MAKOMANDO WATUA KWA HELIKOPTA KWENDA KUMUOKOA MWENZAO ALIVYOTEKWA, SILAHA NZITO

Пікірлер: 414

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l5 ай бұрын

    Mungu ibariki Tanzania 🇹🇿 ♥️

  • @abdulmohd6880
    @abdulmohd68805 ай бұрын

    Hizi n comedy naona😂

  • @naliakafatuma9870
    @naliakafatuma98705 ай бұрын

    MUNGU ni mwema hongera Sana kila la kheri kwenu nyote kazi njema barikiwa Sana

  • @IsaacfilsUnefamille
    @IsaacfilsUnefamilleАй бұрын

    Mungu ni mwanzo na mwisho🙏🙏🔥

  • @daudmnanga7075
    @daudmnanga70754 ай бұрын

    Hatari sana jeshi letu mungu azidi kuwalinde

  • @TheBestPhone7918
    @TheBestPhone79185 ай бұрын

    Wamejitahidi sana na hongeren majeshi yetu kwa kazi nzuri mmejitoa vilivyo

  • @FrankChuma-ug4bj
    @FrankChuma-ug4bj6 күн бұрын

    Kazi kaz❤

  • @salomewandya7257
    @salomewandya72575 ай бұрын

    Naipenda nchi yangu Tanzania 🇹🇿 ❤

  • @sanoureyaliwadoakaroyo1696

    @sanoureyaliwadoakaroyo1696

    5 ай бұрын

    Kwa Izo Comedy zao😂😂😂

  • @abdulmnondo76

    @abdulmnondo76

    5 ай бұрын

    @@sanoureyaliwadoakaroyo1696 Fanya na ww hyo comedy Acha dharau Nyie ndo ambao mkiskia sauti ya risasi tu mnaanza kuhaha

  • @Bmsecret

    @Bmsecret

    5 ай бұрын

    Muongo huipendi nchi yako no TANGANYIKA znz haikuusu

  • @NaomiCharles-bb8md
    @NaomiCharles-bb8md13 күн бұрын

    Mama ana upiga mwingi💪♥️🇹🇿

  • @user-vh2nk5gz5p
    @user-vh2nk5gz5p5 ай бұрын

    Huwa natamani sana kusikia maswali ya mama kwa mkuu wa majeshi aonapo movie hizi kaliii live 😂😂😂 Hongera kwa wanajeshi wetu,hongera kwa mama nchi imetulia chini ya uongozi wake... Afya njema na maisha marefu kwako Rais wetu ameeeen

  • @ErickyTz-ku7dt
    @ErickyTz-ku7dt5 ай бұрын

    Nendeni Gaza mkafanyie practical😂

  • @stellanyamuhogota1832

    @stellanyamuhogota1832

    5 ай бұрын

    😂😂😂

  • @ngoymulunda3978

    @ngoymulunda3978

    5 ай бұрын

    😂😂😂

  • @user-bx7zk7to8k

    @user-bx7zk7to8k

    5 ай бұрын

    😂😂😂

  • @Pretty22750

    @Pretty22750

    5 ай бұрын

    🤣🤣🤣🤣you pple you gonna kill me ooohh

  • @user-uo8xw9kr4b

    @user-uo8xw9kr4b

    5 ай бұрын

    Wapo congo sudan na kwengneko.

  • @micheckwachira
    @micheckwachira11 күн бұрын

    Hhhhaaaiiaa sijaona Kenya ikifanya hii waaa inapendeza

  • @Pira-gm4gr
    @Pira-gm4gr3 ай бұрын

    Interesting. Love from Kenya

  • @samwelmigera7274
    @samwelmigera7274Ай бұрын

    Kazi njema,Mungu azidi kuwatunza daima

  • @bestmilltz7071
    @bestmilltz70715 ай бұрын

    Yaan adui awaangalie bila kufyatua risasi😂😂😂

  • @richardcasmir4169

    @richardcasmir4169

    2 ай бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @erickotieno988
    @erickotieno9882 ай бұрын

