Mungu atatunusuru na kila balaa na kila mwenye nia mbaya na nchi hii mungu amnakamishe
@Francomsangawale6 күн бұрын
Serikali msipuuzie watumishi wa Mungu kama ahabu.
@user-ct6se7ed2v16 күн бұрын
Yawezekana kuna jambo wakristo mnataka kulifanya Sasa ndio mnaandaa mazingira ya kuyatenda.. Upuuzi mtupu,,, hamtatoboa biidhinilah..
@mwanyongamama440718 күн бұрын
Bwana Yuko kazini kuliko tuombavyo na tuwazavyo Ktk Jina la Yesu Kristo Aliyehai Kazi ya Msalaba na Damu ya Yesu Bado inatenda mema. Na ijulikane Kwamba yupo Mungu Tanzania
@ramadhanimtetu365617 күн бұрын
Wakiristo bana hahahahaha Nimeota nimeota Jinga
@abelubamba740918 күн бұрын
Hiyo ndoto inakuhusu wewe sisi Watanzania tupo na mama SSH,tumetulia na watoto wetu tukiijenga nchi yetu. HATUTAKI MAANDAMANO.
@AliAbdullah-oy6yo
16 күн бұрын
😅😅😅
@billmike844118 күн бұрын
Mungu akubariki sana na aendelee kukutumia
@masoudalriyamy629815 күн бұрын
Tunajua kunawatu nia zao mbaya uzuri wake tumewajua na hatuwaungi mkono na myngu atuletee salama ndani ya nchi ya tanzania nakila adui mungu amshinde
@SubiragaKabango16 күн бұрын
Wenye haki wanaaishi kwa Imani!( Biblia,kitabu cha Waebrania 10:38 Kwa jina la yesu kristo wa Nazareth) Tanzania ni nchi ya Amani,utulivu na mshikamano! Shetani ushindwe kwa jina la yesu kristo!
@neemaprecious2308
13 күн бұрын
Amen 🙏
@nabiimgongolwa872818 күн бұрын
HAHAHAHA MANABII WA UONGO WANAFUHISHA SAAAANA "VERY GOOD COMEDIANS"
@user-jl5uh1xq9f
18 күн бұрын
Muongo wewe
@salimanasser546617 күн бұрын
Acheni urongo wa masheTani ubanguzi wa rangi na kabila😂😂😂😂
@SileIsmail12 күн бұрын
Wewe tahira tafuta hela kwa umri huo sio wa kusema uongo
@NixonJohnson-zn8nk18 күн бұрын
Tunayahitaji sana
@MonicaBeni
18 күн бұрын
Alafu wewe unajitambua yani tunayatamani kama nyama yakuchoma
@mirionea1207 күн бұрын
mandamano hapo nime kataa Tanzania hatuna hizo pigo
@uwezawamungumkuu.amaniafrika18 күн бұрын
Hayo hayana mamlaka kwa jina la YESU KRISTO MWOKOZI. Amen. Vunja maandamano hayo kwa Mamlaka ya Roho Mtakatifu. Amen. 2022 sauti tanzania ipo giza. 2024 mwezi wa 3 watanzania wapo utumwani kama wana wa Israel walipokuaa misiri. Yote tumwamini Mungu mkuu. Amen.
@anyosisyenjobelo544217 күн бұрын
Duuuuuuuh Hii kali kabisa kama kuna ukweli wa ndoto hii.
@wazirisaid8326
16 күн бұрын
Ukweliu Upi? Ku.bena wewe chizi eeh?
