🔴LIVE: MAKONDA ANAUNGURUMA ARUSHA MUDA HUU, ANAWAFYATUA VIONGOZI BILA HURUMA

Ойын-сауық

..................
Kwa taarifa zaidi subscribe channel yetu na endelea kutufuatilia kupitia mitandao ya kijamii
Instagram, Twitter na Facebook

Пікірлер: 85

  • @FredPaul-fy8wq
    @FredPaul-fy8wq17 күн бұрын

    Baba makonda unachapa kazi nzuri mungu akulinde uixhi miaka mingi Duniani

  • @user-qi2uv5zr3l
    @user-qi2uv5zr3lАй бұрын

    Magufuli alipofariki watu walikata tamaa wakisema hawezi tena kupatikana kiongozi mwingine kama yeye, sasa leo magufuli wa pili huyo hapo kajitokeza, mheshimiwa RC Makonda amevaa kiatu cha magufuli. Kwa kweli Makonda anafanya kazi kwa haki. Mungu tunaomba ulinzi wako juu ya Makonda.

  • @marryeliasmarryelias9289

    @marryeliasmarryelias9289

    Ай бұрын

    Eee mwenzi MUNGU nakuomba unlinde huyu kaka makpnda tafadhali MUNGU tunakusii usimame nae Kwa Kila atua🙏🙏😭

  • @manncheyepastory6845

    @manncheyepastory6845

    Ай бұрын

    Kinacho fanyika Arusha na mikoa mingine wainge kwani maeneo mengi wamengeuza shida za wananchi kuwa mirandi Yao , na wengine wanaitengeza , au wanachocheya Raha Yao nikuona migogoro inadumu,Raisi tumia jicho la tatu,,, ,

  • @devothasimbi6495

    @devothasimbi6495

    Ай бұрын

    Unamaanisha Nini sijakuelewa Kabisa unaweza nifafanulia kwa upana zaidi​@@manncheyepastory6845

  • @chriskasiga7562

    @chriskasiga7562

    21 күн бұрын

    ❤❤

  • @ZawadiSaid-x6f
    @ZawadiSaid-x6f6 күн бұрын

    Mungu akubariki kakaangu makonda unaokoa sana wananchi wa arusha mungu amekuweka sababu ya wananch

  • @joachimgolola62
    @joachimgolola62Ай бұрын

    Piga kazi na Mungu,akulinde.

  • @leahkabura4271
    @leahkabura4271Ай бұрын

    Nmelia aki ya Mungu😢 Watu wanateswa na viongozi! Makonda Mungu akubariki

  • @ZawadiSaid-x6f
    @ZawadiSaid-x6f6 күн бұрын

    Nyoosha arusha nyoosha baba mungu amekuleta kwa ability yetu

  • @IsayahNgoiva
    @IsayahNgoivaАй бұрын

    Makonda safi,,ufisadi itakoma arusha jiji

  • @ZawadiSaid-x6f
    @ZawadiSaid-x6f6 күн бұрын

    Happy kakaangu makonda uelewe ndio mana wananchi wanasema rawalpindi ccm ujue wananchi tunateseka hivo na hilo sio arusha tu seem zote Tanzania wananchi hawajui kama ni viongozi wetu wa China ndio wanafanya hayo wanajua ni chama hongera sana makonda waeleweshe wananchi tunauana sis kwa sisi sio chama

  • @user-ru4wm6bn7y
    @user-ru4wm6bn7yАй бұрын

    Mungu akutie nguvu na kukupa afya njema kwa neema zake.Amina.

  • @dorcasmfaume4796
    @dorcasmfaume4796Ай бұрын

    Tunakuombea ulinzi Mungu aachilie malaika zake walinzi wakuzingire Kila unapokuwa kwa jina la Yesu Kristo

  • @kimandafukitefu2999
    @kimandafukitefu2999Ай бұрын

    AISEE JAMAA ANAFANYA KAZI SANA UKWELI USEMWE

  • @JumaAbdallah-gn5qu
    @JumaAbdallah-gn5quАй бұрын

    🔧🔧🔧🔧🔧spana spanaaa😆😆😆spanaa😄😄😄🔧🔧🔧Piga KAZI Baba

  • @migombaelinest3500
    @migombaelinest3500Ай бұрын

    Mungu akubaliki kaka makondo kwa kila hatua unayopiga.

