Yanga SC 2-1 Simba SC | Highlights | NBC Premier League 20/04/2024
Спорт
KARIAKOO DERBY: Yanga SC imeendeleza ubabe kwa kuichapa Simba mabao 2-1 kwa mara ya pili msimu huu, katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC #NBCPremierLeague uliopigwa leo kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.
Magoli ya Yanga yamefungwa kipindi cha kwanza na Stephane Aziz Ki kwa penati dakika ya 20 na Joseph Guede dakika ya 38.
Пікірлер: 428
Tulio ludish ludish nyuma kwny goli la gued tu like hapa
Dear Tanzania Federation, the football is fantastic, the hipe is good and fans also another level but try to increase the lighting in the stadium. Love from Rwanda🇷🇼❤
NBC Premier league inhle igame ibhola lenu limunandi kakhulu ngiyawabuka lama highlights izinga lenu liphezulu siyabonga Azam Tv both Team play well Yanga Sc vs Simba Sc. Zululand District.
Mi wa kwanza Leo nipeni like😂😊
@user-vu6pd7pg9e
3 ай бұрын
Like
@habi78121
3 ай бұрын
😂😂😂😂
@LucyLucy-me5ge
3 ай бұрын
Take its
@Johnethan2021
3 ай бұрын
Ongea na watu wa simba 😂😂😂
@criminalminds7723
3 ай бұрын
Go get a job
Magoli yaliyofungwa na timu zote mbili ni mazuri sana 🔥🔥
Uwe hai uwe hai, Yesu Yu hai... Amen.❤
To all Kenyan 🇰🇪 tale a closer look at the pitch, muandamane mupate ka hii.
Hongera mtangazaji hapo mwishoni umenifurahisha umesema uwe hai uwe hai YESU YU HAI Hongera sana siku nyingine useme bila woga YESU YU HAI 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Mi Gharib Mzinga Sina neno kabisa🔥🔥🔥💚💚💚💛💛
Makolo wapo namba 1 trending youtube😊😅😅
Love you yanga
@agneskamano3174
13 күн бұрын
❤😊😊😊😊😊
Nimependa mzinga na mpenja nyote mlipoitangaza dabi kwa manjonjo hongereni.maadui ni wengi msiwape nafasi kuwagombanisha.🎉🎉🎉🎉
Hongera yanga
This is yanga brother😊😊😊💚💚💚💛💛💛💛
Cha I league yenu isezingeni eliphezulu lo Azizi ngfisa azodlalela Kaizer Chief.❤
Gooooooooooooooooool
Mnyama aitwe mnyama na chura aitwe chura. Ila goli la Gwede limekaa kipakome zaidi. Bigup Gwede.
Ishallah tutakutana tena❤❤❤❤young African🎉🎉😊
Hapo mashabiki wa makolo fc wamepata hasara tatu kwanza hamjaswali swala ya LASIR na magharibi lakini pia wamefungwa,Akhera wamepata hasara Dunia pia wamepata hasara. YANGA forever in our heart 🫀🫀🎉🎉🎉🎉🎉🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳 🟩🟩🟩☘️☘️☘️☘️💚💚💚💚💚💚💚💚💚
@hawangunge8104
3 ай бұрын
😂😂😂😂 tuachen jmn kha tumekoma
Hii match Simba kapenda kufungwa hakika kwa nafasi hizi walizopata daah
@rogerabdallah439
3 ай бұрын
Kazi unayo
I love you Yanga❤❤❤❤
@JuliusChiloti
3 ай бұрын
😊
Hapa kweli yanga wameonesha ukubwa, ni kama walikuwa wanategua makombola ya Iran kwa Israel. Big up mabeki na kipa wao. Beki ingekuwa mbovu tungesema mengine.
Wagadugu..Master Key
Asantee sana Simba mume pambanaa sana atukati tamaaaa ndio mpiraaaa
Ndiyo Hongera #Yanga African😀
Dakika za nyongeza zilikuwa 5 lakini tumecheza hadi 98''. Siyo mchezo !
