Mpenja anajua kuumiza roho aise Hahahaha polen sana watan
@mrliverpoolynwa76414 жыл бұрын
Baraka mpenja bana eti uliona wapi polisi wanatekwa na wananchi walima matikiti😂😂😂😂😂.YNWA
@bravootz8515
4 жыл бұрын
MR LIVERPOOL YNWA ukitukanw ooh umeonew?? Pec
@sullemankova9307
4 жыл бұрын
Hahahahaaa , Chief kumbe. Na huku upo !! dah hapana chezea #Mpenja _ sauti ya radi
@raphaellyuvale6195
4 жыл бұрын
Hahaha
@scautikajuni5561
4 жыл бұрын
MR LIVERPOOL YNWA ipo
@patikambakamba7599
4 жыл бұрын
,,
@bernardchibwana19074 жыл бұрын
poleni yanga team yenu mbovu sana
@danielndossy84964 жыл бұрын
mmejitahid xan polisi pongezi kwa Nchimbi " BN 29"
@defaomanana5847
3 жыл бұрын
Dm
@mittialloyce93824 жыл бұрын
,,,,wao wanaona, leo inasomeka 12/1 na muda hauongopi!! ninachojiuliza MZ -atakuwa juu ya timu mpaka lini, kwann akatae msaidizi mzawa !!!?! " muda utaongea!!!
@yonakipe49174 жыл бұрын
kaheza wala sio muheza twende sawa police Tanzania
@bernardchibwana19074 жыл бұрын
police tz oyeeeeeee!!!, yanga bado sanaaa, uwanja wenu mashabiki wenu bado ngoma ngumu
@kassimumuhija28744 жыл бұрын
Hawa ndio yanga wenyewe hupenda kujiita wa kimataifa, ndio wawakilishi pekee waliosalia michuano ya kimataifa wakihaha mbele ya mashabiki wao lukuki kutafuta sare mbele ya maafande , hatari sana hii.
@Yu-jr9uf
4 жыл бұрын
Mbona kama jina la kiume lakini kOmEnti ya KIKE au ndoo....mambo ya vidole juu
@ahmadmasunda8198
4 жыл бұрын
KUMBE KUNA TIMU ZIMESHATOKA NGAPI VILE NI AKINA NANI VILE
@outsokgonlinetv3649
4 жыл бұрын
Wa kimataifa hahaaaa
@loiaminiel9468
4 жыл бұрын
Unasifa weye waacge vyura wa watu bwana😆😆😆😁😁
@micamathew64334 жыл бұрын
Kamanda Sirroooooooooooo uko juuuuuuuu nakwambia kitu kiliunganishwa had raha, dahh naipenda sana timu ya police Tanzania.
@elizabethjohn45494 жыл бұрын
Hii team mechi ya kirafiki yanga alipigwa 2-hivyo leo yanga ilibidi alipe kwakufunga nyingi tu polisi kln matokeo yake yanga wanashingilia sare kbsa yan inauma sana yanga mjitathini na hii yanga ya zahera
@HusenAlly-gc2dl
20 күн бұрын
Yanga Tam kubwa
@ramadhanismail66824 жыл бұрын
Yajayo yanafraisha yanga kazi mnayo
@amo-one.babalake35884 жыл бұрын
Yanga kweli maiti hata mchana hawaoni balaaa police kiboko chapa yanga kama mbwa wanasimba twendeni mbele like hapa....
