Kama kuna kosa jingine sawa lakini kuchoma picha ya rais sio kosa.
@christinenyagiro66625 күн бұрын
Kwani kachoma mtu. Kama angechoma mtu wala asingetafutwa.
@ChristmasMaheri5 күн бұрын
Siri za ufalme wa mbinguni wamefichwa wafalme na wenye mamlaka.Watoto ndiyo wamefunuliwa siri hizo.
@shuwehaharuna63092 күн бұрын
Mungu hajakufunza kiengereza vizuri mbna unaandika ndivyosivyo
@user-yz1xq8xo8s5 күн бұрын
Lakini aliyoyasema hayapo au yapo huwezi kusema chizi Ila lipo linakuja Tz viva😢😢😢😢😢
@edwinalexander11705 күн бұрын
Huyu jamaa akili zake haziko sawa anahitaji usaidizi mkubwa sana.
@clauschaula20503 күн бұрын
Tukiwa viongozi tutambue kuwa tunaongoza watu wenye huruka na tabia tofauti.Tuwapende wote wanaotubeza na wanaotupongeza.Wote ni wa Mungu.Kwa huyu kijana huenda ana lengo jema na ni mapema mno kumuhukumu.Asanteni.
@JacksonFrances5 күн бұрын
Wasipotumia Akili na Hekima Hawa Police,, Mahakama na Wanajeshi Watajichanganya na Moto Utaanzia Hapo"
@nsiamasawe4578Күн бұрын
Hili la ushoga linaangamiza Taifa. Linaondolea wanaume ujasiri. Ruto amepinga ushoga amezungukwa ametengezewa vigisu. Mama anaifaham nguvu ya ushoga. Wanaume kataeni kutolewa marinda.
@ostenmwakasita69605 күн бұрын
Kwani aliempiga Kofi Rais wa awamu ya 2 Mwinyi kwani alifungwa itakuaje huyu afungwe tatueni matatizo ya vijana sio kujifanya hamuyaoni
@nasraswakala
5 күн бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@user-nb5fk2qh9c
5 күн бұрын
Yule alikuwa mstaafu na mwenyewe alisameh huyu ni rais
@MagrethKatondo-qs9oz5 күн бұрын
Sioni shida yoyote hivyo ni vitu vya kawaida tu. Ushoga ushoga ushoga jamani ni chukizo mbele za mungu kwanini? Ee mungu tuhurumie Baba. Tunaangamia.
@MonicaGwitira5 күн бұрын
Huyu kijana anahitaji msaada wa afya za ability au mental health as it's called. Mental health is a reality in our lives. And in the event haelewi kuwa kitendo shake hakifai na afundishwe. Kufundishwa sio maana kuadhibu ili aumie. Anafaa kufundishwa kwa upend. Namuunga mkono mwalimu Jacob kuwa kijana anajitafuta.
@jamaicaevakeyz37375 күн бұрын
ila swala la 🇹🇿USHOGA🇹🇿 MAMA SAMIA TUNAPOELEKEA UTAONENEKANA RAISI WA AJABU KWA NINI HUTOI SULULISHO LA USHOGA AU MPAKA TUANDAMANE🇹🇿
@renatus5687
3 күн бұрын
Kwan una ham ya kuolewa au kuna mtu atakuja kukuoa kwa nguvu tumia akiri
@TM-zs3rm4 күн бұрын
Picha za magazeti siku zote zinakwenda jaralani kwenye taka, na magazeti mengi yanachomwa moto kutunza mazingira, watu wasipotumia maji au toilet paper wanatumia magazeti hayohayo chooni. Kuna tofauti gani.
@chalokalunde94295 күн бұрын
Apelekwe kwanza kwa Daktari wa mgonjwa ya Akili.Hizo storI za kufika Libya hizo,pengine hata Sinzà hajafika.
@sumaleraja4809
2 күн бұрын
Haujamuelewa, hamaanishi yéyé kama yeye ndo amefika Libya no! Muelewe vizuri yéyé anajiita ni mmarekani akili nyingi. Kwahiyo hapo anatolea mfano kwamba yeye amesimama hapo kama nchi ya marekani
@wilsonandlea86145 күн бұрын
Kijana namunga mukono mtaan hali mbaya
@MwanaishaShattry
5 күн бұрын
Lazima hali iwe mbaya vijana hamtaki kazi manataka short cut. Ndio maana vijana wengi wakiume wanfirwa vibaya sana.
@user-sn4iq6cu1f
5 күн бұрын
Unataka kazi zipo vaamsuli bila chupi
@user-rc1dp6ux3kКүн бұрын
Rais Samia anasema kuwapa waarabu bandari kumeongeza mapato kama ndyo kuna unafuu gani kwa wananchi au ni zao kodi kila kona mnatukata kodi kila tuponunua umeme kama mnavyotaka ninyi iko siku umma utajitambua
@adammjomba58145 күн бұрын
Huyu kijana anahitaji msaada wa natibabu sio kufungwa jella polisi jifunzeni kumuangalia mtu kabla hamjamfunga jella
@christinenyagiro66625 күн бұрын
Mungu atakukomboa kabisa kijana pili mmekwenda kumpima akili yake. Sasa huyu mnaamini ni mzima? Kweli mnamfanyia. Kabla ya kumpeleka mahakama mplekeni kumpima akili. Hivi ninyi polisi mnamwona mwona ni mzima?
@nemaJuma-u5o2 күн бұрын
Amina! Mungu ni mwema!
@user-eh2fi9ds5h18 сағат бұрын
Kuchoma picha sio kosa
@azizihfarijala53074 күн бұрын
Hivi mbona wakti fulani hatukuona haya huu udini utatugharimu kwa ujinga wetu
@Ibrahim.Katera.5 күн бұрын
Hakika baba mchungaji asante kwa kutuweka kondoo wako mikono salama na mungu akubariki sana.
