BI MSAFWARI | Ni mambo gani huwachukiza wanawake katika ndoa?
Bi Mariam Migomba: Wanawake wanapenda faraja kwa waume zao. Lini wewe kama mume ulimnunilia mke wako nguo ya kuvaa #NipasheWikendi
Жүктеу.....
Пікірлер: 59
@ummua50064 жыл бұрын
Tania mbaya za wanaume 1)munachuma pamoja lakini kila kitu jina lake. 2)vimada nje. 3)bakhili kila siku sina. 4)mvivu. 5)hajui kusifu chakula au uzuri. 6)akipata aongeza wa pili.
@shabaniyusuf72503 жыл бұрын
Uko sawa, Bi Msafwari, kutoka Tanga, Tanzania
@husnakh51363 жыл бұрын
Umependeza sana Lulu Hassan💞
@salmasaidi28754 жыл бұрын
Haa yaani Ahsanteni nyote pamoja kila mtu asimama kidete kusema ukweli kabisaaa.nimefuraia sana.
@firdaussheikh48174 жыл бұрын
There're many women who never got the chance to be adviced by there mom, thank you bi. Mshafari umekua mama yetu
@misheckmwambogoro5878
4 жыл бұрын
Sisi wanaume tunapenda mke akisema njoo nikupe tamuu yaani njoo tusex lakini wake wengine ni kununa tuhata njoo chumbani hakuna hee unaomba penzi Kama police raha ya mme kwa mke no penzi wanawakee padirikeniii
@agapejosceline7683
3 жыл бұрын
@@misheckmwambogoro5878 😂😂😂😂😂😂
@mory1084
Жыл бұрын
@@misheckmwambogoro5878 🤣🤣🤣🤣🤣
@firdaussheikh48174 жыл бұрын
Lulu Hassan unapendeza sana na buibui ukhti
@sabrinayounisaden7238
4 жыл бұрын
Umeona eh!
@carolinemugure2192
4 жыл бұрын
Kabisa
@salmasaidi2875
4 жыл бұрын
Swadakta
@danielmoi22774 жыл бұрын
Hongera Sana kwenu Mada yenu Ni nzuri Sana Tena ZAIDI
@richardorina28364 жыл бұрын
Mawaidha mazuri kabisa. Thanks Lulu na Rashid kwa kazi njema mnayohifaya. Huyo mama kutoka Tanzania next time ahakikishe hako na bundles za kutosha before muingie kwa mada. You guys are very informative. Most of us tunaheshimu ile kazi ambayo mnahifanya!
@nadiaahishakiye8170
Жыл бұрын
Mungu awalip mema vipenzi,.
@jamilaabeid21774 жыл бұрын
Jamani swadakta mada hii inatugusa wengi jamani wanaume wagumu balaa yeye anataka kusifiwa lakini yeye sasa Allah Akbar Mungu awaongoze
@ramilialiy37254 жыл бұрын
Wanaume wa 2020 ni balaaa ni khery amshirikishe rafik kila kitu
@shishibaemchina32944 жыл бұрын
Shukurani Sana kwa mada zuri
@mdomar46504 жыл бұрын
Mada nzuri MashaAllah. Rashid wa sisemi kitu; hakika una niwacha hoi kwa vibwagizo na misemo ya mitaani. Kipindi kiko imara isipokua amepungua mzoefu Mkala. Yupo wapi lakini? Hongereni na Mola Awahifadhi.
@madinaomari6331
4 жыл бұрын
1owieijddv
@aminabakari5408 Жыл бұрын
Kwel kabisa mariam
@joywaithera6754 жыл бұрын
Leo moto
@paulinaenos35143 жыл бұрын
Wanawake wa siv wanapenda maisha yakuiga cn
@ruthyego64604 жыл бұрын
Bi safari waongea sana patina lulu na bi tz time
@balancedviewpoint74184 жыл бұрын
Bi Msafwari, Miriam na Lulu, maoni yenu mazuri sana lakini ukweli ndio hamtaki kusikiza kabisaaaaa. Hakuna dada au mwanamke yeyote upenda ukweli vile ilivyo mpaka ile wakati kumetokea uzuni ndio mnalia, heri ningeskiza wakati ule niliambiwa haya. Hakuna mwanamme upenda kuterekeza bibiye au mpenzi wake Bora afanye yale yanastahili tu. Wanaume hawana maitaji saidi ya tatu ndio kila kitu ikamilike 100% kwa ndoa. Kiburi tu, uharibu lila kitu kabisa harafu maovu mengine ufuata Mume anaitaji heshima, unyenyekevu na kutambuliwa.(Respect, submission and appreciation) basi. Hayo yooote mmeyasema kana kwamba ndio mwaitaji nyie kama wanawake yatatimia bila kuhuliza. Mwanamke yeyote anaonyesha kiburi upoteza raha na imani ya mazungumzo kwa ndoa yake Mwanamke ambaye hako na ulimi wa sumu ya nyoka (venom) ufukuza bwanaye kutoka nyumbani. Mwanamke ambaye uelezwa kitakatibu makoza yake kiza badala ya kurekebisha ununa wiki nzima ufanya bwana kukata kauri ya kutomuelezea maendeleo anafanya ya kifamilia badala yake upata hekima ya kuwaeleza jamii yake mahali amenunua ardhi au nyuma. Mwanamke ambaye upeleka mishene ya kuongelelea bwanake kwa vikundi vya hakina mama wengine uleta dhana mbaya ambayo inaeza peleka mwanamke mmoja muovu akatafute mumeo. Lakini haya yooote ni mwanamke jasili gani anaeza sikiza na akayafuata? Kama kweli mnadhania naongea uwongo tegea hapa tu mkajionea wenyewe. Waume wengi tuseme idhadi kubwa kama 80% utezeka lakini kawaida hawateti kama wanawake na hasira. Hao upata starehe kwingine.........
