THE CLASSIC FEROOZ:ALBUM YANGU ILWEKA REKODI YA KUUZA NAKALA LAKI MBILI KWA WIKI/TUSIDHARAULIWE

Moja ya waimbaji bora kabisa wa Bongo Fleva Ferooz alifika kwenye The Classic na kupiga stories na Kuvichaka ,alielezea mengi kuanzia mwanzo wa safari yake hadi sasa na kutupa untold stories kuhusu maisha yake,muziki wake na ziada
TAFADHALI SUBSCRIBE CHANNEL HII NI MPYA YA KUVICHAKA

Пікірлер: 43

  • @emmanuelahmedbyona2353
    @emmanuelahmedbyona2353Ай бұрын

    Nikicheshi, kizuri, kina utu jameni😢😢😢hebu ana myaka mingapi ule kijana. Much loves from Congo.

  • @alykhamisomar8845
    @alykhamisomar88455 ай бұрын

    Broo unaongea sn kuliko msanii yani unaichukua shoo yote ww lkn. Hongera kipindi ni kzr sn and tuna enjoy

  • @minuleabdulkadir2838
    @minuleabdulkadir2838 Жыл бұрын

    Ferouz anaongelea mziki wake kwa upembuzi yakinifu.......inaonyesha for real alikua anajua nn anakifanya na ana elimu kubwa ya Sanaa yake

  • @babasmedia6018
    @babasmedia6018 Жыл бұрын

    Starehe ilikua east African anthem

  • @victaboy7273
    @victaboy7273 Жыл бұрын

    Hawa ndio vioo vya jamii bhana

  • @simas.a1003
    @simas.a10037 ай бұрын

    Huyu mwamba wino wake hautafutika. Afu jamaa nihatari sana kwenye maudhui.

  • @Yegon254
    @Yegon2543 ай бұрын

    Ferooz ni mwalimu tosha wa fasihi kwa jinsi anavyochambua mziki wake

  • @vuvuzelajordankhasindu2963
    @vuvuzelajordankhasindu29634 ай бұрын

    Thanks EFM for this great Interview. These guys made our youth days. 😭😭. I feel like crying. Peace.

  • @KuviFacts

    @KuviFacts

    4 ай бұрын

    Much love and respect

  • @LemannMbalwa-gy9ys
    @LemannMbalwa-gy9ys2 ай бұрын

    Ukovzr mtangdhaj voice yako on love

  • @hamisilukanda4353
    @hamisilukanda43536 ай бұрын

    Best of the best

  • @eddiemohamed9003
    @eddiemohamed9003 Жыл бұрын

    SALUTE SANA LEGEND 👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻

  • @frankkajoba8372
    @frankkajoba8372 Жыл бұрын

    Hii ndio generation bora kabisa ya muziki. Vipaji halisi, ubunifu, na akili nyingi. Tumefeli sana kimuziki kwa hali ilivyo sasa na wasanii wapumbavu wanaobebwa na media.

  • @Youngchimodzi823

    @Youngchimodzi823

    7 ай бұрын

    Well said my brother frank, today's music have lost leadership and direction. 'Mirungi'inaua vipaji vya vijana wetu

  • @IfahamuTanzania

    @IfahamuTanzania

    24 күн бұрын

    Wasanii wengi wa zamani wamesoma

  • @vuvuzelajordankhasindu2963
    @vuvuzelajordankhasindu29634 ай бұрын

    Forever Legend. Starehee is my best. Peace.

