Magoli yote | Simba SC 1-5 Yanga SC | NBC Premier League 05/11/2023

Спорт

Simba SC imepokea kichapo kizito cha mabao 5-1 kutoka kwa Yanga katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC #NBCPremierLeague kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.
Yanga walianza dakika ya 3 kwa goli la Kennedy Musonda kabla ya Simba kuchomoa dakika ya 9 kupitia kwa Kibu Denis.
Kipindi cha pili Yanga ikashindilia kwa mabao ya Maxi Nzengeli aliyefunga mawili dakika ya 64 na 77, Stephane Aziz Ki dakika ya 73 na Pacome Zouzoua dakika ya 87 kwa mkwaju wa penati.
Haya hapa magoli yote sita ya mchezo huu...

Пікірлер: 616

  • @user-fm7pl6rs3i
    @user-fm7pl6rs3i5 ай бұрын

    Kama bado unàangalia magoal Haya 2024 gonga like hapa

  • @goodlucktemu3149
    @goodlucktemu31498 ай бұрын

    Ikiwapendeza Yanga mnipe like5 za Kenedy Musonda na Pacome,Sawa

  • @AgustinoCharles
    @AgustinoCharles5 ай бұрын

    Wanaoangalia Leo Jan 20/2024. Gongeni like hapa😅😅

  • @swaumphilimini5720
    @swaumphilimini57205 ай бұрын

    Nani karudia kuangalia 2024😂

  • @DelvisToke-dx9ir

    @DelvisToke-dx9ir

    28 күн бұрын

    Tupo

  • @kudramzee5769
    @kudramzee57698 ай бұрын

    Wangapi bado tunàangalia hii mechi tujuane kwa like

  • @saidlwambo1995
    @saidlwambo19958 ай бұрын

    Young Africans the Giant King of Football in Tanzania no one another for high quality in this season.Big up Eng.Hersi Said and all Management and also big up all Players.

