Bi. Mswafari: Kwa nini wanawake wanaenda nje ya ndoa?

Bi. Mswafari: Kwa nini wanawake wanaenda nje ya ndoa?
Citizen TV is Kenya's leading television station commanding an audience reach of over 60% and in its over 12 years of existence as a pioneer brand for the Royal Media Services (RMS), it has set footprints across the country leaving no region uncovered.
This is your ideal channel for the latest and breaking news, top stories, politics, business, sports, lifestyle and entertainment from Kenya and around the world.
Follow us:
citizentv.co.ke
/ citizentvkenya
/ citizentvkenya
plus.google.com/+CitizenTVKenya
/ citizentvkenya

Пікірлер: 132

  • @sara.wanjalaalipoyesuyotey3613
    @sara.wanjalaalipoyesuyotey36137 жыл бұрын

    wow hongera sana bi musafari kazi zuri. ..

  • @mariamibrahim9855
    @mariamibrahim98557 жыл бұрын

    Kanze always amazed me with bi mswafari and mkalla,she always fight back

  • @annyannies518
    @annyannies5187 жыл бұрын

    Mm niko na mme wangu,nampenda sana,lakini ako na ulimi wa sukari kwa wanawake,na sitaki kufwata huo mtindo,afadhali nimwombee mume wangu apate kubadilika

  • @edithkovary3654
    @edithkovary36543 жыл бұрын

    Ahadi ya ndoa ni ngumu. Waaminifu ni wachache. Sababu ni nyingi. Ila mimi naona kama gari haitembsezwi vizuri. Lazima ipelekwe garage. Kwa wote wawili. Inaweza ikatokea kwa pande zote mbili.Mafunzo hayatolei kama zamani kabla ya ndoa. Umuhimu wa mafunzo ni jambo zuri sana. Ila sasa watu hawajali.

  • @rizikiantwanette6081
    @rizikiantwanette60813 жыл бұрын

    Tatizo moja bado ni kutoelewa kuwa tabiya ya wanaume inaendana natabiya wakila ndege sababu aliye pata mume njiwa ako nastarehe kuliko aliye pata mume mwewe tabiya inaendana nalivyo mazingira natabiya ya mwenyewe hata menyezi mungu asema kiungo chamwili kikiwa kita kupoteza amuwa kukikata ili uwe salama amuwa kulingana najaribu ulilo nalo

  • @phidelisachiengnyates2027
    @phidelisachiengnyates20277 жыл бұрын

    bi safari ur killing me with lough watching fro saudi arabia

  • @aishayusuf4318
    @aishayusuf43187 жыл бұрын

    lulu asema mapenzi Hayaitaji degreee.... big up dears mnatufungua macho

  • @sifaelolengushwaimollel8945

    @sifaelolengushwaimollel8945

    3 жыл бұрын

    0ottpo99f"t0ö9t"p

  • @kibongobongo4608
    @kibongobongo46086 жыл бұрын

    Tatizo wanaume wanatembea nje mpaka wanasahau kama kuna mke anamuhitajia na wakiambiwa wanakuja juu mpaka wanawake wanaamua watoke nje ni hawa wanaume ndio sababu kubwa ya mke kutoka nje ya ndoa

  • @bethueltahash927
    @bethueltahash9276 жыл бұрын

    mkala your rocking the stage haha ati wanaume wanawazimu haha

  • @jenynaafya
    @jenynaafya3 жыл бұрын

    Fahamu dalili za tezi dume 1.Kukojoa mara kwa mara hasa wakati wa usiku 2.mkojo kutoka kisiri siri 3.mkojo kutoka bila nguvu na kutokuruka mbali. 4.kokosa hamu ya tendo la ndoa na kuishiwa nguvu za kiume. 5.kupata ugumu na maumivu wakati wa kukojoa. Tezi dume isipotibiwa mapema huleta madhara mbalimbali kama 🔸 Upungufu wa nguvu za kiume 🔸 Saratani ya tezi dume 🔸Figo kufeli 🔸Mawe kwenye figo 🔸Kifo Kwa ushauri na tiba 0655523211

