ALLIANCE FC 1-1 YANGA SC (P:3-4): MAGOLI NA MIKWAJU YA PENATI (ASFC - 30/3/2019)

Спорт

Yanga SC imekuwa timu ya mwisho kutinga hatua ya nusu fainali ya Kombe la Shirikisho la Azam Sports (ASFC) baada ya kuitupa nje Alliance FC ya jijini Mwanza kwa mikwaju ya penati 4-3 kufuatia dakika 90 kumalizika kwa sare ya bao 1-1.
Yanga ndiyo waliotangulia kupata bao kupitia kwa Heritier Makambo dakika ya 38 akimalizia pasi ya Pius Buswita, lakini Alliance wakasawazisha kipindi cha pili kupitia kwa Joseph James akimalizia mpira wa adhabu ndogo uliopigwa na Godlove Mdumule dakika ya 62.
Baada ya dakika 90, ikapigwa mikwaju ya penati ambapo kati ya penati sita kwa kila timu, Yanga ilipata penati mbili huku Alliance wakifunga penati tatu.
Waliofunga penati kwa upande wa Yanga ni Paul Godfrey, Thabani Kamusoko, Haruna Moshi na Deusi Kaseke huku Kelvin Yondan na Mrisho Ngassa wakikosa penati zao.
Kwa upande wa Alliance, waliofunga penati ni James Joseph, Geofrey Luseke na Sameer Vicent huku Martin Kiggi, Dickson Ambundo na Siraji Juma wakikosa penati zao na kipa wa Yanga Klaus Kindoki kuibuka shujaa kwa kuokoa penati mbili ikiwemo ya mwisho iliyowapa ushindi.
Yanga sasa itacheza na Lipuli FC kwenye hatua ya nusu fainali huku Azam FC wakiwa wenyeji wa KMC FC.

Пікірлер: 225

  • @sasmasanja1729
    @sasmasanja17295 жыл бұрын

    Hongera Vijana wetu wa Dar Young Africans Sports club kwa kupambana na hatimaye kupata ushindi

  • @pongwasuleiman1750

    @pongwasuleiman1750

    5 жыл бұрын

    .

  • @hajimakame7554
    @hajimakame75545 жыл бұрын

    if yuu Love yanga gonga like

  • @NmgNelly

    @NmgNelly

    5 жыл бұрын

    Nc

  • @nurdinlopa6317
    @nurdinlopa63175 жыл бұрын

    Nice Kindoki kaza bhana ugali utaingia soon hapo Yanga

  • @josephinejoseph3919
    @josephinejoseph39195 жыл бұрын

    Yanga bana adi raha asante Mungu asante kindoki asante yanga African

  • @evachriss5906
    @evachriss59065 жыл бұрын

    Kama kindokii kakufulaisha kama mimi gonga like

  • @allyshaibu254

    @allyshaibu254

    5 жыл бұрын

    Tuko pamoja

  • @samsonmtwana4881

    @samsonmtwana4881

    5 жыл бұрын

    Sana

  • @treykayuka3842

    @treykayuka3842

    5 жыл бұрын

    ï

  • @mariamwilliam5167

    @mariamwilliam5167

    5 жыл бұрын

    Waoooo

  • @nasramussa8094

    @nasramussa8094

    5 жыл бұрын

    Eva Chriss

  • @yariluhwago9988
    @yariluhwago99885 жыл бұрын

    KINDOKIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII, mwanzon walikudharau lakin saiz watakuheshimu. yanga mbele nyuma mwiko. HODI IRINGA

