Mawaidha na Bi Mswafari: Kwanini mwanaume haridhiki na mke mmoja?
Mawaidha na Bi Mswafari: Kwanini mwanaume haridhiki na mke mmoja?
Citizen TV is Kenya's leading television station commanding an audience reach of over 60% and in its over 12 years of existence as a pioneer brand for the Royal Media Services (RMS), it has set footprints across the country leaving no region uncovered.
This is your ideal channel for the latest and breaking news, top stories, politics, business, sports, lifestyle and entertainment from Kenya and around the world.
Follow us:
citizentv.co.ke
/ citizentvkenya
/ citizentvkenya
plus.google.com/+CitizenTVKenya
/ citizentvkenya
Пікірлер: 142
Ni kweli kuwa mwanamme (aliye timamu) hatosheki na mke mmoja tena kwa asili mia zaidi ya 90% na hii ni kwa sababu za ki-maumbile (nature). Tofauti na wengi wanaofikiria kuwa haya yameanza hivi karibuni kutokana na michakato ya maendeleo ki-dunia, hisia hizi za kutoridhika zipo tangu enzi na enzi kwa kila kiumbe (wanyama, wadudu, ndege n.k) na kwa sababu hiyo maisha yamekuwa mazuri na ya furaha kwa kila kiumbe.
Mwanaume hatosheki na mwanamke mmoja na mwanamke hatosheki na mwanaume mmoja.
Sio hawatosheki wao wataka kuona kila utupu wa mwanamke ndio ukawaona wengine hukamata dada zao watoto wao na na
This mkala guy must be a really good hubby ..... he is so real
Love this lecture.. Have only picked "jifunze kujikataza" nice quote
Ni sawa kumpokea mume. Hata pia wengine tulifunzwa kupokea baba aungiapo nyumbani. Tukimuona kwa gate tuko mbio kwenda mpokea. Kumbe yalikuwa malezi mema.
Lovely show mapacha's always blending humbled and smart
The mapacha always amazed me with tough mum and mkalla, ,, ny c show lively and enjoyable, kanze always crack me up
Ndoa inahitaji kujiweka KWA MUNGU pekee ndiyo itakuwa salama
huyu mjomba anaongea point
@jeremiahmwaura9804
3 жыл бұрын
Hongera bi msafari
Mkale asema kweli kabisa 👍
very true. These is a very good debate. ladies do make men go out
Fabulous debate for the community. Hongera. Watching from Westminster Abbey England
Fantastic advises God blesss you.
Lulu u have nailed it,aty nampokea anaenda wapi
Ndio uislm ulijua hilo ndo maan ukaweka bayana kuwa na mke zaid ya mmoja
May God bless you all. Wonderful 👏
Asante mko vizuri sana
Ukitaka kujua wanaume ni lazima wawe na wake zaidi ya mmoja muangalie kuku, mbuzi na viumbe wengine, utaona kuwa ni lzm mwanaume awe na Mke zaidi ya mmoja.
inaonekana cc niwatumwa kwa wanaume so sad
Mimi hufurahia mawaidha yenu Bi.Msafwari na Mkala...ahsanteni sana.
mawaidha mazuri hayo lakini wa siku hizi lol ...hata ufanye nn kama ni wakuhanya atahanya tu ata ukimwosha umvue nguo umpikie chakula kitamu vipi hiyo kwake ni bure kabisaa
@gracekimambo4235
7 жыл бұрын
Faith Lagaka
Mkala.uko sawa kabisaa.
Bibi nakupenda sana mashauri yako,Mungu akubariki nakufuata nikiwa Australia.
Bi msafwari napenda mawaidha yako, mungu akupe maisha marefu
Naenjoy mnoo! God bless you! mnatusaidia wanawake tuwe makini kwa waume zetu how to handle them!
Hehehehehehe bi msafwari kweli waume wanatongonzwa jaman na wenye time table watacha
Mkala mbegu za wanaume wakiafrika kwani huwa tafauti na za Wazungu juu mzungu akikupenda amekupenda.