  • @husnakeziya7758
    @husnakeziya77587 жыл бұрын

    Inauma sana bi msafar wkt mumeo atatembea na rafik yako mpaka wazae hata ukikaa miaka mingapi huwez sahau na kila ukifikiria wakosa iman na yule mume

  • @marykawira9266
    @marykawira92667 жыл бұрын

    great show always , wish it was daily

  • @sarahwawuda7638
    @sarahwawuda76387 жыл бұрын

    hongera sana mwatu elimisha juu ya ndoa zetu

  • @vivianjohn2430
    @vivianjohn24307 жыл бұрын

    show iko juu

  • @estheralbrechtsen8999
    @estheralbrechtsen89995 жыл бұрын

    Mkala👏👏👏👏👏👊

  • @edgasimkoko321
    @edgasimkoko3213 жыл бұрын

    safi sana mkala unaongea vizuri sana

  • @adamdeus6015
    @adamdeus60153 жыл бұрын

    mada nzuri sana

  • @deusmauka9626
    @deusmauka96263 жыл бұрын

    Huyo mama bonge ni mpotoshaji anawapoteza wanawake, huwezi kufanya upumbavu kisa mumeo kafanya ujinga, wakumlilia mambo yakae sawa ni kumuelekea Muumba na si kufanya uzinzi, wafundisheni wawe jeuri muone familia itakuwaje mama nae atoboe chupi.

  • @khamiskhamis5323
    @khamiskhamis53236 жыл бұрын

    Kuchepuka ni mtu yeye mwenyewe iwe Mwanamke au Mwanamme,,lkn mara nyingi ni tamaaa tuuu iwe ya Mali au matamanio ya kijinsia,,

  • @jacobambaopiyo3428
    @jacobambaopiyo34287 жыл бұрын

    wanawake wengi hufanya comparison vile wenzao wanakuwa treated na mume zao, lakini wanasahau kuwa mikono havitoshani, hata umpende vipi hawazi kukuappreciate juu anakuwa na ego, hivyo issues zinawafuata ndoa hadi mume anaamua kutoka na mwanamke pia anantoka, ## kiswahili naisomea bado##

  • @sylviemugeni1887
    @sylviemugeni18873 жыл бұрын

    kweli maman

  • @mariamibrahim9855
    @mariamibrahim98557 жыл бұрын

    I liked the show, mapacha's keep it up,mkalla today you were on your on, walikuruka!!

  • @betsonmugisha9604
    @betsonmugisha96043 жыл бұрын

    Anayetembea nje ni mwanamume na Mwanamke sasa tatizo ni nini?!! Bila shaka hawa wote watakuwa wanatoka ndoani hivyo hakuna cha Mwanamke au mwanamume

  • @jamesshao538
    @jamesshao5383 жыл бұрын

    Frm Tz hawa akina mama wanawapotosha wasichana, i feel sorry for them

  • @evalunajohannes2382
    @evalunajohannes23823 жыл бұрын

    Wake kwa waume wote wanatoka nje ya ndoa, kwa kutaka wenyewe na sababu zao.

  • @radiusbakashaya2801
    @radiusbakashaya28013 жыл бұрын

    Tambua mwanamme aweza kujilinda nakinga lakini mwanamke awezi jilinda aweza vaa kinga mwisho akavua au chana, wakati huo mwanamke yuko hali mbaya akiri imeshapotea kwa mahaba, ivo wanawake acha kushindana na wanaume ushauri wakati maalum nimzuri usiache Mme kaja amechoka hata ujampokea unaanza kuvimba kama paka, namaneno yakutisha utamfanya akumbuke mchepuko, ushauri mfanye mme asahau mchepuko wa njee, wale siwatu wakuchuna hela2 hawana mapenzi ni wizi2

  • @abdallahmuhammed2279
    @abdallahmuhammed22794 жыл бұрын

    mwanamke hatoki nje bila yasababu yamsingi yanatosha kwawanaume

  • @issaabdi9129
    @issaabdi91296 жыл бұрын

    Ndoa ni mavumiliano. na si ushindaani kama unataka kudumu na nahakikisha kika mtu akitenda nafasi yk vizuri ipaswavyo bila kumlalia mwenzei namini itadumu.

