KUMBUKIZI: JPM ASIMULIA ALICHOJIBIWA NA MKAPA BAADA YA KUMUAMBIA ANAUTAKA URAIS

Пікірлер: 61

  • @auntdorah9141
    @auntdorah91414 жыл бұрын

    Asante muheshimiwa...ulimtanguliza Mungu na hata ktk janga la Corona umemtanguliza Mungu na tukaishangaza dunia.. Mungu azidi kukutunza!

  • @epifaniamzena9384
    @epifaniamzena93844 жыл бұрын

    Nimeipenda . Ulimsifia kabla hajaondoka kwenye hii dunia😇

  • @mohamedIbrahim-lc6zz

    @mohamedIbrahim-lc6zz

    4 жыл бұрын

    Ssa

  • @ashuramhando5285
    @ashuramhando52854 жыл бұрын

    Allah amuondoshee adhabu katika kabri lake Amin

  • @milkamugomo218
    @milkamugomo2184 жыл бұрын

    Poleni watanzania majirani wetu

  • @asiamuhoya7795

    @asiamuhoya7795

    4 жыл бұрын

    Asante.

  • @J4UPro

    @J4UPro

    4 жыл бұрын

    Asante sana

  • @naomikatharinaandrewmnkai6760

    @naomikatharinaandrewmnkai6760

    4 жыл бұрын

    Thanks a lot

  • @frediricknandonde1690

    @frediricknandonde1690

    4 жыл бұрын

    🙏🙏🇹🇿🇿🇦🇺🇬

  • @danielmoto7557
    @danielmoto75574 жыл бұрын

    Aisee kwakweli hii haizungumziki maana nigafra mnooo japo kwa mwenyezi mungu si gafra kama tuonavyo sisi lakini imetushtua sana,mungu ailaze roho ya marehemu mzee mkapa raisi wa tatu wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania, Ameen,

  • @salumkazumari5833
    @salumkazumari58334 жыл бұрын

    RIP mzee wetu tutakuenzi yote mazuri uliyoyaacha

  • @zubeirsalum128
    @zubeirsalum1284 жыл бұрын

    Mungu atamlipa alichokitanguliza wakati wa uhai wake

  • @rev.nuhubombo8795
    @rev.nuhubombo87954 жыл бұрын

    Hongera kwa maneno ya matumaini

  • @manasemwakilasa5931
    @manasemwakilasa59314 жыл бұрын

    R i p mzee😭😭

  • @mwalimrajab4363
    @mwalimrajab43634 жыл бұрын

    🙊RIP BABU YETU

  • @auntdorah9141
    @auntdorah91414 жыл бұрын

    RIP MH.B .W .MKAPA

  • @jumaramathan2219
    @jumaramathan22194 жыл бұрын

    Allah amlipe anachostahili. 🙏🙏🙏

  • @hylinenyakweba3435
    @hylinenyakweba34354 жыл бұрын

    Babaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaàaaaaaaaaaa magufuli God ndio kila kitu kweli penda sana magu mimi

  • @smstore5535
    @smstore55353 жыл бұрын

    Rais magufuli alimpenda sana mzee mkapa... 👏👏 R. I. P mze mkapa💔

  • @jssaa4733
    @jssaa47334 жыл бұрын

    😭😭😭😭😭😭

  • @el-gibbortv5564
    @el-gibbortv55644 жыл бұрын

    #RIP Mkapa baba letu

  • @tarsissingano9693
    @tarsissingano96934 жыл бұрын

    Kusifia kunatakiwa hata kabla ya uhai kutoweka. Mh Magufuli amelionyesha hilo kinagaubaga kwa Hayati Raisi Mstaafu wa Awamu ya Tatu. Mungu akurehemu.

  • @respiciusdeodatus80
    @respiciusdeodatus804 жыл бұрын

    Rest in peace!

  • @josephyango7078
    @josephyango70784 жыл бұрын

    Pumzika kwa Aman

  • @shabaniddy6410
    @shabaniddy64104 жыл бұрын

    Rip mzee wetu

  • @ashuramhando5285

    @ashuramhando5285

    4 жыл бұрын

    Hongera Rais wetu wewe nimwingi wa shukrani tunamuombea mkapa Allah amuondoshee adhabu za kabri amin

  • @kandecharlessanduku1539
    @kandecharlessanduku15398 ай бұрын

    R I P mzee

  • @teknotekno1288
    @teknotekno12884 жыл бұрын

    Muheshimiwa leo ndio unasema aaaa ila pole

  • @maatumkadhi1760

    @maatumkadhi1760

    4 жыл бұрын

    Hii ni hotuba ya zamani mkapa alikuwa hai anamsifiwa akiwa yupo hapo

  • @elishamasereka5122
    @elishamasereka51224 жыл бұрын

    Apate mapumziko mema Mzee Mkapa!

  • @hilalionhilaliont2324
    @hilalionhilaliont23244 жыл бұрын

    Rest In Peace

  • @calistamgendwa9356
    @calistamgendwa93564 жыл бұрын

    Rip

  • @paschaldamian4597
    @paschaldamian45974 жыл бұрын

    R I P babal Mkapa

  • @denysemariebaziruwiha702
    @denysemariebaziruwiha7024 жыл бұрын

    RIP

  • @rechrontv2453
    @rechrontv24534 жыл бұрын

    HISTORIA YA MH. RAIS BENJAMIN MKAPA (gusa link👇👇👇Kutazama) kzread.info/dash/bejne/kZaK0ZOTk8fffbQ.html

  • @jacksonmashaka9322
    @jacksonmashaka93224 жыл бұрын

    Pumzika kwa aman mkapa

  • @aishachogogweaishachogogwe3705
    @aishachogogweaishachogogwe37054 жыл бұрын

    Rlp baba etu

  • @ukweliunauma4570
    @ukweliunauma45704 жыл бұрын

    Mcha mungu angeuwa wanzibar pemba na yeye na Raisi Mwinyi wange, zuwiya uchaguzi wa zanzibar you 2015, CUF ilivyo shinda, unakuaje mcha mungu alafu unadhukumu watu au mnasemaje wapendwa

  • @mohamedpesambili9460

    @mohamedpesambili9460

    4 жыл бұрын

    Mkundu wako kama shimo la taka

  • @ukweliunauma4570

    @ukweliunauma4570

    4 жыл бұрын

    @@mohamedpesambili9460 Ameen M/mungu akulinde wewe na familia yako na ukupe upendo katika nafsi yako ameen.

  • @mohamedpesambili9460

    @mohamedpesambili9460

    4 жыл бұрын

    @@ukweliunauma4570 tena uxipost ujinga xku nyngne.kwn umeskia mkapa alikua mungu hakosei.bwege ww

  • @Anitajoseph792

    @Anitajoseph792

    4 жыл бұрын

    Hakuna anayejua hatima yake mbele za Mungu

  • @ukweliunauma4570

    @ukweliunauma4570

    4 жыл бұрын

    @@Anitajoseph792 kila mtu atavuna alicho kipanda

  • @magneticofficialtz
    @magneticofficialtz4 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/Y6Gcw8evZMrImLg.html Bonyeza link hii kuona maajabu ya mtu anayefanana na mh. mkapa

  • @lamekingunda5327
    @lamekingunda53273 жыл бұрын

    P

Келесі