YU HAI - Kirumba Adventist Choir. A Live Performance from Kirumba Hymns Festival Season II.
Музыка
Kirumba Hymns Festival Season II, 2023 Inuka Tena (Rise Up Again). A Series Program brought to you Live from Kirumba SDA Church once every year!. Blessings.
Пікірлер: 213
Ongera
Friends from Kenya here too
Abana b'Imana ku isi yose ni bamwe! Amen
Amen amen namwona Yesu katika nyimbo hizi
Amina
I love this . God bless you and continue using you for His glory
Ni moja ya kwaya nazofatilia Mara kwa Mara Sana, hasa hizi nyimbo za kristo mnaziimba kwa ustad mkubwa San, Mungu awabarik
@kirumbaadventistchoirkac6823
11 ай бұрын
Barikiwa zaidi
Nyimbo Kama hizi Jpm ndo alikuwa anazielewa kirumbaaaaaaaa❤❤❤❤
@samwelimaligende7220
5 ай бұрын
Alikuwa anakuja kusali Kirumba?
Louvado seja o Senhor dos Senhores
so great worship. God give power to worship you this way and attend, do live worship with Kirumba
Toka Zambia. Mnanibariki sana. Najisikia nyumbani mara zote
Mfungue akaunti tuchangie tulichonacho. Nimekominika kirumba. Nilikuwa mwana region, mama yangu alikuwa mfagiaji wa kanisa.daah namiss sana😢. Leo huyu Mungu kanibariki Niko nchi za watu. Naomba nichangie kutoa shukrani❤❤
@kirumbaadventistchoirkac6823
11 ай бұрын
Barikiwa sana Sophia.. Akaunti ya Kanisa ni CRDB Account No. 0150516187800 au Tigo Pesa 0677063333. Zote zinaenda kwa majina 'KIRUMBA SDA CHURCH'. Week hii Sabato ya 29.07.2023 tutakua na Changizo kubwa 'Kirumba Majengo Big Day' Changi kumalizia Ujenzi wa Kanisa lako Sophia. Barikiwa.
Inaleta raha na utukufu kwa Mungu balikiwa sana kwaya ya kirumba.
Nyimbo za Kristo zinaujumbe woote, yaani ht pasingekuwepo nyimbo mpya ni sawa tu. Kirumba sda choir barikiweni sana, watu wa vyombo mbarikiwe sana. Kumbe ht drums zikipigwa vizuri zinamtukuza Mungu wa mbinguni.
@kirumbaadventistchoirkac6823
Жыл бұрын
Barikiwa mtumishi. Karibu sana
Amina sana mungu ni mkuuu tulitukuze jina lake pekee katika maisha haya eeeh mungu tubariki sana kirumba karibuni season 3 tushirikiane kulitukuza jina la mungu Ili twende mbinguni pamoja amen 🙏🙏🙏
Nawafatilia sana KAC, Kila ninapowasikiliza nakosa uvumilivu nalazimika kushare
@kirumbaadventistchoirkac6823
Жыл бұрын
Asante sana Muyabi na Mungu Akubariki,
Nabalikiwa sana Kwa ala tamm sana zenye utukufu amen
Jaman nawaona wengine kaka zangu mbarikiwe ni moja kati ya nyimbo zinazonibariki sana
Lindo demais esse hino! I am Brasil
Hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah Amina Aminaaaaaa Amina kubwa mbinguni Kwa mwokozi. Uganda is quiet and listening. Ni Mungu hapa. Touched
Wimbo mzuri mbarikiwe kirumba jina la Mungu litukuzwe
@kirumbaadventistchoirkac6823
Жыл бұрын
Amina
Nabarikiwa sana
Kweli nyimbo hizi zina bariki
More love from Zambia ❤..may Gid continue blessing your ministry
Bwana awabariki sana kwa kazi nzuri
Amen
Hizi ndio nyimbo za sayuni,,,,hallelujah
Barikiwen Sana watu wa Mungu.
Nabarikiwa sana na upigaji wa vyombo wa kiwango cha juu sana.