  • @zajosjohn2232

    @zajosjohn2232

    5 жыл бұрын

    Kamwene

  • @robertsamuel7542

    @robertsamuel7542

    4 жыл бұрын

    Jamani jitahidini makambo arudi mapema

  • @sabinajames6539
    @sabinajames65395 жыл бұрын

    Naipenda yanga

  • @kidawakessi9109

    @kidawakessi9109

    5 жыл бұрын

    Chevuuu

  • @josephkapinga652

    @josephkapinga652

    5 жыл бұрын

    Nakupenda kwa kuwa unaipenda yanga

  • @sabinajames6539

    @sabinajames6539

    5 жыл бұрын

    Asante

  • @williambenson7361

    @williambenson7361

    5 жыл бұрын

    Yanga nomaaa

  • @luckpalanja9189

    @luckpalanja9189

    5 жыл бұрын

    0787533714

  • @sarahkingu7738
    @sarahkingu77385 жыл бұрын

    NAKWELI WANAHISI KUTETEMEKA HAOOOO....mtoto halali na pesa bhanaaa😃😃😘😗😍

  • @rowdyrondarouseyfire9476
    @rowdyrondarouseyfire94765 жыл бұрын

    Watu wanateseka saa Hii!! Wananchi wala hatulizwi na Watto. YANGA NI FIRE.

  • @fatumarajabu810
    @fatumarajabu8105 жыл бұрын

    Mtangazajii safiii mnoo

  • @maphieemanuel3137
    @maphieemanuel31375 жыл бұрын

    Mm ananikosha sana anavyotangaza mpenja kama unamkubali gonga like

  • @gumbomichael3310

    @gumbomichael3310

    3 жыл бұрын

    Yes woanday

  • @jojo_linkissabiny5238
    @jojo_linkissabiny52385 жыл бұрын

    Asanteni yanga yangu

  • @erickepimack9417

    @erickepimack9417

    5 жыл бұрын

    jojo _linkiss Abiny nikweli

  • @godlistenxafxanambwambo6917

    @godlistenxafxanambwambo6917

    5 жыл бұрын

    Unaipenda yanga

  • @lestonmsungu4714

    @lestonmsungu4714

    5 жыл бұрын

    Saf sana

  • @machogoldmachogote306

    @machogoldmachogote306

    5 жыл бұрын

    Poakabisa

  • @innosentpaulo4710

    @innosentpaulo4710

    5 жыл бұрын

    kwel

  • @karimmohamed8657
    @karimmohamed86575 жыл бұрын

    alie ona yanga mbili pamoja sana

  • @nkingwaa.charles7738
    @nkingwaa.charles77385 жыл бұрын

    Man of the match kindoki

  • @nkingwaa.charles7738
    @nkingwaa.charles77385 жыл бұрын

    Go on my team mdogomdogo tu tutafika, tunafukuza mwizi kimyakimya

  • @hazzlechazzle1786
    @hazzlechazzle17865 жыл бұрын

    nakupenda daima my team oyeeeeeeeeee

  • @sosomacharles2422

    @sosomacharles2422

    5 жыл бұрын

    Mpenja ww noma unashelehesha

  • @trecyeddie4064
    @trecyeddie40645 жыл бұрын

    #jiwe_walio_likataa_waac_leo_lime_kuwa_jiwe_kubwa!!!!!@barak_mpenja😀😀😀😀

  • @man.lule.585

    @man.lule.585

    5 жыл бұрын

    Yanga kuna wachezaji wa Alliance tuwasajili maana ni wazuri sana pamoja na mbao FC na Lipuli.

  • @williambenson7361
    @williambenson73615 жыл бұрын

    mwenye wivu ajinyonge YANGA OYEE ndo timu ya wananchi

  • @nasrasuleiman2552

    @nasrasuleiman2552

    5 жыл бұрын

    Mikia fc naona wanateseka

  • @zakariatiba312

    @zakariatiba312

    5 жыл бұрын

    william benson

  • @lameckmkula1482

    @lameckmkula1482

    5 жыл бұрын

    Yanga kaka

  • @abdalahmnyawi7156
    @abdalahmnyawi71565 жыл бұрын

    Nyota ya Kindoki imeng'aaaaaa!!!

