MAPANGO ya AMBONI na MAAJABU yake, Kuna Maumbile ya Mwanamke na Mwanaume, Kichwa cha SIMBA, Mlima

Пікірлер: 156

  • @leatherlee1502
    @leatherlee15022 жыл бұрын

    Nimependa kazi ya mwelekezi. Mungu amjalie

  • @fatmakungu2160
    @fatmakungu21603 жыл бұрын

    Mashaallah nyumban tumebarikwa sana

  • @songashaban1332
    @songashaban13329 ай бұрын

    The guider is 100% educated and is a pure geologist. I like him

  • @kecha5251
    @kecha52513 жыл бұрын

    Nice clip .I was born in T,A.but I never visit. But I know the place. Big up. My home Boyz. I hop to visit one day . In shaAllah.

  • @jafariramadhani3264
    @jafariramadhani32643 жыл бұрын

    Huyu kaka anaelezea vzr sana

  • @maddybongo
    @maddybongo3 жыл бұрын

    Mpe hongera huyo tour gaide hakika yuko vizuri naona Chemistry na Biology iko kichwani.

  • @Myright888

    @Myright888

    3 жыл бұрын

    Na history, kweli kijana kaiva

  • @Myright888

    @Myright888

    3 жыл бұрын

    So proud of him kwa kweli

  • @jafariramadhani3264

    @jafariramadhani3264

    3 жыл бұрын

    History

  • @aminatabakari2741

    @aminatabakari2741

    3 жыл бұрын

    Na jiografia pia anaijua👍

  • @husnaothuman1609
    @husnaothuman16093 жыл бұрын

    Hapana Chezea Tanga Yetu...Tanga Ndio Home 🏡💖 I miss you Home

  • @saidalsalmi9313
    @saidalsalmi93133 жыл бұрын

    Jamaa ana describe very good.

  • @kaftan1776
    @kaftan1776 Жыл бұрын

    This reminds me the eraly 60's when my family used to visit Kiomoni and Amboni on a weekly basis from Tanga. I used to be terrified of the concrete/gravel crushers of Kiomoni. Once we startled something or someone in the cave and in our desperate attempt to get out the only flame torch we had went out we were in total darkness. It is said that these caves have subterrainian highways that go all the way to places in Kenya and Uganda as there is a story that a pet dog was lost in the caves which later surfaced in Uganda.

  • @kaftan1776

    @kaftan1776

    Жыл бұрын

    Kwa ajili ya usalama ni bora zingeliekwa alama za kuongoza yeyote alie ndani ya pango kuonyesha njia ya nje ya pango. Alama hizo ni bora zingelikuwa zile ambazo zaonekana hata bila ya taa kumsaidia yeyote ambae amepoteya kumuonyesha njiya ya kutokeya..

  • @ashafroholdt7697
    @ashafroholdt76973 жыл бұрын

    Huyu kaka mwelekezaji ni shujaa kweli kweli, sehemu inatisha sana. Lakini yeye hana wasiwasi kabisa daaah pongezi sana kwake ❤🇹🇿🙏🙏

  • @davidcurtis8556

    @davidcurtis8556

    3 жыл бұрын

    Sio hivyo sio mwepesi huyo, hiyo sehemu inatisha mno kama unaogopa kufa na imani yako ni ndogo sio sehemu ya kutembelea hapo, nilianza kwenda hapo safari ya kwanza ilikuwa kishule mwaka 1997 mabasi mawili kwa bahati mbaya tuligundua kama mmoja alibaki hapo baada ya kuhesabiwa wakati wa kuondoka maana kila mmoja alikuwa na namba yake namba moja ilikosekana, ilikuwa huzuni sana sana kuondoka bila mwenzetu. Lakini sikuacha kwenda na idadi ya kwenda haihesabiki ni pazuri sana kwa kupumzika kufurahi na familia ila ni pabaya sana kwa mambo ya anasa na aina yoyote ya ushenzi, hili ni pango na 3 na namba mbili ndio watu wanaingia na kufanya matambiko japo namba 3 ndio sana ila namba saba hakuna anaeweza kufika huko panatisha mbo mno na inasemekana pananyoka wasio na macho

  • @mhinajerome5964
    @mhinajerome5964Ай бұрын

    Nine injoi sana mtafsiri yuko vizuri mno

  • @aminatabakari2741
    @aminatabakari27413 жыл бұрын

    Asante ndugu mtangazaji na ndugu muongozaji katika mapango haya ya Amboni!!!