Mfike mbali kwa kwelii mnamtukuza Bwana vema
Barikiweni sana Wanakwaya. Upendo wa kimbingu uwafunike daima❤
Bwana awabariki sana!!!
MUNGU awabariki sana kazi nzuri inamuinua KRISTO
Mbarikiwe sana wapendwa
Ni shauku yangu MUNGU akiabudiwa katika namna njema sana mbarikiwe maradufu maradufu amina
@kirumbaadventistchoirkac6823
Жыл бұрын
Amina
Utamu wa kumuimbia Bwana,mbarikiwe
@kirumbaadventistchoirkac6823
11 ай бұрын
Amina
Wow!
Ameen waimbaji wa kirumba mnatubariki sana mbali na uwimbaji wenu mzuri lkn mnatupa na neno akika tunabarikiwa sana
@kirumbaadventistchoirkac6823
Жыл бұрын
Amina
Kazi nzuri sana
@kirumbaadventistchoirkac6823
11 ай бұрын
Amen
Nabarikiwa sana so touchable ❤
Amina!!
Kwa ya bora sana! Amina amina amina amina
@kirumbaadventistchoirkac6823
Жыл бұрын
Amina Prof.
Miguu ichokapo sikati tamaa I like it
Mungu awabarik natamani siku ile si sote tukutan uko mbinguni
@kirumbaadventistchoirkac6823
Жыл бұрын
Amina mtumishi
Nmebarikiwa sana na huu wimbo , kuanzia intro ilivopigwa had Mwisho wake... Mbarikiwe sana kwaya ya Kirumba... Mnainua mioyo kumuelekea Mungu
Haleluya yu hai Mwokozi wetu, barikiweni sana
@kirumbaadventistchoirkac6823
Жыл бұрын
Amina
Hakika Yu hai!!! Mbarikiwe sanaa!!
Amen wimbo wangu pendwa
@kirumbaadventistchoirkac6823
11 ай бұрын
Barikiwa
Tunabarikiwa na nyimbo zenu
@kirumbaadventistchoirkac6823
11 ай бұрын
Amina
Amen hallelujah ❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Aise hivi kuna watu Mungu Anawapush mbali ili kusudi litimie eeeee Bwawa awabariki I wish I'll get the chance to meet with God soon
@praisesingersbariaditz
Жыл бұрын
Praise singers wanatamani kusalia hapo hata siku moja wanajipanga?
@kirumbaadventistchoirkac6823
Жыл бұрын
Amen
@kirumbaadventistchoirkac6823
Жыл бұрын
Karibuni sana.
Amina mbarikiwe sana KAC mko vizuri mnoooooo
@kirumbaadventistchoirkac6823
11 ай бұрын
Bwana Atukuzwe
Haleluya . Thank you God. Yu hai
Aminaa🙏🙏🙏 following from Kenya
@kirumbaadventistchoirkac6823
11 ай бұрын
Aminaa
Kazi njema
@kirumbaadventistchoirkac6823
11 ай бұрын
Amen
Mbarikiwe saaana watu wa Mungu
@kirumbaadventistchoirkac6823
Жыл бұрын
Amina Sam
Kirumbaa bwana awabarikii
Kwa kweli Yu hai
Amen. This has been a blessing to my soul!
Mzidi kubarikiwa watu wa Mungu
@kirumbaadventistchoirkac6823
Жыл бұрын
Amen
huwa sichoki kusikiliza au kuimba mashairi ya huu wimbo. I am blessed.. you guys Mungu awaweke
@kirumbaadventistchoirkac6823
11 ай бұрын
Amina Upendo
Naendelea kubarikiwa nanyi Kirumba. Salamu zangu nazituma kwa Miso sasa naona kakomaa kwa Bwana mwambieni asikate tamaa mpaka ile asubuhi njema.
@jamessilunjili4548
7 ай бұрын
Bwana awabarik sana!!!