@jeniphermassawe30374 жыл бұрын
Mnatuangusha sana sisi mashabiki wenu
@halimasaleh57054 жыл бұрын
Yn yanga atoke sare na polisi halafu msifie? Hovyoo kabisa😏😏😏
@jackemanuel46974 жыл бұрын
asante mungu kwa pointi 1 uliowajalia polisi Tanzania dhidi ya yanga sport club
@sweetestgospelmelodies57234 жыл бұрын
Uyo zahera asepe tu maana sasa tabu hzi yani
@hatibukipande36754 жыл бұрын
Kipa wa police magori yote aliyofungwa kawapa yanga huyu achunguzwe kama si rushwa basi ana uyangayanga
@alfredjustinian61934 жыл бұрын
Sante yanga kwa kuona magori yanatafutwa bt baraka mpenja ww dar es salaam ndani ya ulaya ww
@zachariamholu6408
4 жыл бұрын
Alfred Justinian yanga ni timu ya wanaicbi
@paulmgoli48534 жыл бұрын
Sisi haooo polisi tanzania
@sweetestgospelmelodies57234 жыл бұрын
Yanga mnazingua san yani
@amandusmtani49214 жыл бұрын
Nani kamsikia Mpenja akisema " nani kasema Chi....chi.....chi (bonge) hawezi kupiga free kick? ha ha ha ha Mpenja bana
@azizimuhibu7771
4 жыл бұрын
😀😀😀mpenja Noma
@faridakitiku2276
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣mpenja bhn ananikoshaga sn
@delol3638
4 жыл бұрын
Olisongo
@thitusmichele4479
4 жыл бұрын
Sawa
@hatibukipande36754 жыл бұрын
Hii ndio timu Ya kwanza kufungwa hatrick kila msimu mwaka jana kitenge mwaka huu nchimbi pumbavu
@danielfrank8734 жыл бұрын
Yanga mkimaliza Ku comment simba ndio tutakapo anzia , Ila polis naona kama walikuwa pungufu hivi. Ila ngoja kwanza yanga mkomment tutarudi baadae.
@@kijanawaukweeli4203 Has unabish mashabiki wamepanick uwanjan
@michaelsukwa43714 жыл бұрын
Yanga hakuna kitu,hongera sana polisi
@mubarakahamis22594 жыл бұрын
yanga mbovu na dolla nanununua
@allec29054 жыл бұрын
Kwa Wapenzi wa Yanga tu Uongozi wa Dkt Msolla hausikilizi maoni ya wadau nimeuandikia e-mail nyingi mno kuwashauri na kuwakumbusha mambo ya msingi ili ushindi upatikane lakini WAMEYAPUUZA sasa nyinyi wenyewe mnashuhudia matokeo yake....waambieni waangalie email kutoka kwa Al Lec wazipitie na kuzifanyia kazi...
@johansenbashange2628
4 жыл бұрын
Weka na CV zako hapa! Mkono mtupu haulambwi
@allec2905
4 жыл бұрын
@@johansenbashange2628 YANGA WAMEINGILIWA KUNA MAMLUKI WA SIMBA NDANI YA UONGOZI NINA USHAHIDI
@yahyarajab525
4 жыл бұрын
Yanga mbovu
@jumamkongowe8870
4 жыл бұрын
@@allec2905 ni yupi huyo kiongozi
@consolathammari81864 жыл бұрын
Hongera sana Police Tanzania
@syksyk72954 жыл бұрын
Kha khaa khaaaaaa aaaaah!!! Mwaka huu ubngwa mtauskia kwny radio makuma niny n tim len BOVU
@vumilia12maarifa744 жыл бұрын
Mpenja hujawahi ziacha mbavu zng salama 😂😂😂😂😂
@johnkatindasa24774 жыл бұрын
NAKUONA IGP SIRO, SAFI SANA.
@sittasilesi62984 жыл бұрын
mnatoka sare na timu iliyopanda daraja mnafrahi mkikutana na mnyama
@ojasoojaso9479
4 жыл бұрын
Hii ni soka kwani umesahau Simba ilifungwa na mashjaa toka kibondo hapo hapo taifa.tena wskiwa na kina kagere
@paulpaul3474 жыл бұрын
Polis n firee
@groliakalambo73224 жыл бұрын
Mwananchi anaanzaje kumteka polisi?????
@giftnoah49044 жыл бұрын
Azam TV 🤝
@stevenhaule40124 жыл бұрын
Simba hatuna watani yanga hoi Ila wamejitahidi kumuiga Simba {mo dewji} Kwa mo linga)
@samiramadenge953
4 жыл бұрын
😄😄😄😄😄👍👍👍👍👍
@muhsinomar10414 жыл бұрын
moringa moringa waoneshe mavitu freeck ck uraya ndani ya Uhuru mutu munene momomomo ringa konk
@hamisiyusufu70734 жыл бұрын
Video haipo vzr inaukungu
@edwardgwaspika49434 жыл бұрын
Dah! Yanga mnatuzidishia maumivu! Nje hoi ndani hoi shida nini jamn?
@samiramadenge953
4 жыл бұрын
😄😄😄😄😄
@SAINTLYMEDIA4 жыл бұрын
jmn mbn kama kuna upenzi katika utangazaji!!!! kwahyo gori la pili la yanga halikuonekana likipofungwa??? mbn halikutangazwa😯😯😯😯😯😯
@mbukumagiubukumagu4064 жыл бұрын
Mwinyi haji baga mrejesheni
@charlsngosha91284 жыл бұрын
Yanga mbovu kuliko.
