MAPANGO ya AMBONI na MAAJABU yake, Kuna Maumbile ya Mwanamke na Mwanaume, Kichwa cha SIMBA, Mlima
Жүктеу.....
Пікірлер: 156
@leatherlee15022 жыл бұрын
Nimependa kazi ya mwelekezi. Mungu amjalie
@fatmakungu21603 жыл бұрын
Mashaallah nyumban tumebarikwa sana
@songashaban13329 ай бұрын
The guider is 100% educated and is a pure geologist. I like him
@kecha52513 жыл бұрын
Nice clip .I was born in T,A.but I never visit. But I know the place. Big up. My home Boyz. I hop to visit one day . In shaAllah.
@jafariramadhani32643 жыл бұрын
Huyu kaka anaelezea vzr sana
@maddybongo3 жыл бұрын
Mpe hongera huyo tour gaide hakika yuko vizuri naona Chemistry na Biology iko kichwani.
@Myright888
3 жыл бұрын
Na history, kweli kijana kaiva
@Myright888
3 жыл бұрын
So proud of him kwa kweli
@jafariramadhani3264
3 жыл бұрын
History
@aminatabakari2741
3 жыл бұрын
Na jiografia pia anaijua👍
@husnaothuman16093 жыл бұрын
Hapana Chezea Tanga Yetu...Tanga Ndio Home 🏡💖 I miss you Home
@saidalsalmi93133 жыл бұрын
Jamaa ana describe very good.
@kaftan1776 Жыл бұрын
This reminds me the eraly 60's when my family used to visit Kiomoni and Amboni on a weekly basis from Tanga. I used to be terrified of the concrete/gravel crushers of Kiomoni. Once we startled something or someone in the cave and in our desperate attempt to get out the only flame torch we had went out we were in total darkness. It is said that these caves have subterrainian highways that go all the way to places in Kenya and Uganda as there is a story that a pet dog was lost in the caves which later surfaced in Uganda.
@kaftan1776
Жыл бұрын
Kwa ajili ya usalama ni bora zingeliekwa alama za kuongoza yeyote alie ndani ya pango kuonyesha njia ya nje ya pango. Alama hizo ni bora zingelikuwa zile ambazo zaonekana hata bila ya taa kumsaidia yeyote ambae amepoteya kumuonyesha njiya ya kutokeya..
@ashafroholdt76973 жыл бұрын
Huyu kaka mwelekezaji ni shujaa kweli kweli, sehemu inatisha sana. Lakini yeye hana wasiwasi kabisa daaah pongezi sana kwake ❤🇹🇿🙏🙏
@davidcurtis8556
3 жыл бұрын
Sio hivyo sio mwepesi huyo, hiyo sehemu inatisha mno kama unaogopa kufa na imani yako ni ndogo sio sehemu ya kutembelea hapo, nilianza kwenda hapo safari ya kwanza ilikuwa kishule mwaka 1997 mabasi mawili kwa bahati mbaya tuligundua kama mmoja alibaki hapo baada ya kuhesabiwa wakati wa kuondoka maana kila mmoja alikuwa na namba yake namba moja ilikosekana, ilikuwa huzuni sana sana kuondoka bila mwenzetu. Lakini sikuacha kwenda na idadi ya kwenda haihesabiki ni pazuri sana kwa kupumzika kufurahi na familia ila ni pabaya sana kwa mambo ya anasa na aina yoyote ya ushenzi, hili ni pango na 3 na namba mbili ndio watu wanaingia na kufanya matambiko japo namba 3 ndio sana ila namba saba hakuna anaeweza kufika huko panatisha mbo mno na inasemekana pananyoka wasio na macho
@mhinajerome5964Ай бұрын
Nine injoi sana mtafsiri yuko vizuri mno
@aminatabakari27413 жыл бұрын
Asante ndugu mtangazaji na ndugu muongozaji katika mapango haya ya Amboni!!!