  • @lukooaugustino9424
    @lukooaugustino9424Ай бұрын

    Makonda Mungu akujalie njema ili iendelee kupiga kazi

  • @esterlaurent9395
    @esterlaurent9395Ай бұрын

    Nampenda sana makonda jaman ♥️♥️♥️♥️piga kazi baba watanyoka tu

  • @hillarydominic1890
    @hillarydominic1890Ай бұрын

    Congratulations MAKONDA 🇰🇪

  • @nicensheka8034
    @nicensheka8034Ай бұрын

    Mungu akulinde ndugu yetu Makonda. Kazi unaiweza sana sana, tungepata wengine wachache tu kama wewe, nchi ingesimama

  • @ConfusedBarbecue-he1nb
    @ConfusedBarbecue-he1nbАй бұрын

    Makonda mungu akulinde naamina hawakupendi kwa kazi unayoifanya

  • @evidencekangimba1538
    @evidencekangimba1538Ай бұрын

    Jamaa akimaliza hotuba zake upigwe wimbo wa taifa kwa heshima yake

  • @user-yj2ki5fd3p
    @user-yj2ki5fd3pАй бұрын

    Mungu akutunze Kuna watu wengi wanatesekea kw ajil yawengine . Wantooshe na mafundisho pia

  • @eddyntabo6001
    @eddyntabo600122 күн бұрын

    Good job,makonda.eddy from Kenya

  • @keffaonchiri7813
    @keffaonchiri781322 күн бұрын

    Huyu ndio kiboko cha Wa Tanzania,Makonda hoyeeeee!

  • @daudimwakipesile4801
    @daudimwakipesile4801Ай бұрын

    Mungu akukumbuke brother

  • @aloycemassawe8652
    @aloycemassawe8652Ай бұрын

    Mungu akupe nguvu.

  • @HappyYusuph-ru3nn
    @HappyYusuph-ru3nnАй бұрын

    Fanya kazi kaka yangu mungu atakusimamia

  • @user-db2bv7ok7y
    @user-db2bv7ok7yАй бұрын

    Wakuu wa mikoa wengine mko wapi kwa nini msiinge kwa mwenzenu wakuu 2:36

  • @saidmilanzi45
    @saidmilanzi45Ай бұрын

    Sema baba👍👍👍👍👍👏👏😀

  • @samsonhamery3809
    @samsonhamery3809Ай бұрын

    Vyama vya upinzani wanaomtukanaga Makonda na kumkebehi waone Soni wanyamaze kimya Makonda yuko katika kutewatendea watu haki amepata heshima kubwa kwa wananchi

  • @user-mu9uf5le6j
    @user-mu9uf5le6jАй бұрын

    Mimi ndio mwanainchi namba moja naemkubali makonda toka akiwa mjumbe wa katiba adi akiwa mkuu wawilaya adi mkuu wa mkoa pia uenezi adi leo mkuu wa mkoa makonda oyeee

  • @OmanOman-dn6dj
    @OmanOman-dn6djАй бұрын

    Yule Mwanasheria mrefu mweusi yuko wali

  • @user-fw8le7lk8d
    @user-fw8le7lk8dАй бұрын

    Mungu akulinde sana maana huu ni mtihani 😮😮

  • @user-jl5un4wf3u
    @user-jl5un4wf3uАй бұрын

    Huyobwana nikibaraka wahaowanaompa ufanyakazibora hizofedha zaunyanganyi anakulanao.

