Mawaidha na Bi Msafwari |Mbona ndoa za siku hizi hazidumu?
Citizen TV is Kenya's leading television station commanding an audience reach of over 60% and in its over 12 years of existence as a pioneer brand for the Royal Media Services (RMS), it has set footprints across the country leaving no region uncovered.
This is your ideal channel for the latest and breaking news, top stories, politics, business, sports, lifestyle and entertainment from Kenya and around the world.
Follow us:
citizentv.co.ke
/ citizentvkenya
/ citizentvkenya
plus.google.com/+CitizenTVKenya
/ citizentvkenya
Пікірлер: 467
Basically an educated, financially stable woman who stands for herself is a problem for the man. Those times are over. Women are not your prisoners anymore. Accommodate the modern woman's needs, ideas because clearly things are not the same anymore. Let women progress without demeaning them.
@abufidu
5 жыл бұрын
All the hosts of the show are in total agreement with what you are saying. This is why marriages don't last these days, things are not the same anymore. Probably "women's lib" and successful marriage are mutually exclusive. We just can not have both.
@chachamarwa1913
4 жыл бұрын
Bi msafwari nakuliuza swali je mimi nimeoa kwako mfano avu wewe do chanzo cha kutenganisha ndoa yangu mke wangu nami hamna shida nitafanyaje ili uachene na Mke wangu ?
Nimependa sana hiki kipindi kinafaa kabisa kufanyika katika vyuo vyetu live na vijana wakapewa wasaa wa kuuliza maswali. Big up sana
@petermalobya1345
3 жыл бұрын
Santeni Sana kwa darasa zuri
Shukran sana Tunapata faida sana kutoka kwenu,big up sana Rashid.. Sheikh Allah akujaze kheir
@zulekhasaidmohamed4043
4 жыл бұрын
Rashid Huyokaka kakamwegine ninamuelewa sana laiti nigempata ninamaswali nataka kumuuliza namuamini asema kweli
@koudrashabani9674
4 жыл бұрын
Mwenyezimungu Awanusuru
Well explained. Sasa nimejua tofauti ya kupendwa na kutakwa.asanteni.
@maxwellking9399
4 жыл бұрын
Sasa wee Winnie niambie... mimi unanipenda au Unanitaka:-)?
Mashaallah jazzakallah kheri inshaallah Allah awajalie zaid nimefurai sana mawaidha mazur mashaallah nimependa san
@florencejames501
3 жыл бұрын
Halima naomba naomba yako ya VODA mm saidi
@halimaalex5295
3 жыл бұрын
@@florencejames501 saidi mgani tena jaman
Tunawafwata 100/100 mimi na mke wangu Cécile. À santé kwa mashauri yenu
Wanawake wengi wanaolewa wakiwa na tabia njema sana ila huko kwenye ndoa wanavurugwa wanadharauliwa sana na wao wanaota mapembe yanawashinda wanapambana
@marthajuma8411
3 жыл бұрын
Yaani ulichoongea kiko sawa kabisa,hata mm mwenyewe niliolewa nikiwa na tabia nzuri sana lakini saiv acha tu nibadilike Hamna namna
Mm ni Mtanzania! Hongera Sana kipindi ni kizuri na kina maudhui mazuri wazee fanyeni kazi zenu/funzeni Mungu anawaona
@scolasticagibore8652
3 жыл бұрын
Sasa wewe mkokota hapo nini kimekukosha, acha umbea
Bi Mswafwari na squad yako, nashukuru kwa mawaidha yenu mazuri,yanajenga mno mungu awabariki na mzidi kutupa mambo mema ya uheri
Sheikh Allah akuzidishie zaidi
Too much truth...
@tatusalum8428
3 жыл бұрын
ubungo kids
Shukran
Wow i love this
From tz mungu akupe umri mrefu shekhee Amir
Asanteni sana
Very educative
Very great show, thanks all
Very true
The guy in green Ankara shirt hunibamba sana ...I always like his school of thought seen few of his videos .
Nkweli ndoa hazdumu nyakat hiz sana nkwasababu unakuta mwanaume amezoea kuwa na wanawake wengi tofaut tofaut rangi, shape n.k kwahyo kudumu na mmoja ningumu sana, naitwa lizbeth
Nice topic
Jambo mama ubarikiwe sana kabisa upepe shauri kabisa
Sheikh gonga point kuhusu mapishi Mashallah
@johnmicky2572
3 жыл бұрын
0Lop
@johnmicky2572
3 жыл бұрын
O ppppp P Ooo66666oo
Mashaa Allah,shiekh wangu, Allah akuhifadiye.
Sheikh tumekupata swafisana nice advice .Nakupenda sheikh kwaajili yake Allah .
