ай бұрын
Ubarikiwe zaidi ndugu.. karibu tarehe 30 kwa ajili ya season 3
Дорогие братья братья и сестри Благословений вам с Украини Благодарни за молитви Просим вас молитесь за Украину
Amina na amina, ni kitambo tu tunakaribia kwenda nyumbani. Japo dhoruba kali zinavuma, hiyo ni ishara tunakaribia nyumbani. Bwana awabariki Kirumba ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@slyvestermayala7045
9 ай бұрын
Amen.
@kirumbaadventistchoirkac6823
9 ай бұрын
Amen
@mcharomtungulu3459
7 ай бұрын
Ni kitambo kuivika bahari!
@lydiachemutai110
6 ай бұрын
A
Amen nimebarikiwa saaana🙏🙏🙏
The meaning of music. Aisee mnanibariki sana ❤❤❤
Asanteni kwa wimbo mzuri.. Tunaomba Muuimbe wimbo wa piga panda na ya Makelele pia wimbo wa ""Na tumwabudu huyo mfalme. ""
@kirumbaadventistchoirkac6823
9 ай бұрын
Barikiwa sana. Piga Panda tafadhali tazama Nyimbo za Season One umeimbwa. Asante
Amen Amen and Ameeeen..Mbarikiwe kwa uimbaji mzuri sana🙏🏼🙏🏼
@kirumbaadventistchoirkac6823
9 ай бұрын
Amen
Aaaaaamem!!! Deus ouve tais louvores. Muito bom. De Brasil
Ameeeeeen, Uimbaji mzuri sana
@kirumbaadventistchoirkac6823
9 ай бұрын
Amen
Amina
Amina ni kweli hakuna machozi kwenye nchi tamu.Mbarikiwe sana
@kirumbaadventistchoirkac6823
9 ай бұрын
Amen
Majina yangu ni Robinson obwoge kutoka Kenya nabarikiwa zaidi kwa nyimbo zenu naamini siku Moja tutaonana uso kwa uso
@mongetantale7145
6 ай бұрын
Karibu sana Mr. Robinson. Tarehe 30 tuna season 3
Ni kitambo tu twakaribia.,..,.,.ni kitambo twende nyumbani na ahadi hii ya milele ni hakika. Halelujah..Amina.
Amen and Amen, someone get me contacts of the choir director.
Amina! Sabato njema wanaKirumba! Be patient, Christian soldier. Yet a little while, and he that shall come, will come. The night of weary waiting, and watching, and mourning is nearly over. The reward will soon be given; the eternal day will dawn. There is no time to sleep now,-no time to indulge in useless regrets. He who ventures to slumber now will miss precious opportunities of doing good. We are granted the blessed privilege of gathering sheaves in the great harvest; and every soul saved will be an additional star in the crown of Jesus, our adorable Redeemer. Who is eager to lay off the armor, when by pushing the battle a little longer he will achieve new victories and gather new trophies for eternity? {RH October 25, 1881, par. 11}
@kirumbaadventistchoirkac6823
9 ай бұрын
Amen
@vedastusmarubi7346
7 ай бұрын
amen
@godsfinalwarninggfw6492
6 ай бұрын
Ooh Hallelujah, come Lord Jesus!
Among very few Africans ...... wengi tunaharibu aina hii ya uimbaji lakini nyie nawasikiliza nikijihisi kama niko ulaya ..... only you keep it up ... mnajua hakika Mungu azidi kuwatumia
@kirumbaadventistchoirkac6823
9 ай бұрын
Barikiwa na Karibu sana
AMINA AMINA na AMINA ni kitambo twende nyumbani. Namwomba Sana Mungu niwe mmoja wao hao watakaopata Neema ya kuingia
@kirumbaadventistchoirkac6823
9 ай бұрын
Amen, barikiwa Joshua
Asante kwa kutubariki kwa nyimbo zenu tamu I am so uplifted and encouraged by your beautiful songs following from Vancouver canada
@kirumbaadventistchoirkac6823
8 ай бұрын
Amen, Be blessed
Ukweli natamani Sana Yesu Aje Dunia Inachosha Sana Na Aje Bwana Wetu.
@kirumbaadventistchoirkac6823
9 ай бұрын
Amen Amen
Hakika Yesu anakuja
@kirumbaadventistchoirkac6823
9 ай бұрын
Amen
Inuka tenaaaaa... Maana anakuja
@kirumbaadventistchoirkac6823
9 ай бұрын
Amen
The experience is totally on a different level. The transpose is amazing. Praise God
Napataje cd za nyimbo hizi. Nipo ulanga Morogoro
Hallelujah Amen ❤❤❤🎉🎉🎉
Hakika nafarijika na nafurahi Sana kuskiliza nyimbo zenu🙏🙏🙏🙏🙏🙏be blessed
@kirumbaadventistchoirkac6823
9 ай бұрын
Amen
@gracedaniel7236
9 ай бұрын
🙏
Ni kitambo ni namba ngapi kwa NZK?
