THE CLASSIC FEROOZ:ALBUM YANGU ILWEKA REKODI YA KUUZA NAKALA LAKI MBILI KWA WIKI/TUSIDHARAULIWE
Moja ya waimbaji bora kabisa wa Bongo Fleva Ferooz alifika kwenye The Classic na kupiga stories na Kuvichaka ,alielezea mengi kuanzia mwanzo wa safari yake hadi sasa na kutupa untold stories kuhusu maisha yake,muziki wake na ziada
TAFADHALI SUBSCRIBE CHANNEL HII NI MPYA YA KUVICHAKA
Пікірлер: 43
Nikicheshi, kizuri, kina utu jameni😢😢😢hebu ana myaka mingapi ule kijana. Much loves from Congo.
Broo unaongea sn kuliko msanii yani unaichukua shoo yote ww lkn. Hongera kipindi ni kzr sn and tuna enjoy
Ferouz anaongelea mziki wake kwa upembuzi yakinifu.......inaonyesha for real alikua anajua nn anakifanya na ana elimu kubwa ya Sanaa yake
Starehe ilikua east African anthem
Hawa ndio vioo vya jamii bhana
Huyu mwamba wino wake hautafutika. Afu jamaa nihatari sana kwenye maudhui.
Ferooz ni mwalimu tosha wa fasihi kwa jinsi anavyochambua mziki wake
Thanks EFM for this great Interview. These guys made our youth days. 😭😭. I feel like crying. Peace.
@KuviFacts
4 ай бұрын
Much love and respect
Ukovzr mtangdhaj voice yako on love
Best of the best
SALUTE SANA LEGEND 👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻
Hii ndio generation bora kabisa ya muziki. Vipaji halisi, ubunifu, na akili nyingi. Tumefeli sana kimuziki kwa hali ilivyo sasa na wasanii wapumbavu wanaobebwa na media.
@Youngchimodzi823
7 ай бұрын
Well said my brother frank, today's music have lost leadership and direction. 'Mirungi'inaua vipaji vya vijana wetu
@IfahamuTanzania
24 күн бұрын
Wasanii wengi wa zamani wamesoma
Forever Legend. Starehee is my best. Peace.
Nakubali sana Ndg yangu jay umenisababisha hadi nimeslimu dini nimekuwa Muslim nipate hekima kama zako
@KuviFacts
Жыл бұрын
Mashallah pampja sana ndugu yangu,ALLAH Akuongoze katika njia ilonyooka kaka duniani na Akhera ndugu yngu..One love
@kefajoseph158
Жыл бұрын
Umejiunga na dini ya waabudu shetani shauli yako
@user-ls8rn4tz5m
Жыл бұрын
@@kefajoseph158amka kumekucha
Kumbe tupo huku skuiz ndio maana kule sioni vitu vipya salute bro kuvi
Mshauri Wimbo wastare atowe movie kama 20%
Leo ndio nimegundua mkasa wa boss ina dakika nane
Napenda vile he is very honest. Peace.
Feruzi ww unajuwa nd
Ferudhi unajuwasena wa Tnz wanamusamini mutu akifa ungepewa Tunzo yadunia ww ni rejendra
@LemannMbalwa-gy9ys
2 ай бұрын
nasoma comment ukovzr broo angepewatu😢
TUKO PAMOJA SANA NDUGU✊🏿
Best ideaz 1. Story teller, umri na mashairi yao yalikuwa ni tofauti sana, Akili na busara nyingi sana 2. Nyimbo zao zilikuwa na script like a movies
Wanangu mapicha picha yanaboa!!!
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Waandike Historia hizi kwenye vitabu na interviews kama hizi kwa ajili ya kizazi cha sasa na vizazi vijavyo
@hemedimdee7859
6 ай бұрын
I like the idea. Ila shida watanzania hatupendi kusoma. Ila pia wazo lako ni bora sana. Tukilifikiria vizuri tunaweza tukajua ni namna gani litafanyika kwa ubora.
Here we GO Family✊
Kw kwl mie nisiwe mnafiki kw hasira nilizo nazo ningefuata ushauri wa kiroboto😂
🙌🔥🔥🙌
@Yesu244
Жыл бұрын
G lover
Samahani naomba kuuliza hii swali moja, hvi Ferooze namuona ni kama anataka kufanana na Lady Jaydee kwa umbali, hvi kna wezekano wko na uhusiano wa kifamilia hvi kama brother ama cousin hvi?
@NiraSaire
2 ай бұрын
Hawana uhusiano
@MohaOdes
2 ай бұрын
@@NiraSaire Shukran
Skua najua kama kamanda Ndio feruz nlikua najua kamanda ashafariki 😂😂😂
@simas.a1003
7 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Asante ✊👮