Ase sas hivi mmeishiwa vitu vya kufanya kamavile redio yakijiji
@mrsinia3064
2 ай бұрын
😂😂 kvp tena boss
@mussakiziyzi408Ай бұрын
Suali lakizushi Ivi hawa mapresenter ukiwafunqa mikono je hawataweza kuonqea.? Ikiwa jibu ni hapana,kuna ulazima qani wa kuchezesha mikono!
@dianamsawa6751Ай бұрын
Roma mkatoriki
@RawsonNkini2 ай бұрын
Rudi nyumbani kamanda Roma
@cavanindimbe1670Ай бұрын
Kaka roma ivi unamuonaje mwakinyo
@user-zj5ei1kl6p2 ай бұрын
Mkato
@sokastreet2 ай бұрын
Tatzo tunaiskiliza hip hop ni sisi wachovu unafikir mm nikipata mkwanja ntawaskiliza kina fid q tuanze kuumizana vichwa hapo simba la masimba na king
@kilimoufugajipesatv5751
2 ай бұрын
Watu wenye akili lazima wasikilize hiphop
@deblacktz2981
2 ай бұрын
Akili ya kizembe mno hii
@sokastreet
Ай бұрын
@@deblacktz2981 tafuta hela acha kutafuta wazembe
@HendryShirima
Ай бұрын
Mwana mkali sana 🎉🎉
@rodgerushindi852 ай бұрын
Hii hapa hii nani kaskia
@hemedjackson22612 ай бұрын
Mange kimambi wa kiume Roma
@user-jd5ru7dr2r2 ай бұрын
Album ya picha hamna ngoma hapo
@barakarobert10292 ай бұрын
Demu wako huku jamaa wanapiga tako sna aisee 😄😄😄
@kwisa4899
2 ай бұрын
nikweli arafu
@KedrickMalila-lk6xh
2 ай бұрын
Mbn naye alisha mchukua
@emmanuelsilungu4462 ай бұрын
Huyu dada kqma alikuwa mbeya access fm hivi
@mc_Mangula
Ай бұрын
Mwenyewe
@user-jy9ec5il1m2 ай бұрын
Nitakusapoti Roma mpaka wakuuwe
@YusuphLyatenga
2 ай бұрын
😂😂😂
@nestorymtirackmtirack8770
2 ай бұрын
😂😂
@menasmusic9863
Ай бұрын
why??
@gaspercharles22442 ай бұрын
Upumbavu tu huo Hakuna kitu kbs mmezira ss twala
@elibarikimollel71492 ай бұрын
Interview ni kitu gani kama sio umbea tu. Hamtangazi tukio la roma moja kwa moja mnapitia miziki,maneno mengi, yanini sasa kama sio kula mb zetu mtandaoni?! Radio free africa tulikua tunampenda sana EMANUEL MKUWI kwa habari zake alitrend kwakweli sasa nape kawafungia kwa gharama na sheria haramu za habari...Hawa ccm ni mashetani ndani ya taifa hili, watawezwa na Mungu tu kupìtia manabii wake...
