Bi Msafwari Usafi Kwenye Ndoa
Bi Msafwari Usafi Kwenye Ndoa.
Citizen TV is Kenya's leading television station commanding an audience reach of over 60% and in its over 12 years of existence as a pioneer brand for the Royal Media Services (RMS), it has set footprints across the country leaving no region uncovered.
This is your ideal channel for the latest and breaking news, top stories, politics, business, sports, lifestyle and entertainment from Kenya and around the world.
Follow us:
citizentv.co.ke
/ citizentvkenya
/ citizentvkenya
plus.google.com/+CitizenTVKenya
/ citizentvkenya
Пікірлер: 59
Kanze na Mkala wakioana mambo yawesa kuwa FIRE
Shukuran bi mkubwa nawaelewa sana oman baadhi wasikie mungu nisamehe
penda sana bi mswafar ingawa mim ni mtanzania, hongera sana mama karbu Tanzania.
Haha kanze dena I like your boldness and freeness of speech on air! You always amazed me with bi mswafari wewe ni kichwa ngumu!Tough mom is always tough on women
@doreenmuthoni3741
4 жыл бұрын
I miss Kanze sooo much...khaiii😩
I love this show Kane u always make this show lively keep it up
kila mtu ajue usafi not wife to b responsible of everything hata kaa ni mahaba nami kama mwanamke nani yuwanisugua ......kanze am fully seconding u
Mimi niko Saudi Arabia. Huku wenzetu warabu wanabadilisha bedsheets mara 2 tu.Huku wanabadilisha bedsheets kulingana na hali ya hewa . wakati wa baridi ni miezi 6 wakati wa joto ni miezi 6, kwa hivyo wanabadilisha 2 kwa mwaka. ni wachafu nomaaa
@AaA-tk3vv
8 жыл бұрын
nakwambia na vyenye wanaona wafanyikazi wakiwa wachafu
@emilykai6891
8 жыл бұрын
+Aa A warabu ni wachafu mbayaaaaa
@jiliangabriella945
7 жыл бұрын
sema polepole tushawazoea
@Janet_xd-rj5ec
7 жыл бұрын
ukweli my dear am in hail saudia
@shyneplatnumz2583
7 жыл бұрын
Emily Kai Kweli mtupu Riyadh
na wapenda nyinyi sana
I think my favourite kanze always forgets she is on air show nyc
Pongezi mama bi msafari mungu akupe neema na maisha marefu maana umesaidia ndoa nyingi sana
@estheralbrechtsen8999
5 жыл бұрын
Ametuwesa 👏👏👏👏
Each person is responsible for their own personal hygiene, this absurd idea of blaming women for it is a turd ridiculous not to mention redundant.....and what is this about? Ati do not wake a man up???? The last i checked its a marriage not a holiday camp for one party!!!!! SERIOUSLY?????
Mkala ati waona cenima ngapi😂😂😂?you made my night
@fadhilisalmon8827
3 жыл бұрын
Ffc h jhgjgXgggkg.;;&9;$ggjmj
Usafi wa mwili, nyumba na roho.... Lulu umenijaz...... Mawaidha mazuri sana bi msafari na mkalla
How do you wake up a grown up man ati akaoge... Ths woman thinking is that of 18th coentury very retrogressive. Marriage can only work when both parties respect each other and do the right thing. Hii story ya kuinamia mwanaume ni kama yeye ni God iko down sana.
Kanze my learned friend bi mswafari anajuq
Hahahhaha....mwanaume haamshwi, dah! mafunzo mazuri kweli. nawapata nikiwa Lebanon
😂😂😂😂😂😂kali sana
Asante
Hehehe kanze Dena 😂😂😂😂😂
Heheheee kali sana
Warabu wanatumaliza Sana na kazi zao mpaka kwa kitanda hakuna kazi wanashika kila kitu Ni msichana wa nyumba twachoka nawo
hahahahahaha kanze msimamo wako mkali
haaa kanze na maswali haa nice show
@faykian5682
8 жыл бұрын
nimejifunza nikija olewa illb on point I always follow up this show
Ila wanaume wanadeka muda mwingine mnh 😂😂😂
wambie bi msafari,ama sisi wacoast tutawachukulie waume wote...
YACHEKI TEMPERATURE YA MAJI YAKO. I am DEAD. If I was keen on wanting a husband, I would be taking notes from Bi Mswafwari.
Tobaaaa roho yangu mkala na kanze dena
Mm huosha zangu after 2days mwasema ukweli
hapo kweli kabisa bin safari lzma mwanaume umwangalie kweli kiupade wa kuonga
kanze dena hicho kicheko 😂😂😂
mahaba hayo co nyumba za kupanga
Hehe....mwanamme akiwa mchafu wa kulaumiwa ni mwanamke .Aogeshwe basi.....wanawake hawana chao.
muogeshe, wkati u wapi
he he kandze...!!!uko wapi we mume ubebwa mgongoni na visahani ....!!!
Jamani niko saudia arabia mafundisho hayo wangeyasikia laita wangejilekibisha yani warabu wacafuuuuu
huyo bwana hayo mavazi mazuri anunue, Mackup na lipstick, marashi anunue.mwanamke ni garam bimswafari.
Nisiposikiliza kipindi chenu najiona kama ninahahoma jaman
huo ni utumwa kwa mume looh acha aende t
kanze utajioa mwenyewe
Hahahahaa
😂 😂 😂 😂 Only in Africa
Usafi uko pande nyingi sio chumba
Wakikuyu ni wachafu jameni 🙈🙈🙈
@gracewanjiru4748
6 жыл бұрын
labda ww ndio mchafu
@lydiafrancis8855
5 жыл бұрын
Nkt bure kabisa......