MAGOLI YOTE: YANGA SC 3-2 RUVU SHOOTING (TPL - 16/12/2018)

Спорт

Vijana wa Jangwani, Yanga SC wameendelea kuwa mwiba mkali kwenye Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu baada ya leo kuichapa Ruvu Shooting mabao 3-2 katika mchezo uliopigwa kwenye Dimba la Taifa Dar es Salaam.
Alikuwa ni Heritier Makambo dakika ya nne kati ya dakika tano zilizoongezwa mwishoni kabisa mwa mchezo, ndiye aliyeipa ushindi Yanga kwa kufunga bao la tatu baada ya timu zote kuwa zimefungana mabao 2-2.
Yanga walitangulia kupata bao kupitia kwa Amissi Tambwe dakika ya 11, kabla ya Fully Maganga kuisawazishia Ruvu dakika ya 31.
Kipindi cha pili Yanga wakiwa wanaonekana kushambuliwa zaidi, walipata bao la pili kwa shuti kali nje ya 18 kutoka kwa Feisal Salum dakika ya 78, lakini Said Dilunga akaisawazishia Ruvu kwa mkwaju wa penati dakika ya 84 baada ya mchezaji wa Yanga kuunawa mpira ndani ya eneo la hatari.

Пікірлер: 363

  • @abdianridhiwani8238
    @abdianridhiwani82384 жыл бұрын

    Kam unaangalia 2020 kwa kumis makambo like ap

  • @isakagabriel3049

    @isakagabriel3049

    2 жыл бұрын

    Kwel kabisaaa

  • @paulgabson2373
    @paulgabson23735 жыл бұрын

    Kama umeikubali yanga wana jagwani like za kumwaga

  • @ramadhansuleyman7618

    @ramadhansuleyman7618

    5 жыл бұрын

    nyambafu nyie mpira PESA,malizeni ligi tuwachukue hao wote timu nzima wanakaa benchi kazi yao ni kula pesa tuu za msimbazi za MOOOOO.

  • @feristangobo4708

    @feristangobo4708

    5 жыл бұрын

    Yanga timu kubwa bn

  • @christophersamson2810

    @christophersamson2810

    5 жыл бұрын

    Ni kwa Neema tu za Mungu na kwa hekima za coach papa mwinyi Zahera tupo hapa tulipo . 🙏🙏🙏🙏

  • @barakanyangwe8669

    @barakanyangwe8669

    5 жыл бұрын

    Yanga noma sana

  • @abswalirajabudanda5086

    @abswalirajabudanda5086

    5 жыл бұрын

    Tuko vizuri ,hawaamini tunachokinya ,jamani yanga itauwa watu ,subirin wenzetu watoe droo viongonxi lazima watimuliwe yanga inaumiza watu mbaya hahaaaaa

  • @dahatykinga9485
    @dahatykinga94855 жыл бұрын

    Mashabiki Wa nkana wanacoment wap

  • @devothamalugumalugu7593
    @devothamalugumalugu75935 жыл бұрын

    Yanga ni konk fire so konk master 😁😁😘😘

  • @gretuszafari1125

    @gretuszafari1125

    5 жыл бұрын

    Devo

  • @nassororamadhan2515
    @nassororamadhan25155 жыл бұрын

    Yote kwa yote tuseme ukweli ajibu ndo msaada mkubwa kwa yangaa,,,big up ajibu ,,,feisal, makambo,na tambwe pamoja na timu mzima kwa ujumla mmecheza kwa kujituma na kuhakikisha mnapata ushindi,,,,sasa nasema hivi,YANGA OYEEEEEEEEEE

  • @emanuesupukmollel879

    @emanuesupukmollel879

    5 жыл бұрын

    Nassoro Ramadha

  • @mkomboraahmedchome
    @mkomboraahmedchome5 жыл бұрын

    kama umeamini Leo Dante hakuwa kwwny kiwango chake gonga like hapa twende

  • @williamnzije1947
    @williamnzije19475 жыл бұрын

    That is Dar es salam Young Africans Makambovic

  • @lichmavoko9696
    @lichmavoko96965 жыл бұрын

    Yanga inatishaaaa!! Sana huyu anaejiita munyama asiombe kukutana na kisu umekwisha hongera sana yanga tupo pamoja sana Kama unaikubali yanga nyoosha kidole juu

