No video

KIJANA wa MBEYA ALIYEJIREKODI AKICHOMA MOTO PICHA ya RAIS SAMIA - RC HOMERA AAGIZWA ASAKWE...

KIJANA wa MBEYA ALIYEJIREKODI AKICHOMA MOTO PICHA ya RAIS SAMIA - RC HOMERA AAGIZWA ASAKWE...
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Cde: Juma Z. Homera amemuagiza Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya SACP Benjamini Kuzaga kumsaka na kumkamata Kijana anayepatikana Ntokela Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe Mkoani Mbeya Kwa Kosa la Kumkashifu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa Maneno Makali na Kisha kuichoma moto Picha inayomuonyesha Mh:Rais.
RC Homera amelaani vikali Kitendo hicho kuwa si Cha Maadili Wala Uungwana na Kiko tofauti na Utamaduni halisi wa Wananchi Mkoani Mbeya.
Hata hivyo ametoa Masaa 24 kwa Kamanda Kuzaga Kumkamata Kijana huyo ili alisaidie Jeshi la Polisi juu ya tuhuma hizo na Mashambulizi hayo ambayo kayaelekeza Moja kwa Moja kwa Mh: Rais Dkt: Samia Suluhu Hassan.
Mwisho RC Homera amewasihi Wananchi Mkoani Mbeya kutojiingiza kwenye Vitendo viovu kwa Kukashifu Viongozi Makusudi badala yake wajikite katika Utafutaji na Uchapa Kazi kwa Manufaa ya Familia zao na Tanzania kwa Ujumla.
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 95

  • @globaltv_online
    @globaltv_onlineАй бұрын

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @PrinceHendry-hp8vv
    @PrinceHendry-hp8vvАй бұрын

    Wachangiaji humu acheni kuandika eti mama anapingwa kwa dini kwan magufuli kipindi anasumbuana na kina lisu hawakuwa wakatoliki wote.. Acheni kuligawa taifa kwa fikra dhaifu ya dini

  • @nicodemusoisso3860
    @nicodemusoisso3860Ай бұрын

    Viongozi wote msidharau hili kuna upumbavu mwingi sana wa wasiopenda maendeleo ya nchi yao naomba asakwe hatutaki Rais wetu adhalilishwe!

  • @mamboleoomary2723
    @mamboleoomary2723Ай бұрын

    Kwa huku kwetu Ni matusi eti kuchoma picha ya kiongozi,lakini Ni uhuru wa kutoa maoni kwamba hapendezwi na serikali jins inavyoendesha nchi,sion kama Ni kesi yeye amechoma picha kupeleka ujumbe kuwa hapendezwi na mambo fulan,tumeona nchi mbali mbali wakiandamana na wananchi kuchoma bendera za nchi na picha za viongozi lakin sioni tatizo lolote hapo

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vwАй бұрын

    Asante mkuu wa mkoa nakuunga mkono na naamini jeshi la polisi watamkamata chapu kwa haraka mpuuzi huyu mungu gani anaekutuma kuwakashifu waja wake huyo sio mungu bali ukishafika polisi utaeleza uzuri nani aliekutuma

  • @user-fr7jj1bo7y

    @user-fr7jj1bo7y

    Ай бұрын

    kuchoma picha ya Rais sio kosa ni sehemu ya freedom of expression na katiba inaruhusu RC Homera anajitafutia umaarufu na kulinda kibarua chake hakuna lingine.

  • @user-uc3wu3ho5s
    @user-uc3wu3ho5sАй бұрын

    Bangi nimbaya haki ya mama ipatikane

  • @PrinceHendry-hp8vv

    @PrinceHendry-hp8vv

    Ай бұрын

    Kipindi cha magufuli yalitokea tu kuna watu walihoji udactar wa magu wakapotezwa

  • @liberatusjackson5045
    @liberatusjackson5045Ай бұрын

    Huyu mkuu wamkoa ndooo akamatwee kwanza anaongereaje😂😂😂😂china...siindioyareyare mahujumu uchumiii

  • @user-fr7jj1bo7y
    @user-fr7jj1bo7yАй бұрын

    kuchoma picha ya Rais sio kosa ni sehemu ya freedom of expression dunia nzima inafanyika na katiba ya Tanzania ibara ya 18 inaruhusu RC Homera anajitafutia umaarufu na kulinda kibarua chake hakuna lingine.

