KAULI YA MSIGWA BAADA YA KUHAMIA CCM, CHADEMA HAINA UHALALI KUIHOJI CCM, CDM NI CHAMA CHA MTU MMOJA

Ойын-сауық

Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.com/DfwqANhvBcB...
Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5

Пікірлер: 147

  • @mohdyussah825
    @mohdyussah8253 күн бұрын

    🇦🇪Welcome sana Muheshimiwa Msingwa huku ndio nyumbani sasa CCM OYEE 🎉🎉🇹🇿💚💚💚

  • @safiaothman5175

    @safiaothman5175

    3 күн бұрын

    Hoyeeee

  • @fatimahants1526
    @fatimahants15264 күн бұрын

    Huyu mwamba yuko Imara ila hakuwa sehem stahki...karibu nyumbani ❤❤❤❤

  • @isayakihongile4921

    @isayakihongile4921

    3 күн бұрын

    Ili aibe vizuri maana sera zenu ni wizi wa mali za umma

  • @fatimahants1526

    @fatimahants1526

    3 күн бұрын

    @@isayakihongile4921 usihukum pasina uhakika

  • @emanuelgavile3503
    @emanuelgavile35034 күн бұрын

    Safi sanaa

  • @helencyprian8745
    @helencyprian87454 күн бұрын

    Msigwa umejishushia sana heshima

  • @marcokaroje8980

    @marcokaroje8980

    3 күн бұрын

    Uchaguzi umekaribia wenye akili ndogo akina Msigwa wameshanunuliwa CCM OYEEtutashinda kwa kishindo mpaka karne sita

  • @helencyprian8745
    @helencyprian87454 күн бұрын

    Ni kawaida yenu kumsema mbowe, chadema itaendelea mbele pasipo ww

  • @user-nz6rs9vn3t

    @user-nz6rs9vn3t

    3 күн бұрын

    Hapo ni wale wanaotak mbowe atoke chama kife

  • @isayakihongile4921

    @isayakihongile4921

    3 күн бұрын

    Tupo na mbowe hadi kifo kimkute wanataka wapewe wao uenyekiti wakiuze chama

  • @khalekichambo1131
    @khalekichambo11314 күн бұрын

    Kuna wanasiasa kama malaya ndio huyu sasa

  • @mohamedisaidi
    @mohamedisaidi4 күн бұрын

    Njaa tu

  • @saimonimzopola4355
    @saimonimzopola43554 күн бұрын

    Mimi sina chama ila ni mpenzi wa chama fulani.lakini nimesikitika mchungaji wewe ni mnafiki juzi ulienda singida ukatudanganya.wewe hufai kukosa cheo .mbeya .ndo yamekushinda?

  • @iddyissa8110

    @iddyissa8110

    3 күн бұрын

    Hakika uyu bwana atausikute biblia aijui

  • @jazzjeff8431
    @jazzjeff84313 күн бұрын

    Hatimae jongwe aka sugu kamkimbiza msigwa chadema baada ya kumgalagaza kwenye uchaguzi wa kanda.....dah siasa unafiki Sana na njaa haina nishani

  • @user-ns6nn6jp9t
    @user-ns6nn6jp9t11 сағат бұрын

    Mmmmh hii sio sawa ilibid ake bench miez sita ndio ajiunge

  • @AthumanDauda
    @AthumanDauda4 күн бұрын

    Nilijua tu msigwa kwamba ipo siku ataingia ccm

  • @akimAkimuWA-m3t
    @akimAkimuWA-m3t5 сағат бұрын

    Yaan mungu amemwambia achungekondoo lakiniyeye ameacha ameenda kwenyevisiasa

  • @rashidomar2771
    @rashidomar27713 күн бұрын

    Kwa maoni yangu hii inaonyesha wazi kushindwa kwa mifumo hii ya kisiasa,,ipo haja ya wananchi kutafakari mfumo mwengine wa kutafuta maendeleo yao,,hawa wanasiasa wanatafuta tu maslahi yao binafsi,,si kwa ajili ya wananchi,,ki msingi ni watu waongo wanaotafuta riziki kwa kuuza maneno kwa kupitia migongo ya watu,,,

  • @lucykristensen7145
    @lucykristensen71453 күн бұрын

    Karibu sana nyumbani Msigwa. Umefanya uamuzi sahihi na busara. CCM daima. Mama Samia Safi kabisa. Mitano kwa Mama Samia.

