Mawaidha na Bi Mswafari: Kwanini mwanaume haridhiki na mke mmoja?

Mawaidha na Bi Mswafari: Kwanini mwanaume haridhiki na mke mmoja?
Citizen TV is Kenya's leading television station commanding an audience reach of over 60% and in its over 12 years of existence as a pioneer brand for the Royal Media Services (RMS), it has set footprints across the country leaving no region uncovered.
This is your ideal channel for the latest and breaking news, top stories, politics, business, sports, lifestyle and entertainment from Kenya and around the world.
Follow us:
citizentv.co.ke
/ citizentvkenya
/ citizentvkenya
plus.google.com/+CitizenTVKenya
/ citizentvkenya

Пікірлер: 142

  • @juliasmtobesya5031
    @juliasmtobesya50313 жыл бұрын

    Ni kweli kuwa mwanamme (aliye timamu) hatosheki na mke mmoja tena kwa asili mia zaidi ya 90% na hii ni kwa sababu za ki-maumbile (nature). Tofauti na wengi wanaofikiria kuwa haya yameanza hivi karibuni kutokana na michakato ya maendeleo ki-dunia, hisia hizi za kutoridhika zipo tangu enzi na enzi kwa kila kiumbe (wanyama, wadudu, ndege n.k) na kwa sababu hiyo maisha yamekuwa mazuri na ya furaha kwa kila kiumbe.

  • @priencedamdoek508
    @priencedamdoek5083 жыл бұрын

    Mwanaume hatosheki na mwanamke mmoja na mwanamke hatosheki na mwanaume mmoja.

  • @salmaalbarwani2618
    @salmaalbarwani26183 жыл бұрын

    Sio hawatosheki wao wataka kuona kila utupu wa mwanamke ndio ukawaona wengine hukamata dada zao watoto wao na na

  • @mariasellah4674
    @mariasellah46745 жыл бұрын

    This mkala guy must be a really good hubby ..... he is so real

  • @mrondieki9514
    @mrondieki95144 жыл бұрын

    Love this lecture.. Have only picked "jifunze kujikataza" nice quote

  • @essykate7869
    @essykate78695 жыл бұрын

    Ni sawa kumpokea mume. Hata pia wengine tulifunzwa kupokea baba aungiapo nyumbani. Tukimuona kwa gate tuko mbio kwenda mpokea. Kumbe yalikuwa malezi mema.

  • @mariamibrahim9855
    @mariamibrahim98557 жыл бұрын

    Lovely show mapacha's always blending humbled and smart

  • @mariamibrahim9855
    @mariamibrahim98557 жыл бұрын

    The mapacha always amazed me with tough mum and mkalla, ,, ny c show lively and enjoyable, kanze always crack me up

  • @deborahelikana1657
    @deborahelikana16573 жыл бұрын

    Ndoa inahitaji kujiweka KWA MUNGU pekee ndiyo itakuwa salama

  • @shuwehaharunaomariikwena233
    @shuwehaharunaomariikwena2337 жыл бұрын

    huyu mjomba anaongea point

  • @jeremiahmwaura9804

    @jeremiahmwaura9804

    3 жыл бұрын

    Hongera bi msafari

  • @aairraahseif5648
    @aairraahseif56483 жыл бұрын

    Mkale asema kweli kabisa 👍

  • @juliusmose826
    @juliusmose8267 жыл бұрын

    very true. These is a very good debate. ladies do make men go out

  • @okumuhakim3424
    @okumuhakim34244 жыл бұрын

    Fabulous debate for the community. Hongera. Watching from Westminster Abbey England

  • @vincentosayo2985
    @vincentosayo29854 жыл бұрын

    Fantastic advises God blesss you.

  • @tracymusyoki131
    @tracymusyoki1317 жыл бұрын

    Lulu u have nailed it,aty nampokea anaenda wapi

  • @wahidawahida6675
    @wahidawahida66755 жыл бұрын

    Ndio uislm ulijua hilo ndo maan ukaweka bayana kuwa na mke zaid ya mmoja

  • @okumuhakim3424
    @okumuhakim34244 жыл бұрын

    May God bless you all. Wonderful 👏

  • @rashidykihunga3962
    @rashidykihunga39623 жыл бұрын

    Asante mko vizuri sana

  • @opakhatibu5021
    @opakhatibu50212 жыл бұрын

    Ukitaka kujua wanaume ni lazima wawe na wake zaidi ya mmoja muangalie kuku, mbuzi na viumbe wengine, utaona kuwa ni lzm mwanaume awe na Mke zaidi ya mmoja.