  • @omanoman1371
    @omanoman13713 жыл бұрын

    Hakika tunajivunia vivutio vya kwetu nimeshawahi fika kwenye haya mapango tukiwa form 4 hakika tulifurahia sana japo kunatisha 🇹🇿🇹🇿💃💃

  • @veronicamfuko9625
    @veronicamfuko96253 жыл бұрын

    Congratulations. Yaani imenifurahisha sana kuona mapango ya Amboni. Kwakweli nimejifunza mengi sana. Big up💪👏🙏

  • @mowanaalmowana6126
    @mowanaalmowana61263 жыл бұрын

    Upo vizuri kwa maelezo nishafika huko giza kama lote Najivunia kuzaliwa TANGA❤️❤️❤️

  • @petermacharia4156
    @petermacharia4156 Жыл бұрын

    Tanzania is nice, from kalema tz

  • @mwandegeplaza6504
    @mwandegeplaza65043 жыл бұрын

    Jamaa ameelezea vizuri sana

  • @heyumi2340
    @heyumi23403 жыл бұрын

    muongozaji yuko pw hana uoga 😘😘💃💃

  • @aminatanzanya7475

    @aminatanzanya7475

    3 жыл бұрын

    Kapazoea

  • @onlytecna9498
    @onlytecna94983 жыл бұрын

    Yaan hayaaa ndo mambo ya kua mnatuonyeshaa jmn ❤️❤️❤️

  • @justinjoshua1059
    @justinjoshua10593 жыл бұрын

    Dhaaah pole sana Esko, mm siwezi ingia umo. Panaogopesha saaana.bro sky akupe pongezi nyingi sana kabisa.

  • @khadeejaabdullah7083
    @khadeejaabdullah70833 жыл бұрын

    MashaAllah hongera sana Esco

  • @Emedroadtocanada
    @Emedroadtocanada11 ай бұрын

    Nimeshatembelea haya mapango na nikapita ndani yake kuna sehemu kuna giza la atari hata mkutake muwe close kabisa huwez kumuona mwenzako

  • @LadouceurTony
    @LadouceurTony3 жыл бұрын

    Wow Mungu acha aitwe Mungu

  • @joycenahimana6079
    @joycenahimana60793 жыл бұрын

    Asante sana

  • @peninacharles9757
    @peninacharles97573 жыл бұрын

    Amazing

  • @tesokraftokenyaafrika6571
    @tesokraftokenyaafrika6571 Жыл бұрын

    toka kenya, i feel good to be afrikan, much more luv, gud work bro u explain inna humble way,GOD bless ya work bro

  • @WinWilly4162
    @WinWilly41623 жыл бұрын

    Esco Ahsante sana, nimetalii kwa macho

  • @sayyidaseif6309
    @sayyidaseif63093 жыл бұрын

    I like it

  • @masifaentertainment
    @masifaentertainment3 жыл бұрын

    wakwanza ku comment toka wengereza

  • @mwatumsaidi5104
    @mwatumsaidi51043 жыл бұрын

    Hizi ndio habari tunazozitaka sio kila kukicha kiki za wasanii zisokua na mpango

  • @mowanaalmowana6126

    @mowanaalmowana6126

    3 жыл бұрын

    Umeona eeh

  • @hafswauweso9704

    @hafswauweso9704

    2 жыл бұрын

    Bwana ee

  • @yahyahamad1802
    @yahyahamad18023 жыл бұрын

    Ahsante kwa maelezo mazuri

  • @rusirusi771
    @rusirusi7713 жыл бұрын

    Kwataka moyo kuingia ndani ya mapango mm siwezi

  • @mahmoodalghefeili5370

    @mahmoodalghefeili5370

    3 жыл бұрын

    hamna wala hakuishi umo ndani ila muakikishe nyie mloshikana mcjemkaachiana akiachia mmoja tu anapotea

  • @ericjonstz3120
    @ericjonstz31203 жыл бұрын

    Asante Tanzania, Africa

  • @aishaabdallah4255
    @aishaabdallah42553 жыл бұрын

    Nice

  • @saumuimeda5181
    @saumuimeda51813 жыл бұрын

    Mashaallah Tanzanian tuna vivutiwe vizuri cn Allah ametujaalia vitu vingi cna lkn hp kunatisha mie siingii kbsaa

  • @ashwramashallah7242

    @ashwramashallah7242

    3 жыл бұрын

    😂😂😂eti mimi apa siingii

  • @ashwramashallah7242

    @ashwramashallah7242

    3 жыл бұрын

    Mngu wa ajabu huyu .

