KAULI YA SUGU ILIVYOMCHEKESHA RAIS SAMIA "SIJA LOST, NIKO FRESH, LEO VIJANA WANAKODI PRIVATE JET"
Жүктеу.....
Пікірлер: 197
@gibsonjosephat63522 жыл бұрын
Kama unaamini Sugu anarudi Bungeni 2025 gonga like hapa.
@ombenianton3611
2 жыл бұрын
Cjui kikichomuweka Tulia Akson ktk nafasi ya hili jembe
@daressalaampost5785
2 жыл бұрын
Labda akagombee jimbo lingine, uzoefu unaonekana ni ngumu kumuondoa speaker jimboni. Akigombea jimbo lingine atapata
@michaelmabula7444
2 жыл бұрын
wapo wengine wengi tu
@michaelmabula7444
2 жыл бұрын
ndani ya ccm
@katemachanda7035
2 жыл бұрын
Endeleeni kumdanganya..
@kelvinmmary51702 жыл бұрын
Hongera sana Mhe. Sugu Safari ya maisha inaonekana nyepesi mtu akiongea lakini kuishi katika nafasi hio na kubeba jasho na changamoto sio nyepesi Hongera sana My public figure
@johnsonbagambi1908
2 жыл бұрын
Sana uko vzr🙏🙏🙏🙏🙏
@laulymo2063
2 жыл бұрын
Umeongea point sana ndugu
@sehemunzuri2 жыл бұрын
Beautiful speech, keep inspiring Kichwa✌️❤️
@jixxyjussy47212 жыл бұрын
Thank you Sugu....u really delivered a very matured speech.
@pascalnicolaus69862 жыл бұрын
You always have my respect and Salute Mr Joseph! You are so gifted!
@abdallahmpwatile32652 жыл бұрын
Sijawahi kushindwa kukuelewa, you're my Hiphop Icon
@jacobd.kasofu22042 жыл бұрын
Great Speech my Best Friend and Soul MP...You delivered it wisely thank you Mr.SUGU JOSEPH MBILINYI.
@saimonelias9774
2 жыл бұрын
Oyoooo
@dickchambilo91382 жыл бұрын
Sugu has a lot of talents instead of being musician morever he is comedian and manymore his voice and speeches makes me fun indeed 🤣🤣👏👏🇹🇿💪
@issackchalahani12352 жыл бұрын
Legendary of the Hip hop in my the Country Mr. II Sugu Joseph Mbilinyi, appreciate you and congratulations Sir.
@shukranitv29712 жыл бұрын
Mama Samia han bifu na wapinzan hongera mama
@MakelemoMaganga-zj8jy Жыл бұрын
Jongwe,Taita, Sugu, Legend you deserve the best bro.
@mosesndahani33152 жыл бұрын
Naiona Tanzania iliyopotea imerudi wenyeviti wa vyama kukaa pamoja Mungu mbariki Rais wetu Samia.
@nurdinngwegwe2943
2 жыл бұрын
Yo rap bonanza. Long Walk. We live Hip-Hop. Maisha Halisi siyo kuigiza
@mussahaji905
2 жыл бұрын
Tanzania hua Ina furaha Raisi akiwa Muislam...inauma lakini ndo ukweli ulivyo..
@mohamedhaji2200
2 жыл бұрын
@@mussahaji905 umeona ehh
@dogouliza8934
2 жыл бұрын
Tanzania ya upendo wa kutosha
@aronatv47
2 жыл бұрын
@@mussahaji905 Huo ndio ukweli sio kuwa tunaleta udini nisieleweke hivyo Mimi ni mkristo na huwa naambiaga hata wengine wore Awamu zote zilizopita Za kikristo zimekuwa za kibabe Ujinga ujinga mwingi kwa kichaka cha kujenga nchi ila Meengi ni wizi wizi tu unafiki nafiki,kujipendekeza pendekeza same na ubabe kwa wenye Madaraka
@alinagwemwaselela90532 жыл бұрын
It's is not hard to get money, but we all trying to be Legends. Respect to this Brother.