  • @abdallahmohammed8915

    @abdallahmohammed8915

    5 жыл бұрын

    Lich Mavoko kam kawaidaaa

  • @keyphaedisonedison2607

    @keyphaedisonedison2607

    5 жыл бұрын

    Dua ya kuku kwanza. Yanga kabebwa

  • @antonsabhu2817

    @antonsabhu2817

    5 жыл бұрын

    yanga inatisha wapinzan buuuu hehehe

  • @krystianpechan7197
    @krystianpechan71975 жыл бұрын

    Yanga I send my suport from Poland. We are the champion this seson

  • @babadeee6921
    @babadeee69215 жыл бұрын

    km kwl ww ni yanga dam gonga like apa

  • @isacknhandula4561

    @isacknhandula4561

    3 жыл бұрын

    Kweli lakigaid

  • @dorisfaustine8675
    @dorisfaustine86755 жыл бұрын

    Kuanzia Leo nimehama simba nahamia yanga yani wao wanashinda tu kilasiku duuuu

  • @chrispinemallya2420

    @chrispinemallya2420

    5 жыл бұрын

    Karibu Chamani Doris

  • @samrankingfire5009

    @samrankingfire5009

    5 жыл бұрын

    Doris Faustine 😹😹😹

  • @swahililifestyle_tanzania2140

    @swahililifestyle_tanzania2140

    5 жыл бұрын

    Karibu sanaaaaaaaa

  • @jesebayo5645

    @jesebayo5645

    5 жыл бұрын

    Karibu xana ndugu

  • @cutemary6104

    @cutemary6104

    5 жыл бұрын

    Baki kwenye chama lako bhna ,

  • @wilonjahatua2067
    @wilonjahatua20675 жыл бұрын

    Hivi hii sindio ile yanga ambayo watu walikuwa wanaidhiaki et ohhh yanga manji kafungwa mara ohhh yanga hamna pesa pumbavu zenu hela hatuna lakini matokeo tunapata yanga raha bhana kama nawewe unaipenda yanga acha majungu gonga like yako hapa hawaamin wanachokiona

  • @nasriramadhani4437
    @nasriramadhani44375 жыл бұрын

    Kama unamkubali makambo gonga like

  • @elizerbethmichael9992

    @elizerbethmichael9992

    2 жыл бұрын

    Karudiiiii tena mzee wa kuwajazaaa

  • @shinunamaabad5889
    @shinunamaabad5889 Жыл бұрын

    Tumetoka mbali sana yanga mungu ni mwema kwetu

  • @goodluckmlaki5595
    @goodluckmlaki55955 жыл бұрын

    Namkubali huyu mtangazaji hahahahaha amenifanya niwe nacheki mechi za bongo.anaitwa nani huyu jamaa.

  • @kipatamaestro

    @kipatamaestro

    5 жыл бұрын

    Baraka mpenja

  • @kelvinmatalla2084

    @kelvinmatalla2084

    3 жыл бұрын

    @barakampenja

  • @rowdyrondarouseyfire9476
    @rowdyrondarouseyfire94765 жыл бұрын

    OMG Fey Toto supeeeeeeeeeeeer.

  • @christophermandia1289

    @christophermandia1289

    5 жыл бұрын

    Dante akicheza na yondani ndio anakuwa mzuri

  • @gundoanimal6750
    @gundoanimal67505 жыл бұрын

    Ruvu Shooting Walitamani Sare..Sema Kitambaa Hakikutosha..😂😂😂..Wanangu Wa Nkana Fc Mupoo

  • @ramadhanmohamed7668
    @ramadhanmohamed76685 жыл бұрын

    Kakolanya ni kwer kakosea lakin tunakuomba kocha wetu. Mpendwa. Zaera. Msamehe na mludishe kundin kakolanya maana uyu kabwili atatugalim uko mbere 2endako

  • @rajachombe6987

    @rajachombe6987

    5 жыл бұрын

    Nyie mnaomtaka Beno mtasababisha mpasuko ndan ya Timu sio muda

  • @rogatusduma7822

    @rogatusduma7822

    5 жыл бұрын

    Hiyo game mabeki umakini ulikosekana hata angekuwa beno bdo shda ile ile so labda tuendelee kuangalia mechi zngne makosa ya kabwili na sio hii ,,,,,,ni kweli beno ni muhimu bdo BT si kwa hii match

