Je ulisha wahi kujiuliza DJ lina maana gani,sasa jibu lake limepatikana
Жүктеу.....
Пікірлер: 71
@smartmwakipesile38423 ай бұрын
We mtumishi wa Mungu Mungu akutunze unahubiri Injili ya kweli
@evaristkayimba91483 жыл бұрын
Hongera sana Mch.Moses Magembe kwa kutupatia neno lenye tija sana ,hakika tunaendelea kufarijika sana kwa maneno yenye baraka mno
@hemedshalua20022 жыл бұрын
Mashahidi wa kweli wa Yesu bado wapo barikiwa sana Baba, Mungu akupe maisha marefu.
@valelianonyato-gx5bq2 ай бұрын
Mungu wa mbinguni akutunze unafanya kazi kwa uaminifu sana Mungu akutetee
@smartmwakipesile38423 ай бұрын
Hakika YESU ni BWANA, ujumbe hu ni mimi ninakushukuru Mungu
@benjaminjulius78332 жыл бұрын
Mtumish ubarikiwe kwa kuhubiri injili
@joshuabweli62493 жыл бұрын
Dr.Rev maghembe Mungu akubariki sana kwa Neno LA Mungu, natamani sana kila siku niwe napata shule nzito kwako.
@tengononi51432 жыл бұрын
Amina mutumishi mungu akubaliki
@janetybubegwa52722 жыл бұрын
Barikiwa SANA mtumishi wa MUNGU
@smartmwakipesile38423 ай бұрын
Mungu anisamehe
@martinematanda67913 жыл бұрын
MUNGU akubariki Sana BABA udumu ili utusaidie kwa Jina la YESU KRISTO Ameen.
@braittonfedrick48393 жыл бұрын
Barikiwa sana baba mchungaji kwa neema ya Bwana iliyondani yako
@lindamlaki81033 жыл бұрын
Bwana Yesu asifiwe sana,wacha baba aseme maana neno la Mungu ni upanga uwao ukatao kuwili,injili hii ilipotea siku nyingi hatujaisikia siku nyingi enzi za Mzee wetu Moses i feel kama yupo Mungu akutunze mtumishi wa Mungu usipindishe hata moja baba tumezoea injili ya matangazo tuu hata tunashindwa unaenda wapi mwee.hakika wakati unatimia
@towardssuccesslife.18082 жыл бұрын
AMINA UBARIKIWE MUNGU AKUPEMIKA MILEFU🤝
@olivatairo66123 жыл бұрын
Mwinjilisti ck zote ana hasira na shetani, TWANGA INJILI BABA
@mahambajackson2783 жыл бұрын
Asante muze wetu kwa neno la Mungu.
@gideonregnald2743 Жыл бұрын
Be blessed
@octavianmwamnyanyi62223 жыл бұрын
Usipobadilishwa na injili hii ya baba yetu mzee magembe sahau kabisa kuhusu mbingu ya watakatifu na uzima wa milele.
@godsonlaizer19883 жыл бұрын
mzee mungu akulinde sana, watu wa aina yako wamepoungua kbsa
@emiliansilomo44083 жыл бұрын
Injili isiyogoshiwa. Onya, kemea karipia! Mungu akubariki baba!
@rosemwala9654 Жыл бұрын
Mungu nisaidie nipate unyakuo maana hayo mateso ya watakaobakia ni makubwa mno hauastahimiliki
@valelianonyato-gx5bq2 ай бұрын
Haya ndiyo maneno yanayotakiwa kumponya mtu siyo injili za wahuni wanaoichafua injili ya Bwana Yesu kristo
@febronianyangwala75243 жыл бұрын
Mungu akubariki Sana baba Mungu atusaidie sana
@erastokumburu35983 жыл бұрын
Thank you Pastor for God's love you have been blessed to teach us
@gidionmwarabu83293 жыл бұрын
Amen baba
@joshuaandrew3863 жыл бұрын
AMEN man of God be blessed
@paulina.baynit79703 жыл бұрын
Mimi ni Mkristo Mkatoliki lkn huyu mchungaji na mkubali sana, mafundisho mazuri kwa waumini wa Dini zote na Madhehebu yote. Ubarikiwe sana Mchungaji.🙏.