@mafadhilahmada242014 күн бұрын
Wewe ni mchochezi muomgo mfitini yote hayo ni yakwako siku hiyo ulilewa sanaaaaa
@ibrahimaziz715818 күн бұрын
Mzee naona umechelewa kuota mara hii maandamano yameshapita ya chadema au unaongelea kenya acha ujinga
@allymohamed272415 күн бұрын
HIVI HIZI DINI ZA SASA, NI KUMJUA MUNGU AU SIASA. USILOJUA NI USIKU WA KIZA. KASKAZINI MWA AFRIKA WAARABU WAKRISTO PIA WAPO WENGI TU. TUMBEA UONE KIJANA DUNIA TAMBARA BOVU
@mafadhilahmada242014 күн бұрын
Tunaelewa kwamba wakirito mnaandaa maandamano jee mtaweza jaribuni mtaona
@tibbsminja257514 күн бұрын
Au unamzungumzia Msigwa!
@nabiimgongolwa872818 күн бұрын
MANABII WALIISHA MANABII WA LEO WOTE NI WA UONGO
@KudraWanguvu-em1xw18 күн бұрын
wakristo nirahisi sana kudanganyika unasema maneno ya kubuni
@peterrulagora7403
17 күн бұрын
Acha tu!
@kasimkassam956518 күн бұрын
WAKRISTO WALAINI SANAA MAJI MARA MOJA TU MARAGE YA MBEYA
@wemamwaikambo284818 күн бұрын
Ulisema kuhusu Mboye, tena ulimuonya sana, sasa yametokea kama ulivyosema Mboye akiendelea kushupaza shingo yajayo yanafurahisha.
@johnmalembo646418 күн бұрын
Hiyo SI ndoto.,..NAMI nikusimulie yangu.....
@nabiimgongolwa872818 күн бұрын
HIZO NI NDOTO ZA KUFIKIRIKA .....MBONA KILA MTU HUOTA NDOTO. PLEASE TUSIDANGANYANE, ETI BWANA AMENITUMA....SASA MIMI SIJAOTESHWA LAKINI NAKUHAKIKISHIA MAANDAMO HAKUNA.
@sabahiaboud65416 күн бұрын
MIE SASA NAIWEKA WAZO HIO MAJID. ..NI NINI. HIO MAJID NI ZANZIBAR. ..
@BernadetteKiwelu-kg6fv18 күн бұрын
Jamani nisameheni kama ni mimi mwenyewe kweli sikumwelewa hata kidogo Nachojua Nabil akiwa na ujumbe toka kwa bwana Kwanza Kuna mstari WA kuusimamia .halafu huyu anasema et ameambia asitutafsirie jamani manabiii manabiii kuweni Makini na maujumbe yenu
@JacksonFrances17 күн бұрын
HAKI HUINUA TAIFA, na HAKI ISIPOPATIKANA KWA MAZUNGUMZO (MEZANI) HUWA INAPATIKANA KWA (MAANDAMANO) na HAKI ISIPOPATIKANA KW MAANDAMANO HUWA INAPATKANA KW (VURUGU) na HAKI ISIPOPATKANA KW VURUGU HUWA INAPATKANA KW ?(VITA). HEKIMA YA HALI YA JUU INATAKIWA SANA TO SOLVE THIS TO ESCAPE CONSEQUENCES. Katiba Mpya,, Tume Huru,, Vitu kupanda Bei,, Michango iliyokithiri,, Ufisadi na Rushwa,, Dharau za Watawala,, Kutawaliwa na Chama Kimoja Kimabavu,, Elimu Mbovu,, Huduma za Afya Mbovu,, Ukosefu Wa Ajira,, Utitili wa Kodi ktk Mazao na pembejeo Za Wakulima na Ufugaji na Mundombinu Duni"
@gowekogoweko580318 күн бұрын
ASANTE SANA MTU WA MUNGU
@wistardmwilenga655113 күн бұрын
Hatuna muda huo
@karimmveyange255811 күн бұрын
UFUMBUZI WA YANAYO ENDELEA KTK MATAIFA , NI WANANCHI WENYEWE WANYANYUKE NA KUSEMA "HAPANA " HATUTAKI
@rahmasalum131715 күн бұрын
Apo anakusudia uislam huyu jamaa
@elishampoki875118 күн бұрын
Ndoto Tena , mwee , Tanzania ni nchi ya ujamaa na kujitegemea , Atakae anzisha virugu huyo atavugulikiwa mwenyewe,.
