Magoli: Yanga walivyopindua matokeo na kuipiga Mwadui 3-2 kwa Mkapa - VPL 20/06/2021

Спорт

YANGA 3-2 MWADUI: Yanga SC wamezitumia dakika nne za nyongeza kupata magoli mawili muhimu yaliyowapa ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Mwadui FC katika mchezo wa ligi kuu uliopigwa kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.
Magoli ya Yanga yamefungwa na Bakari Mwamnyeto, Yacouba Songne na Wazir Junior wakati magoli yote mawili ya Mwadui yakifungwa na Aniceth Revocatus.
Katika hatua nyingine, Fiston Abdoulrazack wa Yanga amekosa penati kwenye mchezo huu, iliyopanguliwa na golikipa Mussa Mbisa.
Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:-
►INSTAGRAM: / azamtvtz
►INSTAGRAM: / azamsports2
►TWITTER: / azamtvtz
►FACEBOOK: / azamtvtz
►WEBSITE: www.azamtv.co.tz

Пікірлер: 538

  • @ednathad5476
    @ednathad54763 жыл бұрын

    Mtangazaji yanga wamejua kukukausha sauti leo.... hii ndo timu ya wananchi buana 💚💛

  • @mandelatv7834
    @mandelatv78343 жыл бұрын

    Yanga naikubali miaka mia... mungu ibariki yanga mungu ibariki yanga amina

  • @omaryrashird7879

    @omaryrashird7879

    3 жыл бұрын

    Amina

  • @mercymoshi3666

    @mercymoshi3666

    3 жыл бұрын

    Amen

  • @jumakassim8718

    @jumakassim8718

    3 жыл бұрын

    Amina

  • @youngndekwatz5131
    @youngndekwatz51313 жыл бұрын

    Safi sana wananchi najua kuna watu wanaumizwa na aya matokeo vumilieni hii ndo yanga ndugu zangu team ya wananchi💪💪

  • @j.s.nyerere2837
    @j.s.nyerere28373 жыл бұрын

    Naona watu wanamfurahiya mfungaj bila kuona juhud za TK master, tazama magori yote mawili ya mwisho yametoka miguuni mwake. Mm man of the match ni TK

  • @joandaniel9757
    @joandaniel97573 жыл бұрын

    Daima mbele nyuma mwiko i love you young Africans

  • @ip_header
    @ip_header3 жыл бұрын

    Hii ndio inaitwa Fighting spirit, hakuna kukubaki mpka mwisho, daima mbele nyuma mwiko

  • @asteriabrown1101
    @asteriabrown11013 жыл бұрын

    Yanga naikubali sanaa💚

  • @saidyoriyori9697
    @saidyoriyori96973 жыл бұрын

    tulie ludia kuangalia ili gem tujuane apa

  • @sumahtanzania4991
    @sumahtanzania49913 жыл бұрын

    Yanga oyeee raha sana ukiwa mwananchi

  • @hassanparamana2215
    @hassanparamana22153 жыл бұрын

    Yaani kama ningekuwepo mimi uwanja lile goli la waziri nisinge endelea kusimama ningekaa kwenye kiti changu kisha nika piga booongeeee moja la selfie kisha naenda kuombea mkopo benk bila dhamana big up 👏 chama langu pamoja sana 🇦🇪🇹🇿

  • @wilonjahatua2067
    @wilonjahatua20673 жыл бұрын

    Tuliipenda wenyewe ilove yangaaaaaaa

  • @fadhilimartin9466

    @fadhilimartin9466

    3 жыл бұрын

    Kipa alisi Mama nyuma ya mstari Makosa sana ingetakiwa kwenye mstari Rafa hakuona makosa hayo

  • @wilonjahatua2067

    @wilonjahatua2067

    3 жыл бұрын

    @@fadhilimartin9466 sure

  • @mercymoshi3666
    @mercymoshi36663 жыл бұрын

    Huku ndio kupndua meza kibabe, YANGA FOR LIFE 💚💛💚💛💚💛💚💛🔥🔥🔥🔥🔥🔥💪💪💪💪💪💪💪💪💪💛💛💛💛💚💚💚💚💚

  • @Edward_Simon6

    @Edward_Simon6

    3 жыл бұрын

    Haha matokeo hayo na timu inayshuka daraja mmeponea chupu chupu

  • @mercymoshi3666

    @mercymoshi3666

    3 жыл бұрын

    @@Edward_Simon6 unateseka ukiwa wapi?!!😂😂😂😂😂halaf ww ulimfunga ngapi?!!!ENDELEA KUTESEKA MTANI

  • @abdullaothman3772

    @abdullaothman3772

    3 жыл бұрын

    @@Edward_Simon6 kwani timu ikiwa inashuka daraja huwa haichezi mpira?

