MAGOLI YOTE: YANGA SC 3-3 POLISI TANZANIA (VPL - 03/10/2019)

Спорт

Пікірлер: 256

  • @wistonmunis4690
    @wistonmunis46904 жыл бұрын

    Mwendo wa mateka mikono juu Like kwa baraka Jmniii 😀😀😀

  • @daudichawo240
    @daudichawo2404 жыл бұрын

    Kama unakubali yanga mbovu usipite bila ku like🙄🙄

  • @shedrackmwaipopo153
    @shedrackmwaipopo1534 жыл бұрын

    me naona yanga nkikundi chawatu wachache wapiga hela, like zenu wanasimba

  • @rajabuiddy7493

    @rajabuiddy7493

    4 жыл бұрын

    Shedrack Mwaipopo ya.nga

  • @omarij.f.1651
    @omarij.f.16514 жыл бұрын

    We mtangazaji unaroho mbaya na Yanga kama nn! He umepayuka vigori vya Polisii, Molinga anafunga we kimya kama hajafunga acha roho ya kishetani iyo

  • @barokabarick9843
    @barokabarick98434 жыл бұрын

    Et hawa ndio wangefika nusu fainali Kimataifa pongezi kwa polisi tanzania👏👏👏👏👏👏

  • @daudikapaya7264

    @daudikapaya7264

    4 жыл бұрын

    uwezo wao ndo umeishia hapo yanga

  • @sideboy1299

    @sideboy1299

    4 жыл бұрын

    Nyie wenye kikosi Bora mbona mmechemka kimataifa

  • @Leo-kg2lt

    @Leo-kg2lt

    4 жыл бұрын

    We uko wap na kikosi bola chakoo

  • @azizimuhibu7771
    @azizimuhibu77714 жыл бұрын

    🐸🐸tabu haiishi kwenue milele, kazi mzuri sana mchimbi, na shaitwa national team 👍👍

  • @eriqemarson2362
    @eriqemarson23624 жыл бұрын

    Sema dah!...😂😂😂 hiyo freekick unaeza ingia nayo pale central ukaombea loss report na usilipie chochote 😋😋😋

  • @justinmatindiko7810
    @justinmatindiko78104 жыл бұрын

    nilitamani kuona yanga akipigwa hata sita ila sio mbaya hata kwa hiyo sare,

  • @josboy5384
    @josboy53844 жыл бұрын

    Matola punguza kifinyo utaua kaka. yanga wasingesawazixha pngn wangezimia familia zinawategemea

  • @mariamshaban8216
    @mariamshaban82164 жыл бұрын

    Mpenja anajua kuumiza roho aise Hahahaha polen sana watan

  • @mrliverpoolynwa7641
    @mrliverpoolynwa76414 жыл бұрын

    Baraka mpenja bana eti uliona wapi polisi wanatekwa na wananchi walima matikiti😂😂😂😂😂.YNWA

  • @bravootz8515

    @bravootz8515

    4 жыл бұрын

    MR LIVERPOOL YNWA ukitukanw ooh umeonew?? Pec

  • @sullemankova9307

    @sullemankova9307

    4 жыл бұрын

    Hahahahaaa , Chief kumbe. Na huku upo !! dah hapana chezea #Mpenja _ sauti ya radi

  • @raphaellyuvale6195

    @raphaellyuvale6195

    4 жыл бұрын

    Hahaha

  • @scautikajuni5561

    @scautikajuni5561

    4 жыл бұрын

    MR LIVERPOOL YNWA ipo

  • @patikambakamba7599

    @patikambakamba7599

    4 жыл бұрын

    ,,

  • @bernardchibwana1907
    @bernardchibwana19074 жыл бұрын

    poleni yanga team yenu mbovu sana

  • @danielndossy8496
    @danielndossy84964 жыл бұрын

    mmejitahid xan polisi pongezi kwa Nchimbi " BN 29"

  • @defaomanana5847

    @defaomanana5847

    3 жыл бұрын

    Dm

  • @mittialloyce9382
    @mittialloyce93824 жыл бұрын

    ,,,,wao wanaona, leo inasomeka 12/1 na muda hauongopi!! ninachojiuliza MZ -atakuwa juu ya timu mpaka lini, kwann akatae msaidizi mzawa !!!?! " muda utaongea!!!