@reginas1832
18 күн бұрын
Nyumbu
@user-gv7sd4oi6q18 күн бұрын
Nabii mtaabishaji
@masoudalriyamy629815 күн бұрын
Kazi yenu unafiki tena wanafiki jini toka lini anasiasa msimsikilize huyo anatafuta umaarufu
@user-qy7he6cl8w16 күн бұрын
Manabii wA Leo wanatabiri kwa kuhisi mpaka waone dalili
@deogratiasrugangila310017 күн бұрын
Acha kumaliza mb zetu kaa na ndoto zako
@gracekagoma323116 күн бұрын
Watanzania tuwe waagarifu sana.
@user-ih1pk1vs4q17 күн бұрын
Maandamano hayo sababu yke na dhuruma dhidi ya Yusuf manji hawa ni wahindi
@Ambeniwatano17 күн бұрын
Jaribu kuweka sawa hapo sio wenye dini ya kiaarabu sema hiv waislamu uislamu sio wa waarabu isipokuwa umeshuka tu kwa waarbu kama yesu na injili kwa wayahudi lakini si ya wayahudi ila ulimwengun kote upo hapo nabii
@abdallahidrisa71018 күн бұрын
Ulikuwa mkojo unakuuma brother ndo maana uliota mauza uza. Acha kutia taharuki nchi. Nchi haiongozwi kwa ndoto.Umechelewa Waislam hawatoandamana tena Tz. Mmezoea kuona Waislam wanamwaga damu. Poleni sana brother acha uchonganishi.
@warrenmgode183717 күн бұрын
Hizo ndoto hizo,bas Mimi nitaota
@victorkisenha593316 күн бұрын
Maandamano LINI?
@OS-pf6op18 күн бұрын
Acha yawepo ili umaskini utoweshwe kwa watanzania. Viongozi wawatumikie wananchi inavyostahili na si kinyume chake!
@tibbsminja257514 күн бұрын
Acha usanii mchungaji
@songoroalamin337618 күн бұрын
NYIE MAKAFIRI MNASHIDA KWELI TABIRINI NAUSHOGA HUKUONA TOA UNABII
Unajuwa maana ya nabii wewe hakuna nabii hapo taperi nabii wa mwisho ni mtume Muhammad swalallah aley wassalaam
@TunauzaSimu-fn2ff
18 күн бұрын
@@fatmafatu1128 Hakika Muhammad ndio wa mwisho
@alexandernkwamah590518 күн бұрын
Aliyeko ndani yetu ni mkuu kuliko hao nje yetu. 1 Yoh 4:4. Usilete utumwa huo.
@ramadhanikimweri124018 күн бұрын
Wewe mpigaramli wpigaramli siku hizi wako kwenye makanisa nawasemauwongopia wako kwenye makanisa wachukuaviungo vyaalibino pia wapo kwenye makanisa wewe nimpigaramlitu hakuna Mungu wakukuonyesa umemfanyianinimungu wewe mpigaramli mpungapepo
@ImamFarid-we9pl18 күн бұрын
Acha urongo
@salummohamed268918 күн бұрын
Haya ni maono yake yasingiliwe ila dalili zipo na maono ya mtu siku hizi huitwa ramli chonganishi. " Chamsingi yasibezwe".
@SmartMC-bp9yg18 күн бұрын
Africa nzima yanaweza yakatokea si unaona kenya yalizuka tu bila mtu yeyote kuota bwana mchungaji.
Dini ya kiarabu inafananaje we mchunga kondoo wauongo
@omarybakunda255418 күн бұрын
Ngoja nikwambie we kenge maneno yako hayatuogopeshi na kawambie wanaokutuma tuko na samia mpaka 2035. Ubaguzi wako haututishi mbwa wewe.