  • @mahmoodalghefeili5370

    @mahmoodalghefeili5370

    3 жыл бұрын

    @@ashwramashallah7242 wakat tu nasoma tulienda wengne walishindwa kuingia kipind icho kila shule inaenda mkifika mnatoka pesa mnaingizwa

  • @binthkhamisi1097
    @binthkhamisi10973 жыл бұрын

    Masha Allah. Tanga one day ys

  • @BilloceArts-bs4nb
    @BilloceArts-bs4nb3 ай бұрын

    Kwa hili Nina mengi ya kusema na kumshukuru mungu, na Kwa jinsi guide alivyo smart Nina mengi ya kusema lakini kulingana na muda Wacha niseme Sina la kusema 😂😂😂😂😂❤❤❤ proudly Tanzanian

  • @ashwramashallah7242
    @ashwramashallah72423 жыл бұрын

    Nimemis Tanga home sweet😘😘😘😘

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya74753 жыл бұрын

    Subutu hata kwa pesa siingii humo ndani kwa nje tuu kunatisha ndan jee

  • @mawdinhassan6853

    @mawdinhassan6853

    3 жыл бұрын

    Hakutishi my dear .kupo vizuri tu

  • @aminatanzanya7475

    @aminatanzanya7475

    3 жыл бұрын

    @@mawdinhassan6853 bas one day nitafik hapo

  • @magrethmathayo2800
    @magrethmathayo28004 ай бұрын

    nimekukubali chali yangu

  • @marthageorge5043
    @marthageorge5043 Жыл бұрын

    Naipenda tanga yetu

  • @sa3dasa3da87
    @sa3dasa3da873 жыл бұрын

    Mmh asanteni ila cjawaza kuingia huko ni hatari na nusu yatakamoyo

  • @mapishitanga9861
    @mapishitanga98613 жыл бұрын

    Home sweet home

  • @lordrextz3686
    @lordrextz36863 жыл бұрын

    Muongozaji yupo vizuri sana

  • @shamzone388
    @shamzone3883 жыл бұрын

    Tanga raha kweli tanga raha Nendeni mkatembee lushoto soni pangani na kwenginepo karibuni sana

  • @user-cm9lm4mj7v
    @user-cm9lm4mj7v Жыл бұрын

    Mwelekezi unajua broo sauti yako kama laiza producer wa wasafi recod

  • @saidabass1098
    @saidabass10983 жыл бұрын

    Ni kweli mahan na mm nishawah kuigia umo unajua kule kwetu tanga mukiwa shulen kunasiku maalumu inapagwa kuenda ku enjoy

  • @mamfungah
    @mamfungah3 жыл бұрын

    Very nice clip, je ipo ya lugha ya kigeni kingereza

  • @bosslilyg4390
    @bosslilyg43903 жыл бұрын

    Esco 💪💪🔥🔥

  • @fanny7565
    @fanny75653 жыл бұрын

    Dah

  • @fatmasalim8293
    @fatmasalim82933 жыл бұрын

    Doh kwatisha kuingia ndani

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan63653 жыл бұрын

    Mashallah, inshallah ipo cku nitaenda mapangoni.

  • @ShekheRajab
    @ShekheRajabАй бұрын

    Nilienyoy sana nilipokuwa form6 tulifika apo pazur sana

  • @shamsahaji6202
    @shamsahaji62023 жыл бұрын

    Esco kapiga kelele kwa kiza kinene🤣🤣🤣🤣

  • @shaadenshaduni7755
    @shaadenshaduni77553 жыл бұрын

    🤣🤣🤣nime ogopo Esko ivi linge waangukia !

