MAGOLI YOTE: YANGA SC 3-2 RUVU SHOOTING (TPL - 16/12/2018)
Спорт
Vijana wa Jangwani, Yanga SC wameendelea kuwa mwiba mkali kwenye Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu baada ya leo kuichapa Ruvu Shooting mabao 3-2 katika mchezo uliopigwa kwenye Dimba la Taifa Dar es Salaam.
Alikuwa ni Heritier Makambo dakika ya nne kati ya dakika tano zilizoongezwa mwishoni kabisa mwa mchezo, ndiye aliyeipa ushindi Yanga kwa kufunga bao la tatu baada ya timu zote kuwa zimefungana mabao 2-2.
Yanga walitangulia kupata bao kupitia kwa Amissi Tambwe dakika ya 11, kabla ya Fully Maganga kuisawazishia Ruvu dakika ya 31.
Kipindi cha pili Yanga wakiwa wanaonekana kushambuliwa zaidi, walipata bao la pili kwa shuti kali nje ya 18 kutoka kwa Feisal Salum dakika ya 78, lakini Said Dilunga akaisawazishia Ruvu kwa mkwaju wa penati dakika ya 84 baada ya mchezaji wa Yanga kuunawa mpira ndani ya eneo la hatari.
Пікірлер: 363
Kam unaangalia 2020 kwa kumis makambo like ap
@isakagabriel3049
2 жыл бұрын
Kwel kabisaaa
Kama umeikubali yanga wana jagwani like za kumwaga
@ramadhansuleyman7618
5 жыл бұрын
nyambafu nyie mpira PESA,malizeni ligi tuwachukue hao wote timu nzima wanakaa benchi kazi yao ni kula pesa tuu za msimbazi za MOOOOO.
@feristangobo4708
5 жыл бұрын
Yanga timu kubwa bn
@christophersamson2810
5 жыл бұрын
Ni kwa Neema tu za Mungu na kwa hekima za coach papa mwinyi Zahera tupo hapa tulipo . 🙏🙏🙏🙏
@barakanyangwe8669
5 жыл бұрын
Yanga noma sana
@abswalirajabudanda5086
5 жыл бұрын
Tuko vizuri ,hawaamini tunachokinya ,jamani yanga itauwa watu ,subirin wenzetu watoe droo viongonxi lazima watimuliwe yanga inaumiza watu mbaya hahaaaaa
Mashabiki Wa nkana wanacoment wap
Yanga ni konk fire so konk master 😁😁😘😘
@gretuszafari1125
5 жыл бұрын
Devo
Yote kwa yote tuseme ukweli ajibu ndo msaada mkubwa kwa yangaa,,,big up ajibu ,,,feisal, makambo,na tambwe pamoja na timu mzima kwa ujumla mmecheza kwa kujituma na kuhakikisha mnapata ushindi,,,,sasa nasema hivi,YANGA OYEEEEEEEEEE
@emanuesupukmollel879
5 жыл бұрын
Nassoro Ramadha
kama umeamini Leo Dante hakuwa kwwny kiwango chake gonga like hapa twende
That is Dar es salam Young Africans Makambovic
Yanga inatishaaaa!! Sana huyu anaejiita munyama asiombe kukutana na kisu umekwisha hongera sana yanga tupo pamoja sana Kama unaikubali yanga nyoosha kidole juu
@abdallahmohammed8915
5 жыл бұрын
Lich Mavoko kam kawaidaaa
@keyphaedisonedison2607
5 жыл бұрын
Dua ya kuku kwanza. Yanga kabebwa
@antonsabhu2817
5 жыл бұрын
yanga inatisha wapinzan buuuu hehehe
Yanga I send my suport from Poland. We are the champion this seson
km kwl ww ni yanga dam gonga like apa
@isacknhandula4561
3 жыл бұрын
Kweli lakigaid
Kuanzia Leo nimehama simba nahamia yanga yani wao wanashinda tu kilasiku duuuu
@chrispinemallya2420
5 жыл бұрын
Karibu Chamani Doris
@samrankingfire5009
5 жыл бұрын
Doris Faustine 😹😹😹
@swahililifestyle_tanzania2140
5 жыл бұрын
Karibu sanaaaaaaaa
@jesebayo5645
5 жыл бұрын
Karibu xana ndugu
@cutemary6104
5 жыл бұрын
Baki kwenye chama lako bhna ,
Hivi hii sindio ile yanga ambayo watu walikuwa wanaidhiaki et ohhh yanga manji kafungwa mara ohhh yanga hamna pesa pumbavu zenu hela hatuna lakini matokeo tunapata yanga raha bhana kama nawewe unaipenda yanga acha majungu gonga like yako hapa hawaamin wanachokiona
Kama unamkubali makambo gonga like
@elizerbethmichael9992
2 жыл бұрын
Karudiiiii tena mzee wa kuwajazaaa
Tumetoka mbali sana yanga mungu ni mwema kwetu
Namkubali huyu mtangazaji hahahahaha amenifanya niwe nacheki mechi za bongo.anaitwa nani huyu jamaa.