  • @sabanajunior3243
    @sabanajunior3243 Жыл бұрын

    Nakubali sana Ndg yangu jay umenisababisha hadi nimeslimu dini nimekuwa Muslim nipate hekima kama zako

  • @KuviFacts

    @KuviFacts

    Жыл бұрын

    Mashallah pampja sana ndugu yangu,ALLAH Akuongoze katika njia ilonyooka kaka duniani na Akhera ndugu yngu..One love

  • @kefajoseph158

    @kefajoseph158

    Жыл бұрын

    Umejiunga na dini ya waabudu shetani shauli yako

  • @user-ls8rn4tz5m

    @user-ls8rn4tz5m

    Жыл бұрын

    ​@@kefajoseph158amka kumekucha

  • @mweusiasili8345
    @mweusiasili8345 Жыл бұрын

    Kumbe tupo huku skuiz ndio maana kule sioni vitu vipya salute bro kuvi

  • @LemannMbalwa-gy9ys
    @LemannMbalwa-gy9ys2 ай бұрын

    Mshauri Wimbo wastare atowe movie kama 20%

  • @blazedemontez6211
    @blazedemontez62112 ай бұрын

    Leo ndio nimegundua mkasa wa boss ina dakika nane

  • @vuvuzelajordankhasindu2963
    @vuvuzelajordankhasindu29634 ай бұрын

    Napenda vile he is very honest. Peace.

  • @PrisikasAnto-zg4bq
    @PrisikasAnto-zg4bq Жыл бұрын

    Feruzi ww unajuwa nd

  • @lemannmbalwa439
    @lemannmbalwa43910 ай бұрын

    Ferudhi unajuwasena wa Tnz wanamusamini mutu akifa ungepewa Tunzo yadunia ww ni rejendra

  • @LemannMbalwa-gy9ys

    @LemannMbalwa-gy9ys

    2 ай бұрын

    nasoma comment ukovzr broo angepewatu😢

  • @sahanimdaijasho4055
    @sahanimdaijasho4055 Жыл бұрын

    TUKO PAMOJA SANA NDUGU✊🏿

  • @sidiqmhina7823
    @sidiqmhina78236 ай бұрын

    Best ideaz 1. Story teller, umri na mashairi yao yalikuwa ni tofauti sana, Akili na busara nyingi sana 2. Nyimbo zao zilikuwa na script like a movies

  • @gabrielmoses6860
    @gabrielmoses68607 ай бұрын

    Wanangu mapicha picha yanaboa!!!

  • @kibakivideos
    @kibakivideos Жыл бұрын

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @justineemanuel127
    @justineemanuel1278 ай бұрын

    Waandike Historia hizi kwenye vitabu na interviews kama hizi kwa ajili ya kizazi cha sasa na vizazi vijavyo

  • @hemedimdee7859

    @hemedimdee7859

    6 ай бұрын

    I like the idea. Ila shida watanzania hatupendi kusoma. Ila pia wazo lako ni bora sana. Tukilifikiria vizuri tunaweza tukajua ni namna gani litafanyika kwa ubora.

  • @mwandustar
    @mwandustar Жыл бұрын

    Here we GO Family✊

  • @salimjumaa8180
    @salimjumaa81805 ай бұрын

    Kw kwl mie nisiwe mnafiki kw hasira nilizo nazo ningefuata ushauri wa kiroboto😂

  • @guluramadhani1799
    @guluramadhani1799 Жыл бұрын

    🙌🔥🔥🙌

  • @Yesu244

    @Yesu244

    Жыл бұрын

    G lover

  • @MohaOdes
    @MohaOdes2 ай бұрын

    Samahani naomba kuuliza hii swali moja, hvi Ferooze namuona ni kama anataka kufanana na Lady Jaydee kwa umbali, hvi kna wezekano wko na uhusiano wa kifamilia hvi kama brother ama cousin hvi?

  • @NiraSaire

    @NiraSaire

    2 ай бұрын

    Hawana uhusiano

  • @MohaOdes

    @MohaOdes

    2 ай бұрын

    @@NiraSaire Shukran

  • @habibhassan8733
    @habibhassan873311 ай бұрын

    Skua najua kama kamanda Ndio feruz nlikua najua kamanda ashafariki 😂😂😂

  • @simas.a1003

    @simas.a1003

    7 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @niggahoodthemc9156
    @niggahoodthemc9156 Жыл бұрын

    Asante ✊👮

Келесі