  • @kilozofamily7709
    @kilozofamily77093 жыл бұрын

    Som ili nimzuri Ila juwa kwamba wanawake wanatoka nje kulingana na: Kuwana tama za mwili zakupindukia Mme kupungukiwa nguvu zakiume Mme kutoka toka mda mrefu -

  • @abdunur323
    @abdunur3236 жыл бұрын

    Asante jamani, mjadala mzuri sana, isipokuwa mnatetea Utamaduni asli ? ao Mila za mkopo ? ao Ungwana Ki Dini ? Sababu nimeona kwamba hamjaichukua ipi njia ambayo itawaelekeza kwenye lengo na mtaondoka hapo bila Solution .

  • @sallykanze
    @sallykanze7 жыл бұрын

    Asanteni sana Mkalla ,Bi mswafari, somo yangu kanze na lulu Hassan,mjadala hii ulikua mzuri sana.

  • @anaelenea6335
    @anaelenea63353 жыл бұрын

    Mwakila

  • @zuhrahalima5987
    @zuhrahalima59877 жыл бұрын

    mkalla zamani ukimwi haikuwepo mwanaume ataenda atarudi lakini sasa unangojea ukimwi afadhali utoke.

  • @corneliusmkenya586
    @corneliusmkenya5863 жыл бұрын

    Tamaa ya mvuvi....

  • @mwendapoleee
    @mwendapoleee6 жыл бұрын

    Bwana wangu alikuwa anaenda ije niliachana naye hajaamini mpaka saahuu nimemsamehea lakini waganda wanasema" yakutula cable! "

  • @jamelaega2779
    @jamelaega27793 жыл бұрын

    Wanaume wanakazi heri kumuombea abadilike ju hata ukisema utoke nje wanaume sawa tu utadhani walizaliwa na mama mmoja mmmmh

  • @abdallahmuhammed2279
    @abdallahmuhammed22794 жыл бұрын

    nikweli

  • @beybieohmine446
    @beybieohmine4465 жыл бұрын

    SINCE NIMEMFUMANIA MME WANGU BAHADA WEEK MOJA KUJIFUNGUWA NAKWENDA KULALA WITH ANOTHER LADY ..leaving me alone with the child and spend the night with that lady..but i knew exactly where he was and went there straight early in the morning and find hI'm really there in that room with a lady...i was heart broken ..since that day whenever am about to sleep with him i remember about that day

  • @pin2571

    @pin2571

    5 жыл бұрын

    Leave him

  • @pendohumphrey7588

    @pendohumphrey7588

    5 жыл бұрын

    Hard pain

  • @jumaadosho5344
    @jumaadosho53444 жыл бұрын

    Safy sana mkala

  • @oloibonwakenya7274
    @oloibonwakenya72745 жыл бұрын

    Mkala na upanga you're right man!

