Magoli: Yanga walivyopindua matokeo na kuipiga Mwadui 3-2 kwa Mkapa - VPL 20/06/2021
Спорт
YANGA 3-2 MWADUI: Yanga SC wamezitumia dakika nne za nyongeza kupata magoli mawili muhimu yaliyowapa ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Mwadui FC katika mchezo wa ligi kuu uliopigwa kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.
Magoli ya Yanga yamefungwa na Bakari Mwamnyeto, Yacouba Songne na Wazir Junior wakati magoli yote mawili ya Mwadui yakifungwa na Aniceth Revocatus.
Katika hatua nyingine, Fiston Abdoulrazack wa Yanga amekosa penati kwenye mchezo huu, iliyopanguliwa na golikipa Mussa Mbisa.
Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:-
►INSTAGRAM: / azamtvtz
►INSTAGRAM: / azamsports2
►TWITTER: / azamtvtz
►FACEBOOK: / azamtvtz
►WEBSITE: www.azamtv.co.tz
Пікірлер: 538
Mtangazaji yanga wamejua kukukausha sauti leo.... hii ndo timu ya wananchi buana 💚💛
Yanga naikubali miaka mia... mungu ibariki yanga mungu ibariki yanga amina
@omaryrashird7879
3 жыл бұрын
Amina
@mercymoshi3666
3 жыл бұрын
Amen
@jumakassim8718
3 жыл бұрын
Amina
Safi sana wananchi najua kuna watu wanaumizwa na aya matokeo vumilieni hii ndo yanga ndugu zangu team ya wananchi💪💪
Naona watu wanamfurahiya mfungaj bila kuona juhud za TK master, tazama magori yote mawili ya mwisho yametoka miguuni mwake. Mm man of the match ni TK
Daima mbele nyuma mwiko i love you young Africans
Hii ndio inaitwa Fighting spirit, hakuna kukubaki mpka mwisho, daima mbele nyuma mwiko
Yanga naikubali sanaa💚
tulie ludia kuangalia ili gem tujuane apa
Yanga oyeee raha sana ukiwa mwananchi
Yaani kama ningekuwepo mimi uwanja lile goli la waziri nisinge endelea kusimama ningekaa kwenye kiti changu kisha nika piga booongeeee moja la selfie kisha naenda kuombea mkopo benk bila dhamana big up 👏 chama langu pamoja sana 🇦🇪🇹🇿
Tuliipenda wenyewe ilove yangaaaaaaa
@fadhilimartin9466
3 жыл бұрын
Kipa alisi Mama nyuma ya mstari Makosa sana ingetakiwa kwenye mstari Rafa hakuona makosa hayo
@wilonjahatua2067
3 жыл бұрын
@@fadhilimartin9466 sure
Huku ndio kupndua meza kibabe, YANGA FOR LIFE 💚💛💚💛💚💛💚💛🔥🔥🔥🔥🔥🔥💪💪💪💪💪💪💪💪💪💛💛💛💛💚💚💚💚💚
@Edward_Simon6
3 жыл бұрын
Haha matokeo hayo na timu inayshuka daraja mmeponea chupu chupu
@mercymoshi3666
3 жыл бұрын
@@Edward_Simon6 unateseka ukiwa wapi?!!😂😂😂😂😂halaf ww ulimfunga ngapi?!!!ENDELEA KUTESEKA MTANI
@abdullaothman3772
3 жыл бұрын
@@Edward_Simon6 kwani timu ikiwa inashuka daraja huwa haichezi mpira?
This is yanga what we need!! 💪💪💪
Poleni na uchovu viongozi na wachezaji na mashabiki wenzangu na yanga. Naomba neno niseme nawaomba wachezaji wetu msiudharau mpira ukiwa kwa Adui msimuongezee hatua mumzibe kwa kumpunguzia hatua. Nasisi mashabiki tuwe wapole kwa wachezaji wetu kipindi wanapokuwa uwanjani hata kama wamekosea wakimaliza tuwaelekeze viongozi. Kuna kupanik ukishtuliwa ndio tunapoteana. Mungu isaidie yanga yetu.
Hongera Yanga nikiwa Kenya 🇰🇪
Aniceth Revocutus ni Moto Sana, Hongera yanga.
What a come back!, Viva Yanga.
