KAMWE ATINGA GSM KUNUNUA VYOMBO/"MKE ATAVIKUTA NYUMBANI/NDOA BADO/GULIO KUBWA HAINA MFANO".
Спорт
GSM Home imefanya punguzo la Bei kwa zaidi ya Asilimia 70 kwa wake takribani Wiki moja Gulio linaendelea.
Semaji la Wananchi Ally Kamwe ametinga Maduka ya GSM Home kufanya manunuzi ya Vyombo kwa ajili ya Mke wake anaetarajia kufunga nae ndoa Siku za Usoni.
Kamwe amefanya manunuzi ya Vyombo pamoja na Bidhaa za Watoto baada ya kusikia Gulio la punguzo la Bei ndani ya GSM Home.
Пікірлер: 51
Semaji la Kihistoria katanguliza Vyombo 😅😅😅😅😅😅😅😅💚💛💚💛💚💛🙏🙏🙏
Muoe yule mtoto wa mpenja anafaa sana na mnaendana anaitwa Jane kishai wife material indeed
Babaa unachekesha sn Allah akuweke Inshaallah
Hilo gulio hadi lini mwisho
Kamwe kwaiyo mtarajiwa wako ni mwembamba kwa maneno yko😂😂
Ila semaji 😂😂😅😅😅😅
Mungu awe mtangulizi wetu kwa himani amina
Eti mdogo wake sahani na mtoto😂😂😂😂
Nice
Ali kamwe jau KWELI anaonekana anapenda utani kweli
Unapiga debe mpaka vyombo🤣🤣🤣umebaki kuuza magodolo
@AjiaMohamed-rt5pb
9 ай бұрын
Viipi mbna unateseka watu siku hzi tunakunyws jembe energy
@remidusmwanandenje-yy5gs
9 ай бұрын
Unawaxhwa eeeeee😂😂
@deboramartin8111
9 ай бұрын
Tena wewe na ushoga wako huo unapiga debe unapata sh ngap kumfila baba yako
Ally Kamwe gulio lije na Zanzibar
Safi
Nasubiria kuona Ali kamwe kama atatoa pesa😂😂😂
Unyama mwingiiiiii
Nimesha kunja max aziz
Ila Ally 🤣🤣😂😂🤣😂
Hilo gulio home boy vipi Songea? Nyumbani kwanza
Huyu Ali Mbona babake ni mtu wa maadili sana ya uislam!!!!!!!!! Na yeye maadili na TABIA zake haviko kabisa kwenye DINI YA UISLAM????? YEYE NI DINI GANI??? MASON?
Noma kwel😂😂😂😂
Hilo gulio lije na mikoani jamani
Ndio nini?
DUUU KAMWE KALAA PENSI KWA AJILI YAKUKANDA WATU TU
🤣🤣🤣🤣🤣eti vyombo apanap
Ok
Naaaam swadakta
😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉😅😅😅😅😅 kamwe kama kamwe!
🤣🤣🤣🤣🤣 unatuvunja mbavu kamwe
We mta gazaji tupeleke kwenye vitanda
Nakukubali
😂😂😂😂❤❤❤
Ulimbukeni !!!
@anodearsulusi7536
9 ай бұрын
Eti ulimbukeni mwenzio anatangaza biashara ya mtu tu hapo analpwa we shangaa tu unasema ulimbukeni😂😂😂😂
@Graceyust
9 ай бұрын
Ukikua utaacha huu utoto ulionao
😂😂😂😂
Hilo punguzo mwisho lini natamani jamani ila nipo mbali
@salummsangi8512
9 ай бұрын
Tarehe 30 mwisho
@aishafrancis7714
9 ай бұрын
@@salummsangi8512 duuh nimelikosa mimi mpaka2025😀
Uelewa ni kazi sana, kamwe anaakili kuliko wewe unayecoment bila kuelewa, kamwe hapo ananunua ila lengo kuu hapo ni kufanya promotion analipwa,.njia gani atumie kupromote hapo ubunifu ndo unatakiwa, ambapo ali kamwa kajifanya ananunua.
@baruaninombo291
9 ай бұрын
Sasa wewe usiyeelewa na kusema ulimbukeni unaonekana ni mbumbumbu, kamwe yupo kupromote
@baruaninombo291
9 ай бұрын
Tayari ali ana fans wengi sana, hivyo kwa kutumia platform hiyo ya usemaji yanga anatumia kutangaza biashara ya GSM,
Semaji njo uniowe mimi
@astrojio
9 ай бұрын
khaaaaaa
@islamicreligiontv2718
9 ай бұрын
Alice nice nitafute now utampata alikamwe
Niowe mimi mwanamke wa kitanga uje kula vya nazi
@senseiamani4684
9 ай бұрын
Unafuata pesa na sio mapenzi hii imeenda haaaaahaaaaa
@matipashankanawaaooo1199
9 ай бұрын
Hellow
@islamicreligiontv2718
9 ай бұрын
Nitafute rukaya utampata alikamwe