@fatumamwinyi5162 жыл бұрын
Neno nakupenda huwa wanaambiwa mchepuko tu wake wa ndoa mtasubiri sana
@lilianluvuno9033 жыл бұрын
Nimependa Sana hii mada
@christinemumprude78534 жыл бұрын
Kweli kabisa
@shabaniyusuf72503 жыл бұрын
Uko sahihi Bwana Rashid, niko Tanga,Tanzania
@aminaabdallah55564 жыл бұрын
Ni hakika kwa hayo
@joycendege41784 жыл бұрын
Rashid Hadi wanaume wako na mazoeano sio wanawake tu😂
@ivystar31294 жыл бұрын
Hmmm,mwanamke anafaa aitwe; beb,sweet, honey....n. Bla..bla...so hii inakuwa time ya kutongosana mkifika kwa nyumba mabadhiliko yanaanza.....unaambiwa usiseme beb mum atasikia!Alah!!!
@azooz26224 жыл бұрын
Mmmmmmh nikweli
@moanshabahrain86214 жыл бұрын
Mapenzi ni glass ikivunjika n basi
@gvextreme1134 жыл бұрын
Bi msafari mpe mwenzio muda achangie maoni yake pia
Пікірлер: 59
Tania mbaya za wanaume 1)munachuma pamoja lakini kila kitu jina lake. 2)vimada nje. 3)bakhili kila siku sina. 4)mvivu. 5)hajui kusifu chakula au uzuri. 6)akipata aongeza wa pili.
Uko sawa, Bi Msafwari, kutoka Tanga, Tanzania
Umependeza sana Lulu Hassan💞
Haa yaani Ahsanteni nyote pamoja kila mtu asimama kidete kusema ukweli kabisaaa.nimefuraia sana.
There're many women who never got the chance to be adviced by there mom, thank you bi. Mshafari umekua mama yetu
@misheckmwambogoro5878
4 жыл бұрын
Sisi wanaume tunapenda mke akisema njoo nikupe tamuu yaani njoo tusex lakini wake wengine ni kununa tuhata njoo chumbani hakuna hee unaomba penzi Kama police raha ya mme kwa mke no penzi wanawakee padirikeniii
@agapejosceline7683
3 жыл бұрын
@@misheckmwambogoro5878 😂😂😂😂😂😂
@mory1084
Жыл бұрын
@@misheckmwambogoro5878 🤣🤣🤣🤣🤣
Lulu Hassan unapendeza sana na buibui ukhti
@sabrinayounisaden7238
4 жыл бұрын
Umeona eh!
@carolinemugure2192
4 жыл бұрын
Kabisa
@salmasaidi2875
4 жыл бұрын
Swadakta
Hongera Sana kwenu Mada yenu Ni nzuri Sana Tena ZAIDI
Mawaidha mazuri kabisa. Thanks Lulu na Rashid kwa kazi njema mnayohifaya. Huyo mama kutoka Tanzania next time ahakikishe hako na bundles za kutosha before muingie kwa mada. You guys are very informative. Most of us tunaheshimu ile kazi ambayo mnahifanya!
@nadiaahishakiye8170
Жыл бұрын
Mungu awalip mema vipenzi,.
Jamani swadakta mada hii inatugusa wengi jamani wanaume wagumu balaa yeye anataka kusifiwa lakini yeye sasa Allah Akbar Mungu awaongoze
Wanaume wa 2020 ni balaaa ni khery amshirikishe rafik kila kitu
Shukurani Sana kwa mada zuri
Mada nzuri MashaAllah. Rashid wa sisemi kitu; hakika una niwacha hoi kwa vibwagizo na misemo ya mitaani. Kipindi kiko imara isipokua amepungua mzoefu Mkala. Yupo wapi lakini? Hongereni na Mola Awahifadhi.