@omanoman13713 жыл бұрын
Hakika tunajivunia vivutio vya kwetu nimeshawahi fika kwenye haya mapango tukiwa form 4 hakika tulifurahia sana japo kunatisha 🇹🇿🇹🇿💃💃
@veronicamfuko96253 жыл бұрын
Congratulations. Yaani imenifurahisha sana kuona mapango ya Amboni. Kwakweli nimejifunza mengi sana. Big up💪👏🙏
@mowanaalmowana61263 жыл бұрын
Upo vizuri kwa maelezo nishafika huko giza kama lote Najivunia kuzaliwa TANGA❤️❤️❤️
@petermacharia4156 Жыл бұрын
Tanzania is nice, from kalema tz
@mwandegeplaza65043 жыл бұрын
Jamaa ameelezea vizuri sana
@heyumi23403 жыл бұрын
muongozaji yuko pw hana uoga 😘😘💃💃
@aminatanzanya7475
3 жыл бұрын
Kapazoea
@onlytecna94983 жыл бұрын
Yaan hayaaa ndo mambo ya kua mnatuonyeshaa jmn ❤️❤️❤️
@justinjoshua10593 жыл бұрын
Dhaaah pole sana Esko, mm siwezi ingia umo. Panaogopesha saaana.bro sky akupe pongezi nyingi sana kabisa.
@khadeejaabdullah70833 жыл бұрын
MashaAllah hongera sana Esco
@Emedroadtocanada11 ай бұрын
Nimeshatembelea haya mapango na nikapita ndani yake kuna sehemu kuna giza la atari hata mkutake muwe close kabisa huwez kumuona mwenzako
@LadouceurTony3 жыл бұрын
Wow Mungu acha aitwe Mungu
@joycenahimana60793 жыл бұрын
Asante sana
@peninacharles97573 жыл бұрын
Amazing
@tesokraftokenyaafrika6571 Жыл бұрын
toka kenya, i feel good to be afrikan, much more luv, gud work bro u explain inna humble way,GOD bless ya work bro
@WinWilly41623 жыл бұрын
Esco Ahsante sana, nimetalii kwa macho
@sayyidaseif63093 жыл бұрын
I like it
@masifaentertainment3 жыл бұрын
wakwanza ku comment toka wengereza
@mwatumsaidi51043 жыл бұрын
Hizi ndio habari tunazozitaka sio kila kukicha kiki za wasanii zisokua na mpango
@mowanaalmowana6126
3 жыл бұрын
Umeona eeh
@hafswauweso9704
2 жыл бұрын
Bwana ee
@yahyahamad18023 жыл бұрын
Ahsante kwa maelezo mazuri
@rusirusi7713 жыл бұрын
Kwataka moyo kuingia ndani ya mapango mm siwezi
@mahmoodalghefeili5370
3 жыл бұрын
hamna wala hakuishi umo ndani ila muakikishe nyie mloshikana mcjemkaachiana akiachia mmoja tu anapotea
@ericjonstz31203 жыл бұрын
Asante Tanzania, Africa
@aishaabdallah42553 жыл бұрын
Nice
@saumuimeda51813 жыл бұрын
Mashaallah Tanzanian tuna vivutiwe vizuri cn Allah ametujaalia vitu vingi cna lkn hp kunatisha mie siingii kbsaa
@ashwramashallah7242
3 жыл бұрын
😂😂😂eti mimi apa siingii
@ashwramashallah7242
3 жыл бұрын
Mngu wa ajabu huyu .
