RAIS SAMIA AMTOLEA MFANO MKUU WA WILAYA ALIYEFANYA UBABE "BADO KUNA WAKUU WA MIKOA WANAENDELEZA"
Жүктеу.....
Пікірлер: 72
@PhilipoMwita-wc1ku7 күн бұрын
Nyie ccm ndo mnaharibu nchi..watu wanakua wababe kwasababu anakua mbabe akijua hajachafguliwa na wananchi Wala mwananchi Hana pakumpeleka
@paschalpaul38627 күн бұрын
Kwa hiyo mama unataka mahakama ikiharibu mkuu wa mkoa asinyooshe mfano tumeona wizara ya ardhi ilivyoharibiwa na mahakama matokeo yake kukawa na zuluma za wanyonge, na uko Arusha tumeona kishindo cha makonda kilivyosaidia na hivyo mimi kama mpiga kura tunahitaji wakuu wa mikoa wa kutetea haki za wanyonge
@HamisiAbdallah-vu7fz7 күн бұрын
mheshimiwa raisi unawachekea sana umekuwa Mpore sana ndio maana wanafanya wanayotaka
@pidiusDominick-qi7nl7 күн бұрын
Mbona huyu mwanamke haongeleagi ushoga amepewa Nini huyu mama mpaka anaogopa kupinga ushoga na usagaji
@atutweve4160
7 күн бұрын
USHOGA UTAMSAIDIA NINI? AMECHAGULIWA NA MASHOGA? 😂😂😂😂😂
@Kabwela776
7 күн бұрын
Mpuuzi kweli wewe mashoga si waliamua wao wenyewe mtu mzima anaamua kutoa mkubwa kwa starehe zake wew inauma Nini kuna mambo ya maana kuongelea kuliko ushoga Na usagaji , Na ushoga ulikuwepo tokea dunia inaumbwa kama umalaya Na Tanzania ushoga ungekuwepo toka enzi za Tanganyika sio Jambo jipya
@Kabwela776
7 күн бұрын
@@atutweve4160mpumbavu huyo kuna mambo ya maana ya kuongelea sio ushoga Na usagaji
@kazikazini1042
7 күн бұрын
Kuongelea ni kuupa nguvu yaani promo
@fifo262
6 күн бұрын
Ushoga unamuhusu nini ? Kwani ww mtumzima hujui km kumpa mtu kiuno ni mazara yako binafsi km ilivo sigara sasa mama aseme nini apo kingine 😂
@BeniJohn-xd3cn7 күн бұрын
Inaonyesha jinsi serikali yako ilivyo na viongozi wenye kiburi kwenye seminar za uongozi awataki kwenda kwenye mafunzo ya uongozi bora wote ni vilaza
@Hussein-gx4qu7 күн бұрын
Hii nchi anatakiwa apewe makonda awanyooshe manyanga,u mama ana wambembeleza sana
@theempire4058
6 күн бұрын
Kabisa
@salcle97027 күн бұрын
Tatizo yule alikuwa amevurugwa na mke wake 😂😂😂mama unakazi kwelikweli
@braystuskibassa38427 күн бұрын
🤔🤔🤔🤔sawa sawa ila kwa wale majitu walioshiba na hawana nidhamu kwenye maeneo yao basi wanatakiwa kuwajibishwa kama viongozi wetu hasa wa mikoa na wilaya watachekelea uzembe, rushwa n.k basi tutavuna vitu viovu sana Tanzania na pia kama mahakama zetu hazitendi haki basi naamini wakuu wa mikoa na wilaya wanapaswa kukemea tena kwa ukali mno maana sidhani Tanzania itakuwa salama namna hiyo
@user-sj3wf5vz7l7 күн бұрын
Hii ishu yalujiuza imeenda mbali zaidi. Nyumba zakulala wageni zimegeuzwa madangulo. Nchi yetu sasa inapokea wageni kutoka nje. Wacha jiji lisafishwe
@travellahmsafirihiphop53257 күн бұрын
Umeongea vizuri
@justardzelphine6526
6 күн бұрын
Uzuri upi? Wewe ndo members!