@Chrisblaze-beats2 жыл бұрын
Aisee kaongea vizuri sana hasa apa kwenye Finishing 🙏💪💪💪🔥
@nyangetv88022 жыл бұрын
Naandika kukumbuka jinsi nilivyoandika kwenye daftari mashairi yako miaka hiyo ya 1996 ulipotoa album yako ya kwanza ya Ndani Ya Bongo. Safari ulianza mbali sana, hukukata tamaa na hatimaye umefanikiwa kufanya tamasha hili la kihistoria. Muziki wa Bongo si uhuni, umevuna ulichokipanda. HONGERA SANA MR II
@josephmateru88922 жыл бұрын
Hongera cna sugu umefanya jambo kubwa hongera cna big up 💪🏻💪🏻💪🏻💪🏻
@rukikomuingi60262 жыл бұрын
Kwasababu mm ni rapa kama wew ninakupa freestyle kwasababu ulikua unatembea kwa miguu iliuwerapa leo unakula kuku kwa mlija mashavu yametuna kama paka heshima umeipata na pesa unezipata . hongera sana Mr 2 wew ndio chumbuko la hiphop mungu akubalika brother
@jacksonmtonyole19292 жыл бұрын
Namwona Samia wa ndoto nyngine Big up Saaanah Mamaaah ......
@effortmsossy42712 жыл бұрын
Beautiful mind..!
@KalamuYaGalana2 жыл бұрын
Mimi mmoja wa fans wake wengi huku Malindi, Pwani ya Kenya.
@waltergodwin25292 жыл бұрын
Legend of all the time, Sugu moto chini.
@raymondsekabigwa59072 жыл бұрын
Hongera sugu Niko Nairobi Kenya nyimbo zenu hapa Kenya zinapigwa kila mahali Hadi raha
@humphreybilly74372 жыл бұрын
Mungu akubariki mh Sugu,nakupendaga sana
@joshua.mhando2 жыл бұрын
"My wife, All of my family imekaa kwenye meza next to ya Mh Rais kwasababu ya mimi kupiga mziki wa Hip Hop" 🙌
@jumamakanko51442 жыл бұрын
Sugu moto chini u're a super star the legend 🔥🔥🔥🔥🔥💪
@barikimoshi44742 жыл бұрын
Hongera Mr sana Mr sugu Safi
@josephinevicent10102 жыл бұрын
Mimi nfarijika sana kwa uongozi wa mama.mungu endelea kutembea na mama uyu
@kwelinauzimamedia32152 жыл бұрын
Asiye jua Anaweza fikiri nikawaida , lakini fikiria ni kwa roho ya nani inayo waunganisha watu hawa
@hajisaidy30812 жыл бұрын
Sugu hongera sana you made it up.
@altonkanjolonga23802 жыл бұрын
Longlive Sugu wewe ni icon kwenye Bongo fleva.
@geeva992 жыл бұрын
Sasa huyu ndo legend 🙌🏾
@diktator18892 жыл бұрын
Kenyan leaders should emulate this.
@nelsonkileo32472 жыл бұрын
Taita kama ametetemeka hivi mbele ya Mama . 😀😂
@calimahad92742 жыл бұрын
Hats off Sugu !!
@peterstanslaus24772 жыл бұрын
Dah safi sana hii
@fredrickmwegole78412 жыл бұрын
Asiv tukikaa ni mambo ya sugu iv hatujui vitu vinapanda being na wananchi hatuna hera
@fadhilhimid2776 Жыл бұрын
Ahsante Sugu upo vizuri
@hamisihalfani63742 жыл бұрын
💥
@leolaswai5784 Жыл бұрын
This man is the presidential material,from the womb to the tomb,born to give orders.
@TALLUBOY2 жыл бұрын
#AVATASTAR255 🎼👽
@mohamnedsalum21502 жыл бұрын
Safi mama kwa kuwaunganisha wapinzani na kuwa kitu kimoja
@lowkeybongo2 жыл бұрын
Sugu my idol
@brother_majesty2 жыл бұрын
BIG UP CHIEF
@dineshog8575 Жыл бұрын
First rapper on everything
@athanaswilliam69402 жыл бұрын
Daaah Ila Sugu...
@immamwandolela68512 жыл бұрын
Raisi wa mbeya cit oyooooo
@allawyarro29702 жыл бұрын
Hakika wewe ni SUGU Kweli. Miaka 30 ni kitu kikubwa Sana . HONGERA Sana JONGWE
@johnmawazotz2 жыл бұрын
Sugu Mungu akulinde akutunze Sawa Sawa na Mapenzi yake yalio Mema kila wakati
@benedictmrisho59472 жыл бұрын
"Lakini kwa upendo mkubwa umekubali kutenga mda wako Kama Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania" hiyo ndio Tanzania tunayoitaka ya wote sio ya watu fulani fulani tu tena wachache. Hongera Mh Rais wasikize makundi yote kama ulivyojipangia.
