FATUMA KARUME AIBUA HAYA BANDARI YA DAR ES SALAAM KUKODISHWA, MBOWE AMEKOSEA, ZANZIBAR INAHUSIKA

©TUNAKUPA HABARI ZA UHAKIKA KUTOKA VYANZO VYA KUAMINIKA DUNIANI KOTE
---------------------------------------------------------------------------------
JIUNGE NA CHANNEL YETU APA: t.me/habari24tv
TEMBELEA WEBSITE YETU HAPA; bit.ly/2UBBAQf
-----------------------------------------------------------------------------------
REPORT TO US
If you find any error in material provided please take a minute to tell us about it. We will resolve it at the earliest.
COPYRIGHT VIOLATION
For Copyright Issues: We try our best to verify the ownership of content with the contributor. If you think your material is wrongly used, or if its a violation of copyright, email us assengablogtz@gmail.com

Пікірлер: 61

  • @swahibal-karama145
    @swahibal-karama145 Жыл бұрын

    FATMA KARUME KAWAJIBU WAPUMBAVU NA WAJINGA KTK HILI JAMBO LA BANDARI. MBOWE KAWA MPUMBAVU WA KULETA UBAGUZI WA KIJINGA WAKIZANZIBARI NA KITANGANYIKA AMBO HAUNA NAFASI KTK HILI.

  • @salyali7807
    @salyali7807 Жыл бұрын

    Fatma kaeleza very clearly.. asiefahamu anajitoa fahamu tu

  • @yahayaramadhani6418
    @yahayaramadhani6418 Жыл бұрын

    Ukweli mhe. Mbowe umekosea sana wajua utatupotosha wewe utasababisha nasisi tukufuate katika kushauri kwahili suala la Bandari, usithubutu kuleta ubaguzi wa Bara na Visiwani Sio vizuri sisi wote niwamoja tusiingize kubaguana sisi Wabara na Wazanzibari hapo kweli mhe. Mbowe umetereza umetumia jaziba.

  • @stevensosipita2851
    @stevensosipita2851 Жыл бұрын

    WEWE FATMA KARUME HUNA CHA KUTUELEZA SWALI KWANINI ZANZIBAR HAIPO KWENYE MKATABA ACHENI KUTUONA WAJINGA

  • @gabrielmdem4271
    @gabrielmdem427110 ай бұрын

    Safii sanaa Fatima karume

  • @kingmichael1234
    @kingmichael1234 Жыл бұрын

    Mbowe yuko right.. 💯

  • @robertwarkoi7353
    @robertwarkoi7353 Жыл бұрын

    Watanzania tufikiri vzr, hv nnn kama watanzania tunachoweza kumsimamia jaman? Makampuni yote yanayofanya vizur Niya wwtu weupe, hembu na tuweze kujitafakari tunashida gani? Ss site wezi, hii hali mpaka lini jaman watanzania wenzangu, nilin tutajua hii nchi ni yetu site? Mtu akipata nafas anafikiria kuiba tu, nahatuwwz kuendeleza zile fedha za wiz, zaid ni kwenda nazo kutumia kule walipo wazungu, huu ujinga utatuisha Lin? Niukwel kabisa bandar imetushinda, hatuwez kujiongoza, rais mwizwananchiwanaopata nafas wezi, wiz unatusaidia nn watanzania wenzangu?

  • @kasimkassam9565

    @kasimkassam9565

    Жыл бұрын

    Tatizo watanzania wezi Sana sio wazalendo wa hii nchi ruswa imekithiri

  • @kassimomar7589
    @kassimomar7589 Жыл бұрын

    Naisikia sauti ya jirani yangu Muhammed ghasan

  • @alikidungura9419
    @alikidungura9419 Жыл бұрын

    Watanganyika mnarohombayatu bas

  • @user-le1mo8ru7u
    @user-le1mo8ru7u Жыл бұрын

    Dada fatma karume umetuelewesha tumekuelewa hupendelei upande wowote mwanangu ubarikiwe

  • @magrethherman9262
    @magrethherman9262 Жыл бұрын

    Mungu anawaona

  • @festokitule9727
    @festokitule9727 Жыл бұрын

    Swali kwanini tander haikutangazwa? Usiri huo unaleta hofu.Hivi baada ya hofu ndo mnapeleka mkataba bungeni.Nyie WASOMI hamjui stage of tendering? Hapo kuna shida? Kwani WASOMI na viongozi wetu japo la kitaifa unaweza fanya single sourcing? Ilipaswa tander itangazwe kwa makampuni mengi ndipo tuamue lipi linafaida kwa taifa?

  • @soudmoshmnyika5813
    @soudmoshmnyika5813 Жыл бұрын

    Watu wamekuwa wakiagiza magari yanaishia bandarini yanaoza bila sababu

  • @athanasndele6213
    @athanasndele6213 Жыл бұрын

    Tunataka kufaham mkataba huu ni lini kikomo chase.nq garama za mladi wa daresalaam itagalim dola trion ngap???