  • @salimumohammedsalimu1720
    @salimumohammedsalimu1720 Жыл бұрын

    Mzee esco huko pia kuna mabaharia hebu watafute babuu

  • @fadhiliswalehe9286
    @fadhiliswalehe92863 жыл бұрын

    Nishaingia hapo patam saana

  • @noorayaqoot1294
    @noorayaqoot12943 жыл бұрын

    Unavofahamisha ni vizuri na hodari

  • @shamzone388
    @shamzone3883 жыл бұрын

    Hapo huoo ni uongo kama ukiomba unachotaka unapata basi hapo amboni mabokweni maramba kusingekuwa na masikini

  • @shenjamamzingi7950

    @shenjamamzingi7950

    3 жыл бұрын

    Ndio tulipokwamia hapo,Mapango Makaburi na Mambo mengi ya Historia tunayageuza ndio sehemu ya kumuomba Mungu na Mungu kwa hekima yake anajibu baadhi ya Dua za watu hao wasiokuwa na Akili

  • @didaamohsin6594
    @didaamohsin65943 жыл бұрын

    DAAAAAAAH...WAJIWEZAA HUOGOPII..HUMO NDANI WW...UNA MOYO..NAKUPA HONGERA ZAKO.SKY MUONGEZE MSHAHARA KWA KAZI NZURI

  • @didaamohsin6594

    @didaamohsin6594

    3 жыл бұрын

    🇰🇪from+254

  • @fatmaalnabhani3609

    @fatmaalnabhani3609

    3 жыл бұрын

    Amezindikwa

  • @khamisishabani3155
    @khamisishabani31553 жыл бұрын

    UYU TOUR GUIDE YUKO NJEMA MNO

  • @jemalukas6342
    @jemalukas63423 жыл бұрын

    Daah. hatari. Naogopa. Sijui kamantaingia

  • @MrTouch-rm4rh
    @MrTouch-rm4rh3 жыл бұрын

    Mm nilihishia inje apo noma kunatisha sana aisee

  • @stephanokigosi656
    @stephanokigosi6563 жыл бұрын

    Tangaaaa what's good ?

  • @heavenlymusicproduction4360
    @heavenlymusicproduction43603 жыл бұрын

    Humo ndani oksijeni nivipi?

  • @princiouskdot6361
    @princiouskdot63613 жыл бұрын

    Niliingiaga kpind nipo 4m4 hyo cku ucku ckulala niliota ndoto za ajabu 😁😁😁😁😁kinatish jmn

  • @VicentTarra
    @VicentTarra Жыл бұрын

    Vip humo hawaishi nyoka usije ukaingiza kichwa ukaumwa kichwa

  • @shabaniissa3163
    @shabaniissa31632 жыл бұрын

    Mungu muweza wa kila jambo

  • @floraflora9490
    @floraflora94903 жыл бұрын

    Siezi enda pango hilo waaa😳

  • @saumuimeda5181

    @saumuimeda5181

    3 жыл бұрын

    😅😅😅😅Unaogop nn sasa

  • @yussuphathumani1753
    @yussuphathumani17533 жыл бұрын

    Mmetisha 💯💯💯💯💯💯💯💯💯

  • @Fm-MornStar2014
    @Fm-MornStar20143 жыл бұрын

    Dah! Nimetembea bila kuchoka ndio nahisi uchovu sasa hivi. Tuliotembea wote tujuane kwenye LIKES

  • @fatmaomar1012
    @fatmaomar10123 жыл бұрын

    wa5 kwenye kumi boar ctoki👍

  • @scolakotei4357

    @scolakotei4357

    3 жыл бұрын

    P

  • @tanyanyakipande8082
    @tanyanyakipande80823 жыл бұрын

    Napenda utafiti na utalii ila uku siingii

  • @shaadenshaduni7755
    @shaadenshaduni77553 жыл бұрын

    😄😄😄hapo siwezi kuingia naogopa

  • @binthkhamisi1097
    @binthkhamisi10973 жыл бұрын

    Huyu jamaa nmwamba sana

  • @safiauwimana2355
    @safiauwimana23553 жыл бұрын

    Wapili leo

  • @aliamar4422
    @aliamar44223 жыл бұрын

    Hhhhh

  • @mrsliverpool4235
    @mrsliverpool42353 жыл бұрын

    WA Tatu

  • @medicalphysicsbiomedicalen1707
    @medicalphysicsbiomedicalen17073 жыл бұрын

    Ahsante ipo siku tutafika much love from Italy 🇮🇹

  • @myunaniniahmad6463

    @myunaniniahmad6463

    3 жыл бұрын

    Hiyo ni kazi ya mungu , kayatengeneza mwenyewe الله.

  • @Fm-MornStar2014

    @Fm-MornStar2014

    3 жыл бұрын

    Tupo huku 🇮🇹 wote bro. Upo maeneo gani?