  • @reamatanga6670
    @reamatanga66703 жыл бұрын

    Yaan wa mama mko sawa hawa wanaume wanachosha tunavumilia vya kutosha mwisho unapata kishawish unaachwa miaka Saba tunavumilia tu bora kutoka

  • @anaelenea6335
    @anaelenea63353 жыл бұрын

    Mwakila na anko

  • @nurahoneybby7902
    @nurahoneybby79024 жыл бұрын

    Ama jina lake la fb plz

  • @user-sc2kp3dm4z
    @user-sc2kp3dm4z3 жыл бұрын

    Ukishinda na mwanamme utakuwa malaya

  • @jescajulius8023
    @jescajulius80236 жыл бұрын

    km anachepuka achepuke t lkn huwez kushindana na mt kwa mng utaulizwa pk yako,ila akianza kuchepuka asikuguse na co vinginevyo

  • @kakurukataraia2590
    @kakurukataraia25907 жыл бұрын

    Mtu akimpenda me au mke wake kweli na kunyenyekeana pamoja na kuheshimiana hawatandendana udhalimu wataheshimu ndoa zao

  • @husseinmohamedi3567
    @husseinmohamedi35674 жыл бұрын

    Hongera bi mswafir

  • @bakarihassan773

    @bakarihassan773

    3 жыл бұрын

    Mpango wa kando ni nn

  • @alfredkaserekasivanzire9488

    @alfredkaserekasivanzire9488

    3 жыл бұрын

    Ni mchepuko.

  • @queeniejoy3255
    @queeniejoy32557 жыл бұрын

    Pwaaaa mkala wee mkali,anaeza shikwa na mharo duh!Kali hiyo

  • @marykawira9266

    @marykawira9266

    7 жыл бұрын

    true watu wengi wana senses Kali sana kama anafanyiwa ubaya anajua

  • @queeniejoy3255

    @queeniejoy3255

    7 жыл бұрын

    Mimi uwa na hisi pia hivyo,it's dangerous

  • @doreenmalesi6039
    @doreenmalesi60397 жыл бұрын

    Hongera bi .msafwari wish hii show ingekua ndefu ama daily

  • @rechotarangei5221

    @rechotarangei5221

    5 жыл бұрын

    Ni kwel kbs wanaume waache izo tabia wabadilike .

  • @radiusbakashaya2801
    @radiusbakashaya28013 жыл бұрын

    Mke akichepuka sababu yakulipiza siyo haki anastahili amuweke mmewe karibu amuonye ampe maneno ya busara kuliko kuwa jeuri mwanamme mwenye akiri ataacha bila lazima

  • @bethueltahash927
    @bethueltahash9276 жыл бұрын

    mkala umesema kweli mm mume wangu akiwa ametenda jambo mbaya huwa nahisi tu nafsin

  • @flyboiog9346
    @flyboiog93463 жыл бұрын

    Mwanaume anawza oa mke zaid ya mmoja ila mwanamke haez olewa na mwanaume zaid ya mmoja ,hlo ifahamike

  • @kevinmokua5422
    @kevinmokua54227 жыл бұрын

    Ukweli umesemwa mke wangu alinipata na cousin yake tangu hiyo siku ndoa yetu Iko na shida sana.sisi wanaume ndio tuko na tabia mbaya kwa ndoa

  • @hassanashur4079

    @hassanashur4079

    7 жыл бұрын

    pole na uendelee kujifunza

  • @sallykanze

    @sallykanze

    7 жыл бұрын

    Umegonga ndipo

  • @kevinmokua5422

    @kevinmokua5422

    7 жыл бұрын

    Jefason Kingy sister wanaume tuko na tamaa mbaya

  • @sallykanze

    @sallykanze

    7 жыл бұрын

    +Kevin Mokua Ndio hiyo ya tamaa mko nayo tangu jadi ,Yani tangu Enzi za Adam na Hawa.

  • @rashidmkoga8779

    @rashidmkoga8779

    6 жыл бұрын

    Kevin Mokua wewe ndio mwenye tabia mbaya

  • @nurahoneybby7902
    @nurahoneybby79024 жыл бұрын

    Hy naomba namba ya Bi msafiri

  • @jumayusufjuma6489
    @jumayusufjuma64897 жыл бұрын

    kosa lazinaa hta kwa dini alisamewi

  • @Salimalnabhani
    @Salimalnabhani6 жыл бұрын

    Samahani jamani.waislamu wameruhusiwa kuoa mpaka wanne . Wakristo pia wanaoa wanaoa wanne ?