@ernestwegga655718 күн бұрын
Siyo Tanzania. Hizo ni ndoto
@gracekagoma323116 күн бұрын
Tanzania tusikubali ujinga huo
@gracekagoma323116 күн бұрын
Tuache ujinga wa kufuata mkumbo.Hatuna sababu
@luciadominik162618 күн бұрын
Nimeelewa wanalasimishwa kuwa wakatoliki
@KudraWanguvu-em1xw18 күн бұрын
Mchochezi na mshirikina mkubwa bwana unae msema jini shetani wacha ujinga
@user-ew9cp4jh9e18 күн бұрын
Hiyo ndoto ni ya kishetani pamoja na wewe ni wakala wake 10:52
@emmiemmi386117 күн бұрын
Siuimbe lisitokee
@user-gn8zs4qx2y17 күн бұрын
Unahusisha udini ulaaniwe
@listerwami682518 күн бұрын
Acha kutafuta maneno
@annaezra234418 күн бұрын
Amen, jipe moyo mtumishi
@JumaJuma-i2g16 күн бұрын
huenda amechukulia sheitwaan
@mohdbesta17 күн бұрын
Prophet of doom
@MasterPetro-oj1fd18 күн бұрын
Wewesematu kwamba aislam
@user-wh9zj7kf7h17 күн бұрын
Pumbavu
@fatmafatu112818 күн бұрын
Huna lolote muongo
@user-gn8zs4qx2y17 күн бұрын
Faras ww
@julietngassa235318 күн бұрын
Sio unabii si umeota ndoto wewe?
@1961nungwi18 күн бұрын
Nonsense!
@saidkhatib914618 күн бұрын
Nabii wa mwisho ni Muhammad (s.a.w) acha tamaa kijana
@user-jl5uh1xq9f
18 күн бұрын
Wewe ndo unatamaa
@peterrulagora7403
17 күн бұрын
Yeye kaota hajasema nabii ila nina mashaka nae sn
@saidkhatib9146
17 күн бұрын
@@peterrulagora7403 heb msikiliz vzr
@JacksonFrances17 күн бұрын
HAKI HUINUA TAIFA, na HAKI ISIPOPATIKANA KWA MAZUNGUMZO (MEZANI) HUWA INAPATIKANA KWA (MAANDAMANO) na HAKI ISIPOPATIKANA KW MAANDAMANO HUWA INAPATKANA KW (VURUGU) na HAKI ISIPOPATKANA KW VURUGU HUWA INAPATKANA KW ?(VITA). HEKIMA YA HALI YA JUU INATAKIWA SANA TO SOLVE THIS TO ESCAPE CONSEQUENCES. Katiba Mpya,, Tume Huru,, Vitu kupanda Bei,, Michango iliyokithiri,, Ufisadi na Rushwa,, Dharau za Watawala,, Kutawaliwa na Chama Kimoja Kimabavu,, Elimu Mbovu,, Huduma za Afya Mbovu,, Ukosefu Wa Ajira,, Utitili wa Kodi ktk Mazao na pembejeo Za Wakulima na Ufugaji na Mundombinu Duni"
@rahmasalum131715 күн бұрын
Ukirsto wana kila vtuko wallah lkn uadui wako utakurudia mwenyew mana taifa la tz lina waislam na wakirsto nawote ni wao kwa wao acha fitna wewe
Пікірлер: 92
Mungu atatunusuru na kila balaa na kila mwenye nia mbaya na nchi hii mungu amnakamishe
Serikali msipuuzie watumishi wa Mungu kama ahabu.
Yawezekana kuna jambo wakristo mnataka kulifanya Sasa ndio mnaandaa mazingira ya kuyatenda.. Upuuzi mtupu,,, hamtatoboa biidhinilah..
