KUMEKUCHA CCM YAKANUSHA TAARIFA ZA KUMUONGEZEA MUDA DKT, MWINYI / MAPYA YAIBUKA

Пікірлер: 18

  • @MachanoMohdmachano-mo6xe
    @MachanoMohdmachano-mo6xe26 күн бұрын

    Mumekwisha nyie ccm hatuitaki tuanataka nchi yetu dhulma hii ndo faida yake tokeni tomeshoka na madhalim

  • @ZaidSeifSuleiman
    @ZaidSeifSuleiman24 күн бұрын

    Usanii waoga wa uchaguzi kushindwa si aibu hakuanza mwinyi toka salmini mnashindwa

  • @ZaidSeifSuleiman
    @ZaidSeifSuleiman24 күн бұрын

    Wanafiki ccm Zanzibar waongo wanafiki madhalim

  • @Ablahisaid
    @Ablahisaid24 күн бұрын

    Sai wana mchi wachini hatuwataki hata kuwaona hali ya maisha ngumu hta muza kahawa analipa kodi nchii ndio ipofikia hapa

  • @ZaidSeifSuleiman
    @ZaidSeifSuleiman24 күн бұрын

    Hawa wanasema uwongo hawa hawa hii kura ya mwanzoni walianza hivi hivi wakapeleka baraza la wawakilishi nawakapitisha leo kupiga kura watu laki tatu visiwa viwili siku mbili kupiga kura

  • @user-jj1uj3my7b
    @user-jj1uj3my7b21 күн бұрын

    Wanaongopa uchaguzi

  • @omarissamashaallahpresiden2920
    @omarissamashaallahpresiden292025 күн бұрын

    Mmeishiwa mfamaji (haachi kubwia maji wazanzibari njia nyeupe biidhillah 2025

  • @seifmohd5357
    @seifmohd535724 күн бұрын

    Ccm imekufa tunasubiri khitma tu mwakani pumbav zenu

  • @KhamisKali-oc5rh
    @KhamisKali-oc5rh25 күн бұрын

    Aaa hunahata haya.. Mbweto

  • @MachanoMohdmachano-mo6xe
    @MachanoMohdmachano-mo6xe26 күн бұрын

    Hayo siomaendeleo hivo ni vitu vya lazima musidanganye watu

  • @seifmohamed8725
    @seifmohamed872526 күн бұрын

    Sasa munabadisha maneno sauti za kibaradhuli lainii

  • @KhalidAbubakri
    @KhalidAbubakri26 күн бұрын

    Mfamaji haachi kutapatapa.

  • @lusakaone7782
    @lusakaone778226 күн бұрын

    Acha uongo, amesema mmeshapitisha bado kamati kuu tu.

  • @ALIKHAMIS-un4fv
    @ALIKHAMIS-un4fv26 күн бұрын

    Sio wananchi mobeto bwana sema ccm wenzake hebu jaribu kuwa mkweli

  • @jumasaleiman
    @jumasaleiman26 күн бұрын

    Ongezeni tuuu nyiyi mbwa nyieee na ile ya mara pili ifanyeni mara 10 washezii sisi hata hatuna haja kupiga kura tenaaa

  • @saidabdillahi8107
    @saidabdillahi810726 күн бұрын

    CCM WATIA ULIMI PUANI

  • @seifmohamed8725
    @seifmohamed872526 күн бұрын

    Waongo nyie kina mbeto mmekemewa na amos makala wanaume zenu nyoko.wee

  • @KhalidAbubakri
    @KhalidAbubakri26 күн бұрын

    Zama za uongo zimesha clip zipo haziongopi