@abdulzackawami77804 жыл бұрын
Kipa goli la pili amewapa Yanga kamanda Sirro fanya mpango hebu mchunguzen huyo kipa hajapewa rushwa kweli na Yanga
@godsow6195
4 жыл бұрын
yanga madem
@maxmaizer46314 жыл бұрын
Kumamaeee kipa wa police ametuzingua Leo ss shsbiki tulio beat mkeka wangu 😠😠😠daaaa
@costantinerichard4215
4 жыл бұрын
max maizer Rico wwftiifuwrgu
@costantinerichard4215
4 жыл бұрын
max maizer qsfkgfkrlj
@fasenaog4 жыл бұрын
💥🔥
@liberatimasawe9520
4 жыл бұрын
Timu kubwa ndizo zinazofungwa wanafungwa Barcelona itakuwa yanga bado namkubali zahera
@mashakaharuna4054 жыл бұрын
Eti zahera aondoke we pesa anazo dai timu itayumba tumuache kwanza
@jacksonmdima56594 жыл бұрын
Molinga big up umetuokoa
@marcojonline78474 жыл бұрын
cjui nimshauri mzee wa uchebe aombe hata match ya kirafiki tu kwanza na hawa watu maana ratiba inatuchelewesha
@ngwanakoile13894 жыл бұрын
haaa wananchi WAMETOKA KWA DHAMANA
@sikudhanimachaku78364 жыл бұрын
Kila mwaka wajomba mnapigwa hart trick mnatia aibu,,,yani hata Ndanda hawajapigwa kiaibu hivi khaaaa!
@suleimanalli81734 жыл бұрын
Salama yenu yanga
@isackpatrick23154 жыл бұрын
Mlinda lango wa police umewaangusha wenzio umefungwa magoli mepesi mno ila hongereni mmetuonyesha kua mko sawa
Yaan awafunge na kuwanyanganya mpiraa. 🐸🐸 Mnakwama wap
@ignatuspius7537
4 жыл бұрын
SHAMIRY OMARY Haaaaaaaaaaaaaaa
@edwardmbonika51024 жыл бұрын
Tatizo kipa
@saidyussuf10394 жыл бұрын
YANGA mbovu kocha m'bovu poleni sanaa YANGA😂😂😂😂😂😂
@valenceewald1465
4 жыл бұрын
Said Yussuf ila hat ww n m'bovu pia jianglue uluvy af jione unakwma wp pole xna
@harunyemmanuel83174 жыл бұрын
Manata ameteseka sana leo
@saikalyasi27072 жыл бұрын
Mbona nchimbi alikuwa uku, sasa yanga ana xhida gani
@bernardchibwana19074 жыл бұрын
subiria simba inakujaaa
@richardjoseph87504 жыл бұрын
Yanga ya musimu ulio pita haikubali kufungwa kiulaisi kama hii yanga ya sasa mnasajili ndio kwanini usinge sajili huyu chimbi anaye sumbua yanga kuifunga tatu hivi nyinyi wana yanga wezangu muna waza nini juu ya hilo? Nisaidieni maoni ili tumu yetu iwe nzur zaidi
@dicksonaroka6961
4 жыл бұрын
ahhahahaha kwaiyo nyie mara hiii mnamtaka tena na jamaaa
@jumajux19164 жыл бұрын
zahera aondoke jamani mbona tunapata tabu lkn
@richardkayuguyugu94894 жыл бұрын
Uliona wapi polisi akatekwa na wanachi?