  • @magrethshishwa5481
    @magrethshishwa54818 ай бұрын

    Naombeni like 5 wale mnaongalia tena mechii kama mimi🖐

  • @user-qo5cb4tl9d

    @user-qo5cb4tl9d

    5 ай бұрын

    👍👍👍👍👍

  • @user-qo5cb4tl9d

    @user-qo5cb4tl9d

    5 ай бұрын

    👍👍👍👍👍

  • @theresialfredybugalama5850
    @theresialfredybugalama5850Ай бұрын

    Nimerudi kuitazama baada ya simba kushika nafasi ya 3😂😂😂😂

  • @suratikibunja3905

    @suratikibunja3905

    29 күн бұрын

    Ila ww bhn lkn sikushangai mana me mwenyew nimerud kuangalia😅😅

  • @amriiddy1972
    @amriiddy19728 ай бұрын

    Naombeni like 5 kwa Yanga 🖐

  • @mohamedibakari174

    @mohamedibakari174

    8 ай бұрын

    🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️ 5

  • @sahraabdallah7242

    @sahraabdallah7242

    8 ай бұрын

    5

  • @user-le7yp7xg7r

    @user-le7yp7xg7r

    8 ай бұрын

    ❤❤❤❤❤❤😅😅😅😅😅

  • @juzababalichako2043

    @juzababalichako2043

    8 ай бұрын

    ​@@mohamedibakari174😊5

  • @SafiaNassor-er8ym

    @SafiaNassor-er8ym

    8 ай бұрын

    Yanga ndo yanga wengine photocopy

  • @user-ge3yd1tx5e
    @user-ge3yd1tx5e26 күн бұрын

    kuna mechi ambazo hata uwangalie mara halfu 10 utam hauwishi ❤kama hii

  • @ZeyanaAbdi
    @ZeyanaAbdi5 ай бұрын

    Niko hapa 29january 24

  • @BemJohn-zf6le
    @BemJohn-zf6le2 ай бұрын

    16-04-2024 gonga like apo 2juane kablaya tare 20

  • @DerricusJohn
    @DerricusJohn15 күн бұрын

    Tunao angalia tena mwaka 2040 tujuane hapa ✨👉

  • @ashamkesa979
    @ashamkesa9798 ай бұрын

    Nairudia mara ya 5 kuiangalia Yanga tamu

  • @user-nh5jz4kk8r
    @user-nh5jz4kk8r8 ай бұрын

    Siku zote historia hujirudia karne yoyote ilee ndio alichokifanya yanga leo🎉🎉

  • @Mnengatv
    @Mnengatv8 ай бұрын

    I love Young Africans ❤

  • @mariamwadugu3726
    @mariamwadugu37265 ай бұрын

    Tar 21/ 01/2024, nipo hapa❤

  • @user-gu2hr9ec7c
    @user-gu2hr9ec7c8 ай бұрын

    Hongera sana wachezajiwa yanga imekuwani istoria

  • @FrenkMzumbwe-it3lx
    @FrenkMzumbwe-it3lx7 ай бұрын

    Naomben mnilaik ata 5

  • @aikamboya1295
    @aikamboya129516 күн бұрын

    🎉🎉mech tamu sanah

  • @babuumaeda7671
    @babuumaeda76718 күн бұрын

    Sitosahau uongoz wa Rais ENG HERS YangA nii hiii 5-1 😅 NEW GENERATION

  • @kevymloje730
    @kevymloje7303 ай бұрын

    NAOMBA LIKES ZOTE ZA WANANCHIIII HAPAAAAA TAREHE 25/03/2024🔰💪💪💪🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️

  • @RonaldBidico
    @RonaldBidico8 ай бұрын

    Yang naipend San 💓❣️❣️❣️🌹🌹🌹❤️❤️❤️❤️

  • @sahraabdallah7242
    @sahraabdallah72428 ай бұрын

    Alhamdulillah 💚💛💛

  • @hassanluambano2508
    @hassanluambano2508Ай бұрын

    Leo najikumbusha tulivyowakanda makolo

  • @user-wj6rx8rv4h
    @user-wj6rx8rv4h5 ай бұрын

    Yan naangalia kila day 😊😊😮

  • @esterpius7423
    @esterpius74238 ай бұрын

    Hongera sana Young Africa.. Mumetufurahisha mashabiki wenu..

  • @elisha63
    @elisha638 ай бұрын

    Mbna siskii jamn naomben like kwa mzize

  • @arafaally3646
    @arafaally3646Ай бұрын

    Utv mnilipee maana sjui n mara ya ngap naangaliaaa😅😅😅

  • @JustusPius-zu2ve
    @JustusPius-zu2ve8 ай бұрын

    Hii clip nitaiangalia mpaka usiku usiku wa mananeeee

  • @harodphilipo8228
    @harodphilipo82288 ай бұрын

    Safi sana team yangu.... atukuzwe Mungu wetu mkuu

  • @yudatadeimdoe9215

    @yudatadeimdoe9215

    8 ай бұрын

    Amen

  • @fatumamahoiga3978

    @fatumamahoiga3978

    8 ай бұрын

    YANGA SIYO KWA MPIRA HUU🙏🎉

  • @divaidachboy2339
    @divaidachboy23398 ай бұрын

    Wow hiki kikosi stakisahau kamwe maan nifulaha tu kuangalia

  • @mwambambokani9082
    @mwambambokani90828 ай бұрын

    Simba ni wake zetu

  • @budodianthony8094
    @budodianthony80945 ай бұрын

    😂😂😂❤❤❤27 mwezi 1 2024 aziziki huyu jamaa Hana huluma

  • @Fetymama
    @Fetymama16 күн бұрын

    Hatar Sana yanga nakpenda mnoooo

  • @RauwrencMbwana
    @RauwrencMbwanaАй бұрын

    Leo tar 6 mwezi wa 6 naangalia tena tulivo wakanda makolo may wetu

  • @jasminhaji3175
    @jasminhaji317524 күн бұрын

    Yani nikiwa na huzuni hii ndo faraja yangu plus ile mechi na beluizdad ❤❤❤ na wamenipa nyongeza ya penalty za FA juzi mana nilijua nnapresure kumbe