@ibradx30292 жыл бұрын
Hip hop for life
@magorymara55152 жыл бұрын
Asante mama kwa kuitikia wito wa washa za waha ndugu zetu za wa juu lakin pia usikatae kuitikia wito wa wale wananch wa chini ili nao wakwambie shida zao hicho ndo kilio chao
@perucebuhomaosward85122 жыл бұрын
🚶♂️🚶♂️
@christopherhilary94532 жыл бұрын
Heshima kwako mama
@vincentmboya2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@rehemaisaack17282 жыл бұрын
Millard idea debater wametutapeli maelfu ya watanzania publish hiyo hbr
@jamessanga71202 жыл бұрын
suguuuuuuuuu🤝⚒️❤️🇹🇿
@jamesmahatane27232 жыл бұрын
Tuna rais mpya tanzania anaitwa samia tuna fulaha sana ata sugu ana fulai ni uhuru wa kujieleza asante samia huna ubaguzi mama
@bonabonaza5066 Жыл бұрын
Mimi chadema kweli ira Samia ataturetea katiba mpya jinsi anavyo shirikia na wapinzani
@chrisjacob40572 жыл бұрын
Napee mhuuu
@shukranitv29712 жыл бұрын
Suguuuu alirudi ccm ni uwaziri Moja Kwa mojaaa
@gabrielmoses6860
2 жыл бұрын
Hawezi kurudu huyu!!! ana kiburi
@habibukilango77382 жыл бұрын
Wanakuita SUGU
@merickymangula51562 жыл бұрын
Sugu ni mkinga sio mngoni,ukisikia mbilinyi,sanga,kyando n.k iyo ni Kinga wazee wa mshiko
@malopemaliyamungu5243
2 жыл бұрын
Ndio maana nashawishika kufutilia mbali matumizi ya majina ya ubini/ukoo.. Hasara Ni Nyingi kuliko faida
@kinarakinara20742 жыл бұрын
Huyu mama Safi sana
@shukurkatembo28072 жыл бұрын
Jongwe aminia sana brother
@hawkeye98452 жыл бұрын
Naionea wivu TANZANIA nikiwa mombasa, nakumbuka hadithi aliotowa mwalimu kuhusu kijana aliepanda mlimani, na magufuli alifika juu ya mlima na akampata mrembo Mama Samia wakaifanya Tanzania ya kuonewa wivu mzuri
@zakayokivuyo18232 жыл бұрын
C see
@alimuhamed18302 жыл бұрын
Kiongozi kama kiongozi skuzote habwabwaji anaongea yamana wewe sugu nikiongozi na nusu big up brother
@majaliwakinyonyi10062 жыл бұрын
Utasikiya mond kajipendekeza hapo
@dineshog8575 Жыл бұрын
Hiphop ni kazii
@mwigakatumpula68522 жыл бұрын
Kwani hii tafrija ina lenga Nini haswa maana naona kama mapicha picha TU 😃😃😃😃🙌
@zubedamagambo9600
2 жыл бұрын
Hata mm sielewi aisee😁😁😁😁😁
@mohamedhaji2200
2 жыл бұрын
Hutaelewa
@deogratiasmlacha9047
2 жыл бұрын
Umri wako bado subiri ukue ndio utaelewa
@mwigakatumpula6852
2 жыл бұрын
@@deogratiasmlacha9047 🙆😀😃😃🙏
@zeddybass66722 жыл бұрын
Ww uliekua unawagawa watu huko uliko uwekwe pale unapostahiri
@ericamwkyokile46812 жыл бұрын
MAMA, RAIS WETU KIPENZI UNAUPIGA MWINGI.MAMA NI HAKIMU,MAMA NI MPATANISHI,MAMA KIONGOZI SHUPAVU,MAMA DAKTARI .MAMA HUKUSANYA FAMILIA. YAJAYO YANAFURAHISHA HUU NI MWANZO TU.
@MasterChief-Ortiz2 жыл бұрын
hamna msanii amewahi kukodi private jet kwenda sehemu yoyote
@ChoroTesla
2 жыл бұрын
acha ufara
@bigtv4204
2 жыл бұрын
diamond ndo mfano wa hayo kijana au umesahau mwakajana mond amekod pj kwenda south africa yeye na s2kizz tu
@shunimbarak20182 жыл бұрын
Acheni ujinga tanzania amkeniiiiiiii
@albertjames6845
Жыл бұрын
Unakung’utwa
@mymbaralitv29682 жыл бұрын
Sasha kawa bint now
@emmanuelmkamba1964 Жыл бұрын
Taita 👊
@josephatmakuka48602 жыл бұрын
Jongwe
@mtotowaray17262 жыл бұрын
Taita kama taita , Taita mfupi lakin Pesa Matata..!!
