FATUMA KARUME AIBUA HAYA BANDARI YA DAR ES SALAAM KUKODISHWA, MBOWE AMEKOSEA, ZANZIBAR INAHUSIKA
©TUNAKUPA HABARI ZA UHAKIKA KUTOKA VYANZO VYA KUAMINIKA DUNIANI KOTE
---------------------------------------------------------------------------------
JIUNGE NA CHANNEL YETU APA: t.me/habari24tv
TEMBELEA WEBSITE YETU HAPA; bit.ly/2UBBAQf
-----------------------------------------------------------------------------------
REPORT TO US
If you find any error in material provided please take a minute to tell us about it. We will resolve it at the earliest.
COPYRIGHT VIOLATION
For Copyright Issues: We try our best to verify the ownership of content with the contributor. If you think your material is wrongly used, or if its a violation of copyright, email us assengablogtz@gmail.com
Пікірлер: 61
FATMA KARUME KAWAJIBU WAPUMBAVU NA WAJINGA KTK HILI JAMBO LA BANDARI. MBOWE KAWA MPUMBAVU WA KULETA UBAGUZI WA KIJINGA WAKIZANZIBARI NA KITANGANYIKA AMBO HAUNA NAFASI KTK HILI.
Fatma kaeleza very clearly.. asiefahamu anajitoa fahamu tu
Ukweli mhe. Mbowe umekosea sana wajua utatupotosha wewe utasababisha nasisi tukufuate katika kushauri kwahili suala la Bandari, usithubutu kuleta ubaguzi wa Bara na Visiwani Sio vizuri sisi wote niwamoja tusiingize kubaguana sisi Wabara na Wazanzibari hapo kweli mhe. Mbowe umetereza umetumia jaziba.
WEWE FATMA KARUME HUNA CHA KUTUELEZA SWALI KWANINI ZANZIBAR HAIPO KWENYE MKATABA ACHENI KUTUONA WAJINGA
Safii sanaa Fatima karume
Mbowe yuko right.. 💯
Watanzania tufikiri vzr, hv nnn kama watanzania tunachoweza kumsimamia jaman? Makampuni yote yanayofanya vizur Niya wwtu weupe, hembu na tuweze kujitafakari tunashida gani? Ss site wezi, hii hali mpaka lini jaman watanzania wenzangu, nilin tutajua hii nchi ni yetu site? Mtu akipata nafas anafikiria kuiba tu, nahatuwwz kuendeleza zile fedha za wiz, zaid ni kwenda nazo kutumia kule walipo wazungu, huu ujinga utatuisha Lin? Niukwel kabisa bandar imetushinda, hatuwez kujiongoza, rais mwizwananchiwanaopata nafas wezi, wiz unatusaidia nn watanzania wenzangu?
@kasimkassam9565
Жыл бұрын
Tatizo watanzania wezi Sana sio wazalendo wa hii nchi ruswa imekithiri
Naisikia sauti ya jirani yangu Muhammed ghasan
Watanganyika mnarohombayatu bas
Dada fatma karume umetuelewesha tumekuelewa hupendelei upande wowote mwanangu ubarikiwe
Mungu anawaona
Swali kwanini tander haikutangazwa? Usiri huo unaleta hofu.Hivi baada ya hofu ndo mnapeleka mkataba bungeni.Nyie WASOMI hamjui stage of tendering? Hapo kuna shida? Kwani WASOMI na viongozi wetu japo la kitaifa unaweza fanya single sourcing? Ilipaswa tander itangazwe kwa makampuni mengi ndipo tuamue lipi linafaida kwa taifa?
Watu wamekuwa wakiagiza magari yanaishia bandarini yanaoza bila sababu
Tunataka kufaham mkataba huu ni lini kikomo chase.nq garama za mladi wa daresalaam itagalim dola trion ngap???
Mikataba ya tanzania iwekwe wazi kwanza, lugha iwe ya kiswahili ... ili wote tueleweeee
Mbow yuk sawa fatuma nichaewa wa ccm
@aliyageorge6794
Жыл бұрын
😂
kila mzawa atawale pakwake
Sio kweli mbona maziwa ya Tanganyika yametajwa lakini port za Zanzibar hazijatajwa
Wengi hatuelewi sababu ya elimu ndogo ya kisheria sio siasa. Tunahitaji uwekezaji binafsi sababu tumeshindwa kuendesha bandari yetu sababu ni wizi,na wezi ni sisi watanzania. Angalia miradi yote ya kama ujenzi wa Daraja watu huiba vifaa,diesel, umeme wa REA,
@kahmardintebe9266
Жыл бұрын
Jpm aliwezaje? Kuendesha bandali bila wizi???
@husseinkarim6745
Жыл бұрын
@@kahmardintebe9266 Ni kweli alijitahidi. Lakini ufanisi, mitambo,na bureaucracy ilikuwa pale pale. Container linatoka kwa siku moja Mombasa, Dar wiki 2.