Asante Yanga 💚💛💚💛💚💛
Always green and yellow
Safu yetu ya nyuma hamna kitu kabisa tunaruhusu sana magoli hasa kwa michezo miwili hii ya mwisho (wa Ruvu Shooting na Mwadui) uongozi wa timu unatakiwa kulifanyia kazi tatizo hili. #DaimaMbeleNyumaMwiko💚💛
I love you yangaaaaaa
Yang mbelee🔥🔥💯💯💯
Dah, kaseke hajaaman Kama ameshinda, hongera Sana wananchi wenzangu
🇦🇪 Dar Young Africans till die
Tk masta speed zake zinasaidiaa
Team ya wananchi daima mbele nyuma mwiko 👏
Tk master 🙌🙌🙌
Kaseke Fundiii🙌🏾🙌🏾
@paullucas840
3 жыл бұрын
umeona kama mm aisee
@husseinmohamed1777
3 жыл бұрын
@@paullucas840 Jamaa Toka aje Kaze kawa mtulivu sanaa Namkubali kinoma
Achainiuweeee nimeipenda mwenyeweeee I love Yanga
Ukubwa wa yanga ndyo huu sasa😂
Iliniumaaa sana jana mpaka dk za lala salamaaaa celew ila mpira dk 90 DAIMA MBELE NYUMA MWIKO
MAREFA WA TANZANIA WAPUMBAFU 'THAT WAS A DIRECT REDCARD ON FAI TOTO LAST MAN STANDING RULE
@ngassa1tv331
3 жыл бұрын
soka la bongo bado sanaa maana kama na wewe umeliona hilo duh hata mimi nililiona halafu na refa ameangalia tu duh
@saidmichael6029
3 жыл бұрын
Nakubaliana na wew Stacia nduta,
@hassanbinabdallah8496
3 жыл бұрын
Sio hawajui yanga inahujumiwa saana na tff nyie acheni tuuu jaman haki hakuna mpira wa bongo jaman caf mko waaaaaaapiiiiiiiiiiii
Hiyo penalty ilitakiwa irejewe kupigwa bcz goalkeeper hakuwa sehemu sahihi kabla penalty haijapigwa, sema waamuzi wetu ni shida
Highlight inachelewa jaman wengine hatuna tv
@jumakassim8718
3 жыл бұрын
Yanga wangefungwa kitambo ungeona mbwa sana hawa azam
@saidmichael6029
3 жыл бұрын
😀😀😀🙌🙌🙌🙌
Raha sana
Mh ila huyu kisinda huyu mmmmh
Ilove yangaaaaa
Polee mpenja kwakukaushwa saut na wananchi 😀😀
Come back ya kibabe daima mbele✊
Nice performance yanga forever
Wanao sema tumebebw waende fifa
Ha ha ha uyo wa blichi simwogopi, baraka unafurahisha sana
mimi shabiki wa yanga ila ilo goli la mwadui nimejikuta nashangilia
Walio rudia kuangalia haya magoli kama mm tujuane kwa like
Yanga ni motooo
The first goal love from kenya
naona kuna watu tumewakeeeeeeeeeeeeeerrrrrrrrrraaaaaaaa ma ex wetu wanapata tabu sana tusubirieni tarehe 3 kwa mkapa
Love yanga
Asante tk master
@subirasaidy3312
3 жыл бұрын
Of side gan
PIA WAKATI WA KUPIGA PENALTI GOAL KEEPER ALIPASWA KUSIMAMA KWA LAINI SI KWA NETI
@ngassa1tv331
3 жыл бұрын
dada mpira wa bonfo huo
@eliastephen2776
3 жыл бұрын
Hilo lilikuwa kosa lakini waamuzi wetu hawako makini
@mlengecastory9098
3 жыл бұрын
@@eliastephen2776 hapana kipa yupo sahihi unaruhusiwa kuingia ndani yaneti na kuuwahi mpira usingie ndani ingawaje ukipata wapigaji penalti wazuri kila siku unatakuwa unafungwa Feston alikosa umakini2
Fiston aondoke
Yangaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
What a comeback
Hivi mnajua kwa nini mwadui wamelia baada ya kupoteza? Shinyanga walikula 5 hawakulia ,FA wakala 2 hawakulia, kwa nini walie jana na huku wameshashuka daraja? Jibu ni kwamba kuna mkwanjwa kama hawakupewa basi waliahidiwa na vigogo wawili kwenye ligi😂😂😂😂
@hillarymustapha5252
3 жыл бұрын
Asante
@hindisaid2413
3 жыл бұрын
Kama nafahamu sasa🤣
@maryberege3093
3 жыл бұрын
Watu wameisha shuka daraja na hawaendi popote lakini pesa mwanaharamu sana. Wangekuwa wanacheza hivi kwa kila timu wanayo kutana nayo nafikiri katika msimamo wa ligi Wangekuwa 5. Naona mkwanja wa mo ndio umewafanya wacheze kwenye kiwango. Wamekwama ila wapewe hata ya maji
Tk mast ni moto
Nawapenda sana yanga nihatari sana
Yangaaaaaaa oyeeeeeeeee
Dah. Mechi utafikiri ni fainali. Naomba irudiweeeeee😂😂😂😂
goo gooo yanga😘😍😍😍
Yangaa hoyee
Yanga okoa nafs zetu tumechoka
@hamisimfaumenamwewe193
3 жыл бұрын
NAFSI ZENU OKOENI WENYEWE. KASALI UMUABUDU MUNGU YAWEH.
