KAMWE ATINGA GSM KUNUNUA VYOMBO/"MKE ATAVIKUTA NYUMBANI/NDOA BADO/GULIO KUBWA HAINA MFANO".

Спорт

GSM Home imefanya punguzo la Bei kwa zaidi ya Asilimia 70 kwa wake takribani Wiki moja Gulio linaendelea.
Semaji la Wananchi Ally Kamwe ametinga Maduka ya GSM Home kufanya manunuzi ya Vyombo kwa ajili ya Mke wake anaetarajia kufunga nae ndoa Siku za Usoni.
Kamwe amefanya manunuzi ya Vyombo pamoja na Bidhaa za Watoto baada ya kusikia Gulio la punguzo la Bei ndani ya GSM Home.

Пікірлер: 51

  • @ashuramhandoashuramhando6798
    @ashuramhandoashuramhando67989 ай бұрын

    Semaji la Kihistoria katanguliza Vyombo 😅😅😅😅😅😅😅😅💚💛💚💛💚💛🙏🙏🙏

  • @rajabrwambow9660
    @rajabrwambow96609 ай бұрын

    Muoe yule mtoto wa mpenja anafaa sana na mnaendana anaitwa Jane kishai wife material indeed

  • @rukiakyaka1827
    @rukiakyaka18279 ай бұрын

    Babaa unachekesha sn Allah akuweke Inshaallah

  • @Zaynab-ny6gr
    @Zaynab-ny6gr9 ай бұрын

    Hilo gulio hadi lini mwisho

  • @kassimayoubmohd6313
    @kassimayoubmohd63139 ай бұрын

    Kamwe kwaiyo mtarajiwa wako ni mwembamba kwa maneno yko😂😂

  • @abiaslimadyanse1842
    @abiaslimadyanse18429 ай бұрын

    Ila semaji 😂😂😅😅😅😅

  • @MuhungaMasengo-og3vk
    @MuhungaMasengo-og3vk9 ай бұрын

    Mungu awe mtangulizi wetu kwa himani amina

  • @anodearsulusi7536
    @anodearsulusi75369 ай бұрын

    Eti mdogo wake sahani na mtoto😂😂😂😂

  • @user-cd4ft3cy5w
    @user-cd4ft3cy5w9 ай бұрын

    Nice

  • @khalidjafary1120
    @khalidjafary11209 ай бұрын

    Ali kamwe jau KWELI anaonekana anapenda utani kweli

  • @emmanuelmwanzalima8337
    @emmanuelmwanzalima83379 ай бұрын

    Unapiga debe mpaka vyombo🤣🤣🤣umebaki kuuza magodolo

  • @AjiaMohamed-rt5pb

    @AjiaMohamed-rt5pb

    9 ай бұрын

    Viipi mbna unateseka watu siku hzi tunakunyws jembe energy

  • @remidusmwanandenje-yy5gs

    @remidusmwanandenje-yy5gs

    9 ай бұрын

    Unawaxhwa eeeeee😂😂

  • @deboramartin8111

    @deboramartin8111

    9 ай бұрын

    Tena wewe na ushoga wako huo unapiga debe unapata sh ngap kumfila baba yako

  • @monicalucas3738
    @monicalucas37389 ай бұрын

    Ally Kamwe gulio lije na Zanzibar

  • @hamzahhassan6474
    @hamzahhassan64749 ай бұрын

    Safi

  • @salummsangi8512
    @salummsangi85129 ай бұрын

    Nasubiria kuona Ali kamwe kama atatoa pesa😂😂😂

  • @user-sq7pz6xs5q
    @user-sq7pz6xs5q9 ай бұрын

    Unyama mwingiiiiii

  • @MuhungaMasengo-og3vk
    @MuhungaMasengo-og3vk9 ай бұрын

    Nimesha kunja max aziz

  • @TatuHusseni-hs7mu
    @TatuHusseni-hs7mu9 ай бұрын

    Ila Ally 🤣🤣😂😂🤣😂

  • @longinuskomba9887
    @longinuskomba98879 ай бұрын

    Hilo gulio home boy vipi Songea? Nyumbani kwanza

  • @alihumaid3492
    @alihumaid34929 ай бұрын

    Huyu Ali Mbona babake ni mtu wa maadili sana ya uislam!!!!!!!!! Na yeye maadili na TABIA zake haviko kabisa kwenye DINI YA UISLAM????? YEYE NI DINI GANI??? MASON?

