KAULI YA MSIGWA BAADA YA KUHAMIA CCM, CHADEMA HAINA UHALALI KUIHOJI CCM, CDM NI CHAMA CHA MTU MMOJA
Ойын-сауық
Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.com/DfwqANhvBcB...
Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5
Пікірлер: 147
🇦🇪Welcome sana Muheshimiwa Msingwa huku ndio nyumbani sasa CCM OYEE 🎉🎉🇹🇿💚💚💚
@safiaothman5175
3 күн бұрын
Hoyeeee
Huyu mwamba yuko Imara ila hakuwa sehem stahki...karibu nyumbani ❤❤❤❤
@isayakihongile4921
3 күн бұрын
Ili aibe vizuri maana sera zenu ni wizi wa mali za umma
@fatimahants1526
3 күн бұрын
@@isayakihongile4921 usihukum pasina uhakika
Safi sanaa
Msigwa umejishushia sana heshima
@marcokaroje8980
3 күн бұрын
Uchaguzi umekaribia wenye akili ndogo akina Msigwa wameshanunuliwa CCM OYEEtutashinda kwa kishindo mpaka karne sita
Ni kawaida yenu kumsema mbowe, chadema itaendelea mbele pasipo ww
@user-nz6rs9vn3t
3 күн бұрын
Hapo ni wale wanaotak mbowe atoke chama kife
@isayakihongile4921
3 күн бұрын
Tupo na mbowe hadi kifo kimkute wanataka wapewe wao uenyekiti wakiuze chama
Kuna wanasiasa kama malaya ndio huyu sasa
Njaa tu
Mimi sina chama ila ni mpenzi wa chama fulani.lakini nimesikitika mchungaji wewe ni mnafiki juzi ulienda singida ukatudanganya.wewe hufai kukosa cheo .mbeya .ndo yamekushinda?
@iddyissa8110
3 күн бұрын
Hakika uyu bwana atausikute biblia aijui
Hatimae jongwe aka sugu kamkimbiza msigwa chadema baada ya kumgalagaza kwenye uchaguzi wa kanda.....dah siasa unafiki Sana na njaa haina nishani
Mmmmh hii sio sawa ilibid ake bench miez sita ndio ajiunge
Nilijua tu msigwa kwamba ipo siku ataingia ccm
Yaan mungu amemwambia achungekondoo lakiniyeye ameacha ameenda kwenyevisiasa
Kwa maoni yangu hii inaonyesha wazi kushindwa kwa mifumo hii ya kisiasa,,ipo haja ya wananchi kutafakari mfumo mwengine wa kutafuta maendeleo yao,,hawa wanasiasa wanatafuta tu maslahi yao binafsi,,si kwa ajili ya wananchi,,ki msingi ni watu waongo wanaotafuta riziki kwa kuuza maneno kwa kupitia migongo ya watu,,,
Karibu sana nyumbani Msigwa. Umefanya uamuzi sahihi na busara. CCM daima. Mama Samia Safi kabisa. Mitano kwa Mama Samia.
Kuchukua wanasiasa wa kizamani ni sawa na kusoma gazeti jioni tu
😂 unafiki mbaya sana jmn ! Njaa hii daaa😅
@judicalosika7642
3 күн бұрын
,😳😳😳😳😳
Kiungo Mshambuliaji, Peter Msigwa....
Hii inaonyesha waziwazi kiasi gani hatuna viongozi waliopo Kwa maslahi ya watanzania na hakuna wapinzani hapo ila Kuna wenye njaa, Yani msigwa alivoahindwa na sugu kahama na chama inaonyesha kwamba hata huko ccm akiteuliwa kusimama kukiwakilisha chama akashindwa yupo tayari kuwepo vita ilimradi yeye atangazwe. Viongozi wa hivi hamna asiekubali kushindwa si mshindani
Pole yako
@user-vm2wk1mb4v
3 күн бұрын
kaka yangu msigwa, ilitakiwa uwashukulu sana chadema, ndio waliokupa ubunge, vyama vingapi ulikuwepo, mbona hawajakupa ubunge, chadema wamekupa Leo Tena wamekuwa wabaya, usitukane utokako, kaka ujuwe kesho pia utawatukana CCM, Aya yetu macho
Mchungaji kakurupuka sana
Siyo kiongozi mwandamizi wala mwenyekiti wa kanda chadema alishaikosa hiyo nafasi ipo na sugu
DAAH!!!! HIZI SIASA JAMANI NDOMAANA MIMI SINAGA CHAMA ATAKAE SHINDA ME NDO HUYOHUYO ATAKUWA RAIS WANGU 🙄🤔 FULSTOP!!!