@awatifalghanim11065 күн бұрын
Hakuna tena Nabii/ Mtume baada ya Walopita. Mtume na Nabii ni maana moja.
@medardchenge4 күн бұрын
Kijana ataishi kwa jina la yesu! Ukweli kasema.😂😂😂😂😂
@mtumwasamaki4 күн бұрын
Hadi kujirikodi na kuvaa uniform,huyu amejiandaa na anania ovu na hizo kama sio Bangi basi mental dis order akapimwe ucmtetee
@selemanimlingi9853Күн бұрын
Kwanza sio rais wa muungano ni rais wa tanganyika mzanzibar, Zanzibar hateuwi kiongozi yeyote? Muungano upi Sasa huo? Tutafakari watanganyika.
@mtumwasamaki4 күн бұрын
Huyu Hana adabu na inawezekana ametumiwa
@AwaziRajab3 күн бұрын
We Nawe Bule Mtoto Unaemzunguzia Ni Yupi Yule.Anachoma Akiwa Na Akili Timamu Gumtanamo Aichagui Umli
@Mshuzaboy88264 күн бұрын
🎉nimekuelewa sana ndugu mungu amekupa. Kipawa
@ElneySheddy-is1dv4 күн бұрын
Tanzania mtu akisema ukweri anauwawa tunataka katiba mpya nahuyo dogo wamuachie Yuko sahihi
@husnasalim96145 күн бұрын
Yeye anapinga ushoga kwanini akamatwe wa tanzania atutaki usoga😢😢
@NestoryMsigwa
5 күн бұрын
XB
@RachelRachel-zx6dx
4 күн бұрын
Hivi kwanini kila anayepinga ushoga anakamatwa yule pastor wa Songea alikamatwa sijui vp
@rezikomer95523 күн бұрын
2:38 ametumwa na waasi wakimagharibi kuaribiya afrika iliwawrze kuiba resoces za wa africa kama rwanda
@AbdilahiMriri5 күн бұрын
Lakini pamoja na hayo akipimwa akili ikiwa nzima ashughulikiwe tu kimahakama.
@ibrahimaziz71585 күн бұрын
Mchungaji wa chadema kwaiyo unaunga mkono uhalifu au kwa kua ni chizi ndio unamtetea
@ainessmbise10093 күн бұрын
Msimfunge kachukizo na ushoga jamani.
@danielambonisye62615 күн бұрын
Maana yake wahubiri hawakemei ushoga Mungu atainua mafuriko, njaa vita, tauni, uchumi kudorora na kumuondolea kila mtu tegemeo lake ili kukomesha kiburi cha mwanadamu hasa katika miaka.
@benedictojagadi647Күн бұрын
Ni ukweli mtupu hata wale aliowaongelea yaani Marekani wao wanaacha @akili ifanye kazi yake hadi iffike mwisho ndiyo maana wanawatu wa aina nyingi
@exaverysimon10645 күн бұрын
N UPUUZ WA HALI YA JUU TATA IWEJE HAKUPASWA KUFANYA ALICHO FANYA HIYO INACHOCHEA CHUK WALA HAISOLVE TATIZO HUYO ANAPASWA KUWA MFANO KWA WENGINE RAIS ANAPASWA KUHESHIMIWA
@salmanmagwe26125 күн бұрын
Huyu kijana pengine ni punguani,hawa vijana wetu lau wangeenda Ulaya wakaona wenzio wanavyochakarika basi wasingefanya upuuzi huu mitandaoni.hakuna Rais sio chama tawala au upinzani atakaekuja kukujaza mapesa mfukoni,nendeni mkafanye kazi kwani wanasisa sio watu
@furahamkolangunzi86175 күн бұрын
Mungu atusaidie
@DaheerK17 сағат бұрын
Mdomo pengine mama ako anakufa njaa unashabikia yapicha nabado mtakoma
@BotulphusAugustine3 күн бұрын
Mioyo ina mengi tafakari sana tu
@sagazuukambad3 күн бұрын
Kwan rahis ni nan na kwani alichoma aliwa kwenye wasifa gani
@user-ed6bh3hs6g3 күн бұрын
Tuandamane vijana kufasiku moja
@maulidimpili6984 күн бұрын
Kumbe anakemea ushoga nimependa sana hizo tamaduni za watu weupe ushoga ndio maana Putin hatak kabisa maswala ya ushoga ila sisi watu weusi akija mzungu kuleta jamb baya tunakubali tu sabab mtu mweusi asili yake ni utumwa ata awe na cheo kias gan lkn kwa mtu mweupe hana kauli
@gracemairusya29505 күн бұрын
Mama ongea kitu kuhusu ushoga
@hafsalucky1088
5 күн бұрын
Sawa kwenye Ushogo mbona kimya jamani, Mama aseme neno tuelewe
@JeanMuzaliwa-bs6qh
5 күн бұрын
kama kweli yeye ni raisi asubutu ahongeye kuhusu ushoga tumtambuwe,awezi hongea kuhusu ushoga ndio maana kafunga safari kwenda vatican!
@user-ev2xf1tv3w
5 күн бұрын
Uyo anasapot ushoga kwan ujui
@JeanMuzaliwa-bs6qh
5 күн бұрын
@@user-ev2xf1tv3w sio kwamba anasuport samia sio raisi bali ni muakilishi raïs ni pope ndie boss anaongoza dunia nzima!