  • @ezekielemanuel8217
    @ezekielemanuel82173 жыл бұрын

    This is yanga what we need!! 💪💪💪

  • @nurungole3961
    @nurungole39613 жыл бұрын

    Poleni na uchovu viongozi na wachezaji na mashabiki wenzangu na yanga. Naomba neno niseme nawaomba wachezaji wetu msiudharau mpira ukiwa kwa Adui msimuongezee hatua mumzibe kwa kumpunguzia hatua. Nasisi mashabiki tuwe wapole kwa wachezaji wetu kipindi wanapokuwa uwanjani hata kama wamekosea wakimaliza tuwaelekeze viongozi. Kuna kupanik ukishtuliwa ndio tunapoteana. Mungu isaidie yanga yetu.

  • @sportssite8011
    @sportssite80113 жыл бұрын

    Hongera Yanga nikiwa Kenya 🇰🇪

  • @alexkihongola798
    @alexkihongola7983 жыл бұрын

    Aniceth Revocutus ni Moto Sana, Hongera yanga.

  • @daudkihava8528
    @daudkihava85283 жыл бұрын

    What a come back!, Viva Yanga.

  • @zulekhabaksh686
    @zulekhabaksh6863 жыл бұрын

    Asante Yanga 💚💛💚💛💚💛

  • @daedadaudi8388
    @daedadaudi83883 жыл бұрын

    Always green and yellow

  • @FourTeen_Kiid
    @FourTeen_Kiid3 жыл бұрын

    Safu yetu ya nyuma hamna kitu kabisa tunaruhusu sana magoli hasa kwa michezo miwili hii ya mwisho (wa Ruvu Shooting na Mwadui) uongozi wa timu unatakiwa kulifanyia kazi tatizo hili. #DaimaMbeleNyumaMwiko💚💛

  • @sadarashid511
    @sadarashid5113 жыл бұрын

    I love you yangaaaaaa

  • @dogoshazzy761
    @dogoshazzy7613 жыл бұрын

    Yang mbelee🔥🔥💯💯💯

  • @laghtnesphilipo489
    @laghtnesphilipo4893 жыл бұрын

    Dah, kaseke hajaaman Kama ameshinda, hongera Sana wananchi wenzangu

  • @adjussahkindamba3111
    @adjussahkindamba31113 жыл бұрын

    🇦🇪 Dar Young Africans till die

  • @salehali1136
    @salehali11363 жыл бұрын

    Tk masta speed zake zinasaidiaa

  • @samdemainer2432
    @samdemainer24323 жыл бұрын

    Team ya wananchi daima mbele nyuma mwiko 👏

  • @antonymsalilwa7180
    @antonymsalilwa71803 жыл бұрын

    Tk master 🙌🙌🙌

  • @husseinmohamed1777
    @husseinmohamed17773 жыл бұрын

    Kaseke Fundiii🙌🏾🙌🏾

  • @paullucas840

    @paullucas840

    3 жыл бұрын

    umeona kama mm aisee

  • @husseinmohamed1777

    @husseinmohamed1777

    3 жыл бұрын

    @@paullucas840 Jamaa Toka aje Kaze kawa mtulivu sanaa Namkubali kinoma

  • @mattanofficemusc3535
    @mattanofficemusc35353 жыл бұрын

    Achainiuweeee nimeipenda mwenyeweeee I love Yanga

  • @samdemainer2432
    @samdemainer24323 жыл бұрын

    Ukubwa wa yanga ndyo huu sasa😂

  • @johnsonlyakurwa2023
    @johnsonlyakurwa20233 жыл бұрын

    Iliniumaaa sana jana mpaka dk za lala salamaaaa celew ila mpira dk 90 DAIMA MBELE NYUMA MWIKO

  • @stacianduta4079
    @stacianduta40793 жыл бұрын

    MAREFA WA TANZANIA WAPUMBAFU 'THAT WAS A DIRECT REDCARD ON FAI TOTO LAST MAN STANDING RULE

  • @ngassa1tv331

    @ngassa1tv331

    3 жыл бұрын

    soka la bongo bado sanaa maana kama na wewe umeliona hilo duh hata mimi nililiona halafu na refa ameangalia tu duh

