MAKOMANDO WATUA KWA HELIKOPTA KWENDA KUMUOKOA MWENZAO ALIVYOTEKWA, SILAHA NZITO
Жүктеу.....
Пікірлер: 414
@user-wk2bg8zf3l5 ай бұрын
Mungu ibariki Tanzania 🇹🇿 ♥️
@abdulmohd68805 ай бұрын
Hizi n comedy naona😂
@naliakafatuma98705 ай бұрын
MUNGU ni mwema hongera Sana kila la kheri kwenu nyote kazi njema barikiwa Sana
@IsaacfilsUnefamilleАй бұрын
Mungu ni mwanzo na mwisho🙏🙏🔥
@daudmnanga70754 ай бұрын
Hatari sana jeshi letu mungu azidi kuwalinde
@TheBestPhone79185 ай бұрын
Wamejitahidi sana na hongeren majeshi yetu kwa kazi nzuri mmejitoa vilivyo
@FrankChuma-ug4bj6 күн бұрын
Kazi kaz❤
@salomewandya72575 ай бұрын
Naipenda nchi yangu Tanzania 🇹🇿 ❤
@sanoureyaliwadoakaroyo1696
5 ай бұрын
Kwa Izo Comedy zao😂😂😂
@abdulmnondo76
5 ай бұрын
@@sanoureyaliwadoakaroyo1696 Fanya na ww hyo comedy Acha dharau Nyie ndo ambao mkiskia sauti ya risasi tu mnaanza kuhaha
@Bmsecret
5 ай бұрын
Muongo huipendi nchi yako no TANGANYIKA znz haikuusu
@NaomiCharles-bb8md13 күн бұрын
Mama ana upiga mwingi💪♥️🇹🇿
@user-vh2nk5gz5p5 ай бұрын
Huwa natamani sana kusikia maswali ya mama kwa mkuu wa majeshi aonapo movie hizi kaliii live 😂😂😂 Hongera kwa wanajeshi wetu,hongera kwa mama nchi imetulia chini ya uongozi wake... Afya njema na maisha marefu kwako Rais wetu ameeeen
@ErickyTz-ku7dt5 ай бұрын
Nendeni Gaza mkafanyie practical😂
@stellanyamuhogota1832
5 ай бұрын
😂😂😂
@ngoymulunda3978
5 ай бұрын
😂😂😂
@user-bx7zk7to8k
5 ай бұрын
😂😂😂
@Pretty22750
5 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣you pple you gonna kill me ooohh
@user-uo8xw9kr4b
5 ай бұрын
Wapo congo sudan na kwengneko.
@micheckwachira11 күн бұрын
Hhhhaaaiiaa sijaona Kenya ikifanya hii waaa inapendeza
@Pira-gm4gr3 ай бұрын
Interesting. Love from Kenya
@samwelmigera7274Ай бұрын
Kazi njema,Mungu azidi kuwatunza daima
@bestmilltz70715 ай бұрын
Yaan adui awaangalie bila kufyatua risasi😂😂😂
@richardcasmir4169
2 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@erickotieno9882 ай бұрын
very nice
@user-mj3un2iv6vАй бұрын
nataman kuwa mwanajeshi one day
@elizabethjakobo2794 ай бұрын
Nawapenda Sana Naomba Mungu tu anipe mume mjeshi mimi❤
@NaomiCharles-bb8md13 күн бұрын
Cngilatueshen komamndo 🇹🇿♥️🌹
@daudmnanga70754 ай бұрын
Vizuri sana makomando
@CarlosedwardMlaponiАй бұрын
😂😂😂😂😂wahuni 2 hawa😂😂😂
@HuliloDonard-gu9bp5 ай бұрын
Mungu ibariki nchi yangu Tanzania
@stevejeremiah44975 ай бұрын
😆😆😆😆kama hivi ndivyo tunavyoweza kuokolewa kutoka mikononi mwa adui, Basi tutaokolewa sote tukiwa maiti. Ila Bongo kuna vituko
@JAYCLASSICMEDIA
5 ай бұрын
Ukiwa hujui kitu usicoment
@AjiaMohamed-rt5pb
5 ай бұрын
Mapenzi mabaya kweli hivi hamars wana mateka na urusi pamoja kuws na jeshi bora duniani jumlisha washirika wake wameshindwa haya ni mazingaombwe kuiwalisia haipo ongera mapinduzi
@AbdulatifSaidy
5 ай бұрын
Nipe mbinu nyingine tofauti na hiyo inayotumika kuokoa watu ? Hawa kuna nchi umeona wanapeleka maroboti ? Punguza ujuaji😂
@simonmoneni6768
5 ай бұрын
😂😂😂😂,,hizi ni vituko gani jameni
@jasonwatz7457
5 ай бұрын
@@AbdulatifSaidykuna mbinu nyingi sana, hii ni common mno among sf community huko dunian si kitu kipya
@user-dj5fo9fk9l5 ай бұрын
Hongereni Wana jeshi letu la tz kwa kituonyesha uhodari wenu nawaponeza sana tu.