@Ambwene
4 күн бұрын
Mamaenu samiah anasapoti ushoga na hawezi kuongelea hilo Jambo
@judicatendengerio-ndossi15834 күн бұрын
Polisi wangeulizwa au kubezwa na jamii kama wasingefanya walilofanya. Tuwape hongera zao. Lakini namsihi Rais aone huyu ana zaidi ya ukichaa wa kawaida. Samia atumie nguvu yake zaidi ya hata aliyo nayo Kikatiba aangalie hili Kiroho ili maamuzi sahihi yafanyike. Hatuna Hatuna Hyde Park hapa Tanzania ambako kila mwenda Wazimu anaweza kwenda kutukana lakini na serikali iwe na masikio pale. Imani yangu ni kuwa issue siyo Samia ila ni Principality inayotawala Anga za Afrika Mashariki kwa sasa. Tumuombe Mungu atuondolee Wingu hili baya. Amen.
@LovenesyMhame11 сағат бұрын
Il ushog n mubay san yan kwa kasi ambay unaendelea cjui watot wetu haw tunao wazaa watakuj kuwaj huk mbel mung nip miak ming niish nkiw n ufaham niwaon wanangu wakizeek wakimupendez mungu
@alfredbyangwamu98213 күн бұрын
HUYU NI MWENDAWAZIMU HATA KAMA ANA MANENO YANAYOONEKANA MAZURI!!!
@NebasonSanga5 күн бұрын
Mtumishi Mungu akubariki sana
@stevensteve75195 күн бұрын
Huyo kijana mwacheni tuu. Watu wengi saivi wamepinda sana. Na inawezekana hiyo picha aliyoichoma SIYO ya Rais Samia kwakuwa yeye mwenyewe ni mchoraji pengine aliichora yeye mwenyewe na kama nihivyo basi siyo ya Rais ni mali yake mwenyewe.
@BabMuniwe-pg7el5 күн бұрын
Unaogea mno unajieleza kama cherehani
@kwisa48994 күн бұрын
kenya na USA hizi mambo ni kawaida sana hakuna mtu mwene muda na huu ujinga
@mathiasmacha56709 сағат бұрын
Kwa sababu anatafuta kujipata ipo siku atachukua silaha ataua watu Sheria imuache tu kwakuwa anatafuta kujipata? Usitetee maovu bro, simama katikati tena umesema ww ni mwalimu wa neno la Mungu wafundishe watu kutatua matatizo yanayowazunguka kwa njia inayostahili na siyo kwa kutenda maovu
@LovenesyMhame11 сағат бұрын
Cjui rais magufuli angesemaj kuhusu sual l ushog kam tu alikuw akiping mamb y wanafunz walio pat ujauzito kulud shule hili naon angelikemea kwa viwango vikubwa sana
@festinamwakipale39195 күн бұрын
Mm sielewi kusachi.kumbukumbu ila siku Moja nilisikia mama samia alisema hili jambo la ushoga na ulawiti ni la kiloho.mm kama mkuu wa nchi linanilemea mashehe maaskofu na wachungaji na wainjilisti ni lao tusome maandiko yatusaidie
@rweumbizalugaimukamu4905
5 күн бұрын
Huyu ni mgonjwa wa akili
@user-dy5fn6qj1q
3 күн бұрын
Huyu ana mapepo ukijua ukisoma sanaa. Mambo mengii kichwa I huibua uchizi pia mkatoo wa taamaa ya kuishiii huyu anahitaji kusaidiwa kiakili hawa walikwepo hata wakati wa mwalim wenyeji wa Moshi Kuna mchizi alikwa anatukana polisi. Walikwa anamkamata wanamhifadhi uchizi ukipungua wanamwachia Sasa hivi Moshi mwingine anaitwa foyaaa hakuna anayehangaika naye mapicha picha ya Ajabu anafanya kaeeni na huyo kijana. Mtapata huko mengii mazuri na mabaya Yale mabaya aonywe mazuri tuhangike nayooooo
@AbdilahiMriri5 күн бұрын
Hiyu kijana inaonekana akili zimeruka maskini wa Mungu nadhani ni wa kumsamehe tu kweli kabisa.
@nurumwashinga3662
3 күн бұрын
Je mwanao akiwa shoga utafurahi? Acha ubwege
@user-jl5un4wf3u5 күн бұрын
Kijana kamahuyo sihaba nyumayakekuna jamiikubwa anayoiwakilisha bilayemwenyewe kutojua wala sio chizi hii watalaamu wakufikiri wanajua sana. waifanyiekazi. Inaweza kuwasaidia wanasiasa sikilakitu nipupatu kwenye uongozi hatasehemu inayoweza kuwasaidia wanasisa.
@HalimaKassim-yz3we4 күн бұрын
Mhh hapo tujifunze nn kujitafuta gani uko
@AliAhmed-gx3tv5 күн бұрын
Nmekubali watanzania mlinyimwa Elmu toka shule kwel yan kuchoma pic tu imekua issue kubwa
@chochotekitu-hf6of5 күн бұрын
Ubarikiwe mwalimu
@user-lm3lt7xx6l5 күн бұрын
Ah picha amakweli ingekuwa pesa sawa pich kumzalilisha mtu.watu wanotekwa hamuwafatilii kilichouma hapo kijana kutaja ushoga biashara yenu
@user-br7sf6ey9t5 күн бұрын
Kuna sababu siobule polic wakaenae vizuri kunakitu anakijuwa awezi kujitoa namnaiiv pasipo kushudia ama yeye kupitia ivo kunakitu akipo freshi maana sio kwaujingauwo
@mmungajieanpirre46554 күн бұрын
💯💯💯💯💯💯💯💯💯👍👍👍👍👍🙏🙏
@user-it3im4di4q3 күн бұрын
hapo ndio utajua akili na hekima za viongozi tulionao ni za viwango gani, raisi wa awamu ya pili alipigwa kibao na mwananchi na alitangaza msamaha wala haikuwa ishu, lakini leo imechomwa picha tu imekuwa shida hii nchi ni shida
@mwalagokache3754 күн бұрын
Huyu kijana anabeba uhusika WA kueneza ujumbe ya kinaachoendelea duniani ukimsikiliza vizuri na kuchakata aautaamuelewa
@janengaga29284 күн бұрын
Mamlaka zimewekwa na MUNGU ni lazima kuheshimu viongozi wa nchi .Kijana huyu amekosea na anajutia bila shaka.Asamehewe ikibidi ni ujana wa kutojitambua.