    very nice

  • @user-mj3un2iv6v
    @user-mj3un2iv6vАй бұрын

    nataman kuwa mwanajeshi one day

  • @elizabethjakobo279
    @elizabethjakobo2794 ай бұрын

    Nawapenda Sana Naomba Mungu tu anipe mume mjeshi mimi❤

  • @NaomiCharles-bb8md
    @NaomiCharles-bb8md13 күн бұрын

    Cngilatueshen komamndo 🇹🇿♥️🌹

  • @daudmnanga7075
    @daudmnanga70754 ай бұрын

    Vizuri sana makomando

  • @CarlosedwardMlaponi
    @CarlosedwardMlaponiАй бұрын

    😂😂😂😂😂wahuni 2 hawa😂😂😂

  • @HuliloDonard-gu9bp
    @HuliloDonard-gu9bp5 ай бұрын

    Mungu ibariki nchi yangu Tanzania

  • @stevejeremiah4497
    @stevejeremiah44975 ай бұрын

    😆😆😆😆kama hivi ndivyo tunavyoweza kuokolewa kutoka mikononi mwa adui, Basi tutaokolewa sote tukiwa maiti. Ila Bongo kuna vituko

  • @JAYCLASSICMEDIA

    @JAYCLASSICMEDIA

    5 ай бұрын

    Ukiwa hujui kitu usicoment

  • @AjiaMohamed-rt5pb

    @AjiaMohamed-rt5pb

    5 ай бұрын

    Mapenzi mabaya kweli hivi hamars wana mateka na urusi pamoja kuws na jeshi bora duniani jumlisha washirika wake wameshindwa haya ni mazingaombwe kuiwalisia haipo ongera mapinduzi

  • @AbdulatifSaidy

    @AbdulatifSaidy

    5 ай бұрын

    Nipe mbinu nyingine tofauti na hiyo inayotumika kuokoa watu ? Hawa kuna nchi umeona wanapeleka maroboti ? Punguza ujuaji😂

  • @simonmoneni6768

    @simonmoneni6768

    5 ай бұрын

    😂😂😂😂,,hizi ni vituko gani jameni

  • @jasonwatz7457

    @jasonwatz7457

    5 ай бұрын

    ​@@AbdulatifSaidykuna mbinu nyingi sana, hii ni common mno among sf community huko dunian si kitu kipya

  • @user-dj5fo9fk9l
    @user-dj5fo9fk9l5 ай бұрын

    Hongereni Wana jeshi letu la tz kwa kituonyesha uhodari wenu nawaponeza sana tu.

  • @gilbertchebet7411
    @gilbertchebet7411Ай бұрын

    😂😂😂😂😂hii movie ya dj afro hapa kenya

  • @erickotieno988
    @erickotieno9882 ай бұрын

    ❤ vipi

  • @DicksonBanda-cq6wm
    @DicksonBanda-cq6wm22 күн бұрын

    This is so special deal of our Military personnel

  • @sonmsb1839
    @sonmsb18395 ай бұрын

    Hongera sana JW

  • @Sifa_film_tv72
    @Sifa_film_tv725 ай бұрын

    Wow Mungu IBARIKI Tanzania🙏

  • @BenMugo-tl9ef
    @BenMugo-tl9ef26 күн бұрын

    Nice pitch here...

  • @IssackMaingu-ng5lk
    @IssackMaingu-ng5lk5 ай бұрын

    Sherehe zimefana ila kubwa kuliko yote ni uhodari wa jeshi letu limetuonyesha ufanisi wa kazi wa hali juu sanaa, naomba mungu aendelee kuwapa nguvu, maarifa na afya ili tuendelee kuwa juu zaidi na zaidi(NIMEFURAHI SANA)

  • @izzahboe1442
    @izzahboe14425 ай бұрын

    Kwa izi mbinu zetu waafrika na technology ya sasa tunaweza kuwa tunapigika kila siku maana toka kwa nyerere ni ivi ivi tuu😅😅

  • @user-jo1zp7fj7r

    @user-jo1zp7fj7r

    5 ай бұрын

    Ahahahaha

  • @pennymahombo9528

    @pennymahombo9528

    5 ай бұрын

    Nunueni Black Hawk helicopter za Marekani zisizo na sauti,mwulizeni Osama kilichomkuta.

