TUTASHINDAJE HUKUMUNI -KAC Feat The Sacred Music. Performed live from Kirumba Hymns Festival S'n II
Музыка
A Live performance from Kirumba Hymns Festival Season II.
Performed On 31.12.2022
Location: Kirumba SDA Church
Theme: INUKA TENA na Pr. Joshua Mbwambo
Пікірлер: 349
I am not Adventist, but i imagine heaven will sound like this. Much love from Kenya
@TrizzahMbokw-tt9kx
6 ай бұрын
the feeling is heaven 😊😌
@andrewkibor9581
6 ай бұрын
And that's not the best part... The better part is that we may not be able to fully capture how it will be then and odds are that it will be much better.
@juliusosoroomwoyo8848
5 ай бұрын
Thanks You can become one through prayer
@tomonyancha6301
3 ай бұрын
He tells us that eye had not seen nor ear heard, neither hath it entered into the heart of man the things which God hath prepared for those that love Him. @@andrewkibor9581
Ngoja tuendelee kubarikiwa
Niliwahi kutamani kuwa na uimbaji wa viwango hivi nchini kwetu na katika kanisa letu. Matamanio yangu yamefikiwa. This is just a wonderful rendition. Mbarikiwe sana.
@kirumbaadventistchoirkac6823
Жыл бұрын
Barikiwa zaidi Elder, Endelea kuiombea hii kazi
kiukwel now kirumba SDA choir MUNGU amewainua mnoo kwenye uimbaj had nataman nirud Mwanza@last 2015,, daaah mubarkiwe watumish wa BABA
@kirumbaadventistchoirkac6823
Жыл бұрын
Barikiwa sana Samwel, Karibu Mwanza
@samwelgwitaba6454
Жыл бұрын
@@kirumbaadventistchoirkac6823 🙏🙏nitakarbia tenaa naiman hvyo mtumishi,, bt MUNGU aendelee kuwainua milele zote
Sauti zinasikika vyombo ni vingi vinapigwa ki ustadi huyo mtt naye ana sauti nzuri ki ujumla mbarikiwe sana sana
mbarikiwe
TUNAWAPENDA SANA @KIRUMBA SDA CHOIR BARIKIWA MILELE tuna wa miss sana, Producer from Hallelujah Family Choir-Rwanda
I love the music, one day I will find myself listening this music live from kirumba adventist church.
Дорогие братья и сестри во Христе Ви благословени Славя Христа Прошу вас молитесь за Украину Благодарим вас🇺🇦❤️🙏
Watching from Kenya wauuuuw this is good music to God be glory
@kirumbaadventistchoirkac6823
Жыл бұрын
Amen Amen, be blessed..
Hivi ndivyo kanisa langu hufanya..... Kirumba you are very serious. Hiki ndicho kwaya zote za kiadventista zapaswa kufanya. Mbarikiwe mnoooooo......nasubiri full episod nibarikiwe zaidi. Kirumba you are the Best🔥👏👏
@kirumbaadventistchoirkac6823
Жыл бұрын
Barikiwa sana. Endelea kufuatilia akaunti yetu, zitakujia mapema.
@isaiahmwaitete940
Жыл бұрын
@@kirumbaadventistchoirkac6823 AMINAAA
@danieljoshua905
9 ай бұрын
❤❤❤❤qq
Bwana awabariki Tena na tena
Bwana azidi kuwabariki kwa huduma hii makini ya uimbaji mzuri
@kirumbaadventistchoirkac6823
Жыл бұрын
Amen
My mom uses to sing to us this song every Friday night preparing for our sabbath,long live mama,such bring ur sweet memories jinsi ulivyonilea❤❤❤❤❤
@kirumbaadventistchoirkac6823
Жыл бұрын
Oh Amen Amen.
Nyasae ogwethu yawa
Sasa huu ni muziki🔥🔥 najifunza mengi toka kweny wapendwa Mzidi kumwimbia Bwana
@kirumbaadventistchoirkac6823
Жыл бұрын
Amina mtumishi
@actormtewele2260
Жыл бұрын
BWANA yuko upande wetu. Tutashinda Kwa msaada wa Bwana. Ule Muziki wa Kipagani unaong'ang'aniwa na baadhi yetu Tena ajabu wengine ni viongozi utakoma Kwa Jina la Yesu.
