Kiembesamaki Chukwani Kisauni Zanzibar May 2023 @DiscoverZanzibar

#discoverzanzibar
#zanzibar
#zanzibartowns

Пікірлер: 19

  • @fakihidarous8396
    @fakihidarous83967 ай бұрын

    huyu aliegonja mwenzie vipi tena

  • @mwatumsaidi5104
    @mwatumsaidi5104 Жыл бұрын

    MashaAllah 😍 zanzibar yetu

  • @amouraxmed1435
    @amouraxmed1435 Жыл бұрын

    Nice video ❤

  • @discoverzanzibar

    @discoverzanzibar

    Жыл бұрын

    Thank you.

  • @alirajab921
    @alirajab921 Жыл бұрын

    huhu thanks kwa video safi

  • @discoverzanzibar

    @discoverzanzibar

    Жыл бұрын

    Ahsante sana kwa comment

  • @nurudinjafferji
    @nurudinjafferji Жыл бұрын

    I am very surprised that so much development has taken place in Zanzibar.The type of houses built are of very high standard and who are the owners.What part of Zanzibar is this in.

  • @discoverzanzibar

    @discoverzanzibar

    Жыл бұрын

    The owners are just normal citizens brother and those locations are Kiembesamaki, Chukwani, Kisauni in Urban Regions of Zanzibar.

  • @salmaabdu5011
    @salmaabdu5011 Жыл бұрын

    Asante sana lakini mbona rivatiba hujenda mpaka mwisho tukaona majumba umerudi pls tumalizie

  • @discoverzanzibar

    @discoverzanzibar

    Жыл бұрын

    Ok usijali tutamalizia maeneo yalioyobaki kwenye video zijazo. Ahsante

  • @noffalsalim
    @noffalsalim Жыл бұрын

    Waunguza ayo mafuta tu kwa ushamba mwingi ulonao

  • @discoverzanzibar

    @discoverzanzibar

    Жыл бұрын

    Ahsante kwa comment

  • @masoudmasoud8138

    @masoudmasoud8138

    11 ай бұрын

    Usimpe tena pesa ya mafuta

  • @noffalsalim

    @noffalsalim

    11 ай бұрын

    @@masoudmasoud8138 xx Nani mshamba asiekujua huko.

  • @awadhtevez2918

    @awadhtevez2918

    11 ай бұрын

    Some people are very ignorant sasa kuna watu wengi wako mbali nje ya nchi tunapata kuona haya maendeleo yanayofanyika katika nchi watu wengine wao ndo wajuaji eti ushamba kila kitu wao ushamba tuu brother don't back down carry on doing the good work very usivunjike moyo na maneno ya hawa wajuaji kila kitu wanajua wao ndo maana nchi yetu haiendelei kwa watu kama hawa

  • @noffalsalim

    @noffalsalim

    11 ай бұрын

    @@awadhtevez2918 xx walioko nje ya nchi waone nn huku ,Kuna cha kitu ambacho kinawashangaza hapa unguja,ww ili tusikuone mshamba kiiivyo bc angalau ungeenda japo kule jonzani ukatupigia picha wale tumbili na vingi vipo kule vya ajabu, ila balahu kunaacha kazi ama chukwani ,kisauni .hahahhahahahah