  • @Pretty22750

    @Pretty22750

    5 ай бұрын

    ​@@pennymahombo9528😂😂😂😂kwn marehemu huwa wanaongea nowadays

  • @AbdulatifSaidy

    @AbdulatifSaidy

    5 ай бұрын

    Kwenye mbinu za uokoaji type mbinu mpya tofuati na hizo za ndege au gari ? Au kuna nchi wanatumia roboti punguza ujuaji😂

  • @user-di9tm7el2r

    @user-di9tm7el2r

    5 ай бұрын

    Awee watakufa saana tusiombee

  • @jamestatio-wo9nr
    @jamestatio-wo9nrАй бұрын

    Ee mungu saidia inchi yetu

  • @jafarymsangi387
    @jafarymsangi3873 ай бұрын

    Harmonize ye alitua na makalio😢😢😢

  • @zaiduothmani5771
    @zaiduothmani57715 ай бұрын

    Unataka tutangaze mbinu za siri ya nchi yetu ili ituumize iyo ni furaya yetu sisi tu wananchi ila sio kwasbb ya vita

  • @jasonwatz7457

    @jasonwatz7457

    5 ай бұрын

    Walansi za siri, ni very common

  • @azmanmkwambe4917

    @azmanmkwambe4917

    5 ай бұрын

    Hapo sawa nakubaari wapo sahihi kabisa

  • @marylibaba2589
    @marylibaba25895 ай бұрын

    Mama yangu tuwaheshimu sana Askari wetu wanakazi kubwa sana JAMANI TUSIWASUMBUE TAFADHALI SANA🔥🔥🔥🔥

  • @msafirimaulidi5054

    @msafirimaulidi5054

    5 ай бұрын

    Nawaza ao watekaj awajaskia saut ya helkopta😂

  • @emnanuelimtui1805

    @emnanuelimtui1805

    5 ай бұрын

    Kazi gani hzo zaidi ya kuonea wanyonge na kuwalinda waraji

  • @smarty1064

    @smarty1064

    5 ай бұрын

    @@msafirimaulidi5054 acha vurugu 😀😀😀😀

  • @smarty1064

    @smarty1064

    5 ай бұрын

    @@emnanuelimtui1805 wabora sana kwenye kuzuia maandamano sio kuokoa raia kwenye ndege iliyotua baharini

  • @AlwanKombo-hd3dt

    @AlwanKombo-hd3dt

    5 ай бұрын

    Haya niadui gan utakae nkamata ivoo amba mchezo wa govinda

  • @jackgodgivenzihindula
    @jackgodgivenzihindula5 ай бұрын

    😂😂😂 DRCongo 🇨🇩 Iyi onyesho iliwashinda jm

  • @Zainab-sq1tc
    @Zainab-sq1tc5 ай бұрын

    Ila wabongo hawajawah kuwa seriously

  • @StephensinganoNdululu-pd2ty
    @StephensinganoNdululu-pd2ty3 ай бұрын

    Certified well improve d

  • @hamadichopoti2996
    @hamadichopoti29965 ай бұрын

    M nlipenda wanajeshi ndo muigize muv za kivita tanzania ningezipenda sana

  • @franklevison9477
    @franklevison94775 ай бұрын

    Yaaaan hapo badooooooo😂😂😂😂😂😂😂😂😂 nchi bwana tucheke tuongeze siku za kuishi

  • @user-jv1ch4tr8q
    @user-jv1ch4tr8qАй бұрын

    Mimi ni mburundi ila naipenda Tanzania sn

  • @GadKasanga-je6mi
    @GadKasanga-je6mi5 ай бұрын

    Nakubali kazi ya jeshi

  • @justincostantine9662
    @justincostantine96625 ай бұрын

    Mungu ibariki tanzania

  • @ZulfaMalya
    @ZulfaMalyaАй бұрын

    Kama movie za kituruki😂

  • @user-fq7sy4lo9d
    @user-fq7sy4lo9d4 ай бұрын

    Noma san

  • @user-wf5up8rl1x
    @user-wf5up8rl1x5 ай бұрын

    Safi sanaaa..namm ningekuwa ivo.

  • @charletsada8779
    @charletsada8779Ай бұрын

    Mko na mchezo nyinyi, polepole namna hiyo

  • @reginasyomiti7862
    @reginasyomiti78623 ай бұрын

    Kazi zuri kweri

  • @user-rc1dp6ux3k
    @user-rc1dp6ux3k5 ай бұрын

    Matumizi mabaya ya fedha

  • @issayacharles9402
    @issayacharles94025 ай бұрын

    Nilikua sipo sikia bodoo BADOOOOO BADOOOOO BADOOOOO BADOOOOO sanaaa😆😆😆😆 Yani BADOOOOO