Asanteni sana nilikuwa namtafuta sana hiyo shekhe kuna CD niisikia ya aina ya.wanawake xjui 7nk nilicheka mno moja ya hao wanawake no yule ambae akiona.wageni huanzisha kixhwa kinauma au no hao wa kichwani,na.mwingine.akiensa sehemu na mumewe utasikia ha on a friji lao kubwaa sio kama letu jmn
Mungu akubariki ndugu,nimejifundisha mengi.
Wanawake wa siku hizi imani imewsisha heshima hakuna upendo ndo kabisa imekufa. Kazi tunayo si mchezo kuoa miaka hii. Ee mungu tusaidie
@wacmber2131
5 жыл бұрын
Ukimakinika wala hutosumbuka
@josephaloyce2572
3 жыл бұрын
Jose
Personal responsibility begins with myself Steve Irungu Jermaine
Wanawake wa zamani waliteseka sana hawakuwa wa kuwasemea kabisa na wengi walikuwa hawafanyi kazi wanategemea waume zao ukiongea nao wamkuambia tulivumilia sana, wanawake wa sasa huwezi kuwanyanyasa wanajua kusimamia haki zao
@aminajohn5055
3 жыл бұрын
Kwel kabisa
@mariamtegele8606
3 жыл бұрын
True
@BlackPanther-lt7wr
2 жыл бұрын
True
Asante 💞💞
Heshima muhimu ladies respect men
@dripemoji3315
3 жыл бұрын
We will respect them if they respect us
Kweli
Jadhaka llah kheyra
Safi sana shekh
Siyo marafiki tu mama, na famillia zinaingilia ndoa za wanao sasa wenye ndoa wakikubali, ndoa inaisha au inaishi vibaya mwanandoa wa kike anaishi kwene ndoa kwa kuvumilia
Lesson nzuri
If I ever walk down the aisle I will walk out period I'm extremely sorry 😐😔😔😔😔😔😔😔😔😔😔😔😔😔😔😔 that's the bitter truth by Steve Irungu Jermaine
Pole
That's true I love this topic
@yakobolaiza1474
4 жыл бұрын
Gfmyewnczoyevsp
@hawamshamu303
3 жыл бұрын
Mimi tz nimeipenda iyo mada lakini matatizo nimengi kwenye ndoa
I have learned something, kunakupendwa na kutakwa
Marriage is like a death convict to me it's a hell NO I'm extremely sorry 😐😔😔😔😔😔😔😔😔😔😔😔😔 that's the bitter truth by Steve Irungu Jermaine
Mashallah shekhe
Siku hizi hamna ndoa ila kuna maigizo tu katika ndoa!!!Wanawake wengi wapo aftermoney kwa kipindi cha urafiki na uchumba uwa wanakuwa na heshima mno lkn ndoa ikifungwa tu ni sarakasi na kila aina ya kiburi.
Marriage went to the intestive care unit ie ICU I'm extremely sorry 😐😔😔😔😔😔😔😔😔😔😔😔 that's the bitter truth by Steve Irungu Jermaine
Hii class ni safi sana hongereni wazee wetu nyote hapo studio maneno yenu Yapo sawa kabisaa na bila kufuata hizo tabia zenu tutafeli
@zulfabakari5555
3 жыл бұрын
Nikweli kabisa
Mm naona chanzo n kukosa hekima na busara na hofu ya Mungu na maadili ya kiafrika zaidi.
Asanten sana kwa kipind kizur mm mtz nawafuatialia vizur sana
I came here today and this is just pure wisdom💯💯🙌🙌both religion and philosophies meet ... Those with ears let them hear, listen and understand💯🙌
@johnnsenga5079
3 жыл бұрын
Nimelewa sana maada
@agnessjohn1222
3 жыл бұрын
Wangu ukimtesa natoa avumilie mwisho auwawe saizi wanaume niwakatli wanaua wanawake zamani kulikua na ukandamizaji sio ndoa walikua wanalazimishwa kuolewa kwa nguvu
👏🏾👍🏾 ✊🏾🇧🇮
@taturajab205
3 жыл бұрын
👏👍
Hassan Omar Dirie jag är på besök från mig själv till ett nytt sätt är på väg till jobbet så mycket jag vill ha ett nytt jobb med mig.