Bwana Yuko kazini kuliko tuombavyo na tuwazavyo Ktk Jina la Yesu Kristo Aliyehai Kazi ya Msalaba na Damu ya Yesu Bado inatenda mema. Na ijulikane Kwamba yupo Mungu Tanzania
Wakiristo bana hahahahaha Nimeota nimeota Jinga
Hiyo ndoto inakuhusu wewe sisi Watanzania tupo na mama SSH,tumetulia na watoto wetu tukiijenga nchi yetu. HATUTAKI MAANDAMANO.
@AliAbdullah-oy6yo
16 күн бұрын
😅😅😅
Mungu akubariki sana na aendelee kukutumia
Tunajua kunawatu nia zao mbaya uzuri wake tumewajua na hatuwaungi mkono na myngu atuletee salama ndani ya nchi ya tanzania nakila adui mungu amshinde
Wenye haki wanaaishi kwa Imani!( Biblia,kitabu cha Waebrania 10:38 Kwa jina la yesu kristo wa Nazareth) Tanzania ni nchi ya Amani,utulivu na mshikamano! Shetani ushindwe kwa jina la yesu kristo!
@neemaprecious2308
13 күн бұрын
Amen 🙏
HAHAHAHA MANABII WA UONGO WANAFUHISHA SAAAANA "VERY GOOD COMEDIANS"
@user-jl5uh1xq9f
18 күн бұрын
Muongo wewe
Acheni urongo wa masheTani ubanguzi wa rangi na kabila😂😂😂😂
Wewe tahira tafuta hela kwa umri huo sio wa kusema uongo
Tunayahitaji sana
@MonicaBeni
18 күн бұрын
Alafu wewe unajitambua yani tunayatamani kama nyama yakuchoma
mandamano hapo nime kataa Tanzania hatuna hizo pigo
Hayo hayana mamlaka kwa jina la YESU KRISTO MWOKOZI. Amen. Vunja maandamano hayo kwa Mamlaka ya Roho Mtakatifu. Amen. 2022 sauti tanzania ipo giza. 2024 mwezi wa 3 watanzania wapo utumwani kama wana wa Israel walipokuaa misiri. Yote tumwamini Mungu mkuu. Amen.
Duuuuuuuh Hii kali kabisa kama kuna ukweli wa ndoto hii.
@wazirisaid8326
16 күн бұрын
Ukweliu Upi? Ku.bena wewe chizi eeh?
Wewe ni mchochezi muomgo mfitini yote hayo ni yakwako siku hiyo ulilewa sanaaaaa
Mzee naona umechelewa kuota mara hii maandamano yameshapita ya chadema au unaongelea kenya acha ujinga
HIVI HIZI DINI ZA SASA, NI KUMJUA MUNGU AU SIASA. USILOJUA NI USIKU WA KIZA. KASKAZINI MWA AFRIKA WAARABU WAKRISTO PIA WAPO WENGI TU. TUMBEA UONE KIJANA DUNIA TAMBARA BOVU
Tunaelewa kwamba wakirito mnaandaa maandamano jee mtaweza jaribuni mtaona
Au unamzungumzia Msigwa!
MANABII WALIISHA MANABII WA LEO WOTE NI WA UONGO
wakristo nirahisi sana kudanganyika unasema maneno ya kubuni
@peterrulagora7403
17 күн бұрын
Acha tu!
WAKRISTO WALAINI SANAA MAJI MARA MOJA TU MARAGE YA MBEYA
Ulisema kuhusu Mboye, tena ulimuonya sana, sasa yametokea kama ulivyosema Mboye akiendelea kushupaza shingo yajayo yanafurahisha.
Hiyo SI ndoto.,..NAMI nikusimulie yangu.....
HIZO NI NDOTO ZA KUFIKIRIKA .....MBONA KILA MTU HUOTA NDOTO. PLEASE TUSIDANGANYANE, ETI BWANA AMENITUMA....SASA MIMI SIJAOTESHWA LAKINI NAKUHAKIKISHIA MAANDAMO HAKUNA.