  • @YahyaOmary-yi5el
    @YahyaOmary-yi5elАй бұрын

    Ni hatari na nusu

  • @user-ws6rw1fj3o
    @user-ws6rw1fj3o2 ай бұрын

    Njoeni Mozambique mule chuma😂😂

  • @user-di9tm7el2r
    @user-di9tm7el2r5 ай бұрын

    😂😂😂😂kama wana bomu si wanawalipua

  • @daudmnanga7075
    @daudmnanga70754 ай бұрын

    Tanzania salama iko fulu kiulinzi

  • @Hassan_Mengi
    @Hassan_Mengi5 ай бұрын

    Safi kabisa Tanzania oyeeeee 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @shaksboy-fs1pv
    @shaksboy-fs1pv2 ай бұрын

    One day yes

  • @geoffreywafula444
    @geoffreywafula4442 күн бұрын

    Ilikuwa lazima mugie kile askari wetu walifanya jamani?? Surely Tanzania??

  • @Chapesatv
    @Chapesatv5 ай бұрын

    Bora msioneshe huu upuuzi maana watu wako kwenye ubabe wa nuclear nyinyi mnaleta movies scripts 😢

  • @JAYCLASSICMEDIA

    @JAYCLASSICMEDIA

    5 ай бұрын

    Kwahiyo mateka wako unaweza kumuokoa kwa nuclear?? 😂😂😂Punguzeninujuaji

  • @fredlugome7952

    @fredlugome7952

    5 ай бұрын

    😂😂😂kuji fanya unajua ndo madhara yakeeeee

  • @izzahboe1442

    @izzahboe1442

    5 ай бұрын

    Fact

  • @kabaranamaganga6646

    @kabaranamaganga6646

    5 ай бұрын

    Kuwa na heshima kwa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama. Cc km wazalendo tumeridhika na jeshi letu na tunalitakia kilalakheri ww endelea na Nyuklia

  • @Chapesatv

    @Chapesatv

    5 ай бұрын

    @@kabaranamaganga6646 Fala kweli elewa point ndio uwanze kutukana watu

  • @sierraminingltd1590
    @sierraminingltd15905 ай бұрын

    Kumbe walioteka waarabu koko😅😅😅😅😅😅😅 ila naipenda nchi yangu. Mapunduzi daima

  • @user-hx8yd9gp2q
    @user-hx8yd9gp2q5 ай бұрын

    Hamna kitu humu

  • @johnbernad3990
    @johnbernad39905 ай бұрын

    Tuliinjoi saana 😊😊

  • @user-ui5xc6sb5m
    @user-ui5xc6sb5m5 ай бұрын

    Natamani waje na Idia nyingine mahana hii tumeizoea toka Enzi jk nyerere

  • @abdulbonomali6548
    @abdulbonomali65485 ай бұрын

    Mbinu izi msije kufanya tutawalilieni 😢😢😢

  • @azmanmkwambe4917

    @azmanmkwambe4917

    5 ай бұрын

    kweeli broo ni it's very easy

  • @azmanmkwambe4917

    @azmanmkwambe4917

    5 ай бұрын

    Nirahisi sana vitu wanavyo vifanya japo sisi hatujui ila nirahisi mmno huwezi kumuokoa mtu kirahis vile et mateka jashikiriwa analindwa na mtu mmoja wee uliskiia waapi broo inatakiwa mtuoneshe mifano hai mpaka rahis mwenyew akubaari

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne74915 ай бұрын

    Wafanye mechi ya kirafiki😢na kenya 😂😂

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian9555 ай бұрын

    Hatar juu yahatar

  • @SonkoMolle-if3tz
    @SonkoMolle-if3tzАй бұрын

    🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡❤️🤝🤝🙏🙏🙏🇹🇿🇹🇿naipenda sana taifa langu😊

  • @flavourboyke
    @flavourboyke5 ай бұрын

    Kwa hii style ndege zitakuwa zishalipuliwa

  • @izzahboe1442

    @izzahboe1442

    5 ай бұрын

    Umeona wanazingua izo show za kuwaonyesha watoto

  • @siaelisteven6157

    @siaelisteven6157

    5 ай бұрын

    😂😂😂😂

  • @AbdulatifSaidy

    @AbdulatifSaidy

    5 ай бұрын

    Nenda katufute mbinu ya tofauti izo au kuokolewa kupitia gari ulete hapa punguza ujuaji tu😂

  • @flavourboyke

    @flavourboyke

    5 ай бұрын

    Huo ndio ukweli , sai technology ziko very advanced, nani atangojea mfanye hizi vitu wanafanya ama wanadhani ni movie