@erikimethod6246
3 жыл бұрын
Usiuparamie mchongoma mdogo wang
@erikimethod6246
3 жыл бұрын
@@hamisimfaumenamwewe193 usiuparamie mchongoma mdogo wangu
Waaaaaaaaaaaoooooooo hongela kwa yanga
Mwadui wana sifa sana kwahiyo walikua wanataka washinde ili iweje wakati washashuka daraja sifa tuu
Yanga ni moto jamani
Ilove u yanga
I love you yanga
We junior wee-wee!
Big up kwa tk
Hahahah wangapi tumesikia passy yakuombea mkoko bank yeyote ila yanga timu kubwa bwana
@salamasaidi6620
3 жыл бұрын
Tangu lini 😆😆😆😆
Yanga Daima
This is yanga
Mwadui mkome kuchezea ndevu za baba zenu pumbavu nyie hamna adabu kabisa
Atari 🔥🙌 🔥🔥🔥🔥
@ommy551
3 жыл бұрын
Salima mbali na match m nmekupenda
@josephemanuel6955
2 жыл бұрын
Ker
Wangapi tumeirudia hii match 2024?
Yanga achaneni na huyo fiston na sarpong hawana kitu, na mzawa wazir jr apewe mechi nyingi ni goal getter mzuri tunamjua tatizo hapewi nafasi...
@aberisichone4424
3 жыл бұрын
Irudiwe nyau fc hawajaoma
Yanga mtatuuwa jaman
Kisinda hatakama afungi lakini kuna kitu unakiona
@rehemasimon2908
3 жыл бұрын
Sanaa namupenda bule💚💚💚
Congratulations yanga
Wananchi Hadi raha
Hadi sauti imemkauka mpenja jamani yanga raha sana wanatisha sana hao ndo wanainchi banah nani kama yanga ndani ya dk 2 na sekunde 35 magoli mawili hatari sana
Tunaiomba hii team tarehe 3 jamani, tunaomba sana
@mandelatv7834
3 жыл бұрын
Tunakuja tumeshajipanga
yanga hatry
Pasi ya kuombea mkopo bank🤣🤣🤣
Kaz ilikua kaz Ila ndyo ivyo mpira umetisha.Wananchi 3 Wachimba madini 2.
@ismailkatala4792
3 жыл бұрын
Masiingie tu na matokeo yako uwanjani hiyo tarehe 3....itawagharimu.
💚💛💚💛by iniesta
Love yang
Azam tv tuekeeni highlights basi
Najifunza kitu hapa hata kwenye maisha kutanguria si kufika
Huyo Fiston aondoke tuu na mwenzie Sapong....huyu Waziri kama hapati nafasi tumtoe kwa mkopo aende KMC muna vijana wenzake pale atafanya vizur kuliko kumweka benchi..hii ni mechi ya pili anaingizwa na kufanya makubwa..
@qavoryope6525
3 жыл бұрын
Goli la kwanz yye nd kasabsh foul ...kukosa penat n ajli tu
Sana sana
Tunaposema Yanga SC ni timu ya wananchi hii ndio maana yake! Wengine wanatakiwa kuwa na ADABU!
Of said
Kisinda kutafuta gori la 3 kakimbia nazani ali fungua turbo 🤣👏
Hao ndowananchi
Mamae
Daaa hiii ndo yanga bhana
Halaaa Yanga
Kama mumeshashuka daraja nini kinachokusikitisheni?
Bonge LA bao kutoka kwa mwadui
Atar na nusu wananchi