MIE SASA NAIWEKA WAZO HIO MAJID. ..NI NINI. HIO MAJID NI ZANZIBAR. ..
Jamani nisameheni kama ni mimi mwenyewe kweli sikumwelewa hata kidogo Nachojua Nabil akiwa na ujumbe toka kwa bwana Kwanza Kuna mstari WA kuusimamia .halafu huyu anasema et ameambia asitutafsirie jamani manabiii manabiii kuweni Makini na maujumbe yenu
HAKI HUINUA TAIFA, na HAKI ISIPOPATIKANA KWA MAZUNGUMZO (MEZANI) HUWA INAPATIKANA KWA (MAANDAMANO) na HAKI ISIPOPATIKANA KW MAANDAMANO HUWA INAPATKANA KW (VURUGU) na HAKI ISIPOPATKANA KW VURUGU HUWA INAPATKANA KW ?(VITA). HEKIMA YA HALI YA JUU INATAKIWA SANA TO SOLVE THIS TO ESCAPE CONSEQUENCES. Katiba Mpya,, Tume Huru,, Vitu kupanda Bei,, Michango iliyokithiri,, Ufisadi na Rushwa,, Dharau za Watawala,, Kutawaliwa na Chama Kimoja Kimabavu,, Elimu Mbovu,, Huduma za Afya Mbovu,, Ukosefu Wa Ajira,, Utitili wa Kodi ktk Mazao na pembejeo Za Wakulima na Ufugaji na Mundombinu Duni"
ASANTE SANA MTU WA MUNGU
Hatuna muda huo
UFUMBUZI WA YANAYO ENDELEA KTK MATAIFA , NI WANANCHI WENYEWE WANYANYUKE NA KUSEMA "HAPANA " HATUTAKI
Apo anakusudia uislam huyu jamaa
Ndoto Tena , mwee , Tanzania ni nchi ya ujamaa na kujitegemea , Atakae anzisha virugu huyo atavugulikiwa mwenyewe,.
@reginas1832
18 күн бұрын
Nyumbu
Nabii mtaabishaji
Kazi yenu unafiki tena wanafiki jini toka lini anasiasa msimsikilize huyo anatafuta umaarufu
Manabii wA Leo wanatabiri kwa kuhisi mpaka waone dalili
Acha kumaliza mb zetu kaa na ndoto zako
Watanzania tuwe waagarifu sana.
Maandamano hayo sababu yke na dhuruma dhidi ya Yusuf manji hawa ni wahindi
Jaribu kuweka sawa hapo sio wenye dini ya kiaarabu sema hiv waislamu uislamu sio wa waarabu isipokuwa umeshuka tu kwa waarbu kama yesu na injili kwa wayahudi lakini si ya wayahudi ila ulimwengun kote upo hapo nabii
Ulikuwa mkojo unakuuma brother ndo maana uliota mauza uza. Acha kutia taharuki nchi. Nchi haiongozwi kwa ndoto.Umechelewa Waislam hawatoandamana tena Tz. Mmezoea kuona Waislam wanamwaga damu. Poleni sana brother acha uchonganishi.
Hizo ndoto hizo,bas Mimi nitaota
Maandamano LINI?
Acha yawepo ili umaskini utoweshwe kwa watanzania. Viongozi wawatumikie wananchi inavyostahili na si kinyume chake!
Acha usanii mchungaji
NYIE MAKAFIRI MNASHIDA KWELI TABIRINI NAUSHOGA HUKUONA TOA UNABII
mnao mubeza nabiiiii kwani mumelazimishwa kufwatilia 😂😂
@fatmafatu1128
18 күн бұрын
Unajuwa maana ya nabii wewe hakuna nabii hapo taperi nabii wa mwisho ni mtume Muhammad swalallah aley wassalaam
@TunauzaSimu-fn2ff
18 күн бұрын
@@fatmafatu1128 Hakika Muhammad ndio wa mwisho
Aliyeko ndani yetu ni mkuu kuliko hao nje yetu. 1 Yoh 4:4. Usilete utumwa huo.