  • @geofreymelchiad-vo5mf
    @geofreymelchiad-vo5mf9 ай бұрын

    Noma kwel😂😂😂😂

  • @claudiaruta
    @claudiaruta9 ай бұрын

    Hilo gulio lije na mikoani jamani

  • @jumaali9243
    @jumaali92439 ай бұрын

    Ndio nini?

  • @jumahamad9463
    @jumahamad94639 ай бұрын

    DUUU KAMWE KALAA PENSI KWA AJILI YAKUKANDA WATU TU

  • @hggvg9809
    @hggvg98099 ай бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣eti vyombo apanap

  • @pesa-kt9hp9jy6e
    @pesa-kt9hp9jy6e9 ай бұрын

    Ok

  • @zoharimohammed2942
    @zoharimohammed29429 ай бұрын

    Naaaam swadakta

  • @remidusmwanandenje-yy5gs
    @remidusmwanandenje-yy5gs9 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉😅😅😅😅😅 kamwe kama kamwe!

  • @ronaldissack3338
    @ronaldissack33389 ай бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣 unatuvunja mbavu kamwe

  • @user-po8hz7xw9j
    @user-po8hz7xw9j9 ай бұрын

    We mta gazaji tupeleke kwenye vitanda

  • @nelsonmatambo
    @nelsonmatambo9 ай бұрын

    Nakukubali

  • @khalidjafary1120
    @khalidjafary11209 ай бұрын

    😂😂😂😂❤❤❤

  • @LenziaNgowoko-gu9gb
    @LenziaNgowoko-gu9gb9 ай бұрын

    Ulimbukeni !!!

  • @anodearsulusi7536

    @anodearsulusi7536

    9 ай бұрын

    Eti ulimbukeni mwenzio anatangaza biashara ya mtu tu hapo analpwa we shangaa tu unasema ulimbukeni😂😂😂😂

  • @Graceyust

    @Graceyust

    9 ай бұрын

    Ukikua utaacha huu utoto ulionao

  • @laithalfairuz1189
    @laithalfairuz11899 ай бұрын

    😂😂😂😂

  • @aishafrancis7714
    @aishafrancis77149 ай бұрын

    Hilo punguzo mwisho lini natamani jamani ila nipo mbali

  • @salummsangi8512

    @salummsangi8512

    9 ай бұрын

    Tarehe 30 mwisho

  • @aishafrancis7714

    @aishafrancis7714

    9 ай бұрын

    @@salummsangi8512 duuh nimelikosa mimi mpaka2025😀

  • @baruaninombo291
    @baruaninombo2919 ай бұрын

    Uelewa ni kazi sana, kamwe anaakili kuliko wewe unayecoment bila kuelewa, kamwe hapo ananunua ila lengo kuu hapo ni kufanya promotion analipwa,.njia gani atumie kupromote hapo ubunifu ndo unatakiwa, ambapo ali kamwa kajifanya ananunua.

  • @baruaninombo291

    @baruaninombo291

    9 ай бұрын

    Sasa wewe usiyeelewa na kusema ulimbukeni unaonekana ni mbumbumbu, kamwe yupo kupromote

  • @baruaninombo291

    @baruaninombo291

    9 ай бұрын

    Tayari ali ana fans wengi sana, hivyo kwa kutumia platform hiyo ya usemaji yanga anatumia kutangaza biashara ya GSM,

  • @alicenice1711
    @alicenice17119 ай бұрын

    Semaji njo uniowe mimi

  • @astrojio

    @astrojio

    9 ай бұрын

    khaaaaaa

  • @islamicreligiontv2718

    @islamicreligiontv2718

    9 ай бұрын

    Alice nice nitafute now utampata alikamwe

  • @rukaya-jg7hj
    @rukaya-jg7hj9 ай бұрын

    Niowe mimi mwanamke wa kitanga uje kula vya nazi

  • @senseiamani4684

    @senseiamani4684

    9 ай бұрын

    Unafuata pesa na sio mapenzi hii imeenda haaaaahaaaaa

  • @matipashankanawaaooo1199

    @matipashankanawaaooo1199

    9 ай бұрын

    Hellow

  • @islamicreligiontv2718

    @islamicreligiontv2718

    9 ай бұрын

    Nitafute rukaya utampata alikamwe

Келесі