Zanzibar is an archipelago about 86 km long and 39 km wide. It’s formed by two main islands, Unguja (commonly known as Zanzibar) and Pemba, as well as several smaller islands including Mafia, Chumbe and Mnemba Island.
The population is approximately 1 million, with the official language Kiswahili. About 98% of the population are Muslims, the other 2% are Christians or Hindus.
Zanzibar’s International Airport lies about 5 kilometres south of Zanzibar City (including it’s old quarter of Stone Town, which has been declared a World Heritage Site by UNESCO.).
Tourism and spices are Zanzibar’s main industries. Zanzibar is often still referred to as the Spice Islands due to the production of cloves, nutmeg, pepper and cinnamon.
Пікірлер
Shukran kwa kutuonesha zanzibar ni njema atakae aje
Karibu sana dada
Kamera yako mbaya
Hahaha kweli ahsante
Great trees 🌳 and beautification mandhari safi na hewa nzuri....mashallah Allah awatunzie mazingara yenu.
Ameen
MashAllah ❤️ Keep it up
Thanks kaka
Good job 👏
Thank you
♥️❤️nice❤
Thanks
Nimemiss kuiyona Pemba ila Napenda Sana Kuiyona Pandani ❤
Usijali Pandani utaiona kwenye channel yetu.
Best school
Enzi hizo tulikuwa tunachimbua miyata
Miyata duh
Sasa hivi kuna mwani mote humoo duuui Vp pamga hamnaa
Maji yametokaa rahaaa kweli kweli
Watuonesha njia tu
Jamani nyumba hujaziona kwenye mitaa
Ndio mita yetu ya wapi bro
Mitaa ya Kiembesamaki
@@discoverzanzibar ok shukran
Mika 3 niko oman nakaa ksamaki kwa kira
3 years now niko oman
sasa boss mimi na kuja mwezi unokuja in shaa Allah natafuta nyumba ya kupanga kwa week 4 nisaidiye kama una mtu unamfahamu pls lakini hiyo nyumba na town iwepo town na nyumba iwe na vitu ndani voo
Sawa boss ntakuchekia
@@discoverzanzibar asante sana huko nakuja jul ya 11 in shaa Allah
Assalaam alaykum vipi hali yako asante sana kwa kutuonesha nyumbani allah akufanyiye wepesi kwenye kazi zako
Ameen Yaarab shukran sana kwa support
mashallah nimekom zaman😮
Dah ni miaka kumi na tatu tangu niondoke uko nimepamis sana nyumbani
Karibu sana nyumbani
Nipo omani alhamdulillah nimefurahi kuona nyumbani
Ahsante na karibu sana
Ahsante sana kwa kazi yako
Ahsante sana na ww kwa support yako
Mashaallah iyo zahma nyingi
Mashaallah iyo zahma nyingi
Kiwengwa please))
Noted
Mh
Safi sana kiongoz tuko pamoja kukupa support zetu
Shukran sana kwa support kaka
Safi sana kiongoz tuko pamoja kukupa support zetu
Thank you really enjoyed it
Thanks for your support brother
Anachukua video utafikiri anafukuzwa
Hizi..ni.sehemu..nzuri.sana..na.zinafanana..kule..visiwani.lamu..majengo..yao.vinjia..serikali.t
Nikweli atupeleke kiwani sasa Kuna vijiji vingitu kusini
Tupeleke kiwani sasa mkoa wa kusini
Subhana Allah inaonesha watu wana maisha magumu kisiwa hicho Allah awafayie wepesi katika maisha yao awatilie barka riziki zao
Ameen Yaarab kweli kabisa maisha magumu na ni sehem sahihi kwa wale wanaotoa misaada kwa wasiokuwa na uwezo.
Pemba nkwetu
Nkweli aloo
Mashaallah mambo mazuri pemba sehemu gani hio
Kinyikani
@@muxfilmproduct ah sikujui japo ni mpemba
Mchangamdogo
@@muxfilmproduct Ahaa sawa shukran kwa kunijibu
Pemba nkuzuri
Mashallah
Kuntuonesha kisiwa panza au bahari ya kisiwa panza?
Vyote ili ukienda ujue kama hakuna Bahari ndogo hapo zapita Meli kubwa
Good wana
Mambo vp
Ntumiee namb bro
Mashaallah jmn nikishuka ndege s nitapetea mie mana kumebadilika mno
Zanzibar ndogo huwezi kupotea wenyeji watakuongoza
Leo nimeona nyumban kunywa soda nitalipq mie hongera kaka
Hahaha ahsante kwa soda
Kaka camera kdg haiyonyesh safi
Upo kimya sana we ndo tunakutegemea kwenye hizi ixhu kwa sisi ambao tupo nje ya ZANZIBAR
Usijali kaka mambo yatakuwa mazuri sasa
Tupe sana sana sehemu zinazoendelea kama kiembe samaki, muembe ladu, kinazini, kwerekwe
Vidoe hii hongera umeitendea haki hasa mana sehem kubwa umechukuwa
Ahsante
Kaka mbona dunga umechukuwa padogo sana kiemben 2 angalau ungechukuwa yote mpk mitin kidimn angalau tuone nyumban
Uko stone town kuchafu knoma hadi aibu
Mtihani kwakweli
Asante kwa kuona zenj yetu lkn sasa mbona huonyeshi kwetu shamba angalau tukakuona maan tuko mbali
Fika na shamba aza na mwera mpak dunga kiemben
Sawa tutafika Mwera na Dunga usihofu
😂
They need to rebuild everything