@HassanMacko
Жыл бұрын
@@kahmardintebe9266 Huna ulijualo
Tanganyika umesikia ikitajwa wapi. Maana ikitajwa Tanzania Zanzibar inakua haipo
Shangazi umemaliza ! Mbowe kakurupuka sana na atajutia maneno yake
wanzabar wametuuza
ZANZIBAR HAIMO 100% HILO ULIJUE KABISA
Mambo ya tender kutangazwa sio inshu , inshu ni kuanagalia mikataba iwe rafiki kwa nchi, ili inchi inufaike
U mkataba ttakja kujuwa tu baada ya awamu hii kpta
Fatuma karume don't go out of topics opposition strong hold chadema spoken about it tundulisu has explain in costuetion how dp would campany and Tanzania gavment sighn this agreement was not open discussion in Tanzania population and who signed this agreement is from Zanzibar president samia sluu Hassan is from Zanzibar pot given to dp would company is all pot from tanganyika only not Zanzibar that was the stick point of tundulisu and Freeman mbowe the way we have understood the all lnfimation and palament pass this in short period without tanzania population have time to discuss this cofidence Wich torch life of Tanzania nation
Mbowe hajakosea Yuko sawasawa amejieleza vzuri sana
Shangazi ongea wanatuuza ccm
Mumkituchoka tugawane mbao tu
Bandar naviwanja vyande nisehem nyet sana kwataifa kamatunaweza muwashawishi wahara waumangan tuwape naviwanja vyandege kabisa jaman tupigepesa ili uchum uwejuu sana
Next time don't people like Luqman Maloto...hajajipanga kwa interview kama hizi.
Mimi nafikiri wengi wanao pinga bandari kupewa sekta binafsi kuendesha ni wale ambao wana nufaika kutokana na bandari ambao ni wachache , na watu wamesikika wakisema mifumo ya bandari hai owani na mifumo ya tra tafasiri yake inchi ina didimia kwenye mikono ya watu wachache, leo keki inapokonywa ili igawiwe watu wote wanufaike kelele zinakuwa nyingi
MAMA WAUZE WATANGANYIKA WOTE HAO KWA MAUAJI WALIYOWAFANYIA WANZANZIBARI 64! CCM OYEE😂😂😂
yupo sahihi mbowe hawa woote wachumia tumbo si unajua mama hajamaliza kuteua
Ww mboe umjingasana mpumbavu unaitaja zanzibar inakuhusuwewe
@alikidungura9419
Жыл бұрын
Shida hao vichogo wana shida wezitu wanaona hawataiba ktk bandar wakiwekeza warabu
Mbowe yupo saw kutetea nchi yake. Kwa hata sisi wa Zanzibar hatutaki mungano
@johnycavishe5207
Жыл бұрын
Wazee wetu ndo wangetakiwa kkataa awali ila ishakuwa muungano kwanza afadhali uku bara klko Zanzibar kdogo mnaubaguz
Tanzania bila bahari hakuna tanzania
@aliyageorge6794
Жыл бұрын
Kabisa! Yaani umeandika point sana! Ni kama tumekuwa maskini.
Mbona hii imekatwa mapema.. iko wapi clip kamili?
Me niulize ni tenda gani iliowahi kutangazwa mpka hili likawa gumunzo sana je ! Huo mkataba wa mwanzo ulitanzwa je mkataba ya mgodi ilitangazwa . Me ninacho ona . Manachelewesha maendeleo kwa jambo halina mantiki ,fursa zinakuja zn mnaleta siasa pasipo na siasa . Tanzania mnachelewesha maendeleo kwa kuwatia watu kasumba, angekuja mtu mweupe wa West msegepiga kelele. Kuna watu wana elimu ila ni sawa na flu tomo tu. Mama samia piga kazi hawa wakitaka kma vile magu. Unawapa dozi wakiamka nchi ishabadilika. Shwainii
Sikilizeni nyie mboe na lisu Fatima anavyofafanua bilaubaguzi nyinyi munabagua munatupeleka pabaya wanchi
Mbowe hana kosa shida je tander ilitangazwa wapi? Kwanini walipoona tunahofu wakaamua kupeleka bungeni.Hivi tangu tunatizama je mda wa mkataba lini na kwanini kiongozi mkubwa asaini yeye km yeye bila kutangaza tander?
@birianination7097
Жыл бұрын
Tender hutolewa kwa mradi, hapa tunaingia ubia so hakuna tender hapo.
Inayokodishwa ni bandari ya Tanzania sio bandari ya TANGANYIKA Sasa tafautisha Tanzania na tanganyika tafauti
Nyinyikweli niwajinga hizi puropagandazote nikwasababu kiongoz ni muislam na mkataba waliokubaliana niwaarabu
We Fatuma usidanganye wewe una wivu na Zanzibar na sio Tanzania mbona una SEMA upo praud kujiita mzanzibari na husemi unajuhisi praud kuwa mtanzania?
kwanini isikodishwe Zanzibar waliwahi kusema tozo zitajenga barabara za vijijini lakini adi leo akuna lolote uyu kiongozi atatukodisha adi sisi
Watu wa Pwani Mbwaaaaa KOKOKOKOKOOOOO. MSIUZE nchi yetu. Mbwa nyie
Samia suruuu umetukosea sana
Mbowe yuko sahihi Kama kweli samia ana nia nzuri tanganyika kwanini bandari za Zanzibar hajaziweka?
@anwarally7611
Жыл бұрын
Zanzibar hamna bandari
@shukranimpomwa7460
Жыл бұрын
@@anwarally7611 ndio maana hana uchungu.