  • @jescajulius8023
    @jescajulius80236 жыл бұрын

    inaonekana cc niwatumwa kwa wanaume so sad

  • @johnkiai4048
    @johnkiai40487 жыл бұрын

    Mimi hufurahia mawaidha yenu Bi.Msafwari na Mkala...ahsanteni sana.

  • @faithlagaka9805
    @faithlagaka98057 жыл бұрын

    mawaidha mazuri hayo lakini wa siku hizi lol ...hata ufanye nn kama ni wakuhanya atahanya tu ata ukimwosha umvue nguo umpikie chakula kitamu vipi hiyo kwake ni bure kabisaa

  • @gracekimambo4235

    @gracekimambo4235

    7 жыл бұрын

    Faith Lagaka

  • @salimihaviq501
    @salimihaviq5016 жыл бұрын

    Mkala.uko sawa kabisaa.

  • @emmanuelissabuninga7207
    @emmanuelissabuninga72075 жыл бұрын

    Bibi nakupenda sana mashauri yako,Mungu akubariki nakufuata nikiwa Australia.

  • @zindahwillson2106
    @zindahwillson21063 жыл бұрын

    Bi msafwari napenda mawaidha yako, mungu akupe maisha marefu

  • @beatricmmpantaleo3420
    @beatricmmpantaleo34203 жыл бұрын

    Naenjoy mnoo! God bless you! mnatusaidia wanawake tuwe makini kwa waume zetu how to handle them!

  • @bintirashidantybaby8146
    @bintirashidantybaby81467 жыл бұрын

    Hehehehehehe bi msafwari kweli waume wanatongonzwa jaman na wenye time table watacha

  • @estheralbrechtsen8999
    @estheralbrechtsen89995 жыл бұрын

    Mkala mbegu za wanaume wakiafrika kwani huwa tafauti na za Wazungu juu mzungu akikupenda amekupenda.

  • @opakhatibu5021
    @opakhatibu50212 жыл бұрын

    Ni haki ya Mke kujua kuwa mumewe anahangaika Sana kutafuta kwa ajili yake kwanza, maana watoto ni matokeo ya baadae.

  • @viranclemos4256
    @viranclemos42566 жыл бұрын

    for real you have made realize something when i get there i will do it thanks to you all

  • @hawahassan8685

    @hawahassan8685

    3 жыл бұрын

    Inafaa kujizuwia, matamanio yasikutawale

  • @pichuselemani3598
    @pichuselemani35983 жыл бұрын

    Nasepeli kitoko makasi 💯💋✅

  • @bethueltahash927
    @bethueltahash9276 жыл бұрын

    walai mkala ushasema ukweli hapo kwa kuitwa babykwa wanaume wengine ni ngumu kma mm wangu naweza kumchat nimtumie beb honey swry but yeye akireply anareply mama watoto basi mm hudhika sana

  • @sarunaSaruna-bp5wh

    @sarunaSaruna-bp5wh

    6 жыл бұрын

    PHIDELIS ACHIENG NYATES

  • @aishadaduda3086

    @aishadaduda3086

    6 жыл бұрын

    PHIDELIS ACHIENG NYATES.....hahahaha

  • @stevenlugojeremia2323
    @stevenlugojeremia23233 жыл бұрын

    Wanawake wa Sikuhizi Wapo bize Sana kupekuwa Simu Za Waume Zao Na kusoma Sms Kuliko Kukaguwa Madaftari Ya Watoto wao na kuwasahihisha pale Alipo Kosea

  • @jafarimyenzi8704
    @jafarimyenzi87043 жыл бұрын

    Hongera watanganzaji Kwa mdaalo wenye mafundisho

  • @salmaluhombero8466
    @salmaluhombero84663 жыл бұрын

    Asante Kaka twambie nyinyi ni ma King

  • @veronicanyangweso936
    @veronicanyangweso9364 жыл бұрын

    kweli bro

  • @isdorymutitu1442
    @isdorymutitu14423 жыл бұрын

    From makambako Tanzania kipindi kizurisaana mafundisho mazuri

  • @annjuma3395
    @annjuma33957 жыл бұрын

    true

  • @feisal6592
    @feisal6592 Жыл бұрын

    Yess hatutoshekii na mkee mmojaa

  • @ezekielosiemo9171
    @ezekielosiemo91714 жыл бұрын

    You have a point guys.