  • @mustaphaismail3545
    @mustaphaismail35455 жыл бұрын

    Mpenja nakubali sana unajuwa kutangaza bro keep it up......Haha haha haha hayo maumivu unayopata ni kwa sababu ya matokeo ya yanga....😂😂😂😂😂

  • @raycaramzan2567
    @raycaramzan25675 жыл бұрын

    Kindoki umenikosha. Walikusema sana sasa leo umewaonesha ww ni kindoki konk konk konk kindoki

  • @abdulsalum6375
    @abdulsalum63755 жыл бұрын

    hodii hodiiii lipuli twaja tena

  • @mrishomaneno3444
    @mrishomaneno34445 жыл бұрын

    Kama ulisikia mtangazaji akisema: nani amekuambia alliance ni wanafunzi ; gonga like

  • @mishaelmisana1973
    @mishaelmisana19735 жыл бұрын

    Ongera sana yanga

  • @mikaelimgawe1682
    @mikaelimgawe16825 жыл бұрын

    Kindoki gari limewaka!

  • @francessinkala1756

    @francessinkala1756

    5 жыл бұрын

    Mikia fc na msemaji wao wanateseka

  • @tysoniisantah1306
    @tysoniisantah13065 жыл бұрын

    Love yng mambo ndo Ayo Sasa

  • @boxermtambo4292

    @boxermtambo4292

    5 жыл бұрын

    yanga laha

  • @malickhabibu1112
    @malickhabibu11125 жыл бұрын

    Hizi Fine tff c mnunue nyavu jaman

  • @chrismillesmacha4899
    @chrismillesmacha48995 жыл бұрын

    Asante yanga yetu kwa kutupa furaha....Yanga mbele nyuma mwiko

  • @saikalyasi7281
    @saikalyasi72815 жыл бұрын

    3on trending, mechi za yanga ndo zinatazamwa zaidi you tube ligi ya TPL

  • @hamismambo3274
    @hamismambo32745 жыл бұрын

    Hiyo ndo yangaaaaaaaaaaaaa

  • @oswardmahenge6047
    @oswardmahenge60475 жыл бұрын

    aseeeeeh kindokiii fundiii uongo zambiiii hujaaa jamaa AKIONDOKA ATAKUMBUKWA SANAA

  • @cuthbertzillale6136
    @cuthbertzillale61365 жыл бұрын

    Ukijiona bora na ukasusa wengine wanakula na maisha yanaendelea..welldone makipa wetu kazeni tufikie lengo

  • @dionistindwa7429
    @dionistindwa74295 жыл бұрын

    MBENJAAA NI NOMAAA.....HAKIK WW NI MSHEEREEHESHAAAJIIII

  • @haibasalehe3568
    @haibasalehe35685 жыл бұрын

    Makambooooo

  • @kaijagekahwa2671

    @kaijagekahwa2671

    5 жыл бұрын

    Wamuache uyo makambo na fei toto hoyeeee

  • @haibasalehe3568

    @haibasalehe3568

    5 жыл бұрын

    @@kaijagekahwa2671 hoyeeeee wanapambana sanaaa

  • @dullayusuph2199
    @dullayusuph21995 жыл бұрын

    Usijalibu kufata uhai nibola pengine hahaha

  • @mukhsmaujanja6416
    @mukhsmaujanja64165 жыл бұрын

    sauti ya huyu mtangazaji hatar nilikuwa spend kuangalia mipira ya kibongo ..lakin sasa naipenda kwa utangazaj huu

  • @philbertalfred9454
    @philbertalfred94545 жыл бұрын

    Bao kali sana

  • @mwemezipaschal5750
    @mwemezipaschal57505 жыл бұрын

    Asante Papaa Kindoki

  • @allyshomali7215
    @allyshomali72155 жыл бұрын

    makambo ni motoooo

  • @patricksamwel8834
    @patricksamwel88345 жыл бұрын

    TFF hizo pesa za fine mnapelekaga wapi ??? zingine tumieni kununua net bwana

  • @theofredykangwana1641

    @theofredykangwana1641

    3 жыл бұрын

    yanga oyeeeee

  • @Johnjoo196
    @Johnjoo1965 жыл бұрын

    Uyo ndo kindoki Ba mutu ba kongo

  • @nenonakweli7549

    @nenonakweli7549

    5 жыл бұрын

    Anna cha kindoki

  • @jastinfussi4875
    @jastinfussi48755 жыл бұрын

    Kaka unanifanya Nini kufa na ukome 😁😁😁😁Atari faya mtangazaji

  • @stephanopetro1922
    @stephanopetro19225 жыл бұрын

    Huyo ndo kindoki,,, tuleyemtaka wananchiiiiii,,,,, nguvu ya jerooo mpaka ubingwaaaaa,,,, clausi kindoki man of the mechi,,,, waooooooh,,,,!!! Hodiiii wana paluhengoo,,,