@mahmoodalghefeili5370
3 жыл бұрын
@@ashwramashallah7242 wakat tu nasoma tulienda wengne walishindwa kuingia kipind icho kila shule inaenda mkifika mnatoka pesa mnaingizwa
@binthkhamisi10973 жыл бұрын
Masha Allah. Tanga one day ys
@BilloceArts-bs4nb3 ай бұрын
Kwa hili Nina mengi ya kusema na kumshukuru mungu, na Kwa jinsi guide alivyo smart Nina mengi ya kusema lakini kulingana na muda Wacha niseme Sina la kusema 😂😂😂😂😂❤❤❤ proudly Tanzanian
@ashwramashallah72423 жыл бұрын
Nimemis Tanga home sweet😘😘😘😘
@aminatanzanya74753 жыл бұрын
Subutu hata kwa pesa siingii humo ndani kwa nje tuu kunatisha ndan jee
@mawdinhassan6853
3 жыл бұрын
Hakutishi my dear .kupo vizuri tu
@aminatanzanya7475
3 жыл бұрын
@@mawdinhassan6853 bas one day nitafik hapo
@magrethmathayo28004 ай бұрын
nimekukubali chali yangu
@marthageorge5043 Жыл бұрын
Naipenda tanga yetu
@sa3dasa3da873 жыл бұрын
Mmh asanteni ila cjawaza kuingia huko ni hatari na nusu yatakamoyo
@mapishitanga98613 жыл бұрын
Home sweet home
@lordrextz36863 жыл бұрын
Muongozaji yupo vizuri sana
@shamzone3883 жыл бұрын
Tanga raha kweli tanga raha Nendeni mkatembee lushoto soni pangani na kwenginepo karibuni sana
@user-cm9lm4mj7v Жыл бұрын
Mwelekezi unajua broo sauti yako kama laiza producer wa wasafi recod
@saidabass10983 жыл бұрын
Ni kweli mahan na mm nishawah kuigia umo unajua kule kwetu tanga mukiwa shulen kunasiku maalumu inapagwa kuenda ku enjoy
@mamfungah3 жыл бұрын
Very nice clip, je ipo ya lugha ya kigeni kingereza
@bosslilyg43903 жыл бұрын
Esco 💪💪🔥🔥
@fanny75653 жыл бұрын
Dah
@fatmasalim82933 жыл бұрын
Doh kwatisha kuingia ndani
@saumuhassan63653 жыл бұрын
Mashallah, inshallah ipo cku nitaenda mapangoni.
@ShekheRajabАй бұрын
Nilienyoy sana nilipokuwa form6 tulifika apo pazur sana
@shamsahaji62023 жыл бұрын
Esco kapiga kelele kwa kiza kinene🤣🤣🤣🤣
@shaadenshaduni77553 жыл бұрын
🤣🤣🤣nime ogopo Esko ivi linge waangukia !
@salimumohammedsalimu1720 Жыл бұрын
Mzee esco huko pia kuna mabaharia hebu watafute babuu
@fadhiliswalehe92863 жыл бұрын
Nishaingia hapo patam saana
@noorayaqoot12943 жыл бұрын
Unavofahamisha ni vizuri na hodari
@shamzone3883 жыл бұрын
Hapo huoo ni uongo kama ukiomba unachotaka unapata basi hapo amboni mabokweni maramba kusingekuwa na masikini
@shenjamamzingi7950
3 жыл бұрын
Ndio tulipokwamia hapo,Mapango Makaburi na Mambo mengi ya Historia tunayageuza ndio sehemu ya kumuomba Mungu na Mungu kwa hekima yake anajibu baadhi ya Dua za watu hao wasiokuwa na Akili
@didaamohsin65943 жыл бұрын
DAAAAAAAH...WAJIWEZAA HUOGOPII..HUMO NDANI WW...UNA MOYO..NAKUPA HONGERA ZAKO.SKY MUONGEZE MSHAHARA KWA KAZI NZURI
Пікірлер: 156
Nimependa kazi ya mwelekezi. Mungu amjalie
Mashaallah nyumban tumebarikwa sana
The guider is 100% educated and is a pure geologist. I like him
Nice clip .I was born in T,A.but I never visit. But I know the place. Big up. My home Boyz. I hop to visit one day . In shaAllah.
Huyu kaka anaelezea vzr sana
Mpe hongera huyo tour gaide hakika yuko vizuri naona Chemistry na Biology iko kichwani.
