ALLIANCE FC 1-1 YANGA SC (P:3-4): MAGOLI NA MIKWAJU YA PENATI (ASFC - 30/3/2019)
Спорт
Yanga SC imekuwa timu ya mwisho kutinga hatua ya nusu fainali ya Kombe la Shirikisho la Azam Sports (ASFC) baada ya kuitupa nje Alliance FC ya jijini Mwanza kwa mikwaju ya penati 4-3 kufuatia dakika 90 kumalizika kwa sare ya bao 1-1.
Yanga ndiyo waliotangulia kupata bao kupitia kwa Heritier Makambo dakika ya 38 akimalizia pasi ya Pius Buswita, lakini Alliance wakasawazisha kipindi cha pili kupitia kwa Joseph James akimalizia mpira wa adhabu ndogo uliopigwa na Godlove Mdumule dakika ya 62.
Baada ya dakika 90, ikapigwa mikwaju ya penati ambapo kati ya penati sita kwa kila timu, Yanga ilipata penati mbili huku Alliance wakifunga penati tatu.
Waliofunga penati kwa upande wa Yanga ni Paul Godfrey, Thabani Kamusoko, Haruna Moshi na Deusi Kaseke huku Kelvin Yondan na Mrisho Ngassa wakikosa penati zao.
Kwa upande wa Alliance, waliofunga penati ni James Joseph, Geofrey Luseke na Sameer Vicent huku Martin Kiggi, Dickson Ambundo na Siraji Juma wakikosa penati zao na kipa wa Yanga Klaus Kindoki kuibuka shujaa kwa kuokoa penati mbili ikiwemo ya mwisho iliyowapa ushindi.
Yanga sasa itacheza na Lipuli FC kwenye hatua ya nusu fainali huku Azam FC wakiwa wenyeji wa KMC FC.
Пікірлер: 225
Hongera Vijana wetu wa Dar Young Africans Sports club kwa kupambana na hatimaye kupata ushindi
@pongwasuleiman1750
5 жыл бұрын
.
if yuu Love yanga gonga like
@NmgNelly
5 жыл бұрын
Nc
Nice Kindoki kaza bhana ugali utaingia soon hapo Yanga
Yanga bana adi raha asante Mungu asante kindoki asante yanga African
Kama kindokii kakufulaisha kama mimi gonga like
@allyshaibu254
5 жыл бұрын
Tuko pamoja
@samsonmtwana4881
5 жыл бұрын
Sana
@treykayuka3842
5 жыл бұрын
ï
@mariamwilliam5167
5 жыл бұрын
Waoooo
@nasramussa8094
5 жыл бұрын
Eva Chriss
KINDOKIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII, mwanzon walikudharau lakin saiz watakuheshimu. yanga mbele nyuma mwiko. HODI IRINGA
@zajosjohn2232
5 жыл бұрын
Kamwene
@robertsamuel7542
4 жыл бұрын
Jamani jitahidini makambo arudi mapema
Naipenda yanga
@kidawakessi9109
5 жыл бұрын
Chevuuu
@josephkapinga652
5 жыл бұрын
Nakupenda kwa kuwa unaipenda yanga
@sabinajames6539
5 жыл бұрын
Asante
@williambenson7361
5 жыл бұрын
Yanga nomaaa
@luckpalanja9189
5 жыл бұрын
0787533714
NAKWELI WANAHISI KUTETEMEKA HAOOOO....mtoto halali na pesa bhanaaa😃😃😘😗😍
Watu wanateseka saa Hii!! Wananchi wala hatulizwi na Watto. YANGA NI FIRE.
Mtangazajii safiii mnoo
Mm ananikosha sana anavyotangaza mpenja kama unamkubali gonga like
@gumbomichael3310
3 жыл бұрын
Yes woanday
Asanteni yanga yangu
@erickepimack9417
5 жыл бұрын
jojo _linkiss Abiny nikweli
@godlistenxafxanambwambo6917
5 жыл бұрын
Unaipenda yanga
@lestonmsungu4714
5 жыл бұрын
Saf sana
@machogoldmachogote306
5 жыл бұрын
Poakabisa
@innosentpaulo4710
5 жыл бұрын
kwel
alie ona yanga mbili pamoja sana
Man of the match kindoki
Go on my team mdogomdogo tu tutafika, tunafukuza mwizi kimyakimya
nakupenda daima my team oyeeeeeeeeee
@sosomacharles2422
5 жыл бұрын
Mpenja ww noma unashelehesha
#jiwe_walio_likataa_waac_leo_lime_kuwa_jiwe_kubwa!!!!!@barak_mpenja😀😀😀😀
@man.lule.585
5 жыл бұрын
Yanga kuna wachezaji wa Alliance tuwasajili maana ni wazuri sana pamoja na mbao FC na Lipuli.
mwenye wivu ajinyonge YANGA OYEE ndo timu ya wananchi
@nasrasuleiman2552
5 жыл бұрын
Mikia fc naona wanateseka
@zakariatiba312
5 жыл бұрын
william benson
@lameckmkula1482
5 жыл бұрын
Yanga kaka
Nyota ya Kindoki imeng'aaaaaa!!!