Wewe mpigaramli wpigaramli siku hizi wako kwenye makanisa nawasemauwongopia wako kwenye makanisa wachukuaviungo vyaalibino pia wapo kwenye makanisa wewe nimpigaramlitu hakuna Mungu wakukuonyesa umemfanyianinimungu wewe mpigaramli mpungapepo
Acha urongo
Haya ni maono yake yasingiliwe ila dalili zipo na maono ya mtu siku hizi huitwa ramli chonganishi. " Chamsingi yasibezwe".
Africa nzima yanaweza yakatokea si unaona kenya yalizuka tu bila mtu yeyote kuota bwana mchungaji.
@reginas1832
18 күн бұрын
Kenya walipata unabii karibu ya nwaka.
@julietngassa2353
18 күн бұрын
Nani Sasa wasiingilie hayo maandamano?
Kwaiyo nawewe kumbe ulikuwepo maana umesema uliwafunguli mlango kwaiyo wewe ndyo chanzo
Dini ya kiarabu inafananaje we mchunga kondoo wauongo
Ngoja nikwambie we kenge maneno yako hayatuogopeshi na kawambie wanaokutuma tuko na samia mpaka 2035. Ubaguzi wako haututishi mbwa wewe.
Siyo Tanzania. Hizo ni ndoto
Tanzania tusikubali ujinga huo
Tuache ujinga wa kufuata mkumbo.Hatuna sababu
Nimeelewa wanalasimishwa kuwa wakatoliki
Mchochezi na mshirikina mkubwa bwana unae msema jini shetani wacha ujinga
Hiyo ndoto ni ya kishetani pamoja na wewe ni wakala wake 10:52
Siuimbe lisitokee
Unahusisha udini ulaaniwe
Acha kutafuta maneno
Amen, jipe moyo mtumishi
huenda amechukulia sheitwaan
Prophet of doom
Wewesematu kwamba aislam
Pumbavu
Huna lolote muongo
Faras ww
Sio unabii si umeota ndoto wewe?
Nonsense!
Nabii wa mwisho ni Muhammad (s.a.w) acha tamaa kijana
@user-jl5uh1xq9f
18 күн бұрын
Wewe ndo unatamaa
@peterrulagora7403
17 күн бұрын
Yeye kaota hajasema nabii ila nina mashaka nae sn
@saidkhatib9146
17 күн бұрын
@@peterrulagora7403 heb msikiliz vzr
HAKI HUINUA TAIFA, na HAKI ISIPOPATIKANA KWA MAZUNGUMZO (MEZANI) HUWA INAPATIKANA KWA (MAANDAMANO) na HAKI ISIPOPATIKANA KW MAANDAMANO HUWA INAPATKANA KW (VURUGU) na HAKI ISIPOPATKANA KW VURUGU HUWA INAPATKANA KW ?(VITA). HEKIMA YA HALI YA JUU INATAKIWA SANA TO SOLVE THIS TO ESCAPE CONSEQUENCES. Katiba Mpya,, Tume Huru,, Vitu kupanda Bei,, Michango iliyokithiri,, Ufisadi na Rushwa,, Dharau za Watawala,, Kutawaliwa na Chama Kimoja Kimabavu,, Elimu Mbovu,, Huduma za Afya Mbovu,, Ukosefu Wa Ajira,, Utitili wa Kodi ktk Mazao na pembejeo Za Wakulima na Ufugaji na Mundombinu Duni"
Ukirsto wana kila vtuko wallah lkn uadui wako utakurudia mwenyew mana taifa la tz lina waislam na wakirsto nawote ni wao kwa wao acha fitna wewe