@smfkingdom99442 жыл бұрын
Kamti🌴 pombe kzread.info/dash/bejne/d6OJsNyBitLddrw.html Isikupite hii kal sana
@whitelove_og3692 жыл бұрын
#UNAAMBIWA SUGU HAPA ALIZGUA TAZAMA kzread.info/dash/bejne/iniFzsOGdcjUXco.html
@samsonjames40472 жыл бұрын
Megatune tv
@samsonjames4047
2 жыл бұрын
MEGATUNE TV
@amanlenatus90672 жыл бұрын
We bwana sio rapa ni marapa tu sasa rapa gan wa hivo
@alexalen6799
2 жыл бұрын
Watu kama nyie wasenge sasa umekereka na nini hapo au kakuhusisha fara wewe acha wivu wa mafanikio ya mwenzio.
@narrissajackson3869
2 жыл бұрын
Leta wengine basi
@ChoroTesla
2 жыл бұрын
Wewe utakua mpumbavu sana sugu ni moja waasis wa hip hop Tanzania mjinga ww kua na respect nae
@narrissajackson3869
2 жыл бұрын
@@ChoroTesla huyu mtu hajielewi, hawa ni wale wanaopenda sana kuongea ila wanajua machache sana
@King_Of_Everything2 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌.
@G.r.e.a.t.I.Q Жыл бұрын
Lakini vijana hao kuna walio pata vijipesa wanakuoneni nyie mlio waanzishia mwendo ni wajinga! Huongea upuuzi mwingi huku (wakishihirisha ni washamba kiasi gani) eti, wakionesha vijipesa hivyo mitandaoni!
@kwelinauzimamedia32152 жыл бұрын
Mnakubaliana ili mzidi kuizamisha inchi
@shabanijuma20852 жыл бұрын
Kwani wewe bado mwanamuziki?
@broka_genius36152 жыл бұрын
Saa ndio usome
@narrissajackson3869
2 жыл бұрын
Kwa sababu yupo smart
@khubeybjandal74352 жыл бұрын
Huna issues miaka 30 unaimba tu, mambo ya kipuuz
@salumumakombo91362 жыл бұрын
unajipaisha tu mnafiki sana ewe nakukumbuka matendo yako sitaki niyaseme hapa
@eliamkonda5162
2 жыл бұрын
Na wewe jipaishe
@deogratiasmlacha9047
2 жыл бұрын
Tafuta hela usiwe na visirani
@hellendaniel3809
2 жыл бұрын
Acha makasiriko wewe
@salumumakombo9136
2 жыл бұрын
@@eliamkonda5162 putuka
@mzeesuliman31582 жыл бұрын
Nandio Mahana Raisi wa marekani awezikukutana name kutokana uwezo wako ndogo wewe unatakiwa ukae na Maraya wenzako
@Bongoempiretv¹¹2 жыл бұрын
DUDU BAYA VANESSA MDEE KAJITOA KWENYE USHETANI kzread.info/dash/bejne/m4ptu6V7oK_Ulaw.html
@nesto35872 жыл бұрын
Raise wa mchongo😂😂😂
@mohamedhaji2200
2 жыл бұрын
Weee
@josephatthadeo37452 жыл бұрын
kaz huna au
@tadeikapinga29052 жыл бұрын
Wee si kichwa ni m'babaishaji tu ungekuwa kichwa usingeandikiwa maelezo' hayo yangetoka kichwani tu' na wewe si mmoja wa waanzilishi wa rap' ni kukop na kupesti nyimbo za black Amerika' huna jipya, waongopeeni wasiowajua
@mrtrama89362 жыл бұрын
Upumbaf 2
@kifanyaliwengi2281
2 жыл бұрын
Mr trama umezaliwa juzi wewe huwez mfahamu sugu kabisa mpambafu mwenyew
@kabwelasutiviraka4765
2 жыл бұрын
Sikiliza muziki wa Sugu haki na Justin Kalikawe halafu bwana mdogo njoo tuongee tena
@amandusmark3060
2 жыл бұрын
Umaskini utakuua
@mzeesuliman31582 жыл бұрын
Raisi uko mpaka kwenye mapati unauchungu kweli na watanzania wewe Bibi mpuuzi Sana wewe
@mzeesuliman31582 жыл бұрын
Raisi wa Ajabu Kazi yake kujirusha TU anakazi ya kufanya ushakura Mzee unajifanya kijana