  • @fredrickwcbmbeyasiriboy4418
    @fredrickwcbmbeyasiriboy44185 жыл бұрын

    Good kindoki miss you brother

  • @jassonjasckson2766
    @jassonjasckson27665 жыл бұрын

    Barkampenja nakukubali MC no.1

  • @daudhenry8909
    @daudhenry89095 жыл бұрын

    Nzuriiii

  • @salmaomary2100
    @salmaomary21005 жыл бұрын

    Goal la makambo ni Zuri kwa kwel

  • @ramiaomary4277
    @ramiaomary42775 жыл бұрын

    Naipenda yanga toka kipindi nakaa kariakoo na mchezaji anaitwa skinde mbunga # kindoki kipa wangu nakuomba punguza asila kwani ukiwa mvumilivu wewe ni bora

  • @greatthinker370
    @greatthinker3705 жыл бұрын

    Yawezekana Ni kweli kuna kupigana misumali mbn Ckuhizi Kindoki anadaka Vizuri..🤔🤔

  • @dunstangeorge3263

    @dunstangeorge3263

    5 жыл бұрын

    Kabisa kakolanya hatumuitaji ktk timu yetu, kunakitu nyuma ya pazia

  • @witnessmwikangila6374

    @witnessmwikangila6374

    5 жыл бұрын

    great thinker hahahaaaa

  • @witnessmwikangila6374

    @witnessmwikangila6374

    5 жыл бұрын

    Duu

  • @davidichamidu511

    @davidichamidu511

    5 жыл бұрын

    great thinker nice

  • @davidkuyula1716

    @davidkuyula1716

    5 жыл бұрын

    mboso

  • @lobalobaanase438
    @lobalobaanase4385 жыл бұрын

    alayansi mpo vzr ongezeni bidii kdg

  • @gundoanimal6750
    @gundoanimal67505 жыл бұрын

    Pga aoo..mpaka ubingwaaaaa

  • @edgarndoleki7639
    @edgarndoleki76395 жыл бұрын

    Dismas ten ulitakiwa mech kama izi unazipa proma lakin wew wap unatuzingua bhana lait kama tunampa jimy Kindoki hii nafasi tunainjoy sana

  • @meryciananyankena8098
    @meryciananyankena80985 жыл бұрын

    Yanga❤❤❤

  • @robertjunior9916
    @robertjunior99165 жыл бұрын

    Kindoki anaweza penati ila kawaida hufungwa magoli ya kizembe sana

  • @MBAGOTV
    @MBAGOTV5 жыл бұрын

    Yes

  • @mohamedshabani2263
    @mohamedshabani22635 жыл бұрын

    pongezi kwa wachezaji wg wote

  • @sarahhaule3964
    @sarahhaule39645 жыл бұрын

    Unaanzaj kwa mfano kuichukia Yanga pamoja na Figisu tunazopata kila kona lakn Mungu yu pamoja nasi, hahahah, nacheka kwa dhaaaaarau coach wa Azam alifata nn uwanjan aibuuuuu

  • @shepijr3774
    @shepijr37743 жыл бұрын

    Nanikaja huku kuangalia hili goli la makambo baada ya kusikia katua nchini?

  • @eduardyosia5311
    @eduardyosia53115 жыл бұрын

    Come on yanga kindoki good job

  • @marcobulili4341
    @marcobulili43415 жыл бұрын

    Ila ni mzito sana!

  • @aixhajumaa6362
    @aixhajumaa63625 жыл бұрын

    sichoki kuitazama hii raha sana

  • @amribakari9979
    @amribakari99795 жыл бұрын

    Je mumeona penenga ya kamusoko kama mm????