Oohh Mungu wetu twangojea marejeo yako muda wa kuish dunian umeish dalil zatokea tunazozisoma katika maandiko matakatifu ya biblia , kitambo twaenda nyumban 🙏🙏🙏
Amen, Haleluyah..Puji Tuhan, Tuhan Yesus baik, Ia tetap sama baik kemarin hari ini dan sampai selama-lamanya. Ibarni 13 : 8. Saya dari Pulau Papua (Papua Barat), Kita kulit Hitam sangat berharga d mata Tuhan.
Amina...mbarikiwe sana kwa uimbaji mzuri🙏
Imina🙏🏼ni kitambo twende nyumbani
❤❤❤🤗🤗🤗🙏🙏🙏🙏🤝🤝🤝🤝
sure Jesus is coming. and where I shall be, you shall be there also.
Such a blessing,let’s get involved,He’s coming soon
@kirumbaadventistchoirkac6823
9 ай бұрын
Amen
M-barikiwe sana Mungu awasaidie tukakutane mbinguni waungwana.
Hallelujah, glory to God, can we all meet in heaven to sing the song of Moses and the Lamb!
Every time i listen to this song i feel like its my first time. Am blessed thank you
Wonderful song soloists nailed
@kirumbaadventistchoirkac6823
9 ай бұрын
Amen
❤nami nazipenda sana tena sana MUNGU awabariki
Nimebarikiwa sana kwa huduma wenu kupitia huu wimbo❤❤❤
Kirumba amena kwenu Tanzania tuna Ambasada
Haleluya
Mbarikiwe sana KAC. Hakika ni kitambo tu twende nyumbani. Furaha gani iliyoje kwenda nyumbani. Nyumbani kwetu ni pazuri mno, natamani sana kuwepo nyumbani kwetu baada ya kuivuka bahari iliyojaa upepo mkali, mawimbi na fujo nyingi za baharini. Mungu atusaidie sote, tukutane nyumbani maana ni kitambo tu.💕💞💞💕
@kirumbaadventistchoirkac6823
9 ай бұрын
Amen
AMEN..this is so nice..❤🙏
🙏🙏🙏
Amen..Maisha yetu yamejaa huzuni sana kwani ni Kitambo twende nyumbani..
@kirumbaadventistchoirkac6823
9 ай бұрын
Amen
Nzuri sana
Nimewapenda bure
Mungu awabark san
Mnanibariki sana Mbarikiwe nanyi pia
Yuaja yuaja # in a little while. 🙏😊
@kirumbaadventistchoirkac6823
9 ай бұрын
Amen
Anakuja upesi! Good song
@kirumbaadventistchoirkac6823
9 ай бұрын
Amen
Yuaja Yesu atarudi tena❤
@kirumbaadventistchoirkac6823
9 ай бұрын
Amen
Amen
@kirumbaadventistchoirkac6823
9 ай бұрын
Amen
Ameen… MBARIKIWE sana
@kirumbaadventistchoirkac6823
9 ай бұрын
Amen
Amina. Great song this is.
Amen.
woow
Nabariwa sana
Aleluiyah aleluiyah Amina tutamsifu aliyetukomboa
@kirumbaadventistchoirkac6823
9 ай бұрын
Amen
Good singing!
@kirumbaadventistchoirkac6823
9 ай бұрын
Amen
Nikitambo twende nyumban
@kirumbaadventistchoirkac6823
9 ай бұрын
Amen
Indeed he cometh🎉🎉
@kirumbaadventistchoirkac6823
9 ай бұрын
Amen
Aminaa
@kirumbaadventistchoirkac6823
9 ай бұрын
Amen
Amen amen watching from Kenya
@kirumbaadventistchoirkac6823
9 ай бұрын
Be blessed and keep following
Mungu atukuzwe sana in
@kirumbaadventistchoirkac6823
9 ай бұрын
Amen
Wow!what a wonderful song is this
@kirumbaadventistchoirkac6823
9 ай бұрын
Amen
Wondering ❤❤
@kirumbaadventistchoirkac6823
9 ай бұрын
Amen
Hii trial pale mwisho nilitaman waendelee
@kirumbaadventistchoirkac6823
9 ай бұрын
Amen
Amen❤🙏
@kirumbaadventistchoirkac6823
9 ай бұрын
Amen
Amina
Amen
@kirumbaadventistchoirkac6823
9 ай бұрын
Amen
Bwana atukuzwe
@kirumbaadventistchoirkac6823
9 ай бұрын
Amen
Amen
Amen
Amen
@kirumbaadventistchoirkac6823
9 ай бұрын
Amen