@gilbertchebet7411Ай бұрын
😂😂😂😂😂hii movie ya dj afro hapa kenya
@erickotieno9882 ай бұрын
❤ vipi
@DicksonBanda-cq6wm22 күн бұрын
This is so special deal of our Military personnel
@sonmsb18395 ай бұрын
Hongera sana JW
@Sifa_film_tv725 ай бұрын
Wow Mungu IBARIKI Tanzania🙏
@BenMugo-tl9ef26 күн бұрын
Nice pitch here...
@IssackMaingu-ng5lk5 ай бұрын
Sherehe zimefana ila kubwa kuliko yote ni uhodari wa jeshi letu limetuonyesha ufanisi wa kazi wa hali juu sanaa, naomba mungu aendelee kuwapa nguvu, maarifa na afya ili tuendelee kuwa juu zaidi na zaidi(NIMEFURAHI SANA)
@izzahboe14425 ай бұрын
Kwa izi mbinu zetu waafrika na technology ya sasa tunaweza kuwa tunapigika kila siku maana toka kwa nyerere ni ivi ivi tuu😅😅
@user-jo1zp7fj7r
5 ай бұрын
Ahahahaha
@pennymahombo9528
5 ай бұрын
Nunueni Black Hawk helicopter za Marekani zisizo na sauti,mwulizeni Osama kilichomkuta.
@Pretty22750
5 ай бұрын
@@pennymahombo9528😂😂😂😂kwn marehemu huwa wanaongea nowadays
@AbdulatifSaidy
5 ай бұрын
Kwenye mbinu za uokoaji type mbinu mpya tofuati na hizo za ndege au gari ? Au kuna nchi wanatumia roboti punguza ujuaji😂
@user-di9tm7el2r
5 ай бұрын
Awee watakufa saana tusiombee
@jamestatio-wo9nrАй бұрын
Ee mungu saidia inchi yetu
@jafarymsangi3873 ай бұрын
Harmonize ye alitua na makalio😢😢😢
@zaiduothmani57715 ай бұрын
Unataka tutangaze mbinu za siri ya nchi yetu ili ituumize iyo ni furaya yetu sisi tu wananchi ila sio kwasbb ya vita
@jasonwatz7457
5 ай бұрын
Walansi za siri, ni very common
@azmanmkwambe4917
5 ай бұрын
Hapo sawa nakubaari wapo sahihi kabisa
@marylibaba25895 ай бұрын
Mama yangu tuwaheshimu sana Askari wetu wanakazi kubwa sana JAMANI TUSIWASUMBUE TAFADHALI SANA🔥🔥🔥🔥
@msafirimaulidi5054
5 ай бұрын
Nawaza ao watekaj awajaskia saut ya helkopta😂
@emnanuelimtui1805
5 ай бұрын
Kazi gani hzo zaidi ya kuonea wanyonge na kuwalinda waraji
@smarty1064
5 ай бұрын
@@msafirimaulidi5054 acha vurugu 😀😀😀😀
@smarty1064
5 ай бұрын
@@emnanuelimtui1805 wabora sana kwenye kuzuia maandamano sio kuokoa raia kwenye ndege iliyotua baharini
@AlwanKombo-hd3dt
5 ай бұрын
Haya niadui gan utakae nkamata ivoo amba mchezo wa govinda
@jackgodgivenzihindula5 ай бұрын
😂😂😂 DRCongo 🇨🇩 Iyi onyesho iliwashinda jm
@Zainab-sq1tc5 ай бұрын
Ila wabongo hawajawah kuwa seriously
@StephensinganoNdululu-pd2ty3 ай бұрын
Certified well improve d
@hamadichopoti29965 ай бұрын
M nlipenda wanajeshi ndo muigize muv za kivita tanzania ningezipenda sana
@franklevison94775 ай бұрын
Yaaaan hapo badooooooo😂😂😂😂😂😂😂😂😂 nchi bwana tucheke tuongeze siku za kuishi
Ilikuwa lazima mugie kile askari wetu walifanya jamani?? Surely Tanzania??