  • @medicalphysicsbiomedicalen1707

    @medicalphysicsbiomedicalen1707

    3 жыл бұрын

    @@Fm-MornStar2014 nipo Milan

  • @Fm-MornStar2014

    @Fm-MornStar2014

    3 жыл бұрын

    @@medicalphysicsbiomedicalen1707 sawa, mie nipo Roma. Ukija huku unishtue tukutane Termini.

  • @medicalphysicsbiomedicalen1707

    @medicalphysicsbiomedicalen1707

    3 жыл бұрын

    @@Fm-MornStar2014 powa

  • @peterchilumba739
    @peterchilumba7392 ай бұрын

    Vitu hivi ndiyo tunapswa kufundishwa shule na sio hadithi zao za magharibi.

  • @stephanokigosi656
    @stephanokigosi6563 жыл бұрын

    apewe tuzo huyo mwandishi wa habari wa sns .katisha sana bwana esco

  • @sadiyakb8498
    @sadiyakb84983 жыл бұрын

    Kwatisha

  • @saumuimeda5181

    @saumuimeda5181

    3 жыл бұрын

    Sana tu

  • @yahyahamad1802
    @yahyahamad18023 жыл бұрын

    Mhh hayo mengine nahisi kama mmeyachonga hayo ya nje

  • @salehali4saleh19
    @salehali4saleh193 жыл бұрын

    Nakumbuka ile operation ya majambazi waliyokwenda kujificha ktk mapango hayo,ili make headline sana

  • @shenjamamzingi7950
    @shenjamamzingi79503 жыл бұрын

    Muongozaji wa Mapangoni ameshindwa kumtukuza Muumba,alitakiwa kusema haya Mapango yameumbwa na Mungu

  • @zuleikhakhamis3303
    @zuleikhakhamis33033 жыл бұрын

    Esco si bure ndani ya pango umeomba upunguziwe mahari mn si bure km safari haijazaa matunda😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @halimamwajuma9208
    @halimamwajuma92083 жыл бұрын

    Wanne😃😃

  • @zuleikhakhamis3303

    @zuleikhakhamis3303

    3 жыл бұрын

    VPN.COM😂😂😂😂😂😂

  • @halimamwajuma9208

    @halimamwajuma9208

    3 жыл бұрын

    @@zuleikhakhamis3303 🤣🤣🤣

  • @ahmedyussuf5883
    @ahmedyussuf58833 жыл бұрын

    6

  • @pitargamba9208
    @pitargamba92083 жыл бұрын

    Faida ya shule hiyo, tuliyo shindwa sasa tunashangaa

  • @mamukassim4075
    @mamukassim40753 жыл бұрын

    Nishaingia mote umo nilienda fanya project na wenzenu tuliinyoy Ila nda tulishikana tukawa msururu ili tusipotezane

  • @thakibuiddi1857
    @thakibuiddi18573 жыл бұрын

    Ww hujui ht kutangaza

  • @saidihemedimkukulike3545
    @saidihemedimkukulike35453 жыл бұрын

    Kwa ushauri wangu muwe mnawavalisha elenti

  • @salimumwnyipembe4961
    @salimumwnyipembe49613 жыл бұрын

    Amboni home kabisa

  • @mustafaosman1838
    @mustafaosman18383 жыл бұрын

    Kiusalama zaid wangevaa mahelment

  • @frimasonidunia86
    @frimasonidunia863 ай бұрын

    Saf

  • @maryamm7765
    @maryamm77653 жыл бұрын

    Dah mim ni mtu wa tanga lkn sijawahi kwenda apo yaan naogopa

  • @saumuimeda5181

    @saumuimeda5181

    3 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @sherin3171
    @sherin31713 жыл бұрын

    Kuna stima pia

  • @shedrackmwaipopo9427
    @shedrackmwaipopo94273 жыл бұрын

    Nenda na mbeya kuna ziwa ngosi

  • @elibaricksadock9562
    @elibaricksadock95623 жыл бұрын

    Weeee siwezi ingia uko asee

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani36093 жыл бұрын

    Nimefika mara 1 sijui kama nitakwenda tena sehemu hii nafkiri sio sehemu ya kwenda kama matembezi Kwatisha.

  • @hajrahnassor5348

    @hajrahnassor5348

    Жыл бұрын

    Sanaaaa