  • @Users2523

    @Users2523

    5 ай бұрын

    Wakikutana NA RPG za hamas hawa wamekwisha 😂😂😂😂 hizo style za kwenye movies 😂😂😂

  • @user-me2nk2me9d
    @user-me2nk2me9d5 ай бұрын

    Nhhh bado sana kwan maadui wamelala

  • @edesjackson2183
    @edesjackson21835 ай бұрын

    Heeeeee ngonjera ipo sk tutajamba. 😂😂😂😂 EXTRACTION. Hyo sk tutaweza kudifine vzr. Serikali iweke kipaumbele na kuimalisha vyombo vya dollar sio sanaa hivi tu. Jeshi la chini lieleweke na jeshi la anga lieleweke maendeleo yake, chuma zinaunguruma utatoka kwa EXTRACTION kwl❤ TZ

  • @HuliloDonard-gu9bp
    @HuliloDonard-gu9bp5 ай бұрын

    God bless my country

  • @rukiamadati336
    @rukiamadati3365 ай бұрын

    Napenda Sana👏🇹🇿

  • @user-or3gu4qc9v
    @user-or3gu4qc9vАй бұрын

    Bado tuko nyuma ela mnapeleka wapi maneno ming ma viffaaa ya kizaman

  • @demicratia4071
    @demicratia40715 ай бұрын

    Hao watekaji Watakywa wapi HADI muingie kilaini hivyo

  • @marylibaba2589
    @marylibaba25895 ай бұрын

    Mamaaaaaaa,maaajabu sijawi kuona

  • @alfinmbilinyi5985
    @alfinmbilinyi59855 ай бұрын

    Hapa jwtz wanacherehesha tu ili maazimisho yapendeze mwingine akiona hiyo helicopter moyo wake unafurahi ingekuwa vita hapo uwanjani wote wangekimbia na wengi wangezimia watanzania tulipende jeshi letu kwani ndiyo letu wewe unaebeza SI upime kina cha maji harafu utajuwa kama Mzee Nyerere alikosea au hakukosea kuunda hili jeshi .

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian9555 ай бұрын

    Mhh naogopa jinsi halikopta jinsi inavuzunguka

  • @vayeen
    @vayeen5 ай бұрын

    Ndo aseme kizimkazi jamani😂

  • @ilmeldaliwanga-5772
    @ilmeldaliwanga-5772Ай бұрын

    Safi sana Tanzania

  • @user-bv4gu5po4g
    @user-bv4gu5po4g5 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂roh kazi kweli kweli

  • @user-re6bk6cd6o
    @user-re6bk6cd6oАй бұрын

    "Daima naimpenda nchi yangu 🇹🇿♥️

  • @abdulwahababdulkadir9965
    @abdulwahababdulkadir99655 ай бұрын

    Good job

  • @ibrahimabdullah1887
    @ibrahimabdullah18875 ай бұрын

    Nendeni somali mkakadwee😅😅😅

  • @daudmnanga7075
    @daudmnanga70754 ай бұрын

    Tuko pamoja kwayote

  • @user-bp6vn2wi7z
    @user-bp6vn2wi7z5 ай бұрын

    Jeshi hatari Africa

  • @sierraminingltd1590
    @sierraminingltd15905 ай бұрын

    Maaskari wanaulizana eti nimekaa sawa😂😂😂😂😂😂😂the Hii nchi tunacheka siku ziongezeke😂😂😂😂

  • @naimasbuguza2395
    @naimasbuguza23955 ай бұрын

    Kwahyo hapo wapo kwenye anga ya kwako au anga ya adui??😂

  • @AnthonyVitalis-iy5su
    @AnthonyVitalis-iy5su5 ай бұрын

    Sasa hapo si adui anakumaliza

  • @perisfranklin2918
    @perisfranklin29185 ай бұрын

    Tanzania mnakuanga na vituko sana, hiyo nn mnafanya kusema kweli?

  • @user-ho8lh9ke2d
    @user-ho8lh9ke2dАй бұрын

    Sasa mbn hawagawi wastan kwa idadi

  • @KokoBidu-lu4qm
    @KokoBidu-lu4qm4 ай бұрын

    Kuna kosa 3,ikiwaniya ukweli mutalizwa.