  • @jumakije4471

    @jumakije4471

    5 жыл бұрын

    kwahuo beno hawez kukughsrimu huko mbele, unajua alitoka nan hile saa 7 usiku? unajua walimpeleka wapi? kakaa siku ngapi huko, beno hakuwa anadai mshahar balo ni pesa ya hulr mktaba wangapi wanaidai club na hawajagoma? sukuma ndaniiii na wewe pia

  • @chirragisimon4191

    @chirragisimon4191

    5 жыл бұрын

    kweri

  • @aixhajumaa6362

    @aixhajumaa6362

    5 жыл бұрын

    Ramadhan Mohamed kwani yeye beno hafungingi

  • @dismaschaz2019
    @dismaschaz20195 жыл бұрын

    Mmmmh Hawa Yanga waend 2 LALIGA

  • @kindolek9257

    @kindolek9257

    5 жыл бұрын

    Hahaha

  • @tamimuabasijangamno986

    @tamimuabasijangamno986

    5 жыл бұрын

    Umetishaaaaaa

  • @benardmanyama3415

    @benardmanyama3415

    5 жыл бұрын

    Dismas Chaz kw mpira gani ngoja utawaktaaa tu

  • @ibrahimkhamis1862
    @ibrahimkhamis18625 жыл бұрын

    Aaa!eee!iiii!ooo!uuu!ngapii ukoooo.Fantastic goal Feisal salum

  • @willbrodngua9264

    @willbrodngua9264

    5 жыл бұрын

    iko vizuri even with no money we'retishaling

  • @husseinmakame8035
    @husseinmakame80355 жыл бұрын

    Fundi wa kizanzibari huyooooh

  • @ismailyusuph740
    @ismailyusuph7405 жыл бұрын

    Msimu huu kuanzia namba 1 mpk 10 migoli bora yote inatoka YANGA AFRIKA...!

  • @afrosk3753
    @afrosk37535 жыл бұрын

    Msikikizeni MPENJA KWENYE GOLI LA FEISAL SALUMU yaaan MPENJA bhana raha saaanaaaa.........!!!!

  • @allyhasan911
    @allyhasan9115 жыл бұрын

    Its okay its okay yanga fireee yanga itabaki juu mbingunii

  • @tshidisosekoati8953

    @tshidisosekoati8953

    5 жыл бұрын

    Busta Rhymes

  • @ibrahimkambi9288
    @ibrahimkambi92885 жыл бұрын

    THIS IS YANGA! No way out what you have to do is to stay come as you cut your Hair. Jifanye kama unajikuna.

  • @sarahmwaigagasarahmwaigaga5306

    @sarahmwaigagasarahmwaigaga5306

    5 жыл бұрын

    Ibrahim Mohamedi 😜😜😜😜😶

  • @kumwaluvent652
    @kumwaluvent6525 жыл бұрын

    Mchezo usiuchezee ww

  • @eddygonza891
    @eddygonza8915 жыл бұрын

    Hii ndio Yanga bhanaaaa... Kazi nzuri wana jangwani

  • @robertfabian3030
    @robertfabian30305 жыл бұрын

    😆😅😂😃eti p.o. yanga mbovu huku tunashinda.ubingwa uleeeeeeeeeeeeeee❤💙

  • @damianmakala2913
    @damianmakala29134 жыл бұрын

    Yanga walifanya makosa sana kumuacha tabwe

  • @eliakimmachumu6449
    @eliakimmachumu64495 жыл бұрын

    huyu kweli totooooo jmn hii yanga mmmmh

  • @millitarybattalion7515
    @millitarybattalion75155 жыл бұрын

    Bado hamjaweka full highlights?

  • @dimariaanger6891
    @dimariaanger68915 жыл бұрын

    Daah me mtangazaji2 kama Unamkubali gonga #Like japo nimechelewa aaa! eee! iii! ooo! uuu!!