@Chapesatv5 ай бұрын
Bora msioneshe huu upuuzi maana watu wako kwenye ubabe wa nuclear nyinyi mnaleta movies scripts 😢
@JAYCLASSICMEDIA
5 ай бұрын
Kwahiyo mateka wako unaweza kumuokoa kwa nuclear?? 😂😂😂Punguzeninujuaji
@fredlugome7952
5 ай бұрын
😂😂😂kuji fanya unajua ndo madhara yakeeeee
@izzahboe1442
5 ай бұрын
Fact
@kabaranamaganga6646
5 ай бұрын
Kuwa na heshima kwa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama. Cc km wazalendo tumeridhika na jeshi letu na tunalitakia kilalakheri ww endelea na Nyuklia
@Chapesatv
5 ай бұрын
@@kabaranamaganga6646 Fala kweli elewa point ndio uwanze kutukana watu
@sierraminingltd15905 ай бұрын
Kumbe walioteka waarabu koko😅😅😅😅😅😅😅 ila naipenda nchi yangu. Mapunduzi daima
@user-hx8yd9gp2q5 ай бұрын
Hamna kitu humu
@johnbernad39905 ай бұрын
Tuliinjoi saana 😊😊
@user-ui5xc6sb5m5 ай бұрын
Natamani waje na Idia nyingine mahana hii tumeizoea toka Enzi jk nyerere
@abdulbonomali65485 ай бұрын
Mbinu izi msije kufanya tutawalilieni 😢😢😢
@azmanmkwambe4917
5 ай бұрын
kweeli broo ni it's very easy
@azmanmkwambe4917
5 ай бұрын
Nirahisi sana vitu wanavyo vifanya japo sisi hatujui ila nirahisi mmno huwezi kumuokoa mtu kirahis vile et mateka jashikiriwa analindwa na mtu mmoja wee uliskiia waapi broo inatakiwa mtuoneshe mifano hai mpaka rahis mwenyew akubaari
@ilynpayne74915 ай бұрын
Wafanye mechi ya kirafiki😢na kenya 😂😂
@sofitanzanian9555 ай бұрын
Hatar juu yahatar
@SonkoMolle-if3tzАй бұрын
🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡❤️🤝🤝🙏🙏🙏🇹🇿🇹🇿naipenda sana taifa langu😊
@flavourboyke5 ай бұрын
Kwa hii style ndege zitakuwa zishalipuliwa
@izzahboe1442
5 ай бұрын
Umeona wanazingua izo show za kuwaonyesha watoto
@siaelisteven6157
5 ай бұрын
😂😂😂😂
@AbdulatifSaidy
5 ай бұрын
Nenda katufute mbinu ya tofauti izo au kuokolewa kupitia gari ulete hapa punguza ujuaji tu😂
@flavourboyke
5 ай бұрын
Huo ndio ukweli , sai technology ziko very advanced, nani atangojea mfanye hizi vitu wanafanya ama wanadhani ni movie
@Users2523
5 ай бұрын
Wakikutana NA RPG za hamas hawa wamekwisha 😂😂😂😂 hizo style za kwenye movies 😂😂😂
@user-me2nk2me9d5 ай бұрын
Nhhh bado sana kwan maadui wamelala
@edesjackson21835 ай бұрын
Heeeeee ngonjera ipo sk tutajamba. 😂😂😂😂 EXTRACTION. Hyo sk tutaweza kudifine vzr. Serikali iweke kipaumbele na kuimalisha vyombo vya dollar sio sanaa hivi tu. Jeshi la chini lieleweke na jeshi la anga lieleweke maendeleo yake, chuma zinaunguruma utatoka kwa EXTRACTION kwl❤ TZ
@HuliloDonard-gu9bp5 ай бұрын
God bless my country
@rukiamadati3365 ай бұрын
Napenda Sana👏🇹🇿
@user-or3gu4qc9vАй бұрын
Bado tuko nyuma ela mnapeleka wapi maneno ming ma viffaaa ya kizaman
@demicratia40715 ай бұрын
Hao watekaji Watakywa wapi HADI muingie kilaini hivyo
@marylibaba25895 ай бұрын
Mamaaaaaaa,maaajabu sijawi kuona
@alfinmbilinyi59855 ай бұрын
Hapa jwtz wanacherehesha tu ili maazimisho yapendeze mwingine akiona hiyo helicopter moyo wake unafurahi ingekuwa vita hapo uwanjani wote wangekimbia na wengi wangezimia watanzania tulipende jeshi letu kwani ndiyo letu wewe unaebeza SI upime kina cha maji harafu utajuwa kama Mzee Nyerere alikosea au hakukosea kuunda hili jeshi .