  • @user-wl6il1zk6m
    @user-wl6il1zk6m8 ай бұрын

    Yanga naipenda mpaka kufaaaaaaaaa from Louis ville Kentucky

  • @giftkalenge418
    @giftkalenge4188 ай бұрын

    ivi timu Ina maprofesor na madoctor unategemea nini

  • @josephsanga474
    @josephsanga4744 ай бұрын

    Nani yupo hapaa 1/3/2024😅

  • @danielsunghwa487
    @danielsunghwa4873 ай бұрын

    Timu zote mbovu zinapigwaa 5 jmniiiiiii😆😆😆

  • @latifapancras5734
    @latifapancras57344 ай бұрын

    Tunaotazama tena 2024 like zenu 👇😂😂😂😂😂

  • @Munshid_Rajab

    @Munshid_Rajab

    4 ай бұрын

    nipo😅😅

  • @moreenbless-vr7oy
    @moreenbless-vr7oy24 күн бұрын

    Nkiwa na stress lazima nije uku kujiliwaza 😂😂😂 wake zetu walijua kututegea vzr 😂😂🙌

  • @abdilahjuma2493
    @abdilahjuma24938 ай бұрын

    Yanga tuna viongozi wazuri sana, na hii itawatesa sana simba

  • @raideskokushemela4813
    @raideskokushemela48137 ай бұрын

    Hii mech mashabiki wa yanga atutaacha kuitazam maan wengi atukutalajia kama magol yangekua mengi hiv 5G

  • @janelebayo6161
    @janelebayo61618 ай бұрын

    Toka jana naangalia hii highlit nahisi bado ni ndoto My Yanga jaman hivi kweli tumewafunga zote hizi🤣🤣🤣🤣💛💛💛💛💛💛💛

  • @salmamlokela1987

    @salmamlokela1987

    8 ай бұрын

    Upo kama mie nikitaka kulala lazima niangalie 😂😂

  • @Fredy-oz5vu

    @Fredy-oz5vu

    7 ай бұрын

    Mimi Kila siku nacheki haya magoli

  • @RobertAdam-w1t
    @RobertAdam-w1t8 күн бұрын

    Stumii nguvu kubishana na Wana simba

  • @msafiblog
    @msafiblog8 ай бұрын

    Hizo ndo 5 sasa zile za 2012 wengi tulikuwa wadogo 😎

  • @slimmuhabesh2400

    @slimmuhabesh2400

    8 ай бұрын

    Za kwao penati 3

  • @withomsigwa4918
    @withomsigwa49188 күн бұрын

    Mm Hadi Leo tar 30/6/2024 nipo naangalia yaani naendelea kupata rahaa

  • @rashidselemani2524
    @rashidselemani25247 ай бұрын

    Yaani huwezi kuchoka kuangalia hii mechi aisee yangu ni moto wa kuotea mbali

  • @latifachoga4212
    @latifachoga42122 ай бұрын

    Leo tareh 25 April naludia mechi yangu pendwa😂😂😂😂😂

  • @issaabdi9129
    @issaabdi91298 ай бұрын

    Jamani YANGA ogopeni mungu sasa timu zingine zitakataa kuleta timu uwanjani

  • @araphermiwady4030
    @araphermiwady403012 күн бұрын

    June 2024 still watching 😊

  • @user-yx2uy7fi6i
    @user-yx2uy7fi6i8 ай бұрын

    ❤love u yanga natamn mechi iwe leo jmn😅😅

  • @user-nc1ds6ck5s
    @user-nc1ds6ck5s5 күн бұрын

    Matobo mawili...goli moja master K😂😂

  • @joymwantiku3346
    @joymwantiku33468 ай бұрын

    n five kwakweli five , five kinywa kinaumbaa ... ndymaana tumecheza leo trh five💚💚💛