  • @abbacushabba4110
    @abbacushabba41103 жыл бұрын

    Bado hawajaelewana hapo ,Nina ni hapo anakwenda nje, kama Ni Mume au Mke anaye toka ni nani amekosa.

  • @bethueltahash927
    @bethueltahash9276 жыл бұрын

    haha kanze umeniwezeshea mkala Leo haha

  • @queeniejoy3255
    @queeniejoy32557 жыл бұрын

    Pwaaaa mkala wee mkali

  • @deusmauka9626
    @deusmauka96263 жыл бұрын

    Upuuzi huo, mume akinya barabarani nae atakunya barabarani? Huyo mwanamke atakuwa mpumbavu, malipizi hayana maana.

  • @suzanmbilinyi4982
    @suzanmbilinyi49823 жыл бұрын

    Wapumbavu ni wanaume na wanawake wana hisia kama wake

  • @ashuu7youz326
    @ashuu7youz3265 жыл бұрын

    wana umeee,mbona mwajifanya mastar sana

  • @mariannenyiranazemonie1731
    @mariannenyiranazemonie17313 жыл бұрын

    Wote wa wili hakuna anayeruhusiwa Bwana asitokonyuma ya ndawa na Bibi hivi asitoke

  • @jawakwibe5063
    @jawakwibe50636 жыл бұрын

    Huyomwanamke kamanimalayapoa

  • @pennystang6065
    @pennystang60656 жыл бұрын

    uongo nina marafiki wengi wanaume wao wako waaminifu mimi nanjua wamatoka inje wala mabwana zao hawajui nawaonea huruma na viboys vidogo vidogo haha

  • @Namanda425

    @Namanda425

    3 жыл бұрын

    Think again tena sana usidanganyike na upole wa mtu

  • @echaplacide7059
    @echaplacide70593 жыл бұрын

    Mke wangu kanipa pesa ili niende nikajisaidie kwa malaya, kwa madai kwamba: amechoka hawezi . Hapa kiss kwa nani janani?

  • @jeannemwamini3751
    @jeannemwamini37513 жыл бұрын

    W

  • @danesomosa1
    @danesomosa17 жыл бұрын

    Huo ukweli kabisa huyo kaka mkubwa amesema. kutembea nje kwa wanaume mbali na nyumba zao ni kutokana na kasoro za wake katika mapenzi. kutokana na hili inakuwa muhali sana kustahimili ambako inafanya mwana ume kuwa na jicho la nje

  • @sallykanze

    @sallykanze

    7 жыл бұрын

    Hapo sikubaliani nawe,kuna wanaume wengine iko kwenye damu au jinsi alivyolelewa kwao,Kama inheritance,juu mvulana ataona baba zake walioa wake watatu,sasa msururu unaendelea vivyo hivyo kwa Kua wako hivyo na iko kwenye damu hata aoe mke ametulia yuko vizuri tuu ila kuenda inje mume hiyo ni desturi yake tayari usisingizie wanawake,wanaume Kua na mke mmoja hiyo haiwezekani Hilo twalijua kabisa ni maumbile Yao.nituolewe tuu ila kusema eti mume ni wako peke yako huo ni uongo

  • @kibongobongo4608

    @kibongobongo4608

    6 жыл бұрын

    Danes1988 Tatizo kubwa la wanaume wanaona kasoro za wanawake tuuu na hawataki kuambiwa kasoro zao. Hakuna aliekamilika kasoro zipo kwa mume na mke isipokuwa subra ndio inafanya ndoa iwe madhubuti. Na wanawake hutoka nje ya ndoa kwa sababu nyingi huenda mume anachepuka mpaka anamsahau mke kama anamuhitajia alafu wanasema wanawake hawajatulia this is crazy 😜. Uaminifu unamhusu mume na mke

