.................. Kwa taarifa zaidi subscribe channel yetu na endelea kutufuatilia kupitia mitandao ya kijamii Instagram, Twitter na Facebook
Жүктеу.....
Пікірлер: 85
@FredPaul-fy8wq17 күн бұрын
Baba makonda unachapa kazi nzuri mungu akulinde uixhi miaka mingi Duniani
@user-qi2uv5zr3lАй бұрын
Magufuli alipofariki watu walikata tamaa wakisema hawezi tena kupatikana kiongozi mwingine kama yeye, sasa leo magufuli wa pili huyo hapo kajitokeza, mheshimiwa RC Makonda amevaa kiatu cha magufuli. Kwa kweli Makonda anafanya kazi kwa haki. Mungu tunaomba ulinzi wako juu ya Makonda.
@marryeliasmarryelias9289
Ай бұрын
Eee mwenzi MUNGU nakuomba unlinde huyu kaka makpnda tafadhali MUNGU tunakusii usimame nae Kwa Kila atua🙏🙏😭
@manncheyepastory6845
Ай бұрын
Kinacho fanyika Arusha na mikoa mingine wainge kwani maeneo mengi wamengeuza shida za wananchi kuwa mirandi Yao , na wengine wanaitengeza , au wanachocheya Raha Yao nikuona migogoro inadumu,Raisi tumia jicho la tatu,,, ,
@devothasimbi6495
Ай бұрын
Unamaanisha Nini sijakuelewa Kabisa unaweza nifafanulia kwa upana zaidi@@manncheyepastory6845
@chriskasiga7562
21 күн бұрын
❤❤
@ZawadiSaid-x6f6 күн бұрын
Mungu akubariki kakaangu makonda unaokoa sana wananchi wa arusha mungu amekuweka sababu ya wananch
@joachimgolola62Ай бұрын
Piga kazi na Mungu,akulinde.
@leahkabura4271Ай бұрын
Nmelia aki ya Mungu😢 Watu wanateswa na viongozi! Makonda Mungu akubariki
@ZawadiSaid-x6f6 күн бұрын
Nyoosha arusha nyoosha baba mungu amekuleta kwa ability yetu
@IsayahNgoivaАй бұрын
Makonda safi,,ufisadi itakoma arusha jiji
@ZawadiSaid-x6f6 күн бұрын
Happy kakaangu makonda uelewe ndio mana wananchi wanasema rawalpindi ccm ujue wananchi tunateseka hivo na hilo sio arusha tu seem zote Tanzania wananchi hawajui kama ni viongozi wetu wa China ndio wanafanya hayo wanajua ni chama hongera sana makonda waeleweshe wananchi tunauana sis kwa sisi sio chama
@user-ru4wm6bn7yАй бұрын
Mungu akutie nguvu na kukupa afya njema kwa neema zake.Amina.
@dorcasmfaume4796Ай бұрын
Tunakuombea ulinzi Mungu aachilie malaika zake walinzi wakuzingire Kila unapokuwa kwa jina la Yesu Kristo
@kimandafukitefu2999Ай бұрын
AISEE JAMAA ANAFANYA KAZI SANA UKWELI USEMWE
@JumaAbdallah-gn5quАй бұрын
🔧🔧🔧🔧🔧spana spanaaa😆😆😆spanaa😄😄😄🔧🔧🔧Piga KAZI Baba
@migombaelinest3500Ай бұрын
Mungu akubaliki kaka makondo kwa kila hatua unayopiga.
@lukooaugustino9424Ай бұрын
Makonda Mungu akujalie njema ili iendelee kupiga kazi
@esterlaurent9395Ай бұрын
Nampenda sana makonda jaman ♥️♥️♥️♥️piga kazi baba watanyoka tu
@hillarydominic1890Ай бұрын
Congratulations MAKONDA 🇰🇪
@nicensheka8034Ай бұрын
Mungu akulinde ndugu yetu Makonda. Kazi unaiweza sana sana, tungepata wengine wachache tu kama wewe, nchi ingesimama
@ConfusedBarbecue-he1nbАй бұрын
Makonda mungu akulinde naamina hawakupendi kwa kazi unayoifanya
@evidencekangimba1538Ай бұрын
Jamaa akimaliza hotuba zake upigwe wimbo wa taifa kwa heshima yake
@user-yj2ki5fd3pАй бұрын
Mungu akutunze Kuna watu wengi wanatesekea kw ajil yawengine . Wantooshe na mafundisho pia
@eddyntabo600122 күн бұрын
Good job,makonda.eddy from Kenya
@keffaonchiri781322 күн бұрын
Huyu ndio kiboko cha Wa Tanzania,Makonda hoyeeeee!