  • @JophureyTuma
    @JophureyTuma8 ай бұрын

    Yanga noma sana

  • @JERRYISSAYA
    @JERRYISSAYA2 күн бұрын

    Yanga ni balaa

  • @tahirnephessalum3678
    @tahirnephessalum36788 ай бұрын

    goal la aziz kuna mtu kalala kama kazimia😂😂

  • @user-ye5sg6fs2g
    @user-ye5sg6fs2g5 ай бұрын

    Yes yanga

  • @wapole5620
    @wapole56208 ай бұрын

    Ilaa pacome🙌🏽🙌🏽🔥🔥

  • @DEOYanga-cm4fm
    @DEOYanga-cm4fm8 ай бұрын

    pacome balaaaaa

  • @roi2554
    @roi25548 ай бұрын

    Oya jamani clement kaupiga mwingi leo sio poaa

  • @monicasimbamwene2776

    @monicasimbamwene2776

    8 ай бұрын

    Mzizeeeeeee

  • @boscojulius532

    @boscojulius532

    8 ай бұрын

    Mzize on fire

  • @muddyleader4458

    @muddyleader4458

    8 ай бұрын

    Mzize amenifurahisha Sanaa Leo! Pongezi

  • @godfreykaimbe1780

    @godfreykaimbe1780

    8 ай бұрын

    Mzize anaenda kuwa mchezaji hatari sana na wa bei ghali sana jamani.... daaaaaaah Yanga raha

  • @jamesmwita2995

    @jamesmwita2995

    8 ай бұрын

    Hatari

  • @Uwesu-rh2vb
    @Uwesu-rh2vb8 ай бұрын

    BREAKING NEWS:- wachezaji wanne wa yanga mbaloni kwa kosa la kuuwa mnyama pori hadharani, taarifa zaidi zinasema mnyama huyo wa ajabu anaefanana na paka walimshambulia vikali mbele ya wananchi waliokuwa wanasherehekea kilele cha wiki ya mvua november 5

  • @user-id3lp1lg4j

    @user-id3lp1lg4j

    8 ай бұрын

    😅😅 dah umetisha wakati unaiunda hii text. Naix ukianza kutabasam SEMA kweri mzee

  • @Uwesu-rh2vb

    @Uwesu-rh2vb

    8 ай бұрын

    @@user-id3lp1lg4j kweli

  • @kaisarimbisso5011
    @kaisarimbisso50118 ай бұрын

    Pacome Ni level ya english premier league

  • @hajishabani4641
    @hajishabani46418 ай бұрын

    Yanga SC itabaki kuwa team kubwa zaidi, simba SC tudijifananishe na hawa ma Giant

  • @user-gu2hr9ec7c
    @user-gu2hr9ec7c8 ай бұрын

    Hawa amino macho yao lakini ime tokea hiyo nikazi ya gamondi bwana hatuja roga in maombi tui😂😂😂😂😂😂😂😂🎉😂😂😂😂 poleni sana watani

  • @mistonngereza1143
    @mistonngereza11438 ай бұрын

    Young Bora kuliko Simba 6

  • @Zubaiba
    @Zubaiba8 ай бұрын

    Yanga chukua maua🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @user-we2qz1kb8h
    @user-we2qz1kb8h8 ай бұрын