  • @rahmafataki2584

    @rahmafataki2584

    6 жыл бұрын

    Jefason Kingy Mrs kweli wengine wanatoka nje kwasababu wanapenda mikundu nawewe hupendi huo mchezo mbaya sasa mtu akijakukuoa hakwambii kuwa yeye anapenda hicho kitu anakuficha mpaka mkishaowana ndio anakutilia sasa ukimkatalia kufanya anakufanya wewe ndio sababu yeye kutoka nje kwasababu humuachi akafanya hicho kitu

  • @suzanmbilinyi4982

    @suzanmbilinyi4982

    3 жыл бұрын

    Kama mkeo hawezi mfundishe ili mwende pamoja

  • @selfaakinyi512
    @selfaakinyi5125 жыл бұрын

    Uko sawa babaa mkala kabisa

  • @mohamedthoya7436
    @mohamedthoya74367 жыл бұрын

    mnazi mwenga..kaudzaza kadzama ...ukihalwa hurira...

  • @abdunur323
    @abdunur3236 жыл бұрын

    Biblia inafundisha, mwanamke akileta ukorofi Nyumbani basi nenda Inje wewe Mmewe. Mithali 21 : 9 Unafikiri kule anakoenda pana raha ? Qur'an/ Anisaa ; hufundisha, 1. Msiwabughudhi Wanawake na kuwaondoa majumbani zao. 2. Hakika wanawake wana Vituko vingi. ( Swali ) Mnatetewa ijapo Ukorofi na Vituko, mnadhani kule Inje wanakoambiwa waende kuhangaika ni sehemu ipi ? Kuna raha kubaki inje kiholela tu ? Akimkuta bibi Mary ao Hadijah na kumtunza laangukia nani kosa ?

  • @mercydorcas2180

    @mercydorcas2180

    5 жыл бұрын

    ABDU NUR liar mithali21.1 says it’s better to live in a corner of a house top than in a house shared with a quarrelsome wife

  • @jeniphamnyawami6928

    @jeniphamnyawami6928

    3 жыл бұрын

    divyo urilivyo wanaumume unawatetea wanaumue wenziyo

  • @jeniphamnyawami6928

    @jeniphamnyawami6928

    3 жыл бұрын

    jamani suremani halikuwa hatamaa kama nn haliowa wanawake mia moja wa ndowa tuu walikuwa sabin masurilia sabin hakuna viumbe viye tamaa kama wanaume

  • @e.crabtree4313
    @e.crabtree43135 жыл бұрын

    Let fathers and mothers make a solemn promise to God, whom they profess to love and obey, that by His grace they will not disagree between themselves, but will in their own life and temper manifest the spirit that they wish their children to cherish. Parents should be careful not to allow the spirit of dissension to creep into the home; for this is one of Satan's agents to make his impression on the character. If parents will strive for unity in the home by inculcating the principles that governed the life of Christ, dissension will be driven out, and unity and love will abide there. Parents and children will partake of the gift of the Holy Spirit.

  • @jeniphamnyawami6928

    @jeniphamnyawami6928

    3 жыл бұрын

    Vinauma sana mkala

  • @winniethiongo8823
    @winniethiongo88237 жыл бұрын

    bi safari na mkalla... Mafundisho mazuri

  • @jawakwibe5063
    @jawakwibe50636 жыл бұрын

    Mke wandani hanaeshimazake

  • @jacintaamenmjungajisemarus874
    @jacintaamenmjungajisemarus8743 жыл бұрын

    Musumeno lazima ukate mbele na nyuma

  • @blackmaster9006
    @blackmaster90063 жыл бұрын

    14:00 Huyu anapita ni mule mule.

  • @Salimalnabhani
    @Salimalnabhani6 жыл бұрын

    Kirozo doh

  • @myunaniniahmad6463

    @myunaniniahmad6463

    4 жыл бұрын

    Mkaka umebugi stepu.