  • @zakiafaki7682
    @zakiafaki76824 жыл бұрын

    Kwa kweli huyu Mkalla anaongea ukweli mtupu na ndo inavotakiwa hasa.

  • @phidelisachiengnyates2027
    @phidelisachiengnyates20277 жыл бұрын

    hai napenda hii show sana nawatizama kutoka saudi arabia lulu na kanze mlifanya poa sana kumleta mkala pia

  • @aminaomar9675
    @aminaomar96753 жыл бұрын

    Nyny wakenya hamjui kiswahili vizuri njooni Zanzibar mjifunze

  • @feiswalsalim2117
    @feiswalsalim2117Ай бұрын

    jee wanake wengonhawajuo kujofunza kuwajuwa waime wao kuwawachokipenfa pia kjichagulia pia italuwasababu kumchagulia mke pia italuwepo sawa

  • @salmaluhombero8466
    @salmaluhombero84663 жыл бұрын

    Omg kweli kabisa mmejua kunikomesha kuhusu kichwa you right

  • @petersamwelizakayo6281
    @petersamwelizakayo62813 жыл бұрын

    Hapo naona kunautetezi kwa pande mbili, ila liko jambo ambalo mwanamme kutoka nje anasababishwa na mwanamke. Hii inatokana na mwanamke kujisahau mwanzo wake hivyo anakuwa mvivu na kumuona mme ni wakawaida

  • @beatricebolger9824
    @beatricebolger98246 жыл бұрын

    Nimefurahi sana na mada hii

  • @mohamedthoya7436
    @mohamedthoya74367 жыл бұрын

    pilau ina viungu vingi saana...mdalasini..e.t.c..mpango wakando...nikama iliki tu kwenye pilau...

  • @tanunewstz
    @tanunewstz3 жыл бұрын

    From Tanzania kaka imma nawaelewa vizur mno

  • @mwendapoleee
    @mwendapoleee6 жыл бұрын

    I am luvin dis! !!

  • @sunariabdulkadir5351
    @sunariabdulkadir53517 жыл бұрын

    najifunza mie

  • @faustineleonald2352
    @faustineleonald23523 жыл бұрын

    tafuta mwanaume mwenye upendo wa asili, upendo kwa watu wote wakubwa, wadogo, masikn, tajiri n.k asiwe mvivu awe mchamungu, hivyo pia kwa mke ! tatzo tunaridhika kudanganywa unapendwa wakati unashuhudia wengine akiwatendea madhambi ,, 2. follow the nature:- mwanamke kubali mume ndie kiongozi ndani ya nyumba

  • @fatumamwinyi516
    @fatumamwinyi5163 жыл бұрын

    Je na ww mwanaume una uhakika umekamilika.?ni tabia tu hamna lolote mbona hamuendi kwa mmoja ukitoka kwa huyu kesho kwa huyo

  • @feiswalsalim2117
    @feiswalsalim2117Ай бұрын

    mum hapo umekosa time teboll aoikwambia amechoka utafanyeje hiyo ndop tom kpe

  • @moseskayan3705
    @moseskayan37056 жыл бұрын

    Mwanaume anapenda kubuni in kweli na wanaume Hutongoswa pia

  • @feisal6592
    @feisal6592 Жыл бұрын

    Ninachikifanya wanaxuinya najuwa ninachioo kufanya Mimi niktembaya natafuta shidaa zettuunhakuna kuongopabaa vitaa zitaruddii tena bilaa kuchezaa

  • @hassanmirambo564
    @hassanmirambo5643 жыл бұрын

    Wewe Mama wewe usijidanganye kihivyo mwanaume huwa anapenda kutambaa na style za kila aina kuna tu single twa kuchaji huku umekabeba unazunguruka nako chumbani wewe na huo ubonge wako hiyo style nitaipata wapi? Eti hako kengine kanaongelea sukari kwenye chai ulitoka kwenu kwenda kuweka sukari kwenye chai?

  • @mwatebelalugano8531
    @mwatebelalugano85313 жыл бұрын

    Hizo ni tamaa za mwili wasipojizuia zitawaua!