@ndukulusudikucho_5 күн бұрын
Watanzania hatuna tabia hiyo , hawa watoto wa kikimbizi huama na tabia zao , kwanza nani kamruhusu kuvaa nguo za Jeshi?
@user-ro4nu4kj4n
5 күн бұрын
Ndio hatuna tabia iyo we unaona ni sawa ushoga
@AishaAlly-ob7vd4 күн бұрын
Yaanina hasra Sanaa Tanzania munatuonea Sanaa wananchi mnanini serekalii mungemuuliza kwanza ama kumsikiliza tatzo na nin
@annemlay115 күн бұрын
Mazingira ya huyu kijana yanaonyesha a tatizo la afya ya akili Kinyume na hayo anataka kutuaminisha Rais Samia anaunga mkono ushoga.Hii ni hatari sana.
@jacklinelyimo74074 күн бұрын
Wamuachilie kijana wa watu amesema ukweli kwani hakuna ushoga kweli, wa muache amechoka picha ajamuua au kupiga mbona hamna hata haja ya kumfunga
@sadih53333 күн бұрын
Kama ni mchoraji ujue hio ni Bangi nina experience nahilo nilipo kua artist bila ganja kazi hainogi ,sasa yeye anaivuta na njaa kadata lakini hajui wamsamehe tu .
@awatifalghanim11065 күн бұрын
Jamani 😮 huu ni ukosefu wa adabu Ingekuwa Magufuli angeweza kuyafanya hayo? Mungu tuu ndio atakaye kuonesha wewe wacha kumtukana Mama wa watu. Ama ndio ushazoweya kumtukana Mama yako. ?Kama wewe ni msomi😂😂😂kweli basi zungumza Kingereza 😂😂😂 dunia nzima wakufahamu kama wewe hodari. Wacha ujinga wako wa Ki Bongo.
@user-lm3lt7xx6l5 күн бұрын
Ushauri wangu mashuken kuwe na somo la kutamuwa rika na kukitafuta mtu akiwa kiongozi ajuwe zamana yake inamana viongozi hawajuwi nn rika na kujitafuta
@JohnJoseph-qq7ow4 күн бұрын
Tatizo asikari watanganyika wanajipendekeza sana kwa samia mzanzibari
@user-um7kj5kf6p5 күн бұрын
Naomba selikari imsamehe hasa Raisi wetu mweshimiwa Samia aliyeweza kuiongoza nchi ktk amani. Amani ni zaidi ya pesa zaidi ya utajiri. Msamehe mama. Familiya impeleke akatibiwe siku moja atajua alikuwa anachanganyikiwa. Mada zake hazieleweki. Kachanganyikiwa hakuna biblia pale
@mtumwasamaki4 күн бұрын
Uyo kama ameshafika miaka 18 Hana utoto
@bitumwatemu27315 күн бұрын
Kwasisi wenye D mbili tushajua jamaa anashida ya afya ya akili kitalamu dilution of grandiose
@user-ul1jt5py9qКүн бұрын
Msipende kusifiwa tu mkosolewe pia sote ni binadam tunakosea
@muharamijuma15695 күн бұрын
ACHA UTAPERI ACHA SHERIA IFANYE KAZI IWE FUNDISHO KWA WENGIINE
@benoseaone5 күн бұрын
Kwenye kukonekti dotisi, *Mimi nimeishi kabla ya wakati* hii ina uhusiano gani na kuwa na *akili nyingi*? Anasema, *Nimekwenda kwenye nchi iliyokuwa inaitwa Libya* kwa Sasa inaitwaje? Lakini huku *Congo Mimi mmarekani nimesababisha vita Congo* inawezekanaje? Najua hatufikirii but he has something in his head. The point mchungaji amesema Vema. Mwachieni akijipata atakuwa sawa.
@rastheunique5 күн бұрын
Mwl. Huyu kijana kwa maoni yangu ana hoja! ASIKILIZWE
@user-es4uf6gj7u
5 күн бұрын
Huyu ana bangi😂😂😂
@jimmymnuano71655 күн бұрын
Kaka yangu huyo Paulo Tanzania ametokea mkoa gani? Au huko Mbea ? Kaka hiyo ni Bange tu anavuta bila ya kula tu. Mbona hajamchoma Baba yake au Mama yake ? Huyo mwache akapumzishwe liwe somo kwa wengine hiyo hiyo Baibo unasema kuna maandishi wahishimu Mungu Wazazi na Serikali na wa Tanzania pia tuna mafundisho waheshimu watu waliokuzidi umli ni wazazi wako
@oslojob56884 күн бұрын
Poilice hujui kazi yako wapi kwenye katiba pameandikwa ukichoma picha unatenda jinai acha kujipendekeza kamanda
@JuliusLaizer-zi4cf5 күн бұрын
Tuwe makini Watanzania ata huyu mtumishi ni mtoto, atafute Biblia afundishe wanaye, sisi wote ni walimu, aingie Kwa siasa 1 Kwa 1.
