Madee amezitaja album zake 4 Bora Bongo Fleva imeanzishwa! Ugali ya Juma Nature haipo! Sababu Part 1
Ойын-сауық
Madee amezitaja album zake 4 kali Toka Kuazishwa kwa Bongo Fleva! Ugali ya Juma Nature haipo!
Tazama full interview hapa, Subscribe channel hii #LilOmmyTV
Пікірлер: 13
Nimependa Kusikia Album Haina Collaboration. Japo Sivibaya Kushirikisha Watu Kwenye Album.. Lakini Kwa Legend Kama Madee Inapaswa Kutoa Album bila Collaboration.. Maana Anaonesha Ukubwa Wake Alıonao..
Ulimwengu ndio mama 🥰😍😍😍😍
Respect to madee and apart from music anaitajiawa kuwa bungeni na hisi jamii inaweza kunufaika kupitia huyu father,yupo tafauti sana na wasani wengine,I love his life style,am Zawadi Lawrence Kayuni all the way from Malawi
Madee nomaa sna bro
Toka Nairobi salimia madee hapo
Unyama ni mwingi sana Pindi Kali sana. Unastahiri heshima Brother Ommy Salute
Shineida nakukubali sana achiangoma
💥💥💥On it
🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Kutoka austria 🇦🇹 ## kizazi sana.
@ibrahimkilete7132
Жыл бұрын
🤝
Mm zangu n ugali