@brightsimkoko34994 жыл бұрын
Kipa ni fara hiyo faulo sio ya kufungwa
@leodgandunguru16954 жыл бұрын
Molinga mkali wa faulo
@franksagamo9664 жыл бұрын
yanga imekuwaje mbn inazd kushuka kiwang
@wabumbuli27104 жыл бұрын
Hivi Simba alishawai kufungwa hat trick kweli maana hawa chura🐢🐢🐢 wamezoea kupigwa yaleyale ya Alex kitenge
@athumanikigolo87532 жыл бұрын
Mechi iliyo MPA mchimbi tiketi yakuchezea yanga
@paulpaul3474 жыл бұрын
Daah kipaa wa polisi anatatizo
@wilsongeorge4061
4 жыл бұрын
Zahela aomdoke tu jamani tunaumia sna kwanini mwenyekitu msora usimfukuze huyo zahela kwani yeye nanai
@jumajux19164 жыл бұрын
lkn kwnn timu isiwe na mwekezaji jamn huu ujinga tunafanyiana
@ramadhanimahongole87644 жыл бұрын
wananchi wapi hao? yanga wanajikomba tu kwa watanzania.ila wananchi walio wengi wa nchi hii ya tanzania wanaipenda SIMBA, nyie yanga endeleeni kujipendekeza lakini tim ya mioyo ya wananchi wengi ni SIMBA SPORTS CLUB pekee takwim zinasema ivyo.
@magorymara5515
4 жыл бұрын
Utafanyaje sasa ndo jina lilishakaa mahali pake na kama inakuuma karushe ngumi
@ahmedyally89434 жыл бұрын
Zahera ondoka kwenu haujui kitu
@anthonyndakama19544 жыл бұрын
Yanga vipi tena
@armandoleonardo36434 жыл бұрын
Yanga tem razao de perdao pk estao defrontando com policias e eles tem medo de meter golo e serem recolhidos pra as celas kkkkkkkkkkkkkk
Пікірлер: 256
Mwendo wa mateka mikono juu Like kwa baraka Jmniii 😀😀😀
Kama unakubali yanga mbovu usipite bila ku like🙄🙄
me naona yanga nkikundi chawatu wachache wapiga hela, like zenu wanasimba
@rajabuiddy7493
4 жыл бұрын
Shedrack Mwaipopo ya.nga
We mtangazaji unaroho mbaya na Yanga kama nn! He umepayuka vigori vya Polisii, Molinga anafunga we kimya kama hajafunga acha roho ya kishetani iyo
Et hawa ndio wangefika nusu fainali Kimataifa pongezi kwa polisi tanzania👏👏👏👏👏👏
@daudikapaya7264
4 жыл бұрын
uwezo wao ndo umeishia hapo yanga
@sideboy1299
4 жыл бұрын
Nyie wenye kikosi Bora mbona mmechemka kimataifa
@Leo-kg2lt
4 жыл бұрын
We uko wap na kikosi bola chakoo
🐸🐸tabu haiishi kwenue milele, kazi mzuri sana mchimbi, na shaitwa national team 👍👍
Sema dah!...😂😂😂 hiyo freekick unaeza ingia nayo pale central ukaombea loss report na usilipie chochote 😋😋😋
nilitamani kuona yanga akipigwa hata sita ila sio mbaya hata kwa hiyo sare,
Matola punguza kifinyo utaua kaka. yanga wasingesawazixha pngn wangezimia familia zinawategemea
Mpenja anajua kuumiza roho aise Hahahaha polen sana watan
Baraka mpenja bana eti uliona wapi polisi wanatekwa na wananchi walima matikiti😂😂😂😂😂.YNWA
@bravootz8515
4 жыл бұрын
MR LIVERPOOL YNWA ukitukanw ooh umeonew?? Pec
@sullemankova9307
4 жыл бұрын
Hahahahaaa , Chief kumbe. Na huku upo !! dah hapana chezea #Mpenja _ sauti ya radi
@raphaellyuvale6195
4 жыл бұрын
Hahaha
@scautikajuni5561
4 жыл бұрын
MR LIVERPOOL YNWA ipo
@patikambakamba7599
4 жыл бұрын
,,
poleni yanga team yenu mbovu sana
mmejitahid xan polisi pongezi kwa Nchimbi " BN 29"
@defaomanana5847
3 жыл бұрын
Dm
,,,,wao wanaona, leo inasomeka 12/1 na muda hauongopi!! ninachojiuliza MZ -atakuwa juu ya timu mpaka lini, kwann akatae msaidizi mzawa !!!?! " muda utaongea!!!
kaheza wala sio muheza twende sawa police Tanzania
police tz oyeeeeeee!!!, yanga bado sanaaa, uwanja wenu mashabiki wenu bado ngoma ngumu
Hawa ndio yanga wenyewe hupenda kujiita wa kimataifa, ndio wawakilishi pekee waliosalia michuano ya kimataifa wakihaha mbele ya mashabiki wao lukuki kutafuta sare mbele ya maafande , hatari sana hii.