  • @twahaissack7887
    @twahaissack78875 ай бұрын

    Op entebee ,comoro walifanya hv hv,ongerenii

  • 5 ай бұрын

    Milele festival since #coming coming

  • @Kishilibenjamin
    @Kishilibenjamin4 ай бұрын

    Je kungekuwapo na bomu la ardhini wangefanyaje kwa sababu hakuna ishara yeyote waliyoonyesha hususani upekuzi wa mabomu

  • @khansinterprisekhans3129
    @khansinterprisekhans31295 ай бұрын

    Naipenda nchi yangu

  • @JocharlesJunior
    @JocharlesJuniorАй бұрын

    its fine

  • @Billy-gz7sr
    @Billy-gz7sr4 ай бұрын

    Nimefikiria Ni mchezo wa watoto

  • @abumasoud1996
    @abumasoud19965 ай бұрын

    Mfumo.wa.zamani huo.sasa hivindrone na satalite. Hayo maonyesho yashapitwa na wakati na wakati.dunia ya sasa hivi toknologie.watu hawatumii nguvu Bali utaalami wa nuclier

  • @JAYCLASSICMEDIA

    @JAYCLASSICMEDIA

    5 ай бұрын

    Mbna kaelezea kila kitu kwamba ulianza uchunguzi kisha wakatumwa waokozi,, Sasa hiyo drone inaweza kubeba mateka?? 😊😊Acheni ujuaji wa kishamba

  • @IssackMaingu-ng5lk

    @IssackMaingu-ng5lk

    5 ай бұрын

    Huwezi kuonyesha mafunzo yako yote kwa. sherehe kama hizi, yaliyobakia wanajua wao ila mm na ww hatujui

  • @AbdulatifSaidy

    @AbdulatifSaidy

    5 ай бұрын

    Hayo ni maonyesho halafu drone ukatumie kuokoa mtu ? Eeh punguza ujuaji zile ni ndege ambazo hazina rubani lazma commando watumike kwenye uokoaji 😂

  • @--------GEO_SPORT_EARTH_EA

    @--------GEO_SPORT_EARTH_EA

    5 ай бұрын

    Listen technology haiondoi basics za utendaji ...kinachopimwa ni utimamu na ubora wa utendaji wa jukumu ( efficiency and effectiveness ya utendaji) Silaha kubwa ya askari sio vifaa alivyonavyo bali ari na nia ya kupigana mpaka kufa. Taleban wamempiga america kule Afghanistan kwa sababu ya Nia ya kupigana mpaka kufa kwa nchi yao. Na sio silaha

  • @shaffihsiraji3141

    @shaffihsiraji3141

    5 ай бұрын

    Drone ya kubeba wanajeshi ipoje hiyo

  • @fatimaussene1010
    @fatimaussene10105 ай бұрын

    Matumizi mabaya ya fedha haya usanii mtupu

  • @JAYCLASSICMEDIA

    @JAYCLASSICMEDIA

    5 ай бұрын

    Ili ioneiane hawaigizi inabidi watumie risasi za moto?? Acheni ujuaji wa kishamba

  • @fatimaussene1010

    @fatimaussene1010

    5 ай бұрын

    @@JAYCLASSICMEDIA kwani ujuaji wa kishamba na uhalisia ndivyo ilivyo maana action ya dakika tano au kumi si ngumu ata konde boy aliweza hiyo kkkkk

  • @JAYCLASSICMEDIA

    @JAYCLASSICMEDIA

    5 ай бұрын

    @@fatimaussene1010 Hujitambui sasa unataka tufanye uhalisia kwa kutumia risasi za moto,, mabomu itakuwa onesho ama ni vita sasa

  • @fatimaussene1010

    @fatimaussene1010

    5 ай бұрын

    @@JAYCLASSICMEDIA ujitambui wewe buege mfanye vitu kwa uhalisia kama action iendane na uhalisia ata kama msingetumia za moto ila mgeonesha uhalisia kuwa mstaarabu kuwa mwanajeshi ndo uambie wenzako awajitambui sijapenda na chunga kauli yako

  • @JAYCLASSICMEDIA

    @JAYCLASSICMEDIA

    5 ай бұрын

    @@fatimaussene1010 ndo Hujitambui sasa,, uhalisia upi unataka?? Ukitaka uhalisia manake sasa inabidi ishutiwe movie ili siku ikifika muwekewe muitizame

  • @mwanzaboy1548
    @mwanzaboy15485 ай бұрын

    Misijawaelewatu wamefanya upuzitu 😂😂😂😂