Ni haki ya Mke kujua kuwa mumewe anahangaika Sana kutafuta kwa ajili yake kwanza, maana watoto ni matokeo ya baadae.
for real you have made realize something when i get there i will do it thanks to you all
@hawahassan8685
3 жыл бұрын
Inafaa kujizuwia, matamanio yasikutawale
Nasepeli kitoko makasi 💯💋✅
walai mkala ushasema ukweli hapo kwa kuitwa babykwa wanaume wengine ni ngumu kma mm wangu naweza kumchat nimtumie beb honey swry but yeye akireply anareply mama watoto basi mm hudhika sana
@sarunaSaruna-bp5wh
6 жыл бұрын
PHIDELIS ACHIENG NYATES
@aishadaduda3086
6 жыл бұрын
PHIDELIS ACHIENG NYATES.....hahahaha
Wanawake wa Sikuhizi Wapo bize Sana kupekuwa Simu Za Waume Zao Na kusoma Sms Kuliko Kukaguwa Madaftari Ya Watoto wao na kuwasahihisha pale Alipo Kosea
Hongera watanganzaji Kwa mdaalo wenye mafundisho
Asante Kaka twambie nyinyi ni ma King
kweli bro
From makambako Tanzania kipindi kizurisaana mafundisho mazuri
true
Yess hatutoshekii na mkee mmojaa
You have a point guys.
Kwa kweli huyu Mkalla anaongea ukweli mtupu na ndo inavotakiwa hasa.
hai napenda hii show sana nawatizama kutoka saudi arabia lulu na kanze mlifanya poa sana kumleta mkala pia
Nyny wakenya hamjui kiswahili vizuri njooni Zanzibar mjifunze
jee wanake wengonhawajuo kujofunza kuwajuwa waime wao kuwawachokipenfa pia kjichagulia pia italuwasababu kumchagulia mke pia italuwepo sawa
Omg kweli kabisa mmejua kunikomesha kuhusu kichwa you right
Hapo naona kunautetezi kwa pande mbili, ila liko jambo ambalo mwanamme kutoka nje anasababishwa na mwanamke. Hii inatokana na mwanamke kujisahau mwanzo wake hivyo anakuwa mvivu na kumuona mme ni wakawaida
Nimefurahi sana na mada hii
pilau ina viungu vingi saana...mdalasini..e.t.c..mpango wakando...nikama iliki tu kwenye pilau...
From Tanzania kaka imma nawaelewa vizur mno
I am luvin dis! !!
najifunza mie
tafuta mwanaume mwenye upendo wa asili, upendo kwa watu wote wakubwa, wadogo, masikn, tajiri n.k asiwe mvivu awe mchamungu, hivyo pia kwa mke ! tatzo tunaridhika kudanganywa unapendwa wakati unashuhudia wengine akiwatendea madhambi ,, 2. follow the nature:- mwanamke kubali mume ndie kiongozi ndani ya nyumba
Je na ww mwanaume una uhakika umekamilika.?ni tabia tu hamna lolote mbona hamuendi kwa mmoja ukitoka kwa huyu kesho kwa huyo
mum hapo umekosa time teboll aoikwambia amechoka utafanyeje hiyo ndop tom kpe
Mwanaume anapenda kubuni in kweli na wanaume Hutongoswa pia
Ninachikifanya wanaxuinya najuwa ninachioo kufanya Mimi niktembaya natafuta shidaa zettuunhakuna kuongopabaa vitaa zitaruddii tena bilaa kuchezaa
Wewe Mama wewe usijidanganye kihivyo mwanaume huwa anapenda kutambaa na style za kila aina kuna tu single twa kuchaji huku umekabeba unazunguruka nako chumbani wewe na huo ubonge wako hiyo style nitaipata wapi? Eti hako kengine kanaongelea sukari kwenye chai ulitoka kwenu kwenda kuweka sukari kwenye chai?
Hizo ni tamaa za mwili wasipojizuia zitawaua!
Bi mswafari sio wote mie aliyekuwa mumewangu akinnita chizi kwakunikuta nikimuona nikijisikia raha lakini ilikuwa namyenyekea maana alinitafutia bila sababu nilimsamini km shilingi lakini wapi wanaume ampendeki
Ndio lako hilo
Wanaume wameruhusiwa kuoa mke zaidi ya mmoja,kwa nini mke hamruhusu mume wake kuoa?ikiwa amegundua mume wake hatosheki,twawazuia kuoa ndo maana waenda mpango wa kando
muwaulize waheje upiga magotu ilikumpoke na nzenga akikupea maj uchiaa hip ni hekatu
Huyo jamaa kaongea point sana msikilizeni huyo kaamua kesema ukweli
Huyu mwanamke anaongelea jinsi alivyo. Ila hana utaalamu wakuongelea ujinga alionao
Ati Mkondo wafwata maji 😂😂😂😂aki niokotwe Kenya
heheheee. ..time-table,am dead.
@estheralbrechtsen8999
5 жыл бұрын
Yap na niya kila siku😂😂
Yaani ni kam ubishi sasa na wakt ni mafundisho😞😞😞😞 I don't like.