  • @yonakipe4917
    @yonakipe49174 жыл бұрын

    kaheza wala sio muheza twende sawa police Tanzania

  • @bernardchibwana1907
    @bernardchibwana19074 жыл бұрын

    police tz oyeeeeeee!!!, yanga bado sanaaa, uwanja wenu mashabiki wenu bado ngoma ngumu

  • @kassimumuhija2874
    @kassimumuhija28744 жыл бұрын

    Hawa ndio yanga wenyewe hupenda kujiita wa kimataifa, ndio wawakilishi pekee waliosalia michuano ya kimataifa wakihaha mbele ya mashabiki wao lukuki kutafuta sare mbele ya maafande , hatari sana hii.

  • @Yu-jr9uf

    @Yu-jr9uf

    4 жыл бұрын

    Mbona kama jina la kiume lakini kOmEnti ya KIKE au ndoo....mambo ya vidole juu

  • @ahmadmasunda8198

    @ahmadmasunda8198

    4 жыл бұрын

    KUMBE KUNA TIMU ZIMESHATOKA NGAPI VILE NI AKINA NANI VILE

  • @outsokgonlinetv3649

    @outsokgonlinetv3649

    4 жыл бұрын

    Wa kimataifa hahaaaa

  • @loiaminiel9468

    @loiaminiel9468

    4 жыл бұрын

    Unasifa weye waacge vyura wa watu bwana😆😆😆😁😁

  • @micamathew6433
    @micamathew64334 жыл бұрын

    Kamanda Sirroooooooooooo uko juuuuuuuu nakwambia kitu kiliunganishwa had raha, dahh naipenda sana timu ya police Tanzania.

  • @elizabethjohn4549
    @elizabethjohn45494 жыл бұрын

    Hii team mechi ya kirafiki yanga alipigwa 2-hivyo leo yanga ilibidi alipe kwakufunga nyingi tu polisi kln matokeo yake yanga wanashingilia sare kbsa yan inauma sana yanga mjitathini na hii yanga ya zahera

  • @HusenAlly-gc2dl

    @HusenAlly-gc2dl

    20 күн бұрын

    Yanga Tam kubwa

  • @ramadhanismail6682
    @ramadhanismail66824 жыл бұрын

    Yajayo yanafraisha yanga kazi mnayo

  • @amo-one.babalake3588
    @amo-one.babalake35884 жыл бұрын

    Yanga kweli maiti hata mchana hawaoni balaaa police kiboko chapa yanga kama mbwa wanasimba twendeni mbele like hapa....

  • @jeniphermassawe3037
    @jeniphermassawe30374 жыл бұрын

    Mnatuangusha sana sisi mashabiki wenu

  • @halimasaleh5705
    @halimasaleh57054 жыл бұрын

    Yn yanga atoke sare na polisi halafu msifie? Hovyoo kabisa😏😏😏

  • @jackemanuel4697
    @jackemanuel46974 жыл бұрын

    asante mungu kwa pointi 1 uliowajalia polisi Tanzania dhidi ya yanga sport club

  • @sweetestgospelmelodies5723
    @sweetestgospelmelodies57234 жыл бұрын

    Uyo zahera asepe tu maana sasa tabu hzi yani

  • @hatibukipande3675
    @hatibukipande36754 жыл бұрын

    Kipa wa police magori yote aliyofungwa kawapa yanga huyu achunguzwe kama si rushwa basi ana uyangayanga

  • @alfredjustinian6193
    @alfredjustinian61934 жыл бұрын

    Sante yanga kwa kuona magori yanatafutwa bt baraka mpenja ww dar es salaam ndani ya ulaya ww

  • @zachariamholu6408

    @zachariamholu6408

    4 жыл бұрын

    Alfred Justinian yanga ni timu ya wanaicbi

  • @paulmgoli4853
    @paulmgoli48534 жыл бұрын

    Sisi haooo polisi tanzania

  • @sweetestgospelmelodies5723
    @sweetestgospelmelodies57234 жыл бұрын

    Yanga mnazingua san yani

  • @amandusmtani4921
    @amandusmtani49214 жыл бұрын

    Nani kamsikia Mpenja akisema " nani kasema Chi....chi.....chi (bonge) hawezi kupiga free kick? ha ha ha ha Mpenja bana

  • @azizimuhibu7771

    @azizimuhibu7771

    4 жыл бұрын

    😀😀😀mpenja Noma

  • @faridakitiku2276

    @faridakitiku2276

    4 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣mpenja bhn ananikoshaga sn

  • @delol3638

    @delol3638

    4 жыл бұрын

    Olisongo

  • @thitusmichele4479

    @thitusmichele4479

    4 жыл бұрын

    Sawa

  • @hatibukipande3675
    @hatibukipande36754 жыл бұрын

    Hii ndio timu Ya kwanza kufungwa hatrick kila msimu mwaka jana kitenge mwaka huu nchimbi pumbavu

  • @danielfrank873
    @danielfrank8734 жыл бұрын

    Yanga mkimaliza Ku comment simba ndio tutakapo anzia , Ila polis naona kama walikuwa pungufu hivi. Ila ngoja kwanza yanga mkomment tutarudi baadae.