@sofitanzanian9555 ай бұрын
Mhh naogopa jinsi halikopta jinsi inavuzunguka
@vayeen5 ай бұрын
Ndo aseme kizimkazi jamani😂
@ilmeldaliwanga-5772Ай бұрын
Safi sana Tanzania
@user-bv4gu5po4g5 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂roh kazi kweli kweli
@user-re6bk6cd6oАй бұрын
"Daima naimpenda nchi yangu 🇹🇿♥️
@abdulwahababdulkadir99655 ай бұрын
Good job
@ibrahimabdullah18875 ай бұрын
Nendeni somali mkakadwee😅😅😅
@daudmnanga70754 ай бұрын
Tuko pamoja kwayote
@user-bp6vn2wi7z5 ай бұрын
Jeshi hatari Africa
@sierraminingltd15905 ай бұрын
Maaskari wanaulizana eti nimekaa sawa😂😂😂😂😂😂😂the Hii nchi tunacheka siku ziongezeke😂😂😂😂
@naimasbuguza23955 ай бұрын
Kwahyo hapo wapo kwenye anga ya kwako au anga ya adui??😂
@AnthonyVitalis-iy5su5 ай бұрын
Sasa hapo si adui anakumaliza
@perisfranklin29185 ай бұрын
Tanzania mnakuanga na vituko sana, hiyo nn mnafanya kusema kweli?
@user-ho8lh9ke2dАй бұрын
Sasa mbn hawagawi wastan kwa idadi
@KokoBidu-lu4qm4 ай бұрын
Kuna kosa 3,ikiwaniya ukweli mutalizwa.
@twahaissack78875 ай бұрын
Op entebee ,comoro walifanya hv hv,ongerenii
5 ай бұрын
Milele festival since #coming coming
@Kishilibenjamin4 ай бұрын
Je kungekuwapo na bomu la ardhini wangefanyaje kwa sababu hakuna ishara yeyote waliyoonyesha hususani upekuzi wa mabomu
@khansinterprisekhans31295 ай бұрын
Naipenda nchi yangu
@JocharlesJuniorАй бұрын
its fine
@Billy-gz7sr4 ай бұрын
Nimefikiria Ni mchezo wa watoto
@abumasoud19965 ай бұрын
Mfumo.wa.zamani huo.sasa hivindrone na satalite. Hayo maonyesho yashapitwa na wakati na wakati.dunia ya sasa hivi toknologie.watu hawatumii nguvu Bali utaalami wa nuclier
@JAYCLASSICMEDIA
5 ай бұрын
Mbna kaelezea kila kitu kwamba ulianza uchunguzi kisha wakatumwa waokozi,, Sasa hiyo drone inaweza kubeba mateka?? 😊😊Acheni ujuaji wa kishamba
@IssackMaingu-ng5lk
5 ай бұрын
Huwezi kuonyesha mafunzo yako yote kwa. sherehe kama hizi, yaliyobakia wanajua wao ila mm na ww hatujui
@AbdulatifSaidy
5 ай бұрын
Hayo ni maonyesho halafu drone ukatumie kuokoa mtu ? Eeh punguza ujuaji zile ni ndege ambazo hazina rubani lazma commando watumike kwenye uokoaji 😂
@--------GEO_SPORT_EARTH_EA
5 ай бұрын
Listen technology haiondoi basics za utendaji ...kinachopimwa ni utimamu na ubora wa utendaji wa jukumu ( efficiency and effectiveness ya utendaji) Silaha kubwa ya askari sio vifaa alivyonavyo bali ari na nia ya kupigana mpaka kufa. Taleban wamempiga america kule Afghanistan kwa sababu ya Nia ya kupigana mpaka kufa kwa nchi yao. Na sio silaha
@shaffihsiraji3141
5 ай бұрын
Drone ya kubeba wanajeshi ipoje hiyo
@fatimaussene10105 ай бұрын
Matumizi mabaya ya fedha haya usanii mtupu
@JAYCLASSICMEDIA
5 ай бұрын
Ili ioneiane hawaigizi inabidi watumie risasi za moto?? Acheni ujuaji wa kishamba
@fatimaussene1010
5 ай бұрын
@@JAYCLASSICMEDIA kwani ujuaji wa kishamba na uhalisia ndivyo ilivyo maana action ya dakika tano au kumi si ngumu ata konde boy aliweza hiyo kkkkk
@JAYCLASSICMEDIA
5 ай бұрын