@user-es9ye1tj7u5 күн бұрын
Angekuaaa amesifiaa msingesikiaa yotee hayoo,,daaahhh hii inanichoshaa masikionii. ,,,
@AlfredMwakabana5 күн бұрын
Police huo ni mtego moja taifa lina watu wengi pamoja na huyo mwacheni kachoma picha haja choma mtu basi achana naye
@thamani58425 күн бұрын
Wengine hawana uchizi mmoja, wanayafanya kwa kujitambua kabisa. Km hana tatizo la akili achukuliwe hatua, hatupendi kudhslilishiwa mama yetu. Nani anakubali kudhalilishiwa MAMA yake?. Nyie mnomtetea ndo mnatuzalishia watovu wa adabu nchi hii
@corporatethugsent7380
5 күн бұрын
We nae matako tu yule nimamake na abduli.we usituambie sie mama abduli ndo awe mama yetu wote.huyo samia mfanye mamako pekeako kama huna mama alokuzaa wewe.Puuuumbavu
Ukweri usie fichika mama Samia Kodi namikopo duh katuchosha
@sudymgeni7013 күн бұрын
Uyu chizi nyinyi
@mugemainyas52415 күн бұрын
RAIS NI NEMBO YA TAIFA . UWEZI KUCHOMA PICHA YA RAIS . MWISHO TUTATETEA UJINGA KWA KUJIFANYA TUNA HURUMA . HAWA VIJQNA WANQPQSHWA KUJUA . KAE JERA AJIFUNZE . KILA KITU KINA MIPAKA MWACHE AENDE TU JERA
@UCHAMBUZIWASHERIAMBALIMB-ue1lv5 күн бұрын
Acha Ujinga kutokujua sheria si utetezi pindi mtu anapotenda kosa.
@stephenndagalla81835 күн бұрын
Picha aliyoichora mwenyewe, aombe kibali kwa nani ya kuichoma?? Maneno aliyoyaongea inadhihirisha uwezo mkubwa aliyonao (anaweza kuonekana kuchanganyikiwa). Ni vzr awekwe sehemu salama na achunguzwe kwa kina kuhusu akili yake.
@OmerSuley-gl7go4 күн бұрын
Hahaha 😂😂😂 ety ntachagua rais mwengine na samia ntaamua anyongwe 😂
Пікірлер: 252
Kama kuna kosa jingine sawa lakini kuchoma picha ya rais sio kosa.
Kwani kachoma mtu. Kama angechoma mtu wala asingetafutwa.
Siri za ufalme wa mbinguni wamefichwa wafalme na wenye mamlaka.Watoto ndiyo wamefunuliwa siri hizo.
Mungu hajakufunza kiengereza vizuri mbna unaandika ndivyosivyo
Lakini aliyoyasema hayapo au yapo huwezi kusema chizi Ila lipo linakuja Tz viva😢😢😢😢😢
Huyu jamaa akili zake haziko sawa anahitaji usaidizi mkubwa sana.
Tukiwa viongozi tutambue kuwa tunaongoza watu wenye huruka na tabia tofauti.Tuwapende wote wanaotubeza na wanaotupongeza.Wote ni wa Mungu.Kwa huyu kijana huenda ana lengo jema na ni mapema mno kumuhukumu.Asanteni.
Wasipotumia Akili na Hekima Hawa Police,, Mahakama na Wanajeshi Watajichanganya na Moto Utaanzia Hapo"
Hili la ushoga linaangamiza Taifa. Linaondolea wanaume ujasiri. Ruto amepinga ushoga amezungukwa ametengezewa vigisu. Mama anaifaham nguvu ya ushoga. Wanaume kataeni kutolewa marinda.
Kwani aliempiga Kofi Rais wa awamu ya 2 Mwinyi kwani alifungwa itakuaje huyu afungwe tatueni matatizo ya vijana sio kujifanya hamuyaoni
@nasraswakala
5 күн бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@user-nb5fk2qh9c
5 күн бұрын
Yule alikuwa mstaafu na mwenyewe alisameh huyu ni rais
Sioni shida yoyote hivyo ni vitu vya kawaida tu. Ushoga ushoga ushoga jamani ni chukizo mbele za mungu kwanini? Ee mungu tuhurumie Baba. Tunaangamia.
Huyu kijana anahitaji msaada wa afya za ability au mental health as it's called. Mental health is a reality in our lives. And in the event haelewi kuwa kitendo shake hakifai na afundishwe. Kufundishwa sio maana kuadhibu ili aumie. Anafaa kufundishwa kwa upend. Namuunga mkono mwalimu Jacob kuwa kijana anajitafuta.
ila swala la 🇹🇿USHOGA🇹🇿 MAMA SAMIA TUNAPOELEKEA UTAONENEKANA RAISI WA AJABU KWA NINI HUTOI SULULISHO LA USHOGA AU MPAKA TUANDAMANE🇹🇿
@renatus5687
3 күн бұрын
Kwan una ham ya kuolewa au kuna mtu atakuja kukuoa kwa nguvu tumia akiri
Picha za magazeti siku zote zinakwenda jaralani kwenye taka, na magazeti mengi yanachomwa moto kutunza mazingira, watu wasipotumia maji au toilet paper wanatumia magazeti hayohayo chooni. Kuna tofauti gani.
Apelekwe kwanza kwa Daktari wa mgonjwa ya Akili.Hizo storI za kufika Libya hizo,pengine hata Sinzà hajafika.
@sumaleraja4809
2 күн бұрын
Haujamuelewa, hamaanishi yéyé kama yeye ndo amefika Libya no! Muelewe vizuri yéyé anajiita ni mmarekani akili nyingi. Kwahiyo hapo anatolea mfano kwamba yeye amesimama hapo kama nchi ya marekani
Kijana namunga mukono mtaan hali mbaya
@MwanaishaShattry
5 күн бұрын
Lazima hali iwe mbaya vijana hamtaki kazi manataka short cut. Ndio maana vijana wengi wakiume wanfirwa vibaya sana.