  • @mwajumashaban9482
    @mwajumashaban94825 жыл бұрын

    hongera sana yanga

  • @kabwiliabdallah6289
    @kabwiliabdallah62895 жыл бұрын

    Hongera yanga, hongera makanbo

  • @musasamwel9578
    @musasamwel95785 жыл бұрын

    vidume wanapita simba pisheni njia wanaume wapite

  • @eliaheliah5489
    @eliaheliah54895 жыл бұрын

    yanga 🔥 🔥 🔥

  • @michaelmdalingwa5186
    @michaelmdalingwa51865 жыл бұрын

    Wazeee wa jangwan nipen like

  • @ramadhanimkwama8573
    @ramadhanimkwama85734 жыл бұрын

    Tutaikumbuka hii yanga

  • @anatatvonline9647
    @anatatvonline96474 жыл бұрын

    Tutakukumbuka daima makamboo

  • @happypatrick7258
    @happypatrick72585 жыл бұрын

    Yanga laha sana jamani!!! huo ndo mwanzo na bado ndo kwanza ukurasa unafunguliwa!!!!!!

  • @mpeboysky3930
    @mpeboysky39305 жыл бұрын

    Hii ndio yanga

  • @geofreyhaule967

    @geofreyhaule967

    5 жыл бұрын

    yanga hii nomaaa sanaaaa injinia somaa iyo injinia atakupoza

  • @barakaham5282

    @barakaham5282

    5 жыл бұрын

    kakolanya yukowapi

  • @nassorkhamis610
    @nassorkhamis6105 жыл бұрын

    fei toto ni motoo wakuwotea mbali

  • @iddially5449
    @iddially54495 жыл бұрын

    Baraka mpenja sauti ya radi unanikosha sana aaa eee iii ooo uuu fei toto totoooo

  • @stanleymfikwa8237
    @stanleymfikwa82375 жыл бұрын

    Mmm! Huyu Makambo!

  • @lisakinunda7670

    @lisakinunda7670

    5 жыл бұрын

    mmebebwa goli la kwanza

  • @abswalirajabudanda5086

    @abswalirajabudanda5086

    5 жыл бұрын

    Makambo hili jina hatar sana ,

  • @sosomacharles2422
    @sosomacharles24225 жыл бұрын

    hapa Kakolanya amrudishe vinginevyo huko mbele yanga atapotea maana Kabwik kila mechi anaruhusu goli

  • @adamsamweli9805

    @adamsamweli9805

    5 жыл бұрын

    ni kweli kabisa jamani mrudisheni kakolanya jamani msameheni tu

  • @stephanomwakyobe4675

    @stephanomwakyobe4675

    5 жыл бұрын

    Sosoma Charles hakuna usimpe lawama kipa shida ni mabeki

  • @aixhajumaa6362

    @aixhajumaa6362

    5 жыл бұрын

    Sosoma Charles kawaida hiyo hakuna kipa hasie fungwa

  • @stephanomwakyobe4675

    @stephanomwakyobe4675

    5 жыл бұрын

    Aixha Jumaa sure

  • @jumbeojaso5767

    @jumbeojaso5767

    5 жыл бұрын

    Kwani Leo kafanya kosa gani? Ile penati so yake ,goli LA pili imedeflect ikajaa hata degea kafungwa Leo magoli yote yamegonga mabeki kabla hayajaingia ,kabwili angefanyaje.Kwanza mechi tano kijana amesimamana timu inashinda .Acheni timu ya ushindi iendelee na isibadilike

  • @choggysly3541
    @choggysly3541 Жыл бұрын

    2022 September 19 nice

  • @dennisdennis7559
    @dennisdennis75592 жыл бұрын

    Hawa watoto wa bwire hawa magol ya aina hii yanajirudia tena mwaka huu 2020_2021 3_2 Mech mzunguko wa pili

  • @barakahlago9728
    @barakahlago97285 жыл бұрын

    makambooooooo!!!!!hahaha this is young African blaza

  • @emmanuelmashauri8949
    @emmanuelmashauri89495 жыл бұрын

    #Manara somaaaa huko ngapiiiiii

  • @mihayongassa2801
    @mihayongassa28015 жыл бұрын

    Nan kama makambo xema wow

  • @hidayaomary6329
    @hidayaomary63295 жыл бұрын

    Mamaaaaa nakufaa

  • @maryamsaid9359

    @maryamsaid9359

    5 жыл бұрын

    Mambo

  • @mikajoseph9716

    @mikajoseph9716

    5 жыл бұрын

    Kwa nn ufe my

  • @nassibuboniphace4420

    @nassibuboniphace4420

    5 жыл бұрын

    Hidaya Omary usife njoo nikuponye

  • @cosmasthobias5226
    @cosmasthobias52265 жыл бұрын

    Yanga 💪💪💪💪

  • @geraldadonias5533
    @geraldadonias55335 жыл бұрын

    This is Young..........