@@fatimaussene1010 Hujitambui sasa unataka tufanye uhalisia kwa kutumia risasi za moto,, mabomu itakuwa onesho ama ni vita sasa
@fatimaussene1010
5 ай бұрын
@@JAYCLASSICMEDIA ujitambui wewe buege mfanye vitu kwa uhalisia kama action iendane na uhalisia ata kama msingetumia za moto ila mgeonesha uhalisia kuwa mstaarabu kuwa mwanajeshi ndo uambie wenzako awajitambui sijapenda na chunga kauli yako
@JAYCLASSICMEDIA
5 ай бұрын
@@fatimaussene1010 ndo Hujitambui sasa,, uhalisia upi unataka?? Ukitaka uhalisia manake sasa inabidi ishutiwe movie ili siku ikifika muwekewe muitizame
Пікірлер: 414
Mungu ibariki Tanzania 🇹🇿 ♥️
Hizi n comedy naona😂
MUNGU ni mwema hongera Sana kila la kheri kwenu nyote kazi njema barikiwa Sana
Mungu ni mwanzo na mwisho🙏🙏🔥
Hatari sana jeshi letu mungu azidi kuwalinde
Wamejitahidi sana na hongeren majeshi yetu kwa kazi nzuri mmejitoa vilivyo
Kazi kaz❤
Naipenda nchi yangu Tanzania 🇹🇿 ❤
@sanoureyaliwadoakaroyo1696
5 ай бұрын
Kwa Izo Comedy zao😂😂😂
@abdulmnondo76
5 ай бұрын
@@sanoureyaliwadoakaroyo1696 Fanya na ww hyo comedy Acha dharau Nyie ndo ambao mkiskia sauti ya risasi tu mnaanza kuhaha
@Bmsecret
5 ай бұрын
Muongo huipendi nchi yako no TANGANYIKA znz haikuusu
Mama ana upiga mwingi💪♥️🇹🇿
Huwa natamani sana kusikia maswali ya mama kwa mkuu wa majeshi aonapo movie hizi kaliii live 😂😂😂 Hongera kwa wanajeshi wetu,hongera kwa mama nchi imetulia chini ya uongozi wake... Afya njema na maisha marefu kwako Rais wetu ameeeen
Nendeni Gaza mkafanyie practical😂
@stellanyamuhogota1832
5 ай бұрын
😂😂😂
@ngoymulunda3978
5 ай бұрын
😂😂😂
@user-bx7zk7to8k
5 ай бұрын
😂😂😂
@Pretty22750
5 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣you pple you gonna kill me ooohh
@user-uo8xw9kr4b
5 ай бұрын
Wapo congo sudan na kwengneko.
Hhhhaaaiiaa sijaona Kenya ikifanya hii waaa inapendeza
Interesting. Love from Kenya
Kazi njema,Mungu azidi kuwatunza daima
Yaan adui awaangalie bila kufyatua risasi😂😂😂
@richardcasmir4169
2 ай бұрын
😂😂😂😂😂
very nice
nataman kuwa mwanajeshi one day
Nawapenda Sana Naomba Mungu tu anipe mume mjeshi mimi❤
Cngilatueshen komamndo 🇹🇿♥️🌹
Vizuri sana makomando
😂😂😂😂😂wahuni 2 hawa😂😂😂
Mungu ibariki nchi yangu Tanzania
😆😆😆😆kama hivi ndivyo tunavyoweza kuokolewa kutoka mikononi mwa adui, Basi tutaokolewa sote tukiwa maiti. Ila Bongo kuna vituko
@JAYCLASSICMEDIA
5 ай бұрын
Ukiwa hujui kitu usicoment
@AjiaMohamed-rt5pb
5 ай бұрын
Mapenzi mabaya kweli hivi hamars wana mateka na urusi pamoja kuws na jeshi bora duniani jumlisha washirika wake wameshindwa haya ni mazingaombwe kuiwalisia haipo ongera mapinduzi
@AbdulatifSaidy
5 ай бұрын
Nipe mbinu nyingine tofauti na hiyo inayotumika kuokoa watu ? Hawa kuna nchi umeona wanapeleka maroboti ? Punguza ujuaji😂
@simonmoneni6768
5 ай бұрын
😂😂😂😂,,hizi ni vituko gani jameni
@jasonwatz7457
5 ай бұрын
@@AbdulatifSaidykuna mbinu nyingi sana, hii ni common mno among sf community huko dunian si kitu kipya
Hongereni Wana jeshi letu la tz kwa kituonyesha uhodari wenu nawaponeza sana tu.