  • @laprincevonkingpin2538
    @laprincevonkingpin2538 Жыл бұрын

    Mikataba ya tanzania iwekwe wazi kwanza, lugha iwe ya kiswahili ... ili wote tueleweeee

  • @michaelmwambije3603
    @michaelmwambije3603 Жыл бұрын

    Mbow yuk sawa fatuma nichaewa wa ccm

  • @aliyageorge6794

    @aliyageorge6794

    Жыл бұрын

    😂

  • @dullahkalanjedullahkalanje1422
    @dullahkalanjedullahkalanje1422 Жыл бұрын

    kila mzawa atawale pakwake

  • @giftkalenge418
    @giftkalenge418 Жыл бұрын

    Sio kweli mbona maziwa ya Tanganyika yametajwa lakini port za Zanzibar hazijatajwa

  • @husseinkarim6745
    @husseinkarim6745 Жыл бұрын

    Wengi hatuelewi sababu ya elimu ndogo ya kisheria sio siasa. Tunahitaji uwekezaji binafsi sababu tumeshindwa kuendesha bandari yetu sababu ni wizi,na wezi ni sisi watanzania. Angalia miradi yote ya kama ujenzi wa Daraja watu huiba vifaa,diesel, umeme wa REA,

  • @kahmardintebe9266

    @kahmardintebe9266

    Жыл бұрын

    Jpm aliwezaje? Kuendesha bandali bila wizi???

  • @husseinkarim6745

    @husseinkarim6745

    Жыл бұрын

    @@kahmardintebe9266 Ni kweli alijitahidi. Lakini ufanisi, mitambo,na bureaucracy ilikuwa pale pale. Container linatoka kwa siku moja Mombasa, Dar wiki 2.

  • @HassanMacko

    @HassanMacko

    Жыл бұрын

    ​@@kahmardintebe9266 Huna ulijualo

  • @domymerinyo8165
    @domymerinyo8165 Жыл бұрын

    Tanganyika umesikia ikitajwa wapi. Maana ikitajwa Tanzania Zanzibar inakua haipo

  • @awadhawadh5828
    @awadhawadh5828 Жыл бұрын

    Shangazi umemaliza ! Mbowe kakurupuka sana na atajutia maneno yake

  • @sponsor7882
    @sponsor7882 Жыл бұрын

    wanzabar wametuuza

  • @salimalharrasi3943
    @salimalharrasi3943 Жыл бұрын

    ZANZIBAR HAIMO 100% HILO ULIJUE KABISA

  • @soudmoshmnyika5813
    @soudmoshmnyika5813 Жыл бұрын

    Mambo ya tender kutangazwa sio inshu , inshu ni kuanagalia mikataba iwe rafiki kwa nchi, ili inchi inufaike

  • @johnycavishe5207
    @johnycavishe5207 Жыл бұрын

    U mkataba ttakja kujuwa tu baada ya awamu hii kpta

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 Жыл бұрын

    Fatuma karume don't go out of topics opposition strong hold chadema spoken about it tundulisu has explain in costuetion how dp would campany and Tanzania gavment sighn this agreement was not open discussion in Tanzania population and who signed this agreement is from Zanzibar president samia sluu Hassan is from Zanzibar pot given to dp would company is all pot from tanganyika only not Zanzibar that was the stick point of tundulisu and Freeman mbowe the way we have understood the all lnfimation and palament pass this in short period without tanzania population have time to discuss this cofidence Wich torch life of Tanzania nation

  • @simonmartin5358
    @simonmartin5358 Жыл бұрын

    Mbowe hajakosea Yuko sawasawa amejieleza vzuri sana

  • @allyjola3568
    @allyjola3568 Жыл бұрын

    Shangazi ongea wanatuuza ccm

  • @aifadmohammed5231
    @aifadmohammed5231 Жыл бұрын

    Mumkituchoka tugawane mbao tu

  • @gingoestate2654
    @gingoestate2654 Жыл бұрын

    Bandar naviwanja vyande nisehem nyet sana kwataifa kamatunaweza muwashawishi wahara waumangan tuwape naviwanja vyandege kabisa jaman tupigepesa ili uchum uwejuu sana

  • @iskitogo
    @iskitogo Жыл бұрын

    Next time don't people like Luqman Maloto...hajajipanga kwa interview kama hizi.