@kipatamaestro
5 жыл бұрын
Baraka mpenja
@kelvinmatalla2084
3 жыл бұрын
@barakampenja
OMG Fey Toto supeeeeeeeeeeeer.
@christophermandia1289
5 жыл бұрын
Dante akicheza na yondani ndio anakuwa mzuri
Ruvu Shooting Walitamani Sare..Sema Kitambaa Hakikutosha..😂😂😂..Wanangu Wa Nkana Fc Mupoo
Kakolanya ni kwer kakosea lakin tunakuomba kocha wetu. Mpendwa. Zaera. Msamehe na mludishe kundin kakolanya maana uyu kabwili atatugalim uko mbere 2endako
@rajachombe6987
5 жыл бұрын
Nyie mnaomtaka Beno mtasababisha mpasuko ndan ya Timu sio muda
@rogatusduma7822
5 жыл бұрын
Hiyo game mabeki umakini ulikosekana hata angekuwa beno bdo shda ile ile so labda tuendelee kuangalia mechi zngne makosa ya kabwili na sio hii ,,,,,,ni kweli beno ni muhimu bdo BT si kwa hii match
@jumakije4471
5 жыл бұрын
kwahuo beno hawez kukughsrimu huko mbele, unajua alitoka nan hile saa 7 usiku? unajua walimpeleka wapi? kakaa siku ngapi huko, beno hakuwa anadai mshahar balo ni pesa ya hulr mktaba wangapi wanaidai club na hawajagoma? sukuma ndaniiii na wewe pia
@chirragisimon4191
5 жыл бұрын
kweri
@aixhajumaa6362
5 жыл бұрын
Ramadhan Mohamed kwani yeye beno hafungingi
Mmmmh Hawa Yanga waend 2 LALIGA
@kindolek9257
5 жыл бұрын
Hahaha
@tamimuabasijangamno986
5 жыл бұрын
Umetishaaaaaa
@benardmanyama3415
5 жыл бұрын
Dismas Chaz kw mpira gani ngoja utawaktaaa tu
Aaa!eee!iiii!ooo!uuu!ngapii ukoooo.Fantastic goal Feisal salum
@willbrodngua9264
5 жыл бұрын
iko vizuri even with no money we'retishaling
Fundi wa kizanzibari huyooooh
Msimu huu kuanzia namba 1 mpk 10 migoli bora yote inatoka YANGA AFRIKA...!
Msikikizeni MPENJA KWENYE GOLI LA FEISAL SALUMU yaaan MPENJA bhana raha saaanaaaa.........!!!!
Its okay its okay yanga fireee yanga itabaki juu mbingunii
@tshidisosekoati8953
5 жыл бұрын
Busta Rhymes
THIS IS YANGA! No way out what you have to do is to stay come as you cut your Hair. Jifanye kama unajikuna.
@sarahmwaigagasarahmwaigaga5306
5 жыл бұрын
Ibrahim Mohamedi 😜😜😜😜😶
Mchezo usiuchezee ww
Hii ndio Yanga bhanaaaa... Kazi nzuri wana jangwani
😆😅😂😃eti p.o. yanga mbovu huku tunashinda.ubingwa uleeeeeeeeeeeeeee❤💙
Yanga walifanya makosa sana kumuacha tabwe
huyu kweli totooooo jmn hii yanga mmmmh
Bado hamjaweka full highlights?
Daah me mtangazaji2 kama Unamkubali gonga #Like japo nimechelewa aaa! eee! iii! ooo! uuu!!
hongera sana yanga
Hongera yanga, hongera makanbo
vidume wanapita simba pisheni njia wanaume wapite
yanga 🔥 🔥 🔥
Wazeee wa jangwan nipen like
Tutaikumbuka hii yanga
Tutakukumbuka daima makamboo
Yanga laha sana jamani!!! huo ndo mwanzo na bado ndo kwanza ukurasa unafunguliwa!!!!!!
Hii ndio yanga
@geofreyhaule967
5 жыл бұрын
yanga hii nomaaa sanaaaa injinia somaa iyo injinia atakupoza
@barakaham5282
5 жыл бұрын
kakolanya yukowapi
fei toto ni motoo wakuwotea mbali
Baraka mpenja sauti ya radi unanikosha sana aaa eee iii ooo uuu fei toto totoooo
Mmm! Huyu Makambo!