  • @RajabuHussein-to7jz
    @RajabuHussein-to7jzАй бұрын

    Natamani makonda Aje morogoro Kuna madudu

  • @Erickbenard89
    @Erickbenard89Ай бұрын

    Piga kazi mzee mungu atakulinda

  • @user-tx6dh6ii3m
    @user-tx6dh6ii3mАй бұрын

    Asante mkuu wamkoa ndonakuelewa baba wezi miwengi sn

  • @Zainabubukoko
    @Zainabubukoko23 күн бұрын

    Makonda piga kazi

  • @PhilipShayo
    @PhilipShayoАй бұрын

    Makonda kamanda huyo,mtetezi wa wanyonge

  • @JacksonMiage
    @JacksonMiageАй бұрын

    Fika kata ya lashaine

  • @godsonkilua7738
    @godsonkilua7738Ай бұрын

    Mh Makonda hii tabia ya viongozi wa vijiji kudhurumu wananchi Mimi Ni mmojawapo wa wahanga tumedhurumiwa eneo letu Gairo na kujengwa majengo ya Posta na simu. Kwa hili unalolifanya Mungu atakulinda usiku na mchana.

  • @jamesmzaki6041

    @jamesmzaki6041

    Ай бұрын

    Mmmh! Umeenda kwa DC Jabir au Shabiby akashindwa kukusaidia???

  • @user-oo7qg9yn2p
    @user-oo7qg9yn2p23 күн бұрын

    Biidhini llah

  • @geofreybakina6010
    @geofreybakina6010Ай бұрын

    Hapo ni Arusha tu,je nchi nzima ipoje,Halmashauri zimedhurumu sana na kuuwa watu.

  • @Herson-yw6cn

    @Herson-yw6cn

    Ай бұрын

    Inasikitisha sana viongozi kuwa vinara wa kuwazidishia umasikini wananchi

  • @devothasimbi6495

    @devothasimbi6495

    Ай бұрын

    Hui ndimi Tanzania yetu Mimi nitarudi kuishi Tanzania nikifikia mida Wa kustafu sasa ni kuja kutembea tu wiki Tatu narudi kusikon'a unyanyassji uliokithili kwa kiwango cha juu

  • @jacksonPaulo-py2tc
    @jacksonPaulo-py2tcАй бұрын

    Nakukubali baba tungua Hawa Wala rushwa wamezid sana😅

  • @OmanOman-dn6dj
    @OmanOman-dn6djАй бұрын

    Makonda Safiii

  • @DafiMohamed-dz8xk
    @DafiMohamed-dz8xkАй бұрын

    Makonda piga spana wewe ndio rais wangu ambaye nakuombea mungu malengo yatimie napenda sana viongozi wenye msimamo sio ndumilakuwili upo vzr sana mkubwa Tanzania inahitaji kiongozi kama wewe na Africa pia

  • @user-mu9uf5le6j

    @user-mu9uf5le6j

    Ай бұрын

    Kweli

  • @esthermwikali5403
    @esthermwikali5403Ай бұрын

    Uyu ndiwani ni muongo

  • @emanulmwaitege5531
    @emanulmwaitege5531Ай бұрын

    Safi makonda

  • @chriseskibet718
    @chriseskibet718Ай бұрын

    Sitachoka kufuatilia RC Makonda mtandaoni,najiskia amani sana nikiwa Kenya anaposaidia watu.

  • @OmanOman-dn6dj
    @OmanOman-dn6djАй бұрын

    Washajichanganya

  • @ibrahimame9805
    @ibrahimame9805Ай бұрын

    Nipo zanzibar ila mh. makonda nakukubali cna.ila tunaibiwa rais anawambia wajitathmini. Upumbavu mtupu. Kazi wizi tu

  • @PhilipShayo
    @PhilipShayoАй бұрын

    2:07:49

  • @saidmilanzi45
    @saidmilanzi45Ай бұрын

    🇹🇦🇹🇦🇹🇿

  • @ConfusedBarbecue-he1nb
    @ConfusedBarbecue-he1nbАй бұрын

    Wapigaji mtamtetea mtendaji!