@user-sn4iq6cu1f
5 күн бұрын
Unataka kazi zipo vaamsuli bila chupi
Rais Samia anasema kuwapa waarabu bandari kumeongeza mapato kama ndyo kuna unafuu gani kwa wananchi au ni zao kodi kila kona mnatukata kodi kila tuponunua umeme kama mnavyotaka ninyi iko siku umma utajitambua
Huyu kijana anahitaji msaada wa natibabu sio kufungwa jella polisi jifunzeni kumuangalia mtu kabla hamjamfunga jella
Mungu atakukomboa kabisa kijana pili mmekwenda kumpima akili yake. Sasa huyu mnaamini ni mzima? Kweli mnamfanyia. Kabla ya kumpeleka mahakama mplekeni kumpima akili. Hivi ninyi polisi mnamwona mwona ni mzima?
Amina! Mungu ni mwema!
Kuchoma picha sio kosa
Hivi mbona wakti fulani hatukuona haya huu udini utatugharimu kwa ujinga wetu
Hakika baba mchungaji asante kwa kutuweka kondoo wako mikono salama na mungu akubariki sana.
Hakuna tena Nabii/ Mtume baada ya Walopita. Mtume na Nabii ni maana moja.
Kijana ataishi kwa jina la yesu! Ukweli kasema.😂😂😂😂😂
Hadi kujirikodi na kuvaa uniform,huyu amejiandaa na anania ovu na hizo kama sio Bangi basi mental dis order akapimwe ucmtetee
Kwanza sio rais wa muungano ni rais wa tanganyika mzanzibar, Zanzibar hateuwi kiongozi yeyote? Muungano upi Sasa huo? Tutafakari watanganyika.
Huyu Hana adabu na inawezekana ametumiwa
We Nawe Bule Mtoto Unaemzunguzia Ni Yupi Yule.Anachoma Akiwa Na Akili Timamu Gumtanamo Aichagui Umli
🎉nimekuelewa sana ndugu mungu amekupa. Kipawa
Tanzania mtu akisema ukweri anauwawa tunataka katiba mpya nahuyo dogo wamuachie Yuko sahihi
Yeye anapinga ushoga kwanini akamatwe wa tanzania atutaki usoga😢😢
@NestoryMsigwa
5 күн бұрын
XB
@RachelRachel-zx6dx
4 күн бұрын
Hivi kwanini kila anayepinga ushoga anakamatwa yule pastor wa Songea alikamatwa sijui vp
2:38 ametumwa na waasi wakimagharibi kuaribiya afrika iliwawrze kuiba resoces za wa africa kama rwanda
Lakini pamoja na hayo akipimwa akili ikiwa nzima ashughulikiwe tu kimahakama.
Mchungaji wa chadema kwaiyo unaunga mkono uhalifu au kwa kua ni chizi ndio unamtetea
Msimfunge kachukizo na ushoga jamani.
Maana yake wahubiri hawakemei ushoga Mungu atainua mafuriko, njaa vita, tauni, uchumi kudorora na kumuondolea kila mtu tegemeo lake ili kukomesha kiburi cha mwanadamu hasa katika miaka.
Ni ukweli mtupu hata wale aliowaongelea yaani Marekani wao wanaacha @akili ifanye kazi yake hadi iffike mwisho ndiyo maana wanawatu wa aina nyingi
N UPUUZ WA HALI YA JUU TATA IWEJE HAKUPASWA KUFANYA ALICHO FANYA HIYO INACHOCHEA CHUK WALA HAISOLVE TATIZO HUYO ANAPASWA KUWA MFANO KWA WENGINE RAIS ANAPASWA KUHESHIMIWA
Huyu kijana pengine ni punguani,hawa vijana wetu lau wangeenda Ulaya wakaona wenzio wanavyochakarika basi wasingefanya upuuzi huu mitandaoni.hakuna Rais sio chama tawala au upinzani atakaekuja kukujaza mapesa mfukoni,nendeni mkafanye kazi kwani wanasisa sio watu
Mungu atusaidie
Mdomo pengine mama ako anakufa njaa unashabikia yapicha nabado mtakoma
Mioyo ina mengi tafakari sana tu
Kwan rahis ni nan na kwani alichoma aliwa kwenye wasifa gani
Tuandamane vijana kufasiku moja
Kumbe anakemea ushoga nimependa sana hizo tamaduni za watu weupe ushoga ndio maana Putin hatak kabisa maswala ya ushoga ila sisi watu weusi akija mzungu kuleta jamb baya tunakubali tu sabab mtu mweusi asili yake ni utumwa ata awe na cheo kias gan lkn kwa mtu mweupe hana kauli
Mama ongea kitu kuhusu ushoga
@hafsalucky1088
5 күн бұрын
Sawa kwenye Ushogo mbona kimya jamani, Mama aseme neno tuelewe
@JeanMuzaliwa-bs6qh
5 күн бұрын
kama kweli yeye ni raisi asubutu ahongeye kuhusu ushoga tumtambuwe,awezi hongea kuhusu ushoga ndio maana kafunga safari kwenda vatican!
@user-ev2xf1tv3w
5 күн бұрын
Uyo anasapot ushoga kwan ujui
@JeanMuzaliwa-bs6qh
5 күн бұрын
@@user-ev2xf1tv3w sio kwamba anasuport samia sio raisi bali ni muakilishi raïs ni pope ndie boss anaongoza dunia nzima!
@Ambwene
4 күн бұрын
Mamaenu samiah anasapoti ushoga na hawezi kuongelea hilo Jambo
Polisi wangeulizwa au kubezwa na jamii kama wasingefanya walilofanya. Tuwape hongera zao. Lakini namsihi Rais aone huyu ana zaidi ya ukichaa wa kawaida. Samia atumie nguvu yake zaidi ya hata aliyo nayo Kikatiba aangalie hili Kiroho ili maamuzi sahihi yafanyike. Hatuna Hatuna Hyde Park hapa Tanzania ambako kila mwenda Wazimu anaweza kwenda kutukana lakini na serikali iwe na masikio pale. Imani yangu ni kuwa issue siyo Samia ila ni Principality inayotawala Anga za Afrika Mashariki kwa sasa. Tumuombe Mungu atuondolee Wingu hili baya. Amen.