@daudimwakipesile4801Ай бұрын
Mungu akukumbuke brother
@aloycemassawe8652Ай бұрын
Mungu akupe nguvu.
@HappyYusuph-ru3nnАй бұрын
Fanya kazi kaka yangu mungu atakusimamia
@user-db2bv7ok7yАй бұрын
Wakuu wa mikoa wengine mko wapi kwa nini msiinge kwa mwenzenu wakuu 2:36
@saidmilanzi45Ай бұрын
Sema baba👍👍👍👍👍👏👏😀
@samsonhamery3809Ай бұрын
Vyama vya upinzani wanaomtukanaga Makonda na kumkebehi waone Soni wanyamaze kimya Makonda yuko katika kutewatendea watu haki amepata heshima kubwa kwa wananchi
@user-mu9uf5le6jАй бұрын
Mimi ndio mwanainchi namba moja naemkubali makonda toka akiwa mjumbe wa katiba adi akiwa mkuu wawilaya adi mkuu wa mkoa pia uenezi adi leo mkuu wa mkoa makonda oyeee
Asante mkuu wamkoa ndonakuelewa baba wezi miwengi sn
@Zainabubukoko23 күн бұрын
Makonda piga kazi
@PhilipShayoАй бұрын
Makonda kamanda huyo,mtetezi wa wanyonge
@JacksonMiageАй бұрын
Fika kata ya lashaine
@godsonkilua7738Ай бұрын
Mh Makonda hii tabia ya viongozi wa vijiji kudhurumu wananchi Mimi Ni mmojawapo wa wahanga tumedhurumiwa eneo letu Gairo na kujengwa majengo ya Posta na simu. Kwa hili unalolifanya Mungu atakulinda usiku na mchana.
@jamesmzaki6041
Ай бұрын
Mmmh! Umeenda kwa DC Jabir au Shabiby akashindwa kukusaidia???
@user-oo7qg9yn2p23 күн бұрын
Biidhini llah
@geofreybakina6010Ай бұрын
Hapo ni Arusha tu,je nchi nzima ipoje,Halmashauri zimedhurumu sana na kuuwa watu.
@Herson-yw6cn
Ай бұрын
Inasikitisha sana viongozi kuwa vinara wa kuwazidishia umasikini wananchi
@devothasimbi6495
Ай бұрын
Hui ndimi Tanzania yetu Mimi nitarudi kuishi Tanzania nikifikia mida Wa kustafu sasa ni kuja kutembea tu wiki Tatu narudi kusikon'a unyanyassji uliokithili kwa kiwango cha juu
@jacksonPaulo-py2tcАй бұрын
Nakukubali baba tungua Hawa Wala rushwa wamezid sana😅
@OmanOman-dn6djАй бұрын
Makonda Safiii
@DafiMohamed-dz8xkАй бұрын
Makonda piga spana wewe ndio rais wangu ambaye nakuombea mungu malengo yatimie napenda sana viongozi wenye msimamo sio ndumilakuwili upo vzr sana mkubwa Tanzania inahitaji kiongozi kama wewe na Africa pia
@user-mu9uf5le6j
Ай бұрын
Kweli
@esthermwikali5403Ай бұрын
Uyu ndiwani ni muongo
@emanulmwaitege5531Ай бұрын
Safi makonda
@chriseskibet718Ай бұрын
Sitachoka kufuatilia RC Makonda mtandaoni,najiskia amani sana nikiwa Kenya anaposaidia watu.