  • @maase2023
    @maase20232 күн бұрын

    Kuchukua wanasiasa wa kizamani ni sawa na kusoma gazeti jioni tu

  • @PlantUrgentProcess
    @PlantUrgentProcess4 күн бұрын

    😂 unafiki mbaya sana jmn ! Njaa hii daaa😅

  • @judicalosika7642

    @judicalosika7642

    3 күн бұрын

    ,😳😳😳😳😳

  • @mathewungani9724
    @mathewungani97242 күн бұрын

    Kiungo Mshambuliaji, Peter Msigwa....

  • @nurumussa9107
    @nurumussa91072 күн бұрын

    Hii inaonyesha waziwazi kiasi gani hatuna viongozi waliopo Kwa maslahi ya watanzania na hakuna wapinzani hapo ila Kuna wenye njaa, Yani msigwa alivoahindwa na sugu kahama na chama inaonyesha kwamba hata huko ccm akiteuliwa kusimama kukiwakilisha chama akashindwa yupo tayari kuwepo vita ilimradi yeye atangazwe. Viongozi wa hivi hamna asiekubali kushindwa si mshindani

  • @RamadhaniMsagati
    @RamadhaniMsagati4 күн бұрын

    Pole yako

  • @user-vm2wk1mb4v

    @user-vm2wk1mb4v

    3 күн бұрын

    kaka yangu msigwa, ilitakiwa uwashukulu sana chadema, ndio waliokupa ubunge, vyama vingapi ulikuwepo, mbona hawajakupa ubunge, chadema wamekupa Leo Tena wamekuwa wabaya, usitukane utokako, kaka ujuwe kesho pia utawatukana CCM, Aya yetu macho

  • @sifaelmophat1021
    @sifaelmophat10214 күн бұрын

    Mchungaji kakurupuka sana

  • @isayakihongile4921
    @isayakihongile49213 күн бұрын

    Siyo kiongozi mwandamizi wala mwenyekiti wa kanda chadema alishaikosa hiyo nafasi ipo na sugu

  • @ezekielmwadomba4675
    @ezekielmwadomba46753 күн бұрын

    DAAH!!!! HIZI SIASA JAMANI NDOMAANA MIMI SINAGA CHAMA ATAKAE SHINDA ME NDO HUYOHUYO ATAKUWA RAIS WANGU 🙄🤔 FULSTOP!!!

  • @ladislausshirima863
    @ladislausshirima8633 күн бұрын

    Mm namshangaa huyu ni mchungaji? Hata siipendi siasa

  • @bakarimkwizu4335
    @bakarimkwizu43353 күн бұрын

    Msigwa utafika mbali una kitu

  • @davidkawesa3594
    @davidkawesa35943 күн бұрын

    Unataja Mungu pumbavu taja Miungu yako Mungu fundi siku utasema mnafiki

  • @valenakomba7686
    @valenakomba76862 күн бұрын

    YAANI BAADA YA KUSHINDWA , KAAMUWA KUHAMA. ASIYEKUBALI KUSHINDWA SIYO MSHINDANI.

  • @user-iy8mq9ii8t
    @user-iy8mq9ii8t3 күн бұрын

    Ulipokua chadema hukuyaona hayo ulipokosa uwenyekiti ndio ukayagundua unaelekaje Kwa wanaokusikia?

  • @MashakaMagesa
    @MashakaMagesa3 күн бұрын

    Kiungo mpya umemtambulisha leo kama vile wananchi tunavyotarajia kumtambulisha kiungo mpya Chama ndani ya Jangwani

  • @user-ke3qy8ww8v
    @user-ke3qy8ww8v3 күн бұрын

    Ungeacha vyote ukamrejea Mungu nigeona kweli;lakini umehama Chadema na kwenda CCM kufuata kula tu.wewe ni msaliti na. Hunai uzale do.

  • @generosennko8343
    @generosennko83434 күн бұрын

    Ni roho nyingine ilimwingia huyu mtu. Ni vitu flani alitamani kuvipata. Kaona dawa ni kuingia ccm. Huyu hata kanisani hafai kumbe. You cant be trusted. Sori 4 u.