😂😂😂😂😂hii movie ya dj afro hapa kenya
❤ vipi
This is so special deal of our Military personnel
Hongera sana JW
Wow Mungu IBARIKI Tanzania🙏
Nice pitch here...
Sherehe zimefana ila kubwa kuliko yote ni uhodari wa jeshi letu limetuonyesha ufanisi wa kazi wa hali juu sanaa, naomba mungu aendelee kuwapa nguvu, maarifa na afya ili tuendelee kuwa juu zaidi na zaidi(NIMEFURAHI SANA)
Kwa izi mbinu zetu waafrika na technology ya sasa tunaweza kuwa tunapigika kila siku maana toka kwa nyerere ni ivi ivi tuu😅😅
@user-jo1zp7fj7r
5 ай бұрын
Ahahahaha
@pennymahombo9528
5 ай бұрын
Nunueni Black Hawk helicopter za Marekani zisizo na sauti,mwulizeni Osama kilichomkuta.
@Pretty22750
5 ай бұрын
@@pennymahombo9528😂😂😂😂kwn marehemu huwa wanaongea nowadays
@AbdulatifSaidy
5 ай бұрын
Kwenye mbinu za uokoaji type mbinu mpya tofuati na hizo za ndege au gari ? Au kuna nchi wanatumia roboti punguza ujuaji😂
@user-di9tm7el2r
5 ай бұрын
Awee watakufa saana tusiombee
Ee mungu saidia inchi yetu
Harmonize ye alitua na makalio😢😢😢
Unataka tutangaze mbinu za siri ya nchi yetu ili ituumize iyo ni furaya yetu sisi tu wananchi ila sio kwasbb ya vita
@jasonwatz7457
5 ай бұрын
Walansi za siri, ni very common
@azmanmkwambe4917
5 ай бұрын
Hapo sawa nakubaari wapo sahihi kabisa
Mama yangu tuwaheshimu sana Askari wetu wanakazi kubwa sana JAMANI TUSIWASUMBUE TAFADHALI SANA🔥🔥🔥🔥
@msafirimaulidi5054
5 ай бұрын
Nawaza ao watekaj awajaskia saut ya helkopta😂
@emnanuelimtui1805
5 ай бұрын
Kazi gani hzo zaidi ya kuonea wanyonge na kuwalinda waraji
@smarty1064
5 ай бұрын
@@msafirimaulidi5054 acha vurugu 😀😀😀😀
@smarty1064
5 ай бұрын
@@emnanuelimtui1805 wabora sana kwenye kuzuia maandamano sio kuokoa raia kwenye ndege iliyotua baharini
@AlwanKombo-hd3dt
5 ай бұрын
Haya niadui gan utakae nkamata ivoo amba mchezo wa govinda
😂😂😂 DRCongo 🇨🇩 Iyi onyesho iliwashinda jm
Ila wabongo hawajawah kuwa seriously
Certified well improve d
M nlipenda wanajeshi ndo muigize muv za kivita tanzania ningezipenda sana
Yaaaan hapo badooooooo😂😂😂😂😂😂😂😂😂 nchi bwana tucheke tuongeze siku za kuishi
Mimi ni mburundi ila naipenda Tanzania sn
Nakubali kazi ya jeshi
Mungu ibariki tanzania
Kama movie za kituruki😂
Noma san
Safi sanaaa..namm ningekuwa ivo.