@Yu-jr9uf
4 жыл бұрын
Mbona kama jina la kiume lakini kOmEnti ya KIKE au ndoo....mambo ya vidole juu
@ahmadmasunda8198
4 жыл бұрын
KUMBE KUNA TIMU ZIMESHATOKA NGAPI VILE NI AKINA NANI VILE
@outsokgonlinetv3649
4 жыл бұрын
Wa kimataifa hahaaaa
@loiaminiel9468
4 жыл бұрын
Unasifa weye waacge vyura wa watu bwana😆😆😆😁😁
Kamanda Sirroooooooooooo uko juuuuuuuu nakwambia kitu kiliunganishwa had raha, dahh naipenda sana timu ya police Tanzania.
Hii team mechi ya kirafiki yanga alipigwa 2-hivyo leo yanga ilibidi alipe kwakufunga nyingi tu polisi kln matokeo yake yanga wanashingilia sare kbsa yan inauma sana yanga mjitathini na hii yanga ya zahera
@HusenAlly-gc2dl
20 күн бұрын
Yanga Tam kubwa
Yajayo yanafraisha yanga kazi mnayo
Yanga kweli maiti hata mchana hawaoni balaaa police kiboko chapa yanga kama mbwa wanasimba twendeni mbele like hapa....
Mnatuangusha sana sisi mashabiki wenu
Yn yanga atoke sare na polisi halafu msifie? Hovyoo kabisa😏😏😏
asante mungu kwa pointi 1 uliowajalia polisi Tanzania dhidi ya yanga sport club
Uyo zahera asepe tu maana sasa tabu hzi yani
Kipa wa police magori yote aliyofungwa kawapa yanga huyu achunguzwe kama si rushwa basi ana uyangayanga
Sante yanga kwa kuona magori yanatafutwa bt baraka mpenja ww dar es salaam ndani ya ulaya ww
@zachariamholu6408
4 жыл бұрын
Alfred Justinian yanga ni timu ya wanaicbi
Sisi haooo polisi tanzania
Yanga mnazingua san yani
Nani kamsikia Mpenja akisema " nani kasema Chi....chi.....chi (bonge) hawezi kupiga free kick? ha ha ha ha Mpenja bana
@azizimuhibu7771
4 жыл бұрын
😀😀😀mpenja Noma
@faridakitiku2276
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣mpenja bhn ananikoshaga sn
@delol3638
4 жыл бұрын
Olisongo
@thitusmichele4479
4 жыл бұрын
Sawa
Hii ndio timu Ya kwanza kufungwa hatrick kila msimu mwaka jana kitenge mwaka huu nchimbi pumbavu
Yanga mkimaliza Ku comment simba ndio tutakapo anzia , Ila polis naona kama walikuwa pungufu hivi. Ila ngoja kwanza yanga mkomment tutarudi baadae.
@khadijakhadija6212
4 жыл бұрын
Mashabiki wanapanick balaa kule wanasem zaher aondokee
@kijanawaukweeli4203
4 жыл бұрын
@@khadijakhadija6212 ..mmmmh
@khadijakhadija6212
4 жыл бұрын
@@kijanawaukweeli4203 Has unabish mashabiki wamepanick uwanjan
Yanga hakuna kitu,hongera sana polisi
yanga mbovu na dolla nanununua
Kwa Wapenzi wa Yanga tu Uongozi wa Dkt Msolla hausikilizi maoni ya wadau nimeuandikia e-mail nyingi mno kuwashauri na kuwakumbusha mambo ya msingi ili ushindi upatikane lakini WAMEYAPUUZA sasa nyinyi wenyewe mnashuhudia matokeo yake....waambieni waangalie email kutoka kwa Al Lec wazipitie na kuzifanyia kazi...
@johansenbashange2628
4 жыл бұрын
Weka na CV zako hapa! Mkono mtupu haulambwi
@allec2905
4 жыл бұрын
@@johansenbashange2628 YANGA WAMEINGILIWA KUNA MAMLUKI WA SIMBA NDANI YA UONGOZI NINA USHAHIDI
@yahyarajab525
4 жыл бұрын
Yanga mbovu
@jumamkongowe8870
4 жыл бұрын
@@allec2905 ni yupi huyo kiongozi
Hongera sana Police Tanzania
Kha khaa khaaaaaa aaaaah!!! Mwaka huu ubngwa mtauskia kwny radio makuma niny n tim len BOVU
Mpenja hujawahi ziacha mbavu zng salama 😂😂😂😂😂
NAKUONA IGP SIRO, SAFI SANA.
mnatoka sare na timu iliyopanda daraja mnafrahi mkikutana na mnyama
@ojasoojaso9479
4 жыл бұрын
Hii ni soka kwani umesahau Simba ilifungwa na mashjaa toka kibondo hapo hapo taifa.tena wskiwa na kina kagere
Polis n firee
Mwananchi anaanzaje kumteka polisi?????