Sababu lazima hata kama ukaona wafanya kila kitu
Ndio
Hatarii
@restipaul4286
3 жыл бұрын
Good lectures
Let fathers and mothers make a solemn promise to God, whom they profess to love and obey, that by His grace they will not disagree between themselves, but will in their own life and temper manifest the spirit that they wish their children to cherish. Parents should be careful not to allow the spirit of dissension to creep into the home; for this is one of Satan's agents to make his impression on the character. If parents will strive for unity in the home by inculcating the principles that governed the life of Christ, dissension will be driven out, and unity and love will abide there. Parents and children will partake of the gift of the Holy Spirit.
nikweli wanawake ndop malikabwazetu mwendio ukisikia tukisema kwendo wake kama tausi
UWENDE SALUNI KUFANYA NINI USHETANI HUWO KUFANYIWA UZURI UKAJIUZE KWA NINI USIFANYE NDANI MWAKO UZURIWAKO
Hao wanawakee wanaozani mume unaishinae 50 - 50 mtakwamaa sanaa usiponiheshimu na ingesa hata ukinipenda naongeza wanaume tume umbwa na tamaaa za macho ila wanawake nimpaka usikie au ugusweee
Kuchepuka sio suluhisho lakini.baadhi ya kina dada wachoyoooo, kumpa mume raha hawakubali hata wakifunzwa huchukua mda mrefu kuelimika mambo ya kimapenzi makaribisho hawaelewi, kustawisha baraza la.ndoa hawafahamu, kujifunza.hawataki, wakiongeleshwa wakali, kutuliza mume washindwa. Siku hizi kuna waalimu wa kike wansojua kufunza mambo yale wanaume wanapenda.katika.ndoa. kwa hivyo kina dada wasipoteze muda wajielimishe.
Edeleeni. Kutushauria. Nivizuri. Lakini kitukimoja. Munapo. Toaushauri. Unatakiwa. Usubiri. Kwaza. Mwezako. Amalize. Kwaza maongezi. Badaye unanyoosha. Kidole. Chako. Alafu. Unaruusiwa. Kutoa ushauri. Kwetusisi samaani. Kama wazolangu. Nizuri
jamn huwa nakipenda hiki kipindi
Mke akisha olewa na kuwekwa ndani basi hujisahau na kutosheka,hawajui majukumu yake
Uyo bibi sikweli wasasa ukuchoka mwanamke wasema awezikula maarangwe kilasiku
Kweliiyo bi mswafari
Bithali toka dodoma tanzania bi msafari nakuelewa sana wape dawa haipiti siku lazima nikusikilize
Time table muhimu saana bila hivyo...utaisha wengine...mhhhm balaaa
Lulu nampokea yu-aenda wapi!
@carolinenakirutimana1559
3 жыл бұрын
Akimwambiya hana neno .mume anapwaswa kumchocea mkewe ajue anashida gani, ili amuoneshe kama anamjali. Mke atafurahi.
@carolinenakirutimana1559
3 жыл бұрын
Hiyo ni tamaaaa tu zinawahangaisha. Hakuna kingine akinuna mubembeleze,ukifika kwa malaya akinuna unampatia kila kitu Na kile unamnyima mkeo unampatia makaya.
Ndoa na mapenzi vitu viwili tafauti kabisa...asilimia 75 ya wanandoa ukuwauliza watakwambia walikua wakimpenda mtu tafauti...
yani ina maana wanamaana wanamatamanio kwakilamwannamke
This guy is very wise, and has a sexy voice
Wanaume wako na mbegu mingi
Bi msafwari mwanamke si sura ni tabia
Ww kanze ni ka ujaoleka....story yako hapana
Mwanaume rijali hawi na mke mmoja
Mtcheeeeewwww 😕😕😕
Bi mswafiri anaongelea WANAUME wa zamani 😁😁
Hakuna mume wa mtu hali yakua ana mke mmoja ,mume wa mtu niyule anaemiliki wake wanne
@osiahkayange3970
3 жыл бұрын
Saaada habdalla ustuletee uislam wako apa malay wew ndoa ni yamke mmoja ayo mengne nikutafut majanga 2
Wanaume wanatosheka
Parastetooo lazima zifanyiwe usafii ndio tu do ongeee mbelee
Shingo ndio lina zibiti kichwa, apo sasa
Kwa shelia ya dini ya kiisilam ndio maana luksa kuoa wake 4.
Mtu hawi mtumwa nyumbani mwake
Hata ufanyeje ni ma mbwa tu hao tafuta pesa tu
Bi Mswafari ako chini ,Mkala waambie sasa ...