Hoteli ya Kifahari inayohifadhi mazingira yazinduliwa Zanzibar

Hoteli ya Ycona Eco Luxury Resort imezinduliwa rasmi na Rais Mstaafu wa Zanzibar Dk Amani Abeid Karume

Пікірлер: 11

  • @KhamisHaji-pw4jo
    @KhamisHaji-pw4jo6 ай бұрын

    👍👍👍👍

  • @christopherwami2006
    @christopherwami20066 ай бұрын

    Wakwanza

  • @suleimanrashid3918
    @suleimanrashid39186 ай бұрын

    Huyo ndio aina ya rais nilie au tulie tukitamani atokee zanzibar ana miono mikubwa sana kwa kipindi kirefu ilikua tuna ichukia ccm kwa sababu ya aina yake ya kuongoza. Tuna kuomba rais ufelishe maadhi ya mitaa pale mji mkongwe ili upitishe railways zihudumu ndani ya mji mkongwe na darajani tu ili utalii uvutie zaidi. salim kikeke naomba umshauri rais na hilo ukikutana nae.

  • @salmaabdu5011
    @salmaabdu50116 ай бұрын

    Hapo wazawa wamefaidika nini wafanyakazi wote kutoka bara mmetutawala basi hata ajira mnatunyima wazanzibari hatuna nguvu ndani ya nchi yetu Allah ndio hakimu na anayaona hakuna kisichokuwa na mwisho wagombanishe uwatawale sawa mmepata nyiyi majambazi wauwaji wakubwa

  • @salmanmagwe2612

    @salmanmagwe2612

    6 ай бұрын

    Dada kwenye mfumo huru tuliokuwa nao huna sababu ya kuwalaumu wabara,mbona wapemba na waunguja wamejaza bara kama kwao?na hata wamepewa madaraka sehemu nyingi za bara wakati ss tunazihitaji?acha mawazo ya kibaguzi na ya kijinga yanayoweza kutufarakanisha watanzania. Kama leo tukiamua kila mtu akae kwao unadhani wabara watapata hasara?

  • @user-ki7hd3lg2q

    @user-ki7hd3lg2q

    6 ай бұрын

    Mbona mmejaa kariakoo , tanga na bagamoyo nayo znz. Ww kaa ndani alafu uone kama utapata kazi

  • @awadhsalim2680

    @awadhsalim2680

    6 ай бұрын

    Kwani kariakoo,,,bagamoyo na tanga ktk historia ni bara ?!!😂 bwanawenu tu myahudi ndio kapanga ivo.

  • @user-ki7hd3lg2q

    @user-ki7hd3lg2q

    6 ай бұрын

    Tupe iyo historia inayosema kariakoo , Tanga , na bagamoyo ni Znz

  • @Mpakauseme

    @Mpakauseme

    6 ай бұрын

    Hauna akili, Fahamu kama haukutumia akili na maarifa alivyokupatia mwezi Mungu bule basi wewe mwenyewe utatumiwa .. Utapataje ajira kama umeketi unacheza bao kijiweni

Келесі