Mpenja nakubali sana unajuwa kutangaza bro keep it up......Haha haha haha hayo maumivu unayopata ni kwa sababu ya matokeo ya yanga....😂😂😂😂😂
Kindoki umenikosha. Walikusema sana sasa leo umewaonesha ww ni kindoki konk konk konk kindoki
hodii hodiiii lipuli twaja tena
Kama ulisikia mtangazaji akisema: nani amekuambia alliance ni wanafunzi ; gonga like
Ongera sana yanga
Kindoki gari limewaka!
@francessinkala1756
5 жыл бұрын
Mikia fc na msemaji wao wanateseka
Love yng mambo ndo Ayo Sasa
@boxermtambo4292
5 жыл бұрын
yanga laha
Hizi Fine tff c mnunue nyavu jaman
Asante yanga yetu kwa kutupa furaha....Yanga mbele nyuma mwiko
3on trending, mechi za yanga ndo zinatazamwa zaidi you tube ligi ya TPL
Hiyo ndo yangaaaaaaaaaaaaa
aseeeeeh kindokiii fundiii uongo zambiiii hujaaa jamaa AKIONDOKA ATAKUMBUKWA SANAA
Ukijiona bora na ukasusa wengine wanakula na maisha yanaendelea..welldone makipa wetu kazeni tufikie lengo
MBENJAAA NI NOMAAA.....HAKIK WW NI MSHEEREEHESHAAAJIIII
Makambooooo
@kaijagekahwa2671
5 жыл бұрын
Wamuache uyo makambo na fei toto hoyeeee
@haibasalehe3568
5 жыл бұрын
@@kaijagekahwa2671 hoyeeeee wanapambana sanaaa
Usijalibu kufata uhai nibola pengine hahaha
sauti ya huyu mtangazaji hatar nilikuwa spend kuangalia mipira ya kibongo ..lakin sasa naipenda kwa utangazaj huu
Bao kali sana
Asante Papaa Kindoki
makambo ni motoooo
TFF hizo pesa za fine mnapelekaga wapi ??? zingine tumieni kununua net bwana
@theofredykangwana1641
3 жыл бұрын
yanga oyeeeee
Uyo ndo kindoki Ba mutu ba kongo
@nenonakweli7549
5 жыл бұрын
Anna cha kindoki
Kaka unanifanya Nini kufa na ukome 😁😁😁😁Atari faya mtangazaji
Huyo ndo kindoki,,, tuleyemtaka wananchiiiiii,,,,, nguvu ya jerooo mpaka ubingwaaaaa,,,, clausi kindoki man of the mechi,,,, waooooooh,,,,!!! Hodiiii wana paluhengoo,,,
Good kindoki miss you brother
Barkampenja nakukubali MC no.1
Nzuriiii
Goal la makambo ni Zuri kwa kwel
Naipenda yanga toka kipindi nakaa kariakoo na mchezaji anaitwa skinde mbunga # kindoki kipa wangu nakuomba punguza asila kwani ukiwa mvumilivu wewe ni bora
Yawezekana Ni kweli kuna kupigana misumali mbn Ckuhizi Kindoki anadaka Vizuri..🤔🤔
@dunstangeorge3263
5 жыл бұрын
Kabisa kakolanya hatumuitaji ktk timu yetu, kunakitu nyuma ya pazia
@witnessmwikangila6374
5 жыл бұрын
great thinker hahahaaaa
@witnessmwikangila6374
5 жыл бұрын
Duu
@davidichamidu511
5 жыл бұрын
great thinker nice
@davidkuyula1716
5 жыл бұрын
mboso
alayansi mpo vzr ongezeni bidii kdg
Pga aoo..mpaka ubingwaaaaa
Dismas ten ulitakiwa mech kama izi unazipa proma lakin wew wap unatuzingua bhana lait kama tunampa jimy Kindoki hii nafasi tunainjoy sana
Yanga❤❤❤
Kindoki anaweza penati ila kawaida hufungwa magoli ya kizembe sana
Yes
pongezi kwa wachezaji wg wote
Unaanzaj kwa mfano kuichukia Yanga pamoja na Figisu tunazopata kila kona lakn Mungu yu pamoja nasi, hahahah, nacheka kwa dhaaaaarau coach wa Azam alifata nn uwanjan aibuuuuu
Nanikaja huku kuangalia hili goli la makambo baada ya kusikia katua nchini?