@Myright888
3 жыл бұрын
Na history, kweli kijana kaiva
@Myright888
3 жыл бұрын
So proud of him kwa kweli
@jafariramadhani3264
3 жыл бұрын
History
@aminatabakari2741
3 жыл бұрын
Na jiografia pia anaijua👍
Hapana Chezea Tanga Yetu...Tanga Ndio Home 🏡💖 I miss you Home
Jamaa ana describe very good.
This reminds me the eraly 60's when my family used to visit Kiomoni and Amboni on a weekly basis from Tanga. I used to be terrified of the concrete/gravel crushers of Kiomoni. Once we startled something or someone in the cave and in our desperate attempt to get out the only flame torch we had went out we were in total darkness. It is said that these caves have subterrainian highways that go all the way to places in Kenya and Uganda as there is a story that a pet dog was lost in the caves which later surfaced in Uganda.
@kaftan1776
Жыл бұрын
Kwa ajili ya usalama ni bora zingeliekwa alama za kuongoza yeyote alie ndani ya pango kuonyesha njia ya nje ya pango. Alama hizo ni bora zingelikuwa zile ambazo zaonekana hata bila ya taa kumsaidia yeyote ambae amepoteya kumuonyesha njiya ya kutokeya..
Huyu kaka mwelekezaji ni shujaa kweli kweli, sehemu inatisha sana. Lakini yeye hana wasiwasi kabisa daaah pongezi sana kwake ❤🇹🇿🙏🙏
@davidcurtis8556
3 жыл бұрын
Sio hivyo sio mwepesi huyo, hiyo sehemu inatisha mno kama unaogopa kufa na imani yako ni ndogo sio sehemu ya kutembelea hapo, nilianza kwenda hapo safari ya kwanza ilikuwa kishule mwaka 1997 mabasi mawili kwa bahati mbaya tuligundua kama mmoja alibaki hapo baada ya kuhesabiwa wakati wa kuondoka maana kila mmoja alikuwa na namba yake namba moja ilikosekana, ilikuwa huzuni sana sana kuondoka bila mwenzetu. Lakini sikuacha kwenda na idadi ya kwenda haihesabiki ni pazuri sana kwa kupumzika kufurahi na familia ila ni pabaya sana kwa mambo ya anasa na aina yoyote ya ushenzi, hili ni pango na 3 na namba mbili ndio watu wanaingia na kufanya matambiko japo namba 3 ndio sana ila namba saba hakuna anaeweza kufika huko panatisha mbo mno na inasemekana pananyoka wasio na macho
Nine injoi sana mtafsiri yuko vizuri mno
Asante ndugu mtangazaji na ndugu muongozaji katika mapango haya ya Amboni!!!
Hakika tunajivunia vivutio vya kwetu nimeshawahi fika kwenye haya mapango tukiwa form 4 hakika tulifurahia sana japo kunatisha 🇹🇿🇹🇿💃💃
Congratulations. Yaani imenifurahisha sana kuona mapango ya Amboni. Kwakweli nimejifunza mengi sana. Big up💪👏🙏
Upo vizuri kwa maelezo nishafika huko giza kama lote Najivunia kuzaliwa TANGA❤️❤️❤️
Tanzania is nice, from kalema tz
Jamaa ameelezea vizuri sana
muongozaji yuko pw hana uoga 😘😘💃💃
@aminatanzanya7475
3 жыл бұрын
Kapazoea
Yaan hayaaa ndo mambo ya kua mnatuonyeshaa jmn ❤️❤️❤️
Dhaaah pole sana Esko, mm siwezi ingia umo. Panaogopesha saaana.bro sky akupe pongezi nyingi sana kabisa.