Пікірлер: 65
Jama anajua kufanya interview Big UP sana🇨🇩
ROMA ni Rhymes Of Margic Attraction. Maambie mzee baba asitupangie jina
one of the best rapper ever in Tz 🇹🇿 #Goat #harakati ✊
Wanachama wa chadema turioko Zambian lusaka 🇿🇲 naomba like zangu
@OmanOman-dn6dj
2 ай бұрын
Ukajifunze kuandika wapi uweke ra na wapi iweke la
@enocksilungwepondajr9707
2 ай бұрын
Tupo pamoja @@OmanOman-dn6dj
@enocksilungwepondajr9707
2 ай бұрын
@@OmanOman-dn6djsio vibaya
@shivobs4485
2 ай бұрын
Nipo kabwe hapa
@user-zj2gc2zj2c
2 ай бұрын
@@OmanOman-dn6dj r or l na sio ra wala la
Rhymes Of Magic Attraction ❤
kaka Roma ametisha sana albamu nzuri👍👍👍💪😇😇😇
Roma umetisha
KWA HIYO ALBAM HUYO HARUDI..NDO ISHATOKA IO
Jamaa ni story teller mzuri
Nomaaaa sana❤
Viongozi wa Tanzania hawapendi watu wenye akili wanataka wajinga wajinga waowasifia kwa ujinga na mapenzi respect sana mdogo wangu Roma mkato
@MACHOYATAI-jk6fu
2 ай бұрын
Kweli kabisa
@deblacktz2981
2 ай бұрын
Really sure
Pamoja sana Roma Chinsali Zambia
mama anafaa kurudisha mpira kwa kipa kuanza upya sio dhambi
Dah we mtangazaji mikono unaizungusha sana
Play hata ngoma moja mnabonga sana 😂😂😂😂
🎉🎉
Dogo unauwezo mzuri WA kufikir salut pia Roma uko vzur kujb vipengele
Bonge la Album
🎉
❤🎉
Roma kubwa lao
Yule alie vamia nawingu
😮mhh kama mwanaume kweli rudi
Yule aliyefamia mawingu ni clouds ☁️🌨️ 😂😂😂
Makonda saivi ni msafi sio wa zamani
Mtangazaji unanawa sana mikono tuliza hiyo mikono unaboa
@GwakisaMwaisanga-th7uz
2 ай бұрын
Na ww ukitaka nawa mikono mbwa ww,, kwan akinawa husikii kinachoongelewa???
Ase sas hivi mmeishiwa vitu vya kufanya kamavile redio yakijiji
@mrsinia3064
2 ай бұрын
😂😂 kvp tena boss
Suali lakizushi Ivi hawa mapresenter ukiwafunqa mikono je hawataweza kuonqea.? Ikiwa jibu ni hapana,kuna ulazima qani wa kuchezesha mikono!
Roma mkatoriki
Rudi nyumbani kamanda Roma
Kaka roma ivi unamuonaje mwakinyo
Mkato
Tatzo tunaiskiliza hip hop ni sisi wachovu unafikir mm nikipata mkwanja ntawaskiliza kina fid q tuanze kuumizana vichwa hapo simba la masimba na king
@kilimoufugajipesatv5751
2 ай бұрын
Watu wenye akili lazima wasikilize hiphop
@deblacktz2981
2 ай бұрын
Akili ya kizembe mno hii
@sokastreet
Ай бұрын
@@deblacktz2981 tafuta hela acha kutafuta wazembe
@HendryShirima
Ай бұрын
Mwana mkali sana 🎉🎉
Hii hapa hii nani kaskia
Mange kimambi wa kiume Roma
Album ya picha hamna ngoma hapo
Demu wako huku jamaa wanapiga tako sna aisee 😄😄😄
@kwisa4899
2 ай бұрын
nikweli arafu
@KedrickMalila-lk6xh
2 ай бұрын
Mbn naye alisha mchukua
Huyu dada kqma alikuwa mbeya access fm hivi
@mc_Mangula
Ай бұрын
Mwenyewe
Nitakusapoti Roma mpaka wakuuwe
@YusuphLyatenga
2 ай бұрын
😂😂😂
@nestorymtirackmtirack8770
2 ай бұрын
😂😂
@menasmusic9863
Ай бұрын
why??
Upumbavu tu huo Hakuna kitu kbs mmezira ss twala
Interview ni kitu gani kama sio umbea tu. Hamtangazi tukio la roma moja kwa moja mnapitia miziki,maneno mengi, yanini sasa kama sio kula mb zetu mtandaoni?! Radio free africa tulikua tunampenda sana EMANUEL MKUWI kwa habari zake alitrend kwakweli sasa nape kawafungia kwa gharama na sheria haramu za habari...Hawa ccm ni mashetani ndani ya taifa hili, watawezwa na Mungu tu kupìtia manabii wake...
Me nakutabilia kuchukua nchi ❤❤❤