Watching frm Nairobi,this ia so sweety..Kirumna Never give up songa songa mbele...be blessed...wapiga vyombo b blessed most so touched ❤
i wish to be in this congregation one day and watch this choir sing three nyimbo za Kristo. NZK 38 (Nasifu Shani ya Mungu), NZK 143 (Naamini) and NZK 14(Nitembee nawe)
@kirumbaadventistchoirkac6823
Жыл бұрын
Halleluiah, Karibu sana ndugu. We will be blessed too.
Nabarikiwa sana nikiwa Dubai Bwana awabariki sana msonge mbele kwa kazi ya Mungu 🙏
@kirumbaadventistchoirkac6823
11 ай бұрын
Amina
Ndg zangu Kirumba, Mwenyezi Mungu azidi kuwabariki sana. Kazi yenu ni nzuri sana na inapendeza sana na inavutia sana. Na mzidi kuendelea na kuendelea katika kutimiza malengo yenu na hasa kumtangaza Kristo kwa njia hii ya uimbaji Amina.
@kirumbaadventistchoirkac6823
Жыл бұрын
Amen watumishi wenzetu. Bwna Awabariki na tunashukuru Sana kwa maneno haya. Barikiweni.
BWANA Yesu asifiwe sana. Huu ndiyo Muziki wetu sisi Waadventista Wasabato. Midundo ya Rock, Jazz, Reggae, Blues kwa aina yake ni UPAGANI MKUBWA. Sisi tumepewa ujumbe Maalum kabisa kwa sayari hii ya Dunia, Ujumbe wa Malaika wa Tatu. Hatutakiwi kuimba nyimbo zikiwa na Muziki wa Kidunia.
@kirumbaadventistchoirkac6823
Жыл бұрын
Endelea kubarikiwa, share na jirani yako pia.
@LuhanyaMipawantobi-pj1iu
11 ай бұрын
Kwani kunamziki wakimbinguni hapa dunian!!! Ila nyie!!!
Utukufu kwa Bwana!! ❤❤❤
@kirumbaadventistchoirkac6823
Жыл бұрын
Aminaaaa
What a wonderful ministration my heavenly brethrens,thank you am blessed. Be blessed richly.
Amina. Hapo Yesu atakapoita... atakusanya ngano ghalani.
Reverence in here is majestic..... Blessed sabbath experience brethren
Barikiwa
@mongetantale7145
Жыл бұрын
Aminaaa afisaaa
Munapendeza sana. Nawafuwatiliya kutoka Rwanda
@kirumbaadventistchoirkac6823
Жыл бұрын
Amen brethren
Utamu tu wamuziki Bwana awabariki sana
@kirumbaadventistchoirkac6823
Жыл бұрын
Amen
You sing so well if I was there I would join the choir. God bless you.
Mungu aendelee kuwabariki hakika
Glory glory glory to the lamb. Helo, my name's guelord, I'm Adventist from Drc. I'm always amazed and blessed by this sound. May God bless you more. MUBARIKIWE
@kirumbaadventistchoirkac6823
5 ай бұрын
Amen
Awa wapiga vyombo ni balaaa na nusu
Mungu azidi kuwatumia vyema music umetulia
@kirumbaadventistchoirkac6823
Жыл бұрын
Amen
Very great performance. Exceptionally done. Well blessed on this sabbath.
Amen
wimbo ulio na ujumbe wa kufanya nyoyo zimrejelee mwenyezi
@kirumbaadventistchoirkac6823
Жыл бұрын
Amen
Gaither music band ya ki africa ,,,hongera Sana mmeni bariki kabisa 🙏🙏🙏
@kirumbaadventistchoirkac6823
Жыл бұрын
We are humbled, Endelea kuombea kundi hili. Mungu Pekee Akainuliwe. Barikiwa.
Ki ukwel mnajua. Mungu awabariki sana.
@estherbernard5373
Жыл бұрын
Kazi nzuri Mungu azidi kuwa nanyi
@kirumbaadventistchoirkac6823
Жыл бұрын
Barikiwa zaidi kaka
Mbarikiwe kirumba SDA church kwa kitubariki
You just blessed my soul at the end of the Sabbath day, God bless you. Please pass by Kenya. This is soo Uplifting.
Mungu awabariki waimbaji hakika tumebarikiwa na wimbo huu
@kirumbaadventistchoirkac6823
Жыл бұрын
Amen
Lovely::The Kirumbas.. Feel blessed in Jesus'Name.
Hakika wimbo umejaa UTUKUFU WA MUNGU ALIYE HAI.......
