Utalii wa mawe Tunduru-Ruvuma.
Usisahau kutufuatilia katika mitandao yetu ;
Subscribe to our KZread Channel : bit.ly/itvtanzania
Facebook : bit.ly/2KeQNl3
Twitter : bit.ly/2XG7aii
Instagram : bit.ly/34KItmg
Usisahau kutufuatilia katika mitandao yetu ;
Subscribe to our KZread Channel : bit.ly/itvtanzania
Facebook : bit.ly/2KeQNl3
Twitter : bit.ly/2XG7aii
Instagram : bit.ly/34KItmg
Пікірлер: 10
Angalau tumeona yanaendelea nchini mwetu na maeneo yake. Asanteni Sana ITV kwakweliii
Wa extended tunduru tanzania Kusin I bad kuko nyuma San
Mzee andiligwe na bi fatma.. ewe mwenyezi mungu tupe maaalifa waja wako. Dunia ina tuadaa
Du mlima chesi uwo
Mambo ya kwenda kwenye miti ya mibuyu eti kuomba mizimu ni ushirikina.
Kwa nini haombii mguu wake upone
mizimwi ikageuka kupenda dola ya kisasa. aa
in short selikali yetu ya jamuhur ya mungano wa tanzania haijaipatia kipaumbele tunduru au kusin kwa ujumla pesa nying sana zinawekezwa nyanda za kasikazin mimi ni mzaliwa wa tunduru ila nimezunguka mikoa ming sana tanzania nimegundua hilo tatizo mtu akibisha nitamtolea mifano ming sana
Si awuwombee mguu wake????
Afisa utalii, umeeleza kana kwamba wewe unaratibu eneo lilipo Dodoma, hujafafanua mkakati wa serikali kwenye eneo hilo muhimu