  • @AmonBora-ve5si

    @AmonBora-ve5si

    Ай бұрын

    Ww sasa umeongea

  • @DaudyMrema-q6g
    @DaudyMrema-q6gАй бұрын

    Hongera Mkuu wa mkoa kwa kujenga mbeya yetu kihasi hiki mpaka naona wazunguuu😁😁

  • @thamani5842
    @thamani5842Ай бұрын

    Heshimuni mama wa wenzenu kama mnavotaka waheshimiwe mama zenu. Si sifa iyo, unajiona ndo mwamba, ushamba tu unakusumbua. Na km mmedhamiria kutuletea fujo ktk Tz yetu, ALLAH akudhoofisheni, akunyong'onyisheni, akupeperusheni mbali uko

  • @halimamasai2234
    @halimamasai2234Ай бұрын

    Bangi mbichi hizo kama sukuma ndani shenzi sana

  • @mekin8684

    @mekin8684

    Ай бұрын

    Shida yake ni nini? Sijaiona kosa hapo

  • @alfredymalata269
    @alfredymalata269Ай бұрын

    ANAYETOA MAAGIZO MWENYE YUPO CHINA HUKO .... NCHI YATIMA HII MPAKA MKUU WA MKOA NI MZURULAJI .... WAKUTEULIWA AWA KIONGOZI NI MAKONDA TU

  • @simbarajabu4157
    @simbarajabu4157Ай бұрын

    Akamate na Sheria ichukue mkondo wake pumbavu huyo

  • @yousuphnzira3209
    @yousuphnzira3209Ай бұрын

    Akamatwe ang'olewe meno yote mpuuzi huyo anataka atuimgize kwenye machafuko

  • @Keyjop
    @KeyjopАй бұрын

    Saingine sio Kila kitu kinachukuliwa ni kashfa huenda anaujumbe ambao aneona viongoz wa karibu hawamsaidii ko stress zimempelekea kufanya hivyo ...msikilizeni kwanza maana huenda mama yupo vizuri ila viongozi wa chini mnamwangusha mama mpaka haya yanajitokeza. ..

  • @nkwabidonald4277
    @nkwabidonald4277Ай бұрын

    Atafutwe huyu nidhamu mbovu, hii nchi sio kama ile

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin952024 күн бұрын

    Ushoga hatutaki jaman tz Ushoga serikari munaupenda au

  • @HusseinAmiri-pp8dy
    @HusseinAmiri-pp8dy26 күн бұрын

    😮Kwani ye nani??! Ni mungu mpka asisemwe ikiwa kunaonekana itlaf ktka uongozi wake

  • @user-kb6pz9dk8n
    @user-kb6pz9dk8nАй бұрын

    Safi sana kijana umeonesha ushujaa wengi tupo nawe choma na huyu mkuu wa mkoa mandazi huyu Kwanini waliotekwa hamtoki hadharani kusema kuueleza umma kwamba mmepata waliotekwa nyau ninyi

  • @saidkipalo4427

    @saidkipalo4427

    Ай бұрын

    Ushujaa Upumbavu Wacha apate anayo stahili...alafu Sisi watanzania hatuna tabia za hivyo kama hizi

  • @abubakarkibai2543
    @abubakarkibai2543Ай бұрын

    First 1 to comment nipeni likes zang

  • @KhamisChaz-td4nz
    @KhamisChaz-td4nzАй бұрын

    Mbona wanamkashifu MUNGU hamuwakamati lakini pia kumbukeni kua tunaongozwa na Rais wa katiba sio wa kuchaguliwa na wananchi watanzania ni wavumilivu heshimuni hisia za watu na kuwapa elimu

  • @user-sr8tc8ke6q
    @user-sr8tc8ke6qАй бұрын

    Dogo Katag location 😅😅😅

  • @abdallahkambangwa7215
    @abdallahkambangwa7215Ай бұрын

    Unapataje nguvu ya kuchoma picha ya Raisi

  • @mekin8684

    @mekin8684

    Ай бұрын

    Kwani kuchoma picha ya rais ni kosa, watu wanachoma bendera ya nchi sembuse picha ya mtu ?

  • @sharoshine9984
    @sharoshine9984Ай бұрын

    Kumbe mbeya ni kama MAREKANI imepita Hadi dar es salaam mazingira km MAREKANI au Dubai au Shanghai

  • @happynkya9770
    @happynkya9770Ай бұрын

    waliopo pamoja na kijana mchoma picha gonga like tuwaaaahi

  • @user-mx2tx5eg9x
    @user-mx2tx5eg9x18 күн бұрын

    Ni uoga tu wa RC kuogopa kutumbuliwa, uoga tu, Asingekua mtrule wa rais angekaa kimya. Kijana hakua na kosa lolote mbele ya sheria.