@chrissmichaelmashouda1726
3 жыл бұрын
Mimi pia mkatoliki nampenda Sana huyu mtumishi af Kuna yule alokufa Dr Moses Kulola mtafute Kaka
@esternaftari4553
3 жыл бұрын
Na mim ni mkatolik mpendwa mtafute na mwingin anaitwa mch. David Mbaga
@SusanaSimoni4 ай бұрын
Mchungaji hatukani acha kumnyoshea kidole masihi wa Bwana wa majeshi ujinga sio tusi
@estermathias83542 жыл бұрын
Eee MUNGU nisamehe hilo la mambo kwà watoto uwiii 🙆🏿♂️🙇🏾♂️🙇🏾♂️
@salvadry013 жыл бұрын
We are in a season of revival for the last army of the saints of the most high God to fight the spiritual battle of the end of times. Ujumbe wa namna hii tutaanza kuusikia zaidi kutoka kwa watumishi wa kweli wa Mungu maana ndio ujumbe utakaoinua roho za mashahidi wa Yesu waliokua wamelala na kujisahau ili kuwaandaa kukabiliana na wakati mugumu wa kujaribiwa unaokuja mbele yetu. Hakika nashuhudia kizazi chetu hakitapita. Na nawahakikishia huyu mchungaji hajakurupuka, nawahakikishia huu ni ujumbe wa uamusho na mtausikia sio kwa huyu pekee, watumishi wengi wa kweli wataanza kuuhubiri.
@alphoncinejule69993 жыл бұрын
Amena Mchungaji ubarikiwe Baba Somo Mwanzo Mpya inatu change maisha yatu. Asante sana mchungaji
@rosethomas1183
2 жыл бұрын
Amina mtumishi
@edwinmbwilo61283 жыл бұрын
Ushauri; Wakusanywe wachungaji wote halafu uwahubirie hayo kisha wao waje watufundishe sisi hapo kanisa litapona na Moto wa uamsho utawaka
@zedinamohammed18783 жыл бұрын
Amen Mtumishi wa Mungu
@salomessmart98143 жыл бұрын
Haleluya!!!!baba we ni hatari sema baba wachungaji wapone
@mpandawilliam68133 жыл бұрын
Ameni sana, pasua Pasua mtumishi wa Mungu.
@deodathkizito96373 жыл бұрын
Yesu akubariki sana Baba 🙏
@nelsonbreidon66003 жыл бұрын
Amen. Man. of God
@mariamnamsongole6163 жыл бұрын
EE BABA MUNGU ITUNZE NA KUIMARISHA HUDUMA HII ULIOIWEKA NDANI YA CHOMBO HIKI! ILI UKAGANGE NA KUOKOA WENGINE ZAIDI!! AMEN.
@winnyrocha13612 жыл бұрын
Very true man of God
@nelsonbreidon66003 жыл бұрын
Nakusikia mtumishi. tupe neno. Uko. sahihi. Kabisa
@tajialbano58273 жыл бұрын
Ameni,amen, Gamaliel wangu.
@janetybubegwa5272
2 жыл бұрын
ASANTE SANA mtumishi wa MUNGU UTUKUFU apewe MUNGU....INJILI isiyoghoshiwa
@maomao38373 жыл бұрын
Wapendwa tubadilikeni maana ukweli ndo huo MUNGU anajidhihilisha kwetu kupitia mtumishi wake.Baba ubarikiwe saana.