@kirumbaadventistchoirkac6823
Жыл бұрын
Amen
Hivi ndiivyo wakristo wote wanatakiwa kumwimbia Mungu
@kirumbaadventistchoirkac6823
Жыл бұрын
Ubarikiwe sana
Mungu atukuzwe
Amen Amen 🙏 Mbarikiwe sana
Happy Sabbath from Kagwa SDA church kendubay ❤
Naamia kirumba
@kirumbaadventistchoirkac6823
Жыл бұрын
Karibuu
Huwa natamani sana kuabudu siku moja hili kanisa Mungu awabariki sana wajoli wa baba
Que Dieu soit loué pour la louange pour kirumba allez y loin
Ombi langu mwaka huu ni...nipate nafsi ya kushuhudia njisi mnavyo imba kanisani mwenu. Kila wakati naskia nyimbo mnazo imba nabarikiwa.
@kirumbaadventistchoirkac6823
Жыл бұрын
Karibu sana Vera
@jobisoe9423
10 ай бұрын
Ukifunga safari, remind me tuandamane pamoja
my best song ever, i love that song, i feel blessed
Mungu awabariki Kwa huduma ya viwango na ubora,huku ndiko kumtukuza Bwana inavyostahili kwa ustadi na kiroho
@kirumbaadventistchoirkac6823
Жыл бұрын
Amen, Ubarikiwe pia
Amen 🙏🙏🙏 Mimi nitakuwa ngano ktk Jina la yesu
@kirumbaadventistchoirkac6823
Жыл бұрын
Amen
Mbarikiwe sana wana mfalme
@kirumbaadventistchoirkac6823
Жыл бұрын
Amen
Am listening your songs from Nairobi and kwa ukweli, Mimi nimeona mkono wa Mungu katika Maisha yangu.
This is one of most loved vocals on earth,much love from 🇰🇪
Mungu wa mbinguni awabariki sana Kirumba Adventist Choir. 🙏🏿🙏🏿🙏🏿
@kirumbaadventistchoirkac6823
Жыл бұрын
Amen mtumishi Ubarikiwe pia kwa kazi mmefanya.
@machagejr
Жыл бұрын
Barikiwa Abel na wenzako kwa kazi yenu bora
@chiragiabel
Жыл бұрын
@@kirumbaadventistchoirkac6823 Amen Amen
@chiragiabel
Жыл бұрын
@@machagejr Amen Amen
Kitengo cha instruments mmenibariki sana ❤
@kirumbaadventistchoirkac6823
Жыл бұрын
Amina, Endelea kufuatilia.
Muziki mzuri saana
Mungu awabariki Sana
@kirumbaadventistchoirkac6823
Жыл бұрын
Barikiwa zaidi mtumishi. Wewe ni mbaraka tangu.
@machagejr
Жыл бұрын
Barikiwa Mrisha
I wish u all come to South Africa n Bless us with dis song. I listen to it over n over
Je rends gloire au Créateur et sollicite de Son trône Sa bénédiction non seulement pour les membres de l'église, mais aussi pour la zone où habite ce peuple magnifique. J'écris ces lignes depuis Haïti.
@mongetantale7145
8 күн бұрын
May God bless you dear friend
kazi nzur sana KAC nimeanza kufatilia toka nikiwa mdogo ni zaidi ya miaka 20 sasa still mziki wenu uko vizur, i can imagine hiyo heaven song itakuwa je. nimebarikiwa sana
@kirumbaadventistchoirkac6823
Жыл бұрын
Barikiwa sana na Karibu Kirumba
Nasi tusio waamini tumebarikiwa pia ... Popote na Yesu nitakwenda
@kirumbaadventistchoirkac6823
Жыл бұрын
Amen, Bwana Akubariki na Karibu sana
Amen. Nice video and music.
Kwa kweli, mmeubuni vema huu wimbo, na mmeimba vizuri sana, na kuiongezea thamani ngano. Huu mngeimba siku ya meza ya bwana, Kila mtu angefanya toba ya kweli. Na familia ya Pr.Manyonyi mmepatia sana, na Grace Sagati namuona hapo.Amekosekana Chief Mujaya, Mungu amlinde hadi asubuhi njema.
@kirumbaadventistchoirkac6823
Жыл бұрын
Barikiwa sana,
Bwana awabariki sana
@kirumbaadventistchoirkac6823
Жыл бұрын
Amen
Wimbo unanibariki sana
@imeldapeter1304
Жыл бұрын
Kwa kweli ndugu neno linanenwa lafaa katika maisha ya Kiroho
@kirumbaadventistchoirkac6823
Жыл бұрын
Amen
Imekaa vizuri sana hii.