Mko na mchezo nyinyi, polepole namna hiyo
Kazi zuri kweri
Matumizi mabaya ya fedha
Nilikua sipo sikia bodoo BADOOOOO BADOOOOO BADOOOOO BADOOOOO sanaaa😆😆😆😆 Yani BADOOOOO
Ni hatari na nusu
Njoeni Mozambique mule chuma😂😂
😂😂😂😂kama wana bomu si wanawalipua
Tanzania salama iko fulu kiulinzi
Safi kabisa Tanzania oyeeeee 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
One day yes
Ilikuwa lazima mugie kile askari wetu walifanya jamani?? Surely Tanzania??
Bora msioneshe huu upuuzi maana watu wako kwenye ubabe wa nuclear nyinyi mnaleta movies scripts 😢
@JAYCLASSICMEDIA
5 ай бұрын
Kwahiyo mateka wako unaweza kumuokoa kwa nuclear?? 😂😂😂Punguzeninujuaji
@fredlugome7952
5 ай бұрын
😂😂😂kuji fanya unajua ndo madhara yakeeeee
@izzahboe1442
5 ай бұрын
Fact
@kabaranamaganga6646
5 ай бұрын
Kuwa na heshima kwa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama. Cc km wazalendo tumeridhika na jeshi letu na tunalitakia kilalakheri ww endelea na Nyuklia
@Chapesatv
5 ай бұрын
@@kabaranamaganga6646 Fala kweli elewa point ndio uwanze kutukana watu
Kumbe walioteka waarabu koko😅😅😅😅😅😅😅 ila naipenda nchi yangu. Mapunduzi daima
Hamna kitu humu
Tuliinjoi saana 😊😊
Natamani waje na Idia nyingine mahana hii tumeizoea toka Enzi jk nyerere
Mbinu izi msije kufanya tutawalilieni 😢😢😢
@azmanmkwambe4917
5 ай бұрын
kweeli broo ni it's very easy
@azmanmkwambe4917
5 ай бұрын
Nirahisi sana vitu wanavyo vifanya japo sisi hatujui ila nirahisi mmno huwezi kumuokoa mtu kirahis vile et mateka jashikiriwa analindwa na mtu mmoja wee uliskiia waapi broo inatakiwa mtuoneshe mifano hai mpaka rahis mwenyew akubaari
Wafanye mechi ya kirafiki😢na kenya 😂😂
Hatar juu yahatar
🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡❤️🤝🤝🙏🙏🙏🇹🇿🇹🇿naipenda sana taifa langu😊
Kwa hii style ndege zitakuwa zishalipuliwa
@izzahboe1442
5 ай бұрын
Umeona wanazingua izo show za kuwaonyesha watoto
@siaelisteven6157
5 ай бұрын
😂😂😂😂
@AbdulatifSaidy
5 ай бұрын
Nenda katufute mbinu ya tofauti izo au kuokolewa kupitia gari ulete hapa punguza ujuaji tu😂
@flavourboyke
5 ай бұрын
Huo ndio ukweli , sai technology ziko very advanced, nani atangojea mfanye hizi vitu wanafanya ama wanadhani ni movie
@Users2523
5 ай бұрын
Wakikutana NA RPG za hamas hawa wamekwisha 😂😂😂😂 hizo style za kwenye movies 😂😂😂
Nhhh bado sana kwan maadui wamelala
Heeeeee ngonjera ipo sk tutajamba. 😂😂😂😂 EXTRACTION. Hyo sk tutaweza kudifine vzr. Serikali iweke kipaumbele na kuimalisha vyombo vya dollar sio sanaa hivi tu. Jeshi la chini lieleweke na jeshi la anga lieleweke maendeleo yake, chuma zinaunguruma utatoka kwa EXTRACTION kwl❤ TZ
God bless my country
Napenda Sana👏🇹🇿
Bado tuko nyuma ela mnapeleka wapi maneno ming ma viffaaa ya kizaman
Hao watekaji Watakywa wapi HADI muingie kilaini hivyo
Mamaaaaaaa,maaajabu sijawi kuona
Hapa jwtz wanacherehesha tu ili maazimisho yapendeze mwingine akiona hiyo helicopter moyo wake unafurahi ingekuwa vita hapo uwanjani wote wangekimbia na wengi wangezimia watanzania tulipende jeshi letu kwani ndiyo letu wewe unaebeza SI upime kina cha maji harafu utajuwa kama Mzee Nyerere alikosea au hakukosea kuunda hili jeshi .