Azam TV 🤝
Simba hatuna watani yanga hoi Ila wamejitahidi kumuiga Simba {mo dewji} Kwa mo linga)
@samiramadenge953
4 жыл бұрын
😄😄😄😄😄👍👍👍👍👍
moringa moringa waoneshe mavitu freeck ck uraya ndani ya Uhuru mutu munene momomomo ringa konk
Video haipo vzr inaukungu
Dah! Yanga mnatuzidishia maumivu! Nje hoi ndani hoi shida nini jamn?
@samiramadenge953
4 жыл бұрын
😄😄😄😄😄
jmn mbn kama kuna upenzi katika utangazaji!!!! kwahyo gori la pili la yanga halikuonekana likipofungwa??? mbn halikutangazwa😯😯😯😯😯😯
Mwinyi haji baga mrejesheni
Yanga mbovu kuliko.
Kipa goli la pili amewapa Yanga kamanda Sirro fanya mpango hebu mchunguzen huyo kipa hajapewa rushwa kweli na Yanga
@godsow6195
4 жыл бұрын
yanga madem
Kumamaeee kipa wa police ametuzingua Leo ss shsbiki tulio beat mkeka wangu 😠😠😠daaaa
@costantinerichard4215
4 жыл бұрын
max maizer Rico wwftiifuwrgu
@costantinerichard4215
4 жыл бұрын
max maizer qsfkgfkrlj
💥🔥
@liberatimasawe9520
4 жыл бұрын
Timu kubwa ndizo zinazofungwa wanafungwa Barcelona itakuwa yanga bado namkubali zahera
Eti zahera aondoke we pesa anazo dai timu itayumba tumuache kwanza
Molinga big up umetuokoa
cjui nimshauri mzee wa uchebe aombe hata match ya kirafiki tu kwanza na hawa watu maana ratiba inatuchelewesha
haaa wananchi WAMETOKA KWA DHAMANA
Kila mwaka wajomba mnapigwa hart trick mnatia aibu,,,yani hata Ndanda hawajapigwa kiaibu hivi khaaaa!
Salama yenu yanga
Mlinda lango wa police umewaangusha wenzio umefungwa magoli mepesi mno ila hongereni mmetuonyesha kua mko sawa
Yanga Raha Sana tatizo mbelee tu
Hahahaha baraka mpenja bhna ety chi..chi.. Chibonge kafunga freekick #masailong #maasai #masai
Lile goli la pili la yanga sio kona ile?
Kila jina watajiita, wananchi wakiwa wanataka kuchangiwa, Yanga hamna kitu ila mna midomo na matusi tu
huyu kila ni fara
wabovu mipira ya juu duu mwaka simba hapo nyingi sana wanajipigia
Si bure kipa wa police tz alichukua pesa
🤣🤣🤣🤣Zaher nikija nisikukute fungash virago rudi kwenu Allah
@kennedysebastiankakingo3711
4 жыл бұрын
Khadija Khadija Allah Ni mungu Wa watu uyo! 😊
@khadijakhadija6212
4 жыл бұрын
@@kennedysebastiankakingo3711 🤣🤣🤣
@mandibrochuma9062
4 жыл бұрын
Khadija Khadija Pele. bangi zako hko
@khadijakhadija6212
4 жыл бұрын
@@mandibrochuma9062c bor ni mpelekee zaher na wew au siyo
@dgt6303
4 жыл бұрын
Khadija khadija unataka umpeleke wap Zahera wetu?? Sisi tunamtaka ili tuendelee kupata matokeo hayo hayo
Wakimataifa wanahangaika kusawazisha
We kocha uyo uyo kipa mbona mjinga mjinga tupa mbali
Kipa ni shabiki wa Yanga😂😂😂
Zahera aondokeeeee matokeo ya tim yetu hayaridhishi inatuuma 😭😭😭
@nelsonmgaya7179
4 жыл бұрын
Nikweli kabisa Zahera aondoke, hanauwezo wa kuifundisha timu ya YANGA
@fatumaiddy5074
4 жыл бұрын
roho inaniuma sana na haya matokeo
Mnabahati IGP alikuwepo, wananchi tuliona sio vyema kuwaadhibu mbele ya boss wenu.