  • @khadijakhadija6212

    @khadijakhadija6212

    4 жыл бұрын

    Mashabiki wanapanick balaa kule wanasem zaher aondokee

  • @kijanawaukweeli4203

    @kijanawaukweeli4203

    4 жыл бұрын

    @@khadijakhadija6212 ..mmmmh

  • @khadijakhadija6212

    @khadijakhadija6212

    4 жыл бұрын

    @@kijanawaukweeli4203 Has unabish mashabiki wamepanick uwanjan

  • @michaelsukwa4371
    @michaelsukwa43714 жыл бұрын

    Yanga hakuna kitu,hongera sana polisi

  • @mubarakahamis2259
    @mubarakahamis22594 жыл бұрын

    yanga mbovu na dolla nanununua

  • @allec2905
    @allec29054 жыл бұрын

    Kwa Wapenzi wa Yanga tu Uongozi wa Dkt Msolla hausikilizi maoni ya wadau nimeuandikia e-mail nyingi mno kuwashauri na kuwakumbusha mambo ya msingi ili ushindi upatikane lakini WAMEYAPUUZA sasa nyinyi wenyewe mnashuhudia matokeo yake....waambieni waangalie email kutoka kwa Al Lec wazipitie na kuzifanyia kazi...

  • @johansenbashange2628

    @johansenbashange2628

    4 жыл бұрын

    Weka na CV zako hapa! Mkono mtupu haulambwi

  • @allec2905

    @allec2905

    4 жыл бұрын

    @@johansenbashange2628 YANGA WAMEINGILIWA KUNA MAMLUKI WA SIMBA NDANI YA UONGOZI NINA USHAHIDI

  • @yahyarajab525

    @yahyarajab525

    4 жыл бұрын

    Yanga mbovu

  • @jumamkongowe8870

    @jumamkongowe8870

    4 жыл бұрын

    @@allec2905 ni yupi huyo kiongozi

  • @consolathammari8186
    @consolathammari81864 жыл бұрын

    Hongera sana Police Tanzania

  • @syksyk7295
    @syksyk72954 жыл бұрын

    Kha khaa khaaaaaa aaaaah!!! Mwaka huu ubngwa mtauskia kwny radio makuma niny n tim len BOVU

  • @vumilia12maarifa74
    @vumilia12maarifa744 жыл бұрын

    Mpenja hujawahi ziacha mbavu zng salama 😂😂😂😂😂

  • @johnkatindasa2477
    @johnkatindasa24774 жыл бұрын

    NAKUONA IGP SIRO, SAFI SANA.

  • @sittasilesi6298
    @sittasilesi62984 жыл бұрын

    mnatoka sare na timu iliyopanda daraja mnafrahi mkikutana na mnyama

  • @ojasoojaso9479

    @ojasoojaso9479

    4 жыл бұрын

    Hii ni soka kwani umesahau Simba ilifungwa na mashjaa toka kibondo hapo hapo taifa.tena wskiwa na kina kagere

  • @paulpaul347
    @paulpaul3474 жыл бұрын

    Polis n firee

  • @groliakalambo7322
    @groliakalambo73224 жыл бұрын

    Mwananchi anaanzaje kumteka polisi?????

  • @giftnoah4904
    @giftnoah49044 жыл бұрын

    Azam TV 🤝

  • @stevenhaule4012
    @stevenhaule40124 жыл бұрын

    Simba hatuna watani yanga hoi Ila wamejitahidi kumuiga Simba {mo dewji} Kwa mo linga)

  • @samiramadenge953

    @samiramadenge953

    4 жыл бұрын

    😄😄😄😄😄👍👍👍👍👍

  • @muhsinomar1041
    @muhsinomar10414 жыл бұрын

    moringa moringa waoneshe mavitu freeck ck uraya ndani ya Uhuru mutu munene momomomo ringa konk

  • @hamisiyusufu7073
    @hamisiyusufu70734 жыл бұрын

    Video haipo vzr inaukungu

  • @edwardgwaspika4943
    @edwardgwaspika49434 жыл бұрын

    Dah! Yanga mnatuzidishia maumivu! Nje hoi ndani hoi shida nini jamn?