@mwamvitamhongole93203 жыл бұрын
Mwenye kusikia na asikie hata milele 🙏
@olivatairo66123 жыл бұрын
Mwinjilisti Mungu akubariki sema yote wala usibakize ili tupone baba, wanaochukia ni wapinga Kristo hao wageuke wakubali kutubu,
@benardmagazi7429
3 жыл бұрын
Sema baba,ili tupone
@ernestpetro2660
3 жыл бұрын
Hio yote sababu watu hawana tumaini,pia wanadamu,wanampenda Sana mungu muumba wa vyote isipokua hawajui pakukimbilia kwani makanisa Ni biashara si sehemu sahihi ya Imani za kiafrika kwakua hamna jinsi ndo maana watu wanakokotwa Mara pokea upako Mara binadamu anaponya vipofu laaa huo Ni ukwamo waakili
@ruthmwasomola6553 жыл бұрын
Baba sema tupone
@nicholausmahembuke73053 жыл бұрын
Nadhani marekani imechangia,huko hakuna maadili,lkn ndiko imani zilikotoka
@paulowiliamusilayo27173 жыл бұрын
MUNGU Atusaidie sana
@kalengemochi94712 жыл бұрын
Amina
@deodathkizito96373 жыл бұрын
Hakika nina amini Yesu amekuacha kwaajili ya kizasi hiki
@christinamoshi5986
3 жыл бұрын
Nawezaje kupata nmba za baba Mosas Magembe
@salomessmart98143 жыл бұрын
Liokoe kanisa la leo
@annagasper39093 жыл бұрын
B
@isayasimon47523 жыл бұрын
Ameeen namba nitumie wasapu 0679598210
@jeradbendiliba38283 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ety vergabond
@rosemwala9654
Жыл бұрын
Hata wakati wa Nuhu walikuwepo waliocheka Kama wewe, hujaanza wewe, kucheka, cheka tu siku za kusaga meno zinakuja mbio.
@christinakembe3869 Жыл бұрын
Kusema wajinga ni sawa kabisa kama hawana maarifa wasiambiwe ukweli?
@imeldakassoga63323 жыл бұрын
Big up mchungaji, lakini una hasira saaana, na hasira Ni mbaya,Tena unatukana wachungaji kuwa wajinga na kadhalika hi inakaaje happy Ni sawa?
@yahayatuly627
3 жыл бұрын
Ujinga sio tusi Mtu wa Mungu
@yahayatuly627
3 жыл бұрын
Pia kuna hasira ya kimungu na ya kibinaadam Ya kibinaadam ndiyo dhambi ya kimungu ni huduma kama kama vile Paulo anavyo mwambia Thimoseo akaripie na kuonya Hiyo ni karama ya uinjilisti uwa inakua hivyo kwenye dhambi.
@edwinmbwilo6128
3 жыл бұрын
Wivu wa BWANA unanila ni maneno ya Yesu alipo zipindua meza za wabadili fedha hekaluni
@sarhkimboi9085
3 жыл бұрын
Ujinga c tuc Bali ni Hali ya kutokuelewa kitu, Na nilazima akalipie
@mbarikiwluambano15963 жыл бұрын
Ubarikiwe Mchungaji kwa kusema iliyo kweli, Nina swal, ni halal mwanamk kujipamb kwa mapamb ya kidunia? Mfano! Rast, mekap, uwanja n.k.
Пікірлер: 71
We mtumishi wa Mungu Mungu akutunze unahubiri Injili ya kweli
Hongera sana Mch.Moses Magembe kwa kutupatia neno lenye tija sana ,hakika tunaendelea kufarijika sana kwa maneno yenye baraka mno
Mashahidi wa kweli wa Yesu bado wapo barikiwa sana Baba, Mungu akupe maisha marefu.
Mungu wa mbinguni akutunze unafanya kazi kwa uaminifu sana Mungu akutetee
Hakika YESU ni BWANA, ujumbe hu ni mimi ninakushukuru Mungu
Mtumish ubarikiwe kwa kuhubiri injili
Dr.Rev maghembe Mungu akubariki sana kwa Neno LA Mungu, natamani sana kila siku niwe napata shule nzito kwako.
