UJIO - Called To Serve Ministries - Official Music Video
Ni kweli mara nyingi umesikia habari za UJIO: Nasi tunaungana pamoja kukuhimiza juu ya UJIO wa Bwana wetu YESU Kristo mara ya pili.
Je, uko tayari?
Be blessed,
Please SUBSCRIBE, LIKE, SHARE, COMMENT, and FOLLOW us on this channel and our social media pages for more updates:
#calledtoserveministries #bongotrend #gospel #gospelmusic #music #müzik #adventistchurch #sda
Пікірлер: 144
Injili tuhubiriyo iwe ndio injili tuokolewayo kwayo..yaani ifanye kazi mioyoni
God bless your art of praise. Keep keeping
Hongereni mmeimba vizuri na wimbo unaujumbe mzuri ili jamani mnatuangusha sis ni wasabato wakwenda mbinguni laki hayo mavazi yenu dah mnatuangusha
Amina
Wimbo una ujumbe mzuli tume balikiwa ila tuta balikiwa vizuli zaidi mki badili mavazi yenu hasa wanawake
Nice song indeed
Nyimbo nzuri ila tengenezeni mavazi na nywele muwe wasabato mnaomsubiri yesu fanyeni matengenezo
@estherkibajiro3480
2 ай бұрын
kabisa wabadilike kimuonekano
@estherkibajiro3480
Ай бұрын
hawa nawafananisha na wale wauza miili yao yaan (wafanyabiashara za ngono)ni aibu kubwa kuitiza mbele za watoto unsogopa watoto wasije kuiga iyo rahana
@magrethjuma8515
23 күн бұрын
Kwa kweli mavazi wabadili
@mwengijoseph377
16 күн бұрын
4:00 4:00
@wilfredchagwa1128
13 күн бұрын
hii ingewafata inbox ingeleta afya sana kuliko hapa ni kama mnaleta vita wakati hamkuitwa kuwa wahukumu asee… hata kazi nzuri ya uimbaji pia kwenu imekuwa bureeee 🤦♂️! katika karatasi kubwa jeupe mmeona kuzungumzia kialama kidogo cheusi kilichewekwa kwa kalamu ndio la msingi kuliko uzuri wa weupe wa karatasi? Nadhani mnaweza kuwafikia mkawapa hayo maoni naomba kuwasilisha 🙏
Wimbo mzuri sana ndioo tunasubiri kubadilishwa hila kabla ya kubadilishwa dada zangu nanyie mbadilishe mavazi kidogo tuwe kama wasabato hila nawapenda😂😂😂❤❤❤❤❤
Nataman kuimba kwenye kikund hichi sjui kipo wap anyway hongera mnajua kuimba ✊🙏
@hawazakaria-kw5lh
5 ай бұрын
USA
Nabarikiwa Sana Kwa nyimbo zenu. Kazi nzuri. Songeni mbele daima. Mungu awabariki mno wanangu.
@calledtoserveministries
3 ай бұрын
Amen asanteni sana tunawapenda🙏🏽🙏🏽
Sauti zenu nzuri zimetulia hongereni mmependeza...
Choit of stars, Mungu mbele
Amen ...kaz nzr...songeni mbele popote mlipo pigen kaz vjn wa Yesu
Amen! Wote tutabadilishwa 4:09
@calledtoserveministries
6 ай бұрын
Tufanane na Yesu😊🙌🏽
Mziki mzuri
@calledtoserveministries
6 ай бұрын
Barikiwa 🙏🏽
Mbarikiwe Sana. Wimbo mzuri, sauti nzuri!
@calledtoserveministries
6 ай бұрын
Amen asante sana🙏🏽
Blessings
@calledtoserveministries
6 ай бұрын
🙏🏽🙏🏽
🌸
Safii
@calledtoserveministries
6 ай бұрын
🙏🏽
Amen nice one @ bro Naboth and siz Phoebe, blessings
@calledtoserveministries
6 ай бұрын
Blessings 🙏🏽
Ninangoja na ninasubiri, ujio wake Mkombozi. Ahadi yake Ni hakika. Si mbali itatimia🙏
@calledtoserveministries
6 ай бұрын
Amen 🙏🏽
May God bless the composser of this song
@calledtoserveministries
6 ай бұрын
Amen amen 🙏🏽
Waaw....wonderful song...Let the name of the lord be glorified
Kazi nzuri sana,. Be blessed madebele brother.
@calledtoserveministries
6 ай бұрын
Amen🙏🏽🙏🏽
Praise the lord for sound music and sound messages.
@calledtoserveministries
6 ай бұрын
Amen thank you so much for your continued support 🙏🏽
Je vous encourage et félicitations ! Mais autres ont suggéré le mauvais coiffure et gestion vestimentaire, moi aussi j'interviens juste pour donner un exemple au Burundi , dans des églises locales rurales , portant les meches , tu ne peux pas tenir devant pour chanter, ou bien avec les minu jupes!! Impossible Veillez compléter tous spirituellement, le bon Seigneur bénira vos Actes ❤
Huu wimbo jmn umenibarikii Sanaa Mbarikiwee sanaa
@calledtoserveministries
3 ай бұрын
Ubarikiwe zaidi
Nice song team, may God bless you for always praising him with inspiring songs
@calledtoserveministries
6 ай бұрын
Amen be blessed
I’m loving this tune. Great voices ❤
@calledtoserveministries
6 ай бұрын
Amen be blessed 🙏🏽
Straight from TikTok.