  • @samiramadenge953

    @samiramadenge953

    4 жыл бұрын

    😄😄😄😄😄

  • @SAINTLYMEDIA
    @SAINTLYMEDIA4 жыл бұрын

    jmn mbn kama kuna upenzi katika utangazaji!!!! kwahyo gori la pili la yanga halikuonekana likipofungwa??? mbn halikutangazwa😯😯😯😯😯😯

  • @mbukumagiubukumagu406
    @mbukumagiubukumagu4064 жыл бұрын

    Mwinyi haji baga mrejesheni

  • @charlsngosha9128
    @charlsngosha91284 жыл бұрын

    Yanga mbovu kuliko.

  • @abdulzackawami7780
    @abdulzackawami77804 жыл бұрын

    Kipa goli la pili amewapa Yanga kamanda Sirro fanya mpango hebu mchunguzen huyo kipa hajapewa rushwa kweli na Yanga

  • @godsow6195

    @godsow6195

    4 жыл бұрын

    yanga madem

  • @maxmaizer4631
    @maxmaizer46314 жыл бұрын

    Kumamaeee kipa wa police ametuzingua Leo ss shsbiki tulio beat mkeka wangu 😠😠😠daaaa

  • @costantinerichard4215

    @costantinerichard4215

    4 жыл бұрын

    max maizer Rico wwftiifuwrgu

  • @costantinerichard4215

    @costantinerichard4215

    4 жыл бұрын

    max maizer qsfkgfkrlj

  • @fasenaog
    @fasenaog4 жыл бұрын

    💥🔥

  • @liberatimasawe9520

    @liberatimasawe9520

    4 жыл бұрын

    Timu kubwa ndizo zinazofungwa wanafungwa Barcelona itakuwa yanga bado namkubali zahera

  • @mashakaharuna405
    @mashakaharuna4054 жыл бұрын

    Eti zahera aondoke we pesa anazo dai timu itayumba tumuache kwanza

  • @jacksonmdima5659
    @jacksonmdima56594 жыл бұрын

    Molinga big up umetuokoa

  • @marcojonline7847
    @marcojonline78474 жыл бұрын

    cjui nimshauri mzee wa uchebe aombe hata match ya kirafiki tu kwanza na hawa watu maana ratiba inatuchelewesha

  • @ngwanakoile1389
    @ngwanakoile13894 жыл бұрын

    haaa wananchi WAMETOKA KWA DHAMANA

  • @sikudhanimachaku7836
    @sikudhanimachaku78364 жыл бұрын

    Kila mwaka wajomba mnapigwa hart trick mnatia aibu,,,yani hata Ndanda hawajapigwa kiaibu hivi khaaaa!

  • @suleimanalli8173
    @suleimanalli81734 жыл бұрын

    Salama yenu yanga

  • @isackpatrick2315
    @isackpatrick23154 жыл бұрын

    Mlinda lango wa police umewaangusha wenzio umefungwa magoli mepesi mno ila hongereni mmetuonyesha kua mko sawa

  • @mzambiasaimoni6627
    @mzambiasaimoni66274 жыл бұрын

    Yanga Raha Sana tatizo mbelee tu

  • @zaburitv5493
    @zaburitv54934 жыл бұрын

    Hahahaha baraka mpenja bhna ety chi..chi.. Chibonge kafunga freekick #masailong #maasai #masai

  • @otmarykiowi4132
    @otmarykiowi41324 жыл бұрын

    Lile goli la pili la yanga sio kona ile?

  • @mbwanarajabhussein7141
    @mbwanarajabhussein71414 жыл бұрын

    Kila jina watajiita, wananchi wakiwa wanataka kuchangiwa, Yanga hamna kitu ila mna midomo na matusi tu

  • @stevenhaule4012
    @stevenhaule40124 жыл бұрын

    huyu kila ni fara

  • @zainabubanda7683
    @zainabubanda76834 жыл бұрын

    wabovu mipira ya juu duu mwaka simba hapo nyingi sana wanajipigia

  • @yahyachafu1239
    @yahyachafu12394 жыл бұрын

    Si bure kipa wa police tz alichukua pesa

  • @khadijakhadija6212
    @khadijakhadija62124 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣Zaher nikija nisikukute fungash virago rudi kwenu Allah