  • @bishobokatv476
    @bishobokatv4765 жыл бұрын

    Daima mbelee

  • @athumanikibuga360
    @athumanikibuga3605 жыл бұрын

    kindoki kaza Buti kaka Ila makambo nakukubali xana

  • @samiubaruan949
    @samiubaruan9495 жыл бұрын

    Woooooooooosh kaza ukazwe

  • @AbdulRahman-wx6iv
    @AbdulRahman-wx6iv5 жыл бұрын

    Yanga oyeee daima mbele nyuma kwetu mwiko.

  • @majutomalima5133
    @majutomalima51335 жыл бұрын

    Yaani hawa kuweka kambi nje kupiga nako nje Ila sawa inapendedha

  • @andrew-kitwanambogger8242
    @andrew-kitwanambogger82425 жыл бұрын

    Wananchi waleeeee

  • @joachimtarimo3650
    @joachimtarimo36505 жыл бұрын

    Hahahaaa Azam TV ninyi ni mshabiki wa Yanga nn mbona alliance walivyofungaa bao la kusawazisha kwenye ubao wenu ukasoma yanga 2 alliance 0

  • @katanicarter0568

    @katanicarter0568

    5 жыл бұрын

    Kumbe uliona haaaahaaaaahaaaa

  • @annawilson2896

    @annawilson2896

    5 жыл бұрын

    unateseka

  • @wilsonkimaro6375
    @wilsonkimaro63755 жыл бұрын

    Kuishinda hii team ndogo hivyo ndomshangilie hivyo ndomaanake hamfiki mbali

  • @atrashbwikizo4353

    @atrashbwikizo4353

    5 жыл бұрын

    Wilson Kimaro kama inauma kunya boga

  • @zephaniahenry3694

    @zephaniahenry3694

    5 жыл бұрын

    Naona dalil ya m2 kuteseka hpa, inabd amtafute dokta mwaka mapeeeeeema.

  • @amryzubery1051

    @amryzubery1051

    5 жыл бұрын

    Wilson Kimaro nyie mikia mriefika mbari mbona hamna hata ndege

  • @karimmohamed8657

    @karimmohamed8657

    5 жыл бұрын

    ni ndogo kuliko mashujaa

  • @germinikimario5339
    @germinikimario53395 жыл бұрын

    Mpenjaaaaaa maaa nakufaaaa hatatri san kindoki mutu ya kongo

  • @jasiminhamisi8316
    @jasiminhamisi83165 жыл бұрын

    Azam sikuizi mnajisikia sana sijui kwanini tofauti na mwanzo tunavo pata uduma zenu mnaboa

  • @robertsemaganga9168
    @robertsemaganga91685 жыл бұрын

    kindokiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

  • @martinejoseph6269
    @martinejoseph62695 жыл бұрын

    Yanga oyeeeeee

  • @hassantotoo5791
    @hassantotoo57915 жыл бұрын

    kumbe haruna yuko yanga

  • @wababayanga6604
    @wababayanga66045 жыл бұрын

    Yanga walistahili walichokipata kwa kweli .

  • @mussasule7174
    @mussasule71745 жыл бұрын

    Jiwe walilo kataa wahaashiiii ndo lime kuwa jiwe kuu

  • @milobomgoma1512
    @milobomgoma15125 жыл бұрын

    Makambo libyee makambo makambo

  • @zaitunabillah2308
    @zaitunabillah23085 жыл бұрын

    Hahahhhahaahahahh mikia kimyaaaaaaa limewashuka shuuuuuu pyeeeee!