  • @saidmichael6029

    @saidmichael6029

    3 жыл бұрын

    Nakubaliana na wew Stacia nduta,

  • @hassanbinabdallah8496

    @hassanbinabdallah8496

    3 жыл бұрын

    Sio hawajui yanga inahujumiwa saana na tff nyie acheni tuuu jaman haki hakuna mpira wa bongo jaman caf mko waaaaaaapiiiiiiiiiiii

  • @abdullaothman3772
    @abdullaothman37723 жыл бұрын

    Hiyo penalty ilitakiwa irejewe kupigwa bcz goalkeeper hakuwa sehemu sahihi kabla penalty haijapigwa, sema waamuzi wetu ni shida

  • @somoesalumu7600
    @somoesalumu76003 жыл бұрын

    Highlight inachelewa jaman wengine hatuna tv

  • @jumakassim8718

    @jumakassim8718

    3 жыл бұрын

    Yanga wangefungwa kitambo ungeona mbwa sana hawa azam

  • @saidmichael6029

    @saidmichael6029

    3 жыл бұрын

    😀😀😀🙌🙌🙌🙌

  • @charlesndege1446
    @charlesndege14463 жыл бұрын

    Raha sana

  • @gilgalwaryoba5735
    @gilgalwaryoba57353 жыл бұрын

    Mh ila huyu kisinda huyu mmmmh

  • @paulomollel8179
    @paulomollel81793 жыл бұрын

    Ilove yangaaaaa

  • @twahirumtunguja4136
    @twahirumtunguja41363 жыл бұрын

    Polee mpenja kwakukaushwa saut na wananchi 😀😀

  • @mansoolpapalah9537
    @mansoolpapalah95373 жыл бұрын

    Come back ya kibabe daima mbele✊

  • @saidmichael6029
    @saidmichael60293 жыл бұрын

    Nice performance yanga forever

  • @elliky2wo2wo95
    @elliky2wo2wo953 жыл бұрын

    Wanao sema tumebebw waende fifa

  • @jumashaban1519
    @jumashaban15193 жыл бұрын

    Ha ha ha uyo wa blichi simwogopi, baraka unafurahisha sana

  • @losa4976
    @losa49763 жыл бұрын

    mimi shabiki wa yanga ila ilo goli la mwadui nimejikuta nashangilia

  • @waziriadam6481
    @waziriadam64813 жыл бұрын

    Walio rudia kuangalia haya magoli kama mm tujuane kwa like

  • @biddii1972
    @biddii19723 жыл бұрын

    Yanga ni motooo

  • @Regismwungura2000
    @Regismwungura20003 жыл бұрын

    The first goal love from kenya

  • @justrex101
    @justrex1013 жыл бұрын

    naona kuna watu tumewakeeeeeeeeeeeeeerrrrrrrrrraaaaaaaa ma ex wetu wanapata tabu sana tusubirieni tarehe 3 kwa mkapa

  • @yangatvmedia3995
    @yangatvmedia39953 жыл бұрын

    Love yanga

  • @georgemgawe9715
    @georgemgawe97153 жыл бұрын

    Asante tk master

  • @subirasaidy3312

    @subirasaidy3312

    3 жыл бұрын

    Of side gan

  • @stacianduta4079
    @stacianduta40793 жыл бұрын

    PIA WAKATI WA KUPIGA PENALTI GOAL KEEPER ALIPASWA KUSIMAMA KWA LAINI SI KWA NETI

  • @ngassa1tv331

    @ngassa1tv331

    3 жыл бұрын

    dada mpira wa bonfo huo

  • @eliastephen2776

    @eliastephen2776

    3 жыл бұрын

    Hilo lilikuwa kosa lakini waamuzi wetu hawako makini

  • @mlengecastory9098

    @mlengecastory9098

    3 жыл бұрын

    @@eliastephen2776 hapana kipa yupo sahihi unaruhusiwa kuingia ndani yaneti na kuuwahi mpira usingie ndani ingawaje ukipata wapigaji penalti wazuri kila siku unatakuwa unafungwa Feston alikosa umakini2

  • @dougrastoto5569
    @dougrastoto55693 жыл бұрын

    Fiston aondoke

  • @sarahyanga2557
    @sarahyanga25573 жыл бұрын

    Yangaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

  • @peterkamara5911
    @peterkamara59113 жыл бұрын

    What a comeback

  • @onesmojustice2348
    @onesmojustice23483 жыл бұрын

    Hivi mnajua kwa nini mwadui wamelia baada ya kupoteza? Shinyanga walikula 5 hawakulia ,FA wakala 2 hawakulia, kwa nini walie jana na huku wameshashuka daraja? Jibu ni kwamba kuna mkwanjwa kama hawakupewa basi waliahidiwa na vigogo wawili kwenye ligi😂😂😂😂