  • @kennedysebastiankakingo3711

    @kennedysebastiankakingo3711

    4 жыл бұрын

    Khadija Khadija Allah Ni mungu Wa watu uyo! 😊

  • @khadijakhadija6212

    @khadijakhadija6212

    4 жыл бұрын

    @@kennedysebastiankakingo3711 🤣🤣🤣

  • @mandibrochuma9062

    @mandibrochuma9062

    4 жыл бұрын

    Khadija Khadija Pele. bangi zako hko

  • @khadijakhadija6212

    @khadijakhadija6212

    4 жыл бұрын

    @@mandibrochuma9062c bor ni mpelekee zaher na wew au siyo

  • @dgt6303

    @dgt6303

    4 жыл бұрын

    Khadija khadija unataka umpeleke wap Zahera wetu?? Sisi tunamtaka ili tuendelee kupata matokeo hayo hayo

  • @abdulzackawami7780
    @abdulzackawami77804 жыл бұрын

    Wakimataifa wanahangaika kusawazisha

  • @mataamiry6720
    @mataamiry67204 жыл бұрын

    We kocha uyo uyo kipa mbona mjinga mjinga tupa mbali

  • @ndamayapejr7725
    @ndamayapejr77254 жыл бұрын

    Kipa ni shabiki wa Yanga😂😂😂

  • @rukaka_jr4514
    @rukaka_jr45144 жыл бұрын

    Zahera aondokeeeee matokeo ya tim yetu hayaridhishi inatuuma 😭😭😭

  • @nelsonmgaya7179

    @nelsonmgaya7179

    4 жыл бұрын

    Nikweli kabisa Zahera aondoke, hanauwezo wa kuifundisha timu ya YANGA

  • @fatumaiddy5074

    @fatumaiddy5074

    4 жыл бұрын

    roho inaniuma sana na haya matokeo

  • @graceyohana1733
    @graceyohana17334 жыл бұрын

    Mnabahati IGP alikuwepo, wananchi tuliona sio vyema kuwaadhibu mbele ya boss wenu.

  • @loiaminiel9468

    @loiaminiel9468

    4 жыл бұрын

    Vyura na sare ya timu iliyopanda daraja😂😂😂

  • @graceyohana1733

    @graceyohana1733

    4 жыл бұрын

    @@loiaminiel9468 kati ya sale na kupoteza game kipi bora?

  • @paulmgoli4853
    @paulmgoli48534 жыл бұрын

    Sisi hao 😁

  • @jumaikangaa2777
    @jumaikangaa27774 жыл бұрын

    Jamani hao ndo wanajiita wakimataifa kweli na aibu yote his kweli

  • @elizasanga7784
    @elizasanga77844 жыл бұрын

    najiskia ovyo kwa sale yaleo nlitarajia yanga Leo kutok naushind

  • @yusuphmussa554
    @yusuphmussa5544 жыл бұрын

    Hiyo goli ya 3 molinga inatosha kabisa kusajili lain bila alama za vidole

  • @faridakitiku2276

    @faridakitiku2276

    4 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣unaombea ht mkopo benki co laini2

  • @yusuphmussa554

    @yusuphmussa554

    4 жыл бұрын

    Farida Kitiku kweli

  • @farajaluvanda1242
    @farajaluvanda12424 жыл бұрын

    Mzee mwenzangu mzee mwenzanguuu....me yanga.

  • @rehemanassor6317

    @rehemanassor6317

    4 жыл бұрын

    Faraja Luvanda mzeemwanzangu mzeemwanzangu unamjua nchimbiiiiiiiiiii

  • @farajaluvanda1242

    @farajaluvanda1242

    4 жыл бұрын

    @@rehemanassor6317 Ahahaaaaa mzee mwenzangu mzee mwenzanguuuu.... nchimbi lijendiiiii.......