Kazi nzuri yanga mnatuheshimisha mashabiki wenu
Yanga inatupa laha kama unaona hivo like hapa
Ooh kisas kinalipwa hahahah. Yamepondwa kama udaga
Asante sana gamondi
Kibabage ni mchezaji anaejituma sana na hapendi kulilia sana maranyingi amekuwa akichezewa rafu za makusudi ila anavumilia
Imejirudia bwanaa 😁😁ila nyiee Azizi uuw
Kama unaipenda Yanga sc gonga hapa⚽️
Eti kipara cha benchika kinapata ujotoujoto😂😂😂😂😂
Tuweke unafk pemben Leo simba kaucheza Mpla tumpe maua yake🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@user-kq2bn4rn2g
3 ай бұрын
Tako bila yahipsi hyo wamecheza matokeo yakowap
@Rahima-kv6mn
3 ай бұрын
Mpira sio Mpila 💪💪💪
@frankemmanuel5239
2 ай бұрын
Sawa aende na mpira nyumbani yanga wameongeza point
@igp_kimbulu
2 ай бұрын
Kwani kuna team iliyokua inacheza jiwe, Wote walikua wanacheza mpira
@rosenaheka5137
2 ай бұрын
Hata akipewa nauwa ni bure. Sisi tulitaka point 3
It's a good work done by young African
😂😂😂 wamelowa gonga like kwa yanga kwanza twende sawa 😂😂😂😂😂😂
🦁🦁🦁🦁wamecheza vzr sana
Simba waliipania sana iii mexhi
I love you simbaaa
Yanga wanacheza rafu sana 🙆 Ila rafu zao watu mnazipuuzia
Mzinga nampenda htr
BWANA atukuzwe TUmemla Tena mtani afu shida apo ni kauli ya Miguel angel gamond aliwapa tahadhari ila awakuelewa buana kuwa hupaswi kucheza mpira Kwa hasira au kisasi badala yake ni play football for an interest of scoring goals for mostly three points 😂😂😂😅😅😅 ..... benchikha kaongelewa Jana na gamond akalewa mpka leoioi😅😅😅😅
Young Africans is the best club in East African
Congratulations young African piga hao Simba
Jamani mashabiki wa yanga aucho kweli ni doctar mme ona kazi yake kwamba ana balaa
Best gpal by Gwede💯😊😊🎉😮😮
Yanga safiiiii❤❤
Simba Hana bahati tu lakini timu imecheza sana wamekosa magoli mengi. Next time
@estersolomon3172
3 ай бұрын
Wanacheza nn
@petermanala6138
3 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂next time mtacheza na mashujaa sisi hatutak dhambi
@--------GEO_SPORT_EARTH_EA
3 ай бұрын
Wanacheza nini
YANGA raha ❤
@JacobNikolaus-oy2ld
2 ай бұрын
Uwakika aze😂😂😂😂😂
Namtaka yule asie mkubar mpenja mmeona matokekeo? Asante baraka mpenja
Much love ❤❤ yangaa kubabakee humu tyuu😅
❤ ❤❤ Simba
kwel simba kwisha😊
SIMBA walianza kwa kasi lakini baadoo wakatiwa viwili vya moto
Mabingwa hao❤ mm naangalia kila muda
Hataari makolo
Ila yote Kwa yote Aziz ki ni MTu mwenye upendo Sana na binaadam wenzake kaenda kumpa moyo h kazi
Chama hii tabia ya kukanyagia anaipenda sana sana, haki ifanyile
@barakadaprince3742
3 ай бұрын
Acha ufalaaa ww mbona yye akikanyangwa hamsemi ?