    Mwendo ni tarehe tano tano kumbukumbu💚💛💚💛💚💛💚🙏

  • @user-kn8bm3kt1j
    @user-kn8bm3kt1j8 ай бұрын

    Jmn hii ni mar ya 7 kuiridiaaa😂😂😂😂❤

  • @AronNgongi-se8xm
    @AronNgongi-se8xmАй бұрын

    Rekodi ya magoli katika msimu mmoja was ligi

  • @user-yk9kb8zh8q
    @user-yk9kb8zh8q19 күн бұрын

    Daaah imebidi tuu niangalie tena

  • @user-et9ym1il9m
    @user-et9ym1il9m3 ай бұрын

    Mpaka ,leo naenjoy tu

  • @user-wl6il1zk6m
    @user-wl6il1zk6m8 ай бұрын

    Mungu mkubwa maombi yamepita vizuri kweli yanga juu from louis ville kentucky

  • @elizabethkalinga0822
    @elizabethkalinga08228 ай бұрын

    TAREHE 5 NA MAGOLI 5 NIKUMBUKUMBU NZURI, NA MPIRA UMEANZA 5 OCLOCK

  • @TheodoryGeydan
    @TheodoryGeydan8 ай бұрын

    Kweli yanga wametikisha afrika

  • @jacklinembuya2749
    @jacklinembuya27498 ай бұрын

    Rahaaa!!! Tarehe 5 goli tano

  • @jacksonmathayo6510
    @jacksonmathayo65108 ай бұрын

    Daah 💚💚💚😁😁💪💪💪🙏

  • @AshaMaulid-to3dl
    @AshaMaulid-to3dl8 ай бұрын

    Hongera chama langu la yanga

  • @moreenbless-vr7oy
    @moreenbless-vr7oy24 күн бұрын

    4:46🔥🔥🔥🎉🎉🎉

  • @elizabethchabluma-zw5qz
    @elizabethchabluma-zw5qz8 ай бұрын

    Mashaallah yanga big up

  • @marysaimon2213
    @marysaimon22138 ай бұрын

    Asante, Mungu wakushukuriwa ni wewe

  • @user-op7mh5sp4p
    @user-op7mh5sp4p5 ай бұрын

    Ukiwa na Stress 😢 njoo Tazama Hii mechi 😂 Ume Pona😂😂

  • @user-bw1hs2nd8p

    @user-bw1hs2nd8p

    4 ай бұрын

    Yan ni dawa tosha. Nikiboreka tu, mi chap! Kuangalia 5G zangu napata ahueni

  • @King-zf3lv
    @King-zf3lv8 ай бұрын

    Simba kapewa internet ya 5G

  • @babuumaeda7671
    @babuumaeda76718 күн бұрын

    Goal la 3 Tobo mbili goooooooooool 🎉🎉

  • @mjitahidubyabato
    @mjitahidubyabato7 күн бұрын

    Yaan mpaka mseme Bado tunaangalia

  • @mjitahidubyabato

    @mjitahidubyabato

    7 күн бұрын

    Tulia

  • @kindulijumanne7632
    @kindulijumanne76328 ай бұрын

    Hongereni Sana Mamamba yangu hamkumuachia mtu Enjoy your victory

  • @JosephineItambu
    @JosephineItambu7 күн бұрын

    1/7 nmerudi tena baada ya Triple C kusajiliwa Yangaaa😂🔥

  • @Jenero_wa_Kijapani

    @Jenero_wa_Kijapani

    6 күн бұрын

    Nawapenda jaman

  • @user-bw1hs2nd8p
    @user-bw1hs2nd8p4 ай бұрын

    Pale napokua na uchovu, niangaliapo mechi Mimi moyo wng kwatuuu...😂😂😂😂😂😂😂 Yanga weee

  • @petereliya1983

    @petereliya1983

    4 ай бұрын

    😅😅😅😅😅

  • @user-bw1hs2nd8p

    @user-bw1hs2nd8p

    4 ай бұрын

    Haki tena

  • @user-nl8js6xs6s
    @user-nl8js6xs6s5 күн бұрын

    inapendeza

  • @jamilahrashed2642
    @jamilahrashed26428 ай бұрын

    Yàni mpaka msemee

  • @issambawala9778
    @issambawala97786 күн бұрын

    Imekaa pow xana

  • @jamessajilo6610
    @jamessajilo66108 ай бұрын

    Yanga pokea maua 🎉🎉🎉

  • @ashashemweta3996
    @ashashemweta39968 ай бұрын

    Ila yanga mmetuweza naona mmesahau mpk shida zenu kwanz sawa bwana hayeni

  • @husnakumburu8853
    @husnakumburu88538 ай бұрын

    Hizi raha za Yanga zinatufanya tuwe na furaha kila siku😅😅😅

  • @user-uo5so6xu7j
    @user-uo5so6xu7j7 ай бұрын

    Wananchiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

  • @moreenbless-vr7oy
    @moreenbless-vr7oy24 күн бұрын

    Hatimae tukawaingiza kwenye chama cha wala tano akina mwakalobo na ii ndo inayo watesa akina mwakalobo 😂😂😂😂

  • @assumedprivacy3940
    @assumedprivacy39408 ай бұрын

    Yanga wanapiga boli sana

  • @user-jv4jr7xh5k
    @user-jv4jr7xh5k8 ай бұрын

    Hii ndo yang ya Gamondi

Келесі