@katyalengajua67166 күн бұрын
Mam yangu mungu akutie nguvu katika kutusimamia wanao 🎉🎉❤❤ tunakupenda ole wake mtu aguse hii kometi nataka aguse yeye mwenyewe
@user-ie2sr4fi4k6 күн бұрын
Asantee mama mungu akubalik 🙏🙏🙏
@kostajoseph58117 күн бұрын
RAIS WETU KIPENZI , MSTAARABU, UNAJUA KUELIMISHA, KUELEKEZA NA KUFUNDISHA TENA KIBINADAM MUNGU AKULINDE UENDELEE KUA MKUU WETU WA NCHI
@PhilipoMwita-wc1ku
7 күн бұрын
Mstaarabu kwa kilipi kuwafukuza wamasai kwenye ardhi Yao..kuwabomolea watu bila fidia au kukopa mahela huko bila kupeleka BUNGENI
@petroyohana11267 күн бұрын
Sabaya
@IbniAbbas-yz3kt7 күн бұрын
Mama hii nchi huiwezi!aliye ipatia ameshaaga!
@theempire4058
6 күн бұрын
Wapo wawili waliobakia yupo makonda na silaa
@dallasmusic64657 күн бұрын
Tatzo mama unawachekea sana tumia ule ubabe wa magu la sivyo raia wako watazidi kuichukia sana ardhi yao watu wanafanya mambo yao hawajali maslah ya nchi mama hukemei hlo 😢😢😢Doooh RIP magu daaaah 😢😢😢
@nequiceace7 күн бұрын
Nice
@machasofficialsite62217 күн бұрын
Ok
@shabaniathumani17897 күн бұрын
Mama mtetezi wa Waze mbe
@ngambikomsu645 күн бұрын
Tatizo ni jinsi mnavyowachagua hao mnaowaita wakuu wa wilaya na mikoa. Wengine walikuwa ni vibaka sugu, wengine walikuwa ni wavuta bangi , ila kwakuwa mnachaguana kwa kujuana ndio matokeo hayo. Wengine wanajiaminisha kwakuwa wanajua hata wewe uliyewateuwa unawaogopa ndio maana umewateua pamoja na kuyajua maovu yao.Na wanajigamba hadharani kuwa ni watoto wako . Kazi iendelee.
@albertinamichael61237 күн бұрын
Simuelewi.
@saidnoumani72447 күн бұрын
Mh Rais Kuna mkuu wilaya ya Arusha naomba mchunguze! Simtaji jina hapa..
@johnmichaellukindo21
7 күн бұрын
Kwa aibu umesahau hata cheo chake
@rogerabdallah439
7 күн бұрын
Ni mimi nitaje nikuchinje
@petroisamba8226
7 күн бұрын
Mwambie makonda anamuweza
@DoroPot-iv5hy7 күн бұрын
Mama angalia huyu wa ubungo na kamata kamata yake wanaojiuzaa ....wawape elimu sio kuwafunga
@magigesabai8674
7 күн бұрын
acheni kutetea ujinga kwan amewapiga, wewe unaona ni sawa kujiuza ?fikiria mtoto wako anajiuza ? basi kama ni hivyo hata mwizi asikamatwe ? wa,madawa ya kulevya wasikamatwe unafikiri hao watu hawana elimu na uku wengi wao ni wasomi
@martinabayyo9982
7 күн бұрын
Yupo sahihi we unaona huo uchafu ni kitu kzr ktk jamii? Wapigwe ndani wasituharibie watoto wetu
@sebastiansalamba3137 күн бұрын
Mhuu
@ismaelgadiye44887 күн бұрын
Kwisha kazi
@user-xq6rg2pb1x2 күн бұрын
2025 miaka 5 tena kwako kuna mambo ya msingi ya kushughulikia sio ujingaujinga
@Hussein-gx4qu7 күн бұрын
Mama hii nchii huiwezi kabisa nilimpa kura magufuri lakini wewe sikupi umefeli kwa Kila kitu
@fifo2626 күн бұрын
Piga kazi tunakuelewa mama
@dominickchristopher16696 күн бұрын
Ila mama tunaomba makonda umuache apige spuna
@GbpAud_King7 күн бұрын
Kuna mkuu wa wilaya Ubungo amekamata malaya achunguzwee😂
@ngwashgold5459
7 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂 fala
@rogerabdallah439