Mungu atusimamie
I would rather live alone period by Steve Irungu Jermaine
I'm a proud bachelor without limits period so help me God in Jesus name Amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 by Steve Irungu Jermaine
Mkalla una facts Sana jamani mashallah 👍
Marriage is a voluntary union period I'm extremely sorry 😐😔😔😔😔😔😔😔😔😔😔 that's the bitter truth by Steve Irungu Jermaine
Asante sana MAMA na MZEE. 🤲👏💕💓
Asanteni kwa mashauri yenu nimepata kitu wapendwa
@zighemargaret
4 жыл бұрын
@Tumsifu Cheyo Yenyewe doa ni matunzo asante my dear
Chikeni part pia nichanzo.Sababu kungwi uwafunza uwiz natamaa mabint.Unakuta kungwi mwenyewe anawatoto sita.Nakila mtot na babake.Mabint somen wazaz wenu wawil.Nakuxoma maandiko matakatifu.Mtaacha maisha ya utawandazj namtavumilian
Mashallah mko vzr naombeni namba ya mmojawapo ili kupata ushauri
Ndowa azidumu kwasababu maisha magumu hali mbaya mwanaume anaisia ya mapenzi njogoo akilala amki kwamwezi malamoja
@lilianezekia5851
3 жыл бұрын
Ni kweli kabisa hiyo
Ni kweli Mwanamke akidisha urembo ule ubora wa shunguli zakifamilia utapungua : -kufuga kucha ndefu,kwenda kuoshwa miguusaluni, kujipodoa kupita kiasi nk. Huyu maranyingi atakua anamtegemea binti wa kazi. Sasa tayari anaanza kua mlemavu. Kumbe umemuoa mwanamke mlemavu ambae hata hawezi kunawa mwenyawe.
Napenda sana mnavyoongea
Nawashukulu kwamawogezi mazuli👍
Ni kweli mkala mume anataka heshima ndio muhimu
Hataree
Mimi Nimzanzibari Naishi UAE Nina Asili ya Oman Nimimi Nimependa Kipindi Nikizuri Mashaallah Mashaallah Mashaallah
Asante mjadala Safiii
Mada zuri sana masha'Allah
@zulfabakari5555
3 жыл бұрын
Yaani natamani nipate mume leo niyafanye haya yanayofunzwa humu,
@jackiemabduswamadkimimbi8652
3 жыл бұрын
@@zulfabakari5555 are u sure
@zulfabakari5555
3 жыл бұрын
@@jackiemabduswamadkimimbi8652 yes, I'm sure
kkk huyu sheikh vituko mleteni kila siku nimecheka sana sina mbavu
Mkala u r the best..... mtazamo wako ni wa hali halisi
Marriage is by choice period by Steve Irungu Jermaine
Shekh unafafana vzr sn na huyo kk aliyevaa shat la kitenge sante sn nmejifunza kitu santeni sn kwa wote
@barakajulias2475
3 жыл бұрын
Kitunguu
Mmmh
Kama hajui kupika utampikia asante sana si kumwacha, akimwacha hakumpenda
Ahsanteni sana,,, mozambique hapa tunawapata sana
Wakipenda mungu na kufuata sheria zake watapendana
Mimi murundi nimependa sana kipindi chenu
Sababu ya ndoa nyingi kuwa hazidumu { Katika Jamii ya Waislamu ] ni kwa sababu tumeacha njia aliyotufundisha Mtume, Swalla Allahu alayhi wa sallam, hasa kuhusu malezi. Vijana wakipatiwa malezi mazuri lazima yawe ya Kielimu. Na jukumu la kuelimisha vijana haliko juu ya wazazi peke yao bali Imaam ana jukumu la kuwafikishia watu wote wanaoswali Msikitini kwake ujumbe kamili wa Allah. Kwa hivyo kuhusu ndoa wanaoingia kwenye ndoa ni vijana. Ikiwa waliacha kuhudhuria vikao vya ilmu walipofikia umri wa ujana wengi utaona wanajua Kusoma Qur'an lakini ukiwauliza maana yake watasema, hatuelewi Kiarabu.Jambo la kwanza kuteremshwa katika Qur'an ni kuhsu umuhimu wa KUSOMA. Waislamu wa kwanza walikuwa ni waarabu kwa hivyo wakisoma qur'an wanaelewa, Lakini sisi wa sasa hatuwafundishi vijana wetu Kiarabu. Kwa hivyo wataweza vipi kuelewa mafundisho ya Ndoa na hali ya kuwa somo la Ndoa bado liko katika lugha ya Kiarabu? Na badala ya wazazi kuongea na Imaam ili apange masomo kwa vijana baada ya swalah na apange masomo kwa wazazi pia wamjue Allah na wajue kumuabudu na wajue malezi bora na apange masomo kwa Waslamu wapya. Hilo hakuna. Kwa hivyo ikiwa haturekebishi makosa yetu tujue kuna kujibu siku ya kiama kwa sababu Mtume amesema. Kullukum Raain wa Kullukum Mas'uulun. Ukisoma vyema hiyo Kauli ya Mtume utaona kwamba jukumu la malezi sio kazi ya wazazi peke yao. Turudini kwa Allah na tuwapatie vijana nafasi ya kujiendeleza ki masomo badala ya kuwaacha bila mawaidha wanakuwa watu wa kukaa vijiweni