Amen❤
awa wapiga vyombo wajengewe sanamu hapo nje ya kanisaa
@kirumbaadventistchoirkac6823
Жыл бұрын
Halleluiah
@buyambakassaja-wn2rt
7 ай бұрын
Sanamu gani
Wapiga vyombo n a teacher who conduct ther wow...am so touched 😊
@kirumbaadventistchoirkac6823
11 ай бұрын
Amen
Nyimbo nzuri kbs Tunawapenda sana ❤🎉Bwana wetu you hai kbs Anatupenda sana
@kirumbaadventistchoirkac6823
Жыл бұрын
Amina, Mbarikiwe sana.
Nimebarikiwa sana
@kirumbaadventistchoirkac6823
Жыл бұрын
Amen, Endelea kufuatilia na usisahau kuSubscribe
Mungu awe nanyi hadi mwisho wa dahari ❤❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿🙌
@kirumbaadventistchoirkac6823
Жыл бұрын
Amen, barikiwa sana
Mbarikiwe sana @KAC 🙏
@kirumbaadventistchoirkac6823
Жыл бұрын
Amina Mgonja
Mungu ni mwema awabariki sana
@kirumbaadventistchoirkac6823
Жыл бұрын
Amen
Amina San mbarikiwe san
@kirumbaadventistchoirkac6823
Жыл бұрын
Amina
Mwende mbalii.....🙏🙏
@kirumbaadventistchoirkac6823
Жыл бұрын
Amen
Great singing
Mungu awabariki sanaaaa
@kirumbaadventistchoirkac6823
Жыл бұрын
Amina Phyniace
Mungu awabariki
@kirumbaadventistchoirkac6823
Жыл бұрын
Amina
Amen. Jesus is alive. More grace servants of God
@kirumbaadventistchoirkac6823
Жыл бұрын
Amen brethren. Be blessed na Karibu sana
Oooooooh lovely lovely kabisa!
@kirumbaadventistchoirkac6823
10 ай бұрын
Amen Mwl. Karibu
Nice song
Ameen
@kirumbaadventistchoirkac6823
11 ай бұрын
Amina
Amina,, Mungu awabariki
@kirumbaadventistchoirkac6823
Жыл бұрын
Amina, barikiwa sana pia.
Amen. " I am He who lives, and was dead, and behold, I am alive forevermore. Amen. And I have the keys of Hades and of Death." Revelation 1:18
@kirumbaadventistchoirkac6823
11 ай бұрын
Amen
Barikiweni Sana KAC
@kirumbaadventistchoirkac6823
Жыл бұрын
Amina Scho
Hakika Yu hai ndani yangu
@kirumbaadventistchoirkac6823
Жыл бұрын
Amina
30th December if God wills I will attend the next concert, baraka tele from Kenya 🙏🏾
@mongetantale7145
7 ай бұрын
Karibu sana
Beautiful beautiful beautiful. Blessings 🙏🏾
@kirumbaadventistchoirkac6823
11 ай бұрын
Amen
Amina 😍👌🏽🇹🇿
@kirumbaadventistchoirkac6823
11 ай бұрын
Alleluiah
@floramwaitete2107
9 ай бұрын
He lives He lives within my heart
AMEN ❤🙏
Amen Yu hai ndani yangu. I'm blessed. God bless u.
@kirumbaadventistchoirkac6823
Жыл бұрын
Amen
I love this hymn. Mungu awabariki sana
@kirumbaadventistchoirkac6823
Жыл бұрын
Amen Ndugu
Não me canso de ouví-la.
Men. Nice video and music.
@kirumbaadventistchoirkac6823
Жыл бұрын
Amen
Yu hai!
@kirumbaadventistchoirkac6823
Жыл бұрын
Amen
So organized, so decent, may God bless you as you worship Him
@kirumbaadventistchoirkac6823
11 ай бұрын
Amen
Lindo Lindo Lindo mesmo, demais, parece me transportar um lugar celestial. Amém e amém e amém...
Amen amen! Yu Hai ..
Amen. I love this choir, from the songs, am blessed more and more. Kindly upload more.
@kirumbaadventistchoirkac6823
Жыл бұрын
Amen David, we will.
Be blessed, so amazing
Wimbo mtumu kweli kweli👌
@kirumbaadventistchoirkac6823
Жыл бұрын
Amen, Barikiwa
We are all blessed🎉❤
Marvelous 🔥🔥🔥