@madinaomari6331
4 жыл бұрын
1owieijddv
Kwel kabisa mariam
Leo moto
Wanawake wa siv wanapenda maisha yakuiga cn
Bi safari waongea sana patina lulu na bi tz time
Bi Msafwari, Miriam na Lulu, maoni yenu mazuri sana lakini ukweli ndio hamtaki kusikiza kabisaaaaa. Hakuna dada au mwanamke yeyote upenda ukweli vile ilivyo mpaka ile wakati kumetokea uzuni ndio mnalia, heri ningeskiza wakati ule niliambiwa haya. Hakuna mwanamme upenda kuterekeza bibiye au mpenzi wake Bora afanye yale yanastahili tu. Wanaume hawana maitaji saidi ya tatu ndio kila kitu ikamilike 100% kwa ndoa. Kiburi tu, uharibu lila kitu kabisa harafu maovu mengine ufuata Mume anaitaji heshima, unyenyekevu na kutambuliwa.(Respect, submission and appreciation) basi. Hayo yooote mmeyasema kana kwamba ndio mwaitaji nyie kama wanawake yatatimia bila kuhuliza. Mwanamke yeyote anaonyesha kiburi upoteza raha na imani ya mazungumzo kwa ndoa yake Mwanamke ambaye hako na ulimi wa sumu ya nyoka (venom) ufukuza bwanaye kutoka nyumbani. Mwanamke ambaye uelezwa kitakatibu makoza yake kiza badala ya kurekebisha ununa wiki nzima ufanya bwana kukata kauri ya kutomuelezea maendeleo anafanya ya kifamilia badala yake upata hekima ya kuwaeleza jamii yake mahali amenunua ardhi au nyuma. Mwanamke ambaye upeleka mishene ya kuongelelea bwanake kwa vikundi vya hakina mama wengine uleta dhana mbaya ambayo inaeza peleka mwanamke mmoja muovu akatafute mumeo. Lakini haya yooote ni mwanamke jasili gani anaeza sikiza na akayafuata? Kama kweli mnadhania naongea uwongo tegea hapa tu mkajionea wenyewe. Waume wengi tuseme idhadi kubwa kama 80% utezeka lakini kawaida hawateti kama wanawake na hasira. Hao upata starehe kwingine.........
Neno nakupenda huwa wanaambiwa mchepuko tu wake wa ndoa mtasubiri sana
Nimependa Sana hii mada
Kweli kabisa
Uko sahihi Bwana Rashid, niko Tanga,Tanzania
Ni hakika kwa hayo
Rashid Hadi wanaume wako na mazoeano sio wanawake tu😂
Hmmm,mwanamke anafaa aitwe; beb,sweet, honey....n. Bla..bla...so hii inakuwa time ya kutongosana mkifika kwa nyumba mabadhiliko yanaanza.....unaambiwa usiseme beb mum atasikia!Alah!!!
Mmmmmmh nikweli
Mapenzi ni glass ikivunjika n basi
Bi msafari mpe mwenzio muda achangie maoni yake pia
Nilipitwa huku jamani😂😂😂
Ama upate mwanaume asie penda watotowako
kweli kabisa tunapitia magumu
Said.mapenzi.hakuna.niheri.kila.mtu.aishi.peke.yake.bora.uwe.nakatoto.kanaweza.kukusaidia.uKiwanis.kamazing.mgonjwa.
Wanaume vidondoa ndume
Mimi.niheri. Nisiolewwe.niheri.nibaki.wanaume.nimastress
Hata Paulo kasema wazi wanaume ishini na wake zenu kwa akili. Cjui aliwaza nini hapa
Kkkkk
Ata chupi hamna
Dff
Bi maliam yaan hcho mnacho kisema kipo kabs nip pamoja na nyie
Niko Texas napenda kipindi chenu
Kwanin wanahojiwa wanawake tu? Ni vizuri mnahoji na wanaume. Ili kupata mawazo pande zote.
@salmasaidi2875
4 жыл бұрын
Leo ni wanaume juzi ilikuwa wanawake click the link below
Rashidi anavyotetea hadi anabore
Atafute yake aandikishe jina yake
@alfanm.8221
4 жыл бұрын
😂😂😂😂 ati shamba liandike jina la mwengine wakati wewe ndo umekinunua
@ibrahim.kadabra5446
4 жыл бұрын
Rashidi tambua kuwa Kuna baadhi ya wanaume wenzio.hawajielewi kabisa nibora uwaelimishe kupitia wewe kuliko kuwatetea unaharibu
Kweli kabisa