7 күн бұрын
Kweli anasifa za kijinga ana kazi za kufanya
@waluohopaulo2116
7 күн бұрын
@GbpAucd_King..malaya yako alichotwa
@VictorLyimo-so9xr
7 күн бұрын
Amekosa la kufanya
@VictorLyimo-so9xr
7 күн бұрын
Ameshalogwa
@JaneSisili-uj9co6 күн бұрын
Can safi
@melanialeonard40317 күн бұрын
Unachukua jiwe unaliweka sehem linakukera nn?nchi hii haina viongozi ni mawe tu lihamishie sehem nyingine amua tu anawateuwa mwenyewe vyovyote mtavoamua tutaishi tu kwa neema ta MUNGU
@HashimuAbubakar-ej8gc7 күн бұрын
Bila katiba mpya sawa nabule tumeshudia tume nyingi ziundwa mwisho wake atuoni mfa magufuli Alituachia mahakama ya mafisadi wananchi tukashangilia mpaka saivi atujui kama hiyo mahakama inafanya kazi tungepata katiba mpya ingekuwa mwarubaini kwa viongozi wanaotumia madaraka vibaya tofauti na hapo sawa na kutwanga maji kwenye kinu
@pidiusDominick-qi7nl7 күн бұрын
Si unawateua wewe
@athumanimawela30217 күн бұрын
Pinga ushoga
@revocatusvedastus88937 күн бұрын
makonda je
@theempire4058
6 күн бұрын
Makonda ni rais ajaye hii nchi haiitaji upole
@RajabuLanda7 күн бұрын
Hiro ripi munayutexa
@ridhwanally31197 күн бұрын
Wa kwanza mm kucoment nipen like zangu
@kainimlowe96467 күн бұрын
Mimama mingine bwana
@masanjamasunga66677 күн бұрын
Umeongea point mkuu was inch
@lucymtui86807 күн бұрын
Mmmh wawapi huyooo??
@jonfredkewe34517 күн бұрын
Mama upo sahihi uongozi siyo kudharirisha watu hiyo siyo sawa nibora mtu awe mlevi wa pombe kuliko kuwa mlevi wa madaraka.wanaonyanyasa niwatu wako wanaonyanyaswa niwatu wako pia
@JaneSisili-uj9co6 күн бұрын
Said ccm
@lugelosanga57987 күн бұрын
Unamwagikaaa etiiiiii tanzania da na ccm kufa kuzikana nchi hii weee mama ipelekeee unavotakaaaa na hakuna mtanzania atayekuafanya chochoteeee we tuuuze tuuuze mama ushogaas naona unapambana nao vyema piga kaz mama watz wamelala usingiz trump alisemaaa waafrica inatakiwa watawaliwee upyaaa we tawalaaa mama unavotakaaa
@magigesabai86747 күн бұрын
Rais wetu anania nzuri ya utawala wa sheria lkn amezungukwa na watu wanaopenda siasa za majukwaa kwa kutafuta sifa ndo maana utatashangaa kiongoz anashitukiza eneo flan akiwa na media sasa hio ni gafla au planned viongoz watumie karama na sio kila kitu kumdharilisha kwenye media nampenda Rais anavyotoa maonyo na namna anavyochukua mamz huo ndo utawala wa sheria
Пікірлер: 72
Nyie ccm ndo mnaharibu nchi..watu wanakua wababe kwasababu anakua mbabe akijua hajachafguliwa na wananchi Wala mwananchi Hana pakumpeleka
Kwa hiyo mama unataka mahakama ikiharibu mkuu wa mkoa asinyooshe mfano tumeona wizara ya ardhi ilivyoharibiwa na mahakama matokeo yake kukawa na zuluma za wanyonge, na uko Arusha tumeona kishindo cha makonda kilivyosaidia na hivyo mimi kama mpiga kura tunahitaji wakuu wa mikoa wa kutetea haki za wanyonge
mheshimiwa raisi unawachekea sana umekuwa Mpore sana ndio maana wanafanya wanayotaka
Mbona huyu mwanamke haongeleagi ushoga amepewa Nini huyu mama mpaka anaogopa kupinga ushoga na usagaji