  • @rehemanassor6317

    @rehemanassor6317

    4 жыл бұрын

    Faraja Luvanda oooooh tatizo

  • @mrict1971
    @mrict19714 жыл бұрын

    Sadney atoke hapo yanga, hua sitaki hata kumsikia

  • @abrahamkibona7038
    @abrahamkibona70384 жыл бұрын

    Kipa wa polisi Tz ni shabiki wa yanga huyo

  • @ommyflavor459
    @ommyflavor4594 жыл бұрын

    Yaan awafunge na kuwanyanganya mpiraa. 🐸🐸 Mnakwama wap

  • @ignatuspius7537

    @ignatuspius7537

    4 жыл бұрын

    SHAMIRY OMARY Haaaaaaaaaaaaaaa

  • @edwardmbonika5102
    @edwardmbonika51024 жыл бұрын

    Tatizo kipa

  • @saidyussuf1039
    @saidyussuf10394 жыл бұрын

    YANGA mbovu kocha m'bovu poleni sanaa YANGA😂😂😂😂😂😂

  • @valenceewald1465

    @valenceewald1465

    4 жыл бұрын

    Said Yussuf ila hat ww n m'bovu pia jianglue uluvy af jione unakwma wp pole xna

  • @harunyemmanuel8317
    @harunyemmanuel83174 жыл бұрын

    Manata ameteseka sana leo

  • @saikalyasi2707
    @saikalyasi27072 жыл бұрын

    Mbona nchimbi alikuwa uku, sasa yanga ana xhida gani

  • @bernardchibwana1907
    @bernardchibwana19074 жыл бұрын

    subiria simba inakujaaa

  • @richardjoseph8750
    @richardjoseph87504 жыл бұрын

    Yanga ya musimu ulio pita haikubali kufungwa kiulaisi kama hii yanga ya sasa mnasajili ndio kwanini usinge sajili huyu chimbi anaye sumbua yanga kuifunga tatu hivi nyinyi wana yanga wezangu muna waza nini juu ya hilo? Nisaidieni maoni ili tumu yetu iwe nzur zaidi

  • @dicksonaroka6961

    @dicksonaroka6961

    4 жыл бұрын

    ahhahahaha kwaiyo nyie mara hiii mnamtaka tena na jamaaa

  • @jumajux1916
    @jumajux19164 жыл бұрын

    zahera aondoke jamani mbona tunapata tabu lkn

  • @richardkayuguyugu9489
    @richardkayuguyugu94894 жыл бұрын

    Uliona wapi polisi akatekwa na wanachi?

  • @brightsimkoko3499
    @brightsimkoko34994 жыл бұрын

    Kipa ni fara hiyo faulo sio ya kufungwa

  • @leodgandunguru1695
    @leodgandunguru16954 жыл бұрын

    Molinga mkali wa faulo

  • @franksagamo966
    @franksagamo9664 жыл бұрын

    yanga imekuwaje mbn inazd kushuka kiwang

  • @wabumbuli2710
    @wabumbuli27104 жыл бұрын

    Hivi Simba alishawai kufungwa hat trick kweli maana hawa chura🐢🐢🐢 wamezoea kupigwa yaleyale ya Alex kitenge

  • @athumanikigolo8753
    @athumanikigolo87532 жыл бұрын

    Mechi iliyo MPA mchimbi tiketi yakuchezea yanga

  • @paulpaul347
    @paulpaul3474 жыл бұрын

    Daah kipaa wa polisi anatatizo

  • @wilsongeorge4061

    @wilsongeorge4061

    4 жыл бұрын

    Zahela aomdoke tu jamani tunaumia sna kwanini mwenyekitu msora usimfukuze huyo zahela kwani yeye nanai

  • @jumajux1916
    @jumajux19164 жыл бұрын

    lkn kwnn timu isiwe na mwekezaji jamn huu ujinga tunafanyiana

  • @ramadhanimahongole8764
    @ramadhanimahongole87644 жыл бұрын

    wananchi wapi hao? yanga wanajikomba tu kwa watanzania.ila wananchi walio wengi wa nchi hii ya tanzania wanaipenda SIMBA, nyie yanga endeleeni kujipendekeza lakini tim ya mioyo ya wananchi wengi ni SIMBA SPORTS CLUB pekee takwim zinasema ivyo.

  • @magorymara5515

    @magorymara5515

    4 жыл бұрын

    Utafanyaje sasa ndo jina lilishakaa mahali pake na kama inakuuma karushe ngumi

  • @ahmedyally8943
    @ahmedyally89434 жыл бұрын

    Zahera ondoka kwenu haujui kitu

  • @anthonyndakama1954
    @anthonyndakama19544 жыл бұрын

    Yanga vipi tena

  • @armandoleonardo3643
    @armandoleonardo36434 жыл бұрын

    Yanga tem razao de perdao pk estao defrontando com policias e eles tem medo de meter golo e serem recolhidos pra as celas kkkkkkkkkkkkkk

Келесі