@amanlenatus90672 жыл бұрын
Yaan raisi kakosa kazi ya kufanya imembidi akasherehekee ujinga wa mjinga
@mcgeemwamba9303
2 жыл бұрын
Unajua nini fara wewe
@officiallnobystar
2 жыл бұрын
Mjinga Ni ww Umekuja kuangaria Video Alafu Unakuwa Na makaziliko yako ya Maisha
@ilynpayne7491
2 жыл бұрын
Wwwe ndio mwehu haswa rais siyo mbaguzi kama ulivyo wewe na magufuli wenu huyo
@iddyissa8110
2 жыл бұрын
Kabisaaaa kikwetewa2
@salimusalim3610
2 жыл бұрын
Inauma tulia dawa ikuingie
@edwinfredrickzakaria47822 жыл бұрын
Inatia aibuu Rais mzima kabsa kuuhuzulia upumbavu tuu huku wananchi wanateseka wanalia haraf nyie mnakua Bata et mziki mda mwingine mtu anaweza kujizaralisha mwenyewe paspo nazalau
@idanysedrc1200
2 жыл бұрын
Hujielew
@ericcbulamile612
2 жыл бұрын
Ndugu, vp???
@bockernyarusahi3655
2 жыл бұрын
@@ericcbulamile612 kavurugwa ndugu
@amaninyoni5645
2 жыл бұрын
Kweli wewe hewa
@suleimankhamis7378
2 жыл бұрын
Aibu gani inayotiwa apo?
@TeamKRX2 жыл бұрын
Hata habari hana bibie ya wananchi wake wakipigana risasi wakitwangana mawe yeye anacheka buheri hamsa wa ishrin raha raha tuu akitoka apo ndege inamsubir haya tutafika rabda
@abdulwahababdulkadir9965
2 жыл бұрын
Sasa ww ulitaka afanyeje,ikiwa kama waliopigana walikua ni watu waliobeba dhamana ya kuishi pamoja ktk maisha yao yote,usifanye uzembe kutegemea kumlaumu mtu
Пікірлер: 197
Kama unaamini Sugu anarudi Bungeni 2025 gonga like hapa.
@ombenianton3611
2 жыл бұрын
Cjui kikichomuweka Tulia Akson ktk nafasi ya hili jembe
@daressalaampost5785
2 жыл бұрын
Labda akagombee jimbo lingine, uzoefu unaonekana ni ngumu kumuondoa speaker jimboni. Akigombea jimbo lingine atapata
@michaelmabula7444
2 жыл бұрын
wapo wengine wengi tu
@michaelmabula7444
2 жыл бұрын
ndani ya ccm
@katemachanda7035
2 жыл бұрын
Endeleeni kumdanganya..
Hongera sana Mhe. Sugu Safari ya maisha inaonekana nyepesi mtu akiongea lakini kuishi katika nafasi hio na kubeba jasho na changamoto sio nyepesi Hongera sana My public figure
@johnsonbagambi1908
2 жыл бұрын
Sana uko vzr🙏🙏🙏🙏🙏
@laulymo2063
2 жыл бұрын
Umeongea point sana ndugu
Beautiful speech, keep inspiring Kichwa✌️❤️
Thank you Sugu....u really delivered a very matured speech.
You always have my respect and Salute Mr Joseph! You are so gifted!
Sijawahi kushindwa kukuelewa, you're my Hiphop Icon
Great Speech my Best Friend and Soul MP...You delivered it wisely thank you Mr.SUGU JOSEPH MBILINYI.
@saimonelias9774
2 жыл бұрын
Oyoooo
Sugu has a lot of talents instead of being musician morever he is comedian and manymore his voice and speeches makes me fun indeed 🤣🤣👏👏🇹🇿💪
Legendary of the Hip hop in my the Country Mr. II Sugu Joseph Mbilinyi, appreciate you and congratulations Sir.
Mama Samia han bifu na wapinzan hongera mama
Jongwe,Taita, Sugu, Legend you deserve the best bro.
Naiona Tanzania iliyopotea imerudi wenyeviti wa vyama kukaa pamoja Mungu mbariki Rais wetu Samia.