Amina mutumishi mungu akubaliki
Barikiwa SANA mtumishi wa MUNGU
Mungu anisamehe
MUNGU akubariki Sana BABA udumu ili utusaidie kwa Jina la YESU KRISTO Ameen.
Barikiwa sana baba mchungaji kwa neema ya Bwana iliyondani yako
Bwana Yesu asifiwe sana,wacha baba aseme maana neno la Mungu ni upanga uwao ukatao kuwili,injili hii ilipotea siku nyingi hatujaisikia siku nyingi enzi za Mzee wetu Moses i feel kama yupo Mungu akutunze mtumishi wa Mungu usipindishe hata moja baba tumezoea injili ya matangazo tuu hata tunashindwa unaenda wapi mwee.hakika wakati unatimia
AMINA UBARIKIWE MUNGU AKUPEMIKA MILEFU🤝
Mwinjilisti ck zote ana hasira na shetani, TWANGA INJILI BABA
Asante muze wetu kwa neno la Mungu.
Be blessed
Usipobadilishwa na injili hii ya baba yetu mzee magembe sahau kabisa kuhusu mbingu ya watakatifu na uzima wa milele.
mzee mungu akulinde sana, watu wa aina yako wamepoungua kbsa
Injili isiyogoshiwa. Onya, kemea karipia! Mungu akubariki baba!
Mungu nisaidie nipate unyakuo maana hayo mateso ya watakaobakia ni makubwa mno hauastahimiliki
Haya ndiyo maneno yanayotakiwa kumponya mtu siyo injili za wahuni wanaoichafua injili ya Bwana Yesu kristo
Mungu akubariki Sana baba Mungu atusaidie sana
Thank you Pastor for God's love you have been blessed to teach us
Amen baba
AMEN man of God be blessed
Mimi ni Mkristo Mkatoliki lkn huyu mchungaji na mkubali sana, mafundisho mazuri kwa waumini wa Dini zote na Madhehebu yote. Ubarikiwe sana Mchungaji.🙏.
@chrissmichaelmashouda1726
3 жыл бұрын
Mimi pia mkatoliki nampenda Sana huyu mtumishi af Kuna yule alokufa Dr Moses Kulola mtafute Kaka
@esternaftari4553
3 жыл бұрын
Na mim ni mkatolik mpendwa mtafute na mwingin anaitwa mch. David Mbaga
Mchungaji hatukani acha kumnyoshea kidole masihi wa Bwana wa majeshi ujinga sio tusi
Eee MUNGU nisamehe hilo la mambo kwà watoto uwiii 🙆🏿♂️🙇🏾♂️🙇🏾♂️
We are in a season of revival for the last army of the saints of the most high God to fight the spiritual battle of the end of times. Ujumbe wa namna hii tutaanza kuusikia zaidi kutoka kwa watumishi wa kweli wa Mungu maana ndio ujumbe utakaoinua roho za mashahidi wa Yesu waliokua wamelala na kujisahau ili kuwaandaa kukabiliana na wakati mugumu wa kujaribiwa unaokuja mbele yetu. Hakika nashuhudia kizazi chetu hakitapita. Na nawahakikishia huyu mchungaji hajakurupuka, nawahakikishia huu ni ujumbe wa uamusho na mtausikia sio kwa huyu pekee, watumishi wengi wa kweli wataanza kuuhubiri.
Amena Mchungaji ubarikiwe Baba Somo Mwanzo Mpya inatu change maisha yatu. Asante sana mchungaji
@rosethomas1183
2 жыл бұрын
Amina mtumishi
Ushauri; Wakusanywe wachungaji wote halafu uwahubirie hayo kisha wao waje watufundishe sisi hapo kanisa litapona na Moto wa uamsho utawaka
Amen Mtumishi wa Mungu
Haleluya!!!!baba we ni hatari sema baba wachungaji wapone
Ameni sana, pasua Pasua mtumishi wa Mungu.
