EXCLUSIVE: MAZITO KUHUSU MIZIMU YA NGENDE NA SIMBA WANAOSINDIKIZA WATU Part: 01

NOTE: Tumeshindwa kuonesha picha za eneo husika linaloaminika kuwa ndio la mizimu kutokana na miiko ya eneo hilo.
Tutakuwekea sehemu ya pili inayoelezea Ngende ya Pili ambapo utamuona Bibi mwenye maajabu.
#mashujaatv
Follow us
mashujaatv...

Пікірлер: 33

  • @bakariAbushiri
    @bakariAbushiriАй бұрын

    HABARI ZA SAIZI NDUGU MTANGAZAJI WA MASHUJAA.

  • @SalimaAbdala-zu6zw
    @SalimaAbdala-zu6zwАй бұрын

    Mungu akuweke Babu yangu 🙏🙏

  • @OmarMohamed-vl5hr
    @OmarMohamed-vl5hr3 жыл бұрын

    Thanks

  • @SophiaMbulula
    @SophiaMbululaАй бұрын

    Namba tunaomba

  • @piljohn9300
    @piljohn93003 жыл бұрын

    Mmh htr San

  • @SalimaAbdala-zu6zw
    @SalimaAbdala-zu6zwАй бұрын

    💐💐💐♥️

  • @rashidyyusuph4386
    @rashidyyusuph43863 жыл бұрын

    Allah ndie muokozi pekee hakuna mwanadamu ambae anawe muokozi wa haki Bali huo ni USHIRIKINA tu

  • @evamohamed9816
    @evamohamed98163 жыл бұрын

    Mtakuja

  • @rashidyyusuph4386
    @rashidyyusuph43863 жыл бұрын

    Huu ujinga mpaka lini

  • @lilianarunga1552
    @lilianarunga1552 Жыл бұрын

    Naomba namba

  • @MariaPaul-vb3rj
    @MariaPaul-vb3rj7 ай бұрын

    Mh kwakweli bongo kaz ipo

  • @clintonmwamwezi1288
    @clintonmwamwezi12883 жыл бұрын

    Morogoro sehemu gani

  • @rashidyyusuph4386
    @rashidyyusuph43863 жыл бұрын

    Nyinyi wenyewe muko masikin tuwajua wadanganyeni ulio kuwa mbali na liwale sio sis tuli liwale

  • @mtabibumaalimmpiritv5249
    @mtabibumaalimmpiritv52492 жыл бұрын

    Rashidi chande manyinja

  • @Nfffff
    @Nfffff3 жыл бұрын

    Naomba number niko na brother ngu ame paralize naomba mnisaidie ilo swala plz

  • @MashujaaTV

    @MashujaaTV

    3 жыл бұрын

    nenda liwale mpigamiti

  • @obuyajeff7018
    @obuyajeff70182 жыл бұрын

    Mmulike na kamera tuone kama camera itachomeka

  • @mohamedymlindi8973
    @mohamedymlindi89732 жыл бұрын

    Tunataka mamba zangende

  • @rashidyyusuph4386
    @rashidyyusuph43863 жыл бұрын

    Watu wakiacha dini ndo hayo yatakuwa Yao ya kuabudu mizimu

  • @blue_hood9025

    @blue_hood9025

    2 жыл бұрын

    Hakuna namba?

  • @rashidyyusuph4386
    @rashidyyusuph43863 жыл бұрын

    Hakuna lolote ni ujinga tu

  • @rashidyyusuph4386
    @rashidyyusuph43863 жыл бұрын

    Huo ni USHIRIKINA tu

  • @haleemanakupendasanailamuh668

    @haleemanakupendasanailamuh668

    2 жыл бұрын

    Siwezi amini kitukama iko namuamini mungu watu wataangamiya kwa kukosa maalifa ujinga huo munamwacha Muumba mwamfata shetani

  • @haleemanakupendasanailamuh668

    @haleemanakupendasanailamuh668

    2 жыл бұрын

    Mbona wenyewe hawana pesa wachovu afazali ya mimi

  • @haleemanakupendasanailamuh668

    @haleemanakupendasanailamuh668

    2 жыл бұрын

    Wanae kuja wajinga waliwao wanamsaidiya shetani waingiye jahanamu

  • @rashidyyusuph4386
    @rashidyyusuph43863 жыл бұрын

    NANI KATIKA UKOO WA MANJINJA TAYAR??? KAMA SI UONGO

  • @chikushija5407

    @chikushija5407

    3 жыл бұрын

    Huuu ukoo noma mm naufaham yani wee

  • @hajimanajdedieu2910

    @hajimanajdedieu2910

    2 жыл бұрын

    Tunataka number

  • @eliaspeter2864
    @eliaspeter28642 жыл бұрын

    Mimi ni mtu wamasasi nipo dar hapo napafahamu vzr hakuna lolote nimepoteza nauli kibao lakin sijafanikiwa nahayo masharit niliyatimiza lakin hakuna chochote .mbona hakuna hata mteja mmoja mpowenyewe tuu achaa uwongo kwaiyo kassim majaliwa alikuja hapo ??

  • @zairaisaid6389

    @zairaisaid6389

    Жыл бұрын

    Nipe no yko tuwasiliane nataka unielekeze uko nataka niende ila spajui sjui nielekee wp semgn

  • @SalimaAbdala-zu6zw
    @SalimaAbdala-zu6zwАй бұрын

    💐💐💐♥️

  • @husseinhaulle3678
    @husseinhaulle36783 жыл бұрын

    Namba tunaomba

Келесі