@user-dg8qe9rf9h
5 жыл бұрын
Allah akubariki
@lacicam8119
4 жыл бұрын
Masha'Allah, ujumbe mzuri
@sharifabwamkuu4492
4 жыл бұрын
Allah akubarik Mashaallah maneno Matamu na mazur
Nasikiliza sana huyu mzee ako sawa kabisa
Ukijipamba kwaajili ya mume na waume wa sasa waingia nyumbani saa 6 ucku meckp yote ina wanja vimeshafutika
Hapana sio kweli kusema mwanamke awezi sahau bwana wa kwanza
@bahatijoseph8763
3 жыл бұрын
Wanawake hamuachani na mtu wako wa kwanza hilo ni kweli kabsaaa
Marriage is a corrupt institution I'm extremely sorry 😐😔😔😔😔😔😔😔😔😔😔 that's the bitter truth by Steve Irungu Jermaine
Hakka nmeyapenda mawaidha ya B msafwari
Huyo kaka wa nguo ya kikwembe anasema kweli. Wanaume wanapenda heshima lakini hawapendi kuheshime wake zawo
From Tz
Jamani hii nimeipenda
Nimewapenda kweli
maashaallah
@yunusukhamis3235
3 жыл бұрын
Nikweli nimeipenda sn l5jn wanamme nao wamezi minitafute tufaidi ote ila helazao wakaongeze mwamkemwingine?jmn nitihati tunashukuru kwamada hii
Ino
Hiyo si sababu kuna wanaume wengine wanasema wanataka mwanamke mwenye dini lkn akiiingia ndani anataka kukubadilisha uwe upto date hapo ndio munaanza mgogoro n.k
Wanaume wengine ni mbwa tu Hawana huruma unamuheshimu lakini hakueshimu kwanza ukizaa mtoto woooi wanadada twapitia shida tuliumbwa kuteseka na kuvumilia
@vokstheboss
4 жыл бұрын
Ni kama kuna mwanaume alikukosea
@valentinenasike6048
4 жыл бұрын
VOKS the BOSS not really it’s happening now days
@alfanm.8221
4 жыл бұрын
@@valentinenasike6048 mwanaume hajakuoa mulizaa nae kisa alikutamani kimapenzi na haikuwa kwa hisia ya kukupenda ndo maana lazima akutende lkini unapojieshimu na kujijua lazima utampata anae kupenda vile ulivyo ata ikitokea umezaa ndo mapenzi yanazidi.
@mentodimwanjale5771
3 жыл бұрын
Kumbe nababa yako ni umbwa
@valentinenasike6048
3 жыл бұрын
Mentodi Mwanjale nimesema wengine si wote uko na matatizo ya akili weuwe
Ndoa za sikuhizi tunaangalia sana TV...tunataka kuwa fulani sababu ni maarufu au tunataka kufananisha sana ndoa zetu na jerani kaacha mkewe kwa sababu hii na wewe unaacha. Pili ni marafiki wanachangia sababu hao marafiki wengi hawajaolewa au ndoa zao zina matatizo. sasa huwe zi kufata ushauri wa mtu ambaye hajaolewa au hajui nn maana ya ndoa..ushauri utakuwa mmbovu. .tatu vishawishi vingi ndaa inachangia wanawake wengi wanataka kuolewa kwa manufaa. .
Hapo kabisa twafulahia sana juu ya kutufunza mengi God bless all
Omg hii ni kweli
MUNGU awatunze wazee wetu💥💥💥💥Nawasikiliza nikiwa Oman mascut nawapenda mno
@ndeshukurwandosi8044
3 жыл бұрын
,,
Maashallah, nimeipenda mada nzuri. Naomba namie kushare katika channel yangu..
Mimi bwana Mongi Enoch kutokea DRC na shukuru sana na Yale mawaidha kwa kweli yamenifunza sana Mungu awabariki sana
@emmanuelbanzi4299
4 жыл бұрын
Nawakubali kwamashauri
jazzakaAllah kheri Allah awazidishie kila KHERI in Shaa Allah.... najifunz mengi san
Napenda sana mjadala wenu Mungu awaongezee siku nyingi za kuishi
@yonasimbo2945
3 жыл бұрын
Mijadala yenu mihimu Sana tatizo kizazi cha sasa ndo shiida na sijui kama Kita sikia haya na kufuata maana hatali ila munngu asaidie haya