  • @OmanOman-gp7xm
    @OmanOman-gp7xm3 жыл бұрын

    Bi mswafari sio wote mie aliyekuwa mumewangu akinnita chizi kwakunikuta nikimuona nikijisikia raha lakini ilikuwa namyenyekea maana alinitafutia bila sababu nilimsamini km shilingi lakini wapi wanaume ampendeki

  • @salmaluhombero8466
    @salmaluhombero84663 жыл бұрын

    Ndio lako hilo

  • @aairraahseif5648
    @aairraahseif56483 жыл бұрын

    Wanaume wameruhusiwa kuoa mke zaidi ya mmoja,kwa nini mke hamruhusu mume wake kuoa?ikiwa amegundua mume wake hatosheki,twawazuia kuoa ndo maana waenda mpango wa kando

  • @feiswalsalim2117
    @feiswalsalim2117Ай бұрын

    muwaulize waheje upiga magotu ilikumpoke na nzenga akikupea maj uchiaa hip ni hekatu

  • @josephmgeni208
    @josephmgeni2083 жыл бұрын

    Huyo jamaa kaongea point sana msikilizeni huyo kaamua kesema ukweli

  • @allyngogomi6088
    @allyngogomi60883 жыл бұрын

    Huyu mwanamke anaongelea jinsi alivyo. Ila hana utaalamu wakuongelea ujinga alionao

  • @estheralbrechtsen8999
    @estheralbrechtsen89995 жыл бұрын

    Ati Mkondo wafwata maji 😂😂😂😂aki niokotwe Kenya

  • @carollyneodhiambo989
    @carollyneodhiambo9897 жыл бұрын

    heheheee. ..time-table,am dead.

  • @estheralbrechtsen8999

    @estheralbrechtsen8999

    5 жыл бұрын

    Yap na niya kila siku😂😂

  • @kiningabinking1285
    @kiningabinking12855 жыл бұрын

    Yaani ni kam ubishi sasa na wakt ni mafundisho😞😞😞😞 I don't like.

  • @mohamedijuma4447
    @mohamedijuma44473 жыл бұрын

    Sababu lazima hata kama ukaona wafanya kila kitu

  • @alikombo5293
    @alikombo52933 жыл бұрын

    Ndio

  • @restipaul4286
    @restipaul42863 жыл бұрын

    Hatarii

  • @restipaul4286

    @restipaul4286

    3 жыл бұрын

    Good lectures

  • @e.crabtree4313
    @e.crabtree43135 жыл бұрын

    Let fathers and mothers make a solemn promise to God, whom they profess to love and obey, that by His grace they will not disagree between themselves, but will in their own life and temper manifest the spirit that they wish their children to cherish. Parents should be careful not to allow the spirit of dissension to creep into the home; for this is one of Satan's agents to make his impression on the character. If parents will strive for unity in the home by inculcating the principles that governed the life of Christ, dissension will be driven out, and unity and love will abide there. Parents and children will partake of the gift of the Holy Spirit.

  • @feiswalsalim2117
    @feiswalsalim2117Ай бұрын

    nikweli wanawake ndop malikabwazetu mwendio ukisikia tukisema kwendo wake kama tausi

  • @alihijiiddi8977
    @alihijiiddi89773 жыл бұрын

    UWENDE SALUNI KUFANYA NINI USHETANI HUWO KUFANYIWA UZURI UKAJIUZE KWA NINI USIFANYE NDANI MWAKO UZURIWAKO

  • @barnabasmafuru6930
    @barnabasmafuru69303 жыл бұрын

    Hao wanawakee wanaozani mume unaishinae 50 - 50 mtakwamaa sanaa usiponiheshimu na ingesa hata ukinipenda naongeza wanaume tume umbwa na tamaaa za macho ila wanawake nimpaka usikie au ugusweee

  • @mutomubaya
    @mutomubaya4 жыл бұрын

    Kuchepuka sio suluhisho lakini.baadhi ya kina dada wachoyoooo, kumpa mume raha hawakubali hata wakifunzwa huchukua mda mrefu kuelimika mambo ya kimapenzi makaribisho hawaelewi, kustawisha baraza la.ndoa hawafahamu, kujifunza.hawataki, wakiongeleshwa wakali, kutuliza mume washindwa. Siku hizi kuna waalimu wa kike wansojua kufunza mambo yale wanaume wanapenda.katika.ndoa. kwa hivyo kina dada wasipoteze muda wajielimishe.