Mhh naogopa jinsi halikopta jinsi inavuzunguka
Ndo aseme kizimkazi jamani😂
Safi sana Tanzania
😂😂😂😂😂😂roh kazi kweli kweli
"Daima naimpenda nchi yangu 🇹🇿♥️
Good job
Nendeni somali mkakadwee😅😅😅
Tuko pamoja kwayote
Jeshi hatari Africa
Maaskari wanaulizana eti nimekaa sawa😂😂😂😂😂😂😂the Hii nchi tunacheka siku ziongezeke😂😂😂😂
Kwahyo hapo wapo kwenye anga ya kwako au anga ya adui??😂
Sasa hapo si adui anakumaliza
Tanzania mnakuanga na vituko sana, hiyo nn mnafanya kusema kweli?
Sasa mbn hawagawi wastan kwa idadi
Kuna kosa 3,ikiwaniya ukweli mutalizwa.
Op entebee ,comoro walifanya hv hv,ongerenii
Milele festival since #coming coming
Je kungekuwapo na bomu la ardhini wangefanyaje kwa sababu hakuna ishara yeyote waliyoonyesha hususani upekuzi wa mabomu
Naipenda nchi yangu
its fine
Nimefikiria Ni mchezo wa watoto
Mfumo.wa.zamani huo.sasa hivindrone na satalite. Hayo maonyesho yashapitwa na wakati na wakati.dunia ya sasa hivi toknologie.watu hawatumii nguvu Bali utaalami wa nuclier
@JAYCLASSICMEDIA
5 ай бұрын
Mbna kaelezea kila kitu kwamba ulianza uchunguzi kisha wakatumwa waokozi,, Sasa hiyo drone inaweza kubeba mateka?? 😊😊Acheni ujuaji wa kishamba
@IssackMaingu-ng5lk
5 ай бұрын
Huwezi kuonyesha mafunzo yako yote kwa. sherehe kama hizi, yaliyobakia wanajua wao ila mm na ww hatujui
@AbdulatifSaidy
5 ай бұрын
Hayo ni maonyesho halafu drone ukatumie kuokoa mtu ? Eeh punguza ujuaji zile ni ndege ambazo hazina rubani lazma commando watumike kwenye uokoaji 😂
@--------GEO_SPORT_EARTH_EA
5 ай бұрын
Listen technology haiondoi basics za utendaji ...kinachopimwa ni utimamu na ubora wa utendaji wa jukumu ( efficiency and effectiveness ya utendaji) Silaha kubwa ya askari sio vifaa alivyonavyo bali ari na nia ya kupigana mpaka kufa. Taleban wamempiga america kule Afghanistan kwa sababu ya Nia ya kupigana mpaka kufa kwa nchi yao. Na sio silaha
@shaffihsiraji3141
5 ай бұрын
Drone ya kubeba wanajeshi ipoje hiyo
Matumizi mabaya ya fedha haya usanii mtupu
@JAYCLASSICMEDIA
5 ай бұрын
Ili ioneiane hawaigizi inabidi watumie risasi za moto?? Acheni ujuaji wa kishamba
@fatimaussene1010
5 ай бұрын
@@JAYCLASSICMEDIA kwani ujuaji wa kishamba na uhalisia ndivyo ilivyo maana action ya dakika tano au kumi si ngumu ata konde boy aliweza hiyo kkkkk
@JAYCLASSICMEDIA
5 ай бұрын
@@fatimaussene1010 Hujitambui sasa unataka tufanye uhalisia kwa kutumia risasi za moto,, mabomu itakuwa onesho ama ni vita sasa
@fatimaussene1010
5 ай бұрын
@@JAYCLASSICMEDIA ujitambui wewe buege mfanye vitu kwa uhalisia kama action iendane na uhalisia ata kama msingetumia za moto ila mgeonesha uhalisia kuwa mstaarabu kuwa mwanajeshi ndo uambie wenzako awajitambui sijapenda na chunga kauli yako
@JAYCLASSICMEDIA
5 ай бұрын
@@fatimaussene1010 ndo Hujitambui sasa,, uhalisia upi unataka?? Ukitaka uhalisia manake sasa inabidi ishutiwe movie ili siku ikifika muwekewe muitizame
Misijawaelewatu wamefanya upuzitu 😂😂😂😂