@nurdinngwegwe2943
2 жыл бұрын
Yo rap bonanza. Long Walk. We live Hip-Hop. Maisha Halisi siyo kuigiza
@mussahaji905
2 жыл бұрын
Tanzania hua Ina furaha Raisi akiwa Muislam...inauma lakini ndo ukweli ulivyo..
@mohamedhaji2200
2 жыл бұрын
@@mussahaji905 umeona ehh
@dogouliza8934
2 жыл бұрын
Tanzania ya upendo wa kutosha
@aronatv47
2 жыл бұрын
@@mussahaji905 Huo ndio ukweli sio kuwa tunaleta udini nisieleweke hivyo Mimi ni mkristo na huwa naambiaga hata wengine wore Awamu zote zilizopita Za kikristo zimekuwa za kibabe Ujinga ujinga mwingi kwa kichaka cha kujenga nchi ila Meengi ni wizi wizi tu unafiki nafiki,kujipendekeza pendekeza same na ubabe kwa wenye Madaraka
It's is not hard to get money, but we all trying to be Legends. Respect to this Brother.
Aisee kaongea vizuri sana hasa apa kwenye Finishing 🙏💪💪💪🔥
Naandika kukumbuka jinsi nilivyoandika kwenye daftari mashairi yako miaka hiyo ya 1996 ulipotoa album yako ya kwanza ya Ndani Ya Bongo. Safari ulianza mbali sana, hukukata tamaa na hatimaye umefanikiwa kufanya tamasha hili la kihistoria. Muziki wa Bongo si uhuni, umevuna ulichokipanda. HONGERA SANA MR II
Hongera cna sugu umefanya jambo kubwa hongera cna big up 💪🏻💪🏻💪🏻💪🏻
Kwasababu mm ni rapa kama wew ninakupa freestyle kwasababu ulikua unatembea kwa miguu iliuwerapa leo unakula kuku kwa mlija mashavu yametuna kama paka heshima umeipata na pesa unezipata . hongera sana Mr 2 wew ndio chumbuko la hiphop mungu akubalika brother
Namwona Samia wa ndoto nyngine Big up Saaanah Mamaaah ......
Beautiful mind..!
Mimi mmoja wa fans wake wengi huku Malindi, Pwani ya Kenya.
Legend of all the time, Sugu moto chini.
Hongera sugu Niko Nairobi Kenya nyimbo zenu hapa Kenya zinapigwa kila mahali Hadi raha
Mungu akubariki mh Sugu,nakupendaga sana
"My wife, All of my family imekaa kwenye meza next to ya Mh Rais kwasababu ya mimi kupiga mziki wa Hip Hop" 🙌
Sugu moto chini u're a super star the legend 🔥🔥🔥🔥🔥💪
Hongera Mr sana Mr sugu Safi
Mimi nfarijika sana kwa uongozi wa mama.mungu endelea kutembea na mama uyu
Asiye jua Anaweza fikiri nikawaida , lakini fikiria ni kwa roho ya nani inayo waunganisha watu hawa
Sugu hongera sana you made it up.
Longlive Sugu wewe ni icon kwenye Bongo fleva.
Sasa huyu ndo legend 🙌🏾
Kenyan leaders should emulate this.
Taita kama ametetemeka hivi mbele ya Mama . 😀😂
Hats off Sugu !!
Dah safi sana hii
Asiv tukikaa ni mambo ya sugu iv hatujui vitu vinapanda being na wananchi hatuna hera
Ahsante Sugu upo vizuri
💥
This man is the presidential material,from the womb to the tomb,born to give orders.
#AVATASTAR255 🎼👽
Safi mama kwa kuwaunganisha wapinzani na kuwa kitu kimoja
Sugu my idol
BIG UP CHIEF
First rapper on everything
Daaah Ila Sugu...
Raisi wa mbeya cit oyooooo
Hakika wewe ni SUGU Kweli. Miaka 30 ni kitu kikubwa Sana . HONGERA Sana JONGWE
Sugu Mungu akulinde akutunze Sawa Sawa na Mapenzi yake yalio Mema kila wakati
"Lakini kwa upendo mkubwa umekubali kutenga mda wako Kama Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania" hiyo ndio Tanzania tunayoitaka ya wote sio ya watu fulani fulani tu tena wachache. Hongera Mh Rais wasikize makundi yote kama ulivyojipangia.