Mm namshangaa huyu ni mchungaji? Hata siipendi siasa
Msigwa utafika mbali una kitu
Unataja Mungu pumbavu taja Miungu yako Mungu fundi siku utasema mnafiki
YAANI BAADA YA KUSHINDWA , KAAMUWA KUHAMA. ASIYEKUBALI KUSHINDWA SIYO MSHINDANI.
Ulipokua chadema hukuyaona hayo ulipokosa uwenyekiti ndio ukayagundua unaelekaje Kwa wanaokusikia?
Kiungo mpya umemtambulisha leo kama vile wananchi tunavyotarajia kumtambulisha kiungo mpya Chama ndani ya Jangwani
Ungeacha vyote ukamrejea Mungu nigeona kweli;lakini umehama Chadema na kwenda CCM kufuata kula tu.wewe ni msaliti na. Hunai uzale do.
Ni roho nyingine ilimwingia huyu mtu. Ni vitu flani alitamani kuvipata. Kaona dawa ni kuingia ccm. Huyu hata kanisani hafai kumbe. You cant be trusted. Sori 4 u.
Msigwa amemkimbia dada msambatawanu, dada Yuko vizuri
Maneno ya mwl nyerere nilikuwa siyaelewi Sasa nayaelewa kumbe wanasiasa wenye tabia za kimalaya wapo
Huyo msingwa mwache aende kugalagwa na Sugu ananikimbia anatamaa ya mamlaka
Njaa tu,
Ila tumempokea lkn TUWE na TAHADHARI Sana adui Hana rangi anaweza kutuchunguza mambo ya ndani
Yeye aende kupiga ela uyo hafai mtajuta nyie ccm uyo mtajuta na si mchungaji uyo
Anatapatapa ana lolote kaishiwa sera 😄😄😄mmelamba garasha
Duuh 😢
Msigwa kaishiwa ufai ata ujumbe wa nyumba 10, ongea yako sio ya chama ata ulivyokuwa chadema uliisema ccm. Kama leo u avyoisema chadema tapeli mkubwa we. Njaa mbaya
Hivi ni Msigwa huyu ambaye wiki chache zilizopita alikuwa akiikosoa serikali ya CCM vikali?
Umekuwa mweusi balaa
Ndio maan walisem watu fulani wamenunuliwa,
Hawa ndio wanazitia doa ata dini anaitwa mchungaji mchungaji gani anabadilika badilika
Wewe ni mujinga sana mchuji wa mashetani mashetani masisim majizi
Hivi huu ni mchungaji wa kanisa gani
Sasa kerere zote kwisha umekuja uku tunakufuga mdomo kwisha
SAF SANA MSIGWA UMEWAFUNGULIA MLANGO WENGINE KARIB CCM 😂😂😂 HII NDO CCM NNAYO IJUA😅😅😅 HAD UCHAGUZ KITAKUWA KIMEELEWWKA
Wala hatutushiki alitoka zito,mkumbo na kina mdee sembuse nyumbu
Njaaa ni mbaya sanaaa.😢
Alichelewa sana ilitakiwa ajiunge kipindi Cha magufuli pindi alivyomtoa Gerrezani mwaka ule mnakumbuka wahenga
Du mch. Unahangaika pole yako
mnatuchanganya leo hivi kesho vile mchungaji kauli 2 haifai
❤
Ungejiuzuru Kisha ukayasema hayo usemayo tungekuelewa uwe mkweli una kundi kubwa la kondoo nyumba yako ukiwapoteza utaulizwa na Mungu
Mpeni cheo arizike sasa
ujinga tu huyu ni mnafiki
Wanatuchanganya hai
Ccm wajanjaaaa, wanaweza kumpa kiasi chochote anachotaka ili aseme ayo, sio kosa lake njaaa, wanainchi bakini na mawazo yenu, msimfuate msigwa
DAH UMEJIHARIBIA SANA AISE DAH
Na kum😂be walishamsitukia kitambo ndio maan anadingizia alihujumiwa 😮😮😮😮
Wewe ni msaka tonge tu kumbe kilichokuwa kinakuweka chadema ni madaraka tu leo ccm uliokuwa unawapinga na kuwatukana wamekuwa wazuli du huyu kweli no mchungaji kweli ?