  • @issacklyandala7023
    @issacklyandala70233 күн бұрын

    Msigwa amemkimbia dada msambatawanu, dada Yuko vizuri

  • @BarakaShabani-o1q
    @BarakaShabani-o1q6 сағат бұрын

    Maneno ya mwl nyerere nilikuwa siyaelewi Sasa nayaelewa kumbe wanasiasa wenye tabia za kimalaya wapo

  • @HenryKasaje-on4xq
    @HenryKasaje-on4xq2 күн бұрын

    Huyo msingwa mwache aende kugalagwa na Sugu ananikimbia anatamaa ya mamlaka

  • @mathewungani9724
    @mathewungani97242 күн бұрын

    Njaa tu,

  • @aliferuzi1537
    @aliferuzi15373 күн бұрын

    Ila tumempokea lkn TUWE na TAHADHARI Sana adui Hana rangi anaweza kutuchunguza mambo ya ndani

  • @GodfreySiegfried
    @GodfreySiegfried2 күн бұрын

    Yeye aende kupiga ela uyo hafai mtajuta nyie ccm uyo mtajuta na si mchungaji uyo

  • @SajaliAmri
    @SajaliAmri3 күн бұрын

    Anatapatapa ana lolote kaishiwa sera 😄😄😄mmelamba garasha

  • @AyyanJambau
    @AyyanJambau4 күн бұрын

    Duuh 😢

  • @kasiankillo6949
    @kasiankillo69493 күн бұрын

    Msigwa kaishiwa ufai ata ujumbe wa nyumba 10, ongea yako sio ya chama ata ulivyokuwa chadema uliisema ccm. Kama leo u avyoisema chadema tapeli mkubwa we. Njaa mbaya

  • @peterantony5890
    @peterantony58903 күн бұрын

    Hivi ni Msigwa huyu ambaye wiki chache zilizopita alikuwa akiikosoa serikali ya CCM vikali?

  • @BarakaMwakalinga-sn5sp
    @BarakaMwakalinga-sn5sp19 сағат бұрын

    Umekuwa mweusi balaa

  • @user-nz6rs9vn3t
    @user-nz6rs9vn3t3 күн бұрын

    Ndio maan walisem watu fulani wamenunuliwa,

  • @kasiankillo6949
    @kasiankillo69493 күн бұрын

    Hawa ndio wanazitia doa ata dini anaitwa mchungaji mchungaji gani anabadilika badilika

  • @ZelemanMayola
    @ZelemanMayola3 күн бұрын

    Wewe ni mujinga sana mchuji wa mashetani mashetani masisim majizi

  • @johnmwawa2838
    @johnmwawa2838Күн бұрын

    Hivi huu ni mchungaji wa kanisa gani

  • @MajutoElliasi
    @MajutoElliasi3 күн бұрын

    Sasa kerere zote kwisha umekuja uku tunakufuga mdomo kwisha

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon10642 күн бұрын

    SAF SANA MSIGWA UMEWAFUNGULIA MLANGO WENGINE KARIB CCM 😂😂😂 HII NDO CCM NNAYO IJUA😅😅😅 HAD UCHAGUZ KITAKUWA KIMEELEWWKA

  • @isayakihongile4921
    @isayakihongile49213 күн бұрын

    Wala hatutushiki alitoka zito,mkumbo na kina mdee sembuse nyumbu

  • @idatonymassawe
    @idatonymassaweКүн бұрын

    Njaaa ni mbaya sanaaa.😢

  • @funnuelmwalukasa4506
    @funnuelmwalukasa45063 күн бұрын

    Alichelewa sana ilitakiwa ajiunge kipindi Cha magufuli pindi alivyomtoa Gerrezani mwaka ule mnakumbuka wahenga

  • @hildandumbalo5827
    @hildandumbalo58273 күн бұрын

    Du mch. Unahangaika pole yako

  • @user-rt8lv3jj8l
    @user-rt8lv3jj8l3 күн бұрын

    mnatuchanganya leo hivi kesho vile mchungaji kauli 2 haifai

  • @salahhddindasuvic6447
    @salahhddindasuvic64473 күн бұрын

  • @user-iy8mq9ii8t
    @user-iy8mq9ii8t3 күн бұрын

    Ungejiuzuru Kisha ukayasema hayo usemayo tungekuelewa uwe mkweli una kundi kubwa la kondoo nyumba yako ukiwapoteza utaulizwa na Mungu