Hip hop for life
Asante mama kwa kuitikia wito wa washa za waha ndugu zetu za wa juu lakin pia usikatae kuitikia wito wa wale wananch wa chini ili nao wakwambie shida zao hicho ndo kilio chao
🚶♂️🚶♂️
Heshima kwako mama
😂😂😂😂😂
Millard idea debater wametutapeli maelfu ya watanzania publish hiyo hbr
suguuuuuuuuu🤝⚒️❤️🇹🇿
Tuna rais mpya tanzania anaitwa samia tuna fulaha sana ata sugu ana fulai ni uhuru wa kujieleza asante samia huna ubaguzi mama
Mimi chadema kweli ira Samia ataturetea katiba mpya jinsi anavyo shirikia na wapinzani
Napee mhuuu
Suguuuu alirudi ccm ni uwaziri Moja Kwa mojaaa
@gabrielmoses6860
2 жыл бұрын
Hawezi kurudu huyu!!! ana kiburi
Wanakuita SUGU
Sugu ni mkinga sio mngoni,ukisikia mbilinyi,sanga,kyando n.k iyo ni Kinga wazee wa mshiko
@malopemaliyamungu5243
2 жыл бұрын
Ndio maana nashawishika kufutilia mbali matumizi ya majina ya ubini/ukoo.. Hasara Ni Nyingi kuliko faida
Huyu mama Safi sana
Jongwe aminia sana brother
Naionea wivu TANZANIA nikiwa mombasa, nakumbuka hadithi aliotowa mwalimu kuhusu kijana aliepanda mlimani, na magufuli alifika juu ya mlima na akampata mrembo Mama Samia wakaifanya Tanzania ya kuonewa wivu mzuri
C see
Kiongozi kama kiongozi skuzote habwabwaji anaongea yamana wewe sugu nikiongozi na nusu big up brother
Utasikiya mond kajipendekeza hapo
Hiphop ni kazii
Kwani hii tafrija ina lenga Nini haswa maana naona kama mapicha picha TU 😃😃😃😃🙌
@zubedamagambo9600
2 жыл бұрын
Hata mm sielewi aisee😁😁😁😁😁
@mohamedhaji2200
2 жыл бұрын
Hutaelewa
@deogratiasmlacha9047
2 жыл бұрын
Umri wako bado subiri ukue ndio utaelewa
@mwigakatumpula6852
2 жыл бұрын
@@deogratiasmlacha9047 🙆😀😃😃🙏
Ww uliekua unawagawa watu huko uliko uwekwe pale unapostahiri
MAMA, RAIS WETU KIPENZI UNAUPIGA MWINGI.MAMA NI HAKIMU,MAMA NI MPATANISHI,MAMA KIONGOZI SHUPAVU,MAMA DAKTARI .MAMA HUKUSANYA FAMILIA. YAJAYO YANAFURAHISHA HUU NI MWANZO TU.
hamna msanii amewahi kukodi private jet kwenda sehemu yoyote
@ChoroTesla
2 жыл бұрын
acha ufara
@bigtv4204
2 жыл бұрын
diamond ndo mfano wa hayo kijana au umesahau mwakajana mond amekod pj kwenda south africa yeye na s2kizz tu
Acheni ujinga tanzania amkeniiiiiiii
@albertjames6845
Жыл бұрын
Unakung’utwa
Sasha kawa bint now
Taita 👊
Jongwe
Taita kama taita , Taita mfupi lakin Pesa Matata..!!
Kamti🌴 pombe kzread.info/dash/bejne/d6OJsNyBitLddrw.html Isikupite hii kal sana
#UNAAMBIWA SUGU HAPA ALIZGUA TAZAMA kzread.info/dash/bejne/iniFzsOGdcjUXco.html
Megatune tv
@samsonjames4047
2 жыл бұрын
MEGATUNE TV
We bwana sio rapa ni marapa tu sasa rapa gan wa hivo
@alexalen6799
2 жыл бұрын
Watu kama nyie wasenge sasa umekereka na nini hapo au kakuhusisha fara wewe acha wivu wa mafanikio ya mwenzio.
@narrissajackson3869
2 жыл бұрын
Leta wengine basi
@ChoroTesla
2 жыл бұрын
Wewe utakua mpumbavu sana sugu ni moja waasis wa hip hop Tanzania mjinga ww kua na respect nae
@narrissajackson3869
2 жыл бұрын
@@ChoroTesla huyu mtu hajielewi, hawa ni wale wanaopenda sana kuongea ila wanajua machache sana
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌.
Lakini vijana hao kuna walio pata vijipesa wanakuoneni nyie mlio waanzishia mwendo ni wajinga! Huongea upuuzi mwingi huku (wakishihirisha ni washamba kiasi gani) eti, wakionesha vijipesa hivyo mitandaoni!
