LIVE: Clouds 360 na Mkurugenzi Mtendaji JKCI I Prof. Mohamed Janab Anakupa Chakula cha Elimu ya Afya

#CloudsDigital ipo mubashara kutoka studio ya Clouds Fm kwenye kipindi cha #Clouds360 na mgeni wetu leo ni Mkurugenzi Mtendaji JKCI Prof. Mohamed Janab, anakupa Elimu juu ya Afya.

Пікірлер: 17

  • @mwarikimwariki1374
    @mwarikimwariki1374 Жыл бұрын

    Jamaa yupo vizuri sana,hii ni hazina kwa taifa,Afrika na dunia kwa ujumla... Big up pro Janabi

  • @stevenmwenda3005
    @stevenmwenda300510 ай бұрын

    Kwakweli janabi anaelimu kubwa sana ni hazina kubwa sana sana kwa taifa kwakweli wote kwa pamoja tuzingatie mashauri yake kwa faida zetu

  • @TheQaled
    @TheQaled3 ай бұрын

    Kuna vingi vya kumuomba Mungu kabla ya utajiri kwakweli…. Allah humma inni As Aluka Al Afiya🤲🏽

  • @mikelaurence1582
    @mikelaurence15824 ай бұрын

    Professor nikupongeze sana kwa elimu nzuri unayoitoa kwa jamii yetu ya kitanzania,kweli jamii yetu inahitajii elimu hii ya afya kw kiwango kikubwa

  • @shijahlaurent3100
    @shijahlaurent310010 ай бұрын

    Watu wa aina hii ni wachache sana MUNGU WETU WA MBINGUNI AMLINDE.

  • @muhammedwakif6216
    @muhammedwakif621610 ай бұрын

    Allah katupa vyote bure hv Alhamdulilah

  • @raphaelkessy7360
    @raphaelkessy73604 ай бұрын

    God bless and protect you Professor

  • @babaloisethan7010
    @babaloisethan70102 жыл бұрын

    Super prof Janab💪🙏🙏

  • @user-pu2tt7zs2g
    @user-pu2tt7zs2g4 ай бұрын

    Kaka yangu hongera kaka yangu pr,janabi

  • @greenermichael2057
    @greenermichael20577 ай бұрын

    Nimejifunza vitu vingi kwwa Prof janabi hasa kwny kupunguza uzito

  • @felisteronesmo3091
    @felisteronesmo30919 ай бұрын

    Apa ndoutajua tofauti ya msomi na alielimika Ni Nini ..

  • @jacklinemassawe1306
    @jacklinemassawe13064 ай бұрын

    Professor anaongea kwa uchungu sana,sijui tunaelekea wapi,tunahitaj kufata taratibu za afya

  • @reaganlyimo6259
    @reaganlyimo62592 жыл бұрын

    Duh

  • @salbokosaid8992
    @salbokosaid89929 ай бұрын

    Nmekuelewa janabi

  • @muhsinali5536
    @muhsinali553610 ай бұрын

    TUNAMSHUKURU KWAKUA MNATUPA ELIMU KWANI TAASISI MY ENGINE HAZITOI ELIMU

  • @abdallahmakombo3866
    @abdallahmakombo38666 ай бұрын

    Social media 😢kama ukitumia vibaya

  • @MONEY_CHANNEL.
    @MONEY_CHANNEL. Жыл бұрын

    The real Professor Jay

Келесі