MashaAllah hongera sana Esco
Nimeshatembelea haya mapango na nikapita ndani yake kuna sehemu kuna giza la atari hata mkutake muwe close kabisa huwez kumuona mwenzako
Wow Mungu acha aitwe Mungu
Asante sana
Amazing
toka kenya, i feel good to be afrikan, much more luv, gud work bro u explain inna humble way,GOD bless ya work bro
Esco Ahsante sana, nimetalii kwa macho
I like it
wakwanza ku comment toka wengereza
Hizi ndio habari tunazozitaka sio kila kukicha kiki za wasanii zisokua na mpango
@mowanaalmowana6126
3 жыл бұрын
Umeona eeh
@hafswauweso9704
2 жыл бұрын
Bwana ee
Ahsante kwa maelezo mazuri
Kwataka moyo kuingia ndani ya mapango mm siwezi
@mahmoodalghefeili5370
3 жыл бұрын
hamna wala hakuishi umo ndani ila muakikishe nyie mloshikana mcjemkaachiana akiachia mmoja tu anapotea
Asante Tanzania, Africa
Nice
Mashaallah Tanzanian tuna vivutiwe vizuri cn Allah ametujaalia vitu vingi cna lkn hp kunatisha mie siingii kbsaa
@ashwramashallah7242
3 жыл бұрын
😂😂😂eti mimi apa siingii
@ashwramashallah7242
3 жыл бұрын
Mngu wa ajabu huyu .
@mahmoodalghefeili5370
3 жыл бұрын
@@ashwramashallah7242 wakat tu nasoma tulienda wengne walishindwa kuingia kipind icho kila shule inaenda mkifika mnatoka pesa mnaingizwa
Masha Allah. Tanga one day ys
Kwa hili Nina mengi ya kusema na kumshukuru mungu, na Kwa jinsi guide alivyo smart Nina mengi ya kusema lakini kulingana na muda Wacha niseme Sina la kusema 😂😂😂😂😂❤❤❤ proudly Tanzanian
Nimemis Tanga home sweet😘😘😘😘
Subutu hata kwa pesa siingii humo ndani kwa nje tuu kunatisha ndan jee
@mawdinhassan6853
3 жыл бұрын
Hakutishi my dear .kupo vizuri tu
@aminatanzanya7475
3 жыл бұрын
@@mawdinhassan6853 bas one day nitafik hapo
nimekukubali chali yangu
Naipenda tanga yetu
Mmh asanteni ila cjawaza kuingia huko ni hatari na nusu yatakamoyo
Home sweet home
Muongozaji yupo vizuri sana
Tanga raha kweli tanga raha Nendeni mkatembee lushoto soni pangani na kwenginepo karibuni sana
Mwelekezi unajua broo sauti yako kama laiza producer wa wasafi recod
Ni kweli mahan na mm nishawah kuigia umo unajua kule kwetu tanga mukiwa shulen kunasiku maalumu inapagwa kuenda ku enjoy
Very nice clip, je ipo ya lugha ya kigeni kingereza
Esco 💪💪🔥🔥
Dah
Doh kwatisha kuingia ndani
Mashallah, inshallah ipo cku nitaenda mapangoni.
Nilienyoy sana nilipokuwa form6 tulifika apo pazur sana
Esco kapiga kelele kwa kiza kinene🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣nime ogopo Esko ivi linge waangukia !
Mzee esco huko pia kuna mabaharia hebu watafute babuu
Nishaingia hapo patam saana
Unavofahamisha ni vizuri na hodari
Hapo huoo ni uongo kama ukiomba unachotaka unapata basi hapo amboni mabokweni maramba kusingekuwa na masikini
@shenjamamzingi7950
3 жыл бұрын
Ndio tulipokwamia hapo,Mapango Makaburi na Mambo mengi ya Historia tunayageuza ndio sehemu ya kumuomba Mungu na Mungu kwa hekima yake anajibu baadhi ya Dua za watu hao wasiokuwa na Akili
DAAAAAAAH...WAJIWEZAA HUOGOPII..HUMO NDANI WW...UNA MOYO..NAKUPA HONGERA ZAKO.SKY MUONGEZE MSHAHARA KWA KAZI NZURI
@didaamohsin6594
3 жыл бұрын
🇰🇪from+254
@fatmaalnabhani3609
3 жыл бұрын
Amezindikwa
UYU TOUR GUIDE YUKO NJEMA MNO
Daah. hatari. Naogopa. Sijui kamantaingia
Mm nilihishia inje apo noma kunatisha sana aisee
Tangaaaa what's good ?