  • @soudmoshmnyika5813
    @soudmoshmnyika5813 Жыл бұрын

    Mimi nafikiri wengi wanao pinga bandari kupewa sekta binafsi kuendesha ni wale ambao wana nufaika kutokana na bandari ambao ni wachache , na watu wamesikika wakisema mifumo ya bandari hai owani na mifumo ya tra tafasiri yake inchi ina didimia kwenye mikono ya watu wachache, leo keki inapokonywa ili igawiwe watu wote wanufaike kelele zinakuwa nyingi

  • @natafutamatatizo4382
    @natafutamatatizo4382 Жыл бұрын

    MAMA WAUZE WATANGANYIKA WOTE HAO KWA MAUAJI WALIYOWAFANYIA WANZANZIBARI 64! CCM OYEE😂😂😂

  • @mussakulanga9513
    @mussakulanga9513 Жыл бұрын

    yupo sahihi mbowe hawa woote wachumia tumbo si unajua mama hajamaliza kuteua

  • @user-bg7yc8fq5h
    @user-bg7yc8fq5h Жыл бұрын

    Ww mboe umjingasana mpumbavu unaitaja zanzibar inakuhusuwewe

  • @alikidungura9419

    @alikidungura9419

    Жыл бұрын

    Shida hao vichogo wana shida wezitu wanaona hawataiba ktk bandar wakiwekeza warabu

  • @omarhemed448
    @omarhemed448 Жыл бұрын

    Mbowe yupo saw kutetea nchi yake. Kwa hata sisi wa Zanzibar hatutaki mungano

  • @johnycavishe5207

    @johnycavishe5207

    Жыл бұрын

    Wazee wetu ndo wangetakiwa kkataa awali ila ishakuwa muungano kwanza afadhali uku bara klko Zanzibar kdogo mnaubaguz

  • @kahmardintebe9266
    @kahmardintebe9266 Жыл бұрын

    Tanzania bila bahari hakuna tanzania

  • @aliyageorge6794

    @aliyageorge6794

    Жыл бұрын

    Kabisa! Yaani umeandika point sana! Ni kama tumekuwa maskini.

  • @salyali7807
    @salyali7807 Жыл бұрын

    Mbona hii imekatwa mapema.. iko wapi clip kamili?

  • @fatimasaid9469
    @fatimasaid9469 Жыл бұрын

    Me niulize ni tenda gani iliowahi kutangazwa mpka hili likawa gumunzo sana je ! Huo mkataba wa mwanzo ulitanzwa je mkataba ya mgodi ilitangazwa . Me ninacho ona . Manachelewesha maendeleo kwa jambo halina mantiki ,fursa zinakuja zn mnaleta siasa pasipo na siasa . Tanzania mnachelewesha maendeleo kwa kuwatia watu kasumba, angekuja mtu mweupe wa West msegepiga kelele. Kuna watu wana elimu ila ni sawa na flu tomo tu. Mama samia piga kazi hawa wakitaka kma vile magu. Unawapa dozi wakiamka nchi ishabadilika. Shwainii

  • @AliOmari-uv8hf
    @AliOmari-uv8hf Жыл бұрын

    Sikilizeni nyie mboe na lisu Fatima anavyofafanua bilaubaguzi nyinyi munabagua munatupeleka pabaya wanchi

  • @festokitule9727
    @festokitule9727 Жыл бұрын

    Mbowe hana kosa shida je tander ilitangazwa wapi? Kwanini walipoona tunahofu wakaamua kupeleka bungeni.Hivi tangu tunatizama je mda wa mkataba lini na kwanini kiongozi mkubwa asaini yeye km yeye bila kutangaza tander?

  • @birianination7097

    @birianination7097

    Жыл бұрын

    Tender hutolewa kwa mradi, hapa tunaingia ubia so hakuna tender hapo.

  • @ameirmanzi2684
    @ameirmanzi2684 Жыл бұрын

    Inayokodishwa ni bandari ya Tanzania sio bandari ya TANGANYIKA Sasa tafautisha Tanzania na tanganyika tafauti

  • @user-bg7yc8fq5h
    @user-bg7yc8fq5h Жыл бұрын

    Nyinyikweli niwajinga hizi puropagandazote nikwasababu kiongoz ni muislam na mkataba waliokubaliana niwaarabu

  • @giftkalenge418
    @giftkalenge418 Жыл бұрын

    We Fatuma usidanganye wewe una wivu na Zanzibar na sio Tanzania mbona una SEMA upo praud kujiita mzanzibari na husemi unajuhisi praud kuwa mtanzania?

  • @dullahkalanjedullahkalanje1422
    @dullahkalanjedullahkalanje1422 Жыл бұрын

    kwanini isikodishwe Zanzibar waliwahi kusema tozo zitajenga barabara za vijijini lakini adi leo akuna lolote uyu kiongozi atatukodisha adi sisi

  • @mimiraia2531
    @mimiraia2531 Жыл бұрын

    Watu wa Pwani Mbwaaaaa KOKOKOKOKOOOOO. MSIUZE nchi yetu. Mbwa nyie

  • @yohanamasebo3478
    @yohanamasebo3478 Жыл бұрын

    Samia suruuu umetukosea sana

  • @anosiata8242
    @anosiata8242 Жыл бұрын

    Mbowe yuko sahihi Kama kweli samia ana nia nzuri tanganyika kwanini bandari za Zanzibar hajaziweka?

  • @anwarally7611

    @anwarally7611

    Жыл бұрын

    Zanzibar hamna bandari

  • @shukranimpomwa7460

    @shukranimpomwa7460

    Жыл бұрын

    @@anwarally7611 ndio maana hana uchungu.

Келесі