@OmanOman-dn6djАй бұрын
Washajichanganya
@ibrahimame9805Ай бұрын
Nipo zanzibar ila mh. makonda nakukubali cna.ila tunaibiwa rais anawambia wajitathmini. Upumbavu mtupu. Kazi wizi tu
@PhilipShayoАй бұрын
2:07:49
@saidmilanzi45Ай бұрын
🇹🇦🇹🇦🇹🇿
@ConfusedBarbecue-he1nbАй бұрын
Wapigaji mtamtetea mtendaji!
@geofreybakina6010Ай бұрын
Sasa kama hapo ni Arusha tu je nchi nzima si watu wamekufa jmn
@BernardMandaliАй бұрын
Jaman rais naomba utukodishie maonda mkoa wa kigoma kwa siku mbili
@sonimurat19 күн бұрын
Mimi ni mfanyabiashara, huyu navyomuona hata nafasi ya ufagiaji hana, bora kibao cha uso alooo, na wewe mzee umepiga sana watu hula mdogomdogo 😅
@diametz5899Ай бұрын
😢😢
@VeronicaMasaweАй бұрын
Huyu ni simba, anahunguruma balaa
@dignafreddy9763Ай бұрын
Piga spana babaa 😂 Tuko nyuma yako
@PamelaKagisaАй бұрын
Mweshimiwa makonda namba yako ya simu au ya wasaidizi wako tunaipataje?
@user-uk3iw1su4i19 күн бұрын
oyooo
@EmmanuelMajele-ny2hkАй бұрын
Makonda Akili nying
@KaujuMwakajumbaАй бұрын
Hofu yangu ni ulinzi wa huyu malaika wa mungu.... Makonda ni malaika kutoka mbinguni.....walimuua Magufuli.....eeh mungu mlinde huyu kijana mpenda haki.....tatizo CCM wenyewe ndio wanamfanyia dhuruma
@anwarKhan-gn6ytАй бұрын
Acha kudhalilisha watumishi
@StanleyOscar-kc4hm
Ай бұрын
Na ww ndo wote wara rushwa mbwa ww
@loveness09-kАй бұрын
😭😭😭😭
@rashidimwaluwanda6898Ай бұрын
Kabisa jamin siyo muchezo
@JoshuaLaiza-ze7geАй бұрын
hiyo mtendaji hata ajielewi
@devothasimbi6495
Ай бұрын
Anajielewa kwa uwezo wake na maswali anayoulizwa yanatokana na maelezo Yake cha kusikitisha ni Mume Wa mtu n'a Baba Pia ni jirani piga picha
@lemmywanjeh4366Ай бұрын
Dhuluma iko kila mahali
@devothasimbi6495
Ай бұрын
Sio kweli dhuruma za hivi haziko kila mahali kama ulivyoamini
@hassannapenda6182Ай бұрын
EEEEE MWENYEZI MUNGU. MPEE ULINZI MTUMISHI WAKO NDG PAUL MAKONDA KWA KAZI ANYOIFANYA. KTK TAIFA HILI. MUNGU AKUBARIKI NDG P.MAKONDA
@user-fw8le7lk8dАй бұрын
😂😂😂
@danielsonkimaro567221 күн бұрын
Barikiwa sana mkuu wa mkoa wa Arusha
@lemmywanjeh4366Ай бұрын
Mimi mkenya na nmefatilia sana huyu makonda I say Mungu amweke Jamaa kajichanganya hapo maharaja 3 saii ni 2
Пікірлер: 85
Baba makonda unachapa kazi nzuri mungu akulinde uixhi miaka mingi Duniani
Magufuli alipofariki watu walikata tamaa wakisema hawezi tena kupatikana kiongozi mwingine kama yeye, sasa leo magufuli wa pili huyo hapo kajitokeza, mheshimiwa RC Makonda amevaa kiatu cha magufuli. Kwa kweli Makonda anafanya kazi kwa haki. Mungu tunaomba ulinzi wako juu ya Makonda.