  • @firbertpius2896
    @firbertpius28963 жыл бұрын

    Mchepuko nitabia yamtu mkewangu hawezi kunifanyamimi nichepukw

  • @moshimrimi6796
    @moshimrimi67963 жыл бұрын

    Wanaume sio mwenzio baki na watoto wako tu.

  • @moshimrimi6796

    @moshimrimi6796

    3 жыл бұрын

    Wajinga Sana naumia Sana basi tu.

  • @serasyraasera7541
    @serasyraasera75417 жыл бұрын

    😁😁😁 nimefurahia kweli

  • @gabrielmerci2787

    @gabrielmerci2787

    7 жыл бұрын

    hicho kipindi nikizuri sana nakina nigusa mimi. kulingana na ubovu wa ndoa yangu. nitawaombeni mawasiliano ya moja kwa moja ili huyu mke wangu apewe ushahuri

  • @mangisenya6502

    @mangisenya6502

    7 жыл бұрын

    Wanaume tulio wenge hatutosheki na mke mmoja

  • @zainabswaleh4907

    @zainabswaleh4907

    7 жыл бұрын

    Kama hamutosheki owa basili ya kutoka inie ya ndoa aaah waume mumezidi mwafundisha wake zenu tabia mbaya

  • @jumayusufjuma6489
    @jumayusufjuma64897 жыл бұрын

    mkala hahaaaaaa

  • @adamdeus6015
    @adamdeus60153 жыл бұрын

    sawa kabisa kaka maana mchepuko ni maamuzi ya mtu mwenyewe hayahusiani na makosa ya mwingine ni sababu ya kutembea nje

  • @ayshahams7373
    @ayshahams73736 жыл бұрын

    Mkala wew uko mankin sana na wayajua hasa

  • @suzanmbilinyi4982

    @suzanmbilinyi4982

    3 жыл бұрын

    Wewe mkala huna jipya wanaume nyie waonezi nawanawake wanaroho

  • @leahchelimo5342
    @leahchelimo53427 жыл бұрын

    Mdajadala Mzuri sana

  • @niciteretseneema9746
    @niciteretseneema97464 жыл бұрын

    0p

  • @hadassahjohnty6816
    @hadassahjohnty68167 жыл бұрын

    mumeongea ukweli lakini mkala kuna mahali umekosea.nani kakwambia mapenzi ni cheo ama masomo.?huyo maid anaweza kua hajasoma lakini ana heshima zake na elimu ya kumtuza mwanaume kuliko huyo mkeo mwenye ni msomi.

  • @jacintamwikali9781

    @jacintamwikali9781

    6 жыл бұрын

    Kweli kabisa

  • @pendohumphrey7588

    @pendohumphrey7588

    5 жыл бұрын

    Katafute wa kwako.....

  • @emmakaneko2386
    @emmakaneko23867 жыл бұрын

    Mbona mnakandamiza wanawake peke yake ikiwa wanaume ni waongo kazi yao wanapenda kwenda nje kisha wao ndio wanaoa wanawake watatu wanaume wacheni kutesa wake zenu jambo hilo sikubaliani nalo

  • @jescajulius8023

    @jescajulius8023

    6 жыл бұрын

    Emma Kaneko ,ema ww unaakili sanaaaa

  • @abdulhemedabdulhemed7110
    @abdulhemedabdulhemed71103 жыл бұрын

    Kwa hakika kaka unaongea hakika hapo sababu kabla hujasema unemuendea mkeo kinyume umeiendea nafsi yako kwanza ....sila lana hapo ni haki mume awe na wake zaidi ya mmoja

  • @sophiandumbaro7741
    @sophiandumbaro77416 жыл бұрын

    wanaume hata ukiwabeba na maturubai watatafuta nyembe wachane,hawajaponakwa hilo.