Mnakubaliana ili mzidi kuizamisha inchi
Kwani wewe bado mwanamuziki?
Saa ndio usome
@narrissajackson3869
2 жыл бұрын
Kwa sababu yupo smart
Huna issues miaka 30 unaimba tu, mambo ya kipuuz
unajipaisha tu mnafiki sana ewe nakukumbuka matendo yako sitaki niyaseme hapa
@eliamkonda5162
2 жыл бұрын
Na wewe jipaishe
@deogratiasmlacha9047
2 жыл бұрын
Tafuta hela usiwe na visirani
@hellendaniel3809
2 жыл бұрын
Acha makasiriko wewe
@salumumakombo9136
2 жыл бұрын
@@eliamkonda5162 putuka
Nandio Mahana Raisi wa marekani awezikukutana name kutokana uwezo wako ndogo wewe unatakiwa ukae na Maraya wenzako
DUDU BAYA VANESSA MDEE KAJITOA KWENYE USHETANI kzread.info/dash/bejne/m4ptu6V7oK_Ulaw.html
Raise wa mchongo😂😂😂
@mohamedhaji2200
2 жыл бұрын
Weee
kaz huna au
Wee si kichwa ni m'babaishaji tu ungekuwa kichwa usingeandikiwa maelezo' hayo yangetoka kichwani tu' na wewe si mmoja wa waanzilishi wa rap' ni kukop na kupesti nyimbo za black Amerika' huna jipya, waongopeeni wasiowajua
Upumbaf 2
@kifanyaliwengi2281
2 жыл бұрын
Mr trama umezaliwa juzi wewe huwez mfahamu sugu kabisa mpambafu mwenyew
@kabwelasutiviraka4765
2 жыл бұрын
Sikiliza muziki wa Sugu haki na Justin Kalikawe halafu bwana mdogo njoo tuongee tena
@amandusmark3060
2 жыл бұрын
Umaskini utakuua
Raisi uko mpaka kwenye mapati unauchungu kweli na watanzania wewe Bibi mpuuzi Sana wewe
Raisi wa Ajabu Kazi yake kujirusha TU anakazi ya kufanya ushakura Mzee unajifanya kijana
Yaan raisi kakosa kazi ya kufanya imembidi akasherehekee ujinga wa mjinga
@mcgeemwamba9303
2 жыл бұрын
Unajua nini fara wewe
@officiallnobystar
2 жыл бұрын
Mjinga Ni ww Umekuja kuangaria Video Alafu Unakuwa Na makaziliko yako ya Maisha
@ilynpayne7491
2 жыл бұрын
Wwwe ndio mwehu haswa rais siyo mbaguzi kama ulivyo wewe na magufuli wenu huyo
@iddyissa8110
2 жыл бұрын
Kabisaaaa kikwetewa2
@salimusalim3610
2 жыл бұрын
Inauma tulia dawa ikuingie
Inatia aibuu Rais mzima kabsa kuuhuzulia upumbavu tuu huku wananchi wanateseka wanalia haraf nyie mnakua Bata et mziki mda mwingine mtu anaweza kujizaralisha mwenyewe paspo nazalau
@idanysedrc1200
2 жыл бұрын
Hujielew
@ericcbulamile612
2 жыл бұрын
Ndugu, vp???
@bockernyarusahi3655
2 жыл бұрын
@@ericcbulamile612 kavurugwa ndugu
@amaninyoni5645
2 жыл бұрын
Kweli wewe hewa
@suleimankhamis7378
2 жыл бұрын
Aibu gani inayotiwa apo?
Hata habari hana bibie ya wananchi wake wakipigana risasi wakitwangana mawe yeye anacheka buheri hamsa wa ishrin raha raha tuu akitoka apo ndege inamsubir haya tutafika rabda
@abdulwahababdulkadir9965
2 жыл бұрын
Sasa ww ulitaka afanyeje,ikiwa kama waliopigana walikua ni watu waliobeba dhamana ya kuishi pamoja ktk maisha yao yote,usifanye uzembe kutegemea kumlaumu mtu
@mohamedhaji2200
2 жыл бұрын
Kwani yy ndio aliewapa risasi
@simaimohd3557
2 жыл бұрын
Jitafakari.
@zedennjate548
2 жыл бұрын
Huna akili
@salimusalim3610
2 жыл бұрын
Kuongoza mijitu kama hii inataka subra