  • @geofreybakina6010
    @geofreybakina6010Ай бұрын

    Sasa kama hapo ni Arusha tu je nchi nzima si watu wamekufa jmn

  • @BernardMandali
    @BernardMandaliАй бұрын

    Jaman rais naomba utukodishie maonda mkoa wa kigoma kwa siku mbili

  • @sonimurat
    @sonimurat19 күн бұрын

    Mimi ni mfanyabiashara, huyu navyomuona hata nafasi ya ufagiaji hana, bora kibao cha uso alooo, na wewe mzee umepiga sana watu hula mdogomdogo 😅

  • @diametz5899
    @diametz5899Ай бұрын

    😢😢

  • @VeronicaMasawe
    @VeronicaMasaweАй бұрын

    Huyu ni simba, anahunguruma balaa

  • @dignafreddy9763
    @dignafreddy9763Ай бұрын

    Piga spana babaa 😂 Tuko nyuma yako

  • @PamelaKagisa
    @PamelaKagisaАй бұрын

    Mweshimiwa makonda namba yako ya simu au ya wasaidizi wako tunaipataje?

  • @user-uk3iw1su4i
    @user-uk3iw1su4i19 күн бұрын

    oyooo

  • @EmmanuelMajele-ny2hk
    @EmmanuelMajele-ny2hkАй бұрын

    Makonda Akili nying

  • @KaujuMwakajumba
    @KaujuMwakajumbaАй бұрын

    Hofu yangu ni ulinzi wa huyu malaika wa mungu.... Makonda ni malaika kutoka mbinguni.....walimuua Magufuli.....eeh mungu mlinde huyu kijana mpenda haki.....tatizo CCM wenyewe ndio wanamfanyia dhuruma

  • @anwarKhan-gn6yt
    @anwarKhan-gn6ytАй бұрын

    Acha kudhalilisha watumishi

  • @StanleyOscar-kc4hm

    @StanleyOscar-kc4hm

    Ай бұрын

    Na ww ndo wote wara rushwa mbwa ww

  • @loveness09-k
    @loveness09-kАй бұрын

    😭😭😭😭

  • @rashidimwaluwanda6898
    @rashidimwaluwanda6898Ай бұрын

    Kabisa jamin siyo muchezo

  • @JoshuaLaiza-ze7ge
    @JoshuaLaiza-ze7geАй бұрын

    hiyo mtendaji hata ajielewi

  • @devothasimbi6495

    @devothasimbi6495

    Ай бұрын

    Anajielewa kwa uwezo wake na maswali anayoulizwa yanatokana na maelezo Yake cha kusikitisha ni Mume Wa mtu n'a Baba Pia ni jirani piga picha

  • @lemmywanjeh4366
    @lemmywanjeh4366Ай бұрын

    Dhuluma iko kila mahali

  • @devothasimbi6495

    @devothasimbi6495

    Ай бұрын

    Sio kweli dhuruma za hivi haziko kila mahali kama ulivyoamini

  • @hassannapenda6182
    @hassannapenda6182Ай бұрын

    EEEEE MWENYEZI MUNGU. MPEE ULINZI MTUMISHI WAKO NDG PAUL MAKONDA KWA KAZI ANYOIFANYA. KTK TAIFA HILI. MUNGU AKUBARIKI NDG P.MAKONDA

  • @user-fw8le7lk8d
    @user-fw8le7lk8dАй бұрын

    😂😂😂

  • @danielsonkimaro5672
    @danielsonkimaro567221 күн бұрын

    Barikiwa sana mkuu wa mkoa wa Arusha

  • @lemmywanjeh4366
    @lemmywanjeh4366Ай бұрын

    Mimi mkenya na nmefatilia sana huyu makonda I say Mungu amweke Jamaa kajichanganya hapo maharaja 3 saii ni 2

  • @user-jl5un4wf3u
    @user-jl5un4wf3uАй бұрын

    Huyobwana nikibaraka wahaowanaompa ufanyakazibora hizofedha zaunyanganyi anakulanao.

Келесі