Humo ndani oksijeni nivipi?
Niliingiaga kpind nipo 4m4 hyo cku ucku ckulala niliota ndoto za ajabu 😁😁😁😁😁kinatish jmn
Vip humo hawaishi nyoka usije ukaingiza kichwa ukaumwa kichwa
Mungu muweza wa kila jambo
Siezi enda pango hilo waaa😳
@saumuimeda5181
3 жыл бұрын
😅😅😅😅Unaogop nn sasa
Mmetisha 💯💯💯💯💯💯💯💯💯
Dah! Nimetembea bila kuchoka ndio nahisi uchovu sasa hivi. Tuliotembea wote tujuane kwenye LIKES
wa5 kwenye kumi boar ctoki👍
@scolakotei4357
3 жыл бұрын
P
Napenda utafiti na utalii ila uku siingii
😄😄😄hapo siwezi kuingia naogopa
Huyu jamaa nmwamba sana
Wapili leo
Hhhhh
WA Tatu
Ahsante ipo siku tutafika much love from Italy 🇮🇹
@myunaniniahmad6463
3 жыл бұрын
Hiyo ni kazi ya mungu , kayatengeneza mwenyewe الله.
@Fm-MornStar2014
3 жыл бұрын
Tupo huku 🇮🇹 wote bro. Upo maeneo gani?
@medicalphysicsbiomedicalen1707
3 жыл бұрын
@@Fm-MornStar2014 nipo Milan
@Fm-MornStar2014
3 жыл бұрын
@@medicalphysicsbiomedicalen1707 sawa, mie nipo Roma. Ukija huku unishtue tukutane Termini.
@medicalphysicsbiomedicalen1707
3 жыл бұрын
@@Fm-MornStar2014 powa
Vitu hivi ndiyo tunapswa kufundishwa shule na sio hadithi zao za magharibi.
apewe tuzo huyo mwandishi wa habari wa sns .katisha sana bwana esco
Kwatisha
@saumuimeda5181
3 жыл бұрын
Sana tu
Mhh hayo mengine nahisi kama mmeyachonga hayo ya nje
Nakumbuka ile operation ya majambazi waliyokwenda kujificha ktk mapango hayo,ili make headline sana
Muongozaji wa Mapangoni ameshindwa kumtukuza Muumba,alitakiwa kusema haya Mapango yameumbwa na Mungu
Esco si bure ndani ya pango umeomba upunguziwe mahari mn si bure km safari haijazaa matunda😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Wanne😃😃
@zuleikhakhamis3303
3 жыл бұрын
VPN.COM😂😂😂😂😂😂
@halimamwajuma9208
3 жыл бұрын
@@zuleikhakhamis3303 🤣🤣🤣
6
Faida ya shule hiyo, tuliyo shindwa sasa tunashangaa
Nishaingia mote umo nilienda fanya project na wenzenu tuliinyoy Ila nda tulishikana tukawa msururu ili tusipotezane
Ww hujui ht kutangaza
Kwa ushauri wangu muwe mnawavalisha elenti
Amboni home kabisa
Kiusalama zaid wangevaa mahelment
Saf
Dah mim ni mtu wa tanga lkn sijawahi kwenda apo yaan naogopa
@saumuimeda5181
3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
Kuna stima pia
Nenda na mbeya kuna ziwa ngosi
Weeee siwezi ingia uko asee
Nimefika mara 1 sijui kama nitakwenda tena sehemu hii nafkiri sio sehemu ya kwenda kama matembezi Kwatisha.
@hajrahnassor5348
Жыл бұрын
Sanaaaa