  • @hillarymustapha5252

    @hillarymustapha5252

    3 жыл бұрын

    Asante

  • @hindisaid2413

    @hindisaid2413

    3 жыл бұрын

    Kama nafahamu sasa🤣

  • @maryberege3093

    @maryberege3093

    3 жыл бұрын

    Watu wameisha shuka daraja na hawaendi popote lakini pesa mwanaharamu sana. Wangekuwa wanacheza hivi kwa kila timu wanayo kutana nayo nafikiri katika msimamo wa ligi Wangekuwa 5. Naona mkwanja wa mo ndio umewafanya wacheze kwenye kiwango. Wamekwama ila wapewe hata ya maji

  • @biddii1972
    @biddii19723 жыл бұрын

    Tk mast ni moto

  • @georgeevance2896
    @georgeevance28963 жыл бұрын

    Nawapenda sana yanga nihatari sana

  • @zahrainuleidi2101
    @zahrainuleidi21013 жыл бұрын

    Yangaaaaaaa oyeeeeeeeee

  • @happyshayo372
    @happyshayo3723 жыл бұрын

    Dah. Mechi utafikiri ni fainali. Naomba irudiweeeeee😂😂😂😂

  • @DiboyHDsports
    @DiboyHDsports3 жыл бұрын

    goo gooo yanga😘😍😍😍

  • @saudajuma4409
    @saudajuma44093 жыл бұрын

    Yangaa hoyee

  • @erikimethod6246
    @erikimethod62463 жыл бұрын

    Yanga okoa nafs zetu tumechoka

  • @hamisimfaumenamwewe193

    @hamisimfaumenamwewe193

    3 жыл бұрын

    NAFSI ZENU OKOENI WENYEWE. KASALI UMUABUDU MUNGU YAWEH.

  • @erikimethod6246

    @erikimethod6246

    3 жыл бұрын

    Usiuparamie mchongoma mdogo wang

  • @erikimethod6246

    @erikimethod6246

    3 жыл бұрын

    @@hamisimfaumenamwewe193 usiuparamie mchongoma mdogo wangu

  • @mabeyobarnabas
    @mabeyobarnabas2 жыл бұрын

    Waaaaaaaaaaaoooooooo hongela kwa yanga

  • @agustinoapolinar1623
    @agustinoapolinar16233 жыл бұрын

    Mwadui wana sifa sana kwahiyo walikua wanataka washinde ili iweje wakati washashuka daraja sifa tuu

  • @wisesanga9085
    @wisesanga90853 жыл бұрын

    Yanga ni moto jamani

  • @anneonyesha1837
    @anneonyesha18373 жыл бұрын

    Ilove u yanga

  • @benjaminomary5307
    @benjaminomary53072 жыл бұрын

    I love you yanga

  • @mariammuya5177
    @mariammuya51773 жыл бұрын

    We junior wee-wee!

  • @aliabdallah5396
    @aliabdallah53963 жыл бұрын

    Big up kwa tk

  • @ramcdkunyenda8477
    @ramcdkunyenda84773 жыл бұрын

    Hahahah wangapi tumesikia passy yakuombea mkoko bank yeyote ila yanga timu kubwa bwana

  • @salamasaidi6620

    @salamasaidi6620

    3 жыл бұрын

    Tangu lini 😆😆😆😆

  • @mhinazishi2331
    @mhinazishi23313 жыл бұрын

    Yanga Daima

  • @magrethmartin199
    @magrethmartin1993 жыл бұрын

    This is yanga

  • @immatheboytz5626
    @immatheboytz56263 жыл бұрын

    Mwadui mkome kuchezea ndevu za baba zenu pumbavu nyie hamna adabu kabisa

  • @Prosper_vevoo
    @Prosper_vevoo3 жыл бұрын

    Atari 🔥🙌 🔥🔥🔥🔥

  • @ommy551

    @ommy551

    3 жыл бұрын

    Salima mbali na match m nmekupenda

  • @josephemanuel6955

    @josephemanuel6955

    2 жыл бұрын

    Ker

  • @edibilychaula.3753
    @edibilychaula.375313 күн бұрын

    Wangapi tumeirudia hii match 2024?

  • @wilsonm.7376
    @wilsonm.73763 жыл бұрын

    Yanga achaneni na huyo fiston na sarpong hawana kitu, na mzawa wazir jr apewe mechi nyingi ni goal getter mzuri tunamjua tatizo hapewi nafasi...