Huyu jamaa hovyo sana, kama sio mnyaru
Sasa utasemaje na umejiunga tayari msingawa acha kelele wewe nenda ukawe chawa chadema ipo na itakuwepo
Mwalimu alisema kuna malaya. Ndo hao
Nanikweli mwanasiasa
Aibuuuu....!
Mmemnunua yuda huyo mchungaji MJINGA
Wafadhilaka wapundaka tumekusikia mchimba chumvi ongea yako Msigwa uliloliendea
Hakuna mwanasiasa anaesema ukwel
DUH! NGOJA NIKANAWE MACHO MAANA SIONI SAWASAWA KAMA NIMWENYEWE AU?
Msimpe cheo chochote kile ili anyooke hana lolote njaa tu 😢
@simbamtoto7530
3 күн бұрын
Asipo pewa cheo uyo atokaa ccm
Ok,umehama huko utakwenda kufanya nini?
People's power, hufai ht kdogo na huko lbd upewe cheo, ukkoswa cheo tuuu watakuskia
pole mumnyime cheo huko atakimbia hvyohvyo na msipompa nafasi ya kugombea ubunge happy Iringa atakimbia. unacheza na msoto wa miaka mitano wewe
siasa nikazi kama kazi zingine tu
Juhudi zako na kuhangaika kote ni sawa na kujilisha upepo. Huku ccm utacheka, ni wajanja kuliko unavyo fikiri, mikelele yako hatuhitaji. Kaa kwa kutulia.
Yuda ni naani? Ni yuda askariot inasikitisha tayari njaa unataka uteuzi
Hawezi kukaa bila kuwa na madaraka ni shida sana. Umeshindwa uchaguzi unakimbia ulitaka ubaki kuwa Mwenyekiti miaka yote. Hukujua kama ni saccoss miaka yote hiyo.
@rafiiabdul6217
3 күн бұрын
Mbona mbowe ni mwenyekit wakudumu na wangne wakitaka uenyekit anawaondoa
Kanunuliwa shilingingapi maanahuyhuyu wezakewalipohama alisemawamenunuliwa
Yeye ni mamluki
Mlafi wa madaka
Huyu ni mchungaji wa kanisa gani? LA mashetani. Hapo kwakweli umefeli. Baki na uchungaji tuu siasa za nini? Soma Yohana 6:15..
Kama uliiasi kazi ya mungu wewe hunatofauti nashetani
Alikuwa zitto sembuse yeye tanzania tuna taka mabadiliko
Umetoka kwenye systim umefutika tayali mkuu
Ni Peter Msigwa neno mchungaji ondoa maana hapo sio kanisani
@judicalosika7642
3 күн бұрын
😳😳
@judicalosika7642
3 күн бұрын
USISEME TUMEKUWA TUKIKOSOA!!! MBONA UMEVAA JANI!! SEMA WALIKUWA WANAFAA KWANI SASA HAUPO!!!
Yaani umrufu wako ndo mwisho tayari umesha potea hutasikika tena nahayo maneno yako ipo siku utayajutia wote walio hamia ccm hakuna anaye sikika iringa mkataen huyo msaliti
Yuda
Shushu Uyo Kuweni Makini😂
Ccm acheni kukumbatia wanafiki mtaharibu chama chenu mfano msisingwa
Rais samira usijeukamteuwa popote huyu balaa, kafuata cheo huko angesema angungua kanisa tungemuelewa vijana wapo wasomi wazuri mnahangaika kununua maze
mh! hata moyo wako unaonyesha kuwa hauko huru pole ndugu
Njaaaa njaaaa hiz nibalaaa
Anasaka cheo
Ndo kawaida yenu kihama wahatuoni ajabu
HUYU MBABA NI MNAFIKI HIVI WAIMINI NA FAMILIA YAKE INAMWONAJE.
Mwambieni huyo alelambishwa asali akalewa atafia kwenye ulafi
Por msinqwa
Labda niulize kwa watu wa karibu" nasikia mchungaji" kwan ni mchungaji wa nn?
@Aisha-lj8bu
3 күн бұрын
Kanisa
ONGEA UANGALIE MBELE