Yesu akubariki sana Baba 🙏
Amen. Man. of God
EE BABA MUNGU ITUNZE NA KUIMARISHA HUDUMA HII ULIOIWEKA NDANI YA CHOMBO HIKI! ILI UKAGANGE NA KUOKOA WENGINE ZAIDI!! AMEN.
Very true man of God
Nakusikia mtumishi. tupe neno. Uko. sahihi. Kabisa
Ameni,amen, Gamaliel wangu.
@janetybubegwa5272
2 жыл бұрын
ASANTE SANA mtumishi wa MUNGU UTUKUFU apewe MUNGU....INJILI isiyoghoshiwa
Wapendwa tubadilikeni maana ukweli ndo huo MUNGU anajidhihilisha kwetu kupitia mtumishi wake.Baba ubarikiwe saana.
Mwenye kusikia na asikie hata milele 🙏
Mwinjilisti Mungu akubariki sema yote wala usibakize ili tupone baba, wanaochukia ni wapinga Kristo hao wageuke wakubali kutubu,
@benardmagazi7429
3 жыл бұрын
Sema baba,ili tupone
@ernestpetro2660
3 жыл бұрын
Hio yote sababu watu hawana tumaini,pia wanadamu,wanampenda Sana mungu muumba wa vyote isipokua hawajui pakukimbilia kwani makanisa Ni biashara si sehemu sahihi ya Imani za kiafrika kwakua hamna jinsi ndo maana watu wanakokotwa Mara pokea upako Mara binadamu anaponya vipofu laaa huo Ni ukwamo waakili
Baba sema tupone
Nadhani marekani imechangia,huko hakuna maadili,lkn ndiko imani zilikotoka
MUNGU Atusaidie sana
Amina
Hakika nina amini Yesu amekuacha kwaajili ya kizasi hiki
@christinamoshi5986
3 жыл бұрын
Nawezaje kupata nmba za baba Mosas Magembe
Liokoe kanisa la leo
B
Ameeen namba nitumie wasapu 0679598210
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ety vergabond
@rosemwala9654
Жыл бұрын
Hata wakati wa Nuhu walikuwepo waliocheka Kama wewe, hujaanza wewe, kucheka, cheka tu siku za kusaga meno zinakuja mbio.
Kusema wajinga ni sawa kabisa kama hawana maarifa wasiambiwe ukweli?
Big up mchungaji, lakini una hasira saaana, na hasira Ni mbaya,Tena unatukana wachungaji kuwa wajinga na kadhalika hi inakaaje happy Ni sawa?
@yahayatuly627
3 жыл бұрын
Ujinga sio tusi Mtu wa Mungu
@yahayatuly627
3 жыл бұрын
Pia kuna hasira ya kimungu na ya kibinaadam Ya kibinaadam ndiyo dhambi ya kimungu ni huduma kama kama vile Paulo anavyo mwambia Thimoseo akaripie na kuonya Hiyo ni karama ya uinjilisti uwa inakua hivyo kwenye dhambi.
@edwinmbwilo6128
3 жыл бұрын
Wivu wa BWANA unanila ni maneno ya Yesu alipo zipindua meza za wabadili fedha hekaluni
@sarhkimboi9085
3 жыл бұрын
Ujinga c tuc Bali ni Hali ya kutokuelewa kitu, Na nilazima akalipie
Ubarikiwe Mchungaji kwa kusema iliyo kweli, Nina swal, ni halal mwanamk kujipamb kwa mapamb ya kidunia? Mfano! Rast, mekap, uwanja n.k.
Mtumish ubarikiwe kwa kuhubiri injili
Ameni,amen, Gamaliel wangu.
Mbalikiwe Saana Baba