  • @tonchanthol5329
    @tonchanthol5329Ай бұрын

    😮😮😮

  • @emanuelernest8710
    @emanuelernest8710Ай бұрын

    Gen Z 🇹🇿🇹🇿

  • @afiahsalmin7508
    @afiahsalmin7508Ай бұрын

    Sijaona inch ya kukosa haki kwa wanainch wake kama wa Tanzania

  • @philipongenzatv
    @philipongenzatvАй бұрын

    Jamani hata wanao fanya uharifu muwasake kama yule kijana Sativa wasakwe hyo mambo madogo

  • @RajabuKibwana-ol4ud
    @RajabuKibwana-ol4udАй бұрын

    Kwani kua china ndo Hana maamuzi ya kukemea vitendo vibaya kwenye mkoa wake? Mkuu wa mkoa chapa kazi Tanzania nihuru ila so kwa alichokifanya huyo kijana atajuta

  • @YusufLubangula-yn6tq
    @YusufLubangula-yn6tqАй бұрын

    Huyu atakuwa na ugonjwa wa Afya ya AKILI🤯 Binafsi atafutwe Atibiwe🥺

  • @MwigaAdam
    @MwigaAdamАй бұрын

    Mumeacha kuwasaka walarushwa na mafisadi yalioiba nakuchukuwa hela za umma kupitia ripoti ya CAG mnashuhulika na kijana ambae katoa maoni yke ??

  • @AbishaeErnest-gc3lh
    @AbishaeErnest-gc3lhАй бұрын

    Kampimeni akiri kwanza mkikuta ni chizi mwacheni,mkikuta ni mzima pigeni risas za kichwa

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary89329 күн бұрын

    Watanzania tumekosea sana tungemxhangia chapu tunge mripia faini asinge fungwa

  • @UlizaHassan
    @UlizaHassanАй бұрын

    Kwan yey mungu

  • @AminoKhalif
    @AminoKhalifАй бұрын

    Analana huyu rais yupo tu

  • @nicodemusoisso3860
    @nicodemusoisso3860Ай бұрын

    Asakwe hsraka Pengine kuna watu nyuma yake hayo mashina ya mbegu mbaya sana kwa nchi yetu.

  • @brendangabriel1643

    @brendangabriel1643

    Ай бұрын

    Acha ujinga, picha tu, kwani katukana?

  • @wilisonmikate1652
    @wilisonmikate1652Ай бұрын

    Huyo ni chizi ndio mana kila kijana anaye suka ras huwa simwamini.

  • @greenwellnsyukwe4729
    @greenwellnsyukwe4729Ай бұрын

    Mpimeni akili zake huyo, naona km ni punguani kidogo, au anavuta tumbaku zao, mtu mwenye akili timamu hauwezi kufanya ujinga huo badala ya kufanya kz ulee gamilia yako, km hauna fanya kz lea wazazi wako, ukiwa na majukimu huo ujinga hauwezi hata siku.

  • @JackMamasita
    @JackMamasitaАй бұрын

    Jamaa yukosawatu mbona mambomadogohiso 😂😂😂

  • @abdallahjuma7439
    @abdallahjuma7439Ай бұрын

    Wanapenda kufatilia. Vitu. Ambavyo sio vya maan. Badala muwaze. Jinc. Ya kuwasaidia. Wananchi

  • @abbaviermhangos2616
    @abbaviermhangos2616Ай бұрын

    Wacheni ujinga huo hayo yote ni shida ya maisha Tz hakuna maendeleo haina aja hutumia selikali kwa mtu mmoja 😂😂😂

  • @AmonBora-ve5si
    @AmonBora-ve5siАй бұрын

    Kwa ufaham wangu nadhani hapo alidhihirish kwamb kun vitu vimemchosha na piah mbon sisi picha tuition haina umuhmu tunaichom kwan hapo kosa ni lip ?nimeuliz tyu

  • @user-it3im4di4q
    @user-it3im4di4q28 күн бұрын

    mtomto albino ameuliwa na kukatwa viungo mpaka leo kesi haieleweki ali huyu kuchoma picha siku mbili tu hukumu imeshatoka sasa picha na uhai kipi bora, kweli nchi yetu maskini tena maskini wa fikra

  • @funekamole6742
    @funekamole6742Ай бұрын

    Kweli watotoo huchezea maziwa ya mama zetu tu sio mbupu za baba.😅😅😅

  • @user-xx1je7sy4h
    @user-xx1je7sy4hАй бұрын

    Harafu unaagiza kukamatwa kwenye mitandaoni si atatonywa atoroke baadala ya kumtafuta kimya kimya uropoka nan umkute

  • @jakobongwara3038
    @jakobongwara303825 күн бұрын

    Jamaa vijana wamesoma wataishia mitaanii taifarakesho ndio watachapa kazi miaka 60 wengi wamexpai kwanini ? Wasimaachie watoto nahatakomaa tu namaofisi nn huyo kijjana ajiliwe kwenye sanam amekuta h aaaa saidiwi napicha kachola nakakuta hapatiwi tuzo kamua

  • @thomaskiponda6079
    @thomaskiponda607929 күн бұрын

    HUYU NI MOJA KATI YA VIJANA JASIRI NILIOWAHI KUWASHUHUDIA HAPA DUNIANI DUHHH.