  • @MajutoElliasi
    @MajutoElliasi3 күн бұрын

    Mpeni cheo arizike sasa

  • @MaxCharles-wj5dg
    @MaxCharles-wj5dg3 күн бұрын

    ujinga tu huyu ni mnafiki

  • @ambakisyembughi1862
    @ambakisyembughi18623 күн бұрын

    Wanatuchanganya hai

  • @kasiankillo6949
    @kasiankillo69493 күн бұрын

    Ccm wajanjaaaa, wanaweza kumpa kiasi chochote anachotaka ili aseme ayo, sio kosa lake njaaa, wanainchi bakini na mawazo yenu, msimfuate msigwa

  • @user-ms6wc7ug6w
    @user-ms6wc7ug6w3 күн бұрын

    DAH UMEJIHARIBIA SANA AISE DAH

  • @user-nz6rs9vn3t
    @user-nz6rs9vn3t3 күн бұрын

    Na kum😂be walishamsitukia kitambo ndio maan anadingizia alihujumiwa 😮😮😮😮

  • @mashakakwembe7482
    @mashakakwembe74823 күн бұрын

    Wewe ni msaka tonge tu kumbe kilichokuwa kinakuweka chadema ni madaraka tu leo ccm uliokuwa unawapinga na kuwatukana wamekuwa wazuli du huyu kweli no mchungaji kweli ?

  • @issacklyandala7023
    @issacklyandala70233 күн бұрын

    Huyu jamaa hovyo sana, kama sio mnyaru

  • @Kwarasi
    @Kwarasi3 күн бұрын

    Sasa utasemaje na umejiunga tayari msingawa acha kelele wewe nenda ukawe chawa chadema ipo na itakuwepo

  • @Mimi-wf7mb
    @Mimi-wf7mb3 күн бұрын

    Mwalimu alisema kuna malaya. Ndo hao

  • @raymondmunis3553
    @raymondmunis35533 күн бұрын

    Nanikweli mwanasiasa

  • @musomamet
    @musomamet3 күн бұрын

    Aibuuuu....!

  • @issacklyandala7023
    @issacklyandala70233 күн бұрын

    Mmemnunua yuda huyo mchungaji MJINGA

  • @mohammedbakar4142
    @mohammedbakar41424 күн бұрын

    Wafadhilaka wapundaka tumekusikia mchimba chumvi ongea yako Msigwa uliloliendea

  • @petromachango3781
    @petromachango37813 күн бұрын

    Hakuna mwanasiasa anaesema ukwel

  • @ezekielmwadomba4675
    @ezekielmwadomba46753 күн бұрын

    DUH! NGOJA NIKANAWE MACHO MAANA SIONI SAWASAWA KAMA NIMWENYEWE AU?

  • @PlantUrgentProcess
    @PlantUrgentProcess4 күн бұрын

    Msimpe cheo chochote kile ili anyooke hana lolote njaa tu 😢

  • @simbamtoto7530

    @simbamtoto7530

    3 күн бұрын

    Asipo pewa cheo uyo atokaa ccm

  • @IsayaYohana-qo8ej
    @IsayaYohana-qo8ej3 күн бұрын

    Ok,umehama huko utakwenda kufanya nini?

  • @charlesshaban1915
    @charlesshaban19153 күн бұрын

    People's power, hufai ht kdogo na huko lbd upewe cheo, ukkoswa cheo tuuu watakuskia

  • @efraimjohn4956
    @efraimjohn49563 күн бұрын

    pole mumnyime cheo huko atakimbia hvyohvyo na msipompa nafasi ya kugombea ubunge happy Iringa atakimbia. unacheza na msoto wa miaka mitano wewe

  • @hasanimkamba8377
    @hasanimkamba83773 күн бұрын

    siasa nikazi kama kazi zingine tu

  • @mbuyaelyaoni6266
    @mbuyaelyaoni62663 күн бұрын

    Juhudi zako na kuhangaika kote ni sawa na kujilisha upepo. Huku ccm utacheka, ni wajanja kuliko unavyo fikiri, mikelele yako hatuhitaji. Kaa kwa kutulia.

  • @davidtuya9586
    @davidtuya95863 күн бұрын

    Yuda ni naani? Ni yuda askariot inasikitisha tayari njaa unataka uteuzi

  • @josephmbogela415
    @josephmbogela4153 күн бұрын

    Hawezi kukaa bila kuwa na madaraka ni shida sana. Umeshindwa uchaguzi unakimbia ulitaka ubaki kuwa Mwenyekiti miaka yote. Hukujua kama ni saccoss miaka yote hiyo.