  • @shadrackmakasishadrackmaka8706
    @shadrackmakasishadrackmaka87065 жыл бұрын

    yanga daima mbele nyuma mwiko goal la Feisal limemfanya masau bwire ametoa bastòra kwa mashabiki wa yanga #yanga inawatia hasira kwa wanayoiombea mabaya ila alichokifanya masau kimpira haipaswi kua hivyo

  • @fetilicious2732
    @fetilicious27325 жыл бұрын

    Hakikisha unajiunga nami & kisha Bonyeza icon ya kengele kwa video zaidi za kushangaza. Weka ushirikiano.

  • @mtanzaniamzalendo7001
    @mtanzaniamzalendo70015 жыл бұрын

    Timu ya wananchi Dsm young Africans

  • @shabanmwinjuma1267

    @shabanmwinjuma1267

    5 жыл бұрын

    Katun

  • @brianadolfbabat1180
    @brianadolfbabat11805 жыл бұрын

    alisema soma hapo we enginea 😀😀😀😀😀😀

  • @halimahamid9081
    @halimahamid90815 жыл бұрын

    Soma kwenye ramani kama unabisha nyoosha mkono jifanye unajikuna kama yanga ni konk 🔥

  • @pauloslegray7438
    @pauloslegray74385 жыл бұрын

    watalala Mbele wapinzani yanga ni timu ya wananchi

  • @officialsule9603
    @officialsule96034 жыл бұрын

    Yanga BABA LAO

  • @abdulsalum6375
    @abdulsalum63755 жыл бұрын

    wale ambao walikua wanaiponda yanga nyosha mkia juu

  • @reelin532

    @reelin532

    5 жыл бұрын

    Afu wajifnye kam wanajikuma

  • @amedeo1532
    @amedeo15325 жыл бұрын

    Kabwili mbona yuko sawa , magoli anofungwa sio kuwa mbovu .

  • @saiguraniedward6716
    @saiguraniedward67164 жыл бұрын

    Wangapi bado tunaiangaliaga hii.???

  • @davidprosper4112
    @davidprosper41125 жыл бұрын

    Fei toto huo ushangiliaji vipi? Imamuiga Kagere au?

  • @davidprosper4112
    @davidprosper41125 жыл бұрын

    Goli la kwanza ni clear offside

  • @salumyasin9029

    @salumyasin9029

    5 жыл бұрын

    ka;lien offside sasa wenye akili wanaona hhhhh dua la kuku

  • @hamismambo3274
    @hamismambo32745 жыл бұрын

    jangwan

  • @graceleonard6150
    @graceleonard61505 жыл бұрын

    Fei totoooo

  • @alimuhamad8267

    @alimuhamad8267

    5 жыл бұрын

    Grace Leonard kweli fei

  • @lazaromkumbo7957

    @lazaromkumbo7957

    5 жыл бұрын

    Hiyo ndio yanga ya kimataifa

  • @lazaromkumbo7957

    @lazaromkumbo7957

    5 жыл бұрын

    Oyoo ooo

  • @emanuesupukmollel879

    @emanuesupukmollel879

    5 жыл бұрын

    Grace Leonard

  • @justinejonas2500
    @justinejonas25005 жыл бұрын

    Yanga jaman bola tukachezee ulaya maana kiwango hich c cha nch hii

  • @bitekileo8030
    @bitekileo80305 жыл бұрын

    Safiii

  • @mansourlikamba6289
    @mansourlikamba62894 жыл бұрын

    kwa kweli ajibu na makambo walikuwa wanaelewana sana

  • @emmanuelabraham2491
    @emmanuelabraham24913 жыл бұрын

    Wow

  • @linusrohomoja8856
    @linusrohomoja88565 жыл бұрын

    hili goli la salum unaweza hata ukaombea mkopo benk yoyote

  • @bumijamziray4210
    @bumijamziray42105 жыл бұрын

    fei nakupenda kwa kujituma

  • @aixhajumaa6362
    @aixhajumaa63625 жыл бұрын

    simba ngapi huko nkana?