  • @J4UPro
    @J4UProАй бұрын

    Huyu dogo hajielewi

  • @IbrahimuLikolinji-ly2tp
    @IbrahimuLikolinji-ly2tpАй бұрын

    Huyu jamaa chizi sana ngoja ukamatwe ukaone

  • @herryweston2213
    @herryweston221329 күн бұрын

    Hyo picha si kachora yeye mwenyewe na kaichoma yeye mwenyewe 😂yaani ni sawa na kulima mahindi halafu ukayafyeka kulishia mifugo

  • @apostlejoelyamo2983
    @apostlejoelyamo2983Ай бұрын

    Sasa hapo Kuna kosa gami

  • @mataypanga5262
    @mataypanga5262Ай бұрын

    Ni uhuru wa maoni ,kama kijana ameona mama hafai,mama rais hawezi kumlazimisha kijana. Halafu hata akikamatwa na polisi ni mahakama gani itamhukumu😂

  • @user-oz4gz8kq9e
    @user-oz4gz8kq9eАй бұрын

    Wala huyu jamaa siyo wa mbeya wala hawatampata imeisha hiyo

  • @BarakaMazani-sf6cv
    @BarakaMazani-sf6cv22 күн бұрын

    Wewe mkuu wamkoa akili huna

  • @remiomar7154
    @remiomar7154Ай бұрын

    Watanzania bwana sasa kosa lake nini 😂 kuchoma picha ndio hatia sasa sisi wakenya mbona mpaka bango tumechoma n ikilu wakafika 😂😂ila musituinge sisi tumemchoka ruto juu ya maisha ya ushuru kila leo

  • @SuleAmber-lw2tx
    @SuleAmber-lw2txАй бұрын

    Safi sana kijana na sio muda na mm nachoma subirini tu hakuna linachofanya hilo Mama lenu

  • @florianhenry7198
    @florianhenry7198Ай бұрын

    Mbeye siku hiz wameanza kulima Bangi kumbe

  • @hamisimkoma7380
    @hamisimkoma7380Ай бұрын

    RC kweli wewe ni mpumbavu mno..unataka kila mmoja amsifie huyu rais mzembe

  • @eliaskahory7116

    @eliaskahory7116

    Ай бұрын

    Kumsifia sio Shda Ila Shda nikuchoma picha ya mtu teena kiongoz mbele za Watu. Huon kama ni Dharau?

  • @timothysanga3853
    @timothysanga3853Ай бұрын

    Mkuu wa mkoa Acha Uchawa

  • @FranckDaniel-cc5rg
    @FranckDaniel-cc5rgАй бұрын

    Muache ndugu yetu

  • @fxmeddy9567
    @fxmeddy9567Ай бұрын

    We mkuu wa mkoa na samia wako nyote hamfai hata kidogo. Mnazurura kama kuku. Muda huu ulitakiwa uwe ofisini. Wwe ndo ulitakiwa ukamatwe na utoe majibu kwanini haupo ofisini.

  • @RobbyAgain
    @RobbyAgainАй бұрын

    Mkuu wa mkoa unatoaje amri akamatwe wakat ww uko nje ya nchi yako ww ndo ukamatwe

  • @aizzyashery5564
    @aizzyashery556428 күн бұрын

    We rc Huna akili kabisa

  • @brendangabriel1643
    @brendangabriel1643Ай бұрын

    Picha tu ndio dhambi? Hajatukana wala kukashifu, je ni kosa mtu kuonesha kuwa hakupendi? Mbona viongozi hupigwa na mayai viza, na wapinzani hawaadhibiwi? Bush wa USA alirushiwa kiatu kikamkosa, mpinzani wake hakuadhibiwa. Kwa nini picha tu? Acha kujikomba, wakati SSH hana shida na hilo. Muulizeni yeye kwa hilo, atawacheka nyie. Kijana amewasilisha hisia zake kwa njia hiyo, mwacheni.