Come on yanga kindoki good job
Ila ni mzito sana!
sichoki kuitazama hii raha sana
Je mumeona penenga ya kamusoko kama mm????
Daima mbelee
kindoki kaza Buti kaka Ila makambo nakukubali xana
Woooooooooosh kaza ukazwe
Yanga oyeee daima mbele nyuma kwetu mwiko.
Yaani hawa kuweka kambi nje kupiga nako nje Ila sawa inapendedha
Wananchi waleeeee
Hahahaaa Azam TV ninyi ni mshabiki wa Yanga nn mbona alliance walivyofungaa bao la kusawazisha kwenye ubao wenu ukasoma yanga 2 alliance 0
@katanicarter0568
5 жыл бұрын
Kumbe uliona haaaahaaaaahaaaa
@annawilson2896
5 жыл бұрын
unateseka
Kuishinda hii team ndogo hivyo ndomshangilie hivyo ndomaanake hamfiki mbali
@atrashbwikizo4353
5 жыл бұрын
Wilson Kimaro kama inauma kunya boga
@zephaniahenry3694
5 жыл бұрын
Naona dalil ya m2 kuteseka hpa, inabd amtafute dokta mwaka mapeeeeeema.
@amryzubery1051
5 жыл бұрын
Wilson Kimaro nyie mikia mriefika mbari mbona hamna hata ndege
@karimmohamed8657
5 жыл бұрын
ni ndogo kuliko mashujaa
Mpenjaaaaaa maaa nakufaaaa hatatri san kindoki mutu ya kongo
Azam sikuizi mnajisikia sana sijui kwanini tofauti na mwanzo tunavo pata uduma zenu mnaboa
kindokiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Yanga oyeeeeee
kumbe haruna yuko yanga
Yanga walistahili walichokipata kwa kweli .
Jiwe walilo kataa wahaashiiii ndo lime kuwa jiwe kuu
Makambo libyee makambo makambo
Hahahhhahaahahahh mikia kimyaaaaaaa limewashuka shuuuuuu pyeeeee!
@mandibrochuma9062
5 жыл бұрын
Zaitun Abillah weweeee
@zaitunabillah2308
5 жыл бұрын
@@mandibrochuma9062 hahahahaha wambea Sana aooo walikuwa wanasikilizia 2
Hahahahaa,Mpenja ww ni shidaaaa
@ezekielevarest6254
5 жыл бұрын
Cyo saut ya mpenja iyo
@omarkimbwembwe3082
5 жыл бұрын
akuna mtangazaji Wa mpira bongo kama mpenja
Yanga oyeeee
Doze doze doze
@henrylulandala4016
5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂 Mpenjaa bwana
Niko apa 2022
better score goal
Xaf xan tena xan
#@mahakika mpenja wee balaa kweli mbona unawafunika sii kwa mbwembwee wala utangazaji%
SAFI TIMU YA WANANCHI
good
Hahahahaha@imekula nguzo
Chefuuuu
yanga daima
Yanga kweli siyo yamtu yanga yanga noma kwayanga hh labda usiende na mpila uwanjani na sio mchedhaji kwani hata likikaa shati ngolini litadaka na hata likipangwa kiwe ndani Lina chedha2 wakowapi mshujaa
Yanya ni yanga tu
Mpenja naona unawachokoza mikia
@delabossreizer9471
5 жыл бұрын
Anatuchokoza kwalipi mfano aya kachukue ubingwa uo basi maake unaongea mm nawaza champion ligue ww unawaza fa aya kawatoe na lipuli basi
@machialuhende9027
5 жыл бұрын
kwa Simba ni mikia au? maana kataja mikia
@delabossreizer9471
5 жыл бұрын
@@machialuhende9027 ndio nukuulizee ww mikia kinanani labda maake ata mm sijui mikia kina nani ebu nisaidie labda lipuli au stand maake sijui ao mikia
@hadijaramadhani1280
5 жыл бұрын
Efeso pesah mbona watu mapovu yanawatoka kwani kuna timu uliyotaja hapoo naona povu jingi hahahaaaaa kataja mikia hajataja timu hapooo hahahaaaaa
Jason
Kutoka kitama One ongera yanga
Acha majungu
Hod nyeva vana paruhengo
@kingkibotv8902
5 жыл бұрын
jaman kamsoko weweeeee
Kindokiiiiiiiiiiii
Kwani kuna mtu anateseka?kamwene kaeni mkao wa kuliwa tunakuja safari hii hatuwaachi ng'o
@mariamwilliam5167
5 жыл бұрын
Kameene
@zachariamakori4730
5 жыл бұрын
Pananka yanga mbele nyuma mwiko