@calledtoserveministries
Ай бұрын
Be blessed
Blessed My bro John Mabwai
@calledtoserveministries
6 ай бұрын
Amen 🙏🏽
This song is awesome
@calledtoserveministries
6 ай бұрын
Be blessed 🙏🏽
Great talents here my people. Mungub awabariki sana
@calledtoserveministries
6 ай бұрын
Amen amen barikiwa zaidi 🙏🏽
Amen and Amen again..a nice piece 😊
@calledtoserveministries
6 ай бұрын
🙏🏽🙏🏽
Lovely song😘
Clean stuff kip it up!
@calledtoserveministries
6 ай бұрын
Appreciate it🙏🏽
Wanatuchanganya kwakweli ,yani kama Yakobo alivyomchanganya Isaka,Maneno ni ya Mungu lakini mwonekano wao hao wadada ni WA kishetani,,,,
@sibuormanganga8339
Ай бұрын
This is too harsh a comment...Biblia inasema Hamna ata Moja aliye msafi...Don't judge ..this is for God to do...let the name of the Lord be praised....mavazi na kadhalika haitupeleki binguni...
@magrethjuma8515
23 күн бұрын
@@sibuormanganga8339soma vizuli biblia ndo uje ukoment
kazi nzuri...hongerenii..
@ellyngussa201
6 ай бұрын
Weisiko🗣️🗣️🗣️
@hollolinabago
6 ай бұрын
Dah😂hii comment imeandikwa kwa utulivu kabisa🙌🏽Asante Weisiko🥰♥️
@tumaininguto4957
6 ай бұрын
yangu naweka chini ya tajiri yangu Weisiko What a master piece ❤🔥
@ellyngussa201
6 ай бұрын
@@tumaininguto4957ngutoo zote zimepokelewa kwa utulivu sana
@calledtoserveministries
6 ай бұрын
Asante sana 🙏🏽
Amen. Sauti nyororo kumsifu Mungu. 🎉🎉
My class well represented, Glory to God.
❤
Na mm nawaombea wapendwa bwana azidi kuwatumia mnamfanya vizuri.
"habari za ushindi kweli" i love this song and its people. mbarikiwe
Sio tu nywele hata mavazi hayo sio mavazi yakisabato badrisheni mavazi yenu
Amen
@calledtoserveministries
6 ай бұрын
🙏🏽
❤️❤️❤️❤️❤️Amina sana
muziki makinifu. aminaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa mbarikiwe zidi na zaidi
I'm blessed
@calledtoserveministries
6 ай бұрын
To God be the glory🙏🏽
Sauti zimekaa vizuri
@calledtoserveministries
6 ай бұрын
🙏🏽🙏🏽
goodjob guys❤❤❤
@calledtoserveministries
6 ай бұрын
🙏🏽🙏🏽thank you
Wooooow❤❤❤❤❤❤
Huu mzuri
@calledtoserveministries
6 ай бұрын
Asante sana🙏🏽
Video nzuri, wimbo mzuri...... sema kunae mdada kavaa miwani kama welder😂😂😂😂😂 jus kiddn
The matching at 1:52-1:54 👌
Teacher Eria Bwana awe nanyi
Hongereni sana mbarikiwe🙏🙏
Naeza wajoin🤭
Mbarikiwe na Bwana Ila acheni kunesa imbeni kisabato
❤❤
Eh! Ngoja nikipata mda nirudi niangalie vizuri😢😢
Mbarikiwe sana
@calledtoserveministries
6 ай бұрын
Amen 🙏🏽
Hii nyimbo nzuri
When I come to USA,I gonna join you guys
am amazed at the blessings of the Lord towards you may you be blessed more and more...
@tabithadaudi5960
5 ай бұрын
Amen amen
@calledtoserveministries
3 ай бұрын
Amen be blessed
Mnaimba vizuri hadi natamani nije kuimba
Ninasubiri ujio wake
👌🎧 👍 soyez béni Be blessed
@calledtoserveministries
6 ай бұрын
Amen you too 🙏🏽
@user-bm4ik3rw5o
6 ай бұрын
Asante, nimebarikiwa kwa wimbo Merci, Je suis béni par la chanson
eeeeiiii nice one
Duuuuu!!!!! ❤
Amen nabarikiwa
Kaeno kama hio injili ya yesi
Safiiiiiiiiiii❤
🔥🙏
Amina!
Ameeeeeen may God bless you
You guys in found in which State?
❤❤❤
Fantastic
Nice song
Awesome,but what happened to audio?
@calledtoserveministries
6 ай бұрын
Was there any problem with the audio on your end?
I love it
@calledtoserveministries
6 ай бұрын
🙏🏽🙏🏽
Blessed lovely voices ❤
Beautiful
@calledtoserveministries
6 ай бұрын
🙏🏽
Mlihama Light bearers?
Nice melody ☺️
@calledtoserveministries
6 ай бұрын
Thanks for listening 🙏🏽
Who program your songs???
Mnaimbaa ,ila wadada wenu wambienii wapunguzenii mitindo ya kimionekano
@calledtoserveministries
3 ай бұрын
Thank you for watching
Mnaimba vizurii lakin punguza kunesa😢😢
AMEN
Hawa wako U.S.A sio Tz😂😂😂
@EsmaIsaack
2 ай бұрын
Ila n wa Tz na Kenyans
God bless you by the way I want number za eliya ngus
Amina
❤❤
Fantastic