@loiaminiel9468
4 жыл бұрын
Vyura na sare ya timu iliyopanda daraja😂😂😂
@graceyohana1733
4 жыл бұрын
@@loiaminiel9468 kati ya sale na kupoteza game kipi bora?
Sisi hao 😁
Jamani hao ndo wanajiita wakimataifa kweli na aibu yote his kweli
najiskia ovyo kwa sale yaleo nlitarajia yanga Leo kutok naushind
Hiyo goli ya 3 molinga inatosha kabisa kusajili lain bila alama za vidole
@faridakitiku2276
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣unaombea ht mkopo benki co laini2
@yusuphmussa554
4 жыл бұрын
Farida Kitiku kweli
Mzee mwenzangu mzee mwenzanguuu....me yanga.
@rehemanassor6317
4 жыл бұрын
Faraja Luvanda mzeemwanzangu mzeemwanzangu unamjua nchimbiiiiiiiiiii
@farajaluvanda1242
4 жыл бұрын
@@rehemanassor6317 Ahahaaaaa mzee mwenzangu mzee mwenzanguuuu.... nchimbi lijendiiiii.......
@rehemanassor6317
4 жыл бұрын
Faraja Luvanda oooooh tatizo
Sadney atoke hapo yanga, hua sitaki hata kumsikia
Kipa wa polisi Tz ni shabiki wa yanga huyo
Yaan awafunge na kuwanyanganya mpiraa. 🐸🐸 Mnakwama wap
@ignatuspius7537
4 жыл бұрын
SHAMIRY OMARY Haaaaaaaaaaaaaaa
Tatizo kipa
YANGA mbovu kocha m'bovu poleni sanaa YANGA😂😂😂😂😂😂
@valenceewald1465
4 жыл бұрын
Said Yussuf ila hat ww n m'bovu pia jianglue uluvy af jione unakwma wp pole xna
Manata ameteseka sana leo
Mbona nchimbi alikuwa uku, sasa yanga ana xhida gani
subiria simba inakujaaa
Yanga ya musimu ulio pita haikubali kufungwa kiulaisi kama hii yanga ya sasa mnasajili ndio kwanini usinge sajili huyu chimbi anaye sumbua yanga kuifunga tatu hivi nyinyi wana yanga wezangu muna waza nini juu ya hilo? Nisaidieni maoni ili tumu yetu iwe nzur zaidi
@dicksonaroka6961
4 жыл бұрын
ahhahahaha kwaiyo nyie mara hiii mnamtaka tena na jamaaa
zahera aondoke jamani mbona tunapata tabu lkn
Uliona wapi polisi akatekwa na wanachi?
Kipa ni fara hiyo faulo sio ya kufungwa
Molinga mkali wa faulo
yanga imekuwaje mbn inazd kushuka kiwang
Hivi Simba alishawai kufungwa hat trick kweli maana hawa chura🐢🐢🐢 wamezoea kupigwa yaleyale ya Alex kitenge
Mechi iliyo MPA mchimbi tiketi yakuchezea yanga
Daah kipaa wa polisi anatatizo
@wilsongeorge4061
4 жыл бұрын
Zahela aomdoke tu jamani tunaumia sna kwanini mwenyekitu msora usimfukuze huyo zahela kwani yeye nanai
lkn kwnn timu isiwe na mwekezaji jamn huu ujinga tunafanyiana
wananchi wapi hao? yanga wanajikomba tu kwa watanzania.ila wananchi walio wengi wa nchi hii ya tanzania wanaipenda SIMBA, nyie yanga endeleeni kujipendekeza lakini tim ya mioyo ya wananchi wengi ni SIMBA SPORTS CLUB pekee takwim zinasema ivyo.
@magorymara5515
4 жыл бұрын
Utafanyaje sasa ndo jina lilishakaa mahali pake na kama inakuuma karushe ngumi
Zahera ondoka kwenu haujui kitu
Yanga vipi tena
Yanga tem razao de perdao pk estao defrontando com policias e eles tem medo de meter golo e serem recolhidos pra as celas kkkkkkkkkkkkkk