  • @rafiiabdul6217

    @rafiiabdul6217

    3 күн бұрын

    Mbona mbowe ni mwenyekit wakudumu na wangne wakitaka uenyekit anawaondoa

  • @salehwaziri5062
    @salehwaziri50623 күн бұрын

    Kanunuliwa shilingingapi maanahuyhuyu wezakewalipohama alisemawamenunuliwa

  • @wartv730
    @wartv73019 сағат бұрын

    Yeye ni mamluki

  • @jumamsechu
    @jumamsechu3 күн бұрын

    Mlafi wa madaka

  • @ndiditheodore8272
    @ndiditheodore82723 күн бұрын

    Huyu ni mchungaji wa kanisa gani? LA mashetani. Hapo kwakweli umefeli. Baki na uchungaji tuu siasa za nini? Soma Yohana 6:15..

  • @user-jz5ij6on8d
    @user-jz5ij6on8d3 күн бұрын

    Kama uliiasi kazi ya mungu wewe hunatofauti nashetani

  • @TemboKaijage-kg2mm
    @TemboKaijage-kg2mm2 күн бұрын

    Alikuwa zitto sembuse yeye tanzania tuna taka mabadiliko

  • @respiceandason
    @respiceandason3 күн бұрын

    Umetoka kwenye systim umefutika tayali mkuu

  • @johnshayo9635
    @johnshayo96353 күн бұрын

    Ni Peter Msigwa neno mchungaji ondoa maana hapo sio kanisani

  • @judicalosika7642

    @judicalosika7642

    3 күн бұрын

    😳😳

  • @judicalosika7642

    @judicalosika7642

    3 күн бұрын

    USISEME TUMEKUWA TUKIKOSOA!!! MBONA UMEVAA JANI!! SEMA WALIKUWA WANAFAA KWANI SASA HAUPO!!!

  • @user-gn4br6jo8w
    @user-gn4br6jo8w3 күн бұрын

    Yaani umrufu wako ndo mwisho tayari umesha potea hutasikika tena nahayo maneno yako ipo siku utayajutia wote walio hamia ccm hakuna anaye sikika iringa mkataen huyo msaliti

  • @bazilmateru915
    @bazilmateru9153 күн бұрын

    Yuda

  • @IdrisaTuppa
    @IdrisaTuppa3 күн бұрын

    Shushu Uyo Kuweni Makini😂

  • @KassimHanga-xr7rb
    @KassimHanga-xr7rb3 күн бұрын

    Ccm acheni kukumbatia wanafiki mtaharibu chama chenu mfano msisingwa

  • @user-ek6sl4px7z
    @user-ek6sl4px7z2 күн бұрын

    Rais samira usijeukamteuwa popote huyu balaa, kafuata cheo huko angesema angungua kanisa tungemuelewa vijana wapo wasomi wazuri mnahangaika kununua maze

  • @user-it3im4di4q
    @user-it3im4di4q3 күн бұрын

    mh! hata moyo wako unaonyesha kuwa hauko huru pole ndugu

  • @AltenKiswaga-zw9rf
    @AltenKiswaga-zw9rf3 күн бұрын

    Njaaaa njaaaa hiz nibalaaa

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe45783 күн бұрын

    Anasaka cheo

  • @AshaMwamba
    @AshaMwamba2 күн бұрын

    Ndo kawaida yenu kihama wahatuoni ajabu

  • @roberttarimo4956
    @roberttarimo49563 күн бұрын

    HUYU MBABA NI MNAFIKI HIVI WAIMINI NA FAMILIA YAKE INAMWONAJE.

  • @crispinlerumbe7060
    @crispinlerumbe70603 күн бұрын

    Mwambieni huyo alelambishwa asali akalewa atafia kwenye ulafi

  • @ModestJohn-z9m
    @ModestJohn-z9m3 күн бұрын

    Por msinqwa

  • @respiceandason
    @respiceandason3 күн бұрын

    Labda niulize kwa watu wa karibu" nasikia mchungaji" kwan ni mchungaji wa nn?

  • @Aisha-lj8bu

    @Aisha-lj8bu

    3 күн бұрын

    Kanisa

  • @valenakomba7686
    @valenakomba76862 күн бұрын

    ONGEA UANGALIE MBELE

Келесі