  • @nkwabidonald4277
    @nkwabidonald4277Ай бұрын

    Mh

  • @WakiliHaule
    @WakiliHauleАй бұрын

    Sasa wewe mkuu wa unafanya nini uko china muda huu?..yote aya yanafanyika kwa sababu yenu nyinyi viongozi wazembe ambao mupo madarakani kwa maslahi yenu binafsi

  • @johngerald4677
    @johngerald4677Ай бұрын

    Ya msingi hamfanyi pumbafu kabisa

  • @RehemaMasunga-ml7kt
    @RehemaMasunga-ml7ktАй бұрын

    Ndio na mimi nilijiuliza huyu kijana anajiamini nini

  • @user-kw3yb2sh3s

    @user-kw3yb2sh3s

    Ай бұрын

    Angekuwa anajiamini angeifanya kazi hiyo mbele ya kituo cha polisi.

  • @RehemaMasunga-ml7kt

    @RehemaMasunga-ml7kt

    Ай бұрын

    @@user-kw3yb2sh3s kwa maisha ya sasa hivi jali mambo yako tu huko kwingine waachie wenye nguvu tu wewe pambana na familia yako

  • @user-mh9hj3lx7q
    @user-mh9hj3lx7qАй бұрын

    Wewe mkuu wa mkoa wewe ni kibaraka wa mama abdul

  • @MathewsSikazwe-up4qd
    @MathewsSikazwe-up4qdАй бұрын

    Acha ujinga wewe watu wame choka na upumbavu wa viongozi.

  • @jeffmap4038
    @jeffmap4038Ай бұрын

    mimi nashauri Serekali mdili na shida za wananchi maji umeme na barabara. Mungu amewahi kudhihakiwa. Yesu Kristo ameteswa na wanadam na Mtume Mohamad Katukanwa. sisi ni wanadam tu. tuachana na mambo yasiyo na threat kwa usalama wa taifa. tunaonekana ni vituko tu

  • @brendangabriel1643

    @brendangabriel1643

    Ай бұрын

    Rais wetu hana shida kwa hili, ila hawa machawa ndio shida. Deal na shida za watu, achana na kuchomwa picha. Picha sio SSH, lile ni karatasi tu.

  • @RodaMwakatundu
    @RodaMwakatundu15 күн бұрын

    Taila wewe

  • @halimamasai2234
    @halimamasai2234Ай бұрын

    Naona watu wanaompiga mama zaidi ni kutoka Mbeya jee hii itakua ni nini maana yake dini?

  • @PrinceHendry-hp8vv

    @PrinceHendry-hp8vv

    Ай бұрын

    Acha kuwaza mambo ya dini rais yoyote hawez achwa kina tramp wanapigwa ndo kusema wanaowapinga kule marekani ni waislam

  • @user-kw3yb2sh3s

    @user-kw3yb2sh3s

    Ай бұрын

    Huko Mbeya wengi wameshikiwa akili na wachaga. Vijana wao wanatumiwa kufanya harakati alaf likitokea la kutokea wazazi wao ndio wanahangaika kwenda na kurudi mahakamani, huku waliowatuma wakiendelea kula bata na familia zao huko Moshi, Arusha na Dar es salaam.

  • @halimamasai2234

    @halimamasai2234

    Ай бұрын

    @@user-kw3yb2sh3s Na kweli maana hii si kawaida

  • @halimamasai2234

    @halimamasai2234

    Ай бұрын

    @@PrinceHendry-hp8vv mbona isitoke wakati wa Magufuli

  • @PrinceHendry-hp8vv

    @PrinceHendry-hp8vv

    Ай бұрын

    @@halimamasai2234 best kipindi cha magufuli samia hakua rais sasa hivi atakutana na uozo wote coz ndo kiongoz mkuu hata wewe Leo ukipewa urais kwa mara ya kwanza utaskia masai gan mwislam

  • @melanialeonard4031
    @melanialeonard4031Ай бұрын

    Makato ya umeme yamezidi kila ukinunua wanakata siyo kila mtanzania anaweza kununua umeme wa mwezi mzima mtupumzishe 10000 unapata unit19 makato alfu3 au ni mm tu nalipia umeme wa viwanda kwenye chumba cha kupanga😏😏

  • @femidayahaya9293
    @femidayahaya9293Ай бұрын

    Watu wanajifanya majasil alafu wakikamatwa wanaomba msamaha..hata kenya wamejifanya kuandamana alafu baadhi yao waliokamatwa wanalia kuomba msamaha..uckubal kutolewa chambo maana sheria ilishika mkondo wake waliokutuma hawawez kuja kukutetea

  • @faidhamyovela179
    @faidhamyovela179Ай бұрын

    Vijana wamevurugwa 😂

Келесі