  • @aberisichone4424

    @aberisichone4424

    3 жыл бұрын

    Irudiwe nyau fc hawajaoma

  • @edomkyamba3988
    @edomkyamba39882 жыл бұрын

    Yanga mtatuuwa jaman

  • @agustinoapolinar1623
    @agustinoapolinar16233 жыл бұрын

    Kisinda hatakama afungi lakini kuna kitu unakiona

  • @rehemasimon2908

    @rehemasimon2908

    3 жыл бұрын

    Sanaa namupenda bule💚💚💚

  • @omaryrashird7879
    @omaryrashird78793 жыл бұрын

    Congratulations yanga

  • @willyishengoma6578
    @willyishengoma65783 жыл бұрын

    Wananchi Hadi raha

  • @waziriadam6481
    @waziriadam64813 жыл бұрын

    Hadi sauti imemkauka mpenja jamani yanga raha sana wanatisha sana hao ndo wanainchi banah nani kama yanga ndani ya dk 2 na sekunde 35 magoli mawili hatari sana

  • @arnoldchristian7971
    @arnoldchristian79713 жыл бұрын

    Tunaiomba hii team tarehe 3 jamani, tunaomba sana

  • @mandelatv7834

    @mandelatv7834

    3 жыл бұрын

    Tunakuja tumeshajipanga

  • @sospeterwilson1358
    @sospeterwilson13583 жыл бұрын

    yanga hatry

  • @gratifymwanga154
    @gratifymwanga1542 жыл бұрын

    Pasi ya kuombea mkopo bank🤣🤣🤣

  • @chimpaanamtemawingo6355
    @chimpaanamtemawingo63553 жыл бұрын

    Kaz ilikua kaz Ila ndyo ivyo mpira umetisha.Wananchi 3 Wachimba madini 2.

  • @ismailkatala4792

    @ismailkatala4792

    3 жыл бұрын

    Masiingie tu na matokeo yako uwanjani hiyo tarehe 3....itawagharimu.

  • @suleymanisalum2361
    @suleymanisalum23613 жыл бұрын

    💚💛💚💛by iniesta

  • @J4UPro
    @J4UPro3 жыл бұрын

    Love yang

  • @charitymkombozi1800
    @charitymkombozi18003 жыл бұрын

    Azam tv tuekeeni highlights basi

  • @user-pb5gd7uy8o
    @user-pb5gd7uy8o6 ай бұрын

    Najifunza kitu hapa hata kwenye maisha kutanguria si kufika

  • @eliastephen2776
    @eliastephen27763 жыл бұрын

    Huyo Fiston aondoke tuu na mwenzie Sapong....huyu Waziri kama hapati nafasi tumtoe kwa mkopo aende KMC muna vijana wenzake pale atafanya vizur kuliko kumweka benchi..hii ni mechi ya pili anaingizwa na kufanya makubwa..

  • @qavoryope6525

    @qavoryope6525

    3 жыл бұрын

    Goli la kwanz yye nd kasabsh foul ...kukosa penat n ajli tu

  • @juxmwamlenga8087
    @juxmwamlenga80873 жыл бұрын

    Sana sana

  • @robertbutahe2835
    @robertbutahe28353 жыл бұрын

    Tunaposema Yanga SC ni timu ya wananchi hii ndio maana yake! Wengine wanatakiwa kuwa na ADABU!

  • @patricklembeli8523
    @patricklembeli85233 жыл бұрын

    Of said

  • @jamesmahatane2723
    @jamesmahatane27232 жыл бұрын

    Kisinda kutafuta gori la 3 kakimbia nazani ali fungua turbo 🤣👏

  • @edukila8539
    @edukila85393 жыл бұрын

    Hao ndowananchi

  • @rehemajoseph8402
    @rehemajoseph84023 жыл бұрын

    Mamae

  • @hawamussa6379
    @hawamussa63793 жыл бұрын

    Daaa hiii ndo yanga bhana

  • @nationboy2541
    @nationboy25413 жыл бұрын

    Halaaa Yanga

  • @hindisaid2413
    @hindisaid24132 жыл бұрын

    Kama mumeshashuka daraja nini kinachokusikitisheni?

  • @rasullabdul1634
    @rasullabdul16343 жыл бұрын

    Bonge LA bao kutoka kwa mwadui

  • @maulidiisihaqa8446
    @maulidiisihaqa84463 жыл бұрын

    Atar na nusu wananchi

Келесі