  • @savemeallah5180
    @savemeallah51803 жыл бұрын

    Edeleeni. Kutushauria. Nivizuri. Lakini kitukimoja. Munapo. Toaushauri. Unatakiwa. Usubiri. Kwaza. Mwezako. Amalize. Kwaza maongezi. Badaye unanyoosha. Kidole. Chako. Alafu. Unaruusiwa. Kutoa ushauri. Kwetusisi samaani. Kama wazolangu. Nizuri

  • @ashasaid3828
    @ashasaid38285 жыл бұрын

    jamn huwa nakipenda hiki kipindi

  • @aairraahseif5648
    @aairraahseif56483 жыл бұрын

    Mke akisha olewa na kuwekwa ndani basi hujisahau na kutosheka,hawajui majukumu yake

  • @OmanOman-gp7xm
    @OmanOman-gp7xm3 жыл бұрын

    Uyo bibi sikweli wasasa ukuchoka mwanamke wasema awezikula maarangwe kilasiku

  • @OmanOman-gp7xm
    @OmanOman-gp7xm3 жыл бұрын

    Kweliiyo bi mswafari

  • @rashidibithali2466
    @rashidibithali24663 жыл бұрын

    Bithali toka dodoma tanzania bi msafari nakuelewa sana wape dawa haipiti siku lazima nikusikilize

  • @mohamedthoya7436
    @mohamedthoya74367 жыл бұрын

    Time table muhimu saana bila hivyo...utaisha wengine...mhhhm balaaa

  • @tonytp-2139
    @tonytp-21397 жыл бұрын

    Lulu nampokea yu-aenda wapi!

  • @carolinenakirutimana1559

    @carolinenakirutimana1559

    3 жыл бұрын

    Akimwambiya hana neno .mume anapwaswa kumchocea mkewe ajue anashida gani, ili amuoneshe kama anamjali. Mke atafurahi.

  • @carolinenakirutimana1559

    @carolinenakirutimana1559

    3 жыл бұрын

    Hiyo ni tamaaaa tu zinawahangaisha. Hakuna kingine akinuna mubembeleze,ukifika kwa malaya akinuna unampatia kila kitu Na kile unamnyima mkeo unampatia makaya.

  • @mohamedthoya7436
    @mohamedthoya74365 жыл бұрын

    Ndoa na mapenzi vitu viwili tafauti kabisa...asilimia 75 ya wanandoa ukuwauliza watakwambia walikua wakimpenda mtu tafauti...

  • @mwanashasuli2639
    @mwanashasuli26393 жыл бұрын

    yani ina maana wanamaana wanamatamanio kwakilamwannamke

  • @Ladypeace12312
    @Ladypeace123123 жыл бұрын

    This guy is very wise, and has a sexy voice

  • @ericmayaka7040
    @ericmayaka70406 жыл бұрын

    Wanaume wako na mbegu mingi

  • @gracewanjiru4748
    @gracewanjiru47486 жыл бұрын

    Bi msafwari mwanamke si sura ni tabia

  • @imlucky4306
    @imlucky43064 жыл бұрын

    Ww kanze ni ka ujaoleka....story yako hapana

  • @abdallahrajabu4401
    @abdallahrajabu44013 жыл бұрын

    Mwanaume rijali hawi na mke mmoja

  • @victoriaarao6553
    @victoriaarao65536 жыл бұрын

    Mtcheeeeewwww 😕😕😕

  • @bimumaulid1171
    @bimumaulid11713 жыл бұрын

    Bi mswafiri anaongelea WANAUME wa zamani 😁😁

  • @saaadeabdalla8984
    @saaadeabdalla89844 жыл бұрын

    Hakuna mume wa mtu hali yakua ana mke mmoja ,mume wa mtu niyule anaemiliki wake wanne

  • @osiahkayange3970

    @osiahkayange3970

    3 жыл бұрын

    Saaada habdalla ustuletee uislam wako apa malay wew ndoa ni yamke mmoja ayo mengne nikutafut majanga 2

  • @firbertpius2896
    @firbertpius28963 жыл бұрын

    Wanaume wanatosheka

  • @feisal6592
    @feisal6592 Жыл бұрын

    Parastetooo lazima zifanyiwe usafii ndio tu do ongeee mbelee

  • @pstboragilbertmunganga9945
    @pstboragilbertmunganga99453 жыл бұрын

    Shingo ndio lina zibiti kichwa, apo sasa

  • @jumahamis3372
    @jumahamis33723 жыл бұрын

    Kwa shelia ya dini ya kiisilam ndio maana luksa kuoa wake 4.

  • @pstboragilbertmunganga9945
    @pstboragilbertmunganga99453 жыл бұрын

    Mtu hawi mtumwa nyumbani mwake

  • @fatumamwinyi516
    @fatumamwinyi5163 жыл бұрын

    Hata ufanyeje ni ma mbwa tu hao tafuta pesa tu

  • @barasasimiyu8641
    @barasasimiyu86415 жыл бұрын

    Bi Mswafari ako chini ,Mkala waambie sasa ...