Il ushog n mubay san yan kwa kasi ambay unaendelea cjui watot wetu haw tunao wazaa watakuj kuwaj huk mbel mung nip miak ming niish nkiw n ufaham niwaon wanangu wakizeek wakimupendez mungu
HUYU NI MWENDAWAZIMU HATA KAMA ANA MANENO YANAYOONEKANA MAZURI!!!
Mtumishi Mungu akubariki sana
Huyo kijana mwacheni tuu. Watu wengi saivi wamepinda sana. Na inawezekana hiyo picha aliyoichoma SIYO ya Rais Samia kwakuwa yeye mwenyewe ni mchoraji pengine aliichora yeye mwenyewe na kama nihivyo basi siyo ya Rais ni mali yake mwenyewe.
Unaogea mno unajieleza kama cherehani
kenya na USA hizi mambo ni kawaida sana hakuna mtu mwene muda na huu ujinga
Kwa sababu anatafuta kujipata ipo siku atachukua silaha ataua watu Sheria imuache tu kwakuwa anatafuta kujipata? Usitetee maovu bro, simama katikati tena umesema ww ni mwalimu wa neno la Mungu wafundishe watu kutatua matatizo yanayowazunguka kwa njia inayostahili na siyo kwa kutenda maovu
Cjui rais magufuli angesemaj kuhusu sual l ushog kam tu alikuw akiping mamb y wanafunz walio pat ujauzito kulud shule hili naon angelikemea kwa viwango vikubwa sana
Mm sielewi kusachi.kumbukumbu ila siku Moja nilisikia mama samia alisema hili jambo la ushoga na ulawiti ni la kiloho.mm kama mkuu wa nchi linanilemea mashehe maaskofu na wachungaji na wainjilisti ni lao tusome maandiko yatusaidie
@rweumbizalugaimukamu4905
5 күн бұрын
Huyu ni mgonjwa wa akili
@user-dy5fn6qj1q
3 күн бұрын
Huyu ana mapepo ukijua ukisoma sanaa. Mambo mengii kichwa I huibua uchizi pia mkatoo wa taamaa ya kuishiii huyu anahitaji kusaidiwa kiakili hawa walikwepo hata wakati wa mwalim wenyeji wa Moshi Kuna mchizi alikwa anatukana polisi. Walikwa anamkamata wanamhifadhi uchizi ukipungua wanamwachia Sasa hivi Moshi mwingine anaitwa foyaaa hakuna anayehangaika naye mapicha picha ya Ajabu anafanya kaeeni na huyo kijana. Mtapata huko mengii mazuri na mabaya Yale mabaya aonywe mazuri tuhangike nayooooo
Hiyu kijana inaonekana akili zimeruka maskini wa Mungu nadhani ni wa kumsamehe tu kweli kabisa.
@nurumwashinga3662
3 күн бұрын
Je mwanao akiwa shoga utafurahi? Acha ubwege
Kijana kamahuyo sihaba nyumayakekuna jamiikubwa anayoiwakilisha bilayemwenyewe kutojua wala sio chizi hii watalaamu wakufikiri wanajua sana. waifanyiekazi. Inaweza kuwasaidia wanasiasa sikilakitu nipupatu kwenye uongozi hatasehemu inayoweza kuwasaidia wanasisa.
Mhh hapo tujifunze nn kujitafuta gani uko
Nmekubali watanzania mlinyimwa Elmu toka shule kwel yan kuchoma pic tu imekua issue kubwa
Ubarikiwe mwalimu
Ah picha amakweli ingekuwa pesa sawa pich kumzalilisha mtu.watu wanotekwa hamuwafatilii kilichouma hapo kijana kutaja ushoga biashara yenu
Kuna sababu siobule polic wakaenae vizuri kunakitu anakijuwa awezi kujitoa namnaiiv pasipo kushudia ama yeye kupitia ivo kunakitu akipo freshi maana sio kwaujingauwo
💯💯💯💯💯💯💯💯💯👍👍👍👍👍🙏🙏
hapo ndio utajua akili na hekima za viongozi tulionao ni za viwango gani, raisi wa awamu ya pili alipigwa kibao na mwananchi na alitangaza msamaha wala haikuwa ishu, lakini leo imechomwa picha tu imekuwa shida hii nchi ni shida
Huyu kijana anabeba uhusika WA kueneza ujumbe ya kinaachoendelea duniani ukimsikiliza vizuri na kuchakata aautaamuelewa
Mamlaka zimewekwa na MUNGU ni lazima kuheshimu viongozi wa nchi .Kijana huyu amekosea na anajutia bila shaka.Asamehewe ikibidi ni ujana wa kutojitambua.
Watanzania hatuna tabia hiyo , hawa watoto wa kikimbizi huama na tabia zao , kwanza nani kamruhusu kuvaa nguo za Jeshi?
@user-ro4nu4kj4n
5 күн бұрын
Ndio hatuna tabia iyo we unaona ni sawa ushoga
Yaanina hasra Sanaa Tanzania munatuonea Sanaa wananchi mnanini serekalii mungemuuliza kwanza ama kumsikiliza tatzo na nin
Mazingira ya huyu kijana yanaonyesha a tatizo la afya ya akili Kinyume na hayo anataka kutuaminisha Rais Samia anaunga mkono ushoga.Hii ni hatari sana.