@atutweve4160
7 күн бұрын
USHOGA UTAMSAIDIA NINI? AMECHAGULIWA NA MASHOGA? 😂😂😂😂😂
@Kabwela776
7 күн бұрын
Mpuuzi kweli wewe mashoga si waliamua wao wenyewe mtu mzima anaamua kutoa mkubwa kwa starehe zake wew inauma Nini kuna mambo ya maana kuongelea kuliko ushoga Na usagaji , Na ushoga ulikuwepo tokea dunia inaumbwa kama umalaya Na Tanzania ushoga ungekuwepo toka enzi za Tanganyika sio Jambo jipya
@Kabwela776
7 күн бұрын
@@atutweve4160mpumbavu huyo kuna mambo ya maana ya kuongelea sio ushoga Na usagaji
@kazikazini1042
7 күн бұрын
Kuongelea ni kuupa nguvu yaani promo
@fifo262
6 күн бұрын
Ushoga unamuhusu nini ? Kwani ww mtumzima hujui km kumpa mtu kiuno ni mazara yako binafsi km ilivo sigara sasa mama aseme nini apo kingine 😂
Inaonyesha jinsi serikali yako ilivyo na viongozi wenye kiburi kwenye seminar za uongozi awataki kwenda kwenye mafunzo ya uongozi bora wote ni vilaza
Hii nchi anatakiwa apewe makonda awanyooshe manyanga,u mama ana wambembeleza sana
@theempire4058
6 күн бұрын
Kabisa
Tatizo yule alikuwa amevurugwa na mke wake 😂😂😂mama unakazi kwelikweli
🤔🤔🤔🤔sawa sawa ila kwa wale majitu walioshiba na hawana nidhamu kwenye maeneo yao basi wanatakiwa kuwajibishwa kama viongozi wetu hasa wa mikoa na wilaya watachekelea uzembe, rushwa n.k basi tutavuna vitu viovu sana Tanzania na pia kama mahakama zetu hazitendi haki basi naamini wakuu wa mikoa na wilaya wanapaswa kukemea tena kwa ukali mno maana sidhani Tanzania itakuwa salama namna hiyo
Hii ishu yalujiuza imeenda mbali zaidi. Nyumba zakulala wageni zimegeuzwa madangulo. Nchi yetu sasa inapokea wageni kutoka nje. Wacha jiji lisafishwe
Umeongea vizuri
@justardzelphine6526
6 күн бұрын
Uzuri upi? Wewe ndo members!
Mam yangu mungu akutie nguvu katika kutusimamia wanao 🎉🎉❤❤ tunakupenda ole wake mtu aguse hii kometi nataka aguse yeye mwenyewe
Asantee mama mungu akubalik 🙏🙏🙏
RAIS WETU KIPENZI , MSTAARABU, UNAJUA KUELIMISHA, KUELEKEZA NA KUFUNDISHA TENA KIBINADAM MUNGU AKULINDE UENDELEE KUA MKUU WETU WA NCHI
@PhilipoMwita-wc1ku
7 күн бұрын
Mstaarabu kwa kilipi kuwafukuza wamasai kwenye ardhi Yao..kuwabomolea watu bila fidia au kukopa mahela huko bila kupeleka BUNGENI
Sabaya
Mama hii nchi huiwezi!aliye ipatia ameshaaga!
@theempire4058
6 күн бұрын
Wapo wawili waliobakia yupo makonda na silaa
Tatzo mama unawachekea sana tumia ule ubabe wa magu la sivyo raia wako watazidi kuichukia sana ardhi yao watu wanafanya mambo yao hawajali maslah ya nchi mama hukemei hlo 😢😢😢Doooh RIP magu daaaah 😢😢😢
Nice
Ok
Mama mtetezi wa Waze mbe
Tatizo ni jinsi mnavyowachagua hao mnaowaita wakuu wa wilaya na mikoa. Wengine walikuwa ni vibaka sugu, wengine walikuwa ni wavuta bangi , ila kwakuwa mnachaguana kwa kujuana ndio matokeo hayo. Wengine wanajiaminisha kwakuwa wanajua hata wewe uliyewateuwa unawaogopa ndio maana umewateua pamoja na kuyajua maovu yao.Na wanajigamba hadharani kuwa ni watoto wako . Kazi iendelee.
Simuelewi.