@marryeliasmarryelias9289
Ай бұрын
Eee mwenzi MUNGU nakuomba unlinde huyu kaka makpnda tafadhali MUNGU tunakusii usimame nae Kwa Kila atua🙏🙏😭
@manncheyepastory6845
Ай бұрын
Kinacho fanyika Arusha na mikoa mingine wainge kwani maeneo mengi wamengeuza shida za wananchi kuwa mirandi Yao , na wengine wanaitengeza , au wanachocheya Raha Yao nikuona migogoro inadumu,Raisi tumia jicho la tatu,,, ,
@devothasimbi6495
Ай бұрын
Unamaanisha Nini sijakuelewa Kabisa unaweza nifafanulia kwa upana zaidi@@manncheyepastory6845
@chriskasiga7562
21 күн бұрын
❤❤
Mungu akubariki kakaangu makonda unaokoa sana wananchi wa arusha mungu amekuweka sababu ya wananch
Piga kazi na Mungu,akulinde.
Nmelia aki ya Mungu😢 Watu wanateswa na viongozi! Makonda Mungu akubariki
Nyoosha arusha nyoosha baba mungu amekuleta kwa ability yetu
Makonda safi,,ufisadi itakoma arusha jiji
Happy kakaangu makonda uelewe ndio mana wananchi wanasema rawalpindi ccm ujue wananchi tunateseka hivo na hilo sio arusha tu seem zote Tanzania wananchi hawajui kama ni viongozi wetu wa China ndio wanafanya hayo wanajua ni chama hongera sana makonda waeleweshe wananchi tunauana sis kwa sisi sio chama
Mungu akutie nguvu na kukupa afya njema kwa neema zake.Amina.
Tunakuombea ulinzi Mungu aachilie malaika zake walinzi wakuzingire Kila unapokuwa kwa jina la Yesu Kristo
AISEE JAMAA ANAFANYA KAZI SANA UKWELI USEMWE
🔧🔧🔧🔧🔧spana spanaaa😆😆😆spanaa😄😄😄🔧🔧🔧Piga KAZI Baba
Mungu akubaliki kaka makondo kwa kila hatua unayopiga.
Makonda Mungu akujalie njema ili iendelee kupiga kazi
Nampenda sana makonda jaman ♥️♥️♥️♥️piga kazi baba watanyoka tu
Congratulations MAKONDA 🇰🇪
Mungu akulinde ndugu yetu Makonda. Kazi unaiweza sana sana, tungepata wengine wachache tu kama wewe, nchi ingesimama
Makonda mungu akulinde naamina hawakupendi kwa kazi unayoifanya
Jamaa akimaliza hotuba zake upigwe wimbo wa taifa kwa heshima yake
Mungu akutunze Kuna watu wengi wanatesekea kw ajil yawengine . Wantooshe na mafundisho pia
Good job,makonda.eddy from Kenya
Huyu ndio kiboko cha Wa Tanzania,Makonda hoyeeeee!
Mungu akukumbuke brother
Mungu akupe nguvu.
Fanya kazi kaka yangu mungu atakusimamia
Wakuu wa mikoa wengine mko wapi kwa nini msiinge kwa mwenzenu wakuu 2:36
Sema baba👍👍👍👍👍👏👏😀
Vyama vya upinzani wanaomtukanaga Makonda na kumkebehi waone Soni wanyamaze kimya Makonda yuko katika kutewatendea watu haki amepata heshima kubwa kwa wananchi
Mimi ndio mwanainchi namba moja naemkubali makonda toka akiwa mjumbe wa katiba adi akiwa mkuu wawilaya adi mkuu wa mkoa pia uenezi adi leo mkuu wa mkoa makonda oyeee
Yule Mwanasheria mrefu mweusi yuko wali
Mungu akulinde sana maana huu ni mtihani 😮😮
Huyobwana nikibaraka wahaowanaompa ufanyakazibora hizofedha zaunyanganyi anakulanao.
Natamani makonda Aje morogoro Kuna madudu
Piga kazi mzee mungu atakulinda
Asante mkuu wamkoa ndonakuelewa baba wezi miwengi sn
Makonda piga kazi
Makonda kamanda huyo,mtetezi wa wanyonge
Fika kata ya lashaine
Mh Makonda hii tabia ya viongozi wa vijiji kudhurumu wananchi Mimi Ni mmojawapo wa wahanga tumedhurumiwa eneo letu Gairo na kujengwa majengo ya Posta na simu. Kwa hili unalolifanya Mungu atakulinda usiku na mchana.