@kirumbaadventistchoirkac6823
11 ай бұрын
Barikiwa sana
Inayokuja tufanye nitakuwepo❤
@kirumbaadventistchoirkac6823
11 ай бұрын
Aminaa
Mmbarikiwe sana KAC.
@kirumbaadventistchoirkac6823
Жыл бұрын
Amen
Tunabarikiwa sana kwa wimbo na uimbaji wa Mbinguni tukingali hapa duniani tuna kula na kushiba habari njema ya wokovu. Muende mbali katika kufikisha habari njema kwa ulimwengu ili yesu arejee mapema
@kirumbaadventistchoirkac6823
Жыл бұрын
Barikiwa sana
Mnanibariki sana watu wa Baba.Mavazi,uimbaji na vyombo vinanifanya niitafakari siku ile kuu ya kumwana Yesu akitupeleka kwa Baba Mbinguni
Kambale kalendi samson kutoka Congo butembo ,hakika nimebarikiwa sana kwenye wimbo huu
Mbarikiwe sana
@kirumbaadventistchoirkac6823
Жыл бұрын
Amen
This is another level of music 🎶
Good Music is man at Kirumba Sda Church ❤❤❤
@kirumbaadventistchoirkac6823
Жыл бұрын
Amen
Mungu awabariki huduma iwe endelevu
@kirumbaadventistchoirkac6823
Жыл бұрын
Amen, endelea kutuombea.
Hadi machozi yuyo dada amejitoa kwelikweli.
Huu wimbo hauchoshi kusikiliza mbarikiwe mno
@kirumbaadventistchoirkac6823
Жыл бұрын
Amina Esther B.
Mungu awabariki sana ❤
@kirumbaadventistchoirkac6823
Жыл бұрын
Amen
Mbona hamkusema kuna wimbo namna huu mzuri hivi? Tulivu sana na ujumbe unafika neno kwa neno. Hakuna distraction kwenye instruments kuzuia ujumbe usipenye. The meaning of Gospel Music. May God bless each one of you that sang or contributed anything to this place.
your church service is higher aisee. mbarikiwe
@kirumbaadventistchoirkac6823
Жыл бұрын
Amen
Amen amen, nimebarikiwa kupita maelezo na huu wimbo. Bwana azidi kuwabariki sana watumishi
@kirumbaadventistchoirkac6823
Жыл бұрын
Amen, barikiwa
May u Keep on Praising God Like this forever.Be Bless u Kirumba Choir.
Huu wimbo umeimbwa kwa kicho Sana, barikiweni Sana Kirumba. Showers of blessing be upon you.
O so beautiful talents
Mbarikiwe sana na mzidi kwenda mbali zaidi. Nimebarikiwa sana na kazi hii na ikawabadilishe watu wwngine na wokovu ukapatikane kwao. Amina
@kirumbaadventistchoirkac6823
Жыл бұрын
Amen sana mtumishi
Mzid kusonga mbele
@kirumbaadventistchoirkac6823
Жыл бұрын
Amen
KAC huu Wimbo unesogeza wengi kwa Yesu.Kutafakari uwepo wa Mungu maishani mwetu
@kirumbaadventistchoirkac6823
Жыл бұрын
Amina shangaz Doris
So amazing...kuna faida kuwekeza kwa muziki!!!
@kirumbaadventistchoirkac6823
Жыл бұрын
Amen
Hakika Mungu aendelee kutangazwa na kuinuliwa kwa uinjilisti wa nyimbo. Wimbo ni mzuri na umejaa ujumbe wenye tafakari muhimu juu ya maisha yetu ya kila siku sambamba na hatima ya maisha yetu yajayo. Mungu asiwapungukie Wana Kirumba.
@kirumbaadventistchoirkac6823
11 ай бұрын
Ubarikiwe sana Simon.
Mungu awabariki sana❤🇹🇿🇹🇿😍😍💕💕🎵🎵🙏🙏💯💯💯
Amina sana namuona kaka Philip ktk guiter hahaha safi sana
Keep blessed
Bwana azidi kuwainua katika kuifanya kazi yake.
Amen, hii ni kubwa kuliko
@kirumbaadventistchoirkac6823
Жыл бұрын
Amen
Amina mbarikiwe sana kirumba
Mpo vizuri sana kac