Kama kuno tunzo ya shabiki bora Tanzania 🇹🇿 basi ni Kamishna Lilo ❤❤❤
@user-wj7bu6hx5y
3 ай бұрын
Atapewa baraka mpenja japo timu yake imefungwa
Msimu huuu wasiporeta timu tunawafuata hukohuko kwa Mundi Mo😂😂😂
Mpenjq uko juu kaka.....endelea ivoivooooo
Nani anaangalia Leo
Ngoja nitimize comment ya 300
Tunaomba matangazo ya lugha ya kingereza
Makolo hawatuwezi ata kwa uchawi
PAPA GUEDE😂😂🎉🎉🎉
Nimeipenda Sana hiyo ya watu kutokushiriki kwenye Dabi mana mnatukera sana timu yetu niyaajabu Sana
Wananchi tutambe huu ni wakati wetu❤
Asante MUNGU
🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦👌❤❤
Hongra san young africans
SIMBA nguvu moja.Tutarudi tu 💪💪💪
@lukumaytumsifu-cz5ve
3 ай бұрын
Ndy
Wa pili ni mimi,, Simba kakandwa tena😂😂
Baada ya kumsajili chama na dube nimerudi kuangalia 😂😂😂😂😂
Good efforts
Ntibazonkiza Bado ana 36 tu
❤❤❤❤yanga
Uwe hai yesu yu hai
❤❤ simbaaaa
Kipara cha benchika kinapata ujotoujoto😂😂😂😂😂
@michaelrambo6207
15 күн бұрын
Jirani mbona hi comment ya ujotoujoto unairudia au ujoto upi unafikir 😆😆😆😀😀
HIVI HIZI RAFU ZA CHAMA TFF HAWAZIONI, ANA TABIA AMBAZO SI ZA KIMICHEZO ANA RAFU MBAYA NA ZA KIPUUZI
@user-kw4yn3vq2v
2 ай бұрын
Nenda kashtaki unasubili nn
kuanzia sasa hivi mashabiki wa simba tumeweka mgomo hakuna kucheka mpaka siku ambayo timu yetu itapata ushindi
@user-xw4wb3dj4s
2 ай бұрын
Yaani hapaa umesemaaa😢
@bennamush4616
2 ай бұрын
😂😂😂
Huyu miquel. anakazi ya kufukuza makocha kazii 😂😂😂 yani ndani ya miezi kadhaa kashafukuza makocha wa wili hapo ngoja nicheke 🎉🎉🎉 miquel 😂😂😂
Mnyama hoi
@rogersiddy
3 ай бұрын
Hoi tena hoi kweli kweli chakaliii kama kanywa pombe ya pingu vile😂😂😂😂
Wamekufa tenaa 😅😅😅
@evertheobald1811
3 ай бұрын
Mazishi kesho saa 10 jioni pale msimbazi
Jamani tunazika hapa hapa au tunasafirisha
@user-pr7wj1nm1g
2 ай бұрын
Msiba wa pili huu Bora tuzika hapa tupungize gharama nduguu😢
Huyu kazi hapana, akacheze tu lipuli
💚🟢🟢🟢💪💪✅🔰🔰 wananchiiiiiiiii
Tujuane tunao ludia tena kuangalia
"Watashinda kama watafuata mashart ya kambi ya zanzibar" Alisikika mzee kaduguda Jana wakati akiongea na chombo kimoja cha habari😂
@user-po8hz7xw9j
3 ай бұрын
Wahuni hawa
Jenifa mgendi @ nalia polee nalia poleee sanaa😂😂🎉🎉
magoli ya offside 😂😂😂😂
@user-bq4wi1sg7i
2 ай бұрын
Angalia boli acha ushabiki au ujui mpira
@chachamasabi2455
2 ай бұрын
Offside ya nyoko😅😅😅
@sunwizy608
2 ай бұрын
@@chachamasabi2455 offside
@sabinaamadeo8458
2 ай бұрын
Angalia match ya ngao ya jamii yanga v simba 2022 2023 goli mlotufunga afu ndio uje na hiy offside yako.
@sunwizy608
2 ай бұрын
@@sabinaamadeo8458 offside tuu
Yanga♥️
Watoto wa rose muhando 😂😂😂
Mo Dewji Timua Hao Wasaidizi Wako Tafuta Watu Wanaojua Mpira Acha Urafk Mashabiki Ndio Tunaumia Wao Wanapiga Pesa Tu
Makolo wanasema goli la pili kafunga of side 😂😂😂😂😂😂😂😂 mkolo tabu lele raaaaaaaaaaaa
@user-jf8by1cg5k
3 ай бұрын
Raaaaa
Kocha nae anazingua miquison anajua sanaa sema kocha sasa kama hamuamin
Yanga oyeeeeeeee raha kama zote
@Josephkalonga-le9mf
3 ай бұрын
aa mungu wayong tuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
@Josephkalonga-le9mf
3 ай бұрын
oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeyakwetu sisi
🎉wananchiii