Wamuachilie kijana wa watu amesema ukweli kwani hakuna ushoga kweli, wa muache amechoka picha ajamuua au kupiga mbona hamna hata haja ya kumfunga
Kama ni mchoraji ujue hio ni Bangi nina experience nahilo nilipo kua artist bila ganja kazi hainogi ,sasa yeye anaivuta na njaa kadata lakini hajui wamsamehe tu .
Jamani 😮 huu ni ukosefu wa adabu Ingekuwa Magufuli angeweza kuyafanya hayo? Mungu tuu ndio atakaye kuonesha wewe wacha kumtukana Mama wa watu. Ama ndio ushazoweya kumtukana Mama yako. ?Kama wewe ni msomi😂😂😂kweli basi zungumza Kingereza 😂😂😂 dunia nzima wakufahamu kama wewe hodari. Wacha ujinga wako wa Ki Bongo.
Ushauri wangu mashuken kuwe na somo la kutamuwa rika na kukitafuta mtu akiwa kiongozi ajuwe zamana yake inamana viongozi hawajuwi nn rika na kujitafuta
Tatizo asikari watanganyika wanajipendekeza sana kwa samia mzanzibari
Naomba selikari imsamehe hasa Raisi wetu mweshimiwa Samia aliyeweza kuiongoza nchi ktk amani. Amani ni zaidi ya pesa zaidi ya utajiri. Msamehe mama. Familiya impeleke akatibiwe siku moja atajua alikuwa anachanganyikiwa. Mada zake hazieleweki. Kachanganyikiwa hakuna biblia pale
Uyo kama ameshafika miaka 18 Hana utoto
Kwasisi wenye D mbili tushajua jamaa anashida ya afya ya akili kitalamu dilution of grandiose
Msipende kusifiwa tu mkosolewe pia sote ni binadam tunakosea
ACHA UTAPERI ACHA SHERIA IFANYE KAZI IWE FUNDISHO KWA WENGIINE
Kwenye kukonekti dotisi, *Mimi nimeishi kabla ya wakati* hii ina uhusiano gani na kuwa na *akili nyingi*? Anasema, *Nimekwenda kwenye nchi iliyokuwa inaitwa Libya* kwa Sasa inaitwaje? Lakini huku *Congo Mimi mmarekani nimesababisha vita Congo* inawezekanaje? Najua hatufikirii but he has something in his head. The point mchungaji amesema Vema. Mwachieni akijipata atakuwa sawa.
Mwl. Huyu kijana kwa maoni yangu ana hoja! ASIKILIZWE
@user-es4uf6gj7u
5 күн бұрын
Huyu ana bangi😂😂😂
Kaka yangu huyo Paulo Tanzania ametokea mkoa gani? Au huko Mbea ? Kaka hiyo ni Bange tu anavuta bila ya kula tu. Mbona hajamchoma Baba yake au Mama yake ? Huyo mwache akapumzishwe liwe somo kwa wengine hiyo hiyo Baibo unasema kuna maandishi wahishimu Mungu Wazazi na Serikali na wa Tanzania pia tuna mafundisho waheshimu watu waliokuzidi umli ni wazazi wako
Poilice hujui kazi yako wapi kwenye katiba pameandikwa ukichoma picha unatenda jinai acha kujipendekeza kamanda
Tuwe makini Watanzania ata huyu mtumishi ni mtoto, atafute Biblia afundishe wanaye, sisi wote ni walimu, aingie Kwa siasa 1 Kwa 1.
Angekuaaa amesifiaa msingesikiaa yotee hayoo,,daaahhh hii inanichoshaa masikionii. ,,,
Police huo ni mtego moja taifa lina watu wengi pamoja na huyo mwacheni kachoma picha haja choma mtu basi achana naye
Wengine hawana uchizi mmoja, wanayafanya kwa kujitambua kabisa. Km hana tatizo la akili achukuliwe hatua, hatupendi kudhslilishiwa mama yetu. Nani anakubali kudhalilishiwa MAMA yake?. Nyie mnomtetea ndo mnatuzalishia watovu wa adabu nchi hii
@corporatethugsent7380
5 күн бұрын
We nae matako tu yule nimamake na abduli.we usituambie sie mama abduli ndo awe mama yetu wote.huyo samia mfanye mamako pekeako kama huna mama alokuzaa wewe.Puuuumbavu
@thamani5842
5 күн бұрын
@@corporatethugsent7380 pumbavu iyo uloivalia chupi
Huyu mpumbavu anamtetea mpumbavu mwenzie
@user-jl5uh1xq9f
5 күн бұрын
Mpumbavu na wewe pia
❤️❤️❤️❤️
UMENENA MTU WA MZUNGU
Kitu hiki ni kidogo sana upande wa serikali ila ni kikubwa upande wa imani mwacheni huyo mbele kuna takataka
Ahsant mtumishi kwaushauri wako.lakini je? watakuelewa. Kwaushauli uyoo.
Ukweri usie fichika mama Samia Kodi namikopo duh katuchosha
Uyu chizi nyinyi
RAIS NI NEMBO YA TAIFA . UWEZI KUCHOMA PICHA YA RAIS . MWISHO TUTATETEA UJINGA KWA KUJIFANYA TUNA HURUMA . HAWA VIJQNA WANQPQSHWA KUJUA . KAE JERA AJIFUNZE . KILA KITU KINA MIPAKA MWACHE AENDE TU JERA
Acha Ujinga kutokujua sheria si utetezi pindi mtu anapotenda kosa.
Picha aliyoichora mwenyewe, aombe kibali kwa nani ya kuichoma?? Maneno aliyoyaongea inadhihirisha uwezo mkubwa aliyonao (anaweza kuonekana kuchanganyikiwa). Ni vzr awekwe sehemu salama na achunguzwe kwa kina kuhusu akili yake.
Hahaha 😂😂😂 ety ntachagua rais mwengine na samia ntaamua anyongwe 😂