@lisakinunda7670
5 жыл бұрын
mmebebwa goli la kwanza
@abswalirajabudanda5086
5 жыл бұрын
Makambo hili jina hatar sana ,
hapa Kakolanya amrudishe vinginevyo huko mbele yanga atapotea maana Kabwik kila mechi anaruhusu goli
@adamsamweli9805
5 жыл бұрын
ni kweli kabisa jamani mrudisheni kakolanya jamani msameheni tu
@stephanomwakyobe4675
5 жыл бұрын
Sosoma Charles hakuna usimpe lawama kipa shida ni mabeki
@aixhajumaa6362
5 жыл бұрын
Sosoma Charles kawaida hiyo hakuna kipa hasie fungwa
@stephanomwakyobe4675
5 жыл бұрын
Aixha Jumaa sure
@jumbeojaso5767
5 жыл бұрын
Kwani Leo kafanya kosa gani? Ile penati so yake ,goli LA pili imedeflect ikajaa hata degea kafungwa Leo magoli yote yamegonga mabeki kabla hayajaingia ,kabwili angefanyaje.Kwanza mechi tano kijana amesimamana timu inashinda .Acheni timu ya ushindi iendelee na isibadilike
2022 September 19 nice
Hawa watoto wa bwire hawa magol ya aina hii yanajirudia tena mwaka huu 2020_2021 3_2 Mech mzunguko wa pili
makambooooooo!!!!!hahaha this is young African blaza
#Manara somaaaa huko ngapiiiiii
Nan kama makambo xema wow
Mamaaaaa nakufaa
@maryamsaid9359
5 жыл бұрын
Mambo
@mikajoseph9716
5 жыл бұрын
Kwa nn ufe my
@nassibuboniphace4420
5 жыл бұрын
Hidaya Omary usife njoo nikuponye
Yanga 💪💪💪💪
This is Young..........
yanga daima mbele nyuma mwiko goal la Feisal limemfanya masau bwire ametoa bastòra kwa mashabiki wa yanga #yanga inawatia hasira kwa wanayoiombea mabaya ila alichokifanya masau kimpira haipaswi kua hivyo
Hakikisha unajiunga nami & kisha Bonyeza icon ya kengele kwa video zaidi za kushangaza. Weka ushirikiano.
Timu ya wananchi Dsm young Africans
@shabanmwinjuma1267
5 жыл бұрын
Katun
alisema soma hapo we enginea 😀😀😀😀😀😀
Soma kwenye ramani kama unabisha nyoosha mkono jifanye unajikuna kama yanga ni konk 🔥
watalala Mbele wapinzani yanga ni timu ya wananchi
Yanga BABA LAO
wale ambao walikua wanaiponda yanga nyosha mkia juu
@reelin532
5 жыл бұрын
Afu wajifnye kam wanajikuma
Kabwili mbona yuko sawa , magoli anofungwa sio kuwa mbovu .
Wangapi bado tunaiangaliaga hii.???
Fei toto huo ushangiliaji vipi? Imamuiga Kagere au?
Goli la kwanza ni clear offside
@salumyasin9029
5 жыл бұрын
ka;lien offside sasa wenye akili wanaona hhhhh dua la kuku
jangwan
Fei totoooo
@alimuhamad8267
5 жыл бұрын
Grace Leonard kweli fei
@lazaromkumbo7957
5 жыл бұрын
Hiyo ndio yanga ya kimataifa
@lazaromkumbo7957
5 жыл бұрын
Oyoo ooo
@emanuesupukmollel879
5 жыл бұрын
Grace Leonard
Yanga jaman bola tukachezee ulaya maana kiwango hich c cha nch hii
Safiii
kwa kweli ajibu na makambo walikuwa wanaelewana sana
Wow
hili goli la salum unaweza hata ukaombea mkopo benk yoyote
fei nakupenda kwa kujituma
simba ngapi huko nkana?
@abdulazizkhamis8808
5 жыл бұрын
Mbili kwa moja niulize tena swali kama hili baada ya mechi inakuja hapa nyumbani nitakujibu pia
@aixhajumaa6362
5 жыл бұрын
Abdulaziz Khamis jipe moyo hutashinda
Mama nakufa....... Mama wee.... Konk 🔥 🔥 🔥
Baada ya goli makambovic wamepotea njia
uwiiii goli la feisal atar kwel kwel
Kwakwel hyo mtangazji mm nakupenda xna kaka mkubwa
Hi yanga lazma mikia fc wakonde sana
I love ajib
Ni zahera we trust
Mtangazaji yupo yanga
nani mwingine aje oyoooooooo
@aixhajumaa6362
5 жыл бұрын
Manuva Family bado nkana
@benjaminrichard7229
5 жыл бұрын
Iyo Ndio Yanga Bwana
mama wee nakufwaa sio kwa makambo ni hatar
Huyu mtangazaji nae chega tu baoya kweli mdananda
Makambo his the best
Yanga leo
Waaaaaapi mkia fc mjifanye Kama mnajikunaaaaa
Hatari sana
Hii squad ya Wananchi ilikuwa moto.
Makambo nitishio kwa hali yahewa! Ya dar ES salaam
mbele daima nyuma mwiko ndio kauli mbiu ya ss wana jangwani
Namngo
Yanga yangu jamani. Teheeeeeeee
Ntakukumbuka sana makambo
yanga ni konkiii 🔥🔥🔥🔥🔥😂😂😂😂😂😂
Daah makambo anajua jamani tuseme ukeli
jifanyeee unajikunaaaaa
sina aja na chakula yanga tumeshinda naisi kushiba ghafra,jamani yanga rahaa mungu
Atarii sans
@musaibrahim7287
5 жыл бұрын
Yanga konkiiiiiii respect sir zahera