@jamesmzaki6041
Ай бұрын
Mmmh! Umeenda kwa DC Jabir au Shabiby akashindwa kukusaidia???
Biidhini llah
Hapo ni Arusha tu,je nchi nzima ipoje,Halmashauri zimedhurumu sana na kuuwa watu.
@Herson-yw6cn
Ай бұрын
Inasikitisha sana viongozi kuwa vinara wa kuwazidishia umasikini wananchi
@devothasimbi6495
Ай бұрын
Hui ndimi Tanzania yetu Mimi nitarudi kuishi Tanzania nikifikia mida Wa kustafu sasa ni kuja kutembea tu wiki Tatu narudi kusikon'a unyanyassji uliokithili kwa kiwango cha juu
Nakukubali baba tungua Hawa Wala rushwa wamezid sana😅
Makonda Safiii
Makonda piga spana wewe ndio rais wangu ambaye nakuombea mungu malengo yatimie napenda sana viongozi wenye msimamo sio ndumilakuwili upo vzr sana mkubwa Tanzania inahitaji kiongozi kama wewe na Africa pia
@user-mu9uf5le6j
Ай бұрын
Kweli
Uyu ndiwani ni muongo
Safi makonda
Sitachoka kufuatilia RC Makonda mtandaoni,najiskia amani sana nikiwa Kenya anaposaidia watu.
Washajichanganya
Nipo zanzibar ila mh. makonda nakukubali cna.ila tunaibiwa rais anawambia wajitathmini. Upumbavu mtupu. Kazi wizi tu
2:07:49
🇹🇦🇹🇦🇹🇿
Wapigaji mtamtetea mtendaji!
Sasa kama hapo ni Arusha tu je nchi nzima si watu wamekufa jmn
Jaman rais naomba utukodishie maonda mkoa wa kigoma kwa siku mbili
Mimi ni mfanyabiashara, huyu navyomuona hata nafasi ya ufagiaji hana, bora kibao cha uso alooo, na wewe mzee umepiga sana watu hula mdogomdogo 😅
😢😢
Huyu ni simba, anahunguruma balaa
Piga spana babaa 😂 Tuko nyuma yako
Mweshimiwa makonda namba yako ya simu au ya wasaidizi wako tunaipataje?
oyooo
Makonda Akili nying
Hofu yangu ni ulinzi wa huyu malaika wa mungu.... Makonda ni malaika kutoka mbinguni.....walimuua Magufuli.....eeh mungu mlinde huyu kijana mpenda haki.....tatizo CCM wenyewe ndio wanamfanyia dhuruma
Acha kudhalilisha watumishi
@StanleyOscar-kc4hm
Ай бұрын
Na ww ndo wote wara rushwa mbwa ww
😭😭😭😭
Kabisa jamin siyo muchezo
hiyo mtendaji hata ajielewi
@devothasimbi6495
Ай бұрын
Anajielewa kwa uwezo wake na maswali anayoulizwa yanatokana na maelezo Yake cha kusikitisha ni Mume Wa mtu n'a Baba Pia ni jirani piga picha
Dhuluma iko kila mahali
@devothasimbi6495
Ай бұрын
Sio kweli dhuruma za hivi haziko kila mahali kama ulivyoamini
EEEEE MWENYEZI MUNGU. MPEE ULINZI MTUMISHI WAKO NDG PAUL MAKONDA KWA KAZI ANYOIFANYA. KTK TAIFA HILI. MUNGU AKUBARIKI NDG P.MAKONDA
😂😂😂
Barikiwa sana mkuu wa mkoa wa Arusha
Mimi mkenya na nmefatilia sana huyu makonda I say Mungu amweke Jamaa kajichanganya hapo maharaja 3 saii ni 2
Huyobwana nikibaraka wahaowanaompa ufanyakazibora hizofedha zaunyanganyi anakulanao.