  • @abdulazizkhamis8808

    @abdulazizkhamis8808

    5 жыл бұрын

    Mbili kwa moja niulize tena swali kama hili baada ya mechi inakuja hapa nyumbani nitakujibu pia

  • @aixhajumaa6362

    @aixhajumaa6362

    5 жыл бұрын

    Abdulaziz Khamis jipe moyo hutashinda

  • @mukakathejoker6504
    @mukakathejoker65045 жыл бұрын

    Mama nakufa....... Mama wee.... Konk 🔥 🔥 🔥

  • @ashahamisi8859
    @ashahamisi88595 жыл бұрын

    Baada ya goli makambovic wamepotea njia

  • @barakahlago9728
    @barakahlago97285 жыл бұрын

    uwiiii goli la feisal atar kwel kwel

  • @ndamayapemakanda1338
    @ndamayapemakanda13385 жыл бұрын

    Kwakwel hyo mtangazji mm nakupenda xna kaka mkubwa

  • @fatherbissadk3527
    @fatherbissadk35275 жыл бұрын

    Hi yanga lazma mikia fc wakonde sana

  • @ivancharlespaul8652
    @ivancharlespaul86525 жыл бұрын

    I love ajib

  • @florencemhando7978
    @florencemhando79785 жыл бұрын

    Ni zahera we trust

  • @ugaboy4736
    @ugaboy47365 жыл бұрын

    Mtangazaji yupo yanga

  • @mbamachimoteofamily497
    @mbamachimoteofamily4975 жыл бұрын

    nani mwingine aje oyoooooooo

  • @aixhajumaa6362

    @aixhajumaa6362

    5 жыл бұрын

    Manuva Family bado nkana

  • @benjaminrichard7229

    @benjaminrichard7229

    5 жыл бұрын

    Iyo Ndio Yanga Bwana

  • @edrawnedward5670
    @edrawnedward56705 жыл бұрын

    mama wee nakufwaa sio kwa makambo ni hatar

  • @laurentprochess8278
    @laurentprochess82785 жыл бұрын

    Huyu mtangazaji nae chega tu baoya kweli mdananda

  • @evaristmandilindi6147
    @evaristmandilindi61473 жыл бұрын

    Makambo his the best

  • @jafethyolam7141
    @jafethyolam71415 жыл бұрын

    Yanga leo

  • @asiahpaul6126
    @asiahpaul61265 жыл бұрын

    Waaaaaapi mkia fc mjifanye Kama mnajikunaaaaa

  • @godfreysentiwilly1338
    @godfreysentiwilly13385 жыл бұрын

    Hatari sana

  • @felixmagulu6142
    @felixmagulu61423 жыл бұрын

    Hii squad ya Wananchi ilikuwa moto.

  • @josej9888
    @josej98885 жыл бұрын

    Makambo nitishio kwa hali yahewa! Ya dar ES salaam

  • @rajaburajabu8685
    @rajaburajabu86855 жыл бұрын

    mbele daima nyuma mwiko ndio kauli mbiu ya ss wana jangwani

  • @matiasjulius6948
    @matiasjulius69483 жыл бұрын

    Namngo

  • @albertlukoo7196
    @albertlukoo71965 жыл бұрын

    Yanga yangu jamani. Teheeeeeeee

  • @antonyhelemani9510
    @antonyhelemani95104 жыл бұрын

    Ntakukumbuka sana makambo

  • @suzanmgaya7460
    @suzanmgaya74605 жыл бұрын

    yanga ni konkiii 🔥🔥🔥🔥🔥😂😂😂😂😂😂

  • @karimuabdulli9134
    @karimuabdulli91344 жыл бұрын

    Daah makambo anajua jamani tuseme ukeli

  • @rayyjankigunga5650
    @rayyjankigunga56505 жыл бұрын

    jifanyeee unajikunaaaaa

  • @marickkarugaba3549
    @marickkarugaba35495 жыл бұрын

    sina aja na chakula yanga tumeshinda naisi kushiba ghafra,jamani yanga rahaa mungu

  • @godfreymsuya5471
    @godfreymsuya54715 жыл бұрын

    Atarii sans

  • @musaibrahim7287

    @musaibrahim7287

    5 жыл бұрын

    Yanga konkiiiiiii respect sir zahera

Келесі