  • @mandibrochuma9062

    @mandibrochuma9062

    5 жыл бұрын

    Zaitun Abillah weweeee

  • @zaitunabillah2308

    @zaitunabillah2308

    5 жыл бұрын

    @@mandibrochuma9062 hahahahaha wambea Sana aooo walikuwa wanasikilizia 2

  • @elizabethlucas4983
    @elizabethlucas49835 жыл бұрын

    Hahahahaa,Mpenja ww ni shidaaaa

  • @ezekielevarest6254

    @ezekielevarest6254

    5 жыл бұрын

    Cyo saut ya mpenja iyo

  • @omarkimbwembwe3082

    @omarkimbwembwe3082

    5 жыл бұрын

    akuna mtangazaji Wa mpira bongo kama mpenja

  • @angelludgery7016
    @angelludgery70165 жыл бұрын

    Yanga oyeeee

  • @shedyeliudy9667
    @shedyeliudy96675 жыл бұрын

    Doze doze doze

  • @henrylulandala4016

    @henrylulandala4016

    5 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂 Mpenjaa bwana

  • @shadimwambula7748
    @shadimwambula77482 жыл бұрын

    Niko apa 2022

  • @shabanimsami8017
    @shabanimsami80175 жыл бұрын

    better score goal

  • @emmanuelgabagendi3169
    @emmanuelgabagendi31695 жыл бұрын

    Xaf xan tena xan

  • @methodmwaselela7729
    @methodmwaselela77295 жыл бұрын

    #@mahakika mpenja wee balaa kweli mbona unawafunika sii kwa mbwembwee wala utangazaji%

  • @wilbertcharles9129
    @wilbertcharles91295 жыл бұрын

    SAFI TIMU YA WANANCHI

  • @sangaoba465
    @sangaoba4655 жыл бұрын

    good

  • @hosianakombe3942
    @hosianakombe39425 жыл бұрын

    Hahahahaha@imekula nguzo

  • @teddymeela2791
    @teddymeela27915 жыл бұрын

    Chefuuuu

  • @hashirwazirsalehe1790
    @hashirwazirsalehe17905 жыл бұрын

    yanga daima

  • @majutomalima5133
    @majutomalima51335 жыл бұрын

    Yanga kweli siyo yamtu yanga yanga noma kwayanga hh labda usiende na mpila uwanjani na sio mchedhaji kwani hata likikaa shati ngolini litadaka na hata likipangwa kiwe ndani Lina chedha2 wakowapi mshujaa

  • @bakariluhala7332
    @bakariluhala73325 жыл бұрын

    Yanya ni yanga tu

  • @efesopesahkinge6379
    @efesopesahkinge63795 жыл бұрын

    Mpenja naona unawachokoza mikia

  • @delabossreizer9471

    @delabossreizer9471

    5 жыл бұрын

    Anatuchokoza kwalipi mfano aya kachukue ubingwa uo basi maake unaongea mm nawaza champion ligue ww unawaza fa aya kawatoe na lipuli basi

  • @machialuhende9027

    @machialuhende9027

    5 жыл бұрын

    kwa Simba ni mikia au? maana kataja mikia

  • @delabossreizer9471

    @delabossreizer9471

    5 жыл бұрын

    @@machialuhende9027 ndio nukuulizee ww mikia kinanani labda maake ata mm sijui mikia kina nani ebu nisaidie labda lipuli au stand maake sijui ao mikia

  • @hadijaramadhani1280

    @hadijaramadhani1280

    5 жыл бұрын

    Efeso pesah mbona watu mapovu yanawatoka kwani kuna timu uliyotaja hapoo naona povu jingi hahahaaaaa kataja mikia hajataja timu hapooo hahahaaaaa

  • @palanjekujongakujonga8725
    @palanjekujongakujonga87255 жыл бұрын

    Jason

  • @rajaburaisi7058
    @rajaburaisi70585 жыл бұрын

    Kutoka kitama One ongera yanga

  • @ramaomary539
    @ramaomary5395 жыл бұрын

    Acha majungu

  • @rodrickmlyuka4112
    @rodrickmlyuka41125 жыл бұрын

    Hod nyeva vana paruhengo

  • @kingkibotv8902

    @kingkibotv8902

    5 жыл бұрын

    jaman kamsoko weweeeee

  • @NmgNelly
    @NmgNelly5 жыл бұрын

    Kindokiiiiiiiiiiii

  • @barnabastanford3500
    @barnabastanford35005 жыл бұрын

    Kwani kuna mtu anateseka?kamwene kaeni mkao wa kuliwa tunakuja safari hii hatuwaachi ng'o

  • @mariamwilliam5167

    @mariamwilliam5167

    5 жыл бұрын

    Kameene

  • @zachariamakori4730

    @zachariamakori4730

    5 жыл бұрын

    Pananka yanga mbele nyuma mwiko

Келесі