Mh Rais Kuna mkuu wilaya ya Arusha naomba mchunguze! Simtaji jina hapa..
@johnmichaellukindo21
7 күн бұрын
Kwa aibu umesahau hata cheo chake
@rogerabdallah439
7 күн бұрын
Ni mimi nitaje nikuchinje
@petroisamba8226
7 күн бұрын
Mwambie makonda anamuweza
Mama angalia huyu wa ubungo na kamata kamata yake wanaojiuzaa ....wawape elimu sio kuwafunga
@magigesabai8674
7 күн бұрын
acheni kutetea ujinga kwan amewapiga, wewe unaona ni sawa kujiuza ?fikiria mtoto wako anajiuza ? basi kama ni hivyo hata mwizi asikamatwe ? wa,madawa ya kulevya wasikamatwe unafikiri hao watu hawana elimu na uku wengi wao ni wasomi
@martinabayyo9982
7 күн бұрын
Yupo sahihi we unaona huo uchafu ni kitu kzr ktk jamii? Wapigwe ndani wasituharibie watoto wetu
Mhuu
Kwisha kazi
2025 miaka 5 tena kwako kuna mambo ya msingi ya kushughulikia sio ujingaujinga
Mama hii nchii huiwezi kabisa nilimpa kura magufuri lakini wewe sikupi umefeli kwa Kila kitu
Piga kazi tunakuelewa mama
Ila mama tunaomba makonda umuache apige spuna
Kuna mkuu wa wilaya Ubungo amekamata malaya achunguzwee😂
@ngwashgold5459
7 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂 fala
@rogerabdallah439
7 күн бұрын
Kweli anasifa za kijinga ana kazi za kufanya
@waluohopaulo2116
7 күн бұрын
@GbpAucd_King..malaya yako alichotwa
@VictorLyimo-so9xr
7 күн бұрын
Amekosa la kufanya
@VictorLyimo-so9xr
7 күн бұрын
Ameshalogwa
Can safi
Unachukua jiwe unaliweka sehem linakukera nn?nchi hii haina viongozi ni mawe tu lihamishie sehem nyingine amua tu anawateuwa mwenyewe vyovyote mtavoamua tutaishi tu kwa neema ta MUNGU
Bila katiba mpya sawa nabule tumeshudia tume nyingi ziundwa mwisho wake atuoni mfa magufuli Alituachia mahakama ya mafisadi wananchi tukashangilia mpaka saivi atujui kama hiyo mahakama inafanya kazi tungepata katiba mpya ingekuwa mwarubaini kwa viongozi wanaotumia madaraka vibaya tofauti na hapo sawa na kutwanga maji kwenye kinu
Si unawateua wewe
Pinga ushoga
makonda je
@theempire4058
6 күн бұрын
Makonda ni rais ajaye hii nchi haiitaji upole
Hiro ripi munayutexa
Wa kwanza mm kucoment nipen like zangu
Mimama mingine bwana
Umeongea point mkuu was inch
Mmmh wawapi huyooo??
Mama upo sahihi uongozi siyo kudharirisha watu hiyo siyo sawa nibora mtu awe mlevi wa pombe kuliko kuwa mlevi wa madaraka.wanaonyanyasa niwatu wako wanaonyanyaswa niwatu wako pia
Said ccm
Unamwagikaaa etiiiiii tanzania da na ccm kufa kuzikana nchi hii weee mama ipelekeee unavotakaaaa na hakuna mtanzania atayekuafanya chochoteeee we tuuuze tuuuze mama ushogaas naona unapambana nao vyema piga kaz mama watz wamelala usingiz trump alisemaaa waafrica inatakiwa watawaliwee upyaaa we tawalaaa mama unavotakaaa
Rais wetu anania nzuri ya utawala wa sheria lkn amezungukwa na watu wanaopenda siasa za majukwaa kwa kutafuta sifa ndo maana utatashangaa kiongoz anashitukiza eneo flan akiwa na media sasa hio ni gafla au planned viongoz watumie karama na sio kila kitu kumdharilisha kwenye media nampenda Rais anavyotoa maonyo na namna anavyochukua mamz